MAGUFULI Akutana na MFUNGWA Aliyemuua MKEWE, Amwaga MACHOZI "Niachieni"

MAGUFULI Akutana na MFUNGWA Aliyemuua MKEWE, Amwaga MACHOZI "Niachieni"
Rais Dkt John Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba lililopo mkoani Mwanza..
Alipofika gerezani hapo Rais Magufuli, amefanya mazungumzo na wafungwa wa gereza hilo na kusikiliza kero zao..
#JPM
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 82

  • @daudhenry8909
    @daudhenry89095 жыл бұрын

    Mungu ni mwema! Naomba rais Mungu amuongoze amuachie

  • @mrafm7285
    @mrafm72855 жыл бұрын

    Mh rais kwa hali hii una kazi kubwa sana katika kuongoza nchi hii kwa jinsi nilivoona mungu akupe hekima na busara aamin

  • @husseinchedi4954
    @husseinchedi49543 жыл бұрын

    Yallah jalia inji yetu ya congo iweyenye amani na uhuru kama tanzania nA atujalie rahisi kama marahisi za Tanzania naona wivu kwaishi yenu🙏🙏🙏🙏🙏💋💋💋💋💝💝🥰

  • @dianamkita6571

    @dianamkita6571

    3 жыл бұрын

    Mungu atawajalia

  • @hilalmohammed168
    @hilalmohammed1685 жыл бұрын

    Jamaa alitoa maelezo ya mwenziwe yupo shapu ila alipoambia ajieleze yeye naona kaanza kigugumizi. Ila Mzee anaitaji msamaha jamani. Nimemhurumia sana

  • @musakimaya5059

    @musakimaya5059

    5 жыл бұрын

    Asisamehew cos kauwaj kibahatimbaya ? Af ukichek ni jitu la MARA kil cku wat wanauwana huko..

  • @meshackmadenge3390
    @meshackmadenge33905 жыл бұрын

    Ukisikiliza mambo ya wafungwa kama una huruma lazima machozi yatakutoka tu

  • @marwalzzy5983

    @marwalzzy5983

    4 жыл бұрын

    Ni kweli Dhu! Ama kweli watu wana shida

  • @naharajr6745
    @naharajr67455 жыл бұрын

    Anacho Fanya ni vizur sana kusikiliza shida za watu

  • @everlyne.polenikhamede2452

    @everlyne.polenikhamede2452

    5 жыл бұрын

    Forgiveness is key

  • @tegezdomin8363
    @tegezdomin83635 жыл бұрын

    Mimi nafikiri kuna haja ya serikali kupitia magereza yote na kuwaangalia wazee waliokaa mda mrefu sana gerezani,nakama wakikili hawatarudia makosa wawasamehe,kuliko kuwasamehe vijana ambao wakiludi mtaani wanaanza kusumbua

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti24005 жыл бұрын

    Acheni hayo. Mnaachia wauaji mnahisi ndugu waliouliwa ndugu zao watafurahi wakati mnaonea wengine.

  • @aminafesali5817

    @aminafesali5817

    5 жыл бұрын

    Mbona wingine hao mnaowapendelea wanauwa hapo hapo Dar mnawaacha huru mnawapa kifungo ya miaka mbili nahao wamekaa miaka 40 jela wakat hata sheria ya kifungo ya uuwaji ni miaka 30 tu wacheni watolewe kama mungu kawaacha hawajafia jela basi kunamazur wanatakiwa wayafanye dunian waaombeen mema wote wanaofanya makosa ili nanyie ipo sku unafanya kosa mungu anakusameh kwa kuwa hukumuhkm aliekosea zaid ya sheria ndi ilio muhkum

  • @vennymaxmillian9505

    @vennymaxmillian9505

    5 жыл бұрын

    Chacha magoti mwenye hukum ni mungu tu binadam tunafundishana tu, ata akikaa ad kifo haitabdili tafsir kua alimuua mkew paspo kukusdia km asemavo wala kufungwa maisha hakuta mfufua aliekufa , miaka 40 sio mchezo atakua kajifunza mengi toka akiwa kijana ad kazeka

  • @immmkiety9000
    @immmkiety90005 жыл бұрын

    kikweli kuna umuhimu wa kuyapita magereza na kujua nini huwa kinaendelea huko coz amini ucamini jela ni dunia nyengine ndugu.... USAWA NA HAKI BADO NI TATIZO

  • @simionikengere3930
    @simionikengere39305 жыл бұрын

    Kunakitunimejifunza kwa hawa wafungwa ni kama mwenye alibahatika kupata nafasi ya kuongea aliona nafuu atetee mwenzake mwenye shida kubwa kuliko hata yakwake , poleni ndg zetu Mungu awatetee katika vifungo vyenu .

  • @awalimunishi

    @awalimunishi

    5 жыл бұрын

    Yaaani hilo ndo limenitoa machozi ,upendo mkubwa kweli

  • @carolineedwin867

    @carolineedwin867

    5 жыл бұрын

    Amina inackitisha sana

  • @muddynyoka1932

    @muddynyoka1932

    5 жыл бұрын

    Yote ni kwasababu ya upendo tu ndugu yangu Simion

  • @bupemtafya6798

    @bupemtafya6798

    5 жыл бұрын

    Wana upendo Sana hawa wafungwa

  • @edwardmahemba8189
    @edwardmahemba81892 жыл бұрын

    Mfungwa Huyo kawa mwanasheria ana mafaili acha tu

  • @blackmaradona1891
    @blackmaradona18915 жыл бұрын

    Magufuli naomba mungu akubaliki dar aiseee,inauzunishasa sana

  • @adomatichristopher4052
    @adomatichristopher40523 жыл бұрын

    I am a Ugandan but my president is John Pombe Mangufuli of Tanzania

  • @evalinerichard2820
    @evalinerichard28205 жыл бұрын

    I love this President akii big up magufuli unajali aki za watu may god bles you..eve from kenya

  • @mbarakaakida6872
    @mbarakaakida68724 жыл бұрын

    Dah huyu Mzee anasikitisha mpaka nimelia muheshimiwa rais magufuri mpe msamaha huyo babu amekaa jela muda mrefu amekiri kosa lake japo kosa alilo lifanya la kumuuwa mke wake pia limeniumiza sana alikatisha uhai wa mwenzie basi tumuachie mwenyezi mungu msamee tu keshatubu mungu akubariki .

  • @estermauga4217
    @estermauga42175 жыл бұрын

    Mungu akubariki Raisi wangu,najivunia kukuchagu unasikiliza shida za wanyonge,naimani na ww..

  • @adomatichristopher4052
    @adomatichristopher40523 жыл бұрын

    I love president John Pombe Mangufuli.The act of talking directly to inmates is so unique.

  • @tibasaid3169
    @tibasaid31695 жыл бұрын

    Aisee hadi huruma mahakamani polisi gerezani kumejaa udhalimu wa hali ya juu mateso

  • @emmanuelnganyagwa416

    @emmanuelnganyagwa416

    5 жыл бұрын

    Watatesek wale ambao hawana hatia tu ila wenye kesi za kwel wacha wakae tu

  • @nshomamayungu2326
    @nshomamayungu23265 жыл бұрын

    Nimelia machozi juu ya huyu baba jamani mungu amusaidie jamani.

  • @gama_liely
    @gama_liely2 жыл бұрын

    ,😂😂😂😂😂?sasa umeua unategemea nini tena duniani😂😂😂

  • @mwannemkumbo1733
    @mwannemkumbo17335 жыл бұрын

    Jaman msamehe atoke huyu mzee

  • @charitymnyazi5401

    @charitymnyazi5401

    5 жыл бұрын

    Hadi nmelia machozi...40 yrs is too much jamani

  • @gracepaul8478

    @gracepaul8478

    5 жыл бұрын

    Jamani Mungu wetu wa Eliya mtunze uyu rais wetu katka majukumu yake aendelee kuritumikia Taifa lako kwani nitegemeo letu watanzania, tungempata wapi kiongozi kama uyu? Yaani nimejikuta nalia pekeangu. Mungu ibariki Tanzania ❤👏🙏

  • @selemanikisalo5060
    @selemanikisalo50602 жыл бұрын

    Rais Magufuli alikuwa ana huruma sana Mwenyezi Mungu amlaze mahali panapostahili

  • @rajabuhassani1234
    @rajabuhassani12345 жыл бұрын

    Ndani ya magereza kuna vitu Vingi sana vya ajabu baadhi ya askari magereza wanawauwa sana wafungwa

  • @mwajumakitoro8582

    @mwajumakitoro8582

    5 жыл бұрын

    Una ushahidi

  • @HappynessLema
    @HappynessLema8 ай бұрын

    Nina kesi ya kujamiana😂😂😂😂😂

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61245 жыл бұрын

    Si ulikatisha uhai wa mwenzio staamili tu. Hakuna namna

  • @hamisiponera8521

    @hamisiponera8521

    5 жыл бұрын

    😁😁😁we jamaa ww

  • @binurusm8886

    @binurusm8886

    5 жыл бұрын

    Ha ha ha ha!!.

  • @mkushplatnam1595
    @mkushplatnam15955 жыл бұрын

    kujamiana, siyo kes, kes ni kubaka

  • @fatmamwinyi8102
    @fatmamwinyi81025 жыл бұрын

    Daah maskin huyu mzee wa watu kanitia simanzii miaka 40 jaman huruma inatakiwa dahh ukiona MTU mzima analia ujue mtihan mkubwa...yan mpk miaka yake kashau

  • @faridaabdallah4388

    @faridaabdallah4388

    5 жыл бұрын

    Kaua lakini

  • @fatmamwinyi8102

    @fatmamwinyi8102

    5 жыл бұрын

    Farida Abdallah sawa kama katubu hakuna lisilosameheka hata mungu husamehee madhambi yakila aina

  • @edwardmahemba8189

    @edwardmahemba8189

    2 жыл бұрын

    Mzee kakaa miaka 40 jela daah japo alitoa uhai wa MTU lakin ameipata huko ,asemehewe anajutia kile alichokifanya

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko50963 жыл бұрын

    Pore sana maisha yako yote ya naishia jera😭😭😭😭😭

  • @jenniferdelarosagilbang6087
    @jenniferdelarosagilbang60873 жыл бұрын

    I wish our president Uhuru Kenyatta can also do like magufuli but he's busy will bbi nonsense

  • @bjzee1981
    @bjzee19815 жыл бұрын

    Kesi za kubaka mbona nyingi

  • @busyladyfashion582
    @busyladyfashion5825 жыл бұрын

    mkuu msaidie jinsi unavyoweza msamehe tu kishajifunza mwangalie kwa jicho la tatu

  • @ashamwamba9088
    @ashamwamba90883 жыл бұрын

    Jamanii

  • @prettyh7509
    @prettyh75093 жыл бұрын

    Wakurya mwe poole baba

  • @paschalsaidi905
    @paschalsaidi9055 жыл бұрын

    Akuna kama ww rasi wetu waraaita tokea Tena kama ww

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni17634 жыл бұрын

    Da miaka 40 wataikuta tz mpya kabisa

  • @jacquelinengwandu3467
    @jacquelinengwandu34675 жыл бұрын

    CHUO CHA MZUMBE TANZANIA NI WACHAWI

  • @damianmakala2913

    @damianmakala2913

    5 жыл бұрын

    Haina uhusiano na taarifa iliyopo !Mmh hapo mchawi wewe bhana

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma28705 жыл бұрын

    Mageleza za Tanzania zimejaa wanyonge waliosingiziwa kumbukeni hao ni watanzania nguvu kazi za taifa kiongozi nakuomba uliangalie hilo

  • @berdanbenjamin7707

    @berdanbenjamin7707

    5 жыл бұрын

    mungu awasimamie ipo cku

  • @obedyhussein7064

    @obedyhussein7064

    5 жыл бұрын

    Nakupenda mno magufuli

  • @funnymiles6249

    @funnymiles6249

    5 жыл бұрын

    Rais magufuri mungu akubariki,mi mkenya lakini huwa napendezwa na wesana. rais mwenye roha safi

  • @kibokongurai4488
    @kibokongurai44885 жыл бұрын

    tanzani mnataka nini au malaika gani mtakuja kumuamini kama siyo huyu magufuli mi nikisikia hata nyimbo ya taifa huwa nasimama na naahidi nitaitetea nchi yangu kwa nguvu yangu yote na nitaipigania mpaka tone la mwisho na nitamlinda raisi wangu na kutii amri na sheria zilizowekwa KIAPOOOOOO

  • @alexybenitho357

    @alexybenitho357

    3 жыл бұрын

    Msamehe baba atahukumiwa mbinguni

  • @masanjamasunga6667
    @masanjamasunga66673 жыл бұрын

    Wew ulimua kwakumpga pumbavu kabsa

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma30033 жыл бұрын

    Kwanin uliuwa

  • @sakinayusuf5072
    @sakinayusuf50725 жыл бұрын

    Dah mpaka nalia

  • @damianmakala2913
    @damianmakala29135 жыл бұрын

    Miaka 40 mahabusu duuh hatar !

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman97625 жыл бұрын

    Naomba umsamehe mh.rais 😭😭😭😭daah

  • @abdalahfarida2074

    @abdalahfarida2074

    5 жыл бұрын

    Watu wengi wana kesi ndogondogo sana waachiwe wanakula bure.

  • @sararashid5150
    @sararashid51505 жыл бұрын

    jamani inatosha adhabu ya huyo baba

  • @deborahkhan4868
    @deborahkhan48685 жыл бұрын

    amekili

  • @kassimumgeni1614
    @kassimumgeni16143 жыл бұрын

    Msamehe

  • @firdausiruqmani9363
    @firdausiruqmani93634 жыл бұрын

    Najikuta nalia

  • @ngenzisaid4958
    @ngenzisaid49585 жыл бұрын

    kasahau mpk miaka yake duh

  • @hezronmdegela9102
    @hezronmdegela91024 жыл бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @sakinaomar2090
    @sakinaomar20905 жыл бұрын

    Wanaume wengi wanazeekea jela kwa ubakaji

  • @christanyoni1608

    @christanyoni1608

    5 жыл бұрын

    Sakina Omar waache wazeekee kama walibaka kweli

  • @christinasima8972
    @christinasima89725 жыл бұрын

    mai zumu 2019

  • @DavidFaiton
    @DavidFaiton5 жыл бұрын

    Duniani twapita

  • @omenarepublique8426
    @omenarepublique84265 жыл бұрын

    You killed your wife by "mistake"?????I can't judge though.....

  • @kelly2248

    @kelly2248

    5 жыл бұрын

    Omena Republique yah it happens. It’s called manslaughter

  • @asmabintikiwa1826
    @asmabintikiwa18265 жыл бұрын

    Rais ww mungu akuweke

  • @masanjamasunga6667
    @masanjamasunga66673 жыл бұрын

    Kwanza ushanenepa wala usiachiwe

Келесі