MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!
MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!
Katika ziara ya JPM mkoani mwanza, alifanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba, ambapo moja ya mfungwa alimshushia maombi ya nguvu rais Magufuli pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi ..
#JPM #MFUNGWA
Https://kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 142
Tanzania Imekombolewa Na Wafungwa watakombolewa Yes Kiozi Tunae Tunajivunia nchi yetu ss Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Kiongozi wetu Amina
EE MWENYEZI MUNGU SALA HII TUNAOMBA UIPOKEE, AMINA
Nimependa maombi y mfungwa...mungu atakusaidieni siku mmoja mtakuwa uraiyani/mtakuwa huru..endeleeni kumwamini mw/ mungu haijalishi kosa lako ni kubwa kiasi gani mungu humsamehe kila mja
@hawaali8107
5 жыл бұрын
Wallah kanitoa chozi huyu kijana
@ayububandamo7698
5 жыл бұрын
amin
@sadickwalker2795
4 жыл бұрын
Kweli huyu mwombaji aliseya nini jamn?
@slemanuomari4967
3 жыл бұрын
@@hawaali8107 t
@denistarange5580
3 жыл бұрын
Kabisa haijalishi unapitia mangumu ngani lakini Mwamini Bwana wako
Ebu tuache unafiki bana mh.RAISI Ana stahili pongezi👏
@matymoshi6172
4 жыл бұрын
Kwelii
Dah this is gift from GOD rais anatembelea mpaka wafungwa J P M utatuachia nani kama wewe 2025 ukimaliza term yako baba
Sikuwahi kuona ktk awamu zote Raisi mchapakazi hivi, sioni atakayevaa viatu vyako bado, tuendelee kuomba Mungu Watanzania
@husseinchedi4954
3 жыл бұрын
Kweisi 😭😭💋💋💋💋
Hii htr! Mheshimiwa Mungu akuongezee nguvu zaidi na zaidi! Hii haijawahi tokea!
Waafrica mashariki sanasana kenya twamtazama maghuli zaidi kuliko wa tz. Mna bahati kweli lakini akili yenyu msipoitumia na kumrudisha huyu baba, mtajililisha na mtulilishe nasi
umenibariki Muombaji Mungu aonyeshe huruma yake Tanzania Bila wafungwa onawezekana
@myunaniniahmad6463
3 жыл бұрын
Maombi yamenikosha sana👏
Nampenda Magu
Le President extraordinaire ça fait couler les larmes.Que Dieu bénisse le President tanzanien et son peuple.Vive la Tanzanie.
Mungu mbariki rais wetu
Natamani kenya ingepata raisi kama huyu mungu tuongoze jamani
Mungu awasaidie katika jaribu La kukaa gerezani
@sadickwalker2795
4 жыл бұрын
Mtumishi alikutwa namtiani gani hadi afike gerezani jamani?
Wallwah machozi furaha yamenitoka japo ni kidogo
Hivi magufuli kweli ni mtu wa kawaida mbona a nawapenda zaidi watu wadogo ambao hawawezi kumplipa kitu? Machinga walikua wanapigwa 😭😭😭😭 Kasema waacheni walikua wanamwagiwa chakula mama ntilie😩😩😩😩 wanafunzi walikua wanafukuza Kasema waacheni wafungwa kaenda kuwapa moyo jamani tukimfananisha na kiongozi fulani wangine wa nakasilika mbona anatembea ka ma yesu magufuli lkn kwa mambo mengi?
@reginasawe3356
3 жыл бұрын
😭😭😭 hayupo tena
Hakika magufulli mungu akulipe kwa busara zako
Ameni
Hakika maombi hayo yamefika kwa MUNGU ! Na MUNGU atayajibu .
@sadickwalker2795
4 жыл бұрын
Kabisaaaa.
@neemaremus4924
4 жыл бұрын
Kabisa
PEOPLE PRESIDENT.
Umeomba mpk nimelia machozi.
Mungu wasaidie waja wako waixhi vizuri huko mpaka cku watakapoona uraiani
Maombi mazr Sana,Magu nakuunga mkono kutembelea wafungwa na kuwasikiliza barikiwa Sanaa presdaa
@itikamwakanyamale2690
4 жыл бұрын
Nashindwa kujizuia nakupenda Magufuri
Mungu akubariki sana Rais naona Mungu ndani yako.
Tunamwomba mungu atupe uzima kilasiku ilikusudi tupate kufanikisha malengo na Mipango yetu
Maombi hayo .tz hatujui kiatu chako nani atakivaa mungu tusaidie utawale milele
Jaman Mungu awe nanyi naona nyuso za kujuta mtatoka na muwe watiifu
@ruthjoseph7358
5 жыл бұрын
Ubarikiwe kiongozi ulieteuliwa na mungu uliyaona na walioyasema utateta sawa na mapenzi ya Mungu mheshimiwa rais msaidie albino atoke
Jamanii jamanii ivi magufuli wewe ndo Tanzania ndo wewe Mungu ibariki 🇹🇿 Mungu mbariki Ally Happy
Amina kamanda yesu akutunze
I love him he is a good leader bg up JPM.
amin kk mungu msaidie rais wetu jaman awe na moyo huohuo
Mwenyezi Mungu awasemehe kwa makosa yote na mhe rais na amini amewaangalia kwa Moyo wa uruma, mcjali mtatoka. Ameen, asante
Amina
Mungu awasaidie
Mungu akubariki Rais wetu kupembelea magerezani.
Amina mungu awasaidie
Bless sana Mzee wangu magu
Masiki adi nimeria😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏
amina
Pamoja sana mtumishi pia Mungu nawe alegeze minyororo iliyo mikononi mwenu....
"Miradi mingi hatukuiacha tunaiona kwenye TV"... Maneno yanaonesha jinsi unapofungwa unatengwa na jamii, unaimiss jamii na unakosa kuyaona mengi kwa uhalisi wake! Mungu badili mioyo ya wafungwa hawa ili waifurahie nchi yao nje ya magereza!
Amen Amen
Barikiwa baba Magufuli
Hatuuzi Raisi wetu kpnz Magufuli oyee hapa kazi2
Waaaaaaaaaaooooooooooo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tunasalimiana tu!
Jahazi
I respect makufuli sana ana ongozwa na Mungu
Mungu ampumzishe kwa amani kiongozi wetu
Tutakukumbuka sana hayat dkt jonh pombe uliye tuachia huku katugeuka
Ayo makofi sasa..........
Jamani huyu mchungaji huo mwombaji anaemwombea Raisi nimtiani gani umemuleta hapa gerezani.
@janethkilonzi4260
3 жыл бұрын
Atakua alikula sadaka pasipo kukusudia..mungu amsamehe sana
Maombi ni muhimu,mahali popote
Haya ulaya na duniani kote haijawahi kutokea hakuna raisi hata mmoja duniani kawahi kutembelea wafungwa
voice wonder
Hakika
Yaani wewe mchungaji una maana kuliko gwajima mzee wa ngono
Amen ubarikiwe sana.
Oh Jaman speechless
Ongera.Rais.magufuri.mtetezi.wawanyonge
Amen %
Move za kichawi
Kitu kimoja ambacho kinaniguza sana na Rais Magufuli ni kutembelea wafungwa. Ni kitu kikubwa sana. Hapa Rais Magufuli anastahili pongezi
Umepewa hekima kama ya salomo.ubarikiwe daima
😭😭😭😭😭😭 Hii video maiangalia leo miaka kadhaa imepita but all in all rest in peace dear Maguful the only heroe ever existed in Tanzania🙄🙄🙄🙄🙄
Kenya huwesi hukaona kitu Kama,hii raisi was Kenya hawesi kupotesa wakati wake,ongera Raisi makufuli.tana sukua 🖐️ heko baba. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante
Nimeipna bab rais
AMINA
Heri kiongozi mwenye hofu ya Mungu maana ataitafuta haki ilipo
SALA YA MFUNGWA INAELEWEKA.
@matymoshi6172
4 жыл бұрын
Kabisaa sala imepenya
@sadickwalker2795
4 жыл бұрын
Kwani mtumishi alifanya kosagani?
🙏🙏🙏
Mungu apewe sifa milele na milele
Aaaaamina🙏
Ameen
Yana maguful ww nikiongoz nakukubal
Sasa hapa jpm unadeni yatakia ukamtoe huyu mfungwa na wengineo wenye makosa madogo alikuombea na umepata
Masikin
Rais ni MTU wa watuu
Ubarikiwe maguful kwa moyo wa upendo
@minaniclaver9844
3 жыл бұрын
Lbpv. C. . V. Bfi
@minaniclaver9844
3 жыл бұрын
Lbpv. C. . V. Bfi
Magufuli baba lao
Unafiki mkubwa, maombi ya kujifariji
Pumzika kwaamani baba yetu magufurii watanzania tulikupenda Sana ila mungu kakupenda zaidy
Hayo maombi yamfikie
Mungu mkumbuke Mfungwa huyu
Rais
Mungu sikuzote penye uovu huwa anaufunua
@enosenthamadi7872
4 жыл бұрын
Ezekiel
.op
Tanzania mumejaliwa nahisi kama magufuli ogera baba ijapokuwa unamapungufu kama binadamu
Amen
Your
@JamesMwijage-fn8tc
3 ай бұрын
5:29
ninema raismagufuri kutembelea magereza hpngera kwa hilo
Hohooohoho nasika bwana ananiita nilisikia sauti ya huyu kaka EE roho ananiambia kitu gani kina ni fanya nisiwe na huruma kama magufuli?
Maombi yako yamenijenga sana huyu Mungu akutendeye kadiri utakavyo
Pokemon 0
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏❤😘
Kama.umeua.wewe.ufie.jela.wa.bakaji.vilevile.nduguzagu Tanzania
@emmanuelchacha6718
5 жыл бұрын
Mungu husamehe kwasababu kila mtu ni mkosaji.Tuwe na moyo wa kusamehe hakuna mwanadamu ajuae kesho yake.Mungu akutie Imani uwe na moyo wa kusamehe.
Nimependa maombi hayo nami nasema ee mungu wa isaka,yakobo na ibrahimu mwinue raisi wetu popote dunian kwani anauchungu mkubwa na sisi watanzania nasi tunamwombea kila kila muda ili malengo yake na makusudi yake yatimie
@chrismasebo8732
5 жыл бұрын
Amina
@colletamgeni9196
5 жыл бұрын
Amina rais wetu
@robiwambura4327
4 жыл бұрын
Hi I ndo ushirikishaji jamii wa ukweli, live evidence. Hongera JPM, nchii hii haki irapatikana tu. Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri.
Amina
Amen Amen