JPM: "Mimi ni Jiwe Kweli Kweli, Sitishwi Wala Sitishiki"
JPM: "Mimi ni Jiwe Kweli Kweli, Sitishwi Wala Sitishiki"
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema uwepo wake madarakani ni kutaka kuwatoa Watanzania katika shida mbalimbali walizokuwa nazo na kuwapelekea hali amayo wataishi kwa raha ili siku atakapokuja kufa basi hata Mungu ampe nafasi ya kuwaongoza Malaika mbinguni.
Magufuli ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Mkoa wa Singida wakati wa kuzindua kiwanda cha mafuta ya Alizeti, Mount Meru Millers kilichojengwa mkoani humo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John P. Magufuli akiombewa na viongozi wa Kidini kutoka Singida mara baada ya kufungua kiwanda cha usindikaji wa Alizeti hii leo - Machi 11, 2018,
“Nataka niwahakikishie Watanzania kuwa mna Rais kweli kweli, jiwe kweli kweli. Sitishwi wala sitishiki, mimi jukumu langu ni kuhakikisha nawavusha Watanzania kutoka kwenye shida na kwenda mahali kwenye raha.
“Ninajua hiyo ndio itakuwa sadaka yangu kwa Watanzania ili kusudi hata siku moja nikienda huko mbinguni, kutokana na mimi kuwa kiongozi mzuri, Mungu atakaponihitaji akanichague niweze kuongoza Malaika polepole kwa sababu ninajua kuna maisha mengine baada ya maisha ya hapa duniani”, amesema Magufuli.
Pamoja na hayo, Rais amewaomba sana viongozi wa dini, masheikh na wale watu mbalimbali katika imani zao tukuitanguliza Tanzania kwanza, huku akiwataka wasitumike. Amewataka wananchi kufanya kazi kwa bidii ili waweze kujikomboa na kujiongezea kipato cha maisha.
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Пікірлер: 13
Tunakupenda baba umefanyakazi kubwa kuiletea heshima nchi yetu na sarafu yetu ya Tsh.
Safi baba wanyooshe
Ama kweli jpm alikuwa anamaanisha. Leo tumeyaona kwa vitengo. RIP mpendwa wetu JPM leo wewe kesho sisi tutakutana kwa baba. Tutaendelea kumkumbuka na kukuenzi kwa vitendo Jemedari wa Afrika
Safi
Kuwavusha watanzania #jpm live long life uwaonyeshe what you have
😭😭😭👏
Wanangu nitawambia mna baba jiwe,,,jiwe kweli kweli sitishwi wala sitishiki ilikumuenzi Jpm
Jiwe liling'olewa
Baba nilikukubari kabla hujatutoka hapa duniani
The First Person To Like
Unaota Mchana Mbinguni Hawaendi Wakatili, Rais wa Malaika? What an Insult to God! Najua Mungu anaweza Kumsamehe Yeyote! Lakini Anasamehe Wanyenyekevu Wanaokiri wamekosa, Sio Waovu wa Makusudi.
@deusrobert1343
2 жыл бұрын
Mngepambana Kwaoja sasa kwanini mlimu uwa Kwa sumu??
NA MBINGUNI HAWAENDI MAWAKILI WANAOTETEA UFISADI NA MAFISADI KAMA CHADEMA NA LISSU, BABA LA MAFISADI?