MCH.RICHARD HANANJA AWAVUNJA MBAVU WA SONGWE.

AHSANTE KWA KUTAZAMA KAYUNI TV, TAFADHALI SHARE VIDEO HII KWA RAFIKI ZAKO.
TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YOTE YA KIJAMII KWA JINA LA @KayuniTV

Пікірлер: 45

  • @farushebyboy3459
    @farushebyboy3459 Жыл бұрын

    hata ukiwa umenuna utacheka tu mzee wangu mungu akuweke miaka mingi hapa duniani

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 Жыл бұрын

    Sichoki kumckiliza huyu mzee Kwa kweli

  • @magaraombogo7335
    @magaraombogo73353 ай бұрын

    Full of wisdom like Solomon

  • @salmahusen1294
    @salmahusen1294 Жыл бұрын

    Zehebu laukweli kiongoz anakuwa nahofu yamungu sksante

  • @tonnycharles9127
    @tonnycharles9127 Жыл бұрын

    Huyu mchungaji kuna kitu Mungu amempatia.anavitu vizuri sana

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын

    Huyu Bwana nampenda kweli!

  • @oscarlaurent4291
    @oscarlaurent4291 Жыл бұрын

    hongera sana kiongozi wa roho

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi Жыл бұрын

    Like father like.son,nakuelewa sana najiona mimi kwako mzee wangu Hananja,wewe ni mkweli asilimia Mia na umemeza mistari sio mchezo

  • @danielingogole1078

    @danielingogole1078

    Жыл бұрын

    Baba nakuitaji Sana mbeya mbalizi,napataje namba yako sm kimawasiliano zaidi kiuduma,mwalimu

  • @user-ni4hb4yo5g
    @user-ni4hb4yo5g7 ай бұрын

    Mchngaji wa kipekee duniani,kutoka Kenya tunakuombea mema katika huduma..

  • @edwardmagige3187
    @edwardmagige3187 Жыл бұрын

    Hicho kijamaa kimevaa kofia ya ccm chenyewe mkutano mzima duuu!!

  • @abdontabonwa6637
    @abdontabonwa6637 Жыл бұрын

    maneno yako huwa yananibariki sana baba

  • @enocknoa1265
    @enocknoa1265 Жыл бұрын

    Nkubari sana baba❤❤

  • @maandaliobandmbeyatz2345
    @maandaliobandmbeyatz2345 Жыл бұрын

    Special kwa Taifa letu huyu baba

  • @georgelukas1272
    @georgelukas1272 Жыл бұрын

    Big up sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Ninampenda sana❤.ubarikiwe Hananja.wewe siyo mnafiki😊

  • @mtemikana6714
    @mtemikana6714 Жыл бұрын

    Amina

  • @phestondalu
    @phestondalu Жыл бұрын

    Baba mungu akubari

  • @kasmilimseya6964
    @kasmilimseya6964 Жыл бұрын

    Huyo Mzee anajua

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 Жыл бұрын

    Asante much"

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Жыл бұрын

    Sijawahi kukinai kukusikiliza😂😂😂😂

  • @sonpwis865
    @sonpwis865 Жыл бұрын

    👏👏👏

  • @emmanueldaud8371
    @emmanueldaud8371 Жыл бұрын

    Namkubal uyu mzee

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Жыл бұрын

    Kiukweli uyu mzee ana kitu kikubwa sanaa ndani yake

  • @winstonwinner1298
    @winstonwinner1298 Жыл бұрын

  • @salumumkosano5407
    @salumumkosano5407 Жыл бұрын

    Uyu Hananja ni Mzee Majuto Namba Mbili kwa Kweli

  • @keithapeter7854

    @keithapeter7854

    Жыл бұрын

    Ni zaidi ya majuto

  • @assonmalisa8775
    @assonmalisa8775 Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @Dominic-op7ti
    @Dominic-op7ti Жыл бұрын

    Kweli neno ipo

  • @sesservicekateshmanyara5381
    @sesservicekateshmanyara538110 ай бұрын

    Rudia Tanzania Leo Leo .......kunakosa hapo au

  • @sarahmgalama3503
    @sarahmgalama3503 Жыл бұрын

    Aliyebarikiwa kabarikiwa tu,, huyu baba maneno yake hayachoshii

  • @akberyuda5950
    @akberyuda59505 ай бұрын

    HILI JEMBE

  • @samuelondieki9164
    @samuelondieki9164 Жыл бұрын

    Huyu naye namukubari vile anavyoweka mistari vilivyo

  • @bartholomeowmakoi158
    @bartholomeowmakoi158 Жыл бұрын

    Makoi

  • @leonardmpoli7607
    @leonardmpoli7607 Жыл бұрын

    Hananja unatisha

  • @johnkimaro2204

    @johnkimaro2204

    Жыл бұрын

    Huyu mzee ni hatar Yan mahubiri yako hayachoshi! Tembelea na makanisa yetu ya RC utupe neno

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 Жыл бұрын

    Amen

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @isaacponsian9184
    @isaacponsian9184 Жыл бұрын

    Most deeper man

  • @andrewndoli
    @andrewndoli11 ай бұрын

    Hananja wewe ndio sababu ya Mimi kuwa na moyo wa kwenda kusomea theology, nataka kuwa kama wewe mchungaji

  • @WatsonMagaga-bd4kh
    @WatsonMagaga-bd4kh Жыл бұрын

    😂😂

  • @cathmavindi9831
    @cathmavindi9831 Жыл бұрын

    Amen

  • @PetroDastani-tn6zh

    @PetroDastani-tn6zh

    5 ай бұрын

    Big up faza kwa kweli mtupu unaoutoa

Келесі