WALIMU WAPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI WA CHAKUHAWATA

DODOMA: WALIMU waliokuwa wakigombea wa nafasi ya Katibu Mkuu, Tumaini Nyagawa na Naibu Katibu Mkuu, Nyavidunda Mhule wamepinga matokeo ya Uchaguzi wa Chama Cha kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (CHAKUHAWATA) uliofanyika jijini Tanga Juni 26. 2024 wakidai kulikuwa na ukiukwaji wa katiba ya Chama hicho.
Wakizungumza na waandishi wa Habari Jijini Dodoma walimu hao wamesema teyari wameshakata rufaa kwa msajili wa Vyama vya wafanyakazi kupinga matokeo hayo huku wakisisitiza kuchukua hatua zaidi
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі