No video

MFUNGWA Amshtaki ASKARI Kwa MAGUFULI - "ATATUUA ONDOKA NAE"

MFUNGWA Amshtaki ASKARI Kwa MAGUFULI - "ATATUUA ONDOKA NAE"
Rais Dkt John Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba lililopo mkoani Mwanza..
Alipofika gerezani hapo Rais Magufuli, amefanya mazungumzo na wafungwa wa gereza hilo na kusikiliza kero zao..
#JPM
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 118

  • @ellensamson6787
    @ellensamson67875 жыл бұрын

    Mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kusikiliza kero za wafungwa, ni agizo la mungu, amen

  • @blackpanther4825
    @blackpanther48255 жыл бұрын

    Kama kweli ana moyo wa kumsaidia amuachie huyo mfungwa. Ni atateseka. Hata kama kweli huyo askari ataondolewa. Ila bado wapo wenzake humo watamfanyia ukatili usio na mithili huyo mfungwa. Roho imeniuma sana 😭😭😭

  • @japharimohamed4909

    @japharimohamed4909

    5 жыл бұрын

    Huyu askari hafai

  • @angleikula8656

    @angleikula8656

    4 жыл бұрын

    Rais.wetu.mungu.akuongeze Maisha.marefu

  • @mussahamisi1191
    @mussahamisi11915 жыл бұрын

    Usimwache huyuuuu ukimwacha utaenda kujibu kesi ya mauwaji kwa mungu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13085 жыл бұрын

    Hawa watu wenye mahitaji maalum huwa wana akili sana yaani..ukiwaangalia vizuri unaweza kuwaona kama hawajakamilika.

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha29585 жыл бұрын

    Umeongea ukweli ila cha moto utakiona hiyo sura yenyewe inaogopesha

  • @joshuatemu4679

    @joshuatemu4679

    5 жыл бұрын

    Wewe unayemtukana raisi achaaaaaa mflume ni mflme tuuu

  • @johnsonsegeretv3713

    @johnsonsegeretv3713

    5 жыл бұрын

    nadia amisha 1

  • @innocentkimata7274
    @innocentkimata72745 жыл бұрын

    Huyo mfungwa atapata tabu sana baada ya mshua kuondoka

  • @lilianmollel5355
    @lilianmollel53555 жыл бұрын

    Kuna mambo unafanya nikikuchukia ntakua ndugu yake shetan, Mungu akuhifadhi Rais wa Tanzania.

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa39595 жыл бұрын

    Nimekumbuka Mbali sana Butimba kituo changu cha kazi miaka hiyo

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno93265 жыл бұрын

    Duuu!!!!kaka utapigwa Leo nihatar.ila mungu akusaidie.umesema ukweli.

  • @ashuraally929

    @ashuraally929

    5 жыл бұрын

    Sheysarah njeno

  • @marymabubakary1561

    @marymabubakary1561

    5 жыл бұрын

    rais magufuli juuuu uje na Dodoma Manispaa watu wanazulumika viwanja uje muheshimiwa rais ujee

  • @filismpangala2146

    @filismpangala2146

    5 жыл бұрын

    Awezi kupigwa

  • @elishakimweri4349
    @elishakimweri43495 жыл бұрын

    Watendaji Wa serikali mtende kwa haki, maana huwez jua ni lini rais atatembelea ulipo, na ni Nani atapewa maiki na ataongea nn, hongera kwa ujasiri ulouonyesha, wasomi wengi tumeshindwa

  • @obadiakurwijila4165
    @obadiakurwijila41655 жыл бұрын

    MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU MUNGU ATAKUSIMAMAMIA

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute70985 жыл бұрын

    😪😪😪😪😪😪dah nyinyi roho inaniumaaa dah😪😪😪😪😪

  • @mugapro
    @mugapro5 жыл бұрын

    Duuuuuh Ujasiri wa chuo kikuu huu Daaah Mungu awe nawe

  • @yonajonathan5402
    @yonajonathan54025 жыл бұрын

    Huku kituo cha police kunawatu wamefungiwa Leo ni miez mitatu hakuna hatua wanazochukuliwa wanaombwa tu pesa usipokuwa nazo utakaamo mpaka zipatkane OCS ID achunguzwe

  • @Mike-bq2cb
    @Mike-bq2cb5 жыл бұрын

    Sio vizuri akii kunynyasa wengine ni laana mbele ya Mwenyezi Mungu

  • @hassanmohammad9247
    @hassanmohammad92475 жыл бұрын

    naomba kazi ya kumuadhibu huyo afande

  • @kambiyusufu3078
    @kambiyusufu30785 жыл бұрын

    Hahahaha leo hakulaliki biboko mwanzo mwisho uwiiiiii

  • @johnmkomamkoma6769

    @johnmkomamkoma6769

    5 жыл бұрын

    kwaiman ata achiliwa!

  • @rokasasamila1117
    @rokasasamila11175 жыл бұрын

    duuuuuh mh musaidie jamA huyo asipigwe askari hypo Mbna hatendi hakiii

  • @saidseif7469
    @saidseif74695 жыл бұрын

    Mungu amsaidie huyu mkaka.

  • @albertinemacimu1247
    @albertinemacimu12475 жыл бұрын

    Aisee Mungu akubariki sana jamani Mh raisi hadi nahisi kutokwa na machozi.

  • @daudcosmas1704
    @daudcosmas17044 жыл бұрын

    Huuu msamaha sijui kahuska nao

  • @realrealadventurestz3348
    @realrealadventurestz33485 жыл бұрын

    IMENIGUSA SAANA!! Mungu akusimamie kwa ujasiri wako na ukwel wako get up stand up for your rights!! Kama kufa kwa kusema ukweli let them kill u but GOD IS GOING TO PROTECT U

  • @alibakar4344

    @alibakar4344

    5 жыл бұрын

    Addy Bernard Official KZread Channel

  • @fikirinyangasi7973
    @fikirinyangasi79735 жыл бұрын

    Leo utakoma leo

  • @pksailortz4404
    @pksailortz44045 жыл бұрын

    Ebwanaee huyo jamaa atakula lungu sio za nchi hii,,,,,. Maana uyo brother Afand sura yake yenyewe tuu yaukumu sura ya kazi(mwendo wa lungu mpaka kucheee)😏

  • @mendempoletv7579
    @mendempoletv75795 жыл бұрын

    Daah nimejikuta nacheka kama mazuri 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @machimulubinza4743

    @machimulubinza4743

    5 жыл бұрын

    Askar.hao wachukuliwe hatua kali

  • @msitafaph8178

    @msitafaph8178

    5 жыл бұрын

    Mende Mpole Tv j

  • @msitafaph8178

    @msitafaph8178

    5 жыл бұрын

    Mende Mpole Tv b

  • @jcome11
    @jcome115 жыл бұрын

    Kwakwekli inauma sana

  • @yangoshatv5327
    @yangoshatv53275 жыл бұрын

    Fanya urudi muheshimiwa kumuona raia uyo

  • @nehemiamalongo5247
    @nehemiamalongo52475 жыл бұрын

    Mhe: Magufuli huyo mfungwa aliesema ukweli mwachie huru vinginevyo atachomwa sindano ya sumu binadam wanambinu nyingi kwa vyovyote watampoteza duniani

  • @consolathamagehema4689

    @consolathamagehema4689

    5 жыл бұрын

    Daaah!!! Mpaka roho inauma

  • @janethkilonzi4260

    @janethkilonzi4260

    3 жыл бұрын

    Na Ivo amesema akitoka ataongea ving aa hatoishi muda mrefu

  • @husseinomary4466
    @husseinomary44665 жыл бұрын

    Huyu leo anabakwa aisee

  • @suzanatweve5857
    @suzanatweve58575 жыл бұрын

    😂😂😂😂kimenuka huyo mfungwa ajiandae kuchezeshwa kwaito gerezani

  • @mainaunrulyking5190

    @mainaunrulyking5190

    5 жыл бұрын

    Hahaha

  • @jumacharles975

    @jumacharles975

    5 жыл бұрын

    Hatari

  • @kambiyusufu3078

    @kambiyusufu3078

    5 жыл бұрын

    Suzana Tweve mh leo hakulaliki munguwangu

  • @bonifacepontian1391
    @bonifacepontian13915 жыл бұрын

    Duh uyo askar sura km amchorwa vle ahahahah

  • @halfanmundo282
    @halfanmundo2825 жыл бұрын

    dah yaan hapo mkuu akitoka tu huko nyuma balaa lake zaid ya depo

  • @turibamweali8661
    @turibamweali86615 жыл бұрын

    Huyo atawuliwa ! Kwani amesema ni kundi

  • @aliadam4773
    @aliadam47735 жыл бұрын

    Huyu ni Mkurya

  • @fettyramadhan2121
    @fettyramadhan21215 жыл бұрын

    Huyu anajiamn nn

  • @christopherhaule908
    @christopherhaule9085 жыл бұрын

    Uwiiii.....huyu kaka leo kazi anayo

  • @christopherhaule908

    @christopherhaule908

    5 жыл бұрын

    Jamani wasimuue mkaka wa watu....it's too sad

  • @dollyandthedoliganeloi3025

    @dollyandthedoliganeloi3025

    5 жыл бұрын

    Leo ni Leo

  • @mawazomawazo959

    @mawazomawazo959

    5 жыл бұрын

    Huyu mfungwa arubino amenitoa machozi,raisi akiondoka kichapo atakacho kwa askari magereza sijui itakuaje.MUNGU BABA WALINDE HAWA WAFUNGWA .

  • @florahjohanes478

    @florahjohanes478

    5 жыл бұрын

    Hahahahahahaha

  • @kendwahamisi9280

    @kendwahamisi9280

    5 жыл бұрын

    Ete wewe hauja uwawa daah aisee

  • @dechaggagirl6173
    @dechaggagirl61735 жыл бұрын

    We kalikenye😁😀😂😂😂

  • @phineruge3480
    @phineruge34805 жыл бұрын

    Mmmmmh!! Nyamboge kajiripua duuuuuuuh 👐👐👐

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie9975 жыл бұрын

    Hahaaaa hivi magereza kunakuaga nakale kakitu ka jamaika et?

  • @marymwacha995
    @marymwacha9955 жыл бұрын

    mweshimiwa Rais wetu, msamehe huyo mfungwa baba.

  • @evaristirazalo7459
    @evaristirazalo74593 жыл бұрын

    Askali analia

  • @masarukaswalala8089
    @masarukaswalala80895 жыл бұрын

    Mungu awalinde ote wenye haki raisi tusaidie ata baadhi ya makampuni hewa yapo tuaitaji uyatumbue baba yetu ( )

  • @ramerhunter9682
    @ramerhunter96825 жыл бұрын

    Ajali ya tenki ya mafuta mbagala langi tatu

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi42603 жыл бұрын

    Ukisikia kujitoa kafar ndio huku Sasa albino w watu mwenyez mungu mlinde

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi56015 жыл бұрын

    Mungu akulinde kaka angu

  • @marymabubakary1561

    @marymabubakary1561

    5 жыл бұрын

    mfungwa Mwenye confidence jiachie msema kweli pamoja na mungu

  • @mayungampanduzi8152

    @mayungampanduzi8152

    5 жыл бұрын

    Celina Mgundoi unaonekana unahuruma sanaa

  • @alibakar4344

    @alibakar4344

    5 жыл бұрын

    Celina Mgundoi

  • @celinamgundoi5601

    @celinamgundoi5601

    5 жыл бұрын

    @@mayungampanduzi8152 kwa nin?

  • @daliamtanganaki6687
    @daliamtanganaki66875 жыл бұрын

    Mmmmh hatari aisee , kweli madaktari nao wanafanya mauaji jmn, ewe rais wetu msaidie huyo kijana atoke humo ameshaogopa

  • @shaibuselemani2135
    @shaibuselemani21355 жыл бұрын

    Huyo mfungwa kazi anayo

  • @shakilajohn1257
    @shakilajohn12575 жыл бұрын

    Ana mihuli ya ikulu wewe umebaki na nn

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu35385 жыл бұрын

    Duuu hii hatari nimedondokwa na chozi kwa kweli.

  • @danielshunda4410

    @danielshunda4410

    5 жыл бұрын

    Kama.kweliiii.kumbe.kampeniii.siasa.mchezoo.mchafu

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid54595 жыл бұрын

    mm namuomba rais amtoe huyu.jamaa.

  • @consalvakileo8205

    @consalvakileo8205

    5 жыл бұрын

    Huyo ni usalama

  • @sophiapaul6019

    @sophiapaul6019

    5 жыл бұрын

    shoromwamba

  • @hadijamwaye1099
    @hadijamwaye10995 жыл бұрын

    Hahaha ety anakaa na mihuri ya ikuru we ukae na nn hahaha dah nmecheka kwakweli lkn mwisho mchozi umenitoka 😭

  • @elizabethmeru3256

    @elizabethmeru3256

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂nimecheka kama mazuri 😂😂😂

  • @naomiabel582
    @naomiabel5825 жыл бұрын

    Tv ya taifa inakopi video n

  • @julianacharles6014
    @julianacharles60143 жыл бұрын

    Maskini pole nimesikia kulia jamani msaidieni jamani😭😭

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas35175 жыл бұрын

    Kweli baba tembelea Magereza zote nimekumbuka msemo wako kuwa wakishindwa kukutoa bc wanakutafutia sababu nyingn ukikoloma wanasema unaumwa kifafa duu mpk madoctar wanashiriki kuuwa wafungwa mungu yupo ngj tuone huko mbele

  • @bintisalma1263
    @bintisalma12635 жыл бұрын

    nchi inaongozwa kwa kiki siasa imefunika muzik

  • @dottopeter3187

    @dottopeter3187

    5 жыл бұрын

    Hata nini kifanyike,, u need to appreciate what is good.

  • @saphytv546

    @saphytv546

    5 жыл бұрын

    Kuwa makini na kauli zako

  • @salmaaman2813
    @salmaaman28135 жыл бұрын

    Ameniliza HUYU baba jaman..

  • @santielpascal9777
    @santielpascal97775 жыл бұрын

    Police sura km sokwe utajuta akipata chance bwana afande

  • @imeldabamba3779

    @imeldabamba3779

    5 жыл бұрын

    Sura yake km Idd amini dada,hafu tena ukimuangalia sn Huyu askari kafanana na yale masokwe MTU😁😁🏃🏃

  • @kambiyusufu3078

    @kambiyusufu3078

    5 жыл бұрын

    Santiel Pascal Dah leo mzee utaisoma namba akiludi uyo askali heee

  • @makarangaj6844

    @makarangaj6844

    5 жыл бұрын

    Wew fara Santiel Pascal sio polisi, huyo ni askari magereza mmekariri tu kila askari ni polisi. Yan kwakuwa mlishajenga dhana potofu vichwan mwenu kuhusu polisi imewafanya mmeshindwa kutofautisha askari wa majeshi yenu badilikeni msiishi kwa kukariri.

  • @alibakar4344

    @alibakar4344

    5 жыл бұрын

    Santiel Pascal

  • @TonyMureithi
    @TonyMureithi5 жыл бұрын

    Rais Magufuli ni Rais wa kipekee...

  • @marymwacha995
    @marymwacha9955 жыл бұрын

    wanaweza wakamdhuru jamani mwonee huruma wasije wakamtoa roho kwa ukweli aliokupa.

  • @jamesmwaura774
    @jamesmwaura7745 жыл бұрын

    Kehenjo

  • @richarddastan7506
    @richarddastan75065 жыл бұрын

    Duuuuh, Mungu awe upande wako bro. Maana hiyo sura ya kaka askali uliekua ukimshtaki, ni chachu balaa. Cpati picha akipata mwanya wa kukukabil. heheheeee

  • @obadiakurwijila4165

    @obadiakurwijila4165

    5 жыл бұрын

    Richard Dastan anaweza akampiga risasi kwa madai alijaribu kutoloka janja ya askari hiyo

  • @richarddastan7506

    @richarddastan7506

    5 жыл бұрын

    @@obadiakurwijila4165 acha tu

  • @masanjapitta2573
    @masanjapitta25735 жыл бұрын

    abery stephany Dom nyanda

  • @isayapt5685
    @isayapt56855 жыл бұрын

    Hahaaha Wapi

  • @godwinmondpltnmrweyemamu560
    @godwinmondpltnmrweyemamu5605 жыл бұрын

    msaidie jamani mkuu

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi42603 жыл бұрын

    Watamuuuwa albino maskin

  • @chrisbeka6243
    @chrisbeka62435 жыл бұрын

    Zakati

  • @blackpanther4825
    @blackpanther48255 жыл бұрын

    Mungu wangu huyu asipotolewa atateseka sana. Kama kweli rais ni mtu wa haki amuachie huyo mlemavu wa ngozi.

  • @mimaabashir3178
    @mimaabashir31785 жыл бұрын

    Kaka utachapwa mpaka uwe mweusi

  • @julianacharles6014
    @julianacharles60143 жыл бұрын

    Maskini 😭😂😂

  • @haridyblauda6033
    @haridyblauda60335 жыл бұрын

    Brother leo huna bahati wew

  • @dottopeter3187
    @dottopeter31875 жыл бұрын

    Wewe ndo unapaswa sema unaitaji mabadiliko

  • @makariosnkya
    @makariosnkya5 жыл бұрын

    Dogo mbovu.

  • @deoshine777
    @deoshine7775 жыл бұрын

    lema mboye sugu walisema kinachoendelea uko

  • @richardngendakumana2871
    @richardngendakumana28715 жыл бұрын

    Muone surayake

  • @imeldabamba3779

    @imeldabamba3779

    5 жыл бұрын

    Richard km amefanana km sokwe😁😁😁

  • @alibakar4344

    @alibakar4344

    5 жыл бұрын

    Richard Ngendakumana

  • @mustomshuza4914
    @mustomshuza49143 жыл бұрын

    mungu ndie muweza wa kila jambo humchagua kiongozi kwa mfano wake rais magufuti amechaguliwa na mungu kwa mfano wake naami ipo ck mungu atamleta korogwe kuwasikiriza wafungwa sio kila anae enda jela ni mharifu