NONDO ZA GWAJIMA SI MCHEZO / BUNGE ZIMA LATULIA KUMSIKILIZA
Жүктеу.....
Пікірлер: 143
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
W genius Sana unaona mbali sana
@pastorcarolicarlostokunmbo826 Жыл бұрын
Hizi ni cheche za ngwajima josephat raisi ajaye
@robertzingu9889 Жыл бұрын
Kichwa hiki. Very fluent. Very clear and specific. No hurdles. Nimeupenda mchango wake. Ni vyema wabunge wengine wajifunze kutoka Kwa wabunge kama Gwajima. BTW, unaweza kutoa mchango mzuri wa mawazo about anything only if una taarifa sahihi na za kutosha juu ya kila uchotaka kusema kwa ajili ya watu kula hizo taarifa. Taarifa hupatikana kwa mtu kusoma sana. Wabunge wengine ni dramatic na watu wa propaganda tu hawapendi kujisomea na ndiyo maana wanapopata nafasi kuchangia hoja, wao badala ya kutoa hoja kama Gwajima, huanza kusema watu na kusifia mtu!!. Asante Bishop Gwajima
@machoguhamery3731
Жыл бұрын
Mh Gwajima hayuko pale kusubiri uteuzi,ndiyo maana akipata nafasi ananyooka moja kwa moja kwenye mada.Hawa wanaotamani uteuzi ndio wanaohangaika na kusifia sana; wakishituka muda umeisha, kabla hawajachangia hata shida moja ya wananchi waliomtuma. Kisha huanza kumwomba spika awaongezee japo dakika moja wachangie ya jimboni kwao.Mimi nawashauri wabunge kama hawa wajue wako bungeni kuwakilisha hoja za wananchi ni vyema basi wasemee kwanza matatizo ya wananchi wao, Kusifia kuwe mwishoni.
@vicentsadick463
Жыл бұрын
❤
@chidtec4485 Жыл бұрын
Me ni muislam lakini namkubali sana gwajima very bright
@magdalenampanda1426
Жыл бұрын
Ina maana wewe Huwa unakubali wa dini yako hata kama hayana tija. Serikali haina dini wote ni wa moja. Pole.
@enm1528 Жыл бұрын
Umeeleweka vizuri sana. Utumwa wa mbegu ni hatari, tujipange kuukwepa
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Mheshimiwa Mbunge na Askofu Dr Gwajima amenikumbusha habari ya mbegu zetu za asili zilikuwa na lehi, pamoja na radha nzuri ya chakula. Kwa mfano mahindi yetu ya asili gunzi moja lilikuwa na mchanganyiko wa mbegu zenye rangi mbalimbali, nyeusi nyeupe,njano,hata blue.Hatujui kwa nini Mwenyezi Mungu aliupa mhindi sura hiyo,au pengine kila rangi katika mbegu hizo ilikuwa na faida katika miili yetu. Mbegu zetu za asili zikipikwa chakula kama ni ugali au wali utasikia unanukia toka mbali kama unapita karibu na mji utajua hapo kunapikwa wali,au,dona,au ugali wa mhogo.Kila chakula tulikijua kwa lehi yake hata kabla ya kukiona mezani,hata kipofu asiye ona alikijua chakula kinachopikwa. bila kukiona.Hizi mbegu za leo mpishi anaweza akapika uko naye jirani wala usijue kama kunapikwa chakula gani. Utashiitukia tu mkeo kakutengea chakula mezani,wala usisikie kinanukia,unakula tu bora kushiba.Hoja ya kuwepo kwa Benki ya mbegu izingatiwe sana na Serikali. Huko tuendako chakula na maji vitakuja kutumiwa na mataifa makubwa kama silaha na mataifa mengi yaliyojisahau kuhifadhi mbegu zao na vyanzo vya maji yao watakufa kihoro.Tutumie nawazo ya Mh Gwajima kama mawazo ya Nabii Yusufu katika nchi ya Misri. Hekima zake ziliinusuru misri kwa janga la njaa la miaka saba mbeleni.Farao aliheshimu mawazo ya Yusufu pamoja kwamba alikuwa kijana mdogo,tena mtumwa katika nchi ile,Vpi sisi tushindwe kuheshimu mawazo ya wazalendo wetu?Lakini sio mbegu za nafaka tu, Sasa hivii kumekuja mtindo wa kutaka kuuwa mbegu za asili za mifugo yetu, eti haina tija,tunawekeza katika ng'ombe wa kiasa,kuku wa kisasa,kondoo na mbuzi wa kisasa. kuna miaka itakuja sisi na urembukenii wetu tutakuja juta,Wazungu wanaona mbali sana; sijui kwa nini sisi weusi hatuoni huko.Wazungu wametuletea mbolea za viwandani, Leo wazungu hawataki mboga na mazao ya chakula yaliyokuzwa kwa mbolea za viwandani,hawataki mayai yenye chembechembe za madawa ya viwandani,hawataki kuku wao wa liokuzwa kwa madawa ya viwandani,hawataki matunda yalikuzwa kwa mbolea za viwandani.Kweli nimeamini useni usemao"Mzungu hazungukwi,Bali yeye huwazunguka wenzake"
@richardnott4403
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa sa hv mbegu nyingi ni gmo ambazo ni hatari sana zinzaleta magonjwa mengi sana watu hawajui tu mbegu za Maabara si salama kwa afya na ndo wanazileta sana afrika WAZUNGU yaani Ni hatari sana
@FatmaZena
Жыл бұрын
Natamani hili gazeti limpate kila mtanzania
@richardnott4403
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ni hatari sana huko mbele
@iddysagut2190 Жыл бұрын
ilaa ww akilimingi xn ♥️
@richardmartin6429 Жыл бұрын
Mungu akutunze ili uendelee kuwa Baraka katika Taifa letu, hongera sana.
@zengomikomangwa9264 Жыл бұрын
Mh Gwajima mchango wako ni mzuri sana. BRAVO !
@user-qt6jo5se4v Жыл бұрын
🎉huyu jamaa alitakiwa kua rais
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Sijui kama wanaelewa michango ya mbunge wa kawe Askofu J.M.Gwajima na dude la mbinguni 🤔😳
@hamadsaburi3569 Жыл бұрын
Uko vizuri sana
@ibrahimwilliam6410 Жыл бұрын
This man aiseee kichwa
@saynabmohammed6263 Жыл бұрын
Kabisa unavosema nihakika kwa maono ya mbali na nihakika ipo hivo nakupenda sana kwa kichwa. Cako upo vizur unafaa kuwa makamo wa rais hatanuwe rais
@WapekeeMwashua-oo9fv Жыл бұрын
Ongelaa sana bwana kwajima kwakuwa namaono makubwa mngu akuzidishiye maono mengimunoo
@geofreyburchard7314 Жыл бұрын
Wachungaji kama Hawa na Wenye maono kama Hawa wanasitaili kukaa bungeni kwa mda mlefu Ili kulisaidia taifa lisipotee
@Happy-qz9ep Жыл бұрын
Kingereza Sio inshu coz waoo watu vijijini wanafuatilia mijadala ya binge na hawakusoma zungumzeni kiswahili fasihi.
@elifacestafordntilongwa603 Жыл бұрын
Mungu abariki uzao wa tumbo lako
@amanmalima940 Жыл бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda MBINGUNI hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi UZIMA WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@davidmj8166 Жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏💯💯💯💯💯nakukubali sana unachokisema nikweli hata hapa 🇺🇸 kulimo kinawatu fulani ambao wameisha aribu sanahuku mahindi wanayo yarima nihayohayo nawatu unakuta wanavishawishi vyamaajabu tu.
@furahamwaseba7910 Жыл бұрын
Natamani niwe namaono kama ya askofu gwajima mpaka naona wivu
@japhetlaizer3919 Жыл бұрын
Wabunge wengine wanakuwaga na mchango mzuri sana lakini",,,,,,, kutendewa kazi na serikali mhuuuuuumh!!! Labda dunia ibadilishwe
@SamwelNgutunyi-uq6ok Жыл бұрын
Comred Gwajima uko vizuri sema tu hatuelewi
@iam_deo Жыл бұрын
Apewe U Waziri Mkuu afukue fukue wizara zote kuondoa kutokujitambua huku. yaani inasikitisha sana huku kulala lala kwetu.
@damasjoachim4451 Жыл бұрын
Gwajima kazana sana nilipata maono ukiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano, Mungu anaenda kukuinuwa zaidi na zsidi hata maneno yako yana nguvu
@beatricekamele8632
Жыл бұрын
Amina sana nami naamini hivi
@neemajames5137 Жыл бұрын
MANENO YAKO BABA YANAHEKIMA SANA ASANTE BABA
@kabhikachambala3392 Жыл бұрын
Hutuba hii ni Bora Sana. Tunahitaji Benki ya Mbegu
@olesambekelaizer1117 Жыл бұрын
Salute kwako Mbunge wetu jembe letu la KAwe
@elishamkasu5191 Жыл бұрын
Asante sana Baba..
@radhiasalum7156 Жыл бұрын
Vichwa vibovu viongozi wengine wala hawajionhezi walai
@oscanyakunga Жыл бұрын
Mungu tusaidie sana mtu wa Mungu
@kelvinalexander1308 Жыл бұрын
1. Kiongozi anatakiwa kuona mbali zaidi ya wengine 2. Kiongozi anatakiwa zaidi ya wengine 3. Kiongozi anatakiwa kuona kabla ya wengie Ninyi vijana mnaosoma ujumbe huu mwaka 20250 tambueni tulikuwa na vichwa balaa
@richardcastromzena5136 Жыл бұрын
Sjui kama Tanzania inaelewa hii hoja! Kutoka Victoria kwenda misri ni Km karibu aftatu
@emmanuelmodest7457 Жыл бұрын
Umesema vizuri sana leo
@stephensengo6877 Жыл бұрын
Shida wanafiki wengi humo bungeni wanajifanya wao haya wahusu na ndio maana hawana uchungu na wananchi wao
@ahmadiomari6913 Жыл бұрын
Hutuba Bora Zaid tokea nianze fuatilia habar za bunge Maana inafungamana na kesho yet na Taifa kwa ujumla miaka ijayo
@amos878 Жыл бұрын
Muheshimiwa wewe ni kichwa haswa na huo ni uhasilia wa kitu kijacho 👏👏👏👏👏👏👏
@kenjoseph3337 Жыл бұрын
One in a million
@maumangunda1111 Жыл бұрын
Namwelewa sana gwajima👏
@RM-fs8ub
Жыл бұрын
Shida ni kwamba tukianza kui drain Ziwa Victoria tunaweza tukapamaliza pakaishia kuwa bakuli lenye vumbi....na tunaweza kuua nchi zingine zinazotegemea Ziwa hilo hilo. Technologia ya kuleta mvua ipo. Siyo kitu kipya. Mvua zitafutwe. Mabwawa ya kuhifadhi maji yawepo. Kama mwenye mgodi wa Mwadui alivyotengeneza mabwawa ya kuipa Mwadui mwaka mzima hivyo hivyo tuzitumie mvua na kuhifadhi maji. Penye Nia pana njia.
@barakaelkaaya40 Жыл бұрын
Haya ndo tunayohitaji sisi wananchi kuona yanafanyiwa kazi.Nchi yangu imebarikiwa kila mkoa kwa namna ya kipekee sana.siasa zinatufelisha!!!
@gabrielpott3325 Жыл бұрын
Uko sawa sana ngwajama ila manyumbu hawawez kukuelewa mana hakili zao nizamgando.
@zeelamipango Жыл бұрын
Point sana mchungaji🙏🙏🙏🙏
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Huyu ndiye anayetumia akili na elimu
@richardkayuguyugumasalu2594
Жыл бұрын
Wengine wanatumia elimi bila akili
@saimonsaimon2059 Жыл бұрын
Jamaa akili nyingi sana 🙏🙏👍👍
@hermanstephenntabahungu5310 Жыл бұрын
Ukweli ni ukweli tu, haijalishi unasemwa na nani. Na akipatikana wa kuusema na jambo la kumsgukuru Mungu. Songeni mbele wabunge wetu, kwa maslahi ya Taifa.
@Galaxy-ex4lr Жыл бұрын
Nakuku Bari Sana
@IsackJoseph-jt3hk Жыл бұрын
Awe raisi kuanzia leo
@DanielCornel_ Жыл бұрын
Kaongea point zaid naomba serikal yangu tukufu ilichukulie ili swal serious la bank ya mbegu za asili
@benancejohn1198 Жыл бұрын
Mh. Gwajima upo sahihi 🙌
@williamkavavila608 Жыл бұрын
Hakika MKono wa Mungu wa Baraka uwe juu ysko! Mhe.
@annambezi6226 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu na muona mbali wa taifa letu
@paulwilson-hc4ey Жыл бұрын
kiongozi alie bora
@paulwilson-hc4ey
Жыл бұрын
🥰🥰
@rwegoshoramichael3144 Жыл бұрын
Nileteeni Gwajimaaa, nileteeni Geajima, ilisikika sauti y JPM
@goodluckmsoka3660 Жыл бұрын
Hapa magufuli alifanya uchaguzi sawa kabisa
@ahmadiomari6913 Жыл бұрын
Chuma hiki. Maneno dhahabu kabisa. Lakini masikini nani atayachukulia umuhimu? Serikali wawe macho na maneno kama haya. Mbegu tulikuwa tunawekeza Tz Leo hii Kila nyumba wananunua Tena kwa Bei ghali? Chuma nimekukubali sana
@juliusdonard933 Жыл бұрын
Gwajima daaa apewe wizara kubwa hata ikiwezekana urais mbelen
@adamsengo1869 Жыл бұрын
Tunataka Raisi kama huyu
@neemamassame8183 Жыл бұрын
Hongera, ni ukweli kabisa,tunahitaji free brain kama hii hapa Tanzania
@estherboniphace9695
Жыл бұрын
Kabisa.anachosema,mbegu zinazotoka huko zinatumaliza
@ElibarikiLamojick Жыл бұрын
Important man
@simaraphaellucas8469 Жыл бұрын
Niletee gwajima ningekuwa na uwezo ningekuapisha leo kuwa Raisi wataz utufanyia mazur maono unayo na mbinu za wazungu kuhusu Afrika unazijua shikamoo gwajima
@neemamsyani7212 Жыл бұрын
Mheshimiwa Gwajima ni mtu mwenye akili nyingi sana
@mungholomakalanga8958 Жыл бұрын
Hakika,unayo maono
@kawawamaige2973 Жыл бұрын
Ahsante mh kwa ushauri wako wanatakiwa wate ndaji wa serikali wawe wasikivu nao kweli umwagiliaji ndiyo mukombozi kwa majanga yote ya mabadiriko ya tabia ya nchi
@yayananajota5838 Жыл бұрын
The man behind the truth 👊👊
@e.mbalazichannel4135 Жыл бұрын
Safi
@HabilyTech Жыл бұрын
Heavenly wisdom
@robertmwandu5342 Жыл бұрын
Nakuelewa sana mchungaji wangu
@marychristarwezaula3983 Жыл бұрын
Good point
@iliasshija4536 Жыл бұрын
Tema cheche gwajima
@dorothmungure9393 Жыл бұрын
Akili kubwa sana
@marcelinojunior6340 Жыл бұрын
Divine idea...Asante Baba Askofu
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Tanzania hatuhitaji msaada wa chakula ni aibu hii tutawaliwa na Ulaya na Marekani mbaka lini kwa kila kitu
@saidmushehe Жыл бұрын
Tanzania ni aibu kusema...kusema hatuna chakula eti Tanzania Kuna njaa ni aibu kubwa sanaa...Tunashindwaje kufuata ushauri wa gwajima Kwa miaka mingi saana....Tuna JKT nch nzima Hao peke yake wanaweza kuleta neema ya chakula shambani
@amisisongolo6652 Жыл бұрын
Courage
@salomemassawe5824 Жыл бұрын
Umeuwa baba
@faiditv5535 Жыл бұрын
Anza kumshukuru Mungu wew halafu et askofu😂
@emmanuelmathiasmpesa9396 Жыл бұрын
Watu kama Hawa wapewe secta hizi Maana nimemsikia mara nyingi mchango wake kama angekuwa mpishi jikoni tungeona mabadiliko na nimemuelewa sana eti kutoka ziwani mpaka hapo kwenye njaa tarajiwa ni MITA mia mbili wakati Tanzania ilitakiwa maeneo wasiokuwa na maziwa na bahari wangepona njaa kupitia Kwa Hawa waliokaribu na maziwa na bahari shida nini mashine za kuvuta maji zipo hata zinazotumia jua (solar power) tunakwama wapi?
@stephensengo6877 Жыл бұрын
Good
@peterkichochi7510 Жыл бұрын
SISI WOTE TUWE TUNA COMMENT KUWA HUYU MWAMBA ANATAKIWA KUWA RAISI KILA ANAPO ONGEA.
@PendoSamson-rr8uy
Жыл бұрын
Umesomeka
@teachingtruthmission2140 Жыл бұрын
Mimi sielewi kwanini hata wanaongea sijui 😂😂
@frankmailu943 Жыл бұрын
Kwa bajeti ya buku jero hiyo kwenye wizara ya kilimo lkn wizara ya tamisemi imerundikiwa hela
@PendoSamson-rr8uy Жыл бұрын
Akili kubwaaaa sana hiyo
@thantynathan7247 Жыл бұрын
Amin man of GOD
@meekman1805 Жыл бұрын
Nilizani huyu jamaa hayupo tena kwenye Bunge, kumbe yupo!
@st.juniorsilwimba9691 Жыл бұрын
MAONO YA MUDA MREFU,,,, EEE MUNGU WASAIDIE WAHUSIKA KUTEKELEZA MAWAZO HAYA YA TIJA, NA YANAYOFANANA NA HAYA.
@Ngwanazizi-cz8gj Жыл бұрын
Gwajima ni kichwa
@aashdimosso587 Жыл бұрын
Fact
@daniellucas-tn4qr Жыл бұрын
Siku ukigmbea uraisi utapata
@helentelemla5623 Жыл бұрын
Mungu akubaariki sana uko sawa
@venanceamede6237
Жыл бұрын
Hakika wewe ni kiongozi
@karolikisaka8991 Жыл бұрын
Ccm Haina uwezo wa kufikiri. Hilo ndo jibu
@kenjoseph3337 Жыл бұрын
Straight from Heaven
@geey7893 Жыл бұрын
Wabunge wa Kanda ya Ziwa daah!! Brain nyingi sana
@ransonlema3916
Жыл бұрын
Ubarikiwe baba Bishop Gwajima. Tuendeshe mambo yetu wenyewe kama asili tuliyoikuta Mungu atufungue vifungo vya utumwa wa mbegu, kilimo cha umwagiliaji na kuchimba mabwawa ya maji na mabwawa ya kufugia samaki.
@tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын
Waliweka kitu kinaitwa tegesha ili wakati mgodi unalipa fidia walpate pesa mingi sasa baada ya mgodi kustukia mchezo..mgodi ume gaili kuendelea kulipa fidia ili wachukue eneo...sasa deal imefail.
Пікірлер: 143
W genius Sana unaona mbali sana
Hizi ni cheche za ngwajima josephat raisi ajaye
Kichwa hiki. Very fluent. Very clear and specific. No hurdles. Nimeupenda mchango wake. Ni vyema wabunge wengine wajifunze kutoka Kwa wabunge kama Gwajima. BTW, unaweza kutoa mchango mzuri wa mawazo about anything only if una taarifa sahihi na za kutosha juu ya kila uchotaka kusema kwa ajili ya watu kula hizo taarifa. Taarifa hupatikana kwa mtu kusoma sana. Wabunge wengine ni dramatic na watu wa propaganda tu hawapendi kujisomea na ndiyo maana wanapopata nafasi kuchangia hoja, wao badala ya kutoa hoja kama Gwajima, huanza kusema watu na kusifia mtu!!. Asante Bishop Gwajima
@machoguhamery3731
Жыл бұрын
Mh Gwajima hayuko pale kusubiri uteuzi,ndiyo maana akipata nafasi ananyooka moja kwa moja kwenye mada.Hawa wanaotamani uteuzi ndio wanaohangaika na kusifia sana; wakishituka muda umeisha, kabla hawajachangia hata shida moja ya wananchi waliomtuma. Kisha huanza kumwomba spika awaongezee japo dakika moja wachangie ya jimboni kwao.Mimi nawashauri wabunge kama hawa wajue wako bungeni kuwakilisha hoja za wananchi ni vyema basi wasemee kwanza matatizo ya wananchi wao, Kusifia kuwe mwishoni.
@vicentsadick463
Жыл бұрын
❤
Me ni muislam lakini namkubali sana gwajima very bright
@magdalenampanda1426
Жыл бұрын
Ina maana wewe Huwa unakubali wa dini yako hata kama hayana tija. Serikali haina dini wote ni wa moja. Pole.
Umeeleweka vizuri sana. Utumwa wa mbegu ni hatari, tujipange kuukwepa
Mheshimiwa Mbunge na Askofu Dr Gwajima amenikumbusha habari ya mbegu zetu za asili zilikuwa na lehi, pamoja na radha nzuri ya chakula. Kwa mfano mahindi yetu ya asili gunzi moja lilikuwa na mchanganyiko wa mbegu zenye rangi mbalimbali, nyeusi nyeupe,njano,hata blue.Hatujui kwa nini Mwenyezi Mungu aliupa mhindi sura hiyo,au pengine kila rangi katika mbegu hizo ilikuwa na faida katika miili yetu. Mbegu zetu za asili zikipikwa chakula kama ni ugali au wali utasikia unanukia toka mbali kama unapita karibu na mji utajua hapo kunapikwa wali,au,dona,au ugali wa mhogo.Kila chakula tulikijua kwa lehi yake hata kabla ya kukiona mezani,hata kipofu asiye ona alikijua chakula kinachopikwa. bila kukiona.Hizi mbegu za leo mpishi anaweza akapika uko naye jirani wala usijue kama kunapikwa chakula gani. Utashiitukia tu mkeo kakutengea chakula mezani,wala usisikie kinanukia,unakula tu bora kushiba.Hoja ya kuwepo kwa Benki ya mbegu izingatiwe sana na Serikali. Huko tuendako chakula na maji vitakuja kutumiwa na mataifa makubwa kama silaha na mataifa mengi yaliyojisahau kuhifadhi mbegu zao na vyanzo vya maji yao watakufa kihoro.Tutumie nawazo ya Mh Gwajima kama mawazo ya Nabii Yusufu katika nchi ya Misri. Hekima zake ziliinusuru misri kwa janga la njaa la miaka saba mbeleni.Farao aliheshimu mawazo ya Yusufu pamoja kwamba alikuwa kijana mdogo,tena mtumwa katika nchi ile,Vpi sisi tushindwe kuheshimu mawazo ya wazalendo wetu?Lakini sio mbegu za nafaka tu, Sasa hivii kumekuja mtindo wa kutaka kuuwa mbegu za asili za mifugo yetu, eti haina tija,tunawekeza katika ng'ombe wa kiasa,kuku wa kisasa,kondoo na mbuzi wa kisasa. kuna miaka itakuja sisi na urembukenii wetu tutakuja juta,Wazungu wanaona mbali sana; sijui kwa nini sisi weusi hatuoni huko.Wazungu wametuletea mbolea za viwandani, Leo wazungu hawataki mboga na mazao ya chakula yaliyokuzwa kwa mbolea za viwandani,hawataki mayai yenye chembechembe za madawa ya viwandani,hawataki kuku wao wa liokuzwa kwa madawa ya viwandani,hawataki matunda yalikuzwa kwa mbolea za viwandani.Kweli nimeamini useni usemao"Mzungu hazungukwi,Bali yeye huwazunguka wenzake"
@richardnott4403
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa sa hv mbegu nyingi ni gmo ambazo ni hatari sana zinzaleta magonjwa mengi sana watu hawajui tu mbegu za Maabara si salama kwa afya na ndo wanazileta sana afrika WAZUNGU yaani Ni hatari sana
@FatmaZena
Жыл бұрын
Natamani hili gazeti limpate kila mtanzania
@richardnott4403
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ni hatari sana huko mbele
ilaa ww akilimingi xn ♥️
Mungu akutunze ili uendelee kuwa Baraka katika Taifa letu, hongera sana.
Mh Gwajima mchango wako ni mzuri sana. BRAVO !
🎉huyu jamaa alitakiwa kua rais
Sijui kama wanaelewa michango ya mbunge wa kawe Askofu J.M.Gwajima na dude la mbinguni 🤔😳
Uko vizuri sana
This man aiseee kichwa
Kabisa unavosema nihakika kwa maono ya mbali na nihakika ipo hivo nakupenda sana kwa kichwa. Cako upo vizur unafaa kuwa makamo wa rais hatanuwe rais
Ongelaa sana bwana kwajima kwakuwa namaono makubwa mngu akuzidishiye maono mengimunoo
Wachungaji kama Hawa na Wenye maono kama Hawa wanasitaili kukaa bungeni kwa mda mlefu Ili kulisaidia taifa lisipotee
Kingereza Sio inshu coz waoo watu vijijini wanafuatilia mijadala ya binge na hawakusoma zungumzeni kiswahili fasihi.
Mungu abariki uzao wa tumbo lako
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda MBINGUNI hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi UZIMA WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
👏👏👏👏👏👏💯💯💯💯💯nakukubali sana unachokisema nikweli hata hapa 🇺🇸 kulimo kinawatu fulani ambao wameisha aribu sanahuku mahindi wanayo yarima nihayohayo nawatu unakuta wanavishawishi vyamaajabu tu.
Natamani niwe namaono kama ya askofu gwajima mpaka naona wivu
Wabunge wengine wanakuwaga na mchango mzuri sana lakini",,,,,,, kutendewa kazi na serikali mhuuuuuumh!!! Labda dunia ibadilishwe
Comred Gwajima uko vizuri sema tu hatuelewi
Apewe U Waziri Mkuu afukue fukue wizara zote kuondoa kutokujitambua huku. yaani inasikitisha sana huku kulala lala kwetu.
Gwajima kazana sana nilipata maono ukiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano, Mungu anaenda kukuinuwa zaidi na zsidi hata maneno yako yana nguvu
@beatricekamele8632
Жыл бұрын
Amina sana nami naamini hivi
MANENO YAKO BABA YANAHEKIMA SANA ASANTE BABA
Hutuba hii ni Bora Sana. Tunahitaji Benki ya Mbegu
Salute kwako Mbunge wetu jembe letu la KAwe
Asante sana Baba..
Vichwa vibovu viongozi wengine wala hawajionhezi walai
Mungu tusaidie sana mtu wa Mungu
1. Kiongozi anatakiwa kuona mbali zaidi ya wengine 2. Kiongozi anatakiwa zaidi ya wengine 3. Kiongozi anatakiwa kuona kabla ya wengie Ninyi vijana mnaosoma ujumbe huu mwaka 20250 tambueni tulikuwa na vichwa balaa
Sjui kama Tanzania inaelewa hii hoja! Kutoka Victoria kwenda misri ni Km karibu aftatu
Umesema vizuri sana leo
Shida wanafiki wengi humo bungeni wanajifanya wao haya wahusu na ndio maana hawana uchungu na wananchi wao
Hutuba Bora Zaid tokea nianze fuatilia habar za bunge Maana inafungamana na kesho yet na Taifa kwa ujumla miaka ijayo
Muheshimiwa wewe ni kichwa haswa na huo ni uhasilia wa kitu kijacho 👏👏👏👏👏👏👏
One in a million
Namwelewa sana gwajima👏
@RM-fs8ub
Жыл бұрын
Shida ni kwamba tukianza kui drain Ziwa Victoria tunaweza tukapamaliza pakaishia kuwa bakuli lenye vumbi....na tunaweza kuua nchi zingine zinazotegemea Ziwa hilo hilo. Technologia ya kuleta mvua ipo. Siyo kitu kipya. Mvua zitafutwe. Mabwawa ya kuhifadhi maji yawepo. Kama mwenye mgodi wa Mwadui alivyotengeneza mabwawa ya kuipa Mwadui mwaka mzima hivyo hivyo tuzitumie mvua na kuhifadhi maji. Penye Nia pana njia.
Haya ndo tunayohitaji sisi wananchi kuona yanafanyiwa kazi.Nchi yangu imebarikiwa kila mkoa kwa namna ya kipekee sana.siasa zinatufelisha!!!
Uko sawa sana ngwajama ila manyumbu hawawez kukuelewa mana hakili zao nizamgando.
Point sana mchungaji🙏🙏🙏🙏
Huyu ndiye anayetumia akili na elimu
@richardkayuguyugumasalu2594
Жыл бұрын
Wengine wanatumia elimi bila akili
Jamaa akili nyingi sana 🙏🙏👍👍
Ukweli ni ukweli tu, haijalishi unasemwa na nani. Na akipatikana wa kuusema na jambo la kumsgukuru Mungu. Songeni mbele wabunge wetu, kwa maslahi ya Taifa.
Nakuku Bari Sana
Awe raisi kuanzia leo
Kaongea point zaid naomba serikal yangu tukufu ilichukulie ili swal serious la bank ya mbegu za asili
Mh. Gwajima upo sahihi 🙌
Hakika MKono wa Mungu wa Baraka uwe juu ysko! Mhe.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu na muona mbali wa taifa letu
kiongozi alie bora
@paulwilson-hc4ey
Жыл бұрын
🥰🥰
Nileteeni Gwajimaaa, nileteeni Geajima, ilisikika sauti y JPM
Hapa magufuli alifanya uchaguzi sawa kabisa
Chuma hiki. Maneno dhahabu kabisa. Lakini masikini nani atayachukulia umuhimu? Serikali wawe macho na maneno kama haya. Mbegu tulikuwa tunawekeza Tz Leo hii Kila nyumba wananunua Tena kwa Bei ghali? Chuma nimekukubali sana
Gwajima daaa apewe wizara kubwa hata ikiwezekana urais mbelen
Tunataka Raisi kama huyu
Hongera, ni ukweli kabisa,tunahitaji free brain kama hii hapa Tanzania
@estherboniphace9695
Жыл бұрын
Kabisa.anachosema,mbegu zinazotoka huko zinatumaliza
Important man
Niletee gwajima ningekuwa na uwezo ningekuapisha leo kuwa Raisi wataz utufanyia mazur maono unayo na mbinu za wazungu kuhusu Afrika unazijua shikamoo gwajima
Mheshimiwa Gwajima ni mtu mwenye akili nyingi sana
Hakika,unayo maono
Ahsante mh kwa ushauri wako wanatakiwa wate ndaji wa serikali wawe wasikivu nao kweli umwagiliaji ndiyo mukombozi kwa majanga yote ya mabadiriko ya tabia ya nchi
The man behind the truth 👊👊
Safi
Heavenly wisdom
Nakuelewa sana mchungaji wangu
Good point
Tema cheche gwajima
Akili kubwa sana
Divine idea...Asante Baba Askofu
Tanzania hatuhitaji msaada wa chakula ni aibu hii tutawaliwa na Ulaya na Marekani mbaka lini kwa kila kitu
Tanzania ni aibu kusema...kusema hatuna chakula eti Tanzania Kuna njaa ni aibu kubwa sanaa...Tunashindwaje kufuata ushauri wa gwajima Kwa miaka mingi saana....Tuna JKT nch nzima Hao peke yake wanaweza kuleta neema ya chakula shambani
Courage
Umeuwa baba
Anza kumshukuru Mungu wew halafu et askofu😂
Watu kama Hawa wapewe secta hizi Maana nimemsikia mara nyingi mchango wake kama angekuwa mpishi jikoni tungeona mabadiliko na nimemuelewa sana eti kutoka ziwani mpaka hapo kwenye njaa tarajiwa ni MITA mia mbili wakati Tanzania ilitakiwa maeneo wasiokuwa na maziwa na bahari wangepona njaa kupitia Kwa Hawa waliokaribu na maziwa na bahari shida nini mashine za kuvuta maji zipo hata zinazotumia jua (solar power) tunakwama wapi?
Good
SISI WOTE TUWE TUNA COMMENT KUWA HUYU MWAMBA ANATAKIWA KUWA RAISI KILA ANAPO ONGEA.
@PendoSamson-rr8uy
Жыл бұрын
Umesomeka
Mimi sielewi kwanini hata wanaongea sijui 😂😂
Kwa bajeti ya buku jero hiyo kwenye wizara ya kilimo lkn wizara ya tamisemi imerundikiwa hela
Akili kubwaaaa sana hiyo
Amin man of GOD
Nilizani huyu jamaa hayupo tena kwenye Bunge, kumbe yupo!
MAONO YA MUDA MREFU,,,, EEE MUNGU WASAIDIE WAHUSIKA KUTEKELEZA MAWAZO HAYA YA TIJA, NA YANAYOFANANA NA HAYA.
Gwajima ni kichwa
Fact
Siku ukigmbea uraisi utapata
Mungu akubaariki sana uko sawa
@venanceamede6237
Жыл бұрын
Hakika wewe ni kiongozi
Ccm Haina uwezo wa kufikiri. Hilo ndo jibu
Straight from Heaven
Wabunge wa Kanda ya Ziwa daah!! Brain nyingi sana
@ransonlema3916
Жыл бұрын
Ubarikiwe baba Bishop Gwajima. Tuendeshe mambo yetu wenyewe kama asili tuliyoikuta Mungu atufungue vifungo vya utumwa wa mbegu, kilimo cha umwagiliaji na kuchimba mabwawa ya maji na mabwawa ya kufugia samaki.
Waliweka kitu kinaitwa tegesha ili wakati mgodi unalipa fidia walpate pesa mingi sasa baada ya mgodi kustukia mchezo..mgodi ume gaili kuendelea kulipa fidia ili wachukue eneo...sasa deal imefail.
Nice
kazi kweli kweli
Big brain!
Serikali itilie masnani Hilo la kilimo mtambuka
Gwajima Safi Sana
Good Job
5