No video

Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na operation ya kusaka na kuwakamata wahalifu mbalimbali ambapo miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Polisi feki, wakabaji wa kutumia nguvu, wavunjaji wa nyumba pamoja na wahamiaji haramu ambao wanadaiwa kuingia nchini bila vibali maalum.

Пікірлер: 483

  • @maikomgwao4906
    @maikomgwao49066 жыл бұрын

    Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa

  • @ezekielmichaelmsigala8545
    @ezekielmichaelmsigala85456 жыл бұрын

    huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa

  • @kassimandrea8540

    @kassimandrea8540

    6 жыл бұрын

    Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.

  • @anthonyluhumbika4693

    @anthonyluhumbika4693

    6 жыл бұрын

    Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.

  • @komboomar8275

    @komboomar8275

    6 жыл бұрын

    Ezekiel michael Msigala swadakta

  • @shekhekhandereizer559

    @shekhekhandereizer559

    6 жыл бұрын

    ninomaa dom

  • @azizamwimbe9417

    @azizamwimbe9417

    6 жыл бұрын

    Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.

  • @BurhaniLiyau
    @BurhaniLiyau6 жыл бұрын

    MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU

  • @josephmpunta2662

    @josephmpunta2662

    6 жыл бұрын

    Watapata tabu sana

  • @stephenemganga3604

    @stephenemganga3604

    6 жыл бұрын

    Mwngne anardsha tumbo

  • @sauliali4877

    @sauliali4877

    6 жыл бұрын

    Ajali dar

  • @lucyshula5669

    @lucyshula5669

    5 жыл бұрын

    Kamanda safi sana unastahili pongezi umeitendea haki taaluma yako...

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65046 жыл бұрын

    Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo

  • @mohammedabdallah6390

    @mohammedabdallah6390

    6 жыл бұрын

    Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae

  • @mustaphahassan589

    @mustaphahassan589

    6 жыл бұрын

    Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtykzread.info/dash/bejne/lah72tunotOniqQ.html

  • @mimielias5422

    @mimielias5422

    6 жыл бұрын

    Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa

  • @davidmakwala6012

    @davidmakwala6012

    5 жыл бұрын

    Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.

  • @faridafarida4314

    @faridafarida4314

    4 жыл бұрын

    Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr84366 жыл бұрын

    Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏

  • @peterchesam5737
    @peterchesam57375 жыл бұрын

    Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz

  • @limokisuda4145
    @limokisuda41456 жыл бұрын

    dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV6 жыл бұрын

    Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah63906 жыл бұрын

    Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana

  • @mwanajumaomahundumla6504

    @mwanajumaomahundumla6504

    6 жыл бұрын

    mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka

  • @mohammedabdallah6390

    @mohammedabdallah6390

    6 жыл бұрын

    Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli

  • @p.kasongot979

    @p.kasongot979

    6 жыл бұрын

    mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma

  • @mwalukoerick2801

    @mwalukoerick2801

    6 жыл бұрын

    mohammed abdallah

  • @gregorychogelo2013

    @gregorychogelo2013

    6 жыл бұрын

    mohammed abdallah 😂😂😂😂

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын

    Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.

  • @romanarberti8150

    @romanarberti8150

    5 жыл бұрын

    mtanzania mzalendo

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t11 күн бұрын

    Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏

  • @user-tu8nm8wb4o
    @user-tu8nm8wb4o3 ай бұрын

    Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo80846 жыл бұрын

    Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M. Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo

  • @jensennashon6147
    @jensennashon61476 жыл бұрын

    Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula964210 ай бұрын

    Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea85406 жыл бұрын

    Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu

  • @labanakyoo4177
    @labanakyoo41772 жыл бұрын

    Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87626 жыл бұрын

    Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.

  • @JOSEPHASSENGA-jk2iu
    @JOSEPHASSENGA-jk2iu3 ай бұрын

    Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda71826 жыл бұрын

    Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana

  • @hajihansy9598
    @hajihansy95985 жыл бұрын

    Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul21352 жыл бұрын

    Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,

  • @jilindamalgwe1811
    @jilindamalgwe18115 жыл бұрын

    Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi

  • @thomassylivester6751
    @thomassylivester67515 жыл бұрын

    uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda71826 жыл бұрын

    Hahahahahaahs nimependa Kwa kauri mbio watapata tabusaaaaana muroto noma kama unamkubari gonga like hapa

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh43166 жыл бұрын

    nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅

  • @mindirajabu9039
    @mindirajabu90393 жыл бұрын

    Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏

  • @limokisuda4145
    @limokisuda41456 жыл бұрын

    toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa

  • @amandusmark3060
    @amandusmark30606 жыл бұрын

    Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,

  • @wechemakambo2182

    @wechemakambo2182

    6 жыл бұрын

    Aman Mark katokea Dar,Mkoa wa Kipolisi Temeke😆

  • @msafisoon3582

    @msafisoon3582

    6 жыл бұрын

    Aman Mark .

  • @divineidentity9445
    @divineidentity94455 жыл бұрын

    Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂

  • @anatorydesdery4593
    @anatorydesdery45936 жыл бұрын

    Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr65046 жыл бұрын

    Dodoma safiiiiiiiiii

  • @radhiambwana1792

    @radhiambwana1792

    6 жыл бұрын

    man jaruu jr safi kabsaaaa

  • @dttrnts392

    @dttrnts392

    6 жыл бұрын

    Achakurudisha tumbo.

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys6 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu6 жыл бұрын

    Halafu nyie mashoga kila video eti gonga like hapa mnaboa kinoma yaani

  • @paulinaprosper1154

    @paulinaprosper1154

    5 жыл бұрын

    Kwel as

  • @happypa2027

    @happypa2027

    3 жыл бұрын

    😁😅👌

  • @wasalimie11

    @wasalimie11

    3 жыл бұрын

    hha hata kwako tumefonga like haha 😂

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias99006 жыл бұрын

    Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    3 жыл бұрын

    Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags4106 жыл бұрын

    Natabiri huyu RPC atakuja kuwa IGP dah ananichekesha sana anavyoongea 😀😀😀😀

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman75216 жыл бұрын

    Utrafik gn matumbo kama vigoda nyoo munge nikaba mm pumbavu zenu ningewazalisha

  • @shehemzee8044

    @shehemzee8044

    4 жыл бұрын

    Hhhhhh asante

  • @KlemenceShirima-r6i
    @KlemenceShirima-r6i12 күн бұрын

    Kamanda upo vizuri

  • @mdzainb3722
    @mdzainb37223 жыл бұрын

    Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela

  • @pacxym3874
    @pacxym38746 жыл бұрын

    woooyooh!!!!!! Dodoma safi!!

  • @user-pk2ch7lu5e
    @user-pk2ch7lu5e2 ай бұрын

    Kamanda nakukubali sana kaz nzur

  • @remedymoody
    @remedymoody6 жыл бұрын

    RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂

  • @warsamemahamud1626
    @warsamemahamud16263 жыл бұрын

    This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community

  • @lonickmpumilwa
    @lonickmpumilwa3 жыл бұрын

    Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi

  • @omaryzuberi2897
    @omaryzuberi28976 жыл бұрын

    Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma

  • @swithinshayo8586
    @swithinshayo85864 жыл бұрын

    Hongera sana afande wa Dodoma.

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda26086 жыл бұрын

    Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.

  • @angelamartinchiteji2461
    @angelamartinchiteji24616 жыл бұрын

    Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..

  • @darweshathumans8302
    @darweshathumans83025 жыл бұрын

    Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr

  • @saddykayage6519
    @saddykayage65196 жыл бұрын

    Nampenda sana kamanda huyu

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika84146 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂Usiombe ushikwe na huyu kamanda

  • @lucasmhagama8166

    @lucasmhagama8166

    6 жыл бұрын

    sheillah chisika Aisee kweli 😂😂😂

  • @muhalito9011

    @muhalito9011

    6 жыл бұрын

    sheillah chisika 😂😂😂😂 hapo kazi tu

  • @michaelgissi3008

    @michaelgissi3008

    6 жыл бұрын

    sheillah chisika vp anachapa

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi12236 жыл бұрын

    Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi

  • @isaacbusungu9670
    @isaacbusungu96706 жыл бұрын

    kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana

  • @princessfettyrashidi2409
    @princessfettyrashidi24096 жыл бұрын

    Hayo makofi mdogo madogo huwa yananiacha hoi wallah 😁😁😁😁 watapata tabu sana

  • @emelinmshana6265
    @emelinmshana62656 жыл бұрын

    Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa15896 жыл бұрын

    safi kamanda Mtoto hapa kazi tu

  • @cassianandrewnyonyo2894
    @cassianandrewnyonyo28945 жыл бұрын

    Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee

  • @yohanajamestz9950
    @yohanajamestz99504 жыл бұрын

    Muroto baba uko vizuri

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson41746 жыл бұрын

    Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA

  • @simpeponestory7637
    @simpeponestory76376 жыл бұрын

    Amani kwako bro Yusuph

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba5946 жыл бұрын

    Hongera kwa kaz nzur RPC wangu kipenz...mtenda Kaz uliyetukuka

  • @ommyd7196
    @ommyd71963 жыл бұрын

    Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz

  • @user-qq8dj1rh9b
    @user-qq8dj1rh9b2 ай бұрын

    daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63655 жыл бұрын

    Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.

  • @dogowamwaza8519
    @dogowamwaza8519 Жыл бұрын

    Chapa kazi baba murotu

  • @maheligati2936
    @maheligati29364 жыл бұрын

    .safiiii kamada

  • @dannykyungay6527
    @dannykyungay65276 жыл бұрын

    Watapata tabu sanaaa kama unampenda kamanda hebu mwaga like za kutosha.anafaa sana hakika mazuri yasifiwe jamani mkoa umetakata...njo na Arusha kidogo 😂😂😂😂

  • @gileskandege4950
    @gileskandege49506 жыл бұрын

    Chapa kazi wajina

  • @lambooluseba8875
    @lambooluseba88756 жыл бұрын

    Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!

  • @williamlema9682
    @williamlema96826 жыл бұрын

    Safi sana kamanda mroto.

  • @christinamatrida6219
    @christinamatrida62196 жыл бұрын

    Alijua atasamehewa alivyo ulizwa utabadilika duuuuh kumbe Afande hayuko hivyo

  • @Neighborsjiran

    @Neighborsjiran

    6 жыл бұрын

    Christina Matrida .

  • @awadhirajabu3971

    @awadhirajabu3971

    6 жыл бұрын

    Nimependa ufanyavo kijana zurura upendavo ukiiba Dodoma utoki sio kukamata ovo eti uzululaji kwanza ushaidi tunauona live wewe askari ngangali na vijana wako

  • @paulinaprosper1154

    @paulinaprosper1154

    5 жыл бұрын

    Kama ni ww angexemaje ukwel duh

  • @pascalyfredynandy7220
    @pascalyfredynandy72205 жыл бұрын

    duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis53236 жыл бұрын

    😝😝😝😝ety kamchape,,huyu kamanda namkubali sn,,yupo sw ila minataka niwaambie kwa Dodoma mtapata tabu sn 🤣🤣🤣

  • @lucky9285
    @lucky92856 жыл бұрын

    Kamandaaaaa👏👏👏👏👏

  • @zegelibilishanga4761
    @zegelibilishanga47614 жыл бұрын

    Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà

  • @josephjoseph7348
    @josephjoseph73486 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga6 жыл бұрын

    we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya

  • @bakariathumani9011
    @bakariathumani90116 жыл бұрын

    Kazi nzuri

  • @rajabumlau5911
    @rajabumlau59115 жыл бұрын

    kamanda mm nakukubali sana nataman hata ungekuwa mkoa wetu wa tanga mana huku watu wanishi kiujanja sana

  • @mahamoudmakotaperfumes8788
    @mahamoudmakotaperfumes87882 жыл бұрын

    Daaaa uyuu kamanda natamanigi nipate hata mda wa kuonananae kama uongozi ungenipa ruhusu ya kuonana nae .. kwa ufupi namaswali mengi dhidi yake kwa kazi kubwa mzuri anayoifanya hakiki ni kiongozi wa mfano sana Hana mambo mengi. Bila shaka ni mtu wa Imani ya kiroho. Ujue hata ukimatwa na uongozi wake unahukumiwa Hali ya kuwa ujutii zaid ya kujifunza na hata adhabu unayopata huoni kama unaonewa pia hata ukirudi uraiani si rahisi kurudia kwenye uharifu Tena .na ukirudia jua wewe umeshindikana

  • @aishachambo3293
    @aishachambo32936 жыл бұрын

    Mzee upo vizuri

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay16545 жыл бұрын

    kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu

  • @tzviral7342
    @tzviral73426 жыл бұрын

    4:13 hapa alitamani kumlamba kofi. 😂 Eti _Mtu munene afya nzuri lakini muhalifu_ 🤣🤣🤣

  • @mohamedilashidimoyo4510

    @mohamedilashidimoyo4510

    3 жыл бұрын

    Sheria ifuate mkondo

  • @japhetnzunda5421
    @japhetnzunda54216 жыл бұрын

    Wanatakiwa makamanda kama hawa katika ichi hii nakukubali sana

  • @yohanambonankila932
    @yohanambonankila9326 жыл бұрын

    Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao

  • @silverrichard2975
    @silverrichard29756 жыл бұрын

    Siku akiwakamata waganga wa jadi matapeli nitacheka sana

  • @amiratomankazid4580

    @amiratomankazid4580

    5 жыл бұрын

    Silver Richard 😂😂😂

  • @joelsamson8752
    @joelsamson87526 жыл бұрын

    Safi sana kamanda unasafisha jiji

  • @akbardasilva2028
    @akbardasilva20286 жыл бұрын

    kamand mchapakaz 👏

  • @desultansaid3647
    @desultansaid36476 жыл бұрын

    Uko vzr mkuuu big up

  • @danielmahega5873
    @danielmahega58733 жыл бұрын

    Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama

  • @brandyjohnny7522
    @brandyjohnny75226 жыл бұрын

    wacha kurudisha tumbo😂😂😂😂

  • @AmCool_
    @AmCool_6 жыл бұрын

    Kamanda big up! 💪💪💪👏👏👏👏

  • @mwajumalugenja3895
    @mwajumalugenja38954 жыл бұрын

    Huo namkubali sana kamanda huyu bgp kwako mkuu

  • @monikamalingumu5532
    @monikamalingumu55323 жыл бұрын

    Mimi sinahamu inanibidi niombe ruhusa kazini mapema maana juzi tumechezea bapa za panga na cm ela wametunyan'ganya daah inauma Sana mungu tusaidie tunaogopa binadam kuliko wanyama

  • @geofreywadeya9972
    @geofreywadeya99726 жыл бұрын

    Safi sana kamanda Muroto

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster61466 жыл бұрын

    kwamba hayo majamaa yamepata vitambi kwa ajili ya wizi?😁😁

  • @denniskalisti2570

    @denniskalisti2570

    6 жыл бұрын

    Graphix Master apa lazima ucheke

  • @paulinaprosper1154

    @paulinaprosper1154

    5 жыл бұрын

    Yawezekana kuw aw cy

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri55566 жыл бұрын

    Du ksmanda anachapa kazi sana

  • @mtaloycegonzaga2594
    @mtaloycegonzaga25945 жыл бұрын

    Shukrani RPC, Tunaomba Patrol usiku maeneo ya chuo cha MIPANGO. Kuna wezi sana.

  • @mokhimji
    @mokhimji6 жыл бұрын

    Muroto Njoo Dar! Hapo kuna Polisi/Afsa Uhamiaji Feki moja yupo kazini maeneo za Samora kutoka miaka 15!! Sikutanii. Anajulikana na wote pale! Kazi zake kuwatapeli kina mama and watoto wa kihindi na expats! Kama kuna Mzalendo wa maana anataka kumkamata huyo Mshenzi basi nitumie ujumbe. Mie nilishamfikisha jamaa Central lakini walinizingua sana mpaka nikachoka.

  • @yakwetutv8525
    @yakwetutv85256 жыл бұрын

    Kamanda wewe nizaidi yakamanda mungu akubarik sana

Келесі