Askofu Gwajima alivyotembelea Clouds Media Group leo

Пікірлер: 236

  • @danielezekiel2860
    @danielezekiel28607 жыл бұрын

    Kazi ya wachungaji ni pamoja na kutia moyo na kufariji pia. Hongera pastor.

  • @mottofoundationinc.3492
    @mottofoundationinc.34927 жыл бұрын

    ONLY SMART BRAIN CAN UNDERSTAND THIS GREATEST GUY(GWAJIMA)..

  • @sadickwalker2795

    @sadickwalker2795

    4 жыл бұрын

    True.

  • @MakoyeAman
    @MakoyeAman7 жыл бұрын

    Great message>>>>> uko vizur Gwajima in your mind

  • @zuhuraabdurlazack8008
    @zuhuraabdurlazack80087 жыл бұрын

    Kiukweli mim nmekuelewa sana gwajima...big up na Ukweli tumeujua...mim nakuamin

  • @abdulmtausi6672
    @abdulmtausi66727 жыл бұрын

    Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie

  • @floriantelele8306
    @floriantelele83067 жыл бұрын

    gwajima katika ubora wake

  • @abbasboniphace5444

    @abbasboniphace5444

    7 жыл бұрын

    Florian Telele dam u got my day😂😂😂

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57657 жыл бұрын

    gwaji unawaombea clouds wanunue magari na viwanja si ungewaombea wauone ufalme wa Mungu waingie peponi

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    7 жыл бұрын

    hahahaha umeonae hata hajatamka ufalme wa Mbiguni

  • @noelndelwa1964

    @noelndelwa1964

    5 жыл бұрын

    Abdulatif Said wokovu upon kwa njia nyingi

  • @witneskimario6336

    @witneskimario6336

    3 жыл бұрын

    Uamna mtu anaempeleka mtu mbinguni ufalme wamungu unautafuta mwenyewe dear

  • @fikiryhamees5858
    @fikiryhamees58585 жыл бұрын

    Nikimuangalia luge najikuta nalia kama yupo dunian jaman dah!

  • @vianeyminja575
    @vianeyminja5757 жыл бұрын

    gwajima hujawahi kuniangusha,. ww ni born town

  • @abdonmsafiri3770

    @abdonmsafiri3770

    7 жыл бұрын

    waoooh keep it up mr gwajima i am very proud of you my son

  • @sweetmama3242
    @sweetmama32427 жыл бұрын

    Aaaaamen. Aaaaamen. Yesu ni Bwana. Mungu akubariki sana mchungaji kwa maneno yako mazuri, ya busara na hekima. I ❤ youuuuuuuuuuuu.....!

  • @ramadhansemgayo3538
    @ramadhansemgayo35385 жыл бұрын

    Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna

  • @Mwl_Sanga
    @Mwl_Sanga7 жыл бұрын

    #Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu, #Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....

  • @lutonjalushu923

    @lutonjalushu923

    7 жыл бұрын

    hongera mh. gwajima

  • @williammeena3369
    @williammeena33697 жыл бұрын

    Big up Bishop Gwajima

  • @josiahpaul3532
    @josiahpaul35327 жыл бұрын

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni big up pastr nme kuelewanme kuelewa

  • @seifmillanzi9673
    @seifmillanzi96737 жыл бұрын

    namwona boss ruge dizain anacheka ivi

  • @kigendihassan630
    @kigendihassan6307 жыл бұрын

    MTU akikulushia mawe usimludishie, yakusanye ujengee daraja kuelekea ktk mafanikio.

  • @petermwangi7047

    @petermwangi7047

    5 жыл бұрын

    Asante sana

  • @christophermakunzo4232
    @christophermakunzo42327 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu, umeeleweka kwa kiasi cha juu sana kutokana na sakata hili. Pole.

  • @gabrielshewio6599
    @gabrielshewio65997 жыл бұрын

    hongera sana mchungaji

  • @user-gi1ez6fc1y
    @user-gi1ez6fc1y7 жыл бұрын

    Hahahaaaa mnunue gari mjenge majumbaaa te teteteteeee Amen mchungaji mwana siasa

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli36505 жыл бұрын

    Well said,"Man can not run away from the truth though can only be delayed".

  • @tinnomdete4841
    @tinnomdete48417 жыл бұрын

    hivi mnaosema gwajima ni mwanasiasa hivi jifikirie mara 2 umetajwa unauza madawa ya kulevya au unambiwa hafanyi hiyo biashara achani zenu

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif93847 жыл бұрын

    ana elewa maana ya neno kichaa ! kichaa ana omba msamaha kichaaa anafundishwa sema umezaa na gwajima ! huu msani km clouds

  • @emmanuelaggery6877
    @emmanuelaggery68777 жыл бұрын

    duu kmbe gwajima sio wakitoto aisee kumbee he is that big makanisa 470 nje ya nchii......

  • @lawrancemngazija2216

    @lawrancemngazija2216

    4 жыл бұрын

    Hammer

  • @frolamrema3683
    @frolamrema36835 жыл бұрын

    Ruge wangu never forget my lovely friend

  • @abdulmillanzi7355
    @abdulmillanzi73557 жыл бұрын

    Daaah Bosi Ruge anaonekana bado hayuko sawa kabisa.

  • @bonakwelilema9600
    @bonakwelilema96006 жыл бұрын

    Gwajima kagundua kitu kweli mchungaji au asko ni msema kweli bila kuogopa kitu kuhusu madawa na tatizo na bashite

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini62545 жыл бұрын

    Mchawi kajaaa msibani..R.I.P kaka

  • @vumiliambehi79
    @vumiliambehi797 жыл бұрын

    hebu mungu awatangulie wote wenye sakata hili

  • @zandakingfujo7707
    @zandakingfujo77077 жыл бұрын

    haya sawa ushamwambia rais tafuta mahali utulie

  • @musasaidi7973

    @musasaidi7973

    7 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @angellamwanri8414
    @angellamwanri84147 жыл бұрын

    Safi sana Gwajima...

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV5 жыл бұрын

    Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,

  • @williamkavuta5193

    @williamkavuta5193

    5 жыл бұрын

    Jefta Trilionea acha mawazo hasi ghafla kafa na ajali huyo? Unajua kifo cha ghafla wewe.Funguka ki mawazo acha kuwa na negativity.RIP

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 жыл бұрын

    Mayor wa mwanza, sio dar es salaam mkuu... ENDELEA...

  • @fatmaalrashdi1577
    @fatmaalrashdi15777 жыл бұрын

    wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu

  • @hashimmusa9485

    @hashimmusa9485

    7 жыл бұрын

    wanaomtetea makonda wamepata zero

  • @hamzabingwe4178

    @hamzabingwe4178

    5 жыл бұрын

    Fatma Alrashdi mmmmmmm aya

  • @stn4873
    @stn48732 жыл бұрын

    Lilikua ni suala la muda tu, Mwenyezi Mungu kafanya yake.

  • @januarypeter4655
    @januarypeter46557 жыл бұрын

    mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?

  • @seifmohamedseif9384

    @seifmohamedseif9384

    7 жыл бұрын

    January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa

  • @privamariki2675
    @privamariki26757 жыл бұрын

    duuuu yaani nyie camera munazo yaani picha zenu zinaonekani clear

  • @januarypeter4655
    @januarypeter46557 жыл бұрын

    yani watu bwana eti mnamuona gwajima mjinga embu fikiri kama ndo ww?

  • @alfanikamana9062

    @alfanikamana9062

    6 жыл бұрын

    January Peter gwajima kasema uyo mama ni kicha,tena anasema yuko ana andika kicha anaweza kuandika?

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13657 жыл бұрын

    😂😂😂😏😏 Ni sheeeedah! Thankx Mr countdown *Millard Ayo* kwa habar

  • @josephthobias2056

    @josephthobias2056

    6 жыл бұрын

    kumbe ruge alikwita ooooh umepa pole na kumwombea ila habari za shujaa wako mh.makonda umezigusa gusa .makonda

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion75152 жыл бұрын

    Kweli Leo nimeamini mzoga umetoa asari 2021

  • @emmypaul7455
    @emmypaul74555 жыл бұрын

    Pumzika salama ruge

  • @lwijimsafiri6545
    @lwijimsafiri65457 жыл бұрын

    ur intelligence and compitent gwajima

  • @asserymmary2696
    @asserymmary26967 жыл бұрын

    media wamesha Ramba Jokery...atakoma mwenye jiji lake aliramba Kopa

  • @christsflowe.r
    @christsflowe.r7 жыл бұрын

    Good job

  • @velmaagwona1945
    @velmaagwona19455 жыл бұрын

    Kila Mara nikimuona ruge akiongea namuona kama yuko hai jamani inauma,

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu54567 жыл бұрын

    joyc love love hahaha anajimwaga hahaha yani ww mtoto nime kushindwa ww hahaha anajimwaga kama muimba tarabu hahaha jamani atwaleeee

  • @Tiffany340
    @Tiffany3407 жыл бұрын

    Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu

  • @newasddong5865

    @newasddong5865

    7 жыл бұрын

    Fetry John kabisa

  • @magrethlucas7928

    @magrethlucas7928

    7 жыл бұрын

    Hahahahaha chizi huyo

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe7 жыл бұрын

    Asa Bwana Gwajima Kingereza ni kuonyesha amesoma sana au......... Ongea Kiswahili tukuelewe

  • @bonita329
    @bonita3295 жыл бұрын

    umenifurahisha sana mzee.😂😂 nchi yetu imepatwa viongozi wa ajabu kwakweli hali si shwari

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo74077 жыл бұрын

    Kazi ya mchungaji nikutetea pia Taifa wananchi ksb km yeye anajulikana ulimwenguni atakaaje kimya nani atamwelewa ni vizuri aliweke wazi kabisa

  • @erastoeraxx9341
    @erastoeraxx93417 жыл бұрын

    Kwanini kila jambo la mwanasiasa wote tunamjua lakini wewe unapenda kutolea Maelezo! ®

  • @kaayaester9739
    @kaayaester97395 жыл бұрын

    Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo

  • @mathamalila3111
    @mathamalila31115 жыл бұрын

    hahaahaaaa ulifwatilia ili iweje mwache apige kazi fwata ya mungu na siku zote MTU wa mungu anasamehe na kuwaombea wanao muuzi lakini kwako ni shida,

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi7 жыл бұрын

    Fikiria kama Bashite angekuwa amekaa next to Gwajima, ingekuwaje?

  • @FarmChoiceLtd
    @FarmChoiceLtd7 жыл бұрын

    Gwajima kwa mbwebwe!!

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын

    Hiyo ilikuwa mbaya sana aisee watu kufukuzwa kazi kisa vyeti dah iliathiri wengi sana

  • @emmanuelsemwaiko2280
    @emmanuelsemwaiko22807 жыл бұрын

    watanzania kuendelea ni ndoto sana kiukweli,tunajishughulisha na vitu ambavyo si maswala ya msingi,Mwenyezi Mungu tusAidie

  • @stellahemilian9168
    @stellahemilian91687 жыл бұрын

    We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu

  • @chekajumasebunga8358
    @chekajumasebunga83587 жыл бұрын

    Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut49967 жыл бұрын

    duuu gwajima ww ww acha maneno mengi ww hata mungu hapendi kila saa wamsema makonda kwann lakini ww

  • @bonita329

    @bonita329

    5 жыл бұрын

    sasa huyo bashite kashfa aliyompatia mchungaji ndogo?

  • @fredreckmwakalinga3475

    @fredreckmwakalinga3475

    5 жыл бұрын

    hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania huo ndo ukweli unataka nini ?

  • @saladaniel9274
    @saladaniel92743 жыл бұрын

    Leo yuu wapi makonda??

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif93847 жыл бұрын

    ana mkatisha haraka asionge anajua maswali yatafikia mahali atajingiza ktk 18 siri itoke kwanini usiache amalize mwenyewe

  • @philipomichael5477
    @philipomichael54777 жыл бұрын

    hakika ukweli utabaki daima. MUNGU AKUPE HEKIMA KAMA SULEIMAN.

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 Жыл бұрын

    Utawala wa makofuli ulitesa watu 😢😢😢

  • @rogersgeorge2920
    @rogersgeorge29204 жыл бұрын

    God is good

  • @factdonotlie8301
    @factdonotlie83016 жыл бұрын

    Lisha chacha baba fanya maubili hapa kazi tu

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa59207 жыл бұрын

    Jaribu kwa mtu si kwamba ni mtenda dhambi Bali ni wakati ambao ni Lazima apitie, wote mnaomsemea mabaya mch gwajima mnakosea na wengine mnathubutu kusema fimbo ya mungu itamkuta, nani anaejua mawazo ya mungu??? Jibu hakuna, mimi namwombea mtumishi wa Mungu mema

  • @leonardjeremia1525
    @leonardjeremia15257 жыл бұрын

    mtu akimwaga ugali ww mwaga mboga

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga83345 жыл бұрын

    Ruge umeniuma kk kila la heri uendako

  • @AleniSilas
    @AleniSilas7 жыл бұрын

    Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe

  • @johnsonchaulaya6391

    @johnsonchaulaya6391

    4 жыл бұрын

    wasio penda maendeleo utajua 2

  • @nassrahamad5835
    @nassrahamad58357 жыл бұрын

    hahaha gwajima bhaaanaa noma sana uyu mtu

  • @nawras6517
    @nawras65177 жыл бұрын

    Mh wao wapange skendo na sasa watembeleana na kupozana. Ila wenye akili huona mbali.

  • @manfesto6799
    @manfesto6799Ай бұрын

    Kuna Akili na wahitimu makonda anaakili lakn sio muhitimu

  • @khadijaoman6267
    @khadijaoman62677 жыл бұрын

    kwann msubiri mchakato wa madawa yakulevya mfate makonda mpaka aliko soma kwani askofu karuhusiwa kuiteketeza watu ima waumini kwa madawa ya kulevya

  • @charlesmakonda6606
    @charlesmakonda66067 жыл бұрын

    Wachungaji waongo mchunga wa kweli ni yesu wengine wote hamna lolote sisi tunaimaani na muhammad

  • @elsnyng6815
    @elsnyng68157 жыл бұрын

    Gwajima anajiona kama Papa paul vile😂😂😂

  • @amileyissa9684
    @amileyissa96845 жыл бұрын

    Rip ruge pumzika kwa amani

  • @georgefaustini5679
    @georgefaustini56797 жыл бұрын

    askofu umezungukwa na walemavu,maskin,kibao anajilimbikizia Mali huna aibu.Yale uyasemayo ndio yaujazayo moyo wako.kumbe kuomba msamaha mtu ni kulazimishwa.bado heron unaikumbuka .? kweli kisasi kimeujaza moyo wako

  • @reevesmirondo
    @reevesmirondo7 жыл бұрын

    Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.

  • @reevesmirondo

    @reevesmirondo

    7 жыл бұрын

    husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.

  • @samsonmalongo8459
    @samsonmalongo84597 жыл бұрын

    we Gwajima huna jipya fala wewe. we ni mtumishi wa Mungu au ni kulala waumini na kulopokalopoka umbea kanisani. mjinga wewe

  • @benzkubehwa705

    @benzkubehwa705

    7 жыл бұрын

    box ddbb

  • @rhodamaganga8308

    @rhodamaganga8308

    7 жыл бұрын

    wew huna cha kuongea unam2kana wew kama nani wew hujiekewi

  • @ericakalindu1659

    @ericakalindu1659

    5 жыл бұрын

    @@rhodamaganga8308 hana akiri huyo unamuona yup sawa ww kaka angali na watu wa kuwatukana utapata laana bule

  • @florianhenry7198
    @florianhenry71984 жыл бұрын

    Ulisema utofanya siasa 😂 pole

  • @immakifimbo6721
    @immakifimbo67217 жыл бұрын

    makonda tuna kushaaa-------

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe7 жыл бұрын

    Hotuba ya jumapili itakua kuhusu ziara ya clouds fm...... hao waumini ama wanasiasa

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11667 жыл бұрын

    huyu baba ana masifa sijaona mchungaji wa aina hii katika dunia atakua kweli anahusika na madawa

  • @ibrackibrahim6909

    @ibrackibrahim6909

    2 жыл бұрын

    Shona kuma Wewe

  • @stn4873
    @stn48732 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaaah, these were the Days...

  • @alexchungu8823
    @alexchungu88235 жыл бұрын

    Koromijee

  • @babawahindi7368
    @babawahindi73687 жыл бұрын

    Nyumba na viwanja? wape sembe tu.

  • @issajohn7066
    @issajohn70667 жыл бұрын

    Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake

  • @alfanikamana9062
    @alfanikamana90626 жыл бұрын

    Gwajima wewe,unasema mama yule ni kicha mgonjwa wa akili,mgonjwa wa akili anaweza kwenda ustwa wa jami kuandika nilidanganywa,kicha hawezi kuandika askofu

  • @bonita329
    @bonita3295 жыл бұрын

    bashite ziro brain 😂😂🤣☝️

  • @zombazezu
    @zombazezu7 жыл бұрын

    Safi Gwajima

  • @BennyChristian
    @BennyChristian7 жыл бұрын

    Apigweeeeeeeeeeeeeeee zero hazikubaliki na wanao msupport zero pia

  • @Adryfierce
    @Adryfierce7 жыл бұрын

    Gwajima ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aroonmuchunguzi3442
    @aroonmuchunguzi34425 жыл бұрын

    R.I.P RUGEE

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif93847 жыл бұрын

    ruge ana mtetea hapo wazi umekula pesa ww mnafiki anapotezea kutaka kuombewa ache wandishi wamulize

  • @taremwajkaihula3561
    @taremwajkaihula35612 жыл бұрын

    Upovizuri gwajima

  • @judithkapaga5917
    @judithkapaga59177 жыл бұрын

    dah watu acheni kulaumu mchungaji hv nyie ni wakamilifu sanaaa,,,mnadhan hana moyo wa nyama kama sie.

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын

    DUDU BAYA YUPO PABAYA ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone SIKILIZA

  • @jacobjacob648
    @jacobjacob6485 жыл бұрын

    R.I.P ruge

  • @marcelosylvester1287
    @marcelosylvester12875 жыл бұрын

    Gwajima mnafkii

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo90967 жыл бұрын

    hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.