Sikiliza Magufuli Alishtukia Mchezo wa Umeme na Kufungulia Maji, Nimejitoa Kwa Ajili ya Watanzania

Пікірлер: 55

  • @abdulkilala9845
    @abdulkilala98452 жыл бұрын

    Magufuli alikuwa na akili sana huyu baba live in peace R.IP jpm nakupenda mpaka nakufa

  • @fruitfulmpanduji2494
    @fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын

    Alafu Baba huko ulipo tambua huku wameibuka wanao kupaka matope ,ili kuharibu kuifuta historia yako... Wasitufanye waTanzania ni wajinga na vipofu.tunajua weee ni Jembe hakuna wa kufanana na weee.wivu Tu ndo unawasumbua ... Mawazo na akili yako ,itadumu Kwa waTZ Daima.. RIP Baba Lao... We miss you so much

  • @rajeep-ni7lh
    @rajeep-ni7lh2 жыл бұрын

    I wish you here maguful Tanzania never forget you always we remember you and miss you every day ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @davidivedasto1844
    @davidivedasto18442 жыл бұрын

    Very true our beloved late JPM we will always remember you and the smartest brain that you've enlightened us, you are a real patriotic leader of our time... we will treasure your great brain for ever.

  • @fruitfulmpanduji2494
    @fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын

    Baba umeondoka mchezo mchafu umerudishwa ... Najiuliza Sana .maana simuoni kabisa atakayevaa kiatu chako kimtoshe. Naamini laiti ungekuwepo bwawa la NYERERE lingeshaanza KAZI ...lakini Kwa sasa ,kutalii kumetawala badala ya KAZI..RIP JPM

  • @georgezacharia4857
    @georgezacharia48572 жыл бұрын

    Baba sikuiz REA haipo tn 😭😭😭😭 Baba kwann mapem hivyo

  • @hellenwillium6568
    @hellenwillium65682 жыл бұрын

    Tunakuombea baba yetu.Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi..

  • @maumangunda1111
    @maumangunda11112 жыл бұрын

    😭 bab unanitowa machozi ety. Pumzika kwa amani🙏 mpambanaji🙏🙏

  • @javanidaniel3202
    @javanidaniel32022 жыл бұрын

    Moyo wangu unalalama, haupati Amani kila wakati nikikusikiliza, sipati picha Baba, Mara naona nakutafuta mpaka mfukoni, Mungu tusaidie twaumia,

  • @gracemima5234
    @gracemima52342 жыл бұрын

    Mama anabeza kila kitu chako ulichokifanya. Baba wewe ulikuwa musema kweli.

  • @samsonisaack5145
    @samsonisaack51452 жыл бұрын

    Pumzika Kwa Aman Raid wetu

  • @humphreykarua5241
    @humphreykarua52412 жыл бұрын

    Rest in peace Madufuli,kwa mama uliyafanya kwa wanyonge kupsta huduma za jamii mfano afya,umeme,barabara kwa sasa kila mmoja has a wamachingaxwanakumbuka sana wasalsam H

  • @josephpetro4115
    @josephpetro41152 жыл бұрын

    Kweli mungu alikutuma kuwatumikia watanzani

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43252 жыл бұрын

    Sipigi Kula kama ataendelea .natamani ungekuepo

  • @hawamabira1499
    @hawamabira14992 жыл бұрын

    Sina la kusema💔

  • @emmabroy1209
    @emmabroy12092 жыл бұрын

    Watanzania tuwe makini na hawa viongozi wa ngazi za juu maana wanazichezea akili zetu maana dola inayoongoza unatoka chama kimoja mpaka saivi nashangaa pale naposikia kiongozi anasema awamu ya tano ilifikiria vibaya hivi niwaulize magu alikua anakaa kikao na familia yake anatoa maamuzi na maendeleo aliokua akifanya alikua anakusanya pesa wapi ambapo nyie mnashindwa kuipata??

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon98232 жыл бұрын

    Mwamba huyu 👆👆 tutamkumbuka daima. Leo umeme tabu, maji tabu, na huo umeme wa rufiji sijui kama utaendelezwa.😭😭😭

  • @mussajuma7084
    @mussajuma70842 жыл бұрын

    Hiv huyu Mzanzibari haoni haya maneno ya hayati John

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын

    Yapo manyang'ao yameanza kupinga hili furaha ya watanzania.., viva JPM shujaa wetu.., tutakukumbuka siku zote..

  • @sifamushi1747
    @sifamushi17472 жыл бұрын

    KWELI MZEE JOHN MAGUFULI MUNGU AKUREHEMU SANA. TAIFA TUNAKUKUMBUKA SANA!!!.

  • @luganoamosi6416
    @luganoamosi64162 жыл бұрын

    Chuma kilishaondoka ,zikebaki mbao liject du zinaliwa na mchwa

  • @georgekisatu7961
    @georgekisatu79612 жыл бұрын

    Kifo cha jpm ni maumivu makali sana kwa ss wa tz ,sahz nikuli tuuu

  • @felistermichael3939

    @felistermichael3939

    2 жыл бұрын

    Tumekukumbuka Mzee wetu hayapo tena haya hakuna wakuvaa kiatu chako

  • @deohank5995
    @deohank59952 жыл бұрын

    Kwa mazur tutakukumbuka lkn!

  • @galatiaastonimparazo1255
    @galatiaastonimparazo12552 жыл бұрын

    Mungu utukumbuke watanzania tunateseka sasa

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu13122 жыл бұрын

    Wabunge msimamia utendaji wa kazi hizi. Sivyo uchaguzi unao kuja wabunge wa ccm wata pungua m'no? Msitegee urahisi kama mlioupata uchaguzi uliopita

  • @martinhinda5233

    @martinhinda5233

    2 жыл бұрын

    Watapungua sanaa mzee aliwabeba tuu tena siyapendi bora tupate wazalendo siyo yakujipendekeza

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint98742 жыл бұрын

    Huyu baba 🙌 r.i.p Dady

  • @faharikhamis1042
    @faharikhamis10422 жыл бұрын

    God stand up

  • @noelmmari8570
    @noelmmari85702 жыл бұрын

    Hawa wapumbavu wanawaza matumbo yao tu, wanasahau hali yetu watanzania wa chini

  • @saumumtangaliobeliobe6383
    @saumumtangaliobeliobe63832 жыл бұрын

    Wao watakusahau lakin wanyonge tutakukumbuka Daima..

  • @gracemima5234
    @gracemima52342 жыл бұрын

    Mama kawarudisha mafisadi wote. Hatuna maji, hatuna umeme. Mama Anasema Anaifunguwa Tanzania. Anaifuguwa Tanzania kwa mafisadi. Sasa mama anapiga raha tu. Safari kama za Membe zimeanza. Hayati Magufuli alikuwa mukweli kabisa. Wanajaribu kulichafuwa jina ka Hayati Magufuli. Viongozi muliopo oneni aibu.

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala32132 жыл бұрын

    Saiz tumeambiwa ng'ombe wamesababisha

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu3462 жыл бұрын

    Leo hiii Samia anatudanga. Et maji amn. Kwelii hiiii

  • @petermarwa7818
    @petermarwa78182 жыл бұрын

    Uliowafukuza sasa wamerudishwa yanaendelea yale yale mzee.

  • @simonmisri7824
    @simonmisri78242 жыл бұрын

    Mmmmmhh R I P MAGUFULI

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43252 жыл бұрын

    Saizi umeme mgao

  • @gervasisaya4973
    @gervasisaya49735 ай бұрын

    Dadeki mpk xaiv maeneo yet ni siku 3. Umeme hakuna 😅

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro68172 жыл бұрын

    Bora uligundua na kutujulisha hila zilizofanyika. Baada yakulazwa, hila zilezile tunadhani zimerudi.

  • @ramahfingika15
    @ramahfingika152 жыл бұрын

    Huyu mzee hakua akidaganya aliku mkweli kutoka moyon Leo hii hawa mazwazwa wanatuambia alikua ana tudanganya wananchi

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy8 ай бұрын

    Huyu mzalendo kweli

  • @restitutalucia9009
    @restitutalucia90092 жыл бұрын

    Mgao tayari baba. Rip

  • @oscarmosha383
    @oscarmosha3832 жыл бұрын

    sasa yamerudi upyaaa

  • @ananiamkasu8847
    @ananiamkasu88472 жыл бұрын

    Utaitawala Tanzania kiroho maisha yote, umeondoka na mamlaka.

  • @michaelely
    @michaelely Жыл бұрын

    Kweli baba

  • @martinhinda5233
    @martinhinda52332 жыл бұрын

    Hii Tv ifike mbali utangazen ukwel wananchi tunateswa

  • @gospelextravibes
    @gospelextravibes2 жыл бұрын

    Inauma saanaa😭😭😭

  • @benardjengo4084
    @benardjengo40842 жыл бұрын

    Watanzania tutegemee miaka mingine 50 ndo tuweze kupata kiongozi kama Magufuli kwa sasa Mhhh

  • @zabronnyamba5939
    @zabronnyamba59392 жыл бұрын

    Nimesikia hayo

  • @fredleonardo739
    @fredleonardo7392 жыл бұрын

    Hayo yaliyo dislike moja kwa moja kuzimu.

  • @edsonsalvatory5121
    @edsonsalvatory51212 жыл бұрын

    Fact

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida24372 жыл бұрын

    Mzee wamerudi tena

  • @chrisantusmdai5778
    @chrisantusmdai5778 Жыл бұрын

    Mwamba

  • @joshualwelu7302
    @joshualwelu73022 жыл бұрын

    It pains alot

Келесі