No video

Rais Magufuli apiga msumali wa mwisho sakata la makontena ya RC Makonda

Rais Magufuli hatimaye amekata mzizi wa fitna kuhusiana na makontena Ishirini yanayoshikiliwa Bandarini Jijini Dar Es Salaam yakidaiwa kuwa na samani za shule yaliyoletwa kwa msaada kwa jina la Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda akisema ni lazima yalipiwe kodi.
Dokta Magufuli amesema kwamba makontena hayo yanayodaiwa kodi yenye thamani ya Bilioni Moja Nukta Mbili yanapaswa kulipiwa kodi hiyo kwa sababu aliyeletewa hana mamlaka ya kisheria ya kupata msamaha huku pia akihoji ni kwa nini shule zinazopelekewa samani hizo hazijatajwa.
Rais Dokta Magufuli amezungumza hayo akiwa Chato Mkoani Geita alipokutana kwa mazungumzo na Viongozi na Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato.

Пікірлер: 39

  • @givenmoshi2591
    @givenmoshi25916 жыл бұрын

    huu ndo uzalendo tumempata mkombozi wetu mungu akupe maisha marefu

  • @sterlingbraden4270

    @sterlingbraden4270

    3 жыл бұрын

    Sorry to be so offtopic but does any of you know a way to log back into an instagram account?? I somehow forgot my password. I would appreciate any tips you can offer me.

  • @japhethcharles5791

    @japhethcharles5791

    9 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu alitoa ,ametwaaa!!!

  • @charleshaule4008
    @charleshaule40082 жыл бұрын

    Magu was smart... amecite vifungu kama wakili, ameweka hoja kwa mantiki ya kueleweka hata mgumu kuelewa angeelewa hoja.. RiP Magu, mbali na yote ni mkweli na mchapakazi.Tumepoteza Kiongozi watanzania.

  • @saleheothman6430
    @saleheothman64306 жыл бұрын

    Mr Charles kaganda ; sasa nakubali maneno yako

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa68096 жыл бұрын

    Mzee piga viboko huyo mtoto ameanza kuwa mtovu wa nidhamu

  • @letareelissa3944
    @letareelissa39446 жыл бұрын

    Dar ? nyamaimenasa kwenye jino ingekua mkuu Wa koa yeyote tofauti na makonda mkuu angesha mtumbua

  • @humphreymalema3024
    @humphreymalema30246 жыл бұрын

    Kichwa hiki safi sana raisi wetu

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic996 жыл бұрын

    Straight.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Жыл бұрын

    Makonda alikua fisad anaelindwa na mwendazake

  • @jamhuriyohana7025
    @jamhuriyohana70256 жыл бұрын

    Angalia#MTU MWEUSI

  • @fatmakisuwa2124
    @fatmakisuwa21246 жыл бұрын

    Mmh ng'ombe wa bwana her shamba la bwana her yetu macho

  • @Mnaveed_804
    @Mnaveed_8046 жыл бұрын

    Kamata mtoto wako kama kweli unapenda kujenga tanzania.....hayu maneno ya nn we mzee...

  • @tunumohamedy7332
    @tunumohamedy73326 жыл бұрын

    Magu alisema kuwa yeye aliapa kusimamia sheria!haya tunataka kuona iyo sheria anayeisimamia ifanye kazi!na sio tu kuyapiga mnada!afunguliwe mashtaka kwa kuhujumu uchumi!akifanya hivyo kweli tutamuamini kuwa ni mtetez wa wanyonge na anasimamia sheria kweli, na ifikapo 20-20 atakuwa hana mpinzani!!

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    Haki za watu hazipotei, aliwadhalilisha watu kw vitu vya kukisia sasa yye vipi awekwe jela cku 5 kwanza atiwe adabu.! na fedha hizo za makontena kazipata wapi?

  • @josej9888
    @josej98886 жыл бұрын

    Angekuwa Rc mwingine angefukuzwa kazi, lakini kwakuwa ni Prince BASHITE anatoa speech tu basi limepita hilo.

  • @salummuhija4435

    @salummuhija4435

    6 жыл бұрын

    James Joseph Katunzi inakuuma sana ee.

  • @aroundkilimanjarotoursands5600

    @aroundkilimanjarotoursands5600

    6 жыл бұрын

    Yani angetumbuliwa Vila ganzi

  • @stephanokayega2792
    @stephanokayega27925 жыл бұрын

    DS

  • @mako331
    @mako3316 жыл бұрын

    Kila binadamu anaweza kufanya makosa it’s very normal but u can make a mistake while trying to do good, Makonda bado ni mchapakazi mzuri, hatumbuliwi mtu hapa poleni chadema

  • @jitukorofi9517

    @jitukorofi9517

    2 жыл бұрын

    Miaka 3 imepita rudia tena ama kweli ukimtegemea mtu ni vibaya sana

  • @kijuuborongo6405
    @kijuuborongo64056 жыл бұрын

    Bado hamjAmwelelewa Makonda meli ya madocta ya kichina ilikuja kwajina lanani?

  • @thereal_mtangojr2634
    @thereal_mtangojr26346 жыл бұрын

    kwenyee kodii hana mchezoo Jpm

  • @helbertrugalabamuenery7313
    @helbertrugalabamuenery73136 жыл бұрын

    Makona umeuza

  • @mapenzi_tz1511
    @mapenzi_tz15116 жыл бұрын

    Kwani Hapo hakuna kesi kw sababu amekubari ni yake Sasa afukuzwe kazi kivipi kikubwa alipe kodi au yauzwe Sio kufukuzwa kazi

  • @charlesmushi5350

    @charlesmushi5350

    6 жыл бұрын

    Aliepewa dhamana ya kupokea misaada ni raisi Tu.......na majina ya shule hayajatajwa wake up we Acha ushabiki wa kisengr

  • @aminaausi4142

    @aminaausi4142

    6 жыл бұрын

    Nashangaa

  • @aroundkilimanjarotoursands5600
    @aroundkilimanjarotoursands56006 жыл бұрын

    Mbona huyu hatumbuliwiii?

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga83346 жыл бұрын

    Loh chenga

  • @mohamedkiranja1575
    @mohamedkiranja15752 жыл бұрын

    Q198v

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi34926 жыл бұрын

    Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman72166 жыл бұрын

    Hayo makontena ni yake alitaka kuuzia serikali sio ya msaada

  • @transmadale
    @transmadale6 жыл бұрын

    Mtoto wa baba huyo yataisha tu

  • @aloycemalya4701
    @aloycemalya47016 жыл бұрын

    Kulen nchi na mjnga mwenzako muda utafika tu

  • @dr.lukindogrammaracademy1310
    @dr.lukindogrammaracademy13106 жыл бұрын

    Maigizo na upumbavu tupu

  • @stevenpeter562
    @stevenpeter5626 жыл бұрын

    hawezi tumbuliwa

  • @evelyinelyimo67

    @evelyinelyimo67

    6 жыл бұрын

    Hakuna lisilokuwa na mwisho

  • @adinaniakash2332

    @adinaniakash2332

    6 жыл бұрын

    raisi wetu ni mtu makini sana hivyo viongozi waliopo mdarakani lazima wawe mkinizaidi la sivyo chochote kinaweza kutokea

Келесі