Sikiliza Magufuli Alishtukia Mchezo wa Umeme na Kufungulia Maji, Nimejitoa Kwa Ajili ya Watanzania
Жүктеу.....
Пікірлер: 55
@abdulkilala98452 жыл бұрын
Magufuli alikuwa na akili sana huyu baba live in peace R.IP jpm nakupenda mpaka nakufa
@fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын
Alafu Baba huko ulipo tambua huku wameibuka wanao kupaka matope ,ili kuharibu kuifuta historia yako... Wasitufanye waTanzania ni wajinga na vipofu.tunajua weee ni Jembe hakuna wa kufanana na weee.wivu Tu ndo unawasumbua ... Mawazo na akili yako ,itadumu Kwa waTZ Daima.. RIP Baba Lao... We miss you so much
@rajeep-ni7lh2 жыл бұрын
I wish you here maguful Tanzania never forget you always we remember you and miss you every day ❤❤❤❤❤❤❤❤
@davidivedasto18442 жыл бұрын
Very true our beloved late JPM we will always remember you and the smartest brain that you've enlightened us, you are a real patriotic leader of our time... we will treasure your great brain for ever.
@fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын
Baba umeondoka mchezo mchafu umerudishwa ... Najiuliza Sana .maana simuoni kabisa atakayevaa kiatu chako kimtoshe. Naamini laiti ungekuwepo bwawa la NYERERE lingeshaanza KAZI ...lakini Kwa sasa ,kutalii kumetawala badala ya KAZI..RIP JPM
@georgezacharia48572 жыл бұрын
Baba sikuiz REA haipo tn 😭😭😭😭 Baba kwann mapem hivyo
@hellenwillium65682 жыл бұрын
Tunakuombea baba yetu.Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi..
@maumangunda11112 жыл бұрын
😭 bab unanitowa machozi ety. Pumzika kwa amani🙏 mpambanaji🙏🙏
@javanidaniel32022 жыл бұрын
Moyo wangu unalalama, haupati Amani kila wakati nikikusikiliza, sipati picha Baba, Mara naona nakutafuta mpaka mfukoni, Mungu tusaidie twaumia,
@gracemima52342 жыл бұрын
Mama anabeza kila kitu chako ulichokifanya. Baba wewe ulikuwa musema kweli.
@samsonisaack51452 жыл бұрын
Pumzika Kwa Aman Raid wetu
@humphreykarua52412 жыл бұрын
Rest in peace Madufuli,kwa mama uliyafanya kwa wanyonge kupsta huduma za jamii mfano afya,umeme,barabara kwa sasa kila mmoja has a wamachingaxwanakumbuka sana wasalsam H
@josephpetro41152 жыл бұрын
Kweli mungu alikutuma kuwatumikia watanzani
@alphoncewilliam43252 жыл бұрын
Sipigi Kula kama ataendelea .natamani ungekuepo
@hawamabira14992 жыл бұрын
Sina la kusema💔
@emmabroy12092 жыл бұрын
Watanzania tuwe makini na hawa viongozi wa ngazi za juu maana wanazichezea akili zetu maana dola inayoongoza unatoka chama kimoja mpaka saivi nashangaa pale naposikia kiongozi anasema awamu ya tano ilifikiria vibaya hivi niwaulize magu alikua anakaa kikao na familia yake anatoa maamuzi na maendeleo aliokua akifanya alikua anakusanya pesa wapi ambapo nyie mnashindwa kuipata??
@margarethsolomon98232 жыл бұрын
Mwamba huyu 👆👆 tutamkumbuka daima. Leo umeme tabu, maji tabu, na huo umeme wa rufiji sijui kama utaendelezwa.😭😭😭
@mussajuma70842 жыл бұрын
Hiv huyu Mzanzibari haoni haya maneno ya hayati John
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Yapo manyang'ao yameanza kupinga hili furaha ya watanzania.., viva JPM shujaa wetu.., tutakukumbuka siku zote..
@sifamushi17472 жыл бұрын
KWELI MZEE JOHN MAGUFULI MUNGU AKUREHEMU SANA. TAIFA TUNAKUKUMBUKA SANA!!!.
@luganoamosi64162 жыл бұрын
Chuma kilishaondoka ,zikebaki mbao liject du zinaliwa na mchwa
@georgekisatu79612 жыл бұрын
Kifo cha jpm ni maumivu makali sana kwa ss wa tz ,sahz nikuli tuuu
@felistermichael3939
2 жыл бұрын
Tumekukumbuka Mzee wetu hayapo tena haya hakuna wakuvaa kiatu chako
@deohank59952 жыл бұрын
Kwa mazur tutakukumbuka lkn!
@galatiaastonimparazo12552 жыл бұрын
Mungu utukumbuke watanzania tunateseka sasa
@shabaniabdu13122 жыл бұрын
Wabunge msimamia utendaji wa kazi hizi. Sivyo uchaguzi unao kuja wabunge wa ccm wata pungua m'no? Msitegee urahisi kama mlioupata uchaguzi uliopita
@martinhinda5233
2 жыл бұрын
Watapungua sanaa mzee aliwabeba tuu tena siyapendi bora tupate wazalendo siyo yakujipendekeza
@trillhappybeautypoint98742 жыл бұрын
Huyu baba 🙌 r.i.p Dady
@faharikhamis10422 жыл бұрын
God stand up
@noelmmari85702 жыл бұрын
Hawa wapumbavu wanawaza matumbo yao tu, wanasahau hali yetu watanzania wa chini
@saumumtangaliobeliobe63832 жыл бұрын
Wao watakusahau lakin wanyonge tutakukumbuka Daima..
@gracemima52342 жыл бұрын
Mama kawarudisha mafisadi wote. Hatuna maji, hatuna umeme. Mama Anasema Anaifunguwa Tanzania. Anaifuguwa Tanzania kwa mafisadi. Sasa mama anapiga raha tu. Safari kama za Membe zimeanza. Hayati Magufuli alikuwa mukweli kabisa. Wanajaribu kulichafuwa jina ka Hayati Magufuli. Viongozi muliopo oneni aibu.
@mwanagwakyala32132 жыл бұрын
Saiz tumeambiwa ng'ombe wamesababisha
@nappekiliakiliasalimu3462 жыл бұрын
Leo hiii Samia anatudanga. Et maji amn. Kwelii hiiii
@petermarwa78182 жыл бұрын
Uliowafukuza sasa wamerudishwa yanaendelea yale yale mzee.
@simonmisri78242 жыл бұрын
Mmmmmhh R I P MAGUFULI
@alphoncewilliam43252 жыл бұрын
Saizi umeme mgao
@gervasisaya49735 ай бұрын
Dadeki mpk xaiv maeneo yet ni siku 3. Umeme hakuna 😅
@nyambegamatoro68172 жыл бұрын
Bora uligundua na kutujulisha hila zilizofanyika. Baada yakulazwa, hila zilezile tunadhani zimerudi.
@ramahfingika152 жыл бұрын
Huyu mzee hakua akidaganya aliku mkweli kutoka moyon Leo hii hawa mazwazwa wanatuambia alikua ana tudanganya wananchi
@MohamedBlanker-jw9qy8 ай бұрын
Huyu mzalendo kweli
@restitutalucia90092 жыл бұрын
Mgao tayari baba. Rip
@oscarmosha3832 жыл бұрын
sasa yamerudi upyaaa
@ananiamkasu88472 жыл бұрын
Utaitawala Tanzania kiroho maisha yote, umeondoka na mamlaka.
@michaelely Жыл бұрын
Kweli baba
@martinhinda52332 жыл бұрын
Hii Tv ifike mbali utangazen ukwel wananchi tunateswa
@gospelextravibes2 жыл бұрын
Inauma saanaa😭😭😭
@benardjengo40842 жыл бұрын
Watanzania tutegemee miaka mingine 50 ndo tuweze kupata kiongozi kama Magufuli kwa sasa Mhhh
Пікірлер: 55
Magufuli alikuwa na akili sana huyu baba live in peace R.IP jpm nakupenda mpaka nakufa
Alafu Baba huko ulipo tambua huku wameibuka wanao kupaka matope ,ili kuharibu kuifuta historia yako... Wasitufanye waTanzania ni wajinga na vipofu.tunajua weee ni Jembe hakuna wa kufanana na weee.wivu Tu ndo unawasumbua ... Mawazo na akili yako ,itadumu Kwa waTZ Daima.. RIP Baba Lao... We miss you so much
I wish you here maguful Tanzania never forget you always we remember you and miss you every day ❤❤❤❤❤❤❤❤
Very true our beloved late JPM we will always remember you and the smartest brain that you've enlightened us, you are a real patriotic leader of our time... we will treasure your great brain for ever.
Baba umeondoka mchezo mchafu umerudishwa ... Najiuliza Sana .maana simuoni kabisa atakayevaa kiatu chako kimtoshe. Naamini laiti ungekuwepo bwawa la NYERERE lingeshaanza KAZI ...lakini Kwa sasa ,kutalii kumetawala badala ya KAZI..RIP JPM
Baba sikuiz REA haipo tn 😭😭😭😭 Baba kwann mapem hivyo
Tunakuombea baba yetu.Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi..
😭 bab unanitowa machozi ety. Pumzika kwa amani🙏 mpambanaji🙏🙏
Moyo wangu unalalama, haupati Amani kila wakati nikikusikiliza, sipati picha Baba, Mara naona nakutafuta mpaka mfukoni, Mungu tusaidie twaumia,
Mama anabeza kila kitu chako ulichokifanya. Baba wewe ulikuwa musema kweli.
Pumzika Kwa Aman Raid wetu
Rest in peace Madufuli,kwa mama uliyafanya kwa wanyonge kupsta huduma za jamii mfano afya,umeme,barabara kwa sasa kila mmoja has a wamachingaxwanakumbuka sana wasalsam H
Kweli mungu alikutuma kuwatumikia watanzani
Sipigi Kula kama ataendelea .natamani ungekuepo
Sina la kusema💔
Watanzania tuwe makini na hawa viongozi wa ngazi za juu maana wanazichezea akili zetu maana dola inayoongoza unatoka chama kimoja mpaka saivi nashangaa pale naposikia kiongozi anasema awamu ya tano ilifikiria vibaya hivi niwaulize magu alikua anakaa kikao na familia yake anatoa maamuzi na maendeleo aliokua akifanya alikua anakusanya pesa wapi ambapo nyie mnashindwa kuipata??
Mwamba huyu 👆👆 tutamkumbuka daima. Leo umeme tabu, maji tabu, na huo umeme wa rufiji sijui kama utaendelezwa.😭😭😭
Hiv huyu Mzanzibari haoni haya maneno ya hayati John
Yapo manyang'ao yameanza kupinga hili furaha ya watanzania.., viva JPM shujaa wetu.., tutakukumbuka siku zote..
KWELI MZEE JOHN MAGUFULI MUNGU AKUREHEMU SANA. TAIFA TUNAKUKUMBUKA SANA!!!.
Chuma kilishaondoka ,zikebaki mbao liject du zinaliwa na mchwa
Kifo cha jpm ni maumivu makali sana kwa ss wa tz ,sahz nikuli tuuu
@felistermichael3939
2 жыл бұрын
Tumekukumbuka Mzee wetu hayapo tena haya hakuna wakuvaa kiatu chako
Kwa mazur tutakukumbuka lkn!
Mungu utukumbuke watanzania tunateseka sasa
Wabunge msimamia utendaji wa kazi hizi. Sivyo uchaguzi unao kuja wabunge wa ccm wata pungua m'no? Msitegee urahisi kama mlioupata uchaguzi uliopita
@martinhinda5233
2 жыл бұрын
Watapungua sanaa mzee aliwabeba tuu tena siyapendi bora tupate wazalendo siyo yakujipendekeza
Huyu baba 🙌 r.i.p Dady
God stand up
Hawa wapumbavu wanawaza matumbo yao tu, wanasahau hali yetu watanzania wa chini
Wao watakusahau lakin wanyonge tutakukumbuka Daima..
Mama kawarudisha mafisadi wote. Hatuna maji, hatuna umeme. Mama Anasema Anaifunguwa Tanzania. Anaifuguwa Tanzania kwa mafisadi. Sasa mama anapiga raha tu. Safari kama za Membe zimeanza. Hayati Magufuli alikuwa mukweli kabisa. Wanajaribu kulichafuwa jina ka Hayati Magufuli. Viongozi muliopo oneni aibu.
Saiz tumeambiwa ng'ombe wamesababisha
Leo hiii Samia anatudanga. Et maji amn. Kwelii hiiii
Uliowafukuza sasa wamerudishwa yanaendelea yale yale mzee.
Mmmmmhh R I P MAGUFULI
Saizi umeme mgao
Dadeki mpk xaiv maeneo yet ni siku 3. Umeme hakuna 😅
Bora uligundua na kutujulisha hila zilizofanyika. Baada yakulazwa, hila zilezile tunadhani zimerudi.
Huyu mzee hakua akidaganya aliku mkweli kutoka moyon Leo hii hawa mazwazwa wanatuambia alikua ana tudanganya wananchi
Huyu mzalendo kweli
Mgao tayari baba. Rip
sasa yamerudi upyaaa
Utaitawala Tanzania kiroho maisha yote, umeondoka na mamlaka.
Kweli baba
Hii Tv ifike mbali utangazen ukwel wananchi tunateswa
Inauma saanaa😭😭😭
Watanzania tutegemee miaka mingine 50 ndo tuweze kupata kiongozi kama Magufuli kwa sasa Mhhh
Nimesikia hayo
Hayo yaliyo dislike moja kwa moja kuzimu.
Fact
Mzee wamerudi tena
Mwamba
It pains alot