ALICHOKIZUNGUMZA MPOTO BAADA YA KUTEMBELEA SABASABA
Ғылым және технология
DAR ES SALAAM: Msanii Mrisho Mpoto amewaomba wananchi kutoka sehemu mbalimbali kujitokeza kwa wingi kujionea vitu vyilivyopo katika maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2024) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09
Пікірлер