Bishop Gwajima Amejibu Tetesi za Utajiri wake/Anajenga Uwanja wa Watu 60,000 kwa Ajili ya Maombi

Спорт

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mtumishi Josephat Gwajima amefunguka kwenye kipindi cha Power Breakfast kuhusu utajiri wake .....

Пікірлер: 177

  • @mithletlwoyelo6044
    @mithletlwoyelo60444 жыл бұрын

    This is one of the servants of God I respect and listen to.More grace!

  • @felixmwacha6216
    @felixmwacha62164 жыл бұрын

    Yesu alikufa kwa ajil yetu inatupasa kumwamwin il tuingie mbingun nimeielewa hiyo bishop

  • @fidelialucassamkhumbi2476
    @fidelialucassamkhumbi24764 жыл бұрын

    I love the bishop, umaskini haupo mbinguni, ndio negative yenyewe

  • @silajulius3467
    @silajulius3467 Жыл бұрын

    kabisa. muujiza mkuu Ni Mtu kuokoka na kumpokea Yesu Kristo

  • @miltonmugisha1805
    @miltonmugisha18054 жыл бұрын

    Gwajima is very smart Hasa hapo kwenye muujiza mkubwa

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda50344 жыл бұрын

    Uwatakase kwa ile kweli neno lako (Mungu) ndiyo kweli. Yohana 17:17

  • @sindabahabwoyaanacret660

    @sindabahabwoyaanacret660

    4 жыл бұрын

    Sure

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm9 ай бұрын

    I love my Dad gwajima may God bless him

  • @margaretkarambu936
    @margaretkarambu936 Жыл бұрын

    A brilliant Man of God.

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma13393 жыл бұрын

    ndugu gwajima anajibu kwa hekima may GOD bless him

  • @user-sk9jc7fy4f
    @user-sk9jc7fy4f4 ай бұрын

    Unahekima ya kristo ndani yako mzee ❤❤❤

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga35314 жыл бұрын

    my role model

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji99604 жыл бұрын

    clouds Tunaomba mtuleteee video za Sam_Sasali akiwa anaperusi na kudadisi na wakina kipanya

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya4 жыл бұрын

    Kwanini mko studio but mchukua local video sauti haiko well

  • @mariarashid6140
    @mariarashid6140 Жыл бұрын

    Bishop wangu gwajima tunakupenda

  • @Patience.67
    @Patience.672 жыл бұрын

    Nampenda Baba gwajima enyewe ana mafunzo mema

  • @abahimbangerina380
    @abahimbangerina3804 жыл бұрын

    SIZYA hebu fanya upate mwenzio maana nimekuona leo kumbe umeisha kuwa mtu mzima. Napenda maongezi na maswali yenu...challenging questions.

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola59504 жыл бұрын

    Huwa najiuliza sana WATU WA mungu kuwa matajiri NA kushindwa kusaidia maskini NI SAHIHI kweli? Ndiyo mungu anasema HIVYO. Huwa sijasikia hapa kwetu Tz wachungaji wakisaidia WATU wanapopata majanga. NI toe mfano kwa NABII TB JOSHUA JINSI MUNGU ANAVYO MBARIKI NA KUWAPONYA WATU WAKE KWA HATUA HIYO NAONA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU.

  • @mathewssilungwe7692

    @mathewssilungwe7692

    2 жыл бұрын

    Hakuna mtumishi nabi kama TB Joshua hapa TZ.... Yule TB Joshua alitoka kwa Yesu na pia tutamuona wote tukifa Mbinguni.

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho24324 жыл бұрын

    Shikamooh gwajima

  • @azizaz1628

    @azizaz1628

    4 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 Barack! 🤔

  • @laurentmbakile9389
    @laurentmbakile93894 жыл бұрын

    Leo cameraman yuko vizur!

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92184 жыл бұрын

    Amen.

  • @ovn-sportswear4983
    @ovn-sportswear49834 жыл бұрын

    Kabla ya yote watangazaji na waumi nendeni mkaisikilize nyimbo ya afande sele ft bele9 dini zililetwa tu kutoka mashariki ya mbali sasa inashangaza amzungumzii kabla ya hao watu weupe kuja africa sisi watu weusi tulikuwa hatu mungu wa mtume mweusi tiii kamimi au wewe leo hii unajifanya unaimani ya kuletewa

  • @azizaz1628

    @azizaz1628

    4 жыл бұрын

    Ukitaka kusema hivo enzi hizo hata Hospital hazikuwepo viwanda mashule, umeme nk

  • @azizaz1628

    @azizaz1628

    4 жыл бұрын

    Na kingine hata ww said hukuwa na dini hiyo kabla ya mwarabu

  • @bernardmwenda5186

    @bernardmwenda5186

    4 жыл бұрын

    Said Athmani, inaonesha hujui Mungu ni nini! Unafikiria kuwa Mungu unaweza kumtengeneza hata wewe akawa Mungu wako. Mungu ni muumba wa wote, ni Baba wa wote wenye mwili. Wazungu kama waliteta dini ambayo hukuielewa inaweza kuwa sawa kwa sababu kuna dini nyingi; zinazoitwa za Kikristo na zinazoitwa za Kiislam. Dini siyo Mungu, lakini Mungu bado yuko. Mungu anawafanya watu kuacha dhambi wakishamtambua na kujua madhara ya dhambi, kwamba ni moto wa Jehanam. Nikizungumza hilo bado utasema ni mafundisho ya kizungu au ya kigeni; ni kwa sababu hujampokea huyo Mungu. Nikikuelezea kwa maandiko katika biblia utasema zimeletwa na wageni, bado moyo wako utakuwa mbali. Jambo moja fahamu tu kuwa, sisi ni viumbe, hatutaishi milele hapa duniani, na aliyetuumba ni Mungu mwenye haki yote, anataka tuishi maisha ya kutokuwa na dhambi au maisha ya utakatifu, Zaburi 16:3. Mwanadamu kwa jitihada hawezi kuishi maisha hayo, ni mpaka ajitambui na ahitaji msaada wa kushinda dhambi kutoka kwa Mungu mweyewe. Ni suala geni kwako, lakini tu ni kwamba wenye dhambi wote , wakifa wanaenda jehanamu ya moto, kama huamini utakapokuwa umekufa utaamini maneno haya.

  • @marygregory7566
    @marygregory75664 жыл бұрын

    Baba angu Askofu akiongea natamani Kila mtu anyamaze nimsikie kwa Makini

  • @sospeterkamala5481
    @sospeterkamala54814 жыл бұрын

    Hao watangazazaji wamekutana na kichwa kinachowazidi akili na Mungu

  • @user-uo5em7im6b
    @user-uo5em7im6b2 ай бұрын

    Askofu Gwajima ichambue bible

  • @denistimothy6650
    @denistimothy66504 жыл бұрын

    Yan uyo lady presenter ana put much concentration ya kuhangaika na kisim chake kuchukua video wakat kuna camera zimefungwa apo 😅😷

  • @RaimundoZacariasJonas-jq1bg
    @RaimundoZacariasJonas-jq1bg6 ай бұрын

    Nimependa apo kwenhe muhujiza

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji99604 жыл бұрын

    Ila masoud naona umemuivisha ciza

  • @azizaz1628
    @azizaz16284 жыл бұрын

    Leteni zaka kamilighalani ili kiwemo chakula ktk nyumba yangumkanijaribu kwa njia hiyo asema Bwana wa majeshi. Malaki 3:10 Nataka kusema nn zaka na sadaka ni mali ya Bwana. Kwa hiyo hata gwajima ni lzm atoe zaka na sadaka tena kwa uaminifu na km hatoi bibilia inamuhesabu kuwa ni mwizi.

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye55654 жыл бұрын

    Uwezi kujilinganisha na Papa,sababu papa hanamali zake binafsi,malianazo tumia zinabaki kanisani

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    3 жыл бұрын

    Ameongea mfano tu kwani papa ni Nani si binadam tu na yy kuanza Kanisa lake ipo kisheria na hata kutoa sadaka hakuna kudhikiwa bunduki hata ukitaka usiende hushtakiwi sadaka sadaka Tena wasemaji wa sadaka wao wanatoa mia mbili

  • @user-cj4qz6dp9y
    @user-cj4qz6dp9yАй бұрын

    Mchungaji tu me kuelewa.

  • @jaafarjacka3320
    @jaafarjacka33204 жыл бұрын

    Masoud Kipanya........maswali magumu unauliza

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah74614 жыл бұрын

    Gwajima swali kuhusu utajiri umezungusha nakupa F kwa ulivojibu yaonesha munawaibia ao wananchi

  • @brigithadidas5128

    @brigithadidas5128

    4 жыл бұрын

    Amna mtu anaeibiwa maana sadaka sio lazima

  • @azizaz1628

    @azizaz1628

    4 жыл бұрын

    Kiukweli asemae wanaibiwa wananchi unakuta hasomi maandiko bibilia iko wazi hilo ni 1la pili kuhusu kutaja mali zake acheni kbs mm naona haina mantiki yoyote huwezi kuchukuwa mazingila ya ulaya ukaya leta Afrika hapo nikitu hakiwezekani hapo tu kuna watu walikuwa wanasubiri kwa hamu ataje halafu angeona ambacho kingefatia

  • @queenjaneth886

    @queenjaneth886

    4 жыл бұрын

    Ongea machache Abu maana Mali zake wewe hazikuhusu hata kidogo

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato29414 жыл бұрын

    Acha aendelee kukusanya sadakkma za watu mungu anamuona

  • @queenjaneth886

    @queenjaneth886

    4 жыл бұрын

    Huna Akili kabisa na unachokiongea hujui unaongea tu Bible inasema watu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndo wewe sasa

  • @eliassospeter

    @eliassospeter

    3 жыл бұрын

    Sasa unataka uajiliwe wewe ukakusanye?? Mbona akili kidogo unauliza nini sasa hapa?! Kazi ya sadaka ni nini? Hebu soma na maandiko ili uelewe.

  • @margaretkarambu936

    @margaretkarambu936

    Жыл бұрын

    Ukienda kanisani ni lazima utoe sadaka.

  • @elinihakieliakunda9967
    @elinihakieliakunda99673 жыл бұрын

    Majibu anayotoa kwangu bado sana

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 ай бұрын

    mfuate Kawe utapata majibu yoote na Kiu itaisha

  • @abrahamyohana4953
    @abrahamyohana49534 жыл бұрын

    Oya muachenihuyo gwajima! Mutamuumbua

  • @josej9888
    @josej98884 жыл бұрын

    Chuma hicho.

  • @mr_kajombaremelo_og2134
    @mr_kajombaremelo_og21344 жыл бұрын

    Naipenda clouds

  • @thomasbukuru
    @thomasbukuru Жыл бұрын

    Bishop GWAJIMA Chuma kabixa

  • @chitemakeha2067
    @chitemakeha20674 жыл бұрын

    Mlidhani gwajima kapataje utajiri? Nyie watu gwajima ni intelligent sana yan hamkujua?

  • @syriacussylivester4594

    @syriacussylivester4594

    3 жыл бұрын

    Kweli jamani iweni makin huyoo ni mtumishi mkubwa anaetumika kimungu so badili mawazo yenu ety mtaumbukaaa

  • @raymondmelele1911
    @raymondmelele19114 жыл бұрын

    Uyo jamaa ana point sana

  • @graceufufuo1502
    @graceufufuo15024 жыл бұрын

    👍👍💯

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika6324 жыл бұрын

    Maswali magumu sana aise

  • @iamthefarmerceo2316
    @iamthefarmerceo23164 жыл бұрын

    MasOUD Kipanya is the RADIO PRESENTER OF ANOTHER LEVELS!! Mwaswalii ya akili na yeye anazo akili pia.

  • @sunrishmussan7929
    @sunrishmussan79294 жыл бұрын

    Maswali mengne mnayotakiwa kuwaulza hawa wachungaji nkwamba KWANINI WAMEKUWA HAWAWAXOMEI WAUMINI WAO BAADHI YA SURA KWENYE BIBLE bali wamekuwa wakifichafcha tu mambo na kuwaxomea xehmu wanazoona zitawanufaisha wao?

  • @bernardmwenda5186

    @bernardmwenda5186

    4 жыл бұрын

    Sura ipi kwa mfano ambayo haisomwi?

  • @danielchacha2973

    @danielchacha2973

    4 жыл бұрын

    Mfano wapi

  • @joycegeorge4712

    @joycegeorge4712

    3 жыл бұрын

    Wewe ni mkristo ?¹

  • @akagast5225

    @akagast5225

    3 жыл бұрын

    @@joycegeorge4712 ww hokororo hujambo?

  • @Goodmusic2017
    @Goodmusic20174 жыл бұрын

    Mwenye akili kashaelewa...!! No time to argue...!😃😃😃

  • @emmanuelbasu4672
    @emmanuelbasu46723 жыл бұрын

    nisaidie nmb yako askof Gwajima

  • @idrisatv5540
    @idrisatv55402 жыл бұрын

    Mali ya kanisa nani mwenye kanisa wakati wewe ndiyo mmiliki wa kanisa?

  • @abelbest4984
    @abelbest49844 жыл бұрын

    Gwajima janja janja sana veve ,unajbu maswal kijanja janja sana

  • @balbcheng1815

    @balbcheng1815

    4 жыл бұрын

    Philosophy

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx76772 жыл бұрын

    Mali zake na utajili vina mahusiano gani mwacheni awatumikie tz

  • @wekaputv9406
    @wekaputv94064 жыл бұрын

    Kachemka

  • @azadida801
    @azadida8014 жыл бұрын

    Mchungaji vipi kuhusu dawa ya corona, hapo ndio pa kusaidia, kama kweli unatembea na Yesu wapi dawa ya Corona

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    3 жыл бұрын

    Na baada ya kupona mbona sijaona ukirudisha shukrani kwa Mungu sio vizuri kudhihaki maana hata sisi tunapaswa kuomba sio baada ya tatizo ndio tuambie Watumishi km unahubiri nione na hili ukilifanya neno linasema ktk Ezra inuka maana shuhuli hii inakuhusu

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini84314 жыл бұрын

    Mwongo marizote zamakanisa haya yakireo huwa nimarizo na wanaandikisha kbs serekarini kama mariyao

  • @jerryjuma1339

    @jerryjuma1339

    3 жыл бұрын

    nawewe fungua kanisa Kama unaona anafaidi mwenzio

  • @aceotz2579
    @aceotz25794 жыл бұрын

    Maswali haya mh!🙆

  • @mwaminiwivine2840
    @mwaminiwivine28404 жыл бұрын

    Diyounawapa ujumbe hawasikiye

  • @saidahamada7782
    @saidahamada77824 жыл бұрын

    Mali za sadaka hizo

  • @aminamunezero
    @aminamunezero4 жыл бұрын

    Namkubalisana.sikuhizi simsikikuliamsha dude

  • @isaiahmichael4202

    @isaiahmichael4202

    4 жыл бұрын

    Hakuna aliejaribu kuchokoza

  • @kibonahenry1521
    @kibonahenry15214 жыл бұрын

    Huyu jamaaan anapoint xana

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji99604 жыл бұрын

    maswali lit pekee hiii ndo clouds

  • @hamadshein8272
    @hamadshein82724 жыл бұрын

    Ckuwatuma muende kuponya watu kwa jina langu.mimi nyie cwajui. Yesu huyo ndo anacma sasa cjui hpo pamekaaje.

  • @robathzingu1650

    @robathzingu1650

    4 жыл бұрын

    Una - refer toka wapi hiki unachokisema hapa? Biblia au Korani? Kama ni Biblia toka kitabu gani na aya ya ngapi ndugu?

  • @hamadshein8272

    @hamadshein8272

    4 жыл бұрын

    @@robathzingu1650 yesu kawakana hawa mitume feki hta kabla y cku y mwisho.sasa hta nikikwambia ukacme hta badilika.wewe komaa mpka cku ya mwisho.ukakataliwe live.

  • @hamadshein8272

    @hamadshein8272

    4 жыл бұрын

    @@leokadiakajuna8000 uctoe povu.dogo rudi ucme baibo wewe unaendaga kuimba tu.

  • @hamadshein8272

    @hamadshein8272

    4 жыл бұрын

    @@leokadiakajuna8000 wanao jiita mitume walijua hlo.

  • @marygregory7566

    @marygregory7566

    4 жыл бұрын

    Tutajie hilo andiko linatoka kitabu gani Cha biblia na sura ya ngapi

  • @silverman6930
    @silverman69304 жыл бұрын

    Wajinga ndio wanaoliwa ...

  • @zulugeneral5563

    @zulugeneral5563

    4 жыл бұрын

    kabisa

  • @saidabdul5586

    @saidabdul5586

    4 жыл бұрын

    Harry silver man kabisa

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka8554 жыл бұрын

    hawa ni wachungaji waongo tu wanaijua kweli hawataki kuifundisha.

  • @uhurusamora860
    @uhurusamora8604 жыл бұрын

    Nabii wa shetani huyo tapeli! Yesu hakuwa tajiri wala Papa wa Vatikan sio tajiri ana mamlaka tu!! Kumbuka "Tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupenya ktk tundu la sindano" mungu anakuona!!

  • @bernardmwenda5186

    @bernardmwenda5186

    4 жыл бұрын

    Mamlaka ya Papa ni ya mbinguni au duniani? Papa kwa taarifa yako ni Rais, akiingia nchi yoyote anapigiwa mizinga kama Rais. Rais halafu kiongozi wa dini! Cha msingi nadhani ni utakatifu na uaminifu kwa Mungu, na pia kuhubiria watu kweli ili waende mbinguni.

  • @eh2construction575

    @eh2construction575

    4 жыл бұрын

    Ndo ulivyoelewa kumbe, endelea kuwa maskini. Ukiwmbiwa toa mchango wa kujenga kanisa unahama kanisa, toka kwenye umaskini. Yesu alikuwa maskini ili tuwe matajiri

  • @akagast5225

    @akagast5225

    3 жыл бұрын

    Kwan ww unapenda umasikini?

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary96984 жыл бұрын

    Wewe mchungaji unasema ni mfuasi wa Yesu na Yesu anasema msimwite mtu baba kiimani hapa duniani... Mbona hueleweki... Mathayo 23:9 Mathayo 23:9 BHND Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni. BHND: Biblia Habari Njema

  • @linnamlay3643

    @linnamlay3643

    4 жыл бұрын

    Hiyo tafsiri huwezi kuijua kama huijui biblia,hilo neno baba litakusumbua,usisome biblia kutafuta cha ku comment neno la Mungu kwa mkristo linaeleweka katika kufunuliwa kwa neema tuu,halina degree ya kwanza katika kusoma biblia,unaweza ukaisoma biblia hadi uzeeke usijue alichomaanisha Mungu,lakini anaweza akamfunulia mtoto mchanga,au hata asiyejua kusoma akaijua biblia, so unapotoa maoni jitafakari kwanza nia yako ni ya kimungu au ushabiki usokuw na tija kibiblia???Mungu akufunulie neno lake katika kweli ndugu yangu.

  • @leokadiakajuna8000

    @leokadiakajuna8000

    4 жыл бұрын

    Ttzo hujui inamaana gn km haujui biblia hutoelewa kitu umo

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    4 жыл бұрын

    @@linnamlay3643 wewe unae elewa toa ufafanuzi Yesu kakusudia nini?

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    4 жыл бұрын

    @@leokadiakajuna8000 Nilifikiri ungetoa Andiko kua unaweza mwita Askofu baba hata kama hana mke au umemzidi umri umwite baba

  • @princepeter2110

    @princepeter2110

    4 жыл бұрын

    Ndo ipo hivo ila mkiifata,biblia kichwa,kichwa,utakuwa unasoma riwaya,za bunuas

  • @johnmligo6966
    @johnmligo69664 жыл бұрын

    Nanyie watangazaji muulizeni maswali ya msingi alisema corona HAITAINGIA sasa imeingia ajibu huyo Mungu kigeugeu akoje?

  • @jordanfromyt2861

    @jordanfromyt2861

    4 жыл бұрын

    john mligo labha ulisikia vibaya au?

  • @lechoaidan8416

    @lechoaidan8416

    2 жыл бұрын

    Haijaingia kwake ,,Kama i meingia imekuja na wenyewe tu

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania10054 жыл бұрын

    Daa hii interview ingekuwa kule WASAFI TV comments zingekuwa zaidi M1 ila hapa zipo 81 tu yaani chini ya 100 daa hii ni hatari ndugu zangu watanzania mgonjwa yupo ICU

  • @alexmasea875

    @alexmasea875

    4 жыл бұрын

    We inakuhusu nn mpuuz ww

  • @johnmligo6966
    @johnmligo69664 жыл бұрын

    Come on.... wewe jamaa Baba mtakatifu sio tajiri kama usemavyoooo wala hana utajiri binafsi kama usemavyo.... usiwalaghai watu. Utajiri wa Papa ni wa kanisa na wewe ni wako binafsi.

  • @harrisonsamwel3112

    @harrisonsamwel3112

    4 жыл бұрын

    we tako kweli inamaana hujui kwamba papa ni rais wa roma ?? unajua miongoni mwa watu matajiri duniani yupo papa emb kasome uskae kujibu jibu tu vitu hujui

  • @bernardmwenda5186

    @bernardmwenda5186

    4 жыл бұрын

    Katoliki ni taasisi Papa ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo. Ufufuo na Uzima ni taasisi na Gwajima ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo, tatizo liko wapi? Kama ni mali, taasisi ya Katoliki inayo, na pia Ufufuo na Uzima nao wanayo kidogo kutokana na ukubwa wa taasisi yao. Tatizo liko wapi? Nadhani tatizo ni ile hali ya kuzaliwa katika mazingira hayo, sasa unapoona mazingira mengine unaona kama si halali isipokuwa yale uliyoyazoea unaona ndiyo sawa. Ndiyo maana kutokana na watu kuwa na mazoea hayo, wanafikia hali ya kusema, mtu asipokuwa dini fulani basi hatamwona Mungu; wanadhani kwamba ile dini aliyozaliwa na kurithishwa na wazazi wake ndiyo dini ya kweli; hata mimi ndivyo nilivyokuwa.

  • @hamadhamza8764
    @hamadhamza87644 жыл бұрын

    Hamna kitu hapo sadaka tu za waumini hizo asiwalishe watu matango poli

  • @brigithadidas5128

    @brigithadidas5128

    4 жыл бұрын

    Sasa ww ndo unamjua zaid ya anavojijua yy?

  • @harrisonsamwel3112

    @harrisonsamwel3112

    4 жыл бұрын

    kwani akila sadaka ttzo nini siana wafundisha neno kuna kitu cha bure.

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary96984 жыл бұрын

    Hawa jamaa wana take advantage kutoka watu masikini.. Kwa uongo wao.. Wanafufua au wanaponya kwa jina la Yesu... Mchungaji sasa kuna wagonjwa wa Corona kwanini msiwaponye kwa jina la Yesu?

  • @jamesmlengela156

    @jamesmlengela156

    4 жыл бұрын

    Juma usiseme waongo swali ni je hao wagonjwa wanaamini Yesu anaponya?au Maana imani ndio uponya mtu

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    4 жыл бұрын

    @@jamesmlengela156 wacha uongo wewe toa Andiko jina la Yesu linaponya, mwenyewe Yesu anasema mimi siwezi kufanya jambo lo lote kwa mamlaka yangu mwenyewe... Soma Yohana 5.30

  • @eliarichard9218

    @eliarichard9218

    4 жыл бұрын

    Juma Jaffary yesu anaponya watu kwakuwa Baba yake Mungu wa mbinguni amemluhusu kuponya ndiyo maana hata mtumishi yoyote wa Mungu hawezi kuponya kila mtu Bali mbaka ambiwe na Mungu wake kuwa mtu furani au Fanya jambo furani kwaajili ya nchii na Mungu atakuwa nae cku zote

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    4 жыл бұрын

    @@eliarichard9218 Toa Andiko Mungu kasema Yesu ni mwanangu... Yesu amesema yeye ni mwanadamu

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    4 жыл бұрын

    @@eliarichard9218 matayo 26 62 Kisha kuhani mkuu akasimama, akamwambia Yesu, “Huna jibu? Husikii huo ushahidi waliotoa watu hao?” 63 Lakini Yesu hakusema neno. Basi kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa jina la Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu.” Mungu.” 64 Yesu akajibu, “Umetamka mwenyewe. Lakini nina waambieni nyote kwamba baada ya hapa, mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kulia wa Mungu mwenye uweza na akija juu ya mawingu ya mbin guni

  • @treyguydangote4034
    @treyguydangote40344 жыл бұрын

    Uyo mzee mla sadaka tuu hana lolote dini biashara tuuu

  • @NyumbaniHabariMedia

    @NyumbaniHabariMedia

    4 жыл бұрын

    Aisee! Ushahidi unao?

  • @aliciasuperius3101

    @aliciasuperius3101

    4 жыл бұрын

    Hujui chochote wewe,,,bora at ucngecomment

  • @treyguydangote4034

    @treyguydangote4034

    4 жыл бұрын

    @@aliciasuperius3101 we unajua nn eb nambie

  • @harrisonsamwel3112

    @harrisonsamwel3112

    4 жыл бұрын

    ssa ulitaka afundishe neno bure?

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 жыл бұрын

    Mnajaribu kumtakasa muulizeni kondoo wa bwana kaacha kuwatafuna? Matapeli wajanjawajanja

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 жыл бұрын

    Usiongelee uislam haukuhusu wala haujui.

  • @chripinecharl3s302

    @chripinecharl3s302

    4 жыл бұрын

    MUNGU TUSAIDIE NA HAWA WATUMISHI WA SIKU HIZI!

  • @harrisonsamwel3112

    @harrisonsamwel3112

    4 жыл бұрын

    kaongelea kibaya nin hapo we fala?

  • @frankanold9803

    @frankanold9803

    3 жыл бұрын

    sikujui wewe ni nani lakini I guess anaujua uislamu kuliko wewe

  • @amosidjuma3146

    @amosidjuma3146

    2 жыл бұрын

    @@frankanold9803 Nataka kuwahona anaye tikisa tazaniya mimi ni ir amosi Niko diyarasi

Келесі