TAA YA MIGUU YANGU (Official 4k video) Na F.M.Shimanyi-Kwaya ya Mt. Don Bosco- DECOHAS DODOMA
Karibu kutazama wimbo huu ulioimbwa na
Kwaya: MT. DON BOSCO-DECOHAS
Mtunzi: F.M. SHIMANYI
Sound Eng: F.M. SHIMANYI & DUKE
Kinanda:-DUKE
Video Director: F.M. Shimanyi
Studio: CGen Pro
Mawasiliano: +255765449914
Пікірлер: 152
Eeee mbona raha kuiba jamn nikusali mara bili mungu ata waja Bure kunakitu atachilia kwenu Wana kwanya🎁🥀🥀
Nawapenda ❤❤❤❤ hakika fanyeni Kaz ya mungu wando zangu talata hizo 👏👏👏👏🙏
Nami sina hofu wala shaka..kweli wimbo huu kwangu limekuwa taa ndani ya roho kufungua mwanga ya mafanikio
Woow what's a great composition....waimbaji mko juu,Mungu azidi kuwabariki
Niliungoja sana Huu🤗mtamu sanaaaa❤️❤️❤️
Nawapenda ❤❤❤❤ hakika fanyeni Kaz ya mungu wando zangu talata hizo 👏👏👏👏🙏 3:56
Shimanyi my all time composer. Wanakwaya mmeimba vizuri, na video hii ni noma sana, nimeingoja sana baada ya kuutazama ile ya studio. Kongole kila mmoja aliyefanya jambo kufanikisha.
Hongera sana DECCOHAS kwa utume wa uimbaji
Mambo ya shimanyii ndo hayooo... Waheshimiwa nimesubiria sana huo.wimbo na hatimaye Leo Iko livee hongereni watumishiii mbarikiwe
Big up MUNGU atukuzwe.
Waooooo! Wimbo niliusubri sanaaaaaa
Kazi safi sana na tamu sana Sifa Na Utukufu Kwa MUNGU,heko sana Ndugu Shimanyi,Organist Duke na waimbaji.MUNGU awabariki sana.
Deejay Cedric representing Kenya, @fortune shimanyi, hii ni kazi safi na nimeusubiri sana❤❤❤
Huu wimbo nimeungoja Sana. Congratulations to all choir members.. you are fire
Ooh , hello choir members , thanks for this lovely , lively and lavable production. May OUR LORD bless you always .
Mbarikiwe Kama kama ninavyo barikiwa na wimbo huu
Alleluia!!!!!. At last Taa ya miguu yangu imefika. A song I have been waiting for like a watchman waiting for the dawn to come. Be blessed Bro Shimanyi, without forgetting the choir with your sweet voices. Barikiweni mpaka mshangae.
Nice song Hongereni sana
Aloo Mbarikiwe saana wataalam🎉🎉❤❤
So wonderful ❤, it has very inspiring message ❤❤❤❤❤❤. Mbarikiweni sana
Waooh it's so amazing hongera wanadon bosco❤
Wow....Nice voices...Nice lyrics, Nice melody. Hongereni.
F. M SHIMANYI mtunzi Shupavu
Wah wah ! Jesus Christ! Very nice
I have been waiting this song for the last 3 months thanks shimanyi for this wonderful song
Hongereni sana Vijana kwa Wimbo huu taa ya miguu yangu.
Mungu awabariki sana watumishi
Wow! Beautiful ❤️,love your songs guys.
The long awaited song is finally out.. thank you, much love from🇰🇪
After a long wait finally we're here good job guys
Thanks to God, I was finally waiting for this drop
composition is so lit
Safi sana ❤❤❤
finally nime upata so lovely🥰🥰👌👌
Very appropriate for today's Sunday dedicated to the Word of God.Mbarikiweni sana🎉
Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki
Hurraaaaaayyyy, the wait is finally over ... Mungu taa yangu ❤❤❤❤
Fortune never disappoints, this is amazing
❤❤❤Thanks alot ,this song has been ringing in m mind.The song is well blended and melodious too.keep up
Good work,nice voices,kudos to shimanyi and the team🔥🔥🔥✨
Hongereni sana
Shimanyi umewafikia sana wanafunzi wa Vyuo
Finally imeachiliwa after kungoja for long
@BemukosPoles
6 ай бұрын
yaani nimeungoja mpaka sasa
WE HAVE BEEN WAITING FOR THIS BEST MELODY FOR A LONG TIME;THANKS TO YOU.
Nawapenda ❤
Waooooooooooooooooooooooooh jamani nilisubiri sana hatimaye nimeuona 🎉 pokeeni maua yenu wapenzi 🌹🌹🌹🌹🌹🌹by dada teddy from st. Joseph choir mwecau
@GeorgeMotanya
Ай бұрын
Nikisikiliza huu wimbo stress zangu zakwisha mara mia kila siku🎉🎉🎉🎉🎉🎉.plz toeni ingine wapendwa.Mungu wangu shukia Hawa baraka zako ziwamiminikie kama mvua
Sauti haziskiki kabisa saut ya kwanza iko sawa bt celewi km rekoding ndo mbaya au vp lkn haujatulia kabisa bd mnahitaji mwalim mtaften mtu anaitwa mhagama atawanoa vzr sana
@cgenpro175
3 ай бұрын
Labda uko kwenye poor network, 😢 hebu nicheck kwa 0765449914 nikupe official 4k video maana wewe ndo mtu wa kwanza kukuona ukisema kuna sauti haisikiki
Have been really waiting for this hongera sana
Nawapenda sana Wana mt.Don Bosco Mungu na azidi kuwabariki na neema zake ziwe juu yenu siku zote
What a Wonderful song🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hongelini sana , Tumshukuru Mungu kwa Hatua nzuri ya Kwaya Yetu , Pia Hongeleni Wana kwaya Wote kwa Kijitole kwa Moyo Mmoja kufanikisha jambo hili , Mwenyezi Mungu awe Nanyi Daima na akawafanye Watumishi wake katika Uinjilishaji Wenu . Mbarikiwe sana
Waoooooooo! Kakang shimanyi hujawahi kufanya kosa napenda nyimbo zako sana hongera sana kaka pamoja na waimbaji mko juu mbarikiwe sana
Wimbo wa matumaini,hongera sana mtunzi wa wimbo huu,na waimbaji pia Sauti nzuri mno.
Hongereni jamani..... ningependa kujiunga nanyi nipo mbali..... Wapi nota tafadhali... asante
jamani mimi napata amani sana nikiusikiliza huu wimbo asante san mtunzi na waimbaji mungu awape baraka na neema zake
Amaizing sana ❤
Good song 🎉 nice information
CGen Pro haijawahi kuwa na kazi chafu Congrats Shimanyi Congrats Duke Congrats DECOHAS kwaya TEAM 🔥 🔥 🔥
Barikiwa sana F.M.Shimanyi na timu yako Mungu akazibariki kazi zenu
Mungu amekuwa NAMI tangu zamani love the song be blessed choir sauti ya wanakatoliki sauti tamu zilizopangika❤❤
Huna kazi mbovu mkuu, Hongera sana mkuu shimanyi for every choir sisi hatukupingiiiii
hongereni sana
In love with this composition,,,,, pongezi Bwn shimanyi na waimbaji
@cgenpro175
4 ай бұрын
Asante
Av waited for this song .. at last
Waoooh na batimaye baada ya kuisubiri sanaa 🎉 ubarikiwe sana kaka Shimanyi kwa utunzi wako mtakatifu wa nyimbo za catholic cCGEN Pro ni motoo
mpo vizuri sanaaaa....wimbo mzuri na mmepeneza🎉🎉🎉👏👏👏
Ninakushukuru Bwana Fortune Shimanyi wimbo mtamu kweli
Waaaaaauuuuuiuuuuuu❤❤❤❤❤❤
Hatimaye baada ya kusubiri kwa hamu. Hongera kazi nzuri
Nmeungojea🙌hatimaye sas…Hongereni tena na tena✨nawapenda sana❤️
Congratulations❤
Wimbo mtamu sana❤ pongezi Kwa kazi nzuri
Congrats 🎉
Thanks, another trending hit in the capital city now approved 🎉
Bwana upokee heshima utukufu na hizi sifa watu hawa wanakurudishia wewe na uwabariki na kuwaongezea pia uzidi kuvijaza vinywa vya watu hawa ili wazidi kukuimbia wewe
Baraka kwetu
Incredible beautiful angelic
Wimbo tamu Sana hongera na mungu awabariki
Waaaoh nice song..... hongera sana Mwalimu
Nawapenda sanaaaaa nilisbr sanaa hongerenii
Nimengoja huu wimbo jamani,asanteni sana
What a soft voices waaao so good one
Am blessed Kwa kwel, hongereeni sanaaa jmniiii 🎉🙌
I waited for long Lakini ni God Manze imefika ❤❤❤😊
Woooow at last it's out. I have been waiting all along. What a great song........ Mr Fortune Shimanyi Mungu akubariki tena sana
Finally,...Safiiiii Wimbo mtamu kweli
Waaaooo hongereni sana wimbo mzur
Love the voices❤❤❤❤❤
Safi❤
Baada ya kipande kidogo kuishia patamu hatimaye nzima imepatikan Thank you Shimanyi🎉🎉Thank you DECOHAS❤❤🎉🎉
@Esta-kr8tm
6 ай бұрын
Hongereni sana mmependeza mnooo
Waooh😘😘🌷🌷🌷🥀🥀🥀
❤❤❤❤ kazi nzuri kaka mkuu
Mungu awabariki sana, kazi nzuri
Safi sana. Wimbo mzuri
🎉hit🎉🎉
nice one
hiyooooo... I have been waiting for long. thank you Shimanyi FM.
Finally...I waited all year it's finally out
Hongereni sana wapendwa
Waoooooooo🎉🎉🎉🎉🎉