MABINTI CHANGAMKIENI FURSA UHANDISI WA NDEGE - ATCL

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi amesema, wanampango wa kuhakikisha watoto wa kike wanaingia katika shirika hilo kwenye vipengele mbalimbali ikiwemo, uhandisi wa ndege, urubani, ukataji wa tiketi, uhudumu na maeneo mengineyo.
Ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano na Dailynews Digital kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa jijini Dar es salaam
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі