Rais Magufuli Amaliza Bifu la Makonda na Ruge Jukwaani
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amemaliza bifu kubwa lililokuwepo kati ya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa kuwakutanisha wawili hao jukwaani na kuwataka washikane mikono.
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
Tukio hilo la aina yake, limetokea leo AGOSTI 5, 2017 kwenye Kijiji cha Chongoleani, Tanga ambapo kulikuwa na tukio kubwa la uwekaji wa jiwe la msingi kwenye mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima, Uganda mpaka kwenye Bandari ya Tanga.
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .
Пікірлер: 10
from.254.such a gud prezoo.we ndio baba
Hardly....
Rip my presdaaa
huu ni ufala kama wa mfalme Juha
aaaah mkuu uko gud
daaah mbn sion comment humu??
Tutakwenda kama Ruge atalivyokwenda
31/3/2021,chuma chetu Maguful,umepigana kwa moyo wako wote,na kutuomba Watanzania kukuombea.Tumeomba saanaaa wazalendo wako,tulikupenda Rais wetu,ila Mungu kakupenda zaidi.Pumzika kwa Amani.
safi xana
IPO pouwa sana