MAMA ASIMULIA JINSI MTOTO WAKE ALIVYOUAWA KIKATILI KWA KUNYONGWA NA BABA WA KAMBO
DODOMA: SOFIA Thadei Mkazi wa Kijiji cha Mwitikila, Kata ya Bahi mkoani Dodoma (27) ameeleza namna mwanaye Goodluck Joseph (5) alivyonyongwa hadi kufa na Baba wa kambo aliyetambulika kwa jina la Stephano Mabula (44) tukio lililotokea katika Kijiji cha Mheme wilayani Chamwino kwa sababu za wivu wa mapenzi.Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09
Пікірлер: 36
Dada pole sana mungu akubariki
Nyie wananchi nao hamjielewi mmeshindwaje kumaliza kesi? Kwa nini mkasumbue polisi wakati mnamikono na macho? Kijiji kizima mna mwogopa mtu mmoja? Au huko wote mademu?😊
Nimeumia mimi jamani mtoto asie nahatia unamnyonga adi anakufa khaaaa Mungu tutetee
Upelelezi Wanini tena mtukishauwa tayari 😢😢😢😢
Halafu tuje tusikie ametoka jela Kwa msamaha wa Raisi na sasa ni Mchungaji anahubiri Dini, mkimtoa jela hata miaka thelathini ijayo tutachukua Sheria mikononi ya kumpiga mawe mpaka tuue
Umekosea sana dada kumwacha mwanao wakati unajua huyo baba siyo mzuri
@evalinemalole6709
13 күн бұрын
Hata pamoja na hayo jaman mtoto anakosa gani?🙌
Sa kama katembea na mwenye nyumba ndo UUE MTOTO?? 😢😢😢
😭😭😭 ivikwanini hamjamuua uyo shetani mungu amlaani
Ndio maana Mimi sitaki kuolewa wanangu walelewe na baba wa kambo Mungu akufanyie wepesi wakati huu mgumu unaopitia mpendwa wangu😢
Inatisha sana na yeye anyongwe tu ameua mtoto asiyenahatia
Inasikitisha San pole Sana no huzuni kubwa sana
Pole sana mwaya inauma
Wananchi nyie mazoba,mlishindwa kulichangia na kuliuwa?
Subuhanallah. Inalillahi wsinailahi rajuun. .huyo baba nini kimemkuta rohombaya ganihiyo mtotomfogo kumuuawa 😢
Tangu afariki magufuli mauwaji yamekuwa mengi sana
Mungu tusaidie
Jamaniii mungu
Mwanamke inaonyesha alipendekeza mapenzi kuliko kuwa makini na mtoto.
Hivi Hawa wanaume wana nini lkn?? Sasa nyinyi police mnafanya upelelezi wa nini wakati kidhibiti kipo 😢 jamani wananchi bora mngechukua sheria mkononi tu
Kwani hakuna viongozi wa serikali? Kwanini msiingeita mjumɓe wa nyumba kumi wakati wa vurugu
Sasa mtto anakosa ganii nahichoo kojiji bongo lala kweli walishindwa kumuadhibu kwanz
Bnada tuna roho mbaya tunasum mbya kushinda ya nyoka
Subhuhana Allah 😢😢😢😢😢
Huyo n kua tu laanahtullah
Huyo aje Arusha,dodoma n mademu Arusha,hee kuku tu w me dedadishwa,,dangote ali deadishwa, huyo n mende mdogo sana Arusha,
@LovenessDaud
6 күн бұрын
Huko Arusha kwenyewe matukio ya kutisha kila siku hata huyo Dangote mwenyewe aliwasumbua Kwa muda gani au mtoto mdogo alikuwa anawatapisha dagaa mijibaba na ndevu zenu Hovyooo😏😏
@Zuu673
22 сағат бұрын
Arusha yenyewe haiko Tanzania 🇹🇿 kwa ukatili nahisi ni jirani zetu
Hilo shetwani likikamatwa lichomwe hadharani.
Hv tanzania mbona wanajiachia sana sasa hv wakat wa magufuli walikua wanaogopa jamani sasa hv wapo huru kabisa jamani aah jamani sasa mtt amekosea nn alf anapelekwa police wakifika wanapewa ugali na maharage wanakula kila cku kama wapo nyumbani ndio maana hawaelew
Mmmh jmn
pole sana dada😢😢😢😢
Mimi naona serikali haichukui hatua kali kama wananchi wa Kenya. Kwanin kila siku matukio hayo yanashamir Tanzania.. Mama Samia wewe ni mzazi unajua uchungu. Kwa nini watu kama Hawa wasinyongwe kama wanavyo fanya falme za kiarab
@user-il5cu6gq5f
13 күн бұрын
Kila kitu mama samia mwache kunywa pombe zetu hizo
@MariamKileo-mu8rv
9 күн бұрын
@@user-il5cu6gq5fhata kama ni pombe ila wapo huru sana kama ni pombe kwann hajasahau njia ya nyumbani
Wababa wamekuwa