NONDO ZA GWAJIMA SI MCHEZO / BUNGE ZIMA LATULIA KUMSIKILIZA

Пікірлер: 143

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын

    W genius Sana unaona mbali sana

  • @pastorcarolicarlostokunmbo826
    @pastorcarolicarlostokunmbo826 Жыл бұрын

    Hizi ni cheche za ngwajima josephat raisi ajaye

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Жыл бұрын

    Kichwa hiki. Very fluent. Very clear and specific. No hurdles. Nimeupenda mchango wake. Ni vyema wabunge wengine wajifunze kutoka Kwa wabunge kama Gwajima. BTW, unaweza kutoa mchango mzuri wa mawazo about anything only if una taarifa sahihi na za kutosha juu ya kila uchotaka kusema kwa ajili ya watu kula hizo taarifa. Taarifa hupatikana kwa mtu kusoma sana. Wabunge wengine ni dramatic na watu wa propaganda tu hawapendi kujisomea na ndiyo maana wanapopata nafasi kuchangia hoja, wao badala ya kutoa hoja kama Gwajima, huanza kusema watu na kusifia mtu!!. Asante Bishop Gwajima

  • @machoguhamery3731

    @machoguhamery3731

    Жыл бұрын

    Mh Gwajima hayuko pale kusubiri uteuzi,ndiyo maana akipata nafasi ananyooka moja kwa moja kwenye mada.Hawa wanaotamani uteuzi ndio wanaohangaika na kusifia sana; wakishituka muda umeisha, kabla hawajachangia hata shida moja ya wananchi waliomtuma. Kisha huanza kumwomba spika awaongezee japo dakika moja wachangie ya jimboni kwao.Mimi nawashauri wabunge kama hawa wajue wako bungeni kuwakilisha hoja za wananchi ni vyema basi wasemee kwanza matatizo ya wananchi wao, Kusifia kuwe mwishoni.

  • @vicentsadick463

    @vicentsadick463

    Жыл бұрын

  • @chidtec4485
    @chidtec4485 Жыл бұрын

    Me ni muislam lakini namkubali sana gwajima very bright

  • @magdalenampanda1426

    @magdalenampanda1426

    Жыл бұрын

    Ina maana wewe Huwa unakubali wa dini yako hata kama hayana tija. Serikali haina dini wote ni wa moja. Pole.

  • @enm1528
    @enm1528 Жыл бұрын

    Umeeleweka vizuri sana. Utumwa wa mbegu ni hatari, tujipange kuukwepa

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Жыл бұрын

    Mheshimiwa Mbunge na Askofu Dr Gwajima amenikumbusha habari ya mbegu zetu za asili zilikuwa na lehi, pamoja na radha nzuri ya chakula. Kwa mfano mahindi yetu ya asili gunzi moja lilikuwa na mchanganyiko wa mbegu zenye rangi mbalimbali, nyeusi nyeupe,njano,hata blue.Hatujui kwa nini Mwenyezi Mungu aliupa mhindi sura hiyo,au pengine kila rangi katika mbegu hizo ilikuwa na faida katika miili yetu. Mbegu zetu za asili zikipikwa chakula kama ni ugali au wali utasikia unanukia toka mbali kama unapita karibu na mji utajua hapo kunapikwa wali,au,dona,au ugali wa mhogo.Kila chakula tulikijua kwa lehi yake hata kabla ya kukiona mezani,hata kipofu asiye ona alikijua chakula kinachopikwa. bila kukiona.Hizi mbegu za leo mpishi anaweza akapika uko naye jirani wala usijue kama kunapikwa chakula gani. Utashiitukia tu mkeo kakutengea chakula mezani,wala usisikie kinanukia,unakula tu bora kushiba.Hoja ya kuwepo kwa Benki ya mbegu izingatiwe sana na Serikali. Huko tuendako chakula na maji vitakuja kutumiwa na mataifa makubwa kama silaha na mataifa mengi yaliyojisahau kuhifadhi mbegu zao na vyanzo vya maji yao watakufa kihoro.Tutumie nawazo ya Mh Gwajima kama mawazo ya Nabii Yusufu katika nchi ya Misri. Hekima zake ziliinusuru misri kwa janga la njaa la miaka saba mbeleni.Farao aliheshimu mawazo ya Yusufu pamoja kwamba alikuwa kijana mdogo,tena mtumwa katika nchi ile,Vpi sisi tushindwe kuheshimu mawazo ya wazalendo wetu?Lakini sio mbegu za nafaka tu, Sasa hivii kumekuja mtindo wa kutaka kuuwa mbegu za asili za mifugo yetu, eti haina tija,tunawekeza katika ng'ombe wa kiasa,kuku wa kisasa,kondoo na mbuzi wa kisasa. kuna miaka itakuja sisi na urembukenii wetu tutakuja juta,Wazungu wanaona mbali sana; sijui kwa nini sisi weusi hatuoni huko.Wazungu wametuletea mbolea za viwandani, Leo wazungu hawataki mboga na mazao ya chakula yaliyokuzwa kwa mbolea za viwandani,hawataki mayai yenye chembechembe za madawa ya viwandani,hawataki kuku wao wa liokuzwa kwa madawa ya viwandani,hawataki matunda yalikuzwa kwa mbolea za viwandani.Kweli nimeamini useni usemao"Mzungu hazungukwi,Bali yeye huwazunguka wenzake"

  • @richardnott4403

    @richardnott4403

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa sa hv mbegu nyingi ni gmo ambazo ni hatari sana zinzaleta magonjwa mengi sana watu hawajui tu mbegu za Maabara si salama kwa afya na ndo wanazileta sana afrika WAZUNGU yaani Ni hatari sana

  • @FatmaZena

    @FatmaZena

    Жыл бұрын

    Natamani hili gazeti limpate kila mtanzania

  • @richardnott4403

    @richardnott4403

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa ni hatari sana huko mbele

  • @iddysagut2190
    @iddysagut2190 Жыл бұрын

    ilaa ww akilimingi xn ♥️

  • @richardmartin6429
    @richardmartin6429 Жыл бұрын

    Mungu akutunze ili uendelee kuwa Baraka katika Taifa letu, hongera sana.

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Жыл бұрын

    Mh Gwajima mchango wako ni mzuri sana. BRAVO !

  • @user-qt6jo5se4v
    @user-qt6jo5se4v Жыл бұрын

    🎉huyu jamaa alitakiwa kua rais

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Sijui kama wanaelewa michango ya mbunge wa kawe Askofu J.M.Gwajima na dude la mbinguni 🤔😳

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Жыл бұрын

    Uko vizuri sana

  • @ibrahimwilliam6410
    @ibrahimwilliam6410 Жыл бұрын

    This man aiseee kichwa

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Жыл бұрын

    Kabisa unavosema nihakika kwa maono ya mbali na nihakika ipo hivo nakupenda sana kwa kichwa. Cako upo vizur unafaa kuwa makamo wa rais hatanuwe rais

  • @WapekeeMwashua-oo9fv
    @WapekeeMwashua-oo9fv Жыл бұрын

    Ongelaa sana bwana kwajima kwakuwa namaono makubwa mngu akuzidishiye maono mengimunoo

  • @geofreyburchard7314
    @geofreyburchard7314 Жыл бұрын

    Wachungaji kama Hawa na Wenye maono kama Hawa wanasitaili kukaa bungeni kwa mda mlefu Ili kulisaidia taifa lisipotee

  • @Happy-qz9ep
    @Happy-qz9ep Жыл бұрын

    Kingereza Sio inshu coz waoo watu vijijini wanafuatilia mijadala ya binge na hawakusoma zungumzeni kiswahili fasihi.

  • @elifacestafordntilongwa603
    @elifacestafordntilongwa603 Жыл бұрын

    Mungu abariki uzao wa tumbo lako

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Жыл бұрын

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda MBINGUNI hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi UZIMA WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @davidmj8166
    @davidmj8166 Жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏💯💯💯💯💯nakukubali sana unachokisema nikweli hata hapa 🇺🇸 kulimo kinawatu fulani ambao wameisha aribu sanahuku mahindi wanayo yarima nihayohayo nawatu unakuta wanavishawishi vyamaajabu tu.

  • @furahamwaseba7910
    @furahamwaseba7910 Жыл бұрын

    Natamani niwe namaono kama ya askofu gwajima mpaka naona wivu

  • @japhetlaizer3919
    @japhetlaizer3919 Жыл бұрын

    Wabunge wengine wanakuwaga na mchango mzuri sana lakini",,,,,,, kutendewa kazi na serikali mhuuuuuumh!!! Labda dunia ibadilishwe

  • @SamwelNgutunyi-uq6ok
    @SamwelNgutunyi-uq6ok Жыл бұрын

    Comred Gwajima uko vizuri sema tu hatuelewi

  • @iam_deo
    @iam_deo Жыл бұрын

    Apewe U Waziri Mkuu afukue fukue wizara zote kuondoa kutokujitambua huku. yaani inasikitisha sana huku kulala lala kwetu.

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 Жыл бұрын

    Gwajima kazana sana nilipata maono ukiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano, Mungu anaenda kukuinuwa zaidi na zsidi hata maneno yako yana nguvu

  • @beatricekamele8632

    @beatricekamele8632

    Жыл бұрын

    Amina sana nami naamini hivi

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 Жыл бұрын

    MANENO YAKO BABA YANAHEKIMA SANA ASANTE BABA

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Жыл бұрын

    Hutuba hii ni Bora Sana. Tunahitaji Benki ya Mbegu

  • @olesambekelaizer1117
    @olesambekelaizer1117 Жыл бұрын

    Salute kwako Mbunge wetu jembe letu la KAwe

  • @elishamkasu5191
    @elishamkasu5191 Жыл бұрын

    Asante sana Baba..

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Жыл бұрын

    Vichwa vibovu viongozi wengine wala hawajionhezi walai

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Жыл бұрын

    Mungu tusaidie sana mtu wa Mungu

  • @kelvinalexander1308
    @kelvinalexander1308 Жыл бұрын

    1. Kiongozi anatakiwa kuona mbali zaidi ya wengine 2. Kiongozi anatakiwa zaidi ya wengine 3. Kiongozi anatakiwa kuona kabla ya wengie Ninyi vijana mnaosoma ujumbe huu mwaka 20250 tambueni tulikuwa na vichwa balaa

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 Жыл бұрын

    Sjui kama Tanzania inaelewa hii hoja! Kutoka Victoria kwenda misri ni Km karibu aftatu

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 Жыл бұрын

    Umesema vizuri sana leo

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 Жыл бұрын

    Shida wanafiki wengi humo bungeni wanajifanya wao haya wahusu na ndio maana hawana uchungu na wananchi wao

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 Жыл бұрын

    Hutuba Bora Zaid tokea nianze fuatilia habar za bunge Maana inafungamana na kesho yet na Taifa kwa ujumla miaka ijayo

  • @amos878
    @amos878 Жыл бұрын

    Muheshimiwa wewe ni kichwa haswa na huo ni uhasilia wa kitu kijacho 👏👏👏👏👏👏👏

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Жыл бұрын

    One in a million

  • @maumangunda1111
    @maumangunda1111 Жыл бұрын

    Namwelewa sana gwajima👏

  • @RM-fs8ub

    @RM-fs8ub

    Жыл бұрын

    Shida ni kwamba tukianza kui drain Ziwa Victoria tunaweza tukapamaliza pakaishia kuwa bakuli lenye vumbi....na tunaweza kuua nchi zingine zinazotegemea Ziwa hilo hilo. Technologia ya kuleta mvua ipo. Siyo kitu kipya. Mvua zitafutwe. Mabwawa ya kuhifadhi maji yawepo. Kama mwenye mgodi wa Mwadui alivyotengeneza mabwawa ya kuipa Mwadui mwaka mzima hivyo hivyo tuzitumie mvua na kuhifadhi maji. Penye Nia pana njia.

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 Жыл бұрын

    Haya ndo tunayohitaji sisi wananchi kuona yanafanyiwa kazi.Nchi yangu imebarikiwa kila mkoa kwa namna ya kipekee sana.siasa zinatufelisha!!!

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 Жыл бұрын

    Uko sawa sana ngwajama ila manyumbu hawawez kukuelewa mana hakili zao nizamgando.

  • @zeelamipango
    @zeelamipango Жыл бұрын

    Point sana mchungaji🙏🙏🙏🙏

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Жыл бұрын

    Huyu ndiye anayetumia akili na elimu

  • @richardkayuguyugumasalu2594

    @richardkayuguyugumasalu2594

    Жыл бұрын

    Wengine wanatumia elimi bila akili

  • @saimonsaimon2059
    @saimonsaimon2059 Жыл бұрын

    Jamaa akili nyingi sana 🙏🙏👍👍

  • @hermanstephenntabahungu5310
    @hermanstephenntabahungu5310 Жыл бұрын

    Ukweli ni ukweli tu, haijalishi unasemwa na nani. Na akipatikana wa kuusema na jambo la kumsgukuru Mungu. Songeni mbele wabunge wetu, kwa maslahi ya Taifa.

  • @Galaxy-ex4lr
    @Galaxy-ex4lr Жыл бұрын

    Nakuku Bari Sana

  • @IsackJoseph-jt3hk
    @IsackJoseph-jt3hk Жыл бұрын

    Awe raisi kuanzia leo

  • @DanielCornel_
    @DanielCornel_ Жыл бұрын

    Kaongea point zaid naomba serikal yangu tukufu ilichukulie ili swal serious la bank ya mbegu za asili

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Жыл бұрын

    Mh. Gwajima upo sahihi 🙌

  • @williamkavavila608
    @williamkavavila608 Жыл бұрын

    Hakika MKono wa Mungu wa Baraka uwe juu ysko! Mhe.

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu na muona mbali wa taifa letu

  • @paulwilson-hc4ey
    @paulwilson-hc4ey Жыл бұрын

    kiongozi alie bora

  • @paulwilson-hc4ey

    @paulwilson-hc4ey

    Жыл бұрын

    🥰🥰

  • @rwegoshoramichael3144
    @rwegoshoramichael3144 Жыл бұрын

    Nileteeni Gwajimaaa, nileteeni Geajima, ilisikika sauti y JPM

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 Жыл бұрын

    Hapa magufuli alifanya uchaguzi sawa kabisa

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 Жыл бұрын

    Chuma hiki. Maneno dhahabu kabisa. Lakini masikini nani atayachukulia umuhimu? Serikali wawe macho na maneno kama haya. Mbegu tulikuwa tunawekeza Tz Leo hii Kila nyumba wananunua Tena kwa Bei ghali? Chuma nimekukubali sana

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Жыл бұрын

    Gwajima daaa apewe wizara kubwa hata ikiwezekana urais mbelen

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 Жыл бұрын

    Tunataka Raisi kama huyu

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 Жыл бұрын

    Hongera, ni ukweli kabisa,tunahitaji free brain kama hii hapa Tanzania

  • @estherboniphace9695

    @estherboniphace9695

    Жыл бұрын

    Kabisa.anachosema,mbegu zinazotoka huko zinatumaliza

  • @ElibarikiLamojick
    @ElibarikiLamojick Жыл бұрын

    Important man

  • @simaraphaellucas8469
    @simaraphaellucas8469 Жыл бұрын

    Niletee gwajima ningekuwa na uwezo ningekuapisha leo kuwa Raisi wataz utufanyia mazur maono unayo na mbinu za wazungu kuhusu Afrika unazijua shikamoo gwajima

  • @neemamsyani7212
    @neemamsyani7212 Жыл бұрын

    Mheshimiwa Gwajima ni mtu mwenye akili nyingi sana

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 Жыл бұрын

    Hakika,unayo maono

  • @kawawamaige2973
    @kawawamaige2973 Жыл бұрын

    Ahsante mh kwa ushauri wako wanatakiwa wate ndaji wa serikali wawe wasikivu nao kweli umwagiliaji ndiyo mukombozi kwa majanga yote ya mabadiriko ya tabia ya nchi

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Жыл бұрын

    The man behind the truth 👊👊

  • @e.mbalazichannel4135
    @e.mbalazichannel4135 Жыл бұрын

    Safi

  • @HabilyTech
    @HabilyTech Жыл бұрын

    Heavenly wisdom

  • @robertmwandu5342
    @robertmwandu5342 Жыл бұрын

    Nakuelewa sana mchungaji wangu

  • @marychristarwezaula3983
    @marychristarwezaula3983 Жыл бұрын

    Good point

  • @iliasshija4536
    @iliasshija4536 Жыл бұрын

    Tema cheche gwajima

  • @dorothmungure9393
    @dorothmungure9393 Жыл бұрын

    Akili kubwa sana

  • @marcelinojunior6340
    @marcelinojunior6340 Жыл бұрын

    Divine idea...Asante Baba Askofu

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Жыл бұрын

    Tanzania hatuhitaji msaada wa chakula ni aibu hii tutawaliwa na Ulaya na Marekani mbaka lini kwa kila kitu

  • @saidmushehe
    @saidmushehe Жыл бұрын

    Tanzania ni aibu kusema...kusema hatuna chakula eti Tanzania Kuna njaa ni aibu kubwa sanaa...Tunashindwaje kufuata ushauri wa gwajima Kwa miaka mingi saana....Tuna JKT nch nzima Hao peke yake wanaweza kuleta neema ya chakula shambani

  • @amisisongolo6652
    @amisisongolo6652 Жыл бұрын

    Courage

  • @salomemassawe5824
    @salomemassawe5824 Жыл бұрын

    Umeuwa baba

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 Жыл бұрын

    Anza kumshukuru Mungu wew halafu et askofu😂

  • @emmanuelmathiasmpesa9396
    @emmanuelmathiasmpesa9396 Жыл бұрын

    Watu kama Hawa wapewe secta hizi Maana nimemsikia mara nyingi mchango wake kama angekuwa mpishi jikoni tungeona mabadiliko na nimemuelewa sana eti kutoka ziwani mpaka hapo kwenye njaa tarajiwa ni MITA mia mbili wakati Tanzania ilitakiwa maeneo wasiokuwa na maziwa na bahari wangepona njaa kupitia Kwa Hawa waliokaribu na maziwa na bahari shida nini mashine za kuvuta maji zipo hata zinazotumia jua (solar power) tunakwama wapi?

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 Жыл бұрын

    Good

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Жыл бұрын

    SISI WOTE TUWE TUNA COMMENT KUWA HUYU MWAMBA ANATAKIWA KUWA RAISI KILA ANAPO ONGEA.

  • @PendoSamson-rr8uy

    @PendoSamson-rr8uy

    Жыл бұрын

    Umesomeka

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 Жыл бұрын

    Mimi sielewi kwanini hata wanaongea sijui 😂😂

  • @frankmailu943
    @frankmailu943 Жыл бұрын

    Kwa bajeti ya buku jero hiyo kwenye wizara ya kilimo lkn wizara ya tamisemi imerundikiwa hela

  • @PendoSamson-rr8uy
    @PendoSamson-rr8uy Жыл бұрын

    Akili kubwaaaa sana hiyo

  • @thantynathan7247
    @thantynathan7247 Жыл бұрын

    Amin man of GOD

  • @meekman1805
    @meekman1805 Жыл бұрын

    Nilizani huyu jamaa hayupo tena kwenye Bunge, kumbe yupo!

  • @st.juniorsilwimba9691
    @st.juniorsilwimba9691 Жыл бұрын

    MAONO YA MUDA MREFU,,,, EEE MUNGU WASAIDIE WAHUSIKA KUTEKELEZA MAWAZO HAYA YA TIJA, NA YANAYOFANANA NA HAYA.

  • @Ngwanazizi-cz8gj
    @Ngwanazizi-cz8gj Жыл бұрын

    Gwajima ni kichwa

  • @aashdimosso587
    @aashdimosso587 Жыл бұрын

    Fact

  • @daniellucas-tn4qr
    @daniellucas-tn4qr Жыл бұрын

    Siku ukigmbea uraisi utapata

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Жыл бұрын

    Mungu akubaariki sana uko sawa

  • @venanceamede6237

    @venanceamede6237

    Жыл бұрын

    Hakika wewe ni kiongozi

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Жыл бұрын

    Ccm Haina uwezo wa kufikiri. Hilo ndo jibu

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Жыл бұрын

    Straight from Heaven

  • @geey7893
    @geey7893 Жыл бұрын

    Wabunge wa Kanda ya Ziwa daah!! Brain nyingi sana

  • @ransonlema3916

    @ransonlema3916

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe baba Bishop Gwajima. Tuendeshe mambo yetu wenyewe kama asili tuliyoikuta Mungu atufungue vifungo vya utumwa wa mbegu, kilimo cha umwagiliaji na kuchimba mabwawa ya maji na mabwawa ya kufugia samaki.

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын

    Waliweka kitu kinaitwa tegesha ili wakati mgodi unalipa fidia walpate pesa mingi sasa baada ya mgodi kustukia mchezo..mgodi ume gaili kuendelea kulipa fidia ili wachukue eneo...sasa deal imefail.

  • @Masebrain
    @Masebrain Жыл бұрын

    Nice

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles Жыл бұрын

    kazi kweli kweli

  • @eliezakalaita7433
    @eliezakalaita7433 Жыл бұрын

    Big brain!

  • @thomaslali705
    @thomaslali705 Жыл бұрын

    Serikali itilie masnani Hilo la kilimo mtambuka

  • @dolukacompanylimited3100
    @dolukacompanylimited3100 Жыл бұрын

    Gwajima Safi Sana

  • @MgaboJuma-uh6fq
    @MgaboJuma-uh6fq Жыл бұрын

    Good Job

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Жыл бұрын

    5

Келесі