MPOTO ATIA FORA SABASABA

DAR ES SALAAM: MUIGIZAJI na Mshititi wa Lugha adhimu ya Kiswahili, Mrisho Mpoto 'Mjomba' leo ameshiriki Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani kwa namna ya aina yake.
-
Akiwa katika banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo sanjari na bendi yake inayotumia michezo ya sarakasi na kuruka na nyoka.
Akiwa ndani ya banda la wizara lililopo kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2024) Mpoto amesema ni fahari kuwa mwanakiswahili na ni budi kuienzi lugha hii inayokuwa zaidi ulimwenguni hadi kufikia kuwa na wazungumzaji milioni 200 ulimwenguni kote.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі