MCH. RICHARD HANANJA AWAACHA WATU HOI KWA KICHEKO WAKATIKA AKIFUNDISHA KWENYE KONGAMANO LA VIJAN

MNENAJI - MCH. RICHARD HANANJA
TUKIO - KONGAMANO LA VIJANA LA UREJESHO NA UAMSHO (RESTORATION & REVIVAL CONFERENCE)
MAHALI - MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"
TAREHE - JUNI 07.2022

Пікірлер: 88

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Жыл бұрын

    Biblia iko kichwani hongera sana mchungaji Mungu akubariki, nami nivuviwe huo upako kwa jina la Yesu amen

  • @titomagaga6665
    @titomagaga6665 Жыл бұрын

    Titus Ubarikiwe, Mungu atuinulie wengine wengi kama Mch Hananja

  • @desmondayoub5171
    @desmondayoub51712 жыл бұрын

    Honger san mchungaji una gusa vijana san ujumbe mzuri

  • @sophiapeter7843
    @sophiapeter7843 Жыл бұрын

    Napenda doctor Rose anavyokuwa pamoja na pastor.barikiweni Sana 🙏🙏🙏

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 Жыл бұрын

    Huyu mtumishi anakipawa cha ajabu aisee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior2 жыл бұрын

    DAAAAAAH!PASTOR ANA MADINI SANA NA UWEZO WA AJABU SANA.BE BLESSED!

  • @user-lf6jc9we6l
    @user-lf6jc9we6l2 ай бұрын

    MUNGU akubariki sana pastor kwa huduma yako njemaa sanaa na kwa mafunuo makubwa ya mafundisho ya biblia

  • @foibejustolukumay9817
    @foibejustolukumay9817 Жыл бұрын

    Yesu naomba karama kama ya huyu Mch anasoma bibilia Kwa kichwa Mungu Mpe maisha marefu Mch karibu karatu

  • @waridimushy22

    @waridimushy22

    Жыл бұрын

    Karibu jmn

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 Жыл бұрын

    Mimi naona ushindi kwa imani.. Hallelujah, hallelujah.

  • @estacdkarisa4705
    @estacdkarisa4705 Жыл бұрын

    Ameeen hallelujah mchungaji

  • @hagaikipua3666
    @hagaikipua3666 Жыл бұрын

    God bless u pastor

  • @petrakepher2122
    @petrakepher2122Ай бұрын

    Oooohhh my God! The God of Pastor Hananja, I will serve you Ebenezer.

  • @JosephAjali-kp3lg
    @JosephAjali-kp3lg10 ай бұрын

    Very inspiring indeed may God bless u

  • @elishamaabdu7775
    @elishamaabdu7775 Жыл бұрын

    Mwamba imara ubarikiwe pastor.

  • @peehmuki7271
    @peehmuki7271 Жыл бұрын

    God bless Apostle T. Mwangi now nmejua the secret ya kubarikiwa kwako ni kuheshimu na kuwatambua God's generals

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo402 жыл бұрын

    Muchungaji Mungu akutunze sana baba

  • @justinefrank2892
    @justinefrank28922 жыл бұрын

    Amen sana mtumishi

  • @elishamaabdu7775
    @elishamaabdu7775 Жыл бұрын

    Umeimeza baba mngu ukubariki sana

  • @godfreysekumbo1523
    @godfreysekumbo15232 жыл бұрын

    Ulijuaje paster

  • @yothamkalila2890
    @yothamkalila28902 жыл бұрын

    Ameen Ubarikiwe mtumish

  • @mercy342
    @mercy342 Жыл бұрын

    Biblia kichwani mungu nijalie kipawa hiki

  • @rosemkuye9612
    @rosemkuye9612 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mchungaji tunapona kwa masomo yako.

  • @user-wp3ml3yy1x
    @user-wp3ml3yy1x8 ай бұрын

    Hananja Mungu akubariki vifungu vipo kichwani duh!

  • @reginageorge1453
    @reginageorge1453 Жыл бұрын

    It good we want to see everyday

  • @peehmuki7271
    @peehmuki7271 Жыл бұрын

    I can see my Pastor Apostle T.Mwangi in the service

  • @ernestmvunyi6340
    @ernestmvunyi6340 Жыл бұрын

    Hongera zake mchungaji

  • @marymoshy6610
    @marymoshy66102 ай бұрын

    Mungu apewe sifa, hakika Neno la Mungu limenibariki.sifa na utukufu ni kwa Bwana. Naomba hy neema ya kusoma mstari na kuelewa na kuishi kwa Jina la Yesu. MUNGU MWEMA AKUTUNZE MNO.

  • @VincentKarithi

    @VincentKarithi

    Ай бұрын

    Ameni

  • @julytito3891
    @julytito38912 жыл бұрын

    Sema nimekukubali pastor yaan hasa pale unavyotema cheche kusemamistari Bible kwa kichwa bila kufungua ht biblia kweli umekula kitabu mtumishi

  • @mucochanella1672
    @mucochanella1672 Жыл бұрын

    Amen Mungu akubaliki sanaa

  • @kitukumutisya2209
    @kitukumutisya2209Ай бұрын

    Neema ikutoshe umenibariki sana asubuhi ya leo

  • @user-xr2ou6pf8t
    @user-xr2ou6pf8t9 ай бұрын

    Nilichelewa sana kukujua mtumishi wa Mungu Mungu akutunze baba

  • @pascokavishe6712
    @pascokavishe6712 Жыл бұрын

    I really love this astor

  • @konyakisinza11
    @konyakisinza113 ай бұрын

    Amina

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda37102 жыл бұрын

    Ameni Mtumishi.

  • @eliabubarankiliza682
    @eliabubarankiliza682 Жыл бұрын

    Kwakweli huyu mchungaji nimmenda bure biblia inasomwa kwa kichwaaa duuuu Mungu kambariki kwel

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 Жыл бұрын

    Namuona pastor t

  • @EmilyShali-vi6ir
    @EmilyShali-vi6ir Жыл бұрын

    Emilly Shali: Ameen barikiwa Sana mchungaji

  • @sammydzuya6939
    @sammydzuya6939 Жыл бұрын

    Pastor ubarikiwe xna Bibilia yote imo kichwani daah tupe siri mtumishi

  • @isakaandrea5056
    @isakaandrea5056Ай бұрын

    Aminaa

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Hatawaacha hoi sana huyo ila ufalme wa mungu unanyakuliwa na wenye nguvu. Sio kuchekeshwa

  • @dennisevarist
    @dennisevarist Жыл бұрын

    Hiki kichwa nakielewa sana, kinasoma Biblia pasipo kuifunua physically

  • @lulu24peter24

    @lulu24peter24

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂Amen

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Жыл бұрын

    Emen barikiwa umeponya moyo wngu

  • @MasudiAsumani-oz9ur
    @MasudiAsumani-oz9ur10 ай бұрын

    Injili ya moto

  • @tupokengwala2027
    @tupokengwala2027 Жыл бұрын

    Amen ! Amen

  • @gladyskerubo6075
    @gladyskerubo60756 ай бұрын

    Amen

  • @midianarushuli5612
    @midianarushuli5612 Жыл бұрын

    Anaweza kuvunja mbavu mtu

  • @euniceaidah
    @euniceaidah Жыл бұрын

    NIMEBARIKIWA SANA KWA BARAKA KENYA

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Жыл бұрын

    Huyu kwakweli ndiye mtumishi wa Mungu kichwa kimejaa mistari ya Biblia. Hakika Mungu yuko na huyu Mchungaji.

  • @agnesnangela2689
    @agnesnangela26892 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @lilgrray2892
    @lilgrray2892 Жыл бұрын

    Ameen

  • @obedysylvester3024
    @obedysylvester30242 жыл бұрын

    Naombeni namba ya hananja please

  • @user-sb4fj9iq6f
    @user-sb4fj9iq6f4 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @SaraShabani-sz4kl
    @SaraShabani-sz4kl8 ай бұрын

    Sanamu lake sijui tutakaaa kwa wapi

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 Жыл бұрын

    Ameeeni

  • @martinmvanda7816
    @martinmvanda7816 Жыл бұрын

    Amenifurahisha sana kuhusu teja aliyeingiza mkono kwenye mfuko wa rais wa mtaa

  • @geofreykomanya4968

    @geofreykomanya4968

    Жыл бұрын

    p

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu42475 ай бұрын

    Ee umesoma biblia .mtumishi

  • @jacksonjasson8823
    @jacksonjasson8823 Жыл бұрын

    Good

  • @nikutusyaangolile5931
    @nikutusyaangolile5931 Жыл бұрын

    Nyimbo za zambia

  • @darcinmubeza1560
    @darcinmubeza15607 ай бұрын

    Mzee wa hekima na busara

  • @elishamaabdu7775
    @elishamaabdu7775 Жыл бұрын

    Mngu nipe kama huu.

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Жыл бұрын

    MAFUNZO MAZURI

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 Жыл бұрын

    Hallelujah jesu anatangaza mema juu ya familia yangu..kwa jina la jesu.. AMEN

  • @mathiasteti1380
    @mathiasteti1380 Жыл бұрын

    3

  • @walterongeri4531
    @walterongeri4531 Жыл бұрын

    Sina maoni

  • @ahimidiwerishya8523
    @ahimidiwerishya8523 Жыл бұрын

    Pastor nipe siri ya kukariri mistari ya biblia dah kila mstari unao kichwani. Hii ni neema ya pekee sana sidhani kama una mpinzani dah!

  • @bernardmkuffya5171

    @bernardmkuffya5171

    Жыл бұрын

    Jitahidi sana unaposoma bibilia takatifu,uwe unaandika zile AYA ambazo umezipenda,au unahisia nazo na jitahidi kuziongea onapoongelea Mambo ya kidini na wenzio.Then hakikisha unazisoma kila siku.Ubarikiwe sana. Halafu yupo MTU mmoja Ni mkenya msabato,anaitwa Pastor Ndacha muangalie YOTUBE

  • @slaviousluambano2115

    @slaviousluambano2115

    Жыл бұрын

    Jifunze kusoma biblia Kila wakati na jitahidi kuyaishi hayo unayoyasoma 😃

  • @KevinCrala

    @KevinCrala

    Жыл бұрын

    Daaa mungu akutunze

  • @darcinmubeza1560

    @darcinmubeza1560

    7 ай бұрын

    Hana mpinzani

  • @faustinhommedetatnifasha9669

    @faustinhommedetatnifasha9669

    2 ай бұрын

    Fanya bibilia iwe lafiki Yako Fanya ulafiki n'a bibilia

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Жыл бұрын

    Mungu nipe akili kubwa

  • @irenematari6218
    @irenematari621810 ай бұрын

    Baba mchungaji ana biblia yote kichwani

  • @nzungubulay5666
    @nzungubulay56662 жыл бұрын

    Ameee kubwa mtumishi

  • @violetmuchunguzi7556

    @violetmuchunguzi7556

    2 жыл бұрын

    Mungu akubariki baba mchungaji.....

  • @janesekimweri1620

    @janesekimweri1620

    Жыл бұрын

    God bless you pastor

  • @nicolousmwakalengela2258
    @nicolousmwakalengela22587 ай бұрын

    Richard Hananja anavyohubiri anafanya Injili kuonekana nyepesi mno SASA HUBIRI wewe uone Shughuli

  • @midianarushuli5612
    @midianarushuli5612 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @user-vd7pp6sx9t
    @user-vd7pp6sx9t2 ай бұрын

    Q😊‐

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa35942 жыл бұрын

    Amen

  • @nahyahya7349
    @nahyahya734910 ай бұрын

    Amen

  • @milkambithe4622
    @milkambithe4622 Жыл бұрын

    Amen

Келесі