NISHATI VIJIJINI 97%

Mwenyekiti wa Bodi wa Wakala wa Nishati vijijini (REA), Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu amesema REA inajukumu kubwa la kuhakikisha watu Mil 45 ambao wanakadiriwa kuishi vijijini wanafikishiwa huduma muhimu kama Serikali ilivyoelekeza.
Meja Jenerali Jacob ametoa maelekezo hayo akiwa katika banda la maonesho REA, ambapo alijionea shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Wakala hao
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі