EXCLUSIVE: ALLY KAMWE ASIMULIA MAISHA YAKE BAADA YA KUMALIZA FORM 4 "CHUMBA ELFU 7, NALIPWA LAKI 3"

Пікірлер: 93

  • @user-oq2lp8xq1f
    @user-oq2lp8xq1fАй бұрын

    Ukitoa ushabiki wa Timu ,binafsi huwa napenda sana kusikiliza interview za Ally.Huwa zinanoga sana kwasababu anajua sana kuongea.cheers kwako Sheikh

  • @stellashao7885

    @stellashao7885

    Ай бұрын

    Daa mm kila nkiingia KZread 🙌

  • @SaedyNganur-he8bc

    @SaedyNganur-he8bc

    Ай бұрын

    Mi pia bro Yan me Simba lakin namkubal San interview Yako Inakuw hot sana ni mchangamfu kweli

  • @levisdeicon5073

    @levisdeicon5073

    13 күн бұрын

    Mi simba lkn all kamwe napenda story zake

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2woАй бұрын

    Ally kamwe hata aongee masaa sabiin akfu ntamskiza tuu i like him😊😊😊😊

  • @kingkendrickk

    @kingkendrickk

    19 күн бұрын

    Kabisa

  • @getrudamunna
    @getrudamunnaАй бұрын

    Anavutia katika usemaji wake hadi Ayo kawa mpole kumsikiliza zaidi kuliko kusema. Mungu akujalie makubwa zaidi Ally Kamwe

  • @ZawadiNyambulapi-lk1np
    @ZawadiNyambulapi-lk1npАй бұрын

    Aly MUNGU akubariki sana

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731Ай бұрын

    Ally Kamwe👊👊 Mtu wa maana kabisa🙏

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9bАй бұрын

    Tunaotafuta movie ya Aisha tupo ✌️✌️😂😂😋😛👇☝️

  • @rajabually5372

    @rajabually5372

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-cv4yi5hz9b

    @user-cv4yi5hz9b

    Ай бұрын

    @@rajabually5372 🤣🤣🤣🥷🥷☝️🔝✅

  • @emmanuellupiga

    @emmanuellupiga

    Ай бұрын

    👆

  • @NaseebMshuza
    @NaseebMshuzaАй бұрын

    Ali kamwe ktk cku ambazo umeongea point ni leo aisee big up sn na nimekuelewa sn kak mungu qku

  • @Saidi-ic7um
    @Saidi-ic7um22 күн бұрын

    Ndugu yangu ally kamwe nakuelewa mnoo na story ya maisha Yako ,,,,ni kama yangu tuuu ila mi bado sijatoboa

  • @hk_ballers
    @hk_ballersАй бұрын

    Respect bro Kamwe. Hustler kwelikweli 🙌🏽

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088Ай бұрын

    KIJANA amehaso sana acha awe mwerevu wa mjini MWENYE maarifa mengi

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKingАй бұрын

    Namkubali Xana Kamwe Anajuwa Kuchambuwa Soccer Congrats Kwake💚❤️💚❤️💙

  • @khalidhamka9567
    @khalidhamka9567Ай бұрын

    Sema ally kamwe anajua kuongea sana

  • @machakuroger7068

    @machakuroger7068

    Ай бұрын

    Watoto wa Mbagala hao

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923Ай бұрын

    Yahani Ally❤❤❤❤❤

  • @benjaminmpangala2611
    @benjaminmpangala261122 күн бұрын

    "Kipaji Mungu anakupa ila kukikuza NI kazi ya Mwanadamu" nimekuelewa Sana Alliiiiiii

  • @paulnyingo7316
    @paulnyingo7316Ай бұрын

    Duuuu nimecheka sana Ally kichwa sana keep it up ma young bro

  • @bigjizee4130
    @bigjizee4130Ай бұрын

    Hiyo count down kabla ya interview inamaliza bando tuu

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877Ай бұрын

    Ngoja nikupende, Msemaji wetu💚💛

  • @stn4873
    @stn4873Ай бұрын

    Huyu jamaa BIG BRAIN.....ila akiingia kwenye mambo ya Yanga tu shughul imeisha, leo namuelewa Manara sasa ile kauli yake.

  • @joycekija6245

    @joycekija6245

    Ай бұрын

    😅😅😅😅😂😂😂

  • @emmanuelmhagama2384

    @emmanuelmhagama2384

    10 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @Bashirubakarisalala
    @BashirubakarisalalaАй бұрын

    Mwanafunzi wa Ahmed ally

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256Ай бұрын

    Yani hadi milady anasikiliza tu,Unajua kuongea Ali kamwe

  • @francepaul7711
    @francepaul7711Ай бұрын

    R.I.P. THE GREAT KANUMBAAA🙌🙌🙌🙌🙌

  • @theheroesmusic4398
    @theheroesmusic4398Ай бұрын

    Jama kumbe yuko vzuri hivyo 🙌. From PA USA 🇺🇸

  • @HassanRamadhan-cv8de
    @HassanRamadhan-cv8deАй бұрын

    Dah nimeipenda hii😂❤

  • @yohanadwac7497
    @yohanadwac7497Ай бұрын

    Mwenyekiti la Wasemaji🟢🙌

  • @hamisikambona8763
    @hamisikambona8763Ай бұрын

    Ally kamwe anajua sana

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678Ай бұрын

    Maa shaa Allah kijana anajua kujielezea vzuri

  • @OdriaKabati
    @OdriaKabatiАй бұрын

    Kaka Ali mm nakukubari sana

  • @husseinkadawa2846
    @husseinkadawa284625 күн бұрын

    Ally Mungu mungu akubariki sana.

  • @mussansoleziplutnumz2097
    @mussansoleziplutnumz2097Ай бұрын

    Nimependa sana stor yako unaweza tengeneza movie semaji

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000Ай бұрын

    Kichwa Cha ally safi sana

  • @cryptoboy-5
    @cryptoboy-5Ай бұрын

    hii kichwa hii

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz27 күн бұрын

    Congratulation brother 🎉

  • @user-gc6ml8ec3k
    @user-gc6ml8ec3kАй бұрын

    Ndo maana movies zetu hazitoboi

  • @piusnkwale
    @piusnkwaleАй бұрын

    Ali kamwe anaongea sana😊😊😊😊

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7muАй бұрын

    Ally huwa nampenda bule

  • @departmentofpolicyplanning8184
    @departmentofpolicyplanning818428 күн бұрын

    Namkubali sana

  • @abdylugete2056
    @abdylugete2056Ай бұрын

    Sema unatupanga kka

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000Ай бұрын

    Ally hachoshi story zake

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590Ай бұрын

    Kwahyo alikamwe amemalza form 2009 Alf badoo anaonekana Mtoto

  • @abdullyjadu7723

    @abdullyjadu7723

    Ай бұрын

    Xx mwaka 2009 ukitaka azeeke maana ata miaka 40 hajafika waliomaliza form 4 wamemaliza kuanzia miaka 198_1992 Kwa iyo hyo bado chalii kabx

  • @user-uk4os3zj6f

    @user-uk4os3zj6f

    11 күн бұрын

    Amin me mwenyewe namwona mdog

  • @QueenMushi
    @QueenMushiАй бұрын

    Duh! Kweli millage ni baba lao

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260Ай бұрын

    Kila kitu wallahii 😂😂 ucjal tunakuamn bhn

  • @charlestobby6031

    @charlestobby6031

    Ай бұрын

    Kazoea kuapia shida iko wapi apo ndug😅

  • @idrismghamba6439
    @idrismghamba6439Ай бұрын

    Akili kubwa Sana hii 💚💛✊💪

  • @machakuroger7068

    @machakuroger7068

    Ай бұрын

    Mbagala moja hiyo

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348Ай бұрын

    Shija umtoe wapi yupo zake Canada mwambie akutumie dollar atakuwa kaishajipata

  • @wazarendotv7966
    @wazarendotv7966Ай бұрын

    😂😂😂😂😂Muongo huyu viapo vingiiiii kama anakana kosa

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hfАй бұрын

    Kamwe kama kamwe... Semaji lao

  • @allyngimba430
    @allyngimba430Ай бұрын

    my rolmodel

  • @wonderkid14.
    @wonderkid14.18 күн бұрын

    Huyu jamaa asee anajua kuongea interview imepoa, fact nyingi asee jamaa kichwa sana

  • @HappyJohn-jo8im
    @HappyJohn-jo8imАй бұрын

    Ally yuko smat san mahojiano yake yanafundisha kitu

  • @paulPius-uk9rq
    @paulPius-uk9rqАй бұрын

    Huyu jamaa nafurahi sana kumsikiliza

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega28028 күн бұрын

    Natafuta movie ya AISHA😅😅😅

  • @AminaLucas
    @AminaLucas26 күн бұрын

    So fun na raha

  • @happymboma3567
    @happymboma3567Ай бұрын

    Ally utafika mbali

  • @valleluoga6258
    @valleluoga625826 күн бұрын

    Ally Huchoshi kukuskiza, na unatoa vitu vyenye elimu kubwa ndani yake

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sangotelleming7444
    @sangotelleming7444Ай бұрын

    Ayo namkubali sana uyu mdada frida

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen28227 күн бұрын

    Frida naona kadata & ALLY

  • @antyigasper2850
    @antyigasper285024 күн бұрын

    Ila Ally😂😂 nakupend bure mm

  • @djumakadege659
    @djumakadege659Ай бұрын

    Tuliambiwa kwamba Haji manara ndiye alikupeleka azam ! je ? nikweli .

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599Ай бұрын

    Mtu wa History san..😂..kichwa

  • @user-lf1bd4vj9c
    @user-lf1bd4vj9c25 күн бұрын

    Ally

  • @plustzafromusic4908
    @plustzafromusic490829 күн бұрын

    Natamani siku moja vido amuoji Millard kuhusu Maisha yake mwanzo wake mpaka hapo alipo fikia, na Millard aongee ukweli kabisa hii interview itakuwa kubwa Sana na itatubaliki wote

  • @meshackdauda4315

    @meshackdauda4315

    25 күн бұрын

    Mbona ilishafanyika SAANA HIYO

  • @user-xh9ow7jl4m
    @user-xh9ow7jl4m28 күн бұрын

    Manara alikusaidia wap kwenye ajira azam

  • @AlexMosha-ci5uq
    @AlexMosha-ci5uq25 күн бұрын

    😃😄😁🧠🤔🎤📺🔥KAMWE IS VERY FUNNY GUY

  • @user-vf5gs7ik7w
    @user-vf5gs7ik7wАй бұрын

    Wapi chuo champira???

  • @LatifaOmary-zo1un
    @LatifaOmary-zo1un18 күн бұрын

    Ila ally😂😂😂😂

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda431525 күн бұрын

    Mshenz uyu eti simba sc akaisifia ,ni kwamba simba ni dudee kubwaaaa bila kulitaja uwez toboa

  • @mathiasmhangilwa195
    @mathiasmhangilwa195Ай бұрын

    Dogo iq yako iko juu sana utafika mbali

  • @attanasleones-wn5qs
    @attanasleones-wn5qs29 күн бұрын

    Sasa mkome kumfananisha na yule mchekeshaji wa simba

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmasАй бұрын

    Watu wanatoka mbali

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618Ай бұрын

    Dah nampend uyu kaka atar

  • @FredMaulid

    @FredMaulid

    28 күн бұрын

    Yah yupo vzr kichwani na maisha ni fumbo Leo ni msemaji wa kilabu kubwa bongo.

  • @DonaldMpili-de3kc
    @DonaldMpili-de3kcАй бұрын

    Ila Ally n kamwe

  • @suwakofmuslim2565
    @suwakofmuslim2565Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂Aisha

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1qАй бұрын

    Namkubali sana Ali kamwe 💚💛💛💚

  • @cryptoboy-5
    @cryptoboy-5Ай бұрын

    hii kichwa hii

  • @hamisaepee6938
    @hamisaepee6938Ай бұрын

    Muongo huyuu Viapo teleee 😂

  • @FredMaulid

    @FredMaulid

    28 күн бұрын

    😅😅😅

Келесі