MSTAAFU KIKWETE ASHAURI KUPUNGUA KWA GHARAMA ZA UMEME

DAR ES SALAAM: RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne, Dk. Jakaya kikwete ameishauri shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuangalia uwezekano wakupunguza gharama za kuunganisha umeme ili wananchi wengi waweze kuangani umeme katika sehemu zao.
Dk. Kikwete Ameyasema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akitembelea maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2024) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
"Unaweza kuweka gharama kubwa za kuunganisha umeme, lakini ukiweka gharama ndogo wengi wakiingiza umeme gharama yako utailipa kwa kiasi wanavyotumia umeme" Amesema Dk. Kikwete.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер: 25

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd388615 күн бұрын

    Mungu akubariki Kwa kulisemea hili rasi kikwete

  • @timothbenard8213
    @timothbenard821316 күн бұрын

    Point

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h16 күн бұрын

    Leo umeongea point

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph787716 күн бұрын

    Fact

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda255415 күн бұрын

    Hilo la mana sana

  • @emmanueljoseph3815
    @emmanueljoseph381517 күн бұрын

    RIP jpm

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw15 күн бұрын

    HONGERA MZEE BABA SEMA WATATEKELEZA MAANA MAAGIZO YANATOKA LAKINI WANAJIFANYA VICHWA MAJI

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz16 күн бұрын

    Mbona Dar umeme umepanda

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446416 күн бұрын

    Kwa kweli hata mimi nakuunga mkono kuhusu kushushwa kwa bei ya umeme na gesi. Serikali itakuwa imefanya jambo jema

  • @tevintevin6254
    @tevintevin625416 күн бұрын

    Huu mchezo popcorn 🍿 znahusika ,mpaka tufike mwakani tutaona mengi 😂😂

  • @frankbuliro9183
    @frankbuliro918317 күн бұрын

    Hongera sana muheshimiwa kikwete

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763716 күн бұрын

    JPM alipania kuushusha. Januari Makamba ndiye alishikiria bei isishuke.

  • @sendorojuma4544
    @sendorojuma454417 күн бұрын

    Unajielezea mno. Ulichofanya kitajisemea chenyewe!

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan520917 күн бұрын

    Mango wa matumizi ya Gass kikaya GASS ASILIA VIPI?

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga963817 күн бұрын

    Sasa hivi serikali wameongeza tozo ya shs 2000 kimya kimya bila kusema hicho kiasi Cha Nini alafu hii serikali wabunge Awana usemi wa kutetea wananchi wanatetea matumbo yao

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    16 күн бұрын

    Umeonae!

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan809316 күн бұрын

    Tunakukumbuka san mzee kikwete ndo ulianzisha Gas asilia na mwendokasi

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict543116 күн бұрын

    Huyu mzee tushamchoka

  • @exaverysimon1064

    @exaverysimon1064

    16 күн бұрын

    acha kutusemea

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    16 күн бұрын

    Uko sahihi anaongea sana wakati wake hamna kitu

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    @mohamedhamismagoraonlinetv459

    14 күн бұрын

    ​@@Kabwela776Maisha yako wakati yupo madarakani na hivi sasa yana tofauti gani? Jilaumu mwenyewe

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan809316 күн бұрын

    Kikwete ndo alianzisha mwendo kasi, madaraja makubwa na barbara ndefu za lami, ndo alianzisha Gas Tanzania

  • @MeenaHassan-fd9vv

    @MeenaHassan-fd9vv

    16 күн бұрын

    Huyo ni mbwa tuuu hana lssue

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376416 күн бұрын

    RAIS WETU MSTAAFU alifanya kazi kubwa mno kwa taifa la watanzania,ila waombeza ni wale wale wanaomsonga mhesh mama yetu samia suluhu hasan,ndiyo wanaomsonga mhesh January makamba,ndiyo hao hao wanaomsonga mhesh BASHE!!tunaeafahamu vizuri mno,wakati wakiwachafua hao,wamewasifu wengine tena nusu mental kwamba wao walifanya kazi kama MALAIKA sijui nikama MANABII!! wanajiona wajanja ila wanajulikana LENGO lao ni nini?

Келесі