🔴

🔴#LIVE​​​​​​​​: MAGUFULI AONGEA kwa UCHUNGU Msibani kwa BALOZI KIJAZI, Asimulia ALIVYOFANYA Nae KAZI
RAIS Dkt John Magufuli, leo Februari 19, ameongoza mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa katibu mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi, katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 132

  • @neemaringo3502
    @neemaringo35023 жыл бұрын

    Huyu ndo Raisi wa Tanzania. Mungu akulinde

  • @uriotz_
    @uriotz_3 жыл бұрын

    Hapo kwenye Mungu nakuunga mkona Mh Raisi

  • @masalukulwa8911
    @masalukulwa89113 жыл бұрын

    Jiwe yuko vizuri sana... Tusitishane, uwoga ndio adui mkubwa

  • @chrishani3056

    @chrishani3056

    3 жыл бұрын

    Uoga? Tanzanians aren’t stupid...this guy is worse to his people than Idi Amin is ever was in Uganda. CCM out of desperation unleashed a monster.

  • @josephatmakaranga7043

    @josephatmakaranga7043

    3 жыл бұрын

    @@chrishani3056 huwezi kubadilika sababu una upumbavu wa kurithi

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege84773 жыл бұрын

    " Mungu yuko pamoja na sisi. Na tutashinda Corona haiwezi kuwa na nguvu Kama tutafanya maomba. Pia ndugu zetu waislamu wameishaanza kuomba na wasabato wao wameishaanza na Wakristo pia muanza kuomba maombi ya siku tatu na tutashinda, Kama tulivyoishinda mwaka Jana na mwaka huu tuomne huwenda kunasehemu tumemkosea Mungu." Dkt John Magufuli.

  • @billgussy6099

    @billgussy6099

    3 жыл бұрын

    Ndugu usimjaribu Mungu wako, ukiwa mwanafunzi usiposoma utafeli na ukiwa mzembe na mkaid kwa ushauri wa wataalamu wa afya utakufa kama wengine wanao kufa. RIP Kijazi wengine tuache uzembe tutakufa.

  • @williammwanganya550
    @williammwanganya5503 жыл бұрын

    Utukufu kwa Mungu..Mungu ametupa kiongozi sahihi kipindi sahihi..Asante Mungu..asante muheshimiwa raisi..

  • @kahemachowdry273
    @kahemachowdry2733 жыл бұрын

    HONGERA RAIS KWA HISTORIA YA BALOZI KIJAZI SASA TUANZE KUWAENZI WAKIWA HAI

  • @avitjosepht498
    @avitjosepht4983 жыл бұрын

    Above all powers, thrones and kingdoms. Mungu kwanza. Thank you Mr president

  • @tonga_2552

    @tonga_2552

    3 жыл бұрын

    He is the truly man of God and the great leader. May God keep protecting him for the land and people of our nation

  • @chrishani3056

    @chrishani3056

    3 жыл бұрын

    He’s not a pastor of some born again outfit but a president of a country. His ignorance and stupidity has destroyed the nation.

  • @ellykibale190
    @ellykibale1903 жыл бұрын

    Tuko pamoja nawe Rais, Mungu atusimamie, asimame na Rais wetu hasiteteleke.

  • @kaizamulinda633

    @kaizamulinda633

    2 жыл бұрын

    Yuko wapi sasa. Mungu ni mwema

  • @ellykibale190
    @ellykibale1903 жыл бұрын

    'Taifa hili lipo mkononi mwa Mungu'-JPM Amina kwa hilo

  • @lucasmdoya4390
    @lucasmdoya43903 жыл бұрын

    Usituache Mungu katika bonde la mauti tunalia baba uturehemu sisi wenye dhambi

  • @akiliboraunstoppable1137
    @akiliboraunstoppable11373 жыл бұрын

    MUNGU ATATUSHINDIA TU,WATANZANIA TUACHE KULETA TAARIFA ZA TAHARUKI.TUSIMAME KWA MUNGU NA TUMLINDE RAIS WETU KWA SHUKURAN NA KUPIGA VITA MANENO YA WAOVU.

  • @chachangutunyi6290
    @chachangutunyi62903 жыл бұрын

    This is King Hezekiah of the Bible. God fearing people should pray earnestly for him. Can you imagine the devil is manifesting himself in some of our religious leaders! Whose faith is shaky!

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92183 жыл бұрын

    Fagio LA chuma lina pitaaaaa..Jesus ooooh

  • @sarahryoba1011
    @sarahryoba10113 жыл бұрын

    Pole wafiwa mungu awatie nguvu wafiwa wote

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka46073 жыл бұрын

    Apumzike kwa amani Balozi Kijazi Amina.

  • @eustadiuskalokola7363
    @eustadiuskalokola73633 жыл бұрын

    Lala kwa Amani Marehemu Balozi Injinia Kijazi. Hakika taifa la Tanzania litakukumbuka kwa mchango katika ujenzi wako..

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick88823 жыл бұрын

    Ukweli ni kwamba uyu mzeee yupo ktk wakat mgumu mno,,, mm naanza kwa kusema MUNHU akutie nguvu katika maamuzi yako

  • @ngwanafabian9668

    @ngwanafabian9668

    3 жыл бұрын

    Je wewe uko katika wakati mzuri?

  • @deogratiusdominick8882

    @deogratiusdominick8882

    3 жыл бұрын

    @@ngwanafabian9668 hapana ila kuna tofaut ya mwananch na kiongoz ww wananch,,, ila mm nachukua taadhar

  • @Ray-vk7bp

    @Ray-vk7bp

    3 жыл бұрын

    Kaka ulisema ukweli

  • @selenganyagawa1358
    @selenganyagawa13583 жыл бұрын

    R.I.P kijazi. Tutakukumbuka watanzania kwa wasifu huo.!! Husahauliwi peponi KIJAZI.

  • @eliasmboyi5601
    @eliasmboyi56013 жыл бұрын

    Tumekulewa kiongoz wetu.. Asante hp kwa 🔒 down..hkn lock down ✊

  • @emmylema5911
    @emmylema59113 жыл бұрын

    Mungu akulinde raisi JPM kwa kumtegemea Mugu amina 🙏

  • @wordoffaithanddeliverencem4365
    @wordoffaithanddeliverencem43653 жыл бұрын

    Amen kiongozi wetu

  • @florakabula2541
    @florakabula25413 жыл бұрын

    Amina

  • @elizabethmkenda5607
    @elizabethmkenda56073 жыл бұрын

    punzika kwa amani mpendwa wetu

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega87123 жыл бұрын

    Doh nà yy hayupo eti😭😭

  • @saiddod7788
    @saiddod77883 жыл бұрын

    Mungu kampenda Zaid Inna lilah waina ilah

  • @mtaalamshekidele4822
    @mtaalamshekidele48222 жыл бұрын

    Mwezi mmoja baada ya hii hotuba naye alifariki ..kwakwel tutakukumbuka Sana

  • @naivashaazori6233
    @naivashaazori62333 жыл бұрын

    Amen

  • @balbinakitambi4014
    @balbinakitambi40143 жыл бұрын

    R.I.P Maalim seif hamad

  • @ms.g6486
    @ms.g64862 жыл бұрын

    Eh Yesu, Hata sasa Wewe ni Ebenezer. Tunashukuru kwa yote. Asante kwa Mh Rais Dr John Pombe Magufuli, Asante kwa Katibu wetu Mkuu Kiongozi Balozi Eng Kijazi, Asante Ndugu yetu Kiongozi muadilifu mpenda amani Maalimu Seif. Tufute machozi Eh Bwana Yesu, ni mwaka na sasa ila bado mioyo ina majeraha. Bwana Ametoa Bwana Ametwaa Jina la Bwana libarikiwe.

  • @lordrichreuben1446
    @lordrichreuben14463 жыл бұрын

    R.I.P kijaz

  • @balbinakitambi4014
    @balbinakitambi40143 жыл бұрын

    R.I.P John Kijazi

  • @dicksonmmasy55
    @dicksonmmasy553 жыл бұрын

    Raisi bora zaidi kuwahi kutokea Duniani....naipenda nchi yangu..nampenda Raisi wangu

  • @nativeinfotv9620

    @nativeinfotv9620

    3 жыл бұрын

    Kweli barikiwa

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Ah ah ah ah ah 😅😅😅😅😅

  • @tenge529
    @tenge5293 жыл бұрын

    I can't believe that today my hero is dead,no!no!noooooooooo!

  • @joycejaphet8407
    @joycejaphet84073 жыл бұрын

    Watanzania ni wakati wa kumuomba sana MUNGU tuna ushuhuda MUNGU huyu alietutetea mwaka 2020 atatutetea tena mwaka 2021 na siku zote za maisha yetu. tumsikilize kiongozi wetu Mh Raisi.

  • @machangoemanuel6174
    @machangoemanuel61743 жыл бұрын

    R.I.P JPM

  • @allyjumanne7920
    @allyjumanne79202 жыл бұрын

    Rip magufuli 💔💔💔

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv96203 жыл бұрын

    Poleni watanzania. Mungu atutie nguvu

  • @msumiibra2511
    @msumiibra25113 жыл бұрын

    Powerful msg..

  • @michongomedia7892
    @michongomedia78923 жыл бұрын

    Duuuuu baba unatia moyo hpo kwa mungu naona nawe endelea kutubu

  • @abisaifaragha3948
    @abisaifaragha39483 жыл бұрын

    Poleni watanzania wenzangu kwa misiba hii mkubwa

  • @jnote9283
    @jnote92833 жыл бұрын

    Dah

  • @nicksonpius6128
    @nicksonpius61283 жыл бұрын

    Safii kiongozi

  • @ophiriyoramu44
    @ophiriyoramu442 жыл бұрын

    Emungu wangu

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын

    ULIFANYA ULIYOTAKIWA KUYAFANYA.. KAZI UMEIFANYA REST IN PEACE TENA NA TENA SHUJAA MFANO WA KUIGWA.. SANA MAY GOD FORGIVE YOU OF ALL YOUR SHORT COMINGS PLEASE 🙏 AMEN R.I.P MAGUFULI 😪😭😭😭😭😭😪

  • @nurdinleiko7495
    @nurdinleiko74953 жыл бұрын

    R.I.P Jiwe

  • @reaganlyimo6259
    @reaganlyimo62593 жыл бұрын

    U

  • @ibel4lf
    @ibel4lf3 жыл бұрын

    Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni ambao hautatikisika hata milele

  • @godblessjrtz.8652
    @godblessjrtz.86523 жыл бұрын

    Jameni tumuombe mungu wetu, na tufuate protocol za kunawa mikono kuvaa Barakoa na kuvaa kumaitain social distance.

  • @careendeni6580

    @careendeni6580

    3 жыл бұрын

    Do you think mask will save you? They are deadly weapon than you think and take them

  • @godblessjrtz.8652

    @godblessjrtz.8652

    3 жыл бұрын

    @@careendeni6580 so what did yo want to say? ... if wearing mask, hand washing, and athering social distance won't help us then what do you prefer to? It look like yo know something but unfortunately yo know nothing coz there's new pandemic of COVID 19 which is very dangerously than the Covid 19 and this new Virus is called variants virus ..so prayers itself can't help us coz all countries they pray and yet they die. So don't mislead people.

  • @careendeni6580

    @careendeni6580

    3 жыл бұрын

    Wash your hands even in your bed and dreams, sleep with your mask since covid spread via air you take in your own oxygen from your own universe. Think of everything thing even how covid is cured, how started.

  • @careendeni6580

    @careendeni6580

    3 жыл бұрын

    Those people wash their hands 😂😂, they wear mask and are social distancing but yet dying ooooh 😂😂😂😂

  • @hajiiddi1085
    @hajiiddi10853 жыл бұрын

    MAGUFULI UNASEMA UKWELI!HALAFU HAPA AUSTRIA WAMEPIGA MARUFUKU HIZO BARAKOA, KWANI NDIO ZINA VIRUSI VYA CORONA AU( BIO WEAPONS )!CORONA NI HOFU TUU NA USIWE NAYO!MABEBERU WANATAKA KUDIPOPULATIO AFRIKA!!

  • @tipieleven8582

    @tipieleven8582

    3 жыл бұрын

    Austria ipi hiyo kaka walopiga marufuku matumizi barakoa?? Yasikitisha kuona waongopa. Zingatieni maelekezo ya watu wa afya..TAFADHALI!!!

  • @hajiiddi1085

    @hajiiddi1085

    3 жыл бұрын

    BARAKOA TUNAZOTUMIA NA SIO LAZIMA KUTUMIA ILA KAMA UNASAFIRI NA TRENI AU SHOPING MALL, WAMETENGENEZA BARAKOA ZAO WENYEWE ZINAITWA FPP2 BARAKOA!!

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Na ulaya vilevile ni hiyo ' kudipopulalion' watu wa ulaya..!

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian96683 жыл бұрын

    Nasema hivi Mungu huonekana hasa unapofikia wakati kama huu ambapo unatakiwa kuchagua njia moja kati ya mbili, umutumainie Mungu ama sayansi. Nasema hakika tumeshashinda vita hii tena katika jina la Yesu na awamu hii Mungu atatutendea makuu kuzidi kawaida. Wale tunaoitwa kwa jina Bwana acha tuingie kazini.

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry67763 жыл бұрын

    Asante Rais wetu tukupendaye sana.tuna nguvu mpya kwa kupigwa kwake tumepona WTZ wote.

  • @aggreyoriema8914

    @aggreyoriema8914

    3 жыл бұрын

    Magufuli uko juu sana kuliko Marais wote hapa barani afrika mungu akupe nguvu. 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💞💞💞💞💞🌹🌹💯

  • @anethmshahara9694
    @anethmshahara96943 жыл бұрын

    Mungu ampumzishe kwa amani baba yt Kijazi, na aendelee kumuimarisha baba yt Mpango ili aendelee kulitumikia Taifa, zaidi ya yote Rais wetu Mungu amtunze kwan bado tunasafari pamoja nae Amen Inshaallah!

  • @anethmshahara9694

    @anethmshahara9694

    3 жыл бұрын

    Bila kusahau RIP baba yt Maalim Seif sote ni waja wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea, innalillah wainna ilaih rajiuun

  • @fatmaabdallah5870

    @fatmaabdallah5870

    3 жыл бұрын

    Wwe nirais bwana kuliko walopita mwanzo ila hakuna alokufikia namuomba alllwa akupe maisha marefu uzidi kutuona wanyonge alwwa akulinde baba nakupenda sana

  • @ezekielmburu3418

    @ezekielmburu3418

    3 жыл бұрын

    RIP magufool

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa24233 жыл бұрын

    R.I.P ila muheshimiwa vp kuhusu chanjo!?

  • @modrikedward1779

    @modrikedward1779

    3 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @ezekielm4174
    @ezekielm41743 жыл бұрын

    Leo hatu muamini Mungu ila tuna ogopa corona 😔😔

  • @hamzayusuf1894

    @hamzayusuf1894

    3 жыл бұрын

    Huyo aliyemtanguliza yesu amekufuru amtangulize mungu yesu simungu ni.binadamu anachewo kwa mungu ni mtume

  • @missmunna5965

    @missmunna5965

    3 жыл бұрын

    @@hamzayusuf1894 na Mungu alituletea mwanae Yesu ili tuombe kupitie yy maana Mungu yupo ndani yake. Wewe ndio hujui dini pole

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    3 жыл бұрын

    Mihadhara

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 жыл бұрын

    Yesu si mwana wa mungu ila mtume tu wa kasome haya ktk kitabu cha yohana 17;3

  • @dogorezitz1.zakariaaloisdo619
    @dogorezitz1.zakariaaloisdo6193 жыл бұрын

    President wetu j,p,m,g,hongera kwa kazi kubwa unayoifanya

  • @paull8659
    @paull86593 жыл бұрын

    Hana uchungu wowote huyu...Wangapi wamepote au kuwawa wakati wa kupiga kura? Mbona hakusikitika? Unafiki tu hapa.

  • @modrikedward1779

    @modrikedward1779

    3 жыл бұрын

    Nashangaa

  • @amamimasawe8181
    @amamimasawe81813 жыл бұрын

    M

  • @amamimasawe8181

    @amamimasawe8181

    3 жыл бұрын

    Moshi of my 3

  • @amamimasawe8181

    @amamimasawe8181

    3 жыл бұрын

    Mama

  • @amamimasawe8181

    @amamimasawe8181

    3 жыл бұрын

    Mama brush

  • @jumamohamed789
    @jumamohamed7893 жыл бұрын

    Kwahiyo unakiri kwamba maalim SEIF alikuwa anakamatwa kwa kuonewa siyo kwa sababu alikuwa mkorofi wala mbaya wala mkosaji! Wewe MAGUFULI jitahidi kumuogopa mungu wako kwa vitendo siyo maneno baada ya mtu kufariki

  • @modrikedward1779

    @modrikedward1779

    3 жыл бұрын

    Sana yaan

  • @emanuelmasala7674
    @emanuelmasala76743 жыл бұрын

    Hatuna corona tz, ukiambiwa jambo, ongeza na zako

  • @Canndyg-kt9
    @Canndyg-kt93 жыл бұрын

    Tutashinda tena na zaidi ya kushinda

  • @ezekielmburu3418
    @ezekielmburu34183 жыл бұрын

    Rais anahudhuria mazishi ya kijazi aliyekufa na corona bila barakoa na kutumia microphone moja bila sanitation. Hapa ndipo kaambukizwa corona

  • @salyali7807
    @salyali78073 жыл бұрын

    Mshenzi.... bora unyamaze kuliko utumbo huu...

  • @modrikedward1779

    @modrikedward1779

    3 жыл бұрын

    Sana yaan😁

  • @marymichael2739

    @marymichael2739

    3 жыл бұрын

    Washenzii nyiee hamjielewi kabisaa Kwani rais ndo anaeauwa

  • @josephatmakaranga7043

    @josephatmakaranga7043

    3 жыл бұрын

    Una upumbavu wa kurithi hatushangai

  • @salyali7807

    @salyali7807

    3 жыл бұрын

    @@josephatmakaranga7043 pole mumefanywa slaves mpaka kiakili... hamuwezi hata kutafautisha la ukweli na uongo you are just "yes sir " wake up Tanzanians

  • @josephatmakaranga7043

    @josephatmakaranga7043

    3 жыл бұрын

    @@salyali7807 siwezi kuongea na mpumbavu kam wew

Келесі