No video

MCHUNGAJI HANANJA AMVUNJA MBAVU MUFTI | UKUMBI MZIMA KICHEKO, AZUNGUMZA KIARABU

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 305

  • @johaneskiiza150
    @johaneskiiza1506 ай бұрын

    Tanzania nakupenda sana nchi yangu tunahishi kwa kuheshimiana safi sana wazee wa BAKWATA

  • @lawrenceoctavian2740
    @lawrenceoctavian27407 ай бұрын

    Inapendeza mbele za wanadamu na mbele za Mungu ndugu wakikaa pamoja

  • @esterstaphord5184

    @esterstaphord5184

    6 ай бұрын

    Na kwa umojaa 😅

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative24516 ай бұрын

    Tumefurahi Sana kumuona much. Wetu kujumuika na Ndugu zetu waislam! Tumefurahi Sana Sana Sana, hakika ametuwakilisha vyema. Tuishi Kwa Upendo, Mungu wetu sote!

  • @JoshuaGodifreyJoshua
    @JoshuaGodifreyJoshua9 күн бұрын

    Safi sana Mungu ni mmoja sisi sote ni WA Moja

  • @egfridmkoba4767
    @egfridmkoba476710 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu aendelee kutuwekea mkono wake tuendelee kuishi kama ndugu wa baba na mama mmoja.

  • @expert5898
    @expert58987 ай бұрын

    Ufalme wa Mungu ukishuka watu wote wanakuwa wamoja maana Mungu wao ni mmoja.

  • @deograciakashaigili5973

    @deograciakashaigili5973

    6 ай бұрын

    Hakika! Raha sana!

  • @Tandalesse

    @Tandalesse

    2 ай бұрын

    Ila huyo MUNGU siyo Yesu.

  • @MiriusEliudi

    @MiriusEliudi

    2 ай бұрын

    ​@@Tandalesse Yesu aliwakosea nini?😂😂😂

  • @soothingrelaxationsounds7461

    @soothingrelaxationsounds7461

    5 күн бұрын

    Haswaaaaa

  • @NuruBeth-hu1ym
    @NuruBeth-hu1ym2 ай бұрын

    Napenda mafundisho ya pastor❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @henritamshai4915
    @henritamshai49157 ай бұрын

    Huwa nafikiria ni muislamu pongezi mseto huu wa mawaidha ya kidini.mungu atujalie heri duniani

  • @ummahmed3354
    @ummahmed33546 ай бұрын

    Allah bless and guide you mch Hananja... mtu wa ukweli... we love you

  • @ibel4lf
    @ibel4lf7 ай бұрын

    Nasoma comment za watu wenye kutafuta shari pasi na shari 😮

  • @rweyemamurweyemamu680
    @rweyemamurweyemamu6807 ай бұрын

    Unakuta anayeongelea mambo ya udini ana machafu kibao na pengine ana demu mkristo😂😂😂 lkn sasa kujifanya anaijua dini,mbinguni unaenda weye na roho yako mpendwa utahesabiwa mema uloyafanya kwa wenzako,uwepo wako Dunian umetenda nini,watu wangapi umewasaidia waenende kwenye njia njema,ayo ndo mambo ya msingi,achaneni na udini

  • @hawanassoro4607

    @hawanassoro4607

    7 ай бұрын

    Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.

  • @hawanassoro4607

    @hawanassoro4607

    7 ай бұрын

    Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.

  • @DeoMbilinyi
    @DeoMbilinyi10 күн бұрын

    Na mimi nimependa kwa mwaliko huu Ameen

  • @user-fw4yr5bt8p
    @user-fw4yr5bt8p7 ай бұрын

    Hananja hana baya mzee wangu

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi13197 ай бұрын

    Daah mungu atusaidie sana na viongozi wa dini zote msikubali kuwaingiza waumini wote kwenye njia mungu asiyoipenda

  • @MiwagoTz
    @MiwagoTz28 күн бұрын

    Huwa namfuatilia sana maongezi yake huwa anachekesha huku akifikisha ujumbe,nikipenzi cha watu,Hongereni viongozi wa Dini kwa umoja wenu wa Dini zote kuwa kitu kimoja hapa Tanzania lazima hiwe na Amani kwani Amani inaanzia kwenye Upendo ndani ya Dini Zetu kupendana na hapa tunaona mchungaji amealikwa.Mungu ibariki Tanzania na watu wake aminaa.

  • @alexcostantine6732
    @alexcostantine67326 ай бұрын

    Mungu awabariki kwa umoja huo YESU anakuja jihusishe

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji31417 ай бұрын

    Wanaomponda huyu Mchungaji hawajui hata kitu chochote kwenye Dini 😁

  • @ChrisantEmanuely27

    @ChrisantEmanuely27

    7 ай бұрын

    Apo kakosea wapi

  • @SalamaAkilimali-ly3bu

    @SalamaAkilimali-ly3bu

    6 ай бұрын

    Kashaalikwa tayari

  • @gaudencekanut902

    @gaudencekanut902

    5 ай бұрын

    Weee unaejua uko wap tukuoneee??

  • @shaffihsiraji3141

    @shaffihsiraji3141

    5 ай бұрын

    @@gaudencekanut902 Sibishani na wanawake huna la kunambia wewe

  • @shamteabdala5424

    @shamteabdala5424

    3 ай бұрын

  • @danielsamuel1278
    @danielsamuel1278Күн бұрын

    Huyu mzee nampenda sana sana sana mimi ni muislam ila huyu mzee nasoma mengi sana kwake na hii ndio Tanzania ninayo ipenda ❤❤❤❤

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita63866 ай бұрын

    Kwa kweli Uislamu naupenda sana. Nilipofika Dar es Salaam niliishi na ndugu zetu wa waislam hakika nilipata ukalimu sana. Mungu ubariki uislam

  • @Chimamy5242

    @Chimamy5242

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @Inzaghi809

    @Inzaghi809

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂uslamu ni dini la kishetani

  • @idiidi-rq5gk

    @idiidi-rq5gk

    5 ай бұрын

    Shetan n we mwenyewe

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    5 ай бұрын

    ​@@idiidi-rq5gk mashetan yashaanza kuamka 😂😂

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    3 ай бұрын

    Unasubili nini kajiunge na mashetani

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa33337 ай бұрын

    Siku ya kusimama hukumuni kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake! Kwa sasa kinachotakiwa ni kuishi kwa umoja na furaha bila kubaguan! Siku ukifa ndip utajua ulichochagua hapa duniani kama kilikuwa sahihi au la! Je ukifa utaenda wapi???

  • @NYOKAONLINE7156
    @NYOKAONLINE71567 ай бұрын

    Allah atupe mwisho mwema

  • @almasisadick9719
    @almasisadick97197 ай бұрын

    Eee ALLAH wahifadh masheikh wetu wa kisalafi na uwaweke mbali na unafiq...... ✍️

  • @wazirihamisi6484

    @wazirihamisi6484

    7 ай бұрын

    Aamiyn

  • @AsneiNalou

    @AsneiNalou

    7 ай бұрын

    اللهم آمين

  • @kaayvingt-sept

    @kaayvingt-sept

    5 ай бұрын

    aamyn

  • @engisack9610
    @engisack96106 ай бұрын

    Tatizo la waisilamu wana udini mwingi sana na ubaguzi" wakati Mungu nimmoja

  • @alhajisingano6590

    @alhajisingano6590

    6 ай бұрын

    Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, zisikuchanganye hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)

  • @NuruSultani-ws1ny

    @NuruSultani-ws1ny

    9 күн бұрын

    Kma ubaguz upo hananja ni muislam au ondoa upuuz uliojazwa katika akili yako mwehu ww

  • @emanuelwilliam1607
    @emanuelwilliam16075 ай бұрын

    Its beautiful TANZANIA LOVELY LOVELY SANA 💕

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free7 ай бұрын

    Aliposema wake 1000 nikakumbuka Mazinge😊

  • @AbdullrazackHussein
    @AbdullrazackHussein17 сағат бұрын

    Mashallah inapendeza sanaaa

  • @enockdanstan1785
    @enockdanstan17857 ай бұрын

    Waisilamu watu...wa Shari, comments zenu, sio za kujenga, haziendani kama watu wa Mungu

  • @jamalsamma3457
    @jamalsamma34577 ай бұрын

    Barakallahu fih

  • @mainguali6046
    @mainguali6046Ай бұрын

    Mungu amjalie Pastor Hananja asilimu

  • @patricksebastian3593

    @patricksebastian3593

    Ай бұрын

    Hayo ndio mawazo ya hovyo.

  • @rubenibernald6138

    @rubenibernald6138

    24 күн бұрын

    Achaa bangiii unamanisha Hana mungu bwege weweee

  • @jescarwegoshola1754

    @jescarwegoshola1754

    17 күн бұрын

    😅😅😅

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy74706 ай бұрын

    Maasha Allah tabaaraka Allah, jamaa anakwepa munakasha, na anakwepa mpaka mahojiano na chombo cha habari, eti kwa sababu ni watu wa bidaa, wakati huo huo masalafi wanatumia youtube, facebook, twitter, instagram, vyote hivi ni vya makafiri, lakini hawaachi kuvitumia 😂

  • @EmmanuelMalando

    @EmmanuelMalando

    5 күн бұрын

    Acha ubaguzinallah apendi

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi17965 ай бұрын

    hananja huna baya mungu akubar sana ❤

  • @allysimu6856
    @allysimu68567 ай бұрын

    Silimu basi mchungaji walwahi umependeza Sana kuwa shene

  • @user-cj4ol5dc2v
    @user-cj4ol5dc2v7 ай бұрын

    Inapendeza sana ndg kukaa pamoja kama hii❤❤❤

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon36243 ай бұрын

    Safii sana sote twaabudu Mungu mmoja!Tupendane!🙏

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx5 ай бұрын

    Maisha ya huyu mchungaji na himani yake naipenda sana

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt2 күн бұрын

    Mungu wetu anataka Upendo Na Aman

  • @thomaswilbert6431
    @thomaswilbert64317 ай бұрын

    😅😂hamjawahi kuwa furaha ya kweli kama waliopata leo mashehe wenu kwa mchungaji mcheshi duniani

  • @wizzyboengamba749
    @wizzyboengamba749Күн бұрын

    Love hananja

  • @HousenAhmadi
    @HousenAhmadi22 күн бұрын

    Sote ni ndugu , emwenyezi mungu udumishe udugu huu na utuepushe na shetani wabaya , inshallah 🙏

  • @ZAMYLFILM
    @ZAMYLFILM6 ай бұрын

    Nakupenda sana Hananj Allah akujaalie uwe muislam usife katika giza

  • @EzekielDebora-cd2ib

    @EzekielDebora-cd2ib

    6 ай бұрын

    Wewe ndo usife ktk Giza

  • @user-fg2he3dc8s
    @user-fg2he3dc8s7 ай бұрын

    Kuna watu awapendi khali kama hii😢😢 viongozi kucheka pamoja japo ata mara Moja kwa mwaka 😂😂😂

  • @kwadumikomaenterprises1131
    @kwadumikomaenterprises11312 ай бұрын

    safi sana sina comment ni nasikia Raha tu kwenye nchi yangu kuona tupo pamoja Raha sana najivunia kuzaliwa Tanzania

  • @hanspop6961
    @hanspop69617 ай бұрын

    Hekima nyingi Huyu🤣🤣

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593Ай бұрын

    Mungu Ibariki Tanzania, tuanaishi pamoja bila kujali dini zetu

  • @user-tb3hi9he5f
    @user-tb3hi9he5f4 ай бұрын

    Mimi ni muislamu lakini napenda huu mchungaji Kwa manenyo ya hekima

  • @abdallahmwanga5792
    @abdallahmwanga579221 күн бұрын

    Ni mtu makini sana aisee....😂😂😂😂

  • @mirajiyombe1601
    @mirajiyombe16017 ай бұрын

    Allah atuongoze

  • @manasendubula-zn8fl
    @manasendubula-zn8fl2 ай бұрын

    Mtabaki mnaumana meno waumini lakini watumishi wa dini zote wakikutana ni AMANI tuu. 🤝🤝

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu99717 ай бұрын

    Kapendesa alivyovaa kufia hananja...😂😂😂

  • @gwakisasimon14
    @gwakisasimon146 ай бұрын

    wewe unaye sema asilimu ili imanishe nini toa kitu cha kujenga sio kubomoa ndio maana watu wanasema shule muhimu usikimbie umande mzee yani kaa ukijuwa mungu apendezwi na dini zetu kwa sababu zina unafki kusengenyana mungu hayupo sehemu yenye dhambi kaa ukijua mungu anapenda jambo moja tu matendo mema kumuelekea yeye na kumwabudu kwa roho na kweli na kusimama kwenye wito uliopangiwa ukiwa mtu wa kulukaluka uwezi kumpata mungu sehemu yako itakuwa jehanamu tu nawapenda wote wanaomwabudu mwenyezi mungu maana neno lake halitaludi bure ila wale wanaoabudu mizimu masanamu tusiwachukie kama tuna upendo alioagiza mungu tunatakiwa kuwaombea mungu awashushie baraka zake na neema wamjue mungu wa kweli .waislamu na wakristo mungu awape maisha ya kumsifu na kumwabudu kwa roho na kweli sio unafki mtazameni mungu msitazame dini zenu ni nzuri kwa sababu sinamwabudu mwenyezi mungu kila mtu aeshimu hekalu la mwenzie mungu awabariki nyote amina

  • @Mtemi-s2k
    @Mtemi-s2kАй бұрын

    Kiukwer mungu ibariki tanzaniy nawatu wake🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ZAMYLFILM
    @ZAMYLFILM6 ай бұрын

    Inshaallah Allah akujaalie uwe muislam pastor

  • @ModestSichone-el2du
    @ModestSichone-el2du7 ай бұрын

    Kwanza anakili kwanini asifrai kwakua viongozi wadini zote wamekutana wanachanganua mema na mabaya Sasa unasikia oooo waisilamu wenzangu muwe makini Sasa umakini Gani pumbavu wewe muchamungu sio dini mwemba

  • @musasabihi7451
    @musasabihi74513 ай бұрын

    Hii mzuri sana hii nimeipenda

  • @doricekisaaka1699
    @doricekisaaka16995 ай бұрын

    😂😂😂😂Hana njaa mbavu zangu

  • @MichaelPascal-v7b
    @MichaelPascal-v7b14 күн бұрын

    Up sahihi

  • @nolascomugalula6098
    @nolascomugalula6098Ай бұрын

    Hakika waislamu wana upendo sana

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi64847 ай бұрын

    Aamiyn

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72797 ай бұрын

    😂😂😂😂😂Ila waslmu 😂😂😂😂😂😂😂wana nipaga raha mimi siyo kwa comment hizo 😂😂😂alf wenyew wakrsto hata awana mda na sisis😂😂😂ila sisi uwiiiiiiiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂nachek kama mazuri vile kumbe 😢😢

  • @ibnhassan9980

    @ibnhassan9980

    7 ай бұрын

    Hicho ndicho chama cha B..

  • @NaomiSolomon-cj7hr

    @NaomiSolomon-cj7hr

    7 ай бұрын

    ❤❤❤Ndo ushangae

  • @rehemamapuga5789

    @rehemamapuga5789

    2 ай бұрын

    Nmekupenda bureeee

  • @user-xd2tg8eq1h

    @user-xd2tg8eq1h

    Күн бұрын

    Uislam raha sana

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar45207 ай бұрын

    Mimi maisha yangu siwez kuja kua muislamu, ndugu zangu natamani mngekua mnajua kama navojua mm khx huu uislaum, kwanza kabla hajawaza kua waislam muwe mnajaribu kuwauliza waislam viongozi kwann wanatumia kiarabu aslimia nyingi kuliko Kiswahili, kwasabb Weng hawajui kiarabu, Kwenye uislaum kunashida nyingi hata maiti bado anashida nyingi anavotobolewa na ndo maana anazikwa haraka haraka

  • @hamidayusuph4608

    @hamidayusuph4608

    7 ай бұрын

    Anatobolewa tena! Hamna kitu kama hicho ndugu.

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    7 ай бұрын

    @@hamidayusuph4608 Nyie mait mnamuandaa VP kama hamtoboi? We unaekataa utakua hujui ukitaka kujua nachokisena kasome vitabu nyenu vinavoongea marehe na na jinx ya kumuandaa kwenda kumsitiri

  • @Evance15

    @Evance15

    7 ай бұрын

    ​@@nestarnestar4520hujui chochote kuhusu uislamu kaa kimya sawa usiongelee vazi usilolivaa kwamaana hulijui hata kidogo🙏🙏🙏

  • @alhajisingano6590

    @alhajisingano6590

    6 ай бұрын

    Wewe hujitambui

  • @sharomdguda

    @sharomdguda

    6 ай бұрын

    Dunia hii omba tu mungu lkn bado haujafika mwisho unaweza kujikuta siku Moja wewe unakuwa muislam . Husijiapize 2

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari45257 ай бұрын

    MI SIO MKRISTU ILA NAMPENDA SANA HUYO MCHUNGAJI,,NOMA SANA

  • @omarikhalifa9413

    @omarikhalifa9413

    7 ай бұрын

    Unampendaje kafiri?

  • @idrisalimapema2539

    @idrisalimapema2539

    7 ай бұрын

    ​@@omarikhalifa9413hahahha

  • @hassanbakari4525

    @hassanbakari4525

    7 ай бұрын

    SIPENDI UDINI WAKE,,NAPENDA AKILI YAKE.

  • @lulanjamd3886

    @lulanjamd3886

    7 ай бұрын

    ​@@omarikhalifa9413Kafili mama yako

  • @user-wi1cn2pc4p

    @user-wi1cn2pc4p

    7 ай бұрын

    Ukiona unampenda mtu anayechukiwa na Allah ktk kufru yake nasi na wewe unachukiwa na Allah!!!

  • @rajabumaziku9857
    @rajabumaziku9857Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂

  • @amanmalima940
    @amanmalima94026 күн бұрын

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @danielsamuel1278

    @danielsamuel1278

    Күн бұрын

    Sisi hatutaki kuokoka ,tulikuokoka tumboni .yesu ni mtume wetu kama watume wengine .

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp7 ай бұрын

    Bakwata sio dini ni taasisi, so msiwalaumu. Uislamu hauna taasisi.

  • @StevenmwawezaStevenmwaweza
    @StevenmwawezaStevenmwaweza16 күн бұрын

    Safi mtumishi

  • @rajabodhuman1300
    @rajabodhuman13007 ай бұрын

    Mtu hawi muislamu kwa kupendezwa mavazi au muonekano wakiislama au kuongeya kiarabu bali nikwaku ukubali uislamu kwa moyo na kwa matendo yote aliyo amrisha Allah na mitumewe

  • @maulidipazi6770

    @maulidipazi6770

    7 ай бұрын

    Namavazi pia .ukiambiwa vaa vazi la kiislam utavaa nini

  • @back2homemusic844

    @back2homemusic844

    6 ай бұрын

    Hakuna vazi la kiislamu... Kuna mavazi ya kiarabu, kwahiyo uisilamu ni uarabu? Kwamba hakuna waarabu wakristo? ​@@maulidipazi6770

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy56816 ай бұрын

    Amefurahisha watu sana lkn pia ujumbe wake mnono sana tuuchukueni jamni

  • @user-yr5wj5bz4w
    @user-yr5wj5bz4w7 ай бұрын

    Waislamu wabinafs sana 🙌🙌🙌

  • @mirajiyombe1601

    @mirajiyombe1601

    7 ай бұрын

    Uislam pekee ndo wenye mfumo mzima wa maisha ya mwanadam ..ubinafsi haupo ila ktk Islam Kila kitu ni ibada naibada hiyo iwe imeamrishwa na mungu nasi binadam kwahiyo ukiona waislam jambo hawalitaki Hilo SI ibada nahakuliamrisha mungu

  • @mailacamillius
    @mailacamillius7 ай бұрын

    😂Hekima

  • @rahmarama5669
    @rahmarama56694 ай бұрын

    Mungu ni Mungu Tu

  • @BONIPHACECHRISTOPHER-po5os
    @BONIPHACECHRISTOPHER-po5os2 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @EfraimLoibanguti
    @EfraimLoibanguti22 күн бұрын

    Kupenda ndio Kila kitu Hawa wengine hawajui maana ya upendo..udini ni adui wa haki

  • @francjose9596
    @francjose95962 ай бұрын

    🙏🏽

  • @donadimahala
    @donadimahala20 күн бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @clustermqsir9840
    @clustermqsir984019 күн бұрын

    Njoo kwa sisi wa huku chini kutwa kubaguana

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul18946 ай бұрын

    🙏

  • @ShabaniKakongo-gy4eb
    @ShabaniKakongo-gy4eb6 ай бұрын

    Allah akuongoze

  • @gervaslusinde1329
    @gervaslusinde1329Ай бұрын

    Inapendeza sana kukaa na kukutana pamoja kwenye jumuia kama hii.

  • @kuruthumuhussein8527
    @kuruthumuhussein85278 күн бұрын

    m namkubali San ananji

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu26767 ай бұрын

    Yaan waislam mnachuki, mwngne hta msikitini haendi ila roho mbya

  • @alhajisingano6590

    @alhajisingano6590

    6 ай бұрын

    Na tunawachukia hasaa sio siri bal kuwachukia nyie kwetu n ibada

  • @evertheobald1811

    @evertheobald1811

    2 ай бұрын

    Hakuna mbingu hapo

  • @WinnieJvic

    @WinnieJvic

    Күн бұрын

    @@alhajisingano6590 😂😂😂😂😂 eti ibada

  • @MarthaJohn-jb1nr
    @MarthaJohn-jb1nr7 ай бұрын

    Wasilamu kama wasilamu sasa na comments zao 😂😂😂😂

  • @benjaminngatunga3931
    @benjaminngatunga39312 ай бұрын

    Mungu awalinde viongoz wote wa dini

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba24253 ай бұрын

    Diamond kwenda kwenye Tamasha la waikristo ni gumzo ila huyu kuja huku swaafiii hawalalami

  • @user-gf3oe3rz6c
    @user-gf3oe3rz6c4 ай бұрын

    Nampenda Sana uyu mchungaji hua anaongea ukweli

  • @gatimarwa7525
    @gatimarwa75256 ай бұрын

    Rahaaaaaa

  • @issakawaya8315
    @issakawaya83157 ай бұрын

    Amependeza

  • @halson827
    @halson8279 күн бұрын

    Dunia ilitakiwa iwe hivi....!

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy45957 ай бұрын

    Kwnn usiwe muislam mchungaj mbna unapendeza

  • @jeapaultchikuru7726

    @jeapaultchikuru7726

    7 ай бұрын

    Kwa sbb sio Haki yenu ni Haki ya wakristo kaja hapo sikwamapenzi yake kafwata mkwanja

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    7 ай бұрын

    We awe na majini mchungaji wetu

  • @deograciakashaigili5973
    @deograciakashaigili59736 ай бұрын

    Huko ulikotoa mifano kuna kipindi wakristo walifuatiliwa sana na kuchoma kanisa. Umesahau Mchungaji? Watubu hapo kwanza!

  • @alhajisingano6590
    @alhajisingano65906 ай бұрын

    Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, Yaa Ma'asharal kuffaar: Zisikuchanganyeni hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)

  • @KassimJabu
    @KassimJabu17 күн бұрын

    Mzee wa vichekesho

  • @odilowairinga6324
    @odilowairinga63247 ай бұрын

    Napenda sana nikiona hivi, sio kukutana bar na clab ndo tunafurahi

  • @GraceJaphet-fr4jt
    @GraceJaphet-fr4jt3 ай бұрын

    Mchungaji hananja , aise napatq mashaka na utumishi wako

  • @fajdikhamisi608
    @fajdikhamisi6087 ай бұрын

    Ukumzi au ukumbi

  • @AbdallahDullah-gx2jo
    @AbdallahDullah-gx2jo4 ай бұрын

    Mtu wa mana kbc uyuu😅😅

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed18305 ай бұрын

    Mzee ukislimu itakua poa sana unamaadini yakweli

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman89635 ай бұрын

    Mie hii sijaelewa😢😢😢

  • @user-lx6hx2wb8g
    @user-lx6hx2wb8g6 ай бұрын

    Upendo ndio dini ya kweli

  • @athumanimtajih
    @athumanimtajih7 ай бұрын

    Sasa unawalaumu masheikh kwan huyo Hananja katukana mtu au kasema baya gan,kiufup Waislam wa kileo hatuna maneno ya ushawishi wa mtu asiye muislamu kuvutiwa nasi,tumejawa na itikadi na utimu wa masheikh

  • @user-pu4ot2ie8c
    @user-pu4ot2ie8c4 ай бұрын

    Hakun mchungaj hpo n wakala anaetak kuaribu ukristo kuwen macho wapendwa

Келесі