"Wanatabia ya kutoa shukrani mtu AKIFA , Pengo lako tutakukumbuka" Magufuli enzi ya Uwaziri.
Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli alizungumza maneno hayo 2013, Novemba 14 akiwa Waziri wa Ujenzi.
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
Пікірлер: 9
Hutuba nzuri Sana kwa hayati magufuli.. Wakenya tunakupenda na tutakukumbuka Sana Rais mchapa kazi
Daah hapa ni ukiwa wazir tu kwel siasa ni ngata Rip mzee wetu
Mzalendo wa kweli katika nchi yake jembe kama jembe pumzika kwa amani Baba,,mis sana mzalendo wa kweli..kazi umeimaliza kwa dhati
Mungu Akulaze Pema Peponi Baba
R. I. P LEGENDARY OF AFRICA
Rip
Magufuli alikuwa Magufuli kweli!!
Bdo naumua sana napo muona huyu jamaa akiongea lkn ayuko nasisi tena kimwil... Hawa ndio viongoz wakuigwa... Nenda salam Rais wangu..
Mwamba tutamkumbuka sana