MSTAAFU KIKWETE ASHAURI KUPUNGUA KWA GHARAMA ZA UMEME
DAR ES SALAAM: RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne, Dk. Jakaya kikwete ameishauri shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuangalia uwezekano wakupunguza gharama za kuunganisha umeme ili wananchi wengi waweze kuangani umeme katika sehemu zao.
Dk. Kikwete Ameyasema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akitembelea maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2024) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
"Unaweza kuweka gharama kubwa za kuunganisha umeme, lakini ukiweka gharama ndogo wengi wakiingiza umeme gharama yako utailipa kwa kiasi wanavyotumia umeme" Amesema Dk. Kikwete.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09
Пікірлер: 25
Mungu akubariki Kwa kulisemea hili rasi kikwete
Point
Leo umeongea point
Fact
Hilo la mana sana
RIP jpm
HONGERA MZEE BABA SEMA WATATEKELEZA MAANA MAAGIZO YANATOKA LAKINI WANAJIFANYA VICHWA MAJI
Mbona Dar umeme umepanda
Kwa kweli hata mimi nakuunga mkono kuhusu kushushwa kwa bei ya umeme na gesi. Serikali itakuwa imefanya jambo jema
Huu mchezo popcorn 🍿 znahusika ,mpaka tufike mwakani tutaona mengi 😂😂
Hongera sana muheshimiwa kikwete
JPM alipania kuushusha. Januari Makamba ndiye alishikiria bei isishuke.
Unajielezea mno. Ulichofanya kitajisemea chenyewe!
Mango wa matumizi ya Gass kikaya GASS ASILIA VIPI?
Sasa hivi serikali wameongeza tozo ya shs 2000 kimya kimya bila kusema hicho kiasi Cha Nini alafu hii serikali wabunge Awana usemi wa kutetea wananchi wanatetea matumbo yao
@edsonnelson4464
16 күн бұрын
Umeonae!
Tunakukumbuka san mzee kikwete ndo ulianzisha Gas asilia na mwendokasi
Huyu mzee tushamchoka
@exaverysimon1064
16 күн бұрын
acha kutusemea
@Kabwela776
16 күн бұрын
Uko sahihi anaongea sana wakati wake hamna kitu
@mohamedhamismagoraonlinetv459
14 күн бұрын
@@Kabwela776Maisha yako wakati yupo madarakani na hivi sasa yana tofauti gani? Jilaumu mwenyewe
Kikwete ndo alianzisha mwendo kasi, madaraja makubwa na barbara ndefu za lami, ndo alianzisha Gas Tanzania
@MeenaHassan-fd9vv
16 күн бұрын
Huyo ni mbwa tuuu hana lssue
RAIS WETU MSTAAFU alifanya kazi kubwa mno kwa taifa la watanzania,ila waombeza ni wale wale wanaomsonga mhesh mama yetu samia suluhu hasan,ndiyo wanaomsonga mhesh January makamba,ndiyo hao hao wanaomsonga mhesh BASHE!!tunaeafahamu vizuri mno,wakati wakiwachafua hao,wamewasifu wengine tena nusu mental kwamba wao walifanya kazi kama MALAIKA sijui nikama MANABII!! wanajiona wajanja ila wanajulikana LENGO lao ni nini?