"nitakua wamwisho kumsaliti MAGUFULI" PAUL MAKONDA alakiapo mbele ya WANACHATO

Ойын-сауық

Пікірлер: 20

  • @selinaboyo5177
    @selinaboyo51773 ай бұрын

    Asante sana makonda

  • @HebronMwakyambiki-uq6cf
    @HebronMwakyambiki-uq6cf8 ай бұрын

    Makonda nakufananisha na Baba magufuli nakupenda bule kaka mungu akusaidie

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi8 ай бұрын

    Ahsanteeeeee sana Makonda. Ubarikiwe sana na Bwana Yesu.

  • @gloriamwalongo3661
    @gloriamwalongo36615 ай бұрын

    Barikiwa sana makonda

  • @alexanderdustan8872
    @alexanderdustan88728 ай бұрын

    Ata mimi naapa sitamsaliti Magufuli Jpm alinifundisha mengi kuhusu maisha. Yaani kiufupi alinifundsha kujiamin

  • @mushumbaeric4916
    @mushumbaeric49168 ай бұрын

    Naungana nawewe kwenye kiapo sitamsaliti Magufuli nitampenda mpaka siku ya kuhama

  • @Worldunite
    @Worldunite8 ай бұрын

    Kamanda kuna watu walijisahau na waliamini kuwa umeshatoweka, yaani walikukana na walikusakama sana wakati ulivyochomoka serikalini hadi walitaka kukufungulia mashitaka, Sasa ni wakati uendeleze mapambano dhidi ya wabadhirifu na mafisadi na uwatie adabu waliokuwa wanakusakama

  • @gloriamwalongo3661
    @gloriamwalongo36615 ай бұрын

    Asante makonda

  • @MsumalAloyce
    @MsumalAloyce10 күн бұрын

    Ww ndo mwanaume

  • @user-dp9xo2jo4p
    @user-dp9xo2jo4p7 ай бұрын

    Asante sana

  • @nyandaephraim4039
    @nyandaephraim40398 ай бұрын

    Asante sana kututembelea na kumkumbuka mwamba wetu dr JPM❤

  • @lutegobusweru5949
    @lutegobusweru59498 ай бұрын

    Naungana na wewe hata mm nitakuwa wa mwisho kumkana JPM 😭😭😭

  • @user-ni9zc3gx5t
    @user-ni9zc3gx5t3 ай бұрын

    Uyo ndo mwl wko na tunakupendaa kwa sabbu ya Hilo ww ndo magufuri no 2 tuna Imani na ww

  • @josephmturi6936
    @josephmturi69368 ай бұрын

    Kazi ipo 2025

  • @jacksonstephano8570
    @jacksonstephano85708 ай бұрын

    Makonda Taifa hili hua lina maajabu hasa watu wake ushauli wangu hakuna haja yakuwa na vyuo maana eti mutu hutoka chuo kikuu anakuwa mwizi Je? Vyuo vikuu vya Tanzania hutoa kozi ya wizi.

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni49648 ай бұрын

    Unasemaje kuhusu bandali magufuri namama yetu samia

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe77748 ай бұрын

    Nau Hana wewe Sitamsaliti JPMagufuri kamwe mpaka Mwisho wa Maisha yangu. Ulizaliea kuwa Kiongozi na kuwafundisha wasiojuwa kuw Kiongozi.

  • @kephamapogo5333
    @kephamapogo53338 ай бұрын

    Uchu wa madaraka,uroho kujipendekeza,ulafi na upigaji Hata wewe wakati hujateuliwa walikusema vibaya kweli leo wanakuita mh. Waambie hiyo habari yao ya mitano tena waachane nao wasubiri fagio la chuma

  • @japhethsambu8687

    @japhethsambu8687

    8 ай бұрын

    God bless man

  • @user-co3gr8vc1v
    @user-co3gr8vc1v8 ай бұрын

    Malinda ziarabunda

Келесі