Wamenifukuza CCM lakini hawawezi kuuchukuwa uzalendo wangu kwa Zanzibar - Mzee Moyo

Miaka mitano iliyopita, Mzee Hassan Nassor Moyo alifukuzwa kutoka chama chake alichodumu nacho muda mrefu cha CCM kwa shutuma za kukiuka misingi ya chama hicho. Mwenyewe aliiambia Sauti ya Ujerumani ya Deutsche Welle kwamba hajali na angeliendelea kukisimamia alichokuwa akikiamini ambacho ni Maridhiano ya Wazanzibari, Muungano wa Serikali Tatu, na Zanzibar yenye mamlaka yake.

Пікірлер: 58

  • @AP-uk3mq
    @AP-uk3mq3 жыл бұрын

    Allah akupe Qauli thabit Mzee wetu. Akusameh makosa yako

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Жыл бұрын

    Allah atie nuor Njema kwenye Kaburi lako, na manukato mazuri ya neema, na akujaalie pepo siku ya mwisho

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo7 ай бұрын

    Mzee mshukuru mungu kukumbusha usiondoke dunian na DOA LA dhuruma na ukandamizaji haki za wananchi

  • @pandungozi1072
    @pandungozi10723 жыл бұрын

    Allaah akughufirie dhambi zaka na akulaze pahala pema peponi but tumeondokewa na mzee wetu mwenye msimamo mkali,fikra na busara kubwa kwa wazanzibarii🙏

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70473 жыл бұрын

    Allah akustiri mzee wetu. Amin.

  • @albassambakili3757
    @albassambakili37573 жыл бұрын

    Mzee moyoo Allah akusamehe madhambi yko

  • @talibally8743
    @talibally87433 жыл бұрын

    Allah akupe kauli thabit n akuingiz peponi kw rehma za Allah... Ww unaipnd nchi yk n wtu wko huu ndio uislm unvotkiwa n hii ndio dini y kweli... Unambiw uwpend waislm wenzio kuliko unvo ipnd nafsi yk.. Mm nkuombea dua ya rabbi mpe pepo mj wko kw rehma zako apokelew kw mikono miwili n kitbu chko upew kw mkon w kulia... Amin.... Zanzibar asa hv tun dhulumiwa cc n cc viongz wn lion hli lkn wnfny hv Sbb wnaon jion wnpt kil kit cc wchn nd tunumia

  • @rehemamost444

    @rehemamost444

    3 жыл бұрын

    Dini yakweli , unapenda binadamy wote sio waisilamu wenziio Tu,

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    @@rehemamost444, Uisilam ni dini ya kweli na haq. Na ndio mana Allah akaeka wazi mapenzi ya imani, ya udugu na ubinaadamu. Uisilam umetufunza kupenda waisilam wenzetu, kupenda wanaadamu wote kiujumla, nakuwapenda ahli zetu. Na uisilam hauna kosa kusema mpende muisilam mwenzio kuliko unavyoipenda nafs yako mana nyote ni waimani moja. Akifa leo hatatoka wa dini nyengine akaja akamzika.

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot3 жыл бұрын

    Mungua ailaze roho ya mzee moyo mahali pema peponi amini kiukwelii wazanzibar wata kukumbuka sana kwa msimamo wako na kuitakia mema zanzibar pia

  • @amarbinswaleh4293
    @amarbinswaleh42933 жыл бұрын

    Inasubiriw ukasitiriwe kwenje njumba yako ya Miller Mungu akulaze mahala pema peponi Amin

  • @tifumunguatamlipaaliendewa4927

    @tifumunguatamlipaaliendewa4927

    3 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amina

  • @Time-ev3dw
    @Time-ev3dw2 ай бұрын

    Alla akurehem mzee wet hakika uliipambania nchi yet na hukuyumba wao ni madalali wa nchi yet kwa uwezo wa Alla hawatafanikiwa

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy90413 жыл бұрын

    Babu yangu mungu akuvishe taji la peponi

  • @maikosaga3632
    @maikosaga36323 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahali pema peponi mzee wetu mwema amiin

  • @aishafarah2456

    @aishafarah2456

    3 жыл бұрын

    Ameen Yaraby

  • @alialibablly7010
    @alialibablly70103 жыл бұрын

    Uchungu wa zanzibar aujua mwana zanzibar alie kinae

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah91693 жыл бұрын

    Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun

  • @salimmawiya6473
    @salimmawiya64733 жыл бұрын

    Mzee Wangu umeonesha juhudi yako kwa Zanzibar

  • @fatmas7338
    @fatmas73383 жыл бұрын

    Allah akupe qaul thabit mzee wetu

  • @rukky4169
    @rukky41693 жыл бұрын

    Allah a kurehemu na akusameh makosa yako ww na jamii muslimiin

  • @aybkham5795
    @aybkham57953 жыл бұрын

    ALLAH amped mzee Hassan Nassoro Moyo Makazi mema peponi, Aameen

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @sulaimanalriyami471
    @sulaimanalriyami4713 жыл бұрын

    اللهم غفر له وارحمه واسكنه فسيح جناته

  • @kingelkindy2920

    @kingelkindy2920

    3 жыл бұрын

    اللهم آمين

  • @husseinmillans3794
    @husseinmillans37943 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilaih rajiuun!!R.I.P Papa.

  • @alisaid1204
    @alisaid12043 жыл бұрын

    Ewe Mola wa Arshi tukufu msamehe mzee Moyo na wazee wetu walo kwisha tangulia na uwaingize katika jannat l-firdaws.

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @ahmedkhamis9539

    @ahmedkhamis9539

    3 жыл бұрын

    Allah amrehemu mzee wetu amsamehe makosa yake

  • @rehemamost444

    @rehemamost444

    3 жыл бұрын

    Kama Tanzania inanuka maovu, usingeishi, nenda hapo Somalia Tu, ukaishi harafu ndo utajua Tanzania viongoz wetu wananukia Aman,

  • @mohammedhamad9392

    @mohammedhamad9392

    3 жыл бұрын

    @@rehemamost444 Zanzibar kwanzaaaa

  • @muhiddinjamhour910
    @muhiddinjamhour9103 жыл бұрын

    انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه ويغفر له

  • @kingelkindy2920

    @kingelkindy2920

    3 жыл бұрын

    الله يغفر له ويرحمه ويسكنه فسيح جناته

  • @amarbinswaleh4293
    @amarbinswaleh42933 жыл бұрын

    Mung akulaze pema peponi

  • @slowclimbertothetop4572

    @slowclimbertothetop4572

    3 жыл бұрын

    Aamin

  • @slowclimbertothetop4572

    @slowclimbertothetop4572

    3 жыл бұрын

    Bora uwe na msimamo hadi mwisho...he is such a role model

  • @samoragoodwin7309
    @samoragoodwin73093 жыл бұрын

    Mzee moyo alisimamia kile alichokuwa anaamini

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy88883 жыл бұрын

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة واكرم مثواه

  • @pandungozi1072

    @pandungozi1072

    3 жыл бұрын

    Aamiin🤲

  • @gangmore9091
    @gangmore90913 жыл бұрын

    Ukisema ukweli n kutaka mamlaka kamili zanzibar nakutetea zanzibar ccm haitaki ivo Allah akusamehe mazambi yako akujalie kauli sabit naukisema ukweli ktk ccm lazima ufukuzwe

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Жыл бұрын

    Kama wewe ni muasisi wa muungano iweje leo unataka uvunjike? Inna lillah...

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani71943 жыл бұрын

    Alamdulillah uliwaacha madhalimu na udhalimu wao

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99053 жыл бұрын

    Rip

  • @athumankigomba427
    @athumankigomba4273 жыл бұрын

    Mzee Zanzibar au tanzania

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87279 ай бұрын

    Mola akubari na umejitahidi kadiri ya uwezo wako

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын

    Hawakumtendea haki

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu79583 жыл бұрын

    Mmh

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi72733 жыл бұрын

    kina maalim sefu igeni ukweli na uaminifu wa huyu comred,ili iwe ni ushahidi mbele ya Allah. fitna na farka+majungu vitawafanya mfe vibaya

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali71923 жыл бұрын

    Simba

  • @mattarmattar4405
    @mattarmattar44053 жыл бұрын

    [[[[[[[]]]]]]]]

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    Mapinduzi ya mama zao

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    Tanzania inanuka maovu kutoka kwa wanaongoza uongozi

  • @fahadfaraj1822

    @fahadfaraj1822

    3 жыл бұрын

    Siasa ya duniani ipo ivyo leo iyo saudia nchi takatifu na kumeoza kiuongozi ivyo tuombe pepo tu haya ya dunia wala hayana lolote

  • @tawfiqissa6123
    @tawfiqissa61233 жыл бұрын

    Hatuta kusahau ww nilulu kwa zanzibar yetu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    Bado tinga tinga na wafuasi wake

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi60873 жыл бұрын

    Mnafki hana chochote. CCM oyeeeeee mpaka kiama. Mkichukia poa tu.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Mnafiki wewe!!!

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50433 жыл бұрын

    Allah Akujaalie Qabri Yako Minalriadhiljannah Yarabiy

Келесі