Azam TV - JPM azungumzia sakata la elimu ya Makonda
Rais John Magufuli, pamoja na kelele zinazopigwa na baadhi watu kuhusu elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, yeye hashughuliki nazo kwakuwa anachoangalia ni namna kiongozi huyo anavyopambana na dawa za kulevya.
Пікірлер: 14
Tutakukumbk daima
Tutakuku mbuKA JPM SANA MUZEE WETU
Je walimu na watumishi wengine hawakuwa wazalendo!!!!!!!!!
Mwenyezi mungu akulinde Rais wetu
Rip
Kazi ilikuwepo...
@stn4873
Жыл бұрын
Tena sio ndogo.
44
Sasshv hawatak kufanya Kaz wanasema pesa hakuna
Magufuli oyee!!
Dunia ya leo tunahitaji wasomi, tuache ujanja ujanja
Mwamba uliogoma kuanguka
mazinge
Mwamba