MOTO WA JWTZ KWA MAJAMBAZI PORINI KIGOMA WAKIJIWEKA FRESH NA MAZOEZI, RISASI ZAPIGWA JUU

Hili ni zoezi la vizuizi barabarani lilokua linafanywa na Jeshi la Wananchi JWTZ Mkoa wa Kigoma Kutafatuta wahalifu.
Wanajeshi hawa walikua kwenye mazoezi ya kijeshi yaitwayo Excise masika katika Pori la makere Wilayani kasulu mkoani kigoma ambapo pia walitumia muda huo kutoa funzo kwa madereva kutopakia watu ambao wanawakuta porini na sio kwenye vituo Maalumu.

Пікірлер: 873

  • @zotempyaonline8485
    @zotempyaonline84853 жыл бұрын

    Waliokuja kucheki video wakizani Ni majambazi kweli like apa twende sawa.. 🤣 1k zinatosha

  • @dalalihakweahakweya6662

    @dalalihakweahakweya6662

    3 жыл бұрын

    Yani hapo tulio juwa kama nijalibio ni wa chache sana wengi wana juwa nitukio lenye uhalisia kumbe ni wao kwa wao

  • @fatemaligalawa1918

    @fatemaligalawa1918

    3 жыл бұрын

    Yani nimepatikana🙆🙆

  • @fatemaligalawa1918

    @fatemaligalawa1918

    3 жыл бұрын

    Ningekuwa kwenyeiyo bas uharoungetoka full

  • @meshackmihayo7480

    @meshackmihayo7480

    3 жыл бұрын

    Maboya sana hawa

  • @scholamatogolo3493

    @scholamatogolo3493

    3 жыл бұрын

    Duuuu! Me mwenyewe nimerowa nimeangalia Mara mbilimbili 🙆

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary51213 жыл бұрын

    Wengi wenu mnaandika tuuu, ila kilichotokea ni kuwa hawa waliofanywa kama majambazi ni wanajeshi wenzao😍😍😍😍😍 wanafanya hivyo kuwapa funzo

  • @jaduclassic9982

    @jaduclassic9982

    3 жыл бұрын

    afadhali umelielewa hilo

  • @jacobomatandiko8341

    @jacobomatandiko8341

    3 жыл бұрын

    Yes

  • @gozibertbahema473

    @gozibertbahema473

    3 жыл бұрын

    Rm.

  • @spabiton7989

    @spabiton7989

    3 жыл бұрын

    Mko sawa Sasa kazi iendelee

  • @latwifuabduli7223

    @latwifuabduli7223

    3 жыл бұрын

    Kwani nani hajaelewa mzee?

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem71052 жыл бұрын

    😂😂😂😂🇰🇪 Kenyans should copy these kind of exercises......yaani zoezi kama hili Kenya halijawai fanywa,big up sana JWTZ

  • @khalifabdullahi355

    @khalifabdullahi355

    Жыл бұрын

    Masallaah

  • @drjbmsige4098
    @drjbmsige40983 жыл бұрын

    kama umejamba kama mimi uliposikia aaaaa anakombati ya jeshi huyu.. mikono juu😅😅😅😅

  • @hasnajuma5567

    @hasnajuma5567

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣😂😂😂🤌🤌

  • @shambaiddi4984

    @shambaiddi4984

    3 жыл бұрын

    Hivi ndiyo tunatakaa tanzania iwe kusiwee na watu wanaofikiria wanawezaa kuletaa tabiaa za kutakaa kutuchafuliaa nchi yetu ya amaani kwa kushirikiaanaa na watu wa nchi za jirani kuletaa ujambazi kutaka kutuharibiaa nchi yetu iliyojaaa upendo na amaani Lazima tulinde nchi yetu kwa mfano huu kuwa watanzaniaa tuko makinii

  • @shambaiddi4984

    @shambaiddi4984

    3 жыл бұрын

    Hiii ni kuonyeshaa kuwaa tunawezaakutafanyaa mambo yote Tukiwaaa na uzalendo wa kuipendaa nchi basi hili tu ni heshimaa kwa taifaa

  • @shambaiddi4984

    @shambaiddi4984

    3 жыл бұрын

    Serikali yetu na nchi yetu kazi iyendeleee heshimaa kwa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaa

  • @severindamian9233

    @severindamian9233

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @zynabomary4774
    @zynabomary47743 жыл бұрын

    This is our lovely Tanzanians.... Najivunia jeshi langu.... Salute.

  • @isaacthebrigadier5678

    @isaacthebrigadier5678

    3 жыл бұрын

    I love you mom

  • @anthonymaganjo1646

    @anthonymaganjo1646

    3 жыл бұрын

    Upuzi huyu

  • @obenitejailos7007

    @obenitejailos7007

    3 жыл бұрын

    Jeshi ya konyo

  • @khalifabdullahi355

    @khalifabdullahi355

    Жыл бұрын

    Abayosa tahay

  • @ronaldsariah8760
    @ronaldsariah87603 жыл бұрын

    Hongera sana. Mazoezi kama haya ni safi. Kuna siku katikati ya zoezi mtakamata vitu vya kweli. Nawapongeza sana

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula42543 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana JWTZ ni kweli wahalifu wanaishi pamoja na sisi pengine ni watu wa karibu kabisa lakini ni wahalifu.

  • @mohdbornyoung5061
    @mohdbornyoung50613 жыл бұрын

    Pongezi kwa kazi nzuri wanajeshi watanzani nikiwa kenya

  • @jamilasalum5236
    @jamilasalum52363 жыл бұрын

    Iko poa sana ila kwa Mimi mfano ningekuwepo kwenye hilo gar saa hii Nina drip ya saba ,,maana si kwa kushuka presha

  • @sharonchristian3711

    @sharonchristian3711

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @neemakaluwa536

    @neemakaluwa536

    3 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @thomaspatrick1021

    @thomaspatrick1021

    3 жыл бұрын

    Kunawatu walikojoa kabsa 🤣🤣🤣

  • @heromanmwamba5000

    @heromanmwamba5000

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @joookahjokah8430

    @joookahjokah8430

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @othumanomari1589
    @othumanomari15896 ай бұрын

    Congratulations jwtz❤️🇹🇿💪💪

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura67183 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰aisee nimependa wanajeshi warivokuwa wabunifu hongera zao mung awabariki na hawarinde na kila shar muirinde tz yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥

  • @thomaspatrick1021

    @thomaspatrick1021

    3 жыл бұрын

    Kunawatu walijikojolea

  • @johnalubeya5076

    @johnalubeya5076

    3 жыл бұрын

    Hii nimeipenda kazi mzuri sana

  • @mr.tabasamumedia9740
    @mr.tabasamumedia9740 Жыл бұрын

    Naamini sana jeshi langu la Tanzania 🇹🇿🔥🔥❤️

  • @frankub8107
    @frankub81072 жыл бұрын

    Safi sana from Burundi 🇧🇮, hapo bahati mbaya uko abiriya umekuwa umesafirisha bunduki, yani ndo utaamini kwamba umekwisha🤗🤗🤗

  • @RebekaNkoma-qd8fp
    @RebekaNkoma-qd8fp Жыл бұрын

    Tunashukuru Sana kwa umakini wa askar wetu mungu awatie nguvu Amina.

  • @samuelleonse9398
    @samuelleonse93982 жыл бұрын

    Mnafanya kazi nzuri kuelimisha jamii Yesu awaongoze salama.Ingekua vizuri kuakikisha Kila basi Lina lindwa na Wana jeshi Wawili mpaka 3 wawe wa navaanguo za kilaiya. Kwaajili ya kulinda Wana nchi.katika safari Yao,hili ikitokea vurugu yoyote ndani ya basi au katika sehemu yoyote update kudhibitiwa na kuwachukulua atua mala moja.! lakini Mungu awe namba Moja! Iyo itasaidia sana.

  • @manuelamahwera6090
    @manuelamahwera60903 жыл бұрын

    Kazi nzuri saaana maana watu wamekuwa waaharifu saaana siku hizi. Kwa zoezi hili lingefanyika mara kwa mara mikowani piya ili kuwapunguza. It was a good thriller and well acted👏👏. One love From London

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.71853 жыл бұрын

    Elimu nzuri Sana,Hongera kwa jeshi letu.

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 Жыл бұрын

    Well Done JwTZ adui atambue Jeshi la wananchi liko makini.

  • @charleskamili4074
    @charleskamili40743 жыл бұрын

    Wamewapotezea muda tu uwezi fanya mazoezi ya kijeshi kwa abilia kuna baadhi ya abilia wana presura kwa hizi pigo wanaweza wapoteza kizembe

  • @abdulyabubakar6247

    @abdulyabubakar6247

    3 жыл бұрын

    Na ingetokea vita je bado ungesema watu wana presha

  • @charleskamili4074

    @charleskamili4074

    3 жыл бұрын

    Jaribu kutofautisha wakati wa tatizo na wakati usio wa tatizo

  • @hassanmassaga2476

    @hassanmassaga2476

    3 жыл бұрын

    😆😆🙌kwani presura yenyewe inasemaje😆😆

  • @kabelwasalim6305

    @kabelwasalim6305

    2 ай бұрын

    Acha ujinga kwenye vitu vya msingi

  • @kibwanambelwa3268
    @kibwanambelwa32682 жыл бұрын

    hongereni sana wazee wa kazi nawakubali sana Mungu awatangulie katika kilinda na kutetea Taifa letu na sisi wanachi atusaidie kuwataja waarifu

  • @geeva99
    @geeva993 жыл бұрын

    Kumbe hii ni demo tu, kweli show kali ikiwa halisi 🔥🔥🔥

  • @fetychina3273

    @fetychina3273

    3 жыл бұрын

    We atali n,nyaitakutoka😀

  • @abubakarramadhan3071

    @abubakarramadhan3071

    3 жыл бұрын

    Hamna show yyte wanaajifunza kulinda amani ila sio vita halisi

  • @zamakharisalam6798

    @zamakharisalam6798

    3 жыл бұрын

    waache kupoteza muda waje uku mtwar mpakani kuongeza nguvu

  • @nyekingobwire6327
    @nyekingobwire63273 жыл бұрын

    Safi sana kwa mafunzo mazuri hongereni Kaka zetu nazani dereva kondakta wamejifunza

  • @emanuelyamany

    @emanuelyamany

    Жыл бұрын

    Mambo vipi

  • @feristherrenatus608
    @feristherrenatus6082 жыл бұрын

    Aah hongereni kwa kazi nzuriii na inayotufurahisha na sisi tunaowatazama🤝🤝🤝

  • @stevenmhina7222
    @stevenmhina72223 жыл бұрын

    Kwa kiasi flani sawa, tusipakie watu kwenye mapori. But Hii alert technic ya mafunzo ya tahadhali siyo nzuri sana, watu wanaweza kudhurika bila hatia. Kumbuka kuna watoto na wamama, pengine na wagonjwa mle kwenye basi, wamezingatia vipi afya zao katika kutekeleza hilo zoezi. Pia wanataka kutuambia, makondakta wawe wanakagua mabag ya abiria. Nashauri wangetoa mafunzo kwa wahusika maeneo maalum ya kazi na vituoni. Hizo operation zifanyike ktk uhalisia wake wakiwa na target info.. Siyo kwa lengo kama hilo la kuelimisha.

  • @fundikiraomary7111

    @fundikiraomary7111

    2 жыл бұрын

    Unaakili sana. Mi nimekuelewa🤜

  • @victorjames3730

    @victorjames3730

    2 жыл бұрын

    Hiyo hufanyika duniani kote mzee sio Tanzania tuu

  • @edirana5420

    @edirana5420

    2 жыл бұрын

    Nikwel kitendo hiki hakikuwa kizur kwa watu wote wanawez kuuwa kwa mshtuko afu jukumu anabeba nani

  • @elynego1654

    @elynego1654

    2 жыл бұрын

    Kula 5 umetisha sna

  • @hamidamer8849

    @hamidamer8849

    2 жыл бұрын

    @@edirana5420 utabeba ww apo

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe3 жыл бұрын

    So cool and best way to remind our mindset

  • @mdasad2148

    @mdasad2148

    2 жыл бұрын

    Huro zoez saf sana

  • @jimmymasika8836
    @jimmymasika88363 жыл бұрын

    Mungu atulindie nchi yetu iwe na amani siku zote hii mirindimo ya risasi isijekutokea nchi yetu pendwa ya Tz

  • @koplomuindi2023

    @koplomuindi2023

    2 жыл бұрын

    My friend we have the RECCE SQUAD hatari kulko hìi

  • @luqmanmohammed6543

    @luqmanmohammed6543

    Жыл бұрын

    Amin mungu atusadie kwahilo

  • @mahammadanhag4445

    @mahammadanhag4445

    9 ай бұрын

    Acha kuogopa ww mm napenda ickike km ukren

  • @jaminussanga3031
    @jaminussanga30313 жыл бұрын

    Jeshi letu liko vizuri ni hatari ukitaka lidipu kwa kwa ugaidi ama kwa uhalifu ndipo utajione waulize wa kibiti walilidipu walikiona cha moto, MUNGU IBARIKI NCHI YETU MUNGU YABARIKI MAJESHI YETU AMEN.

  • @herimwanyenza4103
    @herimwanyenza41033 жыл бұрын

    Hilo zoezi la Mafunzo kwa Vitendo Nimelikubali,Nimeli pigia SALUTE

  • @user-wj8ld4hq9c
    @user-wj8ld4hq9c8 ай бұрын

    Mmekosea Kama wahasi wangejiripua na warinda amani wetu msioneshe mricho jifundisha Saruti kwenu wakuu

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Жыл бұрын

    Saluuuuuuuuuuuute to you JWTZ.Wale wahuni wa M23 wanaujua moto huu.Big up sana.

  • @tumainimnzava320
    @tumainimnzava3203 жыл бұрын

    Abiria wetu wanawaza kufika tu! Bila kujua walioko ndani dah! Hii poa sana kwa jeshi la Tz

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana...big up

  • @salunyanda5448
    @salunyanda54483 жыл бұрын

    Ni habari njema nimeifurahia ni kweli kunawakati tunajisahau, hongera AYO kwa kufikisha ujumbe, By Salum

  • @mwitachacha6954
    @mwitachacha6954 Жыл бұрын

    Mungu awabariki kazi zur

  • @josephemmanuel3175
    @josephemmanuel31753 жыл бұрын

    Happy afadhali iwe hvo hvo demo ikiwa halisi wahesabu r.i.p

  • @kambiyusuf1329
    @kambiyusuf13293 жыл бұрын

    Big up xn kwa makamanda we2 wa jwtz. Zoezi nilikua "mswano" (zuri)

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika61733 жыл бұрын

    Kazi njema jameni nawatakiya Wanajeshi wetu kazi nzuri kuilida Inchi yetu ni njambo njema

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya20553 жыл бұрын

    Bora nikavamie mzinga wa nyuki mchana sio hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zolongOne

    @zolongOne

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @tatubadi9010

    @tatubadi9010

    3 жыл бұрын

    😅😅😅Af ww

  • @chussede3072

    @chussede3072

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣kosea njia ila co iyo

  • @fanuelsulle8144

    @fanuelsulle8144

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @exaudmbuya9306
    @exaudmbuya93062 жыл бұрын

    Nawapa Big up kwa Sana ndio makamanda wetu

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl3 жыл бұрын

    Manshalah mungu azid kuwapa uweled

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas47442 жыл бұрын

    Kazi mzuriii Sana wanajeshi ogereni

  • @emmanuelyohana8787
    @emmanuelyohana87872 жыл бұрын

    Hongereni jeshi la wananchi no Nazi nzuri sana

  • @onlyjesus7831
    @onlyjesus78313 жыл бұрын

    Dah!!!hawa jamaa ni hatarii huu ndo uzalendo tunao hitaji ndani ya nchi yeti MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64643 жыл бұрын

    Iwe halisia na endelevu kwa kushtukiza. Mingu tubariki watoto wa Tz

  • @filomenambilinyi5471

    @filomenambilinyi5471

    2 жыл бұрын

    Mngewahoji abilia ili tujue wamejifinza nini.

  • @ktvofficial.2693
    @ktvofficial.26932 жыл бұрын

    Every educative great job

  • @frederickfredepsywakilongo6941
    @frederickfredepsywakilongo69413 жыл бұрын

    kazi njema kwa jeshi letu la taïga💖💖💖jwtz

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi55283 жыл бұрын

    Nimeipenda hii

  • @mtaitamtaita3834
    @mtaitamtaita38342 жыл бұрын

    Kazi mzur san....n elimu kubwa san imetolewa hpo pongz ndug zang

  • @user-ex3gd6vu7h
    @user-ex3gd6vu7h Жыл бұрын

    Hongera kwa jwtz

  • @daudichristopher9460
    @daudichristopher94602 жыл бұрын

    Jambo jema Sana mungu azidi kuwalinda walinzi wa taifa letu

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu52433 жыл бұрын

    Haja ndogo ikipita halafu uambiwe ni zoezi sio kweli utajiona fala sana

  • @mwigakatumpula9817
    @mwigakatumpula98173 жыл бұрын

    Inaitwa usijaribu nyumbani 🤔🏃😃👏👏👏

  • @saidinammenje644

    @saidinammenje644

    3 жыл бұрын

    Siafiki mazoezi kwa njia hii kwani yaweza sababisha hata kifo

  • @maxwellezekiel4796
    @maxwellezekiel47963 жыл бұрын

    Big up sana maafande

  • @seifmohamed4893
    @seifmohamed4893 Жыл бұрын

    Mungu watie nguvu JWTZ uwape maisha marefu yenye amani na neema tele ameen

  • @davidmacharia5150

    @davidmacharia5150

    Жыл бұрын

    , easy and quick 87t and

  • @filaretoskimaro3959
    @filaretoskimaro39593 жыл бұрын

    Ili ni funzo nzuri sana,lazima madeva wawe makini saa zote na abiria wanaowapakia,wasiangalie tu pesa,na pindi watamhisi mtu yeyote watoe taarifa kwa wanausalama walio karibu.

  • @mauaally4831
    @mauaally48312 жыл бұрын

    Safi sana Tanzania bilaya majambàz inawezekana

  • @hamisigazza2838
    @hamisigazza28383 жыл бұрын

    Safi sana sema umakini unatakiwa kwa kila mmoja kuanzia kwa wenye magari na abiria wenyewe pia...

  • @selemanimtalika571
    @selemanimtalika5713 жыл бұрын

    Hawa ndio wanastahili kulipwa mishahara vizuri cyo wah wetu hamna wanachofanya bungeni

  • @mamasaahil6468

    @mamasaahil6468

    3 жыл бұрын

    Hizo ndo habar za kuongelewa sio Kila sik mm dangote mind na zari

  • @stylishgenius9886

    @stylishgenius9886

    2 жыл бұрын

    Wazo zury sn

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69723 жыл бұрын

    This is a very good example in our security system especially on the public transportation,job well done JKT🇹🇿👏👏👏

  • @lilianjustin9743

    @lilianjustin9743

    3 жыл бұрын

    Misaivi ningekuwa mbinguni kwa Baba

  • @f.a6043

    @f.a6043

    2 жыл бұрын

    Yeah! 👍🏿 You've spoken well but I would like to remain you that this is JWTZ not JKT

  • @dullahmiraji9255
    @dullahmiraji9255 Жыл бұрын

    Safi Sana kwa Ukaguzi Lazima Jeshi Kama Jeshi litambue vitu Ambavyo wewe Raiya wa Kawaida huwezi kuvigundua Safi Sana

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura32553 жыл бұрын

    Kama zoezi hili lilipangwa vizuri kwa ajili ya mafunzo itakuwa jambo safi sana..... Lakini kama ilishutukiza na abiria wa kawaida wakiwepo ndani ya gari... na kuwachelewesha safari yao.... hii ilikuwa matumizi mabaya ya nguvu ya kiutawala.....

  • @GoldenFirdausMedia

    @GoldenFirdausMedia

    Жыл бұрын

    Na kama kweli kungekuwa na wahalifu je? Wakakamatwa huoni kama ingelikuwa ni faida, sio kila kitu kubeza kumbuka wahalifu ni wat kama ww so kufanya ukaguzi ni muhimu hata kama watu safari yao itachelewa tusipende kubeza kila kitu na kuleta ujuaji

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31493 жыл бұрын

    walio kuja kucheki ii video wakizani ni majambazi wako wangapi?

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Жыл бұрын

    Nimeipenda duh..!!

  • @user-tu4sx5jj3g
    @user-tu4sx5jj3g7 ай бұрын

    Kwakweli Mimi nawashukuru sana tenasana kwajeshi lataifa kuchukua maamuzi yaulinzi barbrani kasababu watu hawataki kufanya kazi wao nikuwawinda binaadam wenzao kwanzi haowanao kamatwa nasiraha porini niwauwaji hao nikuwamalizatu nandio kukomesha ujambazi aina haja kuwapeleka polisi maoniyangu nihayo

  • @user-wx7mr9ts6f
    @user-wx7mr9ts6f6 ай бұрын

    Kwakweli sasa jishi linawajibika hongera mama hongera mkuu wa majeshi na wakuu wa vikosi nichini safi sana

  • @pyuritjuvenal7657
    @pyuritjuvenal76573 жыл бұрын

    Wako vizury good job💃

  • @fredynyandoro4266
    @fredynyandoro42663 жыл бұрын

    Safi sana wapiganaji wetu

  • @isaiahisaac7240
    @isaiahisaac724011 ай бұрын

    Big Up sanaa

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial41193 жыл бұрын

    Wengekuwa Wahalifu kweli JWTZ Wangeanza na Mabuti apo apo🔥

  • @AishaAisha-rh1fc

    @AishaAisha-rh1fc

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @villanybenson3005
    @villanybenson3005 Жыл бұрын

    Kazi nzur sana JWT

  • @idrisaramadhani2022
    @idrisaramadhani2022 Жыл бұрын

    Vizuri Sana Asante kesho ra kigoma

  • @user-gf9ej9nd8m
    @user-gf9ej9nd8m6 ай бұрын

    Ongeren sana ktk ayo mazoezi

  • @ramadhanyusuph7633
    @ramadhanyusuph76333 жыл бұрын

    Saluti sana mmejiongeza na kuwapa taadhali madeleza na abilia

  • @seifmohdtz2275
    @seifmohdtz22753 жыл бұрын

    Ningekua mmi Nipo hapo ningezimia2 kwakweli😂😂😂😂

  • @arafakiloli749

    @arafakiloli749

    3 жыл бұрын

    Hahaha 😂😂😂

  • @rifathoola8654
    @rifathoola86543 жыл бұрын

    Hilo ni zoezi zuri nawapongeza lakin wasikomee apo wafanye sehemu zote ili vitendo vya kialifu visiwepo pia mtakapo fanya zoezi ili maeneo mengine msitangaze hadharani kwani app adui anapata njia nyingine ya kufanya!, Ahsanteni.

  • @elmanichombe7198
    @elmanichombe7198 Жыл бұрын

    Safi ssna

  • @CharlesSenkala-eu7nx
    @CharlesSenkala-eu7nx Жыл бұрын

    Safi, siela,siela gof

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid82 жыл бұрын

    Ni sawa ila hofu yangu ni kwa raia waliosafiri na ilo basi wamelipokeaje ili

  • @user-jo1ww9sn1d
    @user-jo1ww9sn1d5 ай бұрын

    Mwanza mimi nawapa pongezi kubwa kwajuhudi zao zaa urinzi nausalama jijini Kigoma tz, mimi niii changuboy , muzalendo, tz

  • @kingomasta1220
    @kingomasta12202 жыл бұрын

    Kazi zurr lakini kwa nn mazoezi hayo wawe wana fanya kimya kimya kuliko kulusha mtandaon hv wakajuwa mbinu mahaduh

  • @abdulsefu4009
    @abdulsefu4009 Жыл бұрын

    Hongera JWTZ kwa Nazi nzuri

  • @happysanga6595
    @happysanga65953 жыл бұрын

    Nimependezewa na kusachi Kwan ndani ya mchezo unaweza kueabaini na najambazi mungu ibariki tz

  • @mahammadanhag4445
    @mahammadanhag44459 ай бұрын

    Ndiomana wakafa kzembe Kongo ao wanamgambo Bora

  • @bahatiraphael3396
    @bahatiraphael33962 жыл бұрын

    Nalipongeza sana jeshi letu la tanzania jwtz pia twajivunia kwahilo

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty97783 жыл бұрын

    Iyoo milio ya silaha walikuwa wasipige apo maana kuna watoto wadogo kwenye safari iyoo, na kuna wagojwa pia, ila sio mbayakufanya kitu kama icho ni silaha tu kupiga ni kosa kwa watoto na watu wagojwa

  • @benadethamagembe6949

    @benadethamagembe6949

    3 жыл бұрын

    Hizo ni blankoo ,yani risasi za mafunzo hazima mdhara kam unavyodhani na hata mlio wake ni wakaida kabisa

  • @vicentmakala4428
    @vicentmakala44283 жыл бұрын

    So great😎😃

  • @kidulaiyombe4735
    @kidulaiyombe47353 жыл бұрын

    Safi san dah kweli jw mpo juu

  • @alyasaluum1850
    @alyasaluum18502 жыл бұрын

    Yeah nimependa sana kwa hili somo

  • @samsonnyaronyo
    @samsonnyaronyo Жыл бұрын

    Huo ni ushambatu mazoezi yao ndo wafanyie kwa wananchi ujinga mkubwa

  • @henryjanuary5150
    @henryjanuary51503 жыл бұрын

    Safi sana jeshi letu

  • @omarymweta779
    @omarymweta7792 жыл бұрын

    Hapo kuna kosa hao wanajeshi wamelifanya , mara baada ya kugundua huyo abiria au muahalifu ana short gun hakupaswa awe na umiliki nayo , ilitakiwa apokonywe kwa maana angeweza kuwajeruhi au kusababisha vifo kwa wanajeshi wetu , but all in all nimeipenda hii operation/ hayo mafunzo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Ahsanteni jeshi mnafanya kazini vizuri

  • @andrewpetro6159
    @andrewpetro61592 жыл бұрын

    Thanks 💰

  • @jamesmutisyamuthiani6478
    @jamesmutisyamuthiani64782 жыл бұрын

    Wow!let us have learned a lesson

  • @godwinsokoni6069
    @godwinsokoni60693 жыл бұрын

    Mheshimiwa mabeo hongera kwa mafunzo mungu awatangulie ktk kuilinda nchi

  • @jeremiahyohana5807

    @jeremiahyohana5807

    Жыл бұрын

    Hy

  • @ZainabSuleiman-ti2wt
    @ZainabSuleiman-ti2wt6 ай бұрын

    Hongereni kwa mazoezi

  • @JuliethBarthazary-us5oi
    @JuliethBarthazary-us5oi Жыл бұрын

    Nivizur Sana madeleva kuwa makn

  • @yahayaomary5639
    @yahayaomary56393 жыл бұрын

    Safi sana ni mazoezi mazuri

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын

    Nzuri sana na ni hakika!

  • @ummimohammed9359
    @ummimohammed93593 жыл бұрын

    nzuri sana na iwe inafanyika kweli marakwamara

Келесі