SABRINA ALIYELIA KWA MAKONDA ALIMWA TALAKA, APOTEZA BILIONI 1 AUMIZWA KUKOSA MAGARI MANNE

Пікірлер: 687

  • @witneskihega8971
    @witneskihega8971Ай бұрын

    Pole sana kwa maumivu dada. Ukiona jambo unatumia sana nguvu na haliwi kama unavyotaka, basi ujue yamkini hayo ndo mapenzi ya Mungu kwako. Achilia mali na maisha ya nyuma. Anza upya kabsa. Siku za mbeleni utamtukuza Mungu. Utapata amani ya roho ambayo ni muhimu kuliko mali. Geuza kisogo chako uanze maisha mapya. Maisha yatakuwa magumu mwanzoni hasa ukikumbuka mali zako, ila achilia na ujipe moyo mkuu. Nimejaribu kutizama hili jambo kwa jicho la tatu.

  • @redemptervictor5006

    @redemptervictor5006

    Ай бұрын

    Aiseee

  • @eliachaula6542

    @eliachaula6542

    Ай бұрын

    Hakika wewe nimuungwana🙌

  • @SophiaAthumani-ri4lu
    @SophiaAthumani-ri4luАй бұрын

    Pole Sabina nakujua sana wewe ni mpambanaji mungu akuongoze upate haki yako

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144Ай бұрын

    Pole sana dada angu......hayo ni mapito tu, malipo ni hapa hapa duniani. Ni swala la Muda tuu.

  • @bakari-si1pw

    @bakari-si1pw

    Ай бұрын

    Yeah true👂

  • @NoelaKitali

    @NoelaKitali

    26 күн бұрын

    Mp O.ko​@@bakari-si1pw

  • @ndeenengomselle1267
    @ndeenengomselle1267Ай бұрын

    Pole sana Sabina Mungu akutetee....nafahamu mlivyopendana mlipokuwa na maisha ya chini....acha Mungu atashughulika naye

  • @molom5027
    @molom5027Ай бұрын

    Pole sana dadangu. Ngojea tu na angalia ukiomba. Mungu atakuonyesha kitakachotokea.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284Ай бұрын

    Mahakama ni mtihani tuu fedha inaongea,ndio maana nchi nzima kesi tupu watu wanalia haki hakuna

  • @KhadijakassimMwaipaya

    @KhadijakassimMwaipaya

    Ай бұрын

    Pole.sana

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Kwani makonda aloshindwa tena? Tunalishwa matango pori na wanasiasa? 🤔

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Ай бұрын

    @@MiriamAbdallah Watu wa nchi hii hawana thinking capacity,yaani upeo wetu ni mdogo sana.Yule alitufunga akili za kujitambua kutambua haki zetu binafsi alituweza sana akatubrainwash kuwa kibatari ndio sign ya ati Revolution wakati tuliipata kwa Wakoloni bila kumwaga damu .Hiyo ni whichkraft cos hatuko sawa.Ati unapelekea shida yule ambae yupo miaka yote Madarakani huo ni ufala. Kuanzia Mwaziri watendaji ni hao hao hivi hao wote wanaoripotiwa kuanzia Polisi nani aliwajibishwa hii ni Taktik da ku fool watu ili waamini CCM wawape kura wakisahau hawa ni hawa hawa wanajua kucheza na mind za watu.Shida wamezifuga then wanapritend ati ni watatuzi .

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9lАй бұрын

    Pole sana dada siku zote mungu husaidia mwenyehaki,mahakama za sasaiv ni uozo mtupu nakushauli endelea kumwamini mungu ulikuwa ufe wewe ni nema ya mungu tu .

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342Ай бұрын

    Daaah kama anayosema huyu mama ni kweli,basi kuna viumbe ni mashetani

  • @AwardHakimu

    @AwardHakimu

    Ай бұрын

    Siku zote watu wanavyosimulia Kuna mambo huwa wanaficha kwaiyo utakiwi kuamini Kila kitu

  • @bockerNyarusahi

    @bockerNyarusahi

    Ай бұрын

    Umemsikiliza na mlalamikiwa?

  • @abdulnaseermrisho4342

    @abdulnaseermrisho4342

    Ай бұрын

    @@bockerNyarusahi kwenye kusoma kuna hivi vitu 1.Kusoma 2.kuelewa Ukisoma kitu unatakiwa na kuelewa,sio unasoma kama unasoma token za Luku

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    Ай бұрын

    ​@@AwardHakimuKuna kitu kina itwa saikolojia😂 kwa hio tumia hio pia na kama hujui utabaki kusema utumbo

  • @AwardHakimu

    @AwardHakimu

    Ай бұрын

    @@abdulnaseermrisho4342 kwaiyo wewe unaijua sana saikolojia mpaka unaweza kuelewa saikolojia ya mtu anae ongea kwenye tv aiseeh kwanza ondoa neno utumbo kwenye comment yako kutoheshimu maoni ya wengine ni upumbavu mkubwa sana

  • @tnftz1461
    @tnftz1461Ай бұрын

    Dada anaonekana ana hofu ya Mungu mwanaume Hana hata chembe kakamatwa na malaya😭🙌 hiv mwanamke kama huyu namwachaje jaman anavoongea kwa huruma iv🤔🤷

  • @agnesmartin5716

    @agnesmartin5716

    Ай бұрын

    Daah jaman wanaume angalie sana

  • @bufurechristian5094

    @bufurechristian5094

    Ай бұрын

    Unawajua wanawake vizuri wewe

  • @ahz6907

    @ahz6907

    25 күн бұрын

    Jichanganye😂

  • @joelnjuguna7777

    @joelnjuguna7777

    24 күн бұрын

    Jambo usilolijua ni usiku wa giza

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporationАй бұрын

    Anaonekana amepata maumivu kweli , pole Dada

  • @omarymbaraj8072

    @omarymbaraj8072

    Ай бұрын

    Makubwa kweli

  • @ssaa7495
    @ssaa7495Ай бұрын

    Pole sana mama, pengine Mungu amekuepusha na mengi. Kwa sasa hivi wewe Sali sana mtegee Mungu

  • @brysonjohnlukumay
    @brysonjohnlukumayАй бұрын

    Daah huyu mwanamke ana hekima mno

  • @innocentpaulchillu1512

    @innocentpaulchillu1512

    Ай бұрын

    Huwezi jua,anaweza akawa anaonekana anahekima kwa kumtazama lkn deep inside yuko tofauti kabisa

  • @mwanaidimrindoko4117

    @mwanaidimrindoko4117

    Ай бұрын

    Hapana mtu mwenye hekima anaonekana tu kwa mahojiano yote hayo changanya na maumivu Kuna ki jitabia angekionesha tu

  • @dismasdastan5493

    @dismasdastan5493

    Ай бұрын

    ​@@innocentpaulchillu1512uko sahihi wanao shabikia kwa kuangalia tu hawana familia na hawajawahi pitia haya matatizo....Ngoja wakue

  • @hemedmsella6496

    @hemedmsella6496

    Ай бұрын

    Wanawake ni waongo hakuna kitu kama hicho​@@mwanaidimrindoko4117

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Ай бұрын

    ​@@innocentpaulchillu1512kweli kabisa

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641Ай бұрын

    Wanawake lazima tujikubali, na kujipenda . Kupewa talaka ndio mwanzo wa maisha mapya, simama na mungu atakupigania

  • @user-zx8fw3rx5l

    @user-zx8fw3rx5l

    18 күн бұрын

    Dada weeee hujielewi wewe inaoneka una shida

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2tАй бұрын

    Ila wanaume naishiwa maneno aiseee😢😢😢😢😢yaan ni viumbe hatar sana kwenye maisha yetu,,,,,,ndo chanzo ya kutukosesha aman

  • @baddestgames2784
    @baddestgames2784Ай бұрын

    Uyo mwanamke kamuloga mme wako dada angu adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie Mungu atakusimamia mamaa

  • @katobirch4759
    @katobirch475925 күн бұрын

    Snake snake then you snake cut left, sheria mpya inahitajika huwezi kuwa billionaire kwa kuosha vyombo wazee wa Cuba gonga like hapa

  • @janethhipolite1774

    @janethhipolite1774

    17 күн бұрын

    Mikopo jamani..Haujasikia hapo amesema walikopa milioni 250 sijui

  • @hyasintasilayo8952
    @hyasintasilayo8952Ай бұрын

    ]Pole sana dad,omba kwa nguvu zote maan hakna kigumu mbele za mwrnyez Mung

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonlyАй бұрын

    Duh mwanamke ukiwa na mali au akili ya pesa kuwa makini sana , Sisemi zaidi

  • @winnemassawe8123

    @winnemassawe8123

    16 күн бұрын

    Sanaa kuwa makini sana

  • @Bise270

    @Bise270

    12 күн бұрын

    Kweli kabisa,noted.

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823Ай бұрын

    Pole sana mwanangu wewe. Ulipougua ndipo alipata mwanya wa kuwa na mchepuko, alidhani utakufa. Ninachoweza kukushauri, hembu mwachie hizo mali, angalia maisha mengine.Tafuta amani kwanza. Nyumba na magari vitabaki duniani huwezi kwenda navyo mbinguni. Mungu akutie nguvu na ujasiri, achilia, kama wewe ndio ulikuwa muongoza njia kwa hiyo nyumba hembu utulie utapata jibu.

  • @OmanOman-ns3iw

    @OmanOman-ns3iw

    Ай бұрын

    Wewe nimimi kabisa ninavyoipenda amani kuliko chochote

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    Ай бұрын

    Akisoma hii comment naomba aitilie maanani

  • @OmanOman-ns3iw

    @OmanOman-ns3iw

    Ай бұрын

    @@ruqaiamohammed345 tena azingatie

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    Ай бұрын

    @@OmanOman-ns3iw sana yan

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    Ай бұрын

    Wewe hujui kabisa biashara. Yaani apambane maisha yote alafu mume wake achukue kika kitu na watoto wao waishi ya umaskini?! Ebu tumieni akili. Au wewe ni ndugu wa huo mchepuko?

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883Ай бұрын

    Pole sana dadangu wachana na yeye kubali talaka mgawane Mali. Wewe ni mpambanaji and l believe you can do it.

  • @khamisally9559
    @khamisally9559Ай бұрын

    Huyo jamani bila kukamatwa na kuwekwa ndani huyo dada huwezi kupata haki zake. Wamkamate aekwe ndani kama wiki mbili hivi akili ndio zitakaa sawa. Huyu Julius ni mshenzi sana halafu anajifanya mtu wa Mungu. Ovyooo kabisa.

  • @scholarmassawe6380

    @scholarmassawe6380

    Ай бұрын

    Huyu anatumia nguvu ya hela hawezi kukamatwa.

  • @user-qh2bx5em6j
    @user-qh2bx5em6jАй бұрын

    Dada Pole Muombe Mungu wanawake tunapitia mengi ya kuumiza. Mungu akufanyie wepesi

  • @PrinceWandwe-bo2ps
    @PrinceWandwe-bo2psАй бұрын

    Huyu Dada yuko smart sana na kama anachokiongea kingekuwa ni uongo maelezo yake yangekuwa na mikato mikato mingi lakini anaonekana anaingea bila utata pole sana sister

  • @misschagga8042

    @misschagga8042

    Ай бұрын

    Kabisa ukimsikiliza tu unapata jibu shida ipo kwa mume na kimada kimeshikilia makali.

  • @amosstimamaroba1054

    @amosstimamaroba1054

    Ай бұрын

    Don't trust a girl in a first impression pls

  • @MansaMusa255

    @MansaMusa255

    28 күн бұрын

    ​@@amosstimamaroba1054 uko sawa kabisa

  • @Siasia209

    @Siasia209

    21 күн бұрын

    Wewe ndio utakua uyo mumewe maana umekazana kumsema dada wa wawatu​@@amosstimamaroba1054

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765Ай бұрын

    Pole mbona Mungu ni mwema sana anakuepusha na jambo fulani❤ shukuru sana

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7Ай бұрын

    Pole Sana Dada! Nakuombea umwachilie na kumtoa moyoni huyo jamaa na kumove on itakuletea shida mno na hata umauti pengine!! Move On!!

  • @ZakiaAhmedi

    @ZakiaAhmedi

    Ай бұрын

    Kwel amuachiye Mungu aanze maisha umpya ajifunze kutoka kwa Queen wa dr mwaka sas hivi anaishi maisha ya amani na furaha zaid tujifunze kutafuta mali zetu wenyew 😢

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871Ай бұрын

    Mwanamke mwenzake kapindua meza daaah

  • @miriamdavis3893

    @miriamdavis3893

    Ай бұрын

    Atakufa kama inzi huyo

  • @machakuroger7068

    @machakuroger7068

    Ай бұрын

    Neema huyo, si mke ni kimada tu inaonekana

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3gАй бұрын

    Huyo baba asubir kisasi cha watoto wake hatakaa amini maisha yake yote Kwa haya anayoyafanya mn wanamtizama mama yao anavyohaingaika kl siku kwny media 😢

  • @abdultandala6576

    @abdultandala6576

    Ай бұрын

    Usihukumu kama haijasikilizwa upande wa pili

  • @roseberryhamoud6542

    @roseberryhamoud6542

    Ай бұрын

    Kama ingekuwa ni mimi hatokuja kupatana na watoto.

  • @jacksonkagubho7029

    @jacksonkagubho7029

    12 күн бұрын

    Wazaz wa kiume ni rahis sana kuwakacha watoto wakileta ujuaji 😂

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627Ай бұрын

    Mtulie mimi mjane namshukuru mungu mume miaka 24 yandoa katwaliwa kaend kwa amani .maisha yaha

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470Ай бұрын

    Pole sana, dhuluma huwa haivuki ng'ambo. Chukua haki yako hata kama ni ndogo, pambana kwa upya ni suala la muda huyo atarudi kwa magoti kuomba msamaha.. Ni jambo la kusikitisha sana maana mahusiano ya nyakati hizi bila Mungu kutangulia mbele ni disaster tupu. Nipange kwa upya, kikubwa uzima mengine yatakuja.

  • @user-xx4wb9yo9p

    @user-xx4wb9yo9p

    29 күн бұрын

    Dada usiari mm Happ niliacha Kila kitu ila nilibeba wanangu tu lakini kwa Sasa ninamiliki majumba mawili na gari yangu vyote nilivyomwachia viliisha lizika atakachokupa mungu atakiongezea vingine hutaamini

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cnАй бұрын

    Ongeza maombi Dada Mungu ni mwema

  • @ididitagainn
    @ididitagainnАй бұрын

    Bora nipatane na mwenye zake na mimi niwe na zangu upendo tu utupnganishe mambo yakutafuta wote mwishoni ni maumivu maana anaeonekana mtafutaji machoni pa watu ni mwanaume mwanamke anaonekanaga ameolewa tu kumbe wengi ni 50/50 hakuna mwanaume mwenye pesa zake ana mke shepu au sura …wanasema ndege wanaofanana huruka pamoja ilakwasababu mwanamke anamuacha baba awe kichwa badae mwanaume anatumia njia hio kutapeli wakati utakuta apo yeye ana 45% huyu dada ana 55% yuko very calm and clear hajapanic kama anataka watu tumuone huruma …she speaks from her heart

  • @user-fx5ks2qc3u
    @user-fx5ks2qc3uАй бұрын

    Inaumiza sana, sana,, daaaa... Aiseeee.. Wanaume, wanaume, wanaume.. tatizo. Nini???

  • @nancyyesse1380
    @nancyyesse1380Ай бұрын

    One strong thing is ,ukiacha mali yako ipotee bila kupambana ni dhambi…pambana ikishindikana let it go ,karma is gonna hit him so baaad 📌

  • @user-lo6wd9fj6k
    @user-lo6wd9fj6kАй бұрын

    Pole sana ndugu yangu , mm yalinikuta hayo mwanaume aliniacha bila hata100 alificha kila kitu akijua ananikomesha kisa kapata askali mwenzie mpaka godolo kweli inauma usiombe yakukute lkn Mungu alinifungulia njia niko vzr zaidi yasana ,shukuru Mungu malipo nihapa hapa vitu nivyakupita hivyo

  • @JumannehassaniomaryJumannehass
    @JumannehassaniomaryJumannehassАй бұрын

    Utapata mume namtapendana namaisha yatasoga I'm formo Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505Ай бұрын

    Pole sana dada.mungu atakulipia hapahapa duniani.usisikitike sana.mungu akupe afya na wanao na akufanyie wepesi kwa kila jambo.

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissyАй бұрын

    Utashinda dada mungu atapigana hv vita huyo malaya anayekula n huy mwanaume omba mungu atawaua wote huyo mwanaume hana mda mrefu lazma ataanguka chini

  • @TumainiNjema
    @TumainiNjemaАй бұрын

    Dada anaongea Kwa hekima Sana ingawa anadai Haki yake lakini Bado anaonyesha unyenyekevu. Mungu amsaidie apate haki zake. Aamen .

  • @alexwatae3165
    @alexwatae3165Ай бұрын

    Dah!! Pole sana Wanawake wenye hekika kama hawa kwa sasa Hawapo.. nimependa busara yako

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540Ай бұрын

    Dada yupo Mungu mtegemee tu UTASHINDA VITA SI VYAKO NI VYA BWANA

  • @Moviesquee
    @MoviesqueeАй бұрын

    Pole sana

  • @user-cq9cm2hu3z
    @user-cq9cm2hu3zАй бұрын

    Dada Mlilie mungu wako wewe muachie mungu afanye kazi yake piga goti kwa mungu atakusikia

  • @Ontuzu
    @Ontuzu16 күн бұрын

    Kwenye haya maisha usimsikilize mtu mmoja wasikileze wote yawezekana akija kuongea mwanaume aliyopitia kwa huyo mama tutabaki mdogo wazi ogopa sana mtu anayeongea huku analia au anayeongea kwa upole ni nyoka

  • @emmanuelmanga25
    @emmanuelmanga25Ай бұрын

    Mnaosema maneno ya kumshutumu mwanaume, mnajua magumu aliyopitia kwenye hiyo ndoa?, mmesikia upande wake anasemaje?. Mm nipo katikati, sijui yupi atakuwa na sababu maalumu.

  • @FranklinMtei

    @FranklinMtei

    Ай бұрын

    101%

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    MUNGU nisamehe matatizo ya ndoa hayapelekwi kwenye mitandao turudi kwenye Mila na desturi zetu Kuna suluhu huko

  • @bintnouh4483

    @bintnouh4483

    Ай бұрын

    nyie ndo walewale

  • @joycemfuru4752

    @joycemfuru4752

    14 күн бұрын

    kama ni mwanaume kweli ampe Mali zake

  • @joyce55727
    @joyce55727Ай бұрын

    Dada yangu najua ni uchungu sana pia mm niliyapitia km hayo miaka 10 iliyopita na sasaiz hanipati kwa mafanikio km Mungu ndie mpaji basi atakupa zingine ili uepushe roho yako kubal tu hizo unazopewa anaweza kukumaliza huyo mtalaka wako

  • @joyce55727

    @joyce55727

    Ай бұрын

    Km kuacha mali zako ni zambi bas Mungu atakusamehe endelea kumuomba Mungu pia pambana bola upate zako uish kwa amani unaweza ukazipata hizo mali unazo taka kutoka kwa mtalaka wako lakin usiwe na aman najua unaumia sana ila jikaze

  • @user-lo6wd9fj6k

    @user-lo6wd9fj6k

    Ай бұрын

    Kabusa

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1yАй бұрын

    Balance story sio kusikiliza upande mmoja tu, pia pata wanasheria watafsri. Please grow

  • @Kisimatigin

    @Kisimatigin

    Ай бұрын

    Tena unaweza kuta jamaa anapitia magumu sana hawa waone tu wanaongea kwa utulivu ni nyoka akili kisoda

  • @amanibwire4423

    @amanibwire4423

    Ай бұрын

    Na angekuwa na hekima asingeenda kwenye vyombo vya habari, Wala kwa mkuu wa mkoa wanaume tunapitia mengi zaidi

  • @barakangila9856

    @barakangila9856

    Ай бұрын

    Nikweli

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Ndao zikishafika kwenye mitandao kurudia ni ngumu na hata wskirudiana amani hakuna, kwani huko hakuna mabibi, mashangazi, wajomba, baba mkwe na mamamkwe na ukoo? Aibu, na mali ni Nini kwani kwa MUNGU tunaenda na kitu, achane na hayo mambo ya mitandaoni ni ujinga

  • @Siasia209
    @Siasia20921 күн бұрын

    Ooooh!pole sana dada mshkuru Mungu Allah atakulipia malipo ni hp hp Dunian

  • @golebenson4597
    @golebenson4597Ай бұрын

    Mwandishi hongera sana umeuliza swali mzuri kusikiliza upande mmoja na kuhukumu ni mbaya ninachokiona mwnaume amemua kupambana(kimyakimya kiume.huenda dume limetendewa kitu kizito akaamua kupambana kimya kimya🎉🎉.uyu dada anaharibu ndoa yake na watoto aache kuhamgaika na media atafute suluhu Kwa njia salama sio kuongea mambo ya familia yake hadharani makokosa makubwa anaendelea kutenda

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Penda sana point yako ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉ni aibu kutoa mambo ya ndoa mitandaoni naona Kuna mtu anamdanganya hu mwanamke, hongera ya mwanaume kuwa kimya, aibu hata watoto unyimwe Kuna shida

  • @user-gy3dv3tq8d
    @user-gy3dv3tq8dАй бұрын

    Wewe dada achana na hizo mali utakufa bule uache wanao wanateseka bora umuachie tu pambana upya muogope sana mtu anae kaa kimya usije poteza.maisha bule

  • @ziadasadiki8196

    @ziadasadiki8196

    28 күн бұрын

    Mbona humshauri Mwanamme

  • @habibamaguru2722
    @habibamaguru2722Ай бұрын

    Pole sana mwanamke mwenzang umepita kwenye mapito mungu pia atakusimamia kwa hili kazana sala na maombi

  • @zainabumohamed4763
    @zainabumohamed4763Ай бұрын

    Anavyosema dada mrembo neema ,kwa upole jamani😢

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562Ай бұрын

    Pole sana ,lakini ujue tuu kua kanuni ya ki Roho Bado wewe ni mke halali wa Julius Hadi Leo ,ndoa haivunjiki kwani hakuna serikali yoyote duniani ilioanzisha ndoa ,ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe ,mahakama za Dunia zinafanya kuachanisha ki binadamu tuu lakini sii halali kwa Mungu Neno la Mungu Soma Marko 10:1-12 mjue tuu kua Kila alie ingilia ndoa ya mtu yeyote awe mwanamume au mwanamke ajue hukumu inamngoja yeye na huyo aliekubali kuivunja ndoa ,moto upo na Wala faraja ya dini haimwokoi mwanadamu kwani wote watahukumiwa na Neno ,,kilicho fanyika hapo Dadaangu ni matokeo ya Uzinzi haswa wanandoa kutokua waaminifu na nguvu ya Mungu ukajitenga kusaidia kwani shetani hutafuta makosa Kisha kuharibu,uchawi umehusika Sana kuharibu ndoa za watu haswa endapo wewe dada au mumeo alishawahi kukosa uaminifu kwa mwenzie ,inahitajika binafsi umjue YESU na awe mwokozi wako Kisha uzame kwake na ugeuke kwa kuziacha dhambi zako Kisha samehe halafu omba Mungu aingilie kati ndoa yako,hata ukiolewa Leo Sheria ya Mungu hairuhusu uolewe Tena Hadi kifo kitenganishe watu wanakiuka Neno kutokana na kiburi na fedha imenunua haki za watu lakini Neno linadumu Milele ,dini pia hazisemi ukweli wa Neno na ndio maana zimeacha ukweli wa Neno na kuweka taratibu za kidini na madhehebu .Mungu aku tetee .Amina

  • @MansourKabuhaya

    @MansourKabuhaya

    Ай бұрын

    Sasa ndoa ni nini??? Kama mke na mume Hawako pamoja wala hawashiriki, kuna maana ya ndoa hapo?? Au wewe una maana nyingine tofauti na hiyo kuhusu ndoa??

  • @nicksonlyimo1562

    @nicksonlyimo1562

    29 күн бұрын

    Ndoa ni muunganiko wa wawili ,mtu anapomuacha mwenziwe ni sawa na wewe kula chakula kwenye sahani Kisha ukaweka na makombo ulioyatafuna halafu unampa mwingine ayale ,nadhani utakua unafanya kosa Sana na dhambi kubwa ,ndugu ujue kua mke wa mtu haolewi na mtu mwingine hata Kama waliachana Bado kwa Mungu ni mke halali kabisa ,sii Mungu ameachanisha Bali ni kiburi cha dhambi ,uovu na tamaa ya mambo ya Dunia na kupenda sifa umaarufu na kupenda fedha ambayo ni chanzo Cha maovu yote, usije ukaolewa na mume alieacha mkewe ,ni dhambi ,Wala usithubutu kuoa mke alieachana na mumewe ni dhambi na Mungu anawaita ni makahaba hata Kama mlifunga ndoa ,hapo mmedanganyika Sana ,mbele za Mungu hukumu ipo na moto unawangoja wote walio achana hata Kama unatoa sadaka kiasi Gani (Mungu ha hongwi kwa lolote ) unathubutu vipi kuoa mke wa mtu na wasichana wapo wengi kiasi hicho ? Unaolewaje na mume wa mtu na vijana wapo wengi hivyo?? Neno la Mungu Linasema usizini ,mpende jirani Kama nafsi yako ,Wala usitamani mke wa nduguyo ,jirani yako Wala mjakazi wake Wala punda wake ,Sasa Kama hivyo ni dhambi je!! Wewe ulie oa na kuolewa unajionaje huoni umesha hukumiwa ???

  • @gloryexaudy8094

    @gloryexaudy8094

    10 күн бұрын

    Sijajua unasomaje bibilia ila soma pande zoote biblia imeandika pia mume na mke wanaweza kuachana endapo kuna mmoja ni mwasherati sasa ujaona hapo kama mke amekimbiwa na mume kwenda kwa mwanamke mwingine teyar ni uasherati huo Jua kutofautisha uasherati na uzinzi Uasherati ni kwa wanandoa kutoka nje ya ndoa Uzinzi ni mtu yoyote ambaye hajaoa au kuolewa akakuwa amezini

  • @nicksonlyimo1562

    @nicksonlyimo1562

    10 күн бұрын

    @@gloryexaudy8094 yote sawa tuu ,hukumu ni moja tuu ,ila swala ni kumilikiwa mwanamke na kumilikiwa mwanamme kwa kua wameunganishwa ki ndoa,ukiachana my friend inakupasa kukaa hivyo au kusamehe muendelee kuishi .,YESU hajaruhusu walioachana kuoa Tena Wala kuolewa Tena soma vizuri utaona na ujue YESUni MUNGU ,Paulo anasema kama mmoja ameamua kuondoka na aondoke lakini hapo sii BWANA Bali ni yeye ameshauri kama vile Musa nae alivoshauri watu kupewa talaka na sii Mungu aliagiza Hilo Bali Musa .

  • @nicksonlyimo1562

    @nicksonlyimo1562

    10 күн бұрын

    @@gloryexaudy8094 Mungu alisema Hadi kifo kiwatenganishe ,(ni nani mwenye Mamlaka ya kutangua agizi la Mungu ????) Maana ya Neno kifo inamaanisha hakuna namna ingine ya kurekebisha ni ikae kama ilivyo .

  • @golebenson4597
    @golebenson4597Ай бұрын

    Wanaumeee tunapigwa juuu chinii😢😢😢 uyo mama anaonyesha ni mjeuri sana 😢😢😢

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishajuma18

    @aishajuma18

    Ай бұрын

    Sasa kama mjeur si ampe Mali zake😊

  • @golebenson4597

    @golebenson4597

    Ай бұрын

    @@aishajuma18 unauhakika ni zake

  • @aishajuma18

    @aishajuma18

    Ай бұрын

    @@golebenson4597 Kumbe za kwako

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609Ай бұрын

    Pole mpnz Mungu akusimamie

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765Ай бұрын

    Mali ni shida wanaume wakipata basiii mnatafuta kwa shida kubwaa sana baadae anakimbia anakula na kimada baadae anarudii uwiii😢

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius6760Ай бұрын

    Mpaka mwanaume aongee ndio tujue ukweli, wanawake wengi wanajua kulalamika, ila ukija kuchunguza mwanamke ni jau .mpaka mwanaume afanye maamuzi magumu ujue mwanamke ametaka nafasi ya mwanaume ndani.alafu Sasa hivi anatia huruma,ila hyu mwanamke Kuna majuto ya ndani.kwa wanao jua sychology

  • @salehekisebengo8554

    @salehekisebengo8554

    Ай бұрын

    Kweli kabsa ndugu

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Usema Lina ukweli na huku anajidanganya hakuna haki bali ni kujidhalilisha na kuongeaz chuku

  • @innonyange6482

    @innonyange6482

    Ай бұрын

    Kweli ana majuto, anajua alifanyalo

  • @aishajuma18

    @aishajuma18

    Ай бұрын

    Kunamtu anakoment Sana namuhisi ndio mchepuko wa julias😅mwacheni apiganie haki yake

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9tАй бұрын

    Polesana mlembo ila uyojamaa iposiku atakujutia sana maana wewe nimwanamke aseee amepoteza

  • @Yanarichbiz
    @Yanarichbiz9 күн бұрын

    Nilimuona huyu dada mara moja tu nikiwa naelekea ngaramtoni tukaongea kidogo sna (ni mdada humble sana)

  • @happinessakim2679
    @happinessakim267911 күн бұрын

    Pole sana muhanga mwenzangu,,,,, mim nilishindwa kujitetea nikapokonywa kila kitu Namshukuru Mungu,,,, nlpo nalea wanangu kwa Sasa,,,, 😢😢😢

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172Ай бұрын

    Daaah pole sana dada, wanaume muda mwingine sijui tunafeli wapi 🤔.

  • @MouhammedSeif

    @MouhammedSeif

    Ай бұрын

    yaan ata mm suali kama hilo najiuliza

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655Ай бұрын

    mama pole sana jasho lako haritapita bure ,kunasiku ataripia .usione mungu abacherewa kujibu maombi enderea kuomba kwa imani .

  • @wilfredcalist4735
    @wilfredcalist473528 күн бұрын

    Hakimu wa pekee ni Mungu tu. Jipe moyo aliyekubariki atawajibu wote waliokudhulumu.

  • @delverosedastan5730
    @delverosedastan573029 күн бұрын

    Mungu wa mbinguni akusimamie haki yako itasimama daima kwa jina la Yesu

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7Ай бұрын

    Daaaah i can feel your pain 😢😢

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mvАй бұрын

    Nisa hihi hakuna kudhulumu au kudhulumiwa allahu amesema

  • @farajiyusuph9019
    @farajiyusuph90192 күн бұрын

    dada ana pure heart mungu amsaidie

  • @AllenMwafilombe
    @AllenMwafilombeАй бұрын

    Pole Sana Dada Mungu atakusimamia kwani unaonekana mcha mungu komaa kwani bado unaishi utafanikiwa

  • @priscasway3492
    @priscasway3492Ай бұрын

    Pole sana dada mungu atafanya jambo juu yako

  • @user-un8si7wk1z
    @user-un8si7wk1zАй бұрын

    Dada yangu pole sana, mwachie Mungu , usipiganie Mali mwenyewe, Mungu atakupigania

  • @josephkate3664
    @josephkate3664Ай бұрын

    Ni kusikia upande mmoja inawezekana aliekuwa mumewe akikueleza unaweza shangaa

  • @shadrackdeogratius6760

    @shadrackdeogratius6760

    Ай бұрын

    Ukweli,ukiangalia uso wa hyu mwanamke unajua TU kuwa anampanda kichwani jamaa,et aliuza bila idhaa yangu😢😅

  • @monalisaally4387

    @monalisaally4387

    Ай бұрын

    Kwakweli

  • @user-wk1ix1gm1p

    @user-wk1ix1gm1p

    Ай бұрын

    Sasa si ndoazungumze tumsikie

  • @veromwanji

    @veromwanji

    Ай бұрын

    Hakika mambo hayo ni Siri , mwenyezi mungu ndio anajua

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    ​@@user-wk1ix1gm1phuyu mwanaume hapendi mambo ya mitandaoni ndio maana Yuko kimnya,

  • @user-us4fe5lg8t
    @user-us4fe5lg8tАй бұрын

    Pole sana najiona kabisa mimi hapa

  • @user-dx3wl9ly4d
    @user-dx3wl9ly4dАй бұрын

    Pole Sana

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522Ай бұрын

    Jamaa Amekosa Mke.. Yani Mke kweli...Mke Mwenye Akili nyingi Sana...hata Atakaempata Bado Ni Mke Mwema na Bora sana..Anaitaji faraja na Matunzo..na kumsahaulisha hote yaliyopota na kuanza Maisha Mapya.Allah Amfanyie Wepesi In sha Allah .

  • @MansourKabuhaya

    @MansourKabuhaya

    Ай бұрын

    Umetumia vigezo gani kumuona ni mke Bora na mwema?? Unamjua mke Bora wewe?? Acha kucomment ushamba, kisa umeona ongea yake tu keshakuwa mke bora, je vigezo vya kuwa mke bora vinasema akiongea vizuri tayari mke bora sioo??? Acha ufara

  • @danielgadiye7983

    @danielgadiye7983

    28 күн бұрын

    Bro fanya research utanishukuru mwanamke anatoka kufanya unashuhudia kwa macho yako piga ua anakuambia sijafanya aliyekuambia kaachwa kwasababu ya tamaa ya mali na mumeo kakupoteza so kweli mama kanyanyua mguu mzee kasanda mama anataka huruma na jamaa haelewi kuhusu hilo wanataka wapelekewe moto then wabaki kwenye ndoa zao hiyo kitu hakipo bro hakuna mjadala juu ya nani mwenye haki ya kutoka nje ya ndo ni baba tu katamani kwasababu tumeumbiwa tamaa wao wameumbiwa kupenda

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928Ай бұрын

    Mungu akufanyie wepesi upate haki yako dada angu

  • @lindaabraham5365
    @lindaabraham536522 күн бұрын

    Pole sana, afya pekee ndiyo mtaji, kama una afya njema inuka pambana tena. Pambania tu hiyo nyumba msigawane basi magari na vingine mwachie kama sio haki yake vitapukutika vyoteeee. Mungu atakubariki atakupa zaidi. Ogapa sana watu wanaopenda mali kupita utu wanaweza kukufanya lolote baya.

  • @ChachaNyabare
    @ChachaNyabareАй бұрын

    Huyu Dada mnafiki ogopa watu wahivyo wakuongea wanatafuta huruma Kwa. Watu kumbe unakuta yeye ndo chanzo Cha tatizo hakuna mwanaume anamuacha mwanamke mzur wew utakuwa na shida nakusikia unavyo ongea kuwa magari ni Yako kumbuka ulikuwa ni MKE kwahiyo kwenye magari hakuna jina lake ogopa wanawake wa hivi kujifanya wanaongea kama wanalia

  • @bahatielias6443

    @bahatielias6443

    Ай бұрын

    Ndivo walivo Hawa viumbe huwa wanaumimi sana

  • @kidtoto4869
    @kidtoto48696 күн бұрын

    Noted!!, Ukipata mali ndugu na Marafiki wanakuwa Wengi!!

  • @hosea55richard53
    @hosea55richard53Ай бұрын

    God bless you ss

  • @kassimsultan3801
    @kassimsultan3801Ай бұрын

    Pole

  • @user-bw9ne8wx7r
    @user-bw9ne8wx7r24 күн бұрын

    Hiv Wanaume huwa mnalogwa kichwan kushuka chini au ni chin kupanda juu maana inashangaza eti unawasisa hadi watoto wako ni nini lakini????😢

  • @fredrickkomba7545

    @fredrickkomba7545

    12 күн бұрын

    Itakuwa chin tu Hapo hapo

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990Ай бұрын

    Pole sana mama Mungu atakupigania

  • @maswamills3161
    @maswamills3161Ай бұрын

    Mungu akulinde mama , mmmhhhh siku hizi mali zinaua, mtangulize MUNGU kila upitapo .

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265Ай бұрын

    Chanzo cha Julius kuondoka home ni kikubwa muno. Mambo hayawekwi wazi

  • @FranklinMtei

    @FranklinMtei

    Ай бұрын

    100%

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Point ☝️

  • @bintnouh4483

    @bintnouh4483

    Ай бұрын

    umalaya ndo umemuondoa nyumbani

  • @pmp-255
    @pmp-255Ай бұрын

    WHAT A CONFIDENCE!!!

  • @user-xy9ui7nn4k
    @user-xy9ui7nn4kАй бұрын

    Muombe mungu kama ni haki yako mungu atasimama mungu adanganywii

  • @shelizaomary2536
    @shelizaomary253618 күн бұрын

    Mwenye haki haachwi...pole dada...Mungu atakupigania

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3iАй бұрын

    Huyu mwanamke ana nyota akiachilia mambo aanze upya atafika mbali na huyo mume atalose kila kitu

  • @shyfettymtunda4619

    @shyfettymtunda4619

    Ай бұрын

    Umeona kama nilivyoona mimi.

  • @mwikalijosephine5178
    @mwikalijosephine5178Ай бұрын

    Weee meaning this man was there for wealth not marriage

  • @benedictamuya1437
    @benedictamuya1437Ай бұрын

    kata rufaa kwani sioni kutendewa haki hapo kwenye mgawayo, pili mgungie novena ya soku tisa Mungu atayakibu maombi yako, pole mno mama

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Novena ya siku tisa kama ana kosa nae kidogo tuu nae itamdhuru kuwa Malini na kitu novena

  • @scholarmassawe6380
    @scholarmassawe6380Ай бұрын

    Dada Jamani Mungu akukutetee Mungu akufanyie njia hajawahi shindwa kabisa jipe Moyo najua unapambania hatima ya watoto wako. Mnganganie Mungu haswa

  • @senziashwaibu3219
    @senziashwaibu3219Ай бұрын

    Huyu mwanaume nmemuelewa sanaa kawahi mapema kuchukua chake mapema ila huko alipoenda aangalie atapigwa na kitu heavy atajuta maishani

  • @user-gj2mm3ko8m

    @user-gj2mm3ko8m

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂Kweli umesema

  • @bahatielias6443

    @bahatielias6443

    Ай бұрын

    Wanaume huwa hatuachi kiurahisi ukiona hivi mwamba alishaona mbali

  • @FrankDavid-en6on

    @FrankDavid-en6on

    25 күн бұрын

    Kweli kabisa wanawake hawaeleweki anaweza kuongea ukahisi yupo sahihi

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700Ай бұрын

    Pole dear 😢😢😢 utasimama tena

  • @saimalunde4002
    @saimalunde4002Ай бұрын

    Ndugu wakiingilia familia mambo ndio kma hya aiseee namshukuru mungu nina maisha yangu yakujua mimi maana hta maisha ya kakangu na mkewe sijui wanaishi vip😂i😂😂😂

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624Ай бұрын

    TALAKA7😂😂😂 pole mama

  • @faridakailembo3060

    @faridakailembo3060

    Ай бұрын

    Kilichokufurahisha nini?.

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Talaka saba😂😂😂😂😂

  • @juliuskivuyo5384
    @juliuskivuyo5384Ай бұрын

    Pole sana mwalimu

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163Ай бұрын

    Daah!! Dunia sio mbaya Binadamu ndio wabaya

  • @godlisteokamaokama1782
    @godlisteokamaokama1782Ай бұрын

    Pole xana madam

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa1171Ай бұрын

    Dah! Acheni TU Dida aishi mwenyewe Wallah...wanaume wanakua binadamu mkiwa hamna pesa mkipata TU hua zaidi ya mashetani maana hufanya mambo ambayo hata shetani huyashangaa mh

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490Ай бұрын

    Mungu akusimamie dada

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3iАй бұрын

    Daaaah baadhi ya wanaume wabaya Allah atamlipa aisee

Келесі