Makonda nakufananisha na Baba magufuli nakupenda bule kaka mungu akusaidie
@MichaelMathew-ke6bi8 ай бұрын
Ahsanteeeeee sana Makonda. Ubarikiwe sana na Bwana Yesu.
@gloriamwalongo36615 ай бұрын
Barikiwa sana makonda
@alexanderdustan88728 ай бұрын
Ata mimi naapa sitamsaliti Magufuli Jpm alinifundisha mengi kuhusu maisha. Yaani kiufupi alinifundsha kujiamin
@mushumbaeric49168 ай бұрын
Naungana nawewe kwenye kiapo sitamsaliti Magufuli nitampenda mpaka siku ya kuhama
@Worldunite8 ай бұрын
Kamanda kuna watu walijisahau na waliamini kuwa umeshatoweka, yaani walikukana na walikusakama sana wakati ulivyochomoka serikalini hadi walitaka kukufungulia mashitaka, Sasa ni wakati uendeleze mapambano dhidi ya wabadhirifu na mafisadi na uwatie adabu waliokuwa wanakusakama
@gloriamwalongo36615 ай бұрын
Asante makonda
@MsumalAloyce10 күн бұрын
Ww ndo mwanaume
@user-dp9xo2jo4p7 ай бұрын
Asante sana
@nyandaephraim40398 ай бұрын
Asante sana kututembelea na kumkumbuka mwamba wetu dr JPM❤
@lutegobusweru59498 ай бұрын
Naungana na wewe hata mm nitakuwa wa mwisho kumkana JPM 😭😭😭
@user-ni9zc3gx5t3 ай бұрын
Uyo ndo mwl wko na tunakupendaa kwa sabbu ya Hilo ww ndo magufuri no 2 tuna Imani na ww
@josephmturi69368 ай бұрын
Kazi ipo 2025
@jacksonstephano85708 ай бұрын
Makonda Taifa hili hua lina maajabu hasa watu wake ushauli wangu hakuna haja yakuwa na vyuo maana eti mutu hutoka chuo kikuu anakuwa mwizi Je? Vyuo vikuu vya Tanzania hutoa kozi ya wizi.
@jofreysaimoni49648 ай бұрын
Unasemaje kuhusu bandali magufuri namama yetu samia
@mosesmzakwe77748 ай бұрын
Nau Hana wewe Sitamsaliti JPMagufuri kamwe mpaka Mwisho wa Maisha yangu. Ulizaliea kuwa Kiongozi na kuwafundisha wasiojuwa kuw Kiongozi.
@kephamapogo53338 ай бұрын
Uchu wa madaraka,uroho kujipendekeza,ulafi na upigaji Hata wewe wakati hujateuliwa walikusema vibaya kweli leo wanakuita mh. Waambie hiyo habari yao ya mitano tena waachane nao wasubiri fagio la chuma
Пікірлер: 20
Asante sana makonda
Makonda nakufananisha na Baba magufuli nakupenda bule kaka mungu akusaidie
Ahsanteeeeee sana Makonda. Ubarikiwe sana na Bwana Yesu.
Barikiwa sana makonda
Ata mimi naapa sitamsaliti Magufuli Jpm alinifundisha mengi kuhusu maisha. Yaani kiufupi alinifundsha kujiamin
Naungana nawewe kwenye kiapo sitamsaliti Magufuli nitampenda mpaka siku ya kuhama
Kamanda kuna watu walijisahau na waliamini kuwa umeshatoweka, yaani walikukana na walikusakama sana wakati ulivyochomoka serikalini hadi walitaka kukufungulia mashitaka, Sasa ni wakati uendeleze mapambano dhidi ya wabadhirifu na mafisadi na uwatie adabu waliokuwa wanakusakama
Asante makonda
Ww ndo mwanaume
Asante sana
Asante sana kututembelea na kumkumbuka mwamba wetu dr JPM❤
Naungana na wewe hata mm nitakuwa wa mwisho kumkana JPM 😭😭😭
Uyo ndo mwl wko na tunakupendaa kwa sabbu ya Hilo ww ndo magufuri no 2 tuna Imani na ww
Kazi ipo 2025
Makonda Taifa hili hua lina maajabu hasa watu wake ushauli wangu hakuna haja yakuwa na vyuo maana eti mutu hutoka chuo kikuu anakuwa mwizi Je? Vyuo vikuu vya Tanzania hutoa kozi ya wizi.
Unasemaje kuhusu bandali magufuri namama yetu samia
Nau Hana wewe Sitamsaliti JPMagufuri kamwe mpaka Mwisho wa Maisha yangu. Ulizaliea kuwa Kiongozi na kuwafundisha wasiojuwa kuw Kiongozi.
Uchu wa madaraka,uroho kujipendekeza,ulafi na upigaji Hata wewe wakati hujateuliwa walikusema vibaya kweli leo wanakuita mh. Waambie hiyo habari yao ya mitano tena waachane nao wasubiri fagio la chuma
@japhethsambu8687
8 ай бұрын
God bless man
Malinda ziarabunda