ATCL KINARA WA UHAMASISHAJI LUGHA YA KISWAHILI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la ndege Tanzania ATCL Ladislaus Matindi amesema wanampango wa kuhakikisha watoto wa kike wanaingia katika shirika hilo kwenye vipengele mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukataji wa tiketi n.k.
Ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano na @DailynewsDigital kwenye maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es salaam.
Maadhimisho ya lugha ya Kiswahili yalitangazwa rasmi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO). Tarehe 23 2021
Mosi Julai, 2024, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa kauli moja lilipitisha azimio la kuitambua tarehe 7 Julai kuwa Siku ya Kimataifa Kiswahili.
Tanzania kama nchi zingine zingine katika Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani Rais wa nchi hiyo Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumzia Kiswahili ametoa ujumbe namna lugha ya kiswahili imetumika kuunganisha watu,
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі