Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZread: / @babdeomiladu
Жүктеу.....
Пікірлер: 305
@johaneskiiza1506 ай бұрын
Tanzania nakupenda sana nchi yangu tunahishi kwa kuheshimiana safi sana wazee wa BAKWATA
@lawrenceoctavian27407 ай бұрын
Inapendeza mbele za wanadamu na mbele za Mungu ndugu wakikaa pamoja
@esterstaphord5184
6 ай бұрын
Na kwa umojaa 😅
@dapinitiative24516 ай бұрын
Tumefurahi Sana kumuona much. Wetu kujumuika na Ndugu zetu waislam! Tumefurahi Sana Sana Sana, hakika ametuwakilisha vyema. Tuishi Kwa Upendo, Mungu wetu sote!
@JoshuaGodifreyJoshua9 күн бұрын
Safi sana Mungu ni mmoja sisi sote ni WA Moja
@egfridmkoba476710 күн бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kutuwekea mkono wake tuendelee kuishi kama ndugu wa baba na mama mmoja.
@expert58987 ай бұрын
Ufalme wa Mungu ukishuka watu wote wanakuwa wamoja maana Mungu wao ni mmoja.
@deograciakashaigili5973
6 ай бұрын
Hakika! Raha sana!
@Tandalesse
2 ай бұрын
Ila huyo MUNGU siyo Yesu.
@MiriusEliudi
2 ай бұрын
@@Tandalesse Yesu aliwakosea nini?😂😂😂
@soothingrelaxationsounds7461
5 күн бұрын
Haswaaaaa
@NuruBeth-hu1ym2 ай бұрын
Napenda mafundisho ya pastor❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@henritamshai49157 ай бұрын
Huwa nafikiria ni muislamu pongezi mseto huu wa mawaidha ya kidini.mungu atujalie heri duniani
@ummahmed33546 ай бұрын
Allah bless and guide you mch Hananja... mtu wa ukweli... we love you
@ibel4lf7 ай бұрын
Nasoma comment za watu wenye kutafuta shari pasi na shari 😮
@rweyemamurweyemamu6807 ай бұрын
Unakuta anayeongelea mambo ya udini ana machafu kibao na pengine ana demu mkristo😂😂😂 lkn sasa kujifanya anaijua dini,mbinguni unaenda weye na roho yako mpendwa utahesabiwa mema uloyafanya kwa wenzako,uwepo wako Dunian umetenda nini,watu wangapi umewasaidia waenende kwenye njia njema,ayo ndo mambo ya msingi,achaneni na udini
@hawanassoro4607
7 ай бұрын
Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.
@hawanassoro4607
7 ай бұрын
Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.
@DeoMbilinyi10 күн бұрын
Na mimi nimependa kwa mwaliko huu Ameen
@user-fw4yr5bt8p7 ай бұрын
Hananja hana baya mzee wangu
@ellsonmkonyi13197 ай бұрын
Daah mungu atusaidie sana na viongozi wa dini zote msikubali kuwaingiza waumini wote kwenye njia mungu asiyoipenda
@MiwagoTz28 күн бұрын
Huwa namfuatilia sana maongezi yake huwa anachekesha huku akifikisha ujumbe,nikipenzi cha watu,Hongereni viongozi wa Dini kwa umoja wenu wa Dini zote kuwa kitu kimoja hapa Tanzania lazima hiwe na Amani kwani Amani inaanzia kwenye Upendo ndani ya Dini Zetu kupendana na hapa tunaona mchungaji amealikwa.Mungu ibariki Tanzania na watu wake aminaa.
@alexcostantine67326 ай бұрын
Mungu awabariki kwa umoja huo YESU anakuja jihusishe
@shaffihsiraji31417 ай бұрын
Wanaomponda huyu Mchungaji hawajui hata kitu chochote kwenye Dini 😁
@ChrisantEmanuely27
7 ай бұрын
Apo kakosea wapi
@SalamaAkilimali-ly3bu
6 ай бұрын
Kashaalikwa tayari
@gaudencekanut902
5 ай бұрын
Weee unaejua uko wap tukuoneee??
@shaffihsiraji3141
5 ай бұрын
@@gaudencekanut902 Sibishani na wanawake huna la kunambia wewe
@shamteabdala5424
3 ай бұрын
@danielsamuel1278Күн бұрын
Huyu mzee nampenda sana sana sana mimi ni muislam ila huyu mzee nasoma mengi sana kwake na hii ndio Tanzania ninayo ipenda ❤❤❤❤
@lucaskashimwita63866 ай бұрын
Kwa kweli Uislamu naupenda sana. Nilipofika Dar es Salaam niliishi na ndugu zetu wa waislam hakika nilipata ukalimu sana. Mungu ubariki uislam
@Chimamy5242
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Inzaghi809
6 ай бұрын
😂😂😂😂uslamu ni dini la kishetani
@idiidi-rq5gk
5 ай бұрын
Shetan n we mwenyewe
@fredducaunt
5 ай бұрын
@@idiidi-rq5gk mashetan yashaanza kuamka 😂😂
@MACHOYATAI-jk6fu
3 ай бұрын
Unasubili nini kajiunge na mashetani
@gadielshedaffa33337 ай бұрын
Siku ya kusimama hukumuni kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake! Kwa sasa kinachotakiwa ni kuishi kwa umoja na furaha bila kubaguan! Siku ukifa ndip utajua ulichochagua hapa duniani kama kilikuwa sahihi au la! Je ukifa utaenda wapi???
@NYOKAONLINE71567 ай бұрын
Allah atupe mwisho mwema
@almasisadick97197 ай бұрын
Eee ALLAH wahifadh masheikh wetu wa kisalafi na uwaweke mbali na unafiq...... ✍️
@wazirihamisi6484
7 ай бұрын
Aamiyn
@AsneiNalou
7 ай бұрын
اللهم آمين
@kaayvingt-sept
5 ай бұрын
aamyn
@engisack96106 ай бұрын
Tatizo la waisilamu wana udini mwingi sana na ubaguzi" wakati Mungu nimmoja
@alhajisingano6590
6 ай бұрын
Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, zisikuchanganye hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)
@NuruSultani-ws1ny
9 күн бұрын
Kma ubaguz upo hananja ni muislam au ondoa upuuz uliojazwa katika akili yako mwehu ww
@emanuelwilliam16075 ай бұрын
Its beautiful TANZANIA LOVELY LOVELY SANA 💕
@D-Man.B-Free7 ай бұрын
Aliposema wake 1000 nikakumbuka Mazinge😊
@AbdullrazackHussein17 сағат бұрын
Mashallah inapendeza sanaaa
@enockdanstan17857 ай бұрын
Waisilamu watu...wa Shari, comments zenu, sio za kujenga, haziendani kama watu wa Mungu
@jamalsamma34577 ай бұрын
Barakallahu fih
@mainguali6046Ай бұрын
Mungu amjalie Pastor Hananja asilimu
@patricksebastian3593
Ай бұрын
Hayo ndio mawazo ya hovyo.
@rubenibernald6138
24 күн бұрын
Achaa bangiii unamanisha Hana mungu bwege weweee
@jescarwegoshola1754
17 күн бұрын
😅😅😅
@abujamalaalghammawiy74706 ай бұрын
Maasha Allah tabaaraka Allah, jamaa anakwepa munakasha, na anakwepa mpaka mahojiano na chombo cha habari, eti kwa sababu ni watu wa bidaa, wakati huo huo masalafi wanatumia youtube, facebook, twitter, instagram, vyote hivi ni vya makafiri, lakini hawaachi kuvitumia 😂
@EmmanuelMalando
5 күн бұрын
Acha ubaguzinallah apendi
@hamsikrasheedi17965 ай бұрын
hananja huna baya mungu akubar sana ❤
@allysimu68567 ай бұрын
Silimu basi mchungaji walwahi umependeza Sana kuwa shene
@user-cj4ol5dc2v7 ай бұрын
Inapendeza sana ndg kukaa pamoja kama hii❤❤❤
@lesliesolomon36243 ай бұрын
Safii sana sote twaabudu Mungu mmoja!Tupendane!🙏
@-kagerayetubw9jx5 ай бұрын
Maisha ya huyu mchungaji na himani yake naipenda sana
@PanchoValentino-wh7wt2 күн бұрын
Mungu wetu anataka Upendo Na Aman
@thomaswilbert64317 ай бұрын
😅😂hamjawahi kuwa furaha ya kweli kama waliopata leo mashehe wenu kwa mchungaji mcheshi duniani
@wizzyboengamba749Күн бұрын
Love hananja
@HousenAhmadi22 күн бұрын
Sote ni ndugu , emwenyezi mungu udumishe udugu huu na utuepushe na shetani wabaya , inshallah 🙏
@ZAMYLFILM6 ай бұрын
Nakupenda sana Hananj Allah akujaalie uwe muislam usife katika giza
@EzekielDebora-cd2ib
6 ай бұрын
Wewe ndo usife ktk Giza
@user-fg2he3dc8s7 ай бұрын
Kuna watu awapendi khali kama hii😢😢 viongozi kucheka pamoja japo ata mara Moja kwa mwaka 😂😂😂
@kwadumikomaenterprises11312 ай бұрын
safi sana sina comment ni nasikia Raha tu kwenye nchi yangu kuona tupo pamoja Raha sana najivunia kuzaliwa Tanzania
@hanspop69617 ай бұрын
Hekima nyingi Huyu🤣🤣
@patricksebastian3593Ай бұрын
Mungu Ibariki Tanzania, tuanaishi pamoja bila kujali dini zetu
@user-tb3hi9he5f4 ай бұрын
Mimi ni muislamu lakini napenda huu mchungaji Kwa manenyo ya hekima
@abdallahmwanga579221 күн бұрын
Ni mtu makini sana aisee....😂😂😂😂
@mirajiyombe16017 ай бұрын
Allah atuongoze
@manasendubula-zn8fl2 ай бұрын
Mtabaki mnaumana meno waumini lakini watumishi wa dini zote wakikutana ni AMANI tuu. 🤝🤝
@fortyyellu99717 ай бұрын
Kapendesa alivyovaa kufia hananja...😂😂😂
@gwakisasimon146 ай бұрын
wewe unaye sema asilimu ili imanishe nini toa kitu cha kujenga sio kubomoa ndio maana watu wanasema shule muhimu usikimbie umande mzee yani kaa ukijuwa mungu apendezwi na dini zetu kwa sababu zina unafki kusengenyana mungu hayupo sehemu yenye dhambi kaa ukijua mungu anapenda jambo moja tu matendo mema kumuelekea yeye na kumwabudu kwa roho na kweli na kusimama kwenye wito uliopangiwa ukiwa mtu wa kulukaluka uwezi kumpata mungu sehemu yako itakuwa jehanamu tu nawapenda wote wanaomwabudu mwenyezi mungu maana neno lake halitaludi bure ila wale wanaoabudu mizimu masanamu tusiwachukie kama tuna upendo alioagiza mungu tunatakiwa kuwaombea mungu awashushie baraka zake na neema wamjue mungu wa kweli .waislamu na wakristo mungu awape maisha ya kumsifu na kumwabudu kwa roho na kweli sio unafki mtazameni mungu msitazame dini zenu ni nzuri kwa sababu sinamwabudu mwenyezi mungu kila mtu aeshimu hekalu la mwenzie mungu awabariki nyote amina
@Mtemi-s2kАй бұрын
Kiukwer mungu ibariki tanzaniy nawatu wake🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ZAMYLFILM6 ай бұрын
Inshaallah Allah akujaalie uwe muislam pastor
@ModestSichone-el2du7 ай бұрын
Kwanza anakili kwanini asifrai kwakua viongozi wadini zote wamekutana wanachanganua mema na mabaya Sasa unasikia oooo waisilamu wenzangu muwe makini Sasa umakini Gani pumbavu wewe muchamungu sio dini mwemba
@musasabihi74513 ай бұрын
Hii mzuri sana hii nimeipenda
@doricekisaaka16995 ай бұрын
😂😂😂😂Hana njaa mbavu zangu
@MichaelPascal-v7b14 күн бұрын
Up sahihi
@nolascomugalula6098Ай бұрын
Hakika waislamu wana upendo sana
@wazirihamisi64847 ай бұрын
Aamiyn
@faudhiasalum72797 ай бұрын
😂😂😂😂😂Ila waslmu 😂😂😂😂😂😂😂wana nipaga raha mimi siyo kwa comment hizo 😂😂😂alf wenyew wakrsto hata awana mda na sisis😂😂😂ila sisi uwiiiiiiiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂nachek kama mazuri vile kumbe 😢😢
@ibnhassan9980
7 ай бұрын
Hicho ndicho chama cha B..
@NaomiSolomon-cj7hr
7 ай бұрын
❤❤❤Ndo ushangae
@rehemamapuga5789
2 ай бұрын
Nmekupenda bureeee
@user-xd2tg8eq1h
Күн бұрын
Uislam raha sana
@nestarnestar45207 ай бұрын
Mimi maisha yangu siwez kuja kua muislamu, ndugu zangu natamani mngekua mnajua kama navojua mm khx huu uislaum, kwanza kabla hajawaza kua waislam muwe mnajaribu kuwauliza waislam viongozi kwann wanatumia kiarabu aslimia nyingi kuliko Kiswahili, kwasabb Weng hawajui kiarabu, Kwenye uislaum kunashida nyingi hata maiti bado anashida nyingi anavotobolewa na ndo maana anazikwa haraka haraka
@hamidayusuph4608
7 ай бұрын
Anatobolewa tena! Hamna kitu kama hicho ndugu.
@nestarnestar4520
7 ай бұрын
@@hamidayusuph4608 Nyie mait mnamuandaa VP kama hamtoboi? We unaekataa utakua hujui ukitaka kujua nachokisena kasome vitabu nyenu vinavoongea marehe na na jinx ya kumuandaa kwenda kumsitiri
@Evance15
7 ай бұрын
@@nestarnestar4520hujui chochote kuhusu uislamu kaa kimya sawa usiongelee vazi usilolivaa kwamaana hulijui hata kidogo🙏🙏🙏
@alhajisingano6590
6 ай бұрын
Wewe hujitambui
@sharomdguda
6 ай бұрын
Dunia hii omba tu mungu lkn bado haujafika mwisho unaweza kujikuta siku Moja wewe unakuwa muislam . Husijiapize 2
@hassanbakari45257 ай бұрын
MI SIO MKRISTU ILA NAMPENDA SANA HUYO MCHUNGAJI,,NOMA SANA
@omarikhalifa9413
7 ай бұрын
Unampendaje kafiri?
@idrisalimapema2539
7 ай бұрын
@@omarikhalifa9413hahahha
@hassanbakari4525
7 ай бұрын
SIPENDI UDINI WAKE,,NAPENDA AKILI YAKE.
@lulanjamd3886
7 ай бұрын
@@omarikhalifa9413Kafili mama yako
@user-wi1cn2pc4p
7 ай бұрын
Ukiona unampenda mtu anayechukiwa na Allah ktk kufru yake nasi na wewe unachukiwa na Allah!!!
@rajabumaziku9857Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
@amanmalima94026 күн бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@danielsamuel1278
Күн бұрын
Sisi hatutaki kuokoka ,tulikuokoka tumboni .yesu ni mtume wetu kama watume wengine .
@MyName-wd8cp7 ай бұрын
Bakwata sio dini ni taasisi, so msiwalaumu. Uislamu hauna taasisi.
@StevenmwawezaStevenmwaweza16 күн бұрын
Safi mtumishi
@rajabodhuman13007 ай бұрын
Mtu hawi muislamu kwa kupendezwa mavazi au muonekano wakiislama au kuongeya kiarabu bali nikwaku ukubali uislamu kwa moyo na kwa matendo yote aliyo amrisha Allah na mitumewe
@maulidipazi6770
7 ай бұрын
Namavazi pia .ukiambiwa vaa vazi la kiislam utavaa nini
@back2homemusic844
6 ай бұрын
Hakuna vazi la kiislamu... Kuna mavazi ya kiarabu, kwahiyo uisilamu ni uarabu? Kwamba hakuna waarabu wakristo? @@maulidipazi6770
@abubakarymaulidy56816 ай бұрын
Amefurahisha watu sana lkn pia ujumbe wake mnono sana tuuchukueni jamni
@user-yr5wj5bz4w7 ай бұрын
Waislamu wabinafs sana 🙌🙌🙌
@mirajiyombe1601
7 ай бұрын
Uislam pekee ndo wenye mfumo mzima wa maisha ya mwanadam ..ubinafsi haupo ila ktk Islam Kila kitu ni ibada naibada hiyo iwe imeamrishwa na mungu nasi binadam kwahiyo ukiona waislam jambo hawalitaki Hilo SI ibada nahakuliamrisha mungu
@mailacamillius7 ай бұрын
😂Hekima
@rahmarama56694 ай бұрын
Mungu ni Mungu Tu
@BONIPHACECHRISTOPHER-po5os2 ай бұрын
❤❤❤
@EfraimLoibanguti22 күн бұрын
Kupenda ndio Kila kitu Hawa wengine hawajui maana ya upendo..udini ni adui wa haki
@francjose95962 ай бұрын
🙏🏽
@donadimahala20 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@clustermqsir984019 күн бұрын
Njoo kwa sisi wa huku chini kutwa kubaguana
@abdulazackabdul18946 ай бұрын
🙏
@ShabaniKakongo-gy4eb6 ай бұрын
Allah akuongoze
@gervaslusinde1329Ай бұрын
Inapendeza sana kukaa na kukutana pamoja kwenye jumuia kama hii.
@kuruthumuhussein85278 күн бұрын
m namkubali San ananji
@emmanuelmchomvu26767 ай бұрын
Yaan waislam mnachuki, mwngne hta msikitini haendi ila roho mbya
@alhajisingano6590
6 ай бұрын
Na tunawachukia hasaa sio siri bal kuwachukia nyie kwetu n ibada
@evertheobald1811
2 ай бұрын
Hakuna mbingu hapo
@WinnieJvic
Күн бұрын
@@alhajisingano6590 😂😂😂😂😂 eti ibada
@MarthaJohn-jb1nr7 ай бұрын
Wasilamu kama wasilamu sasa na comments zao 😂😂😂😂
@benjaminngatunga39312 ай бұрын
Mungu awalinde viongoz wote wa dini
@mfalmekaitaba24253 ай бұрын
Diamond kwenda kwenye Tamasha la waikristo ni gumzo ila huyu kuja huku swaafiii hawalalami
@user-gf3oe3rz6c4 ай бұрын
Nampenda Sana uyu mchungaji hua anaongea ukweli
@gatimarwa75256 ай бұрын
Rahaaaaaa
@issakawaya83157 ай бұрын
Amependeza
@halson8279 күн бұрын
Dunia ilitakiwa iwe hivi....!
@muddybreezy45957 ай бұрын
Kwnn usiwe muislam mchungaj mbna unapendeza
@jeapaultchikuru7726
7 ай бұрын
Kwa sbb sio Haki yenu ni Haki ya wakristo kaja hapo sikwamapenzi yake kafwata mkwanja
@nestarnestar4520
7 ай бұрын
We awe na majini mchungaji wetu
@deograciakashaigili59736 ай бұрын
Huko ulikotoa mifano kuna kipindi wakristo walifuatiliwa sana na kuchoma kanisa. Umesahau Mchungaji? Watubu hapo kwanza!
@alhajisingano65906 ай бұрын
Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, Yaa Ma'asharal kuffaar: Zisikuchanganyeni hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)
@KassimJabu17 күн бұрын
Mzee wa vichekesho
@odilowairinga63247 ай бұрын
Napenda sana nikiona hivi, sio kukutana bar na clab ndo tunafurahi
@GraceJaphet-fr4jt3 ай бұрын
Mchungaji hananja , aise napatq mashaka na utumishi wako
@fajdikhamisi6087 ай бұрын
Ukumzi au ukumbi
@AbdallahDullah-gx2jo4 ай бұрын
Mtu wa mana kbc uyuu😅😅
@alimuhamed18305 ай бұрын
Mzee ukislimu itakua poa sana unamaadini yakweli
@mohammadoman89635 ай бұрын
Mie hii sijaelewa😢😢😢
@user-lx6hx2wb8g6 ай бұрын
Upendo ndio dini ya kweli
@athumanimtajih7 ай бұрын
Sasa unawalaumu masheikh kwan huyo Hananja katukana mtu au kasema baya gan,kiufup Waislam wa kileo hatuna maneno ya ushawishi wa mtu asiye muislamu kuvutiwa nasi,tumejawa na itikadi na utimu wa masheikh
Пікірлер: 305
Tanzania nakupenda sana nchi yangu tunahishi kwa kuheshimiana safi sana wazee wa BAKWATA
Inapendeza mbele za wanadamu na mbele za Mungu ndugu wakikaa pamoja
@esterstaphord5184
6 ай бұрын
Na kwa umojaa 😅
Tumefurahi Sana kumuona much. Wetu kujumuika na Ndugu zetu waislam! Tumefurahi Sana Sana Sana, hakika ametuwakilisha vyema. Tuishi Kwa Upendo, Mungu wetu sote!
Safi sana Mungu ni mmoja sisi sote ni WA Moja
Mwenyezi Mungu aendelee kutuwekea mkono wake tuendelee kuishi kama ndugu wa baba na mama mmoja.
Ufalme wa Mungu ukishuka watu wote wanakuwa wamoja maana Mungu wao ni mmoja.
@deograciakashaigili5973
6 ай бұрын
Hakika! Raha sana!
@Tandalesse
2 ай бұрын
Ila huyo MUNGU siyo Yesu.
@MiriusEliudi
2 ай бұрын
@@Tandalesse Yesu aliwakosea nini?😂😂😂
@soothingrelaxationsounds7461
5 күн бұрын
Haswaaaaa
Napenda mafundisho ya pastor❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huwa nafikiria ni muislamu pongezi mseto huu wa mawaidha ya kidini.mungu atujalie heri duniani
Allah bless and guide you mch Hananja... mtu wa ukweli... we love you
Nasoma comment za watu wenye kutafuta shari pasi na shari 😮
Unakuta anayeongelea mambo ya udini ana machafu kibao na pengine ana demu mkristo😂😂😂 lkn sasa kujifanya anaijua dini,mbinguni unaenda weye na roho yako mpendwa utahesabiwa mema uloyafanya kwa wenzako,uwepo wako Dunian umetenda nini,watu wangapi umewasaidia waenende kwenye njia njema,ayo ndo mambo ya msingi,achaneni na udini
@hawanassoro4607
7 ай бұрын
Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.
@hawanassoro4607
7 ай бұрын
Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.
Na mimi nimependa kwa mwaliko huu Ameen
Hananja hana baya mzee wangu
Daah mungu atusaidie sana na viongozi wa dini zote msikubali kuwaingiza waumini wote kwenye njia mungu asiyoipenda
Huwa namfuatilia sana maongezi yake huwa anachekesha huku akifikisha ujumbe,nikipenzi cha watu,Hongereni viongozi wa Dini kwa umoja wenu wa Dini zote kuwa kitu kimoja hapa Tanzania lazima hiwe na Amani kwani Amani inaanzia kwenye Upendo ndani ya Dini Zetu kupendana na hapa tunaona mchungaji amealikwa.Mungu ibariki Tanzania na watu wake aminaa.
Mungu awabariki kwa umoja huo YESU anakuja jihusishe
Wanaomponda huyu Mchungaji hawajui hata kitu chochote kwenye Dini 😁
@ChrisantEmanuely27
7 ай бұрын
Apo kakosea wapi
@SalamaAkilimali-ly3bu
6 ай бұрын
Kashaalikwa tayari
@gaudencekanut902
5 ай бұрын
Weee unaejua uko wap tukuoneee??
@shaffihsiraji3141
5 ай бұрын
@@gaudencekanut902 Sibishani na wanawake huna la kunambia wewe
@shamteabdala5424
3 ай бұрын
Huyu mzee nampenda sana sana sana mimi ni muislam ila huyu mzee nasoma mengi sana kwake na hii ndio Tanzania ninayo ipenda ❤❤❤❤
Kwa kweli Uislamu naupenda sana. Nilipofika Dar es Salaam niliishi na ndugu zetu wa waislam hakika nilipata ukalimu sana. Mungu ubariki uislam
@Chimamy5242
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Inzaghi809
6 ай бұрын
😂😂😂😂uslamu ni dini la kishetani
@idiidi-rq5gk
5 ай бұрын
Shetan n we mwenyewe
@fredducaunt
5 ай бұрын
@@idiidi-rq5gk mashetan yashaanza kuamka 😂😂
@MACHOYATAI-jk6fu
3 ай бұрын
Unasubili nini kajiunge na mashetani
Siku ya kusimama hukumuni kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake! Kwa sasa kinachotakiwa ni kuishi kwa umoja na furaha bila kubaguan! Siku ukifa ndip utajua ulichochagua hapa duniani kama kilikuwa sahihi au la! Je ukifa utaenda wapi???
Allah atupe mwisho mwema
Eee ALLAH wahifadh masheikh wetu wa kisalafi na uwaweke mbali na unafiq...... ✍️
@wazirihamisi6484
7 ай бұрын
Aamiyn
@AsneiNalou
7 ай бұрын
اللهم آمين
@kaayvingt-sept
5 ай бұрын
aamyn
Tatizo la waisilamu wana udini mwingi sana na ubaguzi" wakati Mungu nimmoja
@alhajisingano6590
6 ай бұрын
Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, zisikuchanganye hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)
@NuruSultani-ws1ny
9 күн бұрын
Kma ubaguz upo hananja ni muislam au ondoa upuuz uliojazwa katika akili yako mwehu ww
Its beautiful TANZANIA LOVELY LOVELY SANA 💕
Aliposema wake 1000 nikakumbuka Mazinge😊
Mashallah inapendeza sanaaa
Waisilamu watu...wa Shari, comments zenu, sio za kujenga, haziendani kama watu wa Mungu
Barakallahu fih
Mungu amjalie Pastor Hananja asilimu
@patricksebastian3593
Ай бұрын
Hayo ndio mawazo ya hovyo.
@rubenibernald6138
24 күн бұрын
Achaa bangiii unamanisha Hana mungu bwege weweee
@jescarwegoshola1754
17 күн бұрын
😅😅😅
Maasha Allah tabaaraka Allah, jamaa anakwepa munakasha, na anakwepa mpaka mahojiano na chombo cha habari, eti kwa sababu ni watu wa bidaa, wakati huo huo masalafi wanatumia youtube, facebook, twitter, instagram, vyote hivi ni vya makafiri, lakini hawaachi kuvitumia 😂
@EmmanuelMalando
5 күн бұрын
Acha ubaguzinallah apendi
hananja huna baya mungu akubar sana ❤
Silimu basi mchungaji walwahi umependeza Sana kuwa shene
Inapendeza sana ndg kukaa pamoja kama hii❤❤❤
Safii sana sote twaabudu Mungu mmoja!Tupendane!🙏
Maisha ya huyu mchungaji na himani yake naipenda sana
Mungu wetu anataka Upendo Na Aman
😅😂hamjawahi kuwa furaha ya kweli kama waliopata leo mashehe wenu kwa mchungaji mcheshi duniani
Love hananja
Sote ni ndugu , emwenyezi mungu udumishe udugu huu na utuepushe na shetani wabaya , inshallah 🙏
Nakupenda sana Hananj Allah akujaalie uwe muislam usife katika giza
@EzekielDebora-cd2ib
6 ай бұрын
Wewe ndo usife ktk Giza
Kuna watu awapendi khali kama hii😢😢 viongozi kucheka pamoja japo ata mara Moja kwa mwaka 😂😂😂
safi sana sina comment ni nasikia Raha tu kwenye nchi yangu kuona tupo pamoja Raha sana najivunia kuzaliwa Tanzania
Hekima nyingi Huyu🤣🤣
Mungu Ibariki Tanzania, tuanaishi pamoja bila kujali dini zetu
Mimi ni muislamu lakini napenda huu mchungaji Kwa manenyo ya hekima
Ni mtu makini sana aisee....😂😂😂😂
Allah atuongoze
Mtabaki mnaumana meno waumini lakini watumishi wa dini zote wakikutana ni AMANI tuu. 🤝🤝
Kapendesa alivyovaa kufia hananja...😂😂😂
wewe unaye sema asilimu ili imanishe nini toa kitu cha kujenga sio kubomoa ndio maana watu wanasema shule muhimu usikimbie umande mzee yani kaa ukijuwa mungu apendezwi na dini zetu kwa sababu zina unafki kusengenyana mungu hayupo sehemu yenye dhambi kaa ukijua mungu anapenda jambo moja tu matendo mema kumuelekea yeye na kumwabudu kwa roho na kweli na kusimama kwenye wito uliopangiwa ukiwa mtu wa kulukaluka uwezi kumpata mungu sehemu yako itakuwa jehanamu tu nawapenda wote wanaomwabudu mwenyezi mungu maana neno lake halitaludi bure ila wale wanaoabudu mizimu masanamu tusiwachukie kama tuna upendo alioagiza mungu tunatakiwa kuwaombea mungu awashushie baraka zake na neema wamjue mungu wa kweli .waislamu na wakristo mungu awape maisha ya kumsifu na kumwabudu kwa roho na kweli sio unafki mtazameni mungu msitazame dini zenu ni nzuri kwa sababu sinamwabudu mwenyezi mungu kila mtu aeshimu hekalu la mwenzie mungu awabariki nyote amina
Kiukwer mungu ibariki tanzaniy nawatu wake🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Inshaallah Allah akujaalie uwe muislam pastor
Kwanza anakili kwanini asifrai kwakua viongozi wadini zote wamekutana wanachanganua mema na mabaya Sasa unasikia oooo waisilamu wenzangu muwe makini Sasa umakini Gani pumbavu wewe muchamungu sio dini mwemba
Hii mzuri sana hii nimeipenda
😂😂😂😂Hana njaa mbavu zangu
Up sahihi
Hakika waislamu wana upendo sana
Aamiyn
😂😂😂😂😂Ila waslmu 😂😂😂😂😂😂😂wana nipaga raha mimi siyo kwa comment hizo 😂😂😂alf wenyew wakrsto hata awana mda na sisis😂😂😂ila sisi uwiiiiiiiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂nachek kama mazuri vile kumbe 😢😢
@ibnhassan9980
7 ай бұрын
Hicho ndicho chama cha B..
@NaomiSolomon-cj7hr
7 ай бұрын
❤❤❤Ndo ushangae
@rehemamapuga5789
2 ай бұрын
Nmekupenda bureeee
@user-xd2tg8eq1h
Күн бұрын
Uislam raha sana
Mimi maisha yangu siwez kuja kua muislamu, ndugu zangu natamani mngekua mnajua kama navojua mm khx huu uislaum, kwanza kabla hajawaza kua waislam muwe mnajaribu kuwauliza waislam viongozi kwann wanatumia kiarabu aslimia nyingi kuliko Kiswahili, kwasabb Weng hawajui kiarabu, Kwenye uislaum kunashida nyingi hata maiti bado anashida nyingi anavotobolewa na ndo maana anazikwa haraka haraka
@hamidayusuph4608
7 ай бұрын
Anatobolewa tena! Hamna kitu kama hicho ndugu.
@nestarnestar4520
7 ай бұрын
@@hamidayusuph4608 Nyie mait mnamuandaa VP kama hamtoboi? We unaekataa utakua hujui ukitaka kujua nachokisena kasome vitabu nyenu vinavoongea marehe na na jinx ya kumuandaa kwenda kumsitiri
@Evance15
7 ай бұрын
@@nestarnestar4520hujui chochote kuhusu uislamu kaa kimya sawa usiongelee vazi usilolivaa kwamaana hulijui hata kidogo🙏🙏🙏
@alhajisingano6590
6 ай бұрын
Wewe hujitambui
@sharomdguda
6 ай бұрын
Dunia hii omba tu mungu lkn bado haujafika mwisho unaweza kujikuta siku Moja wewe unakuwa muislam . Husijiapize 2
MI SIO MKRISTU ILA NAMPENDA SANA HUYO MCHUNGAJI,,NOMA SANA
@omarikhalifa9413
7 ай бұрын
Unampendaje kafiri?
@idrisalimapema2539
7 ай бұрын
@@omarikhalifa9413hahahha
@hassanbakari4525
7 ай бұрын
SIPENDI UDINI WAKE,,NAPENDA AKILI YAKE.
@lulanjamd3886
7 ай бұрын
@@omarikhalifa9413Kafili mama yako
@user-wi1cn2pc4p
7 ай бұрын
Ukiona unampenda mtu anayechukiwa na Allah ktk kufru yake nasi na wewe unachukiwa na Allah!!!
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@danielsamuel1278
Күн бұрын
Sisi hatutaki kuokoka ,tulikuokoka tumboni .yesu ni mtume wetu kama watume wengine .
Bakwata sio dini ni taasisi, so msiwalaumu. Uislamu hauna taasisi.
Safi mtumishi
Mtu hawi muislamu kwa kupendezwa mavazi au muonekano wakiislama au kuongeya kiarabu bali nikwaku ukubali uislamu kwa moyo na kwa matendo yote aliyo amrisha Allah na mitumewe
@maulidipazi6770
7 ай бұрын
Namavazi pia .ukiambiwa vaa vazi la kiislam utavaa nini
@back2homemusic844
6 ай бұрын
Hakuna vazi la kiislamu... Kuna mavazi ya kiarabu, kwahiyo uisilamu ni uarabu? Kwamba hakuna waarabu wakristo? @@maulidipazi6770
Amefurahisha watu sana lkn pia ujumbe wake mnono sana tuuchukueni jamni
Waislamu wabinafs sana 🙌🙌🙌
@mirajiyombe1601
7 ай бұрын
Uislam pekee ndo wenye mfumo mzima wa maisha ya mwanadam ..ubinafsi haupo ila ktk Islam Kila kitu ni ibada naibada hiyo iwe imeamrishwa na mungu nasi binadam kwahiyo ukiona waislam jambo hawalitaki Hilo SI ibada nahakuliamrisha mungu
😂Hekima
Mungu ni Mungu Tu
❤❤❤
Kupenda ndio Kila kitu Hawa wengine hawajui maana ya upendo..udini ni adui wa haki
🙏🏽
🙏🙏🙏🙏
Njoo kwa sisi wa huku chini kutwa kubaguana
🙏
Allah akuongoze
Inapendeza sana kukaa na kukutana pamoja kwenye jumuia kama hii.
m namkubali San ananji
Yaan waislam mnachuki, mwngne hta msikitini haendi ila roho mbya
@alhajisingano6590
6 ай бұрын
Na tunawachukia hasaa sio siri bal kuwachukia nyie kwetu n ibada
@evertheobald1811
2 ай бұрын
Hakuna mbingu hapo
@WinnieJvic
Күн бұрын
@@alhajisingano6590 😂😂😂😂😂 eti ibada
Wasilamu kama wasilamu sasa na comments zao 😂😂😂😂
Mungu awalinde viongoz wote wa dini
Diamond kwenda kwenye Tamasha la waikristo ni gumzo ila huyu kuja huku swaafiii hawalalami
Nampenda Sana uyu mchungaji hua anaongea ukweli
Rahaaaaaa
Amependeza
Dunia ilitakiwa iwe hivi....!
Kwnn usiwe muislam mchungaj mbna unapendeza
@jeapaultchikuru7726
7 ай бұрын
Kwa sbb sio Haki yenu ni Haki ya wakristo kaja hapo sikwamapenzi yake kafwata mkwanja
@nestarnestar4520
7 ай бұрын
We awe na majini mchungaji wetu
Huko ulikotoa mifano kuna kipindi wakristo walifuatiliwa sana na kuchoma kanisa. Umesahau Mchungaji? Watubu hapo kwanza!
Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, Yaa Ma'asharal kuffaar: Zisikuchanganyeni hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)
Mzee wa vichekesho
Napenda sana nikiona hivi, sio kukutana bar na clab ndo tunafurahi
Mchungaji hananja , aise napatq mashaka na utumishi wako
Ukumzi au ukumbi
Mtu wa mana kbc uyuu😅😅
Mzee ukislimu itakua poa sana unamaadini yakweli
Mie hii sijaelewa😢😢😢
Upendo ndio dini ya kweli
Sasa unawalaumu masheikh kwan huyo Hananja katukana mtu au kasema baya gan,kiufup Waislam wa kileo hatuna maneno ya ushawishi wa mtu asiye muislamu kuvutiwa nasi,tumejawa na itikadi na utimu wa masheikh
Hakun mchungaj hpo n wakala anaetak kuaribu ukristo kuwen macho wapendwa