Sh 7.5 bilioni kutumika ujenzi wa awamu ya kwanza ya viwanja vya nanenane Dodoma

Serikali imetenga Sh 7.5 bilioni kwaajili ya awamu ya kwanza ya ujenzi wa viwanja vya kisasa vya maonyesho ya nanenane jijini Dodoma yanayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 01, 2024 ambapo mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa maonyesho hayo atakuwa Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango na kilele kinatarajiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni rasmi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe leo Jumanne, Juni 04, 2024 jijini Dodomba ambapo ameeleza kuwa kaulimbiu ya maonyesho hayo kwa mwaka huu ni chagua viongozi bora wa serikali za mitaa kwa maendeleo endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Пікірлер: 10

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_Ай бұрын

    Hongereni saaana Viongozi wetu, Mbarikiwe

  • @giftmeela6250
    @giftmeela6250Ай бұрын

    Maonyesho ya Arusha yange hamishiwa Babati. Arusha tunahitaji maonyesho ya utalii zaidi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Ай бұрын

    saf sana fanyen kwel bas tunataka kuyaona hayo

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv2161Ай бұрын

    Kanda ya ziwa vipi, Bukoba,Simiyu, Shinyanga?

  • @amosieliadi1504
    @amosieliadi1504Ай бұрын

    Hopo sawa

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978Ай бұрын

    "Chagua viongozi bora wa serikali za mitaa kwa maendeleo endelevu ya kilimo,mifugo na uvuvi". Ramani inapendeza Sanaa ikiwa itatekelezwa Kama inavyoonekana. Huu mradi utachkua muda gani kukabidhiwa? Pongezi kwako mh. Bashe kwa uongozi unaoacha alama. Nasi tunasubiri uwanja wetu wa Nyamon'goro. salaam toka mwanza 🐟.

  • @jofreyfungo1112

    @jofreyfungo1112

    25 күн бұрын

    Matumizi siyo. Anafaidi anayepata tenda na aliyempa.Sisi tubaki na Mungu

  • @amosieliadi1504
    @amosieliadi1504Ай бұрын

    Mbeya mtoa wajinga nyie