WANANCHI WAMIMINIKA SABASABA KWENYE KLINIKI YA ARDHI

Ғылым және технология

DAR ES SALAAM: NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Lucy Kabyemera amewataka wananchi wa mkoa wa Dar es salaam kujitokeza kwenye kliniki ya Ardhi ili waweze kutatuliwa changamoto zao.
Kabyemera Ameyasema hayo Jijini Dar es salaam kwenye maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2024) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі