MAKONDA;RPC UKOWAPI KAMATA WOTE TIA NDANI/AMSAIDIA MAMA ALIYEKIMBIWA NA MUME KISA KUJIFUNGUA MAPACHA

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 54

  • @msafiritalentmedia1085
    @msafiritalentmedia1085Ай бұрын

    tumeshaanza kupaki mabegi tunahamia arusha kwa makonda makonda oyeeeeeeeeeee. hicho ni chuma

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    Ай бұрын

    jmni safi sana :) wewe ni mtu mwema

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4esАй бұрын

    Hakika Mungu amempeleka Mheshimiwa Makonda Arusha...Glory be to. GOD

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718Ай бұрын

    Nasikia raha sana nikiwa Kenya,aki mwenyezi mungu akulinde siku zote popote uendako dunia nzima.

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    Ай бұрын

    sasa wewe njoo huku kwetu uhamie kabisa. tutakukatia uwanja ujenge ukae hapa kwa Makonda Arusha

  • @AnnaNoah-jr6ow
    @AnnaNoah-jr6owАй бұрын

    Jamani Mungu akutiye nguvu sana na akuongoze katika uwongozi wako♥️♥️

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345Ай бұрын

    Nitafutieni nyumba arusha nihamie huko 🙌🙌🙌

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4sАй бұрын

    Mama yetu Samia tunakupenda sana .usimtoe Arusha hyu Mkuu wetu wa mkoa .Arusha pana shida nyingi.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    Yaan Rais wangu Samia hivi watendaji wengine angekuwa kama Makonda si nchi angekuwa mbali.Kumbe mambo haya yanawezekana hati. Ongera Mwanangu Makonda Mtani wangu❤❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552Ай бұрын

    Hivi mm najiuliza kwa hasira sana,hv viongozi wengne wanakazi gani ? Mpaka Makonda kweli!?

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677Ай бұрын

    Duh Makonda Mungu asimame na wewe...uwiii❤❤❤

  • @paschalmanumbu572
    @paschalmanumbu572Ай бұрын

    Yaani Makonda, nahisi wengine wenye mali za watu wanaweza kuanza kujiua. Unasolve mambo hadharani hadi watu wanongeza sala juu yako

  • @user-ek6td4kt4t
    @user-ek6td4kt4tАй бұрын

    Mungu akutunze muheshimiwa.

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185Ай бұрын

    Huwa nimewaza.Hivi hizi kero ,wakuu wa mikoa si watatue kero za wananchi kwa style hii ????

  • @user-tf3yp7df2n
    @user-tf3yp7df2nАй бұрын

    Hvi nafikiria hata sielewi nikwann mtu atoke dar,Dodoma n.k akiwa labda anatatizo la aridhi hivyo anampelekea makonda Arusha je,mikoa hiyo haina viongozi wenye kujua majukmu yao?inashangaza sana Hadi mwanza, babati,najiuliza makonda atafanya kazi ngapi anafanya kazi Hadi za nje ya mkoa wake.lkn mungu anafanya kazi juu yake.nahao wanaomkimbilia nimungu anawaelekeza sehem mhimu yakutatua shida zao.

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114Ай бұрын

    mama huko uliko tunaomba utuletee agrey aliye wahi kuwa mkuu wa mkoa tabora alinogesha kama makonda anavokiwasha makonda miaka inayokuja apewe nchi waonevu watakiona

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320Ай бұрын

    Watendaji ni wezi Sana rushwa imezidi Arusha hivi Mpaka Makonda kweli Watendaji oneni aibu mmeshindwa kutetea raia

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6sАй бұрын

    Pongezi kwako mkuu wa mkoa,makonda,wakuu wa mikoa wengine wako kama mazuzu tu

  • @elizabethebambo6286
    @elizabethebambo6286Ай бұрын

    Nakupendaa makonda akika unastahili kuwa rais una moyo wa huruma Mungu azidi kukubariki

  • @stevenadogo3774
    @stevenadogo3774Ай бұрын

    I love people who have empathy towards other

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,jamani wakuu WA mikoa wengina kwa nini wasifuate mfana makonda kutatua ma😮😮kutatua shifaa za wanyonge hapa tanga mjane na yatima wamedhulumiwa waziwazi kupitia mahakama ikawapa ushindi katikaya kutatanisha hospitali wakamfungia inateketea kwa si yao hawana uchungu nayo mazingiray

  • @MashakaMapelani-xd9np
    @MashakaMapelani-xd9npАй бұрын

    Nimekukubali sana

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572Ай бұрын

    Kwa maelezo ya huyu dada hakuna haja ya wana sheria nikuangalia Documents kama ziko sawa maamzi yatolewe hapo hapo siyo wote wana moyo huo wa kusaidia

  • @user-kk4cd6uy9i
    @user-kk4cd6uy9iАй бұрын

    Makomda bwana kweli chuma😅😅😅😅😅

  • @KelvinMaganga-ew7xb
    @KelvinMaganga-ew7xbАй бұрын

    Bro ubarikiwe sana

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82Ай бұрын

    Uongozi ni kujiongeza!!

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6tsАй бұрын

    Jamani kudhulumiwa kunaumaaaa, Wapendwa huu ndio wakati wa kudai haki zetu, Mungu kupitia mama Samia ametuletea Makonda Arusha. Yupo na Silaa kule, mama Samia mama tunakushukuru,Mungu azidi kukulinda.

  • @JasmineRashidi
    @JasmineRashidiАй бұрын

    Jaman makonda abaki Arusha milele

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6tsАй бұрын

    Makonda mtumishi wa Mungu, ulikuja kwa kusudi la Mungu.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6tsАй бұрын

    Nao makutano walimfuata Yesu, wakihitaji uponyaji...ameacha wafuasi wake wawasaidie watu, tunaona wazi leo watu wanamfuata makonda, huyu ni mtumishi wa Mungu alie hai,mpenda haki. Ombi langu kwa viongozi wengine, mkuu wa mkoa ni mtu mkubwa sana ktk mkoa wake, amechaguliwa na mkuu wa nchi, tunaomba sana huku chini watu wanawahitaji sana, kuna vilioooo😢

  • @user-mj1ir2zy4k
    @user-mj1ir2zy4kАй бұрын

    Thank you

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamleАй бұрын

    SUKUMA NDANI WOTE MHESHIMIWA WAACHE JANJA JANJA

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82Ай бұрын

    Aliyekuwa mkuu wa mkoa alikuwa anatatuaje kero hizi? Kuna ufuatiliaji hafifu sana wa utatuzi wa kero za. Watu. Mliopewa dhamana ya uongozi na rais igeni utendaji wa mkuu huyu wa mkoa.

  • @RashidHamad-ro8sd
    @RashidHamad-ro8sdАй бұрын

    Makonda yup vizur sana nikiongoz wa mfano kabisa

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626Ай бұрын

    Hii biashara ya kuandika majina ya mpenzi wako kwenye vitu Hawa wata wazulumu mpaka kifo ,, aise siandiki

  • @ElibarikiLevava
    @ElibarikiLevavaАй бұрын

    NAWASHAURI NYIE MNAOSAIDIWA NA MWESHIMIWA MAKONDA MUWE NA MOYO WA SHUKURANI . Kwahyo naomba siku ukifanikiwa mumkumbuke 1.kwa maombi na kwa mengineyo na Mungu atawabariki sana Makonda akipatikana mwingine Tanzania 🇹🇿 basi tutapiga hatua sana

  • @stevenmwamwenda-3927
    @stevenmwamwenda-3927Ай бұрын

    Kiongozi wa viwango vya juu mfano wa kuigwa

  • @ezekielkiribwa7072
    @ezekielkiribwa7072Ай бұрын

    So sad

  • @janesterbatikinasabuninzur3628
    @janesterbatikinasabuninzur3628Ай бұрын

  • @halimajuma-zq9dk
    @halimajuma-zq9dkАй бұрын

    Jamn lini Tena hiki kitu kitafanyika jmnan ninashida mpk bas

  • @Elizabethmwegoha
    @ElizabethmwegohaАй бұрын

    Makonda Mungu amlinde pia ambariki sana binafsi namkubali.

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928Ай бұрын

    Jembe

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842Ай бұрын

    Sina miseme nini,makonda nimekuelewa sana jaman unatusaidia sisi wanyonge

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzaniaАй бұрын

    Jamni unalia mpaka ucheke.

  • @user-tj5sn8lq8x
    @user-tj5sn8lq8xАй бұрын

    Mh jamani

  • @hassanisaimon1531
    @hassanisaimon1531Ай бұрын

    Kweli chuma

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3oАй бұрын

    RC MAKONDA WEWE NI JEMBE WATO WOTE WANYONGE WANAPATA MADAI YAO HAPO KWA HAPO ONGERA KWA KUWA RC UNAFAFFA KUWA WAZIRI MUNGU AKUBALIKI

  • @majaliwaelias1981
    @majaliwaelias1981Ай бұрын

    Tunaomba uteuzi ujao makonda aletwe nahuku kwetu tabora

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946Ай бұрын

    Tunataka katiba mpya , nchi haiongozwi naporajo majukwaani wao ndio wanaleta haya ,

  • @nicodemashaggite8429

    @nicodemashaggite8429

    Ай бұрын

    Wengine vichwa maji kweli😮😮

  • @adudeswalehe8724

    @adudeswalehe8724

    Ай бұрын

    Hata iyo katiba ikija kama watendaji ni ovyo ni ovyo tuu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677Ай бұрын

    Duh Makonda Mungu asimame na wewe...uwiii❤❤❤

  • @FranceMwanjala
    @FranceMwanjalaАй бұрын

    Jembe

Келесі