NEEMA TUPU, HOSPITALI YA TEMEKE

TEMEKE, Dar es Salaam: MBUNGE wa Jimbo la Temeke, Dorothy Kilave amesema ataendelea kusimamia sera ya maendeleo katika sekta mbalimbali kwenye jimbo hilo ikiwa ni pamoja na kushughulikia changamoto zilizopo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke na hivyo kuboresha huduma za afya katika jimbo hilo
Ameyasema hayo leo wakati wa hafla ya kukabidhi magari mawili ya wagonjwa katika hospitali hiyo ambapo pamoja na mambo mengine amebainisha kuwa atasimamia upatikanaji wa fedha za ujenzi wa miundombinu ya hospitali hiyo huku akisisitiza umuhimu wa kufanya mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі