MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!

MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!
Katika ziara ya JPM mkoani mwanza, alifanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba, ambapo moja ya mfungwa alimshushia maombi ya nguvu rais Magufuli pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi ..
#JPM #MFUNGWA
Https://kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 142

  • @francismalera7863
    @francismalera78635 жыл бұрын

    Tanzania Imekombolewa Na Wafungwa watakombolewa Yes Kiozi Tunae Tunajivunia nchi yetu ss Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Kiongozi wetu Amina

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege34264 жыл бұрын

    EE MWENYEZI MUNGU SALA HII TUNAOMBA UIPOKEE, AMINA

  • @leylahley3542
    @leylahley35425 жыл бұрын

    Nimependa maombi y mfungwa...mungu atakusaidieni siku mmoja mtakuwa uraiyani/mtakuwa huru..endeleeni kumwamini mw/ mungu haijalishi kosa lako ni kubwa kiasi gani mungu humsamehe kila mja

  • @hawaali8107

    @hawaali8107

    5 жыл бұрын

    Wallah kanitoa chozi huyu kijana

  • @ayububandamo7698

    @ayububandamo7698

    5 жыл бұрын

    amin

  • @sadickwalker2795

    @sadickwalker2795

    4 жыл бұрын

    Kweli huyu mwombaji aliseya nini jamn?

  • @slemanuomari4967

    @slemanuomari4967

    3 жыл бұрын

    @@hawaali8107 t

  • @denistarange5580

    @denistarange5580

    3 жыл бұрын

    Kabisa haijalishi unapitia mangumu ngani lakini Mwamini Bwana wako

  • @zakiasadick580
    @zakiasadick5804 жыл бұрын

    Ebu tuache unafiki bana mh.RAISI Ana stahili pongezi👏

  • @matymoshi6172

    @matymoshi6172

    4 жыл бұрын

    Kwelii

  • @davidmsinga5453
    @davidmsinga54535 жыл бұрын

    Dah this is gift from GOD rais anatembelea mpaka wafungwa J P M utatuachia nani kama wewe 2025 ukimaliza term yako baba

  • @mako331
    @mako3315 жыл бұрын

    Sikuwahi kuona ktk awamu zote Raisi mchapakazi hivi, sioni atakayevaa viatu vyako bado, tuendelee kuomba Mungu Watanzania

  • @husseinchedi4954

    @husseinchedi4954

    3 жыл бұрын

    Kweisi 😭😭💋💋💋💋

  • @josephniima8324
    @josephniima83245 жыл бұрын

    Hii htr! Mheshimiwa Mungu akuongezee nguvu zaidi na zaidi! Hii haijawahi tokea!

  • @steveswakei9600
    @steveswakei96004 жыл бұрын

    Waafrica mashariki sanasana kenya twamtazama maghuli zaidi kuliko wa tz. Mna bahati kweli lakini akili yenyu msipoitumia na kumrudisha huyu baba, mtajililisha na mtulilishe nasi

  • @francismalera7863
    @francismalera78635 жыл бұрын

    umenibariki Muombaji Mungu aonyeshe huruma yake Tanzania Bila wafungwa onawezekana

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Maombi yamenikosha sana👏

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola10655 жыл бұрын

    Nampenda Magu

  • @omariswafuru9399
    @omariswafuru93993 жыл бұрын

    Le President extraordinaire ça fait couler les larmes.Que Dieu bénisse le President tanzanien et son peuple.Vive la Tanzanie.

  • @zainabumussa240
    @zainabumussa2404 жыл бұрын

    Mungu mbariki rais wetu

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura65724 жыл бұрын

    Natamani kenya ingepata raisi kama huyu mungu tuongoze jamani

  • @Philipoupdates
    @Philipoupdates5 жыл бұрын

    Mungu awasaidie katika jaribu La kukaa gerezani

  • @sadickwalker2795

    @sadickwalker2795

    4 жыл бұрын

    Mtumishi alikutwa namtiani gani hadi afike gerezani jamani?

  • @ismailkasim7960
    @ismailkasim79604 жыл бұрын

    Wallwah machozi furaha yamenitoka japo ni kidogo

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Hivi magufuli kweli ni mtu wa kawaida mbona a nawapenda zaidi watu wadogo ambao hawawezi kumplipa kitu? Machinga walikua wanapigwa 😭😭😭😭 Kasema waacheni walikua wanamwagiwa chakula mama ntilie😩😩😩😩 wanafunzi walikua wanafukuza Kasema waacheni wafungwa kaenda kuwapa moyo jamani tukimfananisha na kiongozi fulani wangine wa nakasilika mbona anatembea ka ma yesu magufuli lkn kwa mambo mengi?

  • @reginasawe3356

    @reginasawe3356

    3 жыл бұрын

    😭😭😭 hayupo tena

  • @abdallaatik8290
    @abdallaatik82904 жыл бұрын

    Hakika magufulli mungu akulipe kwa busara zako

  • @majaliwamsigwa1570
    @majaliwamsigwa15705 жыл бұрын

    Ameni

  • @damianmakala2913
    @damianmakala29135 жыл бұрын

    Hakika maombi hayo yamefika kwa MUNGU ! Na MUNGU atayajibu .

  • @sadickwalker2795

    @sadickwalker2795

    4 жыл бұрын

    Kabisaaaa.

  • @neemaremus4924

    @neemaremus4924

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @jacquesntabagara3682
    @jacquesntabagara36825 жыл бұрын

    PEOPLE PRESIDENT.

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru97314 жыл бұрын

    Umeomba mpk nimelia machozi.

  • @josboy5384
    @josboy53845 жыл бұрын

    Mungu wasaidie waja wako waixhi vizuri huko mpaka cku watakapoona uraiani

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын

    Maombi mazr Sana,Magu nakuunga mkono kutembelea wafungwa na kuwasikiliza barikiwa Sanaa presdaa

  • @itikamwakanyamale2690

    @itikamwakanyamale2690

    4 жыл бұрын

    Nashindwa kujizuia nakupenda Magufuri

  • @deborahkambu5419
    @deborahkambu54194 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Rais naona Mungu ndani yako.

  • @emmanuelkadaraja2820
    @emmanuelkadaraja28204 жыл бұрын

    Tunamwomba mungu atupe uzima kilasiku ilikusudi tupate kufanikisha malengo na Mipango yetu

  • @kipendarohozavery5148
    @kipendarohozavery51484 жыл бұрын

    Maombi hayo .tz hatujui kiatu chako nani atakivaa mungu tusaidie utawale milele

  • @jeremiahmapunda9696
    @jeremiahmapunda96965 жыл бұрын

    Jaman Mungu awe nanyi naona nyuso za kujuta mtatoka na muwe watiifu

  • @ruthjoseph7358

    @ruthjoseph7358

    5 жыл бұрын

    Ubarikiwe kiongozi ulieteuliwa na mungu uliyaona na walioyasema utateta sawa na mapenzi ya Mungu mheshimiwa rais msaidie albino atoke

  • @alpheondanzi2544
    @alpheondanzi25444 жыл бұрын

    Jamanii jamanii ivi magufuli wewe ndo Tanzania ndo wewe Mungu ibariki 🇹🇿 Mungu mbariki Ally Happy

  • @juliussindani786
    @juliussindani7865 жыл бұрын

    Amina kamanda yesu akutunze

  • @sadickwalker2795
    @sadickwalker27954 жыл бұрын

    I love him he is a good leader bg up JPM.

  • @nadyahassan7924
    @nadyahassan79245 жыл бұрын

    amin kk mungu msaidie rais wetu jaman awe na moyo huohuo

  • @henrickovicent2933
    @henrickovicent29335 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awasemehe kwa makosa yote na mhe rais na amini amewaangalia kwa Moyo wa uruma, mcjali mtatoka. Ameen, asante

  • @rachelkibaya8537
    @rachelkibaya85375 жыл бұрын

    Amina

  • @mrsmo.1555
    @mrsmo.15555 жыл бұрын

    Mungu awasaidie

  • @mwanatz5980
    @mwanatz59804 жыл бұрын

    Mungu akubariki Rais wetu kupembelea magerezani.

  • @ellykyomo7428
    @ellykyomo74284 жыл бұрын

    Amina mungu awasaidie

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi85705 жыл бұрын

    Bless sana Mzee wangu magu

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko50963 жыл бұрын

    Masiki adi nimeria😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu65795 жыл бұрын

    amina

  • @bigmanyamafilmproduction5890
    @bigmanyamafilmproduction58903 жыл бұрын

    Pamoja sana mtumishi pia Mungu nawe alegeze minyororo iliyo mikononi mwenu....

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry26985 жыл бұрын

    "Miradi mingi hatukuiacha tunaiona kwenye TV"... Maneno yanaonesha jinsi unapofungwa unatengwa na jamii, unaimiss jamii na unakosa kuyaona mengi kwa uhalisi wake! Mungu badili mioyo ya wafungwa hawa ili waifurahie nchi yao nje ya magereza!

  • @saldakltl7611
    @saldakltl76113 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @saidsoudy3140
    @saidsoudy31404 жыл бұрын

    Barikiwa baba Magufuli

  • @ishqmeinmarjawan1048
    @ishqmeinmarjawan10483 жыл бұрын

    Hatuuzi Raisi wetu kpnz Magufuli oyee hapa kazi2

  • @alpheondanzi2544
    @alpheondanzi25444 жыл бұрын

    Waaaaaaaaaaooooooooooo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda4 жыл бұрын

    Tunasalimiana tu!

  • @hakaboy5780
    @hakaboy57804 жыл бұрын

    Jahazi

  • @stephenkaranja6129
    @stephenkaranja61293 жыл бұрын

    I respect makufuli sana ana ongozwa na Mungu

  • @reginasawe3356
    @reginasawe33563 жыл бұрын

    Mungu ampumzishe kwa amani kiongozi wetu

  • @hamzahabits7912
    @hamzahabits79122 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana hayat dkt jonh pombe uliye tuachia huku katugeuka

  • @aishaomar4318
    @aishaomar43184 жыл бұрын

    Ayo makofi sasa..........

  • @sadickwalker2795
    @sadickwalker27954 жыл бұрын

    Jamani huyu mchungaji huo mwombaji anaemwombea Raisi nimtiani gani umemuleta hapa gerezani.

  • @janethkilonzi4260

    @janethkilonzi4260

    3 жыл бұрын

    Atakua alikula sadaka pasipo kukusudia..mungu amsamehe sana

  • @mamachris6811
    @mamachris68115 жыл бұрын

    Maombi ni muhimu,mahali popote

  • @fortunatuskapinga5250
    @fortunatuskapinga52503 жыл бұрын

    Haya ulaya na duniani kote haijawahi kutokea hakuna raisi hata mmoja duniani kawahi kutembelea wafungwa

  • @michaeljohn4839
    @michaeljohn48394 жыл бұрын

    voice wonder

  • @juliussindani786
    @juliussindani7865 жыл бұрын

    Hakika

  • @cheerfulboy3481
    @cheerfulboy34814 жыл бұрын

    Yaani wewe mchungaji una maana kuliko gwajima mzee wa ngono

  • @eudisiaalexzanda1730
    @eudisiaalexzanda17303 жыл бұрын

    Amen ubarikiwe sana.

  • @navyoagrey7523
    @navyoagrey75235 жыл бұрын

    Oh Jaman speechless

  • @rambomachimu4286
    @rambomachimu42863 жыл бұрын

    Ongera.Rais.magufuri.mtetezi.wawanyonge

  • @marwalzzy5983
    @marwalzzy59834 жыл бұрын

    Amen %

  • @rashidimabara2243
    @rashidimabara22433 жыл бұрын

    Move za kichawi

  • @akidawangara2323
    @akidawangara23234 жыл бұрын

    Kitu kimoja ambacho kinaniguza sana na Rais Magufuli ni kutembelea wafungwa. Ni kitu kikubwa sana. Hapa Rais Magufuli anastahili pongezi

  • @biringanineregina3572
    @biringanineregina35723 жыл бұрын

    Umepewa hekima kama ya salomo.ubarikiwe daima

  • @youngvictor9489
    @youngvictor9489 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭 Hii video maiangalia leo miaka kadhaa imepita but all in all rest in peace dear Maguful the only heroe ever existed in Tanzania🙄🙄🙄🙄🙄

  • @tracykajuju5777
    @tracykajuju57773 жыл бұрын

    Kenya huwesi hukaona kitu Kama,hii raisi was Kenya hawesi kupotesa wakati wake,ongera Raisi makufuli.tana sukua 🖐️ heko baba. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @josephnyaruke706
    @josephnyaruke7064 жыл бұрын

    Asante

  • @yusuphally966
    @yusuphally9664 жыл бұрын

    Nimeipna bab rais

  • @stellawatison6142
    @stellawatison61423 жыл бұрын

    AMINA

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael81583 жыл бұрын

    Heri kiongozi mwenye hofu ya Mungu maana ataitafuta haki ilipo

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander36415 жыл бұрын

    SALA YA MFUNGWA INAELEWEKA.

  • @matymoshi6172

    @matymoshi6172

    4 жыл бұрын

    Kabisaa sala imepenya

  • @sadickwalker2795

    @sadickwalker2795

    4 жыл бұрын

    Kwani mtumishi alifanya kosagani?

  • @GoodBoy-bh9yt
    @GoodBoy-bh9yt3 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @charlesnkuwimpondo2769
    @charlesnkuwimpondo27693 жыл бұрын

    Mungu apewe sifa milele na milele

  • @prettyh7509
    @prettyh75093 жыл бұрын

    Aaaaamina🙏

  • @priscalameck8700
    @priscalameck87003 жыл бұрын

    Ameen

  • @timuumojasalamclub3288
    @timuumojasalamclub32884 жыл бұрын

    Yana maguful ww nikiongoz nakukubal

  • @abdulramanhemed3749
    @abdulramanhemed37493 жыл бұрын

    Sasa hapa jpm unadeni yatakia ukamtoe huyu mfungwa na wengineo wenye makosa madogo alikuombea na umepata

  • @user-jk5ir4ke3z
    @user-jk5ir4ke3z3 жыл бұрын

    Masikin

  • @philipodaudi59
    @philipodaudi594 жыл бұрын

    Rais ni MTU wa watuu

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Ubarikiwe maguful kwa moyo wa upendo

  • @minaniclaver9844

    @minaniclaver9844

    3 жыл бұрын

    Lbpv. C. . V. Bfi

  • @minaniclaver9844

    @minaniclaver9844

    3 жыл бұрын

    Lbpv. C. . V. Bfi

  • @rehemakaberege8119
    @rehemakaberege81194 жыл бұрын

    Magufuli baba lao

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew582 жыл бұрын

    Unafiki mkubwa, maombi ya kujifariji

  • @alalwialalwiii8194
    @alalwialalwiii81942 жыл бұрын

    Pumzika kwaamani baba yetu magufurii watanzania tulikupenda Sana ila mungu kakupenda zaidy

  • @vivanythomas1858
    @vivanythomas18583 жыл бұрын

    Hayo maombi yamfikie

  • @nuruelmada9570
    @nuruelmada95703 жыл бұрын

    Mungu mkumbuke Mfungwa huyu

  • @khamisabdallah8014
    @khamisabdallah80143 жыл бұрын

    Rais

  • @nancykiwelu9370
    @nancykiwelu93705 жыл бұрын

    Mungu sikuzote penye uovu huwa anaufunua

  • @enosenthamadi7872

    @enosenthamadi7872

    4 жыл бұрын

    Ezekiel

  • @wasuasi3331
    @wasuasi33313 жыл бұрын

    .op

  • @husseinchedi4954
    @husseinchedi49543 жыл бұрын

    Tanzania mumejaliwa nahisi kama magufuli ogera baba ijapokuwa unamapungufu kama binadamu

  • @odjeey5074
    @odjeey50745 жыл бұрын

    Amen

  • @hassanbrashi7790
    @hassanbrashi77902 жыл бұрын

    Your

  • @JamesMwijage-fn8tc

    @JamesMwijage-fn8tc

    3 ай бұрын

    5:29

  • @michaeljohn4839
    @michaeljohn48394 жыл бұрын

    ninema raismagufuri kutembelea magereza hpngera kwa hilo

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Hohooohoho nasika bwana ananiita nilisikia sauti ya huyu kaka EE roho ananiambia kitu gani kina ni fanya nisiwe na huruma kama magufuli?

  • @biringanineregina3572
    @biringanineregina35723 жыл бұрын

    Maombi yako yamenijenga sana huyu Mungu akutendeye kadiri utakavyo

  • @happymadiva9940
    @happymadiva99402 жыл бұрын

    Pokemon 0

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani30764 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏❤😘

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma46915 жыл бұрын

    Kama.umeua.wewe.ufie.jela.wa.bakaji.vilevile.nduguzagu Tanzania

  • @emmanuelchacha6718

    @emmanuelchacha6718

    5 жыл бұрын

    Mungu husamehe kwasababu kila mtu ni mkosaji.Tuwe na moyo wa kusamehe hakuna mwanadamu ajuae kesho yake.Mungu akutie Imani uwe na moyo wa kusamehe.

  • @jenastephano2172
    @jenastephano21725 жыл бұрын

    Nimependa maombi hayo nami nasema ee mungu wa isaka,yakobo na ibrahimu mwinue raisi wetu popote dunian kwani anauchungu mkubwa na sisi watanzania nasi tunamwombea kila kila muda ili malengo yake na makusudi yake yatimie

  • @chrismasebo8732

    @chrismasebo8732

    5 жыл бұрын

    Amina

  • @colletamgeni9196

    @colletamgeni9196

    5 жыл бұрын

    Amina rais wetu

  • @robiwambura4327

    @robiwambura4327

    4 жыл бұрын

    Hi I ndo ushirikishaji jamii wa ukweli, live evidence. Hongera JPM, nchii hii haki irapatikana tu. Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri.

  • @venancemalima1181
    @venancemalima11815 жыл бұрын

    Amina

  • @kigomampyatv9209
    @kigomampyatv92095 жыл бұрын

    Amen Amen

Келесі