SAMPULI YA NYOKA WASIOFAA KUULIWA//SHEIKH ABDUSATAR AHMED

Пікірлер: 25

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340Ай бұрын

    Shukran sheikh kwa elm

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xkАй бұрын

    Jazakhallah khairan sheikh

  • @jamilabadru8087
    @jamilabadru8087Ай бұрын

    Shukran

  • @suleimannationy-ln1wu
    @suleimannationy-ln1wuАй бұрын

    Sasa hizo siku tatu utakua ukilala wp n nyoka yumo ndani

  • @SalumMzee-cw8do
    @SalumMzee-cw8doАй бұрын

    Aljinan nyoka ni Jini huyo mwenye wa kufuga

  • @alhabibismail3031
    @alhabibismail3031Ай бұрын

    mambo mazito.Allah atuhifadhi

  • @twaflemohammed195

    @twaflemohammed195

    Ай бұрын

    Ameen

  • @lexygeisar8303
    @lexygeisar8303Ай бұрын

    Zamani nilimkuta nyoka kwenye draw ya cherehani. Alivyo ingia sijui Nili mwagia mafuta ya taa. Alikimbia Na hakufa. Sasa ndio najua Nili muumiza jini. I hope ale ni samehe

  • @NamiriNamiri-oz4xs

    @NamiriNamiri-oz4xs

    Ай бұрын

    I nataka moyo ukae na nyoka siku Tatu na ulale usingizi ukupate Huo ni mtihani kwa kweli

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero6469Ай бұрын

    Majini hawo ndungu zenu waislam 😂😂😂😂

  • @HeboniBabu

    @HeboniBabu

    Ай бұрын

    Kuwa mstalabu Majini Ni viumbe vya mwenyezi mungu waisilamu awakuja nao

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalimАй бұрын

    Baba nyokaaaaa heeeee

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641Ай бұрын

    Anaitwa puff ader kwa kizungu

  • @mwanajuma595
    @mwanajuma595Ай бұрын

    Kuna cku nilimpiga mtoto wa nyoka lkni aliwa kupotea hakufa lkni nilimwacha na jeraha,baada ya cku tatu mwanangu alikuwa mgonjwa nusra kufa,nikahisi ni yule mtoto wa nyoka mi naamini haya maneno sabab yashani

  • @user-qt5eo8lx4t
    @user-qt5eo8lx4tАй бұрын

    Kifutu .

  • @shabansaid2323
    @shabansaid2323Ай бұрын

    Mungeweka picha za hao nyoka ingependeza

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Ай бұрын

    Nikimuona nitakutumia picha sitamuuwa

  • @umnadyaful
    @umnadyafulАй бұрын

    Hili neno la kusikitisha,huyu amemnukuu Mtume swalaLlahu alehi wa salam sasa uwahabi umeingia wapi hapa?ama tumekua ni kuchukiana tu bila ya msingi?

  • @kassimbitogwa6992
    @kassimbitogwa6992Ай бұрын

    Ambao hawa uwaw tutawajuaj?

  • @user-wm7ci4sc5r
    @user-wm7ci4sc5rАй бұрын

    Mtu akiswali na akamuona nyoka amuuwe huku akiswali kwa vitendo katika swala ,je nyoka hawa ni nyoka gani hawa na pia wanaurafiki gani kwa bina Adam

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641Ай бұрын

    Kwa Kiswahili pumu nyoka

  • @user-lp3gi5wd4e
    @user-lp3gi5wd4eАй бұрын

    Shida yenu MAWAHABI mnajazba,Watu walikua wanajua dini kabla UWAHABI haujaja. Umesema mlikua mnaambiwa mkae mbali nahuyo nyoka badala muamini mnasema ni ukurafi!

  • @user-hq5fg1zj5n

    @user-hq5fg1zj5n

    Ай бұрын

    Ndio ujue sasa kuwa manhaj yetu haitaki kusikia sikia ila yataka kusomwa

  • @user-lp3gi5wd4e

    @user-lp3gi5wd4e

    Ай бұрын

    @@user-hq5fg1zj5n Kuabudu mungu ambae nikijana mwenye vijinywele vilivyokunjamana!!SUBUHANALLAH

  • @usrahismail3196

    @usrahismail3196

    Ай бұрын

    Nyinyi ni dhehebu gani sababu masunni ahutTawhiyd ndio mnaowaita Wahhabi na je nyinyi ni pote ipi? Kisha hiyo ilikuwa ni fikra yake na rika yake wala haiwakilishi wengine