ABUNI MTAMBO UFUNGASHAJI KIWANDANI

Mwalimu wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA, Chotta Christopher amesema wamekuja na Mtaala wa mafunzo ya matumizi ya mashine ya MECHATRINICS STATION baada ya kugundua uhaba wa waendeshaji wa mashine hiyo katika viwanda mbalimbali hapa nchini.
Chotta ameyama hayo katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere maarufu Sabasaba akieleza kuwa Chuo chao kimekuwa kikiangalia changamoto au uhitaji na kuangalia namna ya kutatua.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі