"Wanatabia ya kutoa shukrani mtu AKIFA , Pengo lako tutakukumbuka" Magufuli enzi ya Uwaziri.

Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli alizungumza maneno hayo 2013, Novemba 14 akiwa Waziri wa Ujenzi.
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.

Пікірлер: 9

  • @ismailkenga1243
    @ismailkenga12433 жыл бұрын

    Hutuba nzuri Sana kwa hayati magufuli.. Wakenya tunakupenda na tutakukumbuka Sana Rais mchapa kazi

  • @user-qt3rb3vo1f
    @user-qt3rb3vo1f7 ай бұрын

    Daah hapa ni ukiwa wazir tu kwel siasa ni ngata Rip mzee wetu

  • @missmrs829
    @missmrs8293 жыл бұрын

    Mzalendo wa kweli katika nchi yake jembe kama jembe pumzika kwa amani Baba,,mis sana mzalendo wa kweli..kazi umeimaliza kwa dhati

  • @kingfahad5120
    @kingfahad5120 Жыл бұрын

    Mungu Akulaze Pema Peponi Baba

  • @kelvinjuma7247
    @kelvinjuma72473 жыл бұрын

    R. I. P LEGENDARY OF AFRICA

  • @jamesnyamweya5753
    @jamesnyamweya57532 жыл бұрын

    Rip

  • @williengangamacharia2761
    @williengangamacharia27613 жыл бұрын

    Magufuli alikuwa Magufuli kweli!!

  • @zachariajaphet613
    @zachariajaphet6133 жыл бұрын

    Bdo naumua sana napo muona huyu jamaa akiongea lkn ayuko nasisi tena kimwil... Hawa ndio viongoz wakuigwa... Nenda salam Rais wangu..

  • @BahatiKafuye-di8he
    @BahatiKafuye-di8he Жыл бұрын

    Mwamba tutamkumbuka sana