Askofu Gwajima alivyotembelea Clouds Media Group leo
Жүктеу.....
Пікірлер: 236
@danielezekiel28607 жыл бұрын
Kazi ya wachungaji ni pamoja na kutia moyo na kufariji pia. Hongera pastor.
@mottofoundationinc.34927 жыл бұрын
ONLY SMART BRAIN CAN UNDERSTAND THIS GREATEST GUY(GWAJIMA)..
@sadickwalker2795
4 жыл бұрын
True.
@MakoyeAman7 жыл бұрын
Great message>>>>> uko vizur Gwajima in your mind
@zuhuraabdurlazack80087 жыл бұрын
Kiukweli mim nmekuelewa sana gwajima...big up na Ukweli tumeujua...mim nakuamin
@abdulmtausi66727 жыл бұрын
Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie
@floriantelele83067 жыл бұрын
gwajima katika ubora wake
@abbasboniphace5444
7 жыл бұрын
Florian Telele dam u got my day😂😂😂
@manyotaskipper57657 жыл бұрын
gwaji unawaombea clouds wanunue magari na viwanja si ungewaombea wauone ufalme wa Mungu waingie peponi
@noxlosingida2369
7 жыл бұрын
hahahaha umeonae hata hajatamka ufalme wa Mbiguni
@noelndelwa1964
5 жыл бұрын
Abdulatif Said wokovu upon kwa njia nyingi
@witneskimario6336
3 жыл бұрын
Uamna mtu anaempeleka mtu mbinguni ufalme wamungu unautafuta mwenyewe dear
@fikiryhamees58585 жыл бұрын
Nikimuangalia luge najikuta nalia kama yupo dunian jaman dah!
@vianeyminja5757 жыл бұрын
gwajima hujawahi kuniangusha,. ww ni born town
@abdonmsafiri3770
7 жыл бұрын
waoooh keep it up mr gwajima i am very proud of you my son
@sweetmama32427 жыл бұрын
Aaaaamen. Aaaaamen. Yesu ni Bwana. Mungu akubariki sana mchungaji kwa maneno yako mazuri, ya busara na hekima. I ❤ youuuuuuuuuuuu.....!
@ramadhansemgayo35385 жыл бұрын
Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna
@Mwl_Sanga7 жыл бұрын
#Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu, #Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....
@lutonjalushu923
7 жыл бұрын
hongera mh. gwajima
@williammeena33697 жыл бұрын
Big up Bishop Gwajima
@josiahpaul35327 жыл бұрын
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni big up pastr nme kuelewanme kuelewa
@seifmillanzi96737 жыл бұрын
namwona boss ruge dizain anacheka ivi
@kigendihassan6307 жыл бұрын
MTU akikulushia mawe usimludishie, yakusanye ujengee daraja kuelekea ktk mafanikio.
@petermwangi7047
5 жыл бұрын
Asante sana
@christophermakunzo42327 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, umeeleweka kwa kiasi cha juu sana kutokana na sakata hili. Pole.
Well said,"Man can not run away from the truth though can only be delayed".
@tinnomdete48417 жыл бұрын
hivi mnaosema gwajima ni mwanasiasa hivi jifikirie mara 2 umetajwa unauza madawa ya kulevya au unambiwa hafanyi hiyo biashara achani zenu
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ana elewa maana ya neno kichaa ! kichaa ana omba msamaha kichaaa anafundishwa sema umezaa na gwajima ! huu msani km clouds
@emmanuelaggery68777 жыл бұрын
duu kmbe gwajima sio wakitoto aisee kumbee he is that big makanisa 470 nje ya nchii......
@lawrancemngazija2216
4 жыл бұрын
Hammer
@frolamrema36835 жыл бұрын
Ruge wangu never forget my lovely friend
@abdulmillanzi73557 жыл бұрын
Daaah Bosi Ruge anaonekana bado hayuko sawa kabisa.
@bonakwelilema96006 жыл бұрын
Gwajima kagundua kitu kweli mchungaji au asko ni msema kweli bila kuogopa kitu kuhusu madawa na tatizo na bashite
@onesmoakwilini62545 жыл бұрын
Mchawi kajaaa msibani..R.I.P kaka
@vumiliambehi797 жыл бұрын
hebu mungu awatangulie wote wenye sakata hili
@zandakingfujo77077 жыл бұрын
haya sawa ushamwambia rais tafuta mahali utulie
@musasaidi7973
7 жыл бұрын
Hahahaha
@angellamwanri84147 жыл бұрын
Safi sana Gwajima...
@trilionea_online_TV5 жыл бұрын
Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,
@williamkavuta5193
5 жыл бұрын
Jefta Trilionea acha mawazo hasi ghafla kafa na ajali huyo? Unajua kifo cha ghafla wewe.Funguka ki mawazo acha kuwa na negativity.RIP
@loner_wolf3 жыл бұрын
Mayor wa mwanza, sio dar es salaam mkuu... ENDELEA...
@fatmaalrashdi15777 жыл бұрын
wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu
@hashimmusa9485
7 жыл бұрын
wanaomtetea makonda wamepata zero
@hamzabingwe4178
5 жыл бұрын
Fatma Alrashdi mmmmmmm aya
@stn48732 жыл бұрын
Lilikua ni suala la muda tu, Mwenyezi Mungu kafanya yake.
@januarypeter46557 жыл бұрын
mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?
@seifmohamedseif9384
7 жыл бұрын
January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa
@privamariki26757 жыл бұрын
duuuu yaani nyie camera munazo yaani picha zenu zinaonekani clear
@januarypeter46557 жыл бұрын
yani watu bwana eti mnamuona gwajima mjinga embu fikiri kama ndo ww?
@alfanikamana9062
6 жыл бұрын
January Peter gwajima kasema uyo mama ni kicha,tena anasema yuko ana andika kicha anaweza kuandika?
@saumuhassan13657 жыл бұрын
😂😂😂😏😏 Ni sheeeedah! Thankx Mr countdown *Millard Ayo* kwa habar
@josephthobias2056
6 жыл бұрын
kumbe ruge alikwita ooooh umepa pole na kumwombea ila habari za shujaa wako mh.makonda umezigusa gusa .makonda
@millitarybattalion75152 жыл бұрын
Kweli Leo nimeamini mzoga umetoa asari 2021
@emmypaul74555 жыл бұрын
Pumzika salama ruge
@lwijimsafiri65457 жыл бұрын
ur intelligence and compitent gwajima
@asserymmary26967 жыл бұрын
media wamesha Ramba Jokery...atakoma mwenye jiji lake aliramba Kopa
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Good job
@velmaagwona19455 жыл бұрын
Kila Mara nikimuona ruge akiongea namuona kama yuko hai jamani inauma,
@fatwimamakungu54567 жыл бұрын
joyc love love hahaha anajimwaga hahaha yani ww mtoto nime kushindwa ww hahaha anajimwaga kama muimba tarabu hahaha jamani atwaleeee
@Tiffany3407 жыл бұрын
Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu
@newasddong5865
7 жыл бұрын
Fetry John kabisa
@magrethlucas7928
7 жыл бұрын
Hahahahaha chizi huyo
@BigZhumbe7 жыл бұрын
Asa Bwana Gwajima Kingereza ni kuonyesha amesoma sana au......... Ongea Kiswahili tukuelewe
@bonita3295 жыл бұрын
umenifurahisha sana mzee.😂😂 nchi yetu imepatwa viongozi wa ajabu kwakweli hali si shwari
@jacklinelyimo74077 жыл бұрын
Kazi ya mchungaji nikutetea pia Taifa wananchi ksb km yeye anajulikana ulimwenguni atakaaje kimya nani atamwelewa ni vizuri aliweke wazi kabisa
@erastoeraxx93417 жыл бұрын
Kwanini kila jambo la mwanasiasa wote tunamjua lakini wewe unapenda kutolea Maelezo! ®
@kaayaester97395 жыл бұрын
Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo
@mathamalila31115 жыл бұрын
hahaahaaaa ulifwatilia ili iweje mwache apige kazi fwata ya mungu na siku zote MTU wa mungu anasamehe na kuwaombea wanao muuzi lakini kwako ni shida,
@Hassan_Mengi7 жыл бұрын
Fikiria kama Bashite angekuwa amekaa next to Gwajima, ingekuwaje?
@FarmChoiceLtd7 жыл бұрын
Gwajima kwa mbwebwe!!
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Hiyo ilikuwa mbaya sana aisee watu kufukuzwa kazi kisa vyeti dah iliathiri wengi sana
@emmanuelsemwaiko22807 жыл бұрын
watanzania kuendelea ni ndoto sana kiukweli,tunajishughulisha na vitu ambavyo si maswala ya msingi,Mwenyezi Mungu tusAidie
@stellahemilian91687 жыл бұрын
We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu
@chekajumasebunga83587 жыл бұрын
Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.
@hongerakkachawasemewwkzbut49967 жыл бұрын
duuu gwajima ww ww acha maneno mengi ww hata mungu hapendi kila saa wamsema makonda kwann lakini ww
@bonita329
5 жыл бұрын
sasa huyo bashite kashfa aliyompatia mchungaji ndogo?
@fredreckmwakalinga3475
5 жыл бұрын
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania huo ndo ukweli unataka nini ?
@saladaniel92743 жыл бұрын
Leo yuu wapi makonda??
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ana mkatisha haraka asionge anajua maswali yatafikia mahali atajingiza ktk 18 siri itoke kwanini usiache amalize mwenyewe
@philipomichael54777 жыл бұрын
hakika ukweli utabaki daima. MUNGU AKUPE HEKIMA KAMA SULEIMAN.
@johnkyara8655 Жыл бұрын
Utawala wa makofuli ulitesa watu 😢😢😢
@rogersgeorge29204 жыл бұрын
God is good
@factdonotlie83016 жыл бұрын
Lisha chacha baba fanya maubili hapa kazi tu
@allymwashambwa59207 жыл бұрын
Jaribu kwa mtu si kwamba ni mtenda dhambi Bali ni wakati ambao ni Lazima apitie, wote mnaomsemea mabaya mch gwajima mnakosea na wengine mnathubutu kusema fimbo ya mungu itamkuta, nani anaejua mawazo ya mungu??? Jibu hakuna, mimi namwombea mtumishi wa Mungu mema
@leonardjeremia15257 жыл бұрын
mtu akimwaga ugali ww mwaga mboga
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Ruge umeniuma kk kila la heri uendako
@AleniSilas7 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe
@johnsonchaulaya6391
4 жыл бұрын
wasio penda maendeleo utajua 2
@nassrahamad58357 жыл бұрын
hahaha gwajima bhaaanaa noma sana uyu mtu
@nawras65177 жыл бұрын
Mh wao wapange skendo na sasa watembeleana na kupozana. Ila wenye akili huona mbali.
@manfesto6799Ай бұрын
Kuna Akili na wahitimu makonda anaakili lakn sio muhitimu
@khadijaoman62677 жыл бұрын
kwann msubiri mchakato wa madawa yakulevya mfate makonda mpaka aliko soma kwani askofu karuhusiwa kuiteketeza watu ima waumini kwa madawa ya kulevya
@charlesmakonda66067 жыл бұрын
Wachungaji waongo mchunga wa kweli ni yesu wengine wote hamna lolote sisi tunaimaani na muhammad
@elsnyng68157 жыл бұрын
Gwajima anajiona kama Papa paul vile😂😂😂
@amileyissa96845 жыл бұрын
Rip ruge pumzika kwa amani
@georgefaustini56797 жыл бұрын
askofu umezungukwa na walemavu,maskin,kibao anajilimbikizia Mali huna aibu.Yale uyasemayo ndio yaujazayo moyo wako.kumbe kuomba msamaha mtu ni kulazimishwa.bado heron unaikumbuka .? kweli kisasi kimeujaza moyo wako
@reevesmirondo7 жыл бұрын
Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.
@reevesmirondo
7 жыл бұрын
husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.
@samsonmalongo84597 жыл бұрын
we Gwajima huna jipya fala wewe. we ni mtumishi wa Mungu au ni kulala waumini na kulopokalopoka umbea kanisani. mjinga wewe
@benzkubehwa705
7 жыл бұрын
box ddbb
@rhodamaganga8308
7 жыл бұрын
wew huna cha kuongea unam2kana wew kama nani wew hujiekewi
@ericakalindu1659
5 жыл бұрын
@@rhodamaganga8308 hana akiri huyo unamuona yup sawa ww kaka angali na watu wa kuwatukana utapata laana bule
@florianhenry71984 жыл бұрын
Ulisema utofanya siasa 😂 pole
@immakifimbo67217 жыл бұрын
makonda tuna kushaaa-------
@BigZhumbe7 жыл бұрын
Hotuba ya jumapili itakua kuhusu ziara ya clouds fm...... hao waumini ama wanasiasa
@mariamfaki11667 жыл бұрын
huyu baba ana masifa sijaona mchungaji wa aina hii katika dunia atakua kweli anahusika na madawa
@ibrackibrahim6909
2 жыл бұрын
Shona kuma Wewe
@stn48732 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaaah, these were the Days...
@alexchungu88235 жыл бұрын
Koromijee
@babawahindi73687 жыл бұрын
Nyumba na viwanja? wape sembe tu.
@issajohn70667 жыл бұрын
Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake
@alfanikamana90626 жыл бұрын
Gwajima wewe,unasema mama yule ni kicha mgonjwa wa akili,mgonjwa wa akili anaweza kwenda ustwa wa jami kuandika nilidanganywa,kicha hawezi kuandika askofu
@bonita3295 жыл бұрын
bashite ziro brain 😂😂🤣☝️
@zombazezu7 жыл бұрын
Safi Gwajima
@BennyChristian7 жыл бұрын
Apigweeeeeeeeeeeeeeee zero hazikubaliki na wanao msupport zero pia
@Adryfierce7 жыл бұрын
Gwajima ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@aroonmuchunguzi34425 жыл бұрын
R.I.P RUGEE
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ruge ana mtetea hapo wazi umekula pesa ww mnafiki anapotezea kutaka kuombewa ache wandishi wamulize
@taremwajkaihula35612 жыл бұрын
Upovizuri gwajima
@judithkapaga59177 жыл бұрын
dah watu acheni kulaumu mchungaji hv nyie ni wakamilifu sanaaa,,,mnadhan hana moyo wa nyama kama sie.
@yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын
DUDU BAYA YUPO PABAYA ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone SIKILIZA
@jacobjacob6485 жыл бұрын
R.I.P ruge
@marcelosylvester12875 жыл бұрын
Gwajima mnafkii
@joycemashikolo90967 жыл бұрын
hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.
Пікірлер: 236
Kazi ya wachungaji ni pamoja na kutia moyo na kufariji pia. Hongera pastor.
ONLY SMART BRAIN CAN UNDERSTAND THIS GREATEST GUY(GWAJIMA)..
@sadickwalker2795
4 жыл бұрын
True.
Great message>>>>> uko vizur Gwajima in your mind
Kiukweli mim nmekuelewa sana gwajima...big up na Ukweli tumeujua...mim nakuamin
Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie
gwajima katika ubora wake
@abbasboniphace5444
7 жыл бұрын
Florian Telele dam u got my day😂😂😂
gwaji unawaombea clouds wanunue magari na viwanja si ungewaombea wauone ufalme wa Mungu waingie peponi
@noxlosingida2369
7 жыл бұрын
hahahaha umeonae hata hajatamka ufalme wa Mbiguni
@noelndelwa1964
5 жыл бұрын
Abdulatif Said wokovu upon kwa njia nyingi
@witneskimario6336
3 жыл бұрын
Uamna mtu anaempeleka mtu mbinguni ufalme wamungu unautafuta mwenyewe dear
Nikimuangalia luge najikuta nalia kama yupo dunian jaman dah!
gwajima hujawahi kuniangusha,. ww ni born town
@abdonmsafiri3770
7 жыл бұрын
waoooh keep it up mr gwajima i am very proud of you my son
Aaaaamen. Aaaaamen. Yesu ni Bwana. Mungu akubariki sana mchungaji kwa maneno yako mazuri, ya busara na hekima. I ❤ youuuuuuuuuuuu.....!
Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna
#Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu, #Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....
@lutonjalushu923
7 жыл бұрын
hongera mh. gwajima
Big up Bishop Gwajima
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni big up pastr nme kuelewanme kuelewa
namwona boss ruge dizain anacheka ivi
MTU akikulushia mawe usimludishie, yakusanye ujengee daraja kuelekea ktk mafanikio.
@petermwangi7047
5 жыл бұрын
Asante sana
Mtumishi wa Mungu, umeeleweka kwa kiasi cha juu sana kutokana na sakata hili. Pole.
hongera sana mchungaji
Hahahaaaa mnunue gari mjenge majumbaaa te teteteteeee Amen mchungaji mwana siasa
Well said,"Man can not run away from the truth though can only be delayed".
hivi mnaosema gwajima ni mwanasiasa hivi jifikirie mara 2 umetajwa unauza madawa ya kulevya au unambiwa hafanyi hiyo biashara achani zenu
ana elewa maana ya neno kichaa ! kichaa ana omba msamaha kichaaa anafundishwa sema umezaa na gwajima ! huu msani km clouds
duu kmbe gwajima sio wakitoto aisee kumbee he is that big makanisa 470 nje ya nchii......
@lawrancemngazija2216
4 жыл бұрын
Hammer
Ruge wangu never forget my lovely friend
Daaah Bosi Ruge anaonekana bado hayuko sawa kabisa.
Gwajima kagundua kitu kweli mchungaji au asko ni msema kweli bila kuogopa kitu kuhusu madawa na tatizo na bashite
Mchawi kajaaa msibani..R.I.P kaka
hebu mungu awatangulie wote wenye sakata hili
haya sawa ushamwambia rais tafuta mahali utulie
@musasaidi7973
7 жыл бұрын
Hahahaha
Safi sana Gwajima...
Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,
@williamkavuta5193
5 жыл бұрын
Jefta Trilionea acha mawazo hasi ghafla kafa na ajali huyo? Unajua kifo cha ghafla wewe.Funguka ki mawazo acha kuwa na negativity.RIP
Mayor wa mwanza, sio dar es salaam mkuu... ENDELEA...
wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu
@hashimmusa9485
7 жыл бұрын
wanaomtetea makonda wamepata zero
@hamzabingwe4178
5 жыл бұрын
Fatma Alrashdi mmmmmmm aya
Lilikua ni suala la muda tu, Mwenyezi Mungu kafanya yake.
mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?
@seifmohamedseif9384
7 жыл бұрын
January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa
duuuu yaani nyie camera munazo yaani picha zenu zinaonekani clear
yani watu bwana eti mnamuona gwajima mjinga embu fikiri kama ndo ww?
@alfanikamana9062
6 жыл бұрын
January Peter gwajima kasema uyo mama ni kicha,tena anasema yuko ana andika kicha anaweza kuandika?
😂😂😂😏😏 Ni sheeeedah! Thankx Mr countdown *Millard Ayo* kwa habar
@josephthobias2056
6 жыл бұрын
kumbe ruge alikwita ooooh umepa pole na kumwombea ila habari za shujaa wako mh.makonda umezigusa gusa .makonda
Kweli Leo nimeamini mzoga umetoa asari 2021
Pumzika salama ruge
ur intelligence and compitent gwajima
media wamesha Ramba Jokery...atakoma mwenye jiji lake aliramba Kopa
Good job
Kila Mara nikimuona ruge akiongea namuona kama yuko hai jamani inauma,
joyc love love hahaha anajimwaga hahaha yani ww mtoto nime kushindwa ww hahaha anajimwaga kama muimba tarabu hahaha jamani atwaleeee
Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu
@newasddong5865
7 жыл бұрын
Fetry John kabisa
@magrethlucas7928
7 жыл бұрын
Hahahahaha chizi huyo
Asa Bwana Gwajima Kingereza ni kuonyesha amesoma sana au......... Ongea Kiswahili tukuelewe
umenifurahisha sana mzee.😂😂 nchi yetu imepatwa viongozi wa ajabu kwakweli hali si shwari
Kazi ya mchungaji nikutetea pia Taifa wananchi ksb km yeye anajulikana ulimwenguni atakaaje kimya nani atamwelewa ni vizuri aliweke wazi kabisa
Kwanini kila jambo la mwanasiasa wote tunamjua lakini wewe unapenda kutolea Maelezo! ®
Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo
hahaahaaaa ulifwatilia ili iweje mwache apige kazi fwata ya mungu na siku zote MTU wa mungu anasamehe na kuwaombea wanao muuzi lakini kwako ni shida,
Fikiria kama Bashite angekuwa amekaa next to Gwajima, ingekuwaje?
Gwajima kwa mbwebwe!!
Hiyo ilikuwa mbaya sana aisee watu kufukuzwa kazi kisa vyeti dah iliathiri wengi sana
watanzania kuendelea ni ndoto sana kiukweli,tunajishughulisha na vitu ambavyo si maswala ya msingi,Mwenyezi Mungu tusAidie
We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu
Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.
duuu gwajima ww ww acha maneno mengi ww hata mungu hapendi kila saa wamsema makonda kwann lakini ww
@bonita329
5 жыл бұрын
sasa huyo bashite kashfa aliyompatia mchungaji ndogo?
@fredreckmwakalinga3475
5 жыл бұрын
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania huo ndo ukweli unataka nini ?
Leo yuu wapi makonda??
ana mkatisha haraka asionge anajua maswali yatafikia mahali atajingiza ktk 18 siri itoke kwanini usiache amalize mwenyewe
hakika ukweli utabaki daima. MUNGU AKUPE HEKIMA KAMA SULEIMAN.
Utawala wa makofuli ulitesa watu 😢😢😢
God is good
Lisha chacha baba fanya maubili hapa kazi tu
Jaribu kwa mtu si kwamba ni mtenda dhambi Bali ni wakati ambao ni Lazima apitie, wote mnaomsemea mabaya mch gwajima mnakosea na wengine mnathubutu kusema fimbo ya mungu itamkuta, nani anaejua mawazo ya mungu??? Jibu hakuna, mimi namwombea mtumishi wa Mungu mema
mtu akimwaga ugali ww mwaga mboga
Ruge umeniuma kk kila la heri uendako
Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe
@johnsonchaulaya6391
4 жыл бұрын
wasio penda maendeleo utajua 2
hahaha gwajima bhaaanaa noma sana uyu mtu
Mh wao wapange skendo na sasa watembeleana na kupozana. Ila wenye akili huona mbali.
Kuna Akili na wahitimu makonda anaakili lakn sio muhitimu
kwann msubiri mchakato wa madawa yakulevya mfate makonda mpaka aliko soma kwani askofu karuhusiwa kuiteketeza watu ima waumini kwa madawa ya kulevya
Wachungaji waongo mchunga wa kweli ni yesu wengine wote hamna lolote sisi tunaimaani na muhammad
Gwajima anajiona kama Papa paul vile😂😂😂
Rip ruge pumzika kwa amani
askofu umezungukwa na walemavu,maskin,kibao anajilimbikizia Mali huna aibu.Yale uyasemayo ndio yaujazayo moyo wako.kumbe kuomba msamaha mtu ni kulazimishwa.bado heron unaikumbuka .? kweli kisasi kimeujaza moyo wako
Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.
@reevesmirondo
7 жыл бұрын
husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.
we Gwajima huna jipya fala wewe. we ni mtumishi wa Mungu au ni kulala waumini na kulopokalopoka umbea kanisani. mjinga wewe
@benzkubehwa705
7 жыл бұрын
box ddbb
@rhodamaganga8308
7 жыл бұрын
wew huna cha kuongea unam2kana wew kama nani wew hujiekewi
@ericakalindu1659
5 жыл бұрын
@@rhodamaganga8308 hana akiri huyo unamuona yup sawa ww kaka angali na watu wa kuwatukana utapata laana bule
Ulisema utofanya siasa 😂 pole
makonda tuna kushaaa-------
Hotuba ya jumapili itakua kuhusu ziara ya clouds fm...... hao waumini ama wanasiasa
huyu baba ana masifa sijaona mchungaji wa aina hii katika dunia atakua kweli anahusika na madawa
@ibrackibrahim6909
2 жыл бұрын
Shona kuma Wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaaah, these were the Days...
Koromijee
Nyumba na viwanja? wape sembe tu.
Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake
Gwajima wewe,unasema mama yule ni kicha mgonjwa wa akili,mgonjwa wa akili anaweza kwenda ustwa wa jami kuandika nilidanganywa,kicha hawezi kuandika askofu
bashite ziro brain 😂😂🤣☝️
Safi Gwajima
Apigweeeeeeeeeeeeeeee zero hazikubaliki na wanao msupport zero pia
Gwajima ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
R.I.P RUGEE
ruge ana mtetea hapo wazi umekula pesa ww mnafiki anapotezea kutaka kuombewa ache wandishi wamulize
Upovizuri gwajima
dah watu acheni kulaumu mchungaji hv nyie ni wakamilifu sanaaa,,,mnadhan hana moyo wa nyama kama sie.
DUDU BAYA YUPO PABAYA ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone SIKILIZA
R.I.P ruge
Gwajima mnafkii
hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.