MAMA ASIMULIA JINSI MTOTO WAKE ALIVYOUAWA KIKATILI KWA KUNYONGWA NA BABA WA KAMBO

DODOMA: SOFIA Thadei Mkazi wa Kijiji cha Mwitikila, Kata ya Bahi mkoani Dodoma (27) ameeleza namna mwanaye Goodluck Joseph (5) alivyonyongwa hadi kufa na Baba wa kambo aliyetambulika kwa jina la Stephano Mabula (44) tukio lililotokea katika Kijiji cha Mheme wilayani Chamwino kwa sababu za wivu wa mapenzi.Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер: 36

  • @user-rg6jw6ht7t
    @user-rg6jw6ht7t3 күн бұрын

    Dada pole sana mungu akubariki

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale727113 күн бұрын

    Nyie wananchi nao hamjielewi mmeshindwaje kumaliza kesi? Kwa nini mkasumbue polisi wakati mnamikono na macho? Kijiji kizima mna mwogopa mtu mmoja? Au huko wote mademu?😊

  • @elizabethrichard7694
    @elizabethrichard76948 күн бұрын

    Nimeumia mimi jamani mtoto asie nahatia unamnyonga adi anakufa khaaaa Mungu tutetee

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf7455 күн бұрын

    Upelelezi Wanini tena mtukishauwa tayari 😢😢😢😢

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi236213 күн бұрын

    Halafu tuje tusikie ametoka jela Kwa msamaha wa Raisi na sasa ni Mchungaji anahubiri Dini, mkimtoa jela hata miaka thelathini ijayo tutachukua Sheria mikononi ya kumpiga mawe mpaka tuue

  • @neemajames5137
    @neemajames513713 күн бұрын

    Umekosea sana dada kumwacha mwanao wakati unajua huyo baba siyo mzuri

  • @evalinemalole6709

    @evalinemalole6709

    13 күн бұрын

    Hata pamoja na hayo jaman mtoto anakosa gani?🙌

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS3 күн бұрын

    Sa kama katembea na mwenye nyumba ndo UUE MTOTO?? 😢😢😢

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t9 күн бұрын

    😭😭😭 ivikwanini hamjamuua uyo shetani mungu amlaani

  • @LovenessDaud
    @LovenessDaud6 күн бұрын

    Ndio maana Mimi sitaki kuolewa wanangu walelewe na baba wa kambo Mungu akufanyie wepesi wakati huu mgumu unaopitia mpendwa wangu😢

  • @user-kp3hz3qw4m
    @user-kp3hz3qw4m13 күн бұрын

    Inatisha sana na yeye anyongwe tu ameua mtoto asiyenahatia

  • @EdgarRobert-e1s
    @EdgarRobert-e1s14 күн бұрын

    Inasikitisha San pole Sana no huzuni kubwa sana

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t9 күн бұрын

    Pole sana mwaya inauma

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter820013 күн бұрын

    Wananchi nyie mazoba,mlishindwa kulichangia na kuliuwa?

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl13 күн бұрын

    Subuhanallah. Inalillahi wsinailahi rajuun. .huyo baba nini kimemkuta rohombaya ganihiyo mtotomfogo kumuuawa 😢

  • @ShaidaAfati
    @ShaidaAfati3 күн бұрын

    Tangu afariki magufuli mauwaji yamekuwa mengi sana

  • @NeemaAshely-sh1nk
    @NeemaAshely-sh1nk6 күн бұрын

    Mungu tusaidie

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba13 күн бұрын

    Jamaniii mungu

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.89566 күн бұрын

    Mwanamke inaonyesha alipendekeza mapenzi kuliko kuwa makini na mtoto.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g13 күн бұрын

    Hivi Hawa wanaume wana nini lkn?? Sasa nyinyi police mnafanya upelelezi wa nini wakati kidhibiti kipo 😢 jamani wananchi bora mngechukua sheria mkononi tu

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday92147 күн бұрын

    Kwani hakuna viongozi wa serikali? Kwanini msiingeita mjumɓe wa nyumba kumi wakati wa vurugu

  • @annajohn3377
    @annajohn33778 күн бұрын

    Sasa mtto anakosa ganii nahichoo kojiji bongo lala kweli walishindwa kumuadhibu kwanz

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani51347 күн бұрын

    Bnada tuna roho mbaya tunasum mbya kushinda ya nyoka

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o12 күн бұрын

    Subhuhana Allah 😢😢😢😢😢

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz9 күн бұрын

    Huyo n kua tu laanahtullah

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz9 күн бұрын

    Huyo aje Arusha,dodoma n mademu Arusha,hee kuku tu w me dedadishwa,,dangote ali deadishwa, huyo n mende mdogo sana Arusha,

  • @LovenessDaud

    @LovenessDaud

    6 күн бұрын

    Huko Arusha kwenyewe matukio ya kutisha kila siku hata huyo Dangote mwenyewe aliwasumbua Kwa muda gani au mtoto mdogo alikuwa anawatapisha dagaa mijibaba na ndevu zenu Hovyooo😏😏

  • @Zuu673

    @Zuu673

    22 сағат бұрын

    Arusha yenyewe haiko Tanzania 🇹🇿 kwa ukatili nahisi ni jirani zetu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter820013 күн бұрын

    Hilo shetwani likikamatwa lichomwe hadharani.

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rv9 күн бұрын

    Hv tanzania mbona wanajiachia sana sasa hv wakat wa magufuli walikua wanaogopa jamani sasa hv wapo huru kabisa jamani aah jamani sasa mtt amekosea nn alf anapelekwa police wakifika wanapewa ugali na maharage wanakula kila cku kama wapo nyumbani ndio maana hawaelew

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk13 күн бұрын

    Mmmh jmn

  • @aishatest4451
    @aishatest44513 күн бұрын

    pole sana dada😢😢😢😢

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl13 күн бұрын

    Mimi naona serikali haichukui hatua kali kama wananchi wa Kenya. Kwanin kila siku matukio hayo yanashamir Tanzania.. Mama Samia wewe ni mzazi unajua uchungu. Kwa nini watu kama Hawa wasinyongwe kama wanavyo fanya falme za kiarab

  • @user-il5cu6gq5f

    @user-il5cu6gq5f

    13 күн бұрын

    Kila kitu mama samia mwache kunywa pombe zetu hizo

  • @MariamKileo-mu8rv

    @MariamKileo-mu8rv

    9 күн бұрын

    ​@@user-il5cu6gq5fhata kama ni pombe ila wapo huru sana kama ni pombe kwann hajasahau njia ya nyumbani

  • @lucykebacho3446
    @lucykebacho344613 күн бұрын

    Wababa wamekuwa

Келесі