MOTO WA JWTZ KWA MAJAMBAZI PORINI KIGOMA WAKIJIWEKA FRESH NA MAZOEZI, RISASI ZAPIGWA JUU
Hili ni zoezi la vizuizi barabarani lilokua linafanywa na Jeshi la Wananchi JWTZ Mkoa wa Kigoma Kutafatuta wahalifu.
Wanajeshi hawa walikua kwenye mazoezi ya kijeshi yaitwayo Excise masika katika Pori la makere Wilayani kasulu mkoani kigoma ambapo pia walitumia muda huo kutoa funzo kwa madereva kutopakia watu ambao wanawakuta porini na sio kwenye vituo Maalumu.
Пікірлер: 873
Waliokuja kucheki video wakizani Ni majambazi kweli like apa twende sawa.. 🤣 1k zinatosha
@dalalihakweahakweya6662
3 жыл бұрын
Yani hapo tulio juwa kama nijalibio ni wa chache sana wengi wana juwa nitukio lenye uhalisia kumbe ni wao kwa wao
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
Yani nimepatikana🙆🙆
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
Ningekuwa kwenyeiyo bas uharoungetoka full
@meshackmihayo7480
3 жыл бұрын
Maboya sana hawa
@scholamatogolo3493
3 жыл бұрын
Duuuu! Me mwenyewe nimerowa nimeangalia Mara mbilimbili 🙆
Wengi wenu mnaandika tuuu, ila kilichotokea ni kuwa hawa waliofanywa kama majambazi ni wanajeshi wenzao😍😍😍😍😍 wanafanya hivyo kuwapa funzo
@jaduclassic9982
3 жыл бұрын
afadhali umelielewa hilo
@jacobomatandiko8341
3 жыл бұрын
Yes
@gozibertbahema473
3 жыл бұрын
Rm.
@spabiton7989
3 жыл бұрын
Mko sawa Sasa kazi iendelee
@latwifuabduli7223
3 жыл бұрын
Kwani nani hajaelewa mzee?
😂😂😂😂🇰🇪 Kenyans should copy these kind of exercises......yaani zoezi kama hili Kenya halijawai fanywa,big up sana JWTZ
@khalifabdullahi355
Жыл бұрын
Masallaah
kama umejamba kama mimi uliposikia aaaaa anakombati ya jeshi huyu.. mikono juu😅😅😅😅
@hasnajuma5567
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂🤌🤌
@shambaiddi4984
3 жыл бұрын
Hivi ndiyo tunatakaa tanzania iwe kusiwee na watu wanaofikiria wanawezaa kuletaa tabiaa za kutakaa kutuchafuliaa nchi yetu ya amaani kwa kushirikiaanaa na watu wa nchi za jirani kuletaa ujambazi kutaka kutuharibiaa nchi yetu iliyojaaa upendo na amaani Lazima tulinde nchi yetu kwa mfano huu kuwa watanzaniaa tuko makinii
@shambaiddi4984
3 жыл бұрын
Hiii ni kuonyeshaa kuwaa tunawezaakutafanyaa mambo yote Tukiwaaa na uzalendo wa kuipendaa nchi basi hili tu ni heshimaa kwa taifaa
@shambaiddi4984
3 жыл бұрын
Serikali yetu na nchi yetu kazi iyendeleee heshimaa kwa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaa
@severindamian9233
3 жыл бұрын
Hahaha
This is our lovely Tanzanians.... Najivunia jeshi langu.... Salute.
@isaacthebrigadier5678
3 жыл бұрын
I love you mom
@anthonymaganjo1646
3 жыл бұрын
Upuzi huyu
@obenitejailos7007
3 жыл бұрын
Jeshi ya konyo
@khalifabdullahi355
Жыл бұрын
Abayosa tahay
Hongera sana. Mazoezi kama haya ni safi. Kuna siku katikati ya zoezi mtakamata vitu vya kweli. Nawapongeza sana
Kazi nzuri sana JWTZ ni kweli wahalifu wanaishi pamoja na sisi pengine ni watu wa karibu kabisa lakini ni wahalifu.
Pongezi kwa kazi nzuri wanajeshi watanzani nikiwa kenya
Iko poa sana ila kwa Mimi mfano ningekuwepo kwenye hilo gar saa hii Nina drip ya saba ,,maana si kwa kushuka presha
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@neemakaluwa536
3 жыл бұрын
🤣🤣
@thomaspatrick1021
3 жыл бұрын
Kunawatu walikojoa kabsa 🤣🤣🤣
@heromanmwamba5000
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joookahjokah8430
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Congratulations jwtz❤️🇹🇿💪💪
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰aisee nimependa wanajeshi warivokuwa wabunifu hongera zao mung awabariki na hawarinde na kila shar muirinde tz yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
@thomaspatrick1021
3 жыл бұрын
Kunawatu walijikojolea
@johnalubeya5076
3 жыл бұрын
Hii nimeipenda kazi mzuri sana
Naamini sana jeshi langu la Tanzania 🇹🇿🔥🔥❤️
Safi sana from Burundi 🇧🇮, hapo bahati mbaya uko abiriya umekuwa umesafirisha bunduki, yani ndo utaamini kwamba umekwisha🤗🤗🤗
Tunashukuru Sana kwa umakini wa askar wetu mungu awatie nguvu Amina.
Mnafanya kazi nzuri kuelimisha jamii Yesu awaongoze salama.Ingekua vizuri kuakikisha Kila basi Lina lindwa na Wana jeshi Wawili mpaka 3 wawe wa navaanguo za kilaiya. Kwaajili ya kulinda Wana nchi.katika safari Yao,hili ikitokea vurugu yoyote ndani ya basi au katika sehemu yoyote update kudhibitiwa na kuwachukulua atua mala moja.! lakini Mungu awe namba Moja! Iyo itasaidia sana.
Kazi nzuri saaana maana watu wamekuwa waaharifu saaana siku hizi. Kwa zoezi hili lingefanyika mara kwa mara mikowani piya ili kuwapunguza. It was a good thriller and well acted👏👏. One love From London
Elimu nzuri Sana,Hongera kwa jeshi letu.
Well Done JwTZ adui atambue Jeshi la wananchi liko makini.
Wamewapotezea muda tu uwezi fanya mazoezi ya kijeshi kwa abilia kuna baadhi ya abilia wana presura kwa hizi pigo wanaweza wapoteza kizembe
@abdulyabubakar6247
3 жыл бұрын
Na ingetokea vita je bado ungesema watu wana presha
@charleskamili4074
3 жыл бұрын
Jaribu kutofautisha wakati wa tatizo na wakati usio wa tatizo
@hassanmassaga2476
3 жыл бұрын
😆😆🙌kwani presura yenyewe inasemaje😆😆
@kabelwasalim6305
2 ай бұрын
Acha ujinga kwenye vitu vya msingi
hongereni sana wazee wa kazi nawakubali sana Mungu awatangulie katika kilinda na kutetea Taifa letu na sisi wanachi atusaidie kuwataja waarifu
Kumbe hii ni demo tu, kweli show kali ikiwa halisi 🔥🔥🔥
@fetychina3273
3 жыл бұрын
We atali n,nyaitakutoka😀
@abubakarramadhan3071
3 жыл бұрын
Hamna show yyte wanaajifunza kulinda amani ila sio vita halisi
@zamakharisalam6798
3 жыл бұрын
waache kupoteza muda waje uku mtwar mpakani kuongeza nguvu
Safi sana kwa mafunzo mazuri hongereni Kaka zetu nazani dereva kondakta wamejifunza
@emanuelyamany
Жыл бұрын
Mambo vipi
Aah hongereni kwa kazi nzuriii na inayotufurahisha na sisi tunaowatazama🤝🤝🤝
Kwa kiasi flani sawa, tusipakie watu kwenye mapori. But Hii alert technic ya mafunzo ya tahadhali siyo nzuri sana, watu wanaweza kudhurika bila hatia. Kumbuka kuna watoto na wamama, pengine na wagonjwa mle kwenye basi, wamezingatia vipi afya zao katika kutekeleza hilo zoezi. Pia wanataka kutuambia, makondakta wawe wanakagua mabag ya abiria. Nashauri wangetoa mafunzo kwa wahusika maeneo maalum ya kazi na vituoni. Hizo operation zifanyike ktk uhalisia wake wakiwa na target info.. Siyo kwa lengo kama hilo la kuelimisha.
@fundikiraomary7111
2 жыл бұрын
Unaakili sana. Mi nimekuelewa🤜
@victorjames3730
2 жыл бұрын
Hiyo hufanyika duniani kote mzee sio Tanzania tuu
@edirana5420
2 жыл бұрын
Nikwel kitendo hiki hakikuwa kizur kwa watu wote wanawez kuuwa kwa mshtuko afu jukumu anabeba nani
@elynego1654
2 жыл бұрын
Kula 5 umetisha sna
@hamidamer8849
2 жыл бұрын
@@edirana5420 utabeba ww apo
So cool and best way to remind our mindset
@mdasad2148
2 жыл бұрын
Huro zoez saf sana
Mungu atulindie nchi yetu iwe na amani siku zote hii mirindimo ya risasi isijekutokea nchi yetu pendwa ya Tz
@koplomuindi2023
2 жыл бұрын
My friend we have the RECCE SQUAD hatari kulko hìi
@luqmanmohammed6543
Жыл бұрын
Amin mungu atusadie kwahilo
@mahammadanhag4445
9 ай бұрын
Acha kuogopa ww mm napenda ickike km ukren
Jeshi letu liko vizuri ni hatari ukitaka lidipu kwa kwa ugaidi ama kwa uhalifu ndipo utajione waulize wa kibiti walilidipu walikiona cha moto, MUNGU IBARIKI NCHI YETU MUNGU YABARIKI MAJESHI YETU AMEN.
Hilo zoezi la Mafunzo kwa Vitendo Nimelikubali,Nimeli pigia SALUTE
Mmekosea Kama wahasi wangejiripua na warinda amani wetu msioneshe mricho jifundisha Saruti kwenu wakuu
Saluuuuuuuuuuuute to you JWTZ.Wale wahuni wa M23 wanaujua moto huu.Big up sana.
Abiria wetu wanawaza kufika tu! Bila kujua walioko ndani dah! Hii poa sana kwa jeshi la Tz
Kazi nzuri sana...big up
Ni habari njema nimeifurahia ni kweli kunawakati tunajisahau, hongera AYO kwa kufikisha ujumbe, By Salum
Mungu awabariki kazi zur
Happy afadhali iwe hvo hvo demo ikiwa halisi wahesabu r.i.p
Big up xn kwa makamanda we2 wa jwtz. Zoezi nilikua "mswano" (zuri)
Kazi njema jameni nawatakiya Wanajeshi wetu kazi nzuri kuilida Inchi yetu ni njambo njema
Bora nikavamie mzinga wa nyuki mchana sio hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣
@zolongOne
3 жыл бұрын
😂😂😂
@agathathobias8690
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@tatubadi9010
3 жыл бұрын
😅😅😅Af ww
@chussede3072
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kosea njia ila co iyo
@fanuelsulle8144
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
Nawapa Big up kwa Sana ndio makamanda wetu
Manshalah mungu azid kuwapa uweled
Kazi mzuriii Sana wanajeshi ogereni
Hongereni jeshi la wananchi no Nazi nzuri sana
Dah!!!hawa jamaa ni hatarii huu ndo uzalendo tunao hitaji ndani ya nchi yeti MUNGU IBARIKI TANZANIA
Iwe halisia na endelevu kwa kushtukiza. Mingu tubariki watoto wa Tz
@filomenambilinyi5471
2 жыл бұрын
Mngewahoji abilia ili tujue wamejifinza nini.
Every educative great job
kazi njema kwa jeshi letu la taïga💖💖💖jwtz
Nimeipenda hii
Kazi mzur san....n elimu kubwa san imetolewa hpo pongz ndug zang
Hongera kwa jwtz
Jambo jema Sana mungu azidi kuwalinda walinzi wa taifa letu
Haja ndogo ikipita halafu uambiwe ni zoezi sio kweli utajiona fala sana
Inaitwa usijaribu nyumbani 🤔🏃😃👏👏👏
@saidinammenje644
3 жыл бұрын
Siafiki mazoezi kwa njia hii kwani yaweza sababisha hata kifo
Big up sana maafande
Mungu watie nguvu JWTZ uwape maisha marefu yenye amani na neema tele ameen
@davidmacharia5150
Жыл бұрын
, easy and quick 87t and
Ili ni funzo nzuri sana,lazima madeva wawe makini saa zote na abiria wanaowapakia,wasiangalie tu pesa,na pindi watamhisi mtu yeyote watoe taarifa kwa wanausalama walio karibu.
Safi sana Tanzania bilaya majambàz inawezekana
Safi sana sema umakini unatakiwa kwa kila mmoja kuanzia kwa wenye magari na abiria wenyewe pia...
Hawa ndio wanastahili kulipwa mishahara vizuri cyo wah wetu hamna wanachofanya bungeni
@mamasaahil6468
3 жыл бұрын
Hizo ndo habar za kuongelewa sio Kila sik mm dangote mind na zari
@stylishgenius9886
2 жыл бұрын
Wazo zury sn
This is a very good example in our security system especially on the public transportation,job well done JKT🇹🇿👏👏👏
@lilianjustin9743
3 жыл бұрын
Misaivi ningekuwa mbinguni kwa Baba
@f.a6043
2 жыл бұрын
Yeah! 👍🏿 You've spoken well but I would like to remain you that this is JWTZ not JKT
Safi Sana kwa Ukaguzi Lazima Jeshi Kama Jeshi litambue vitu Ambavyo wewe Raiya wa Kawaida huwezi kuvigundua Safi Sana
Kama zoezi hili lilipangwa vizuri kwa ajili ya mafunzo itakuwa jambo safi sana..... Lakini kama ilishutukiza na abiria wa kawaida wakiwepo ndani ya gari... na kuwachelewesha safari yao.... hii ilikuwa matumizi mabaya ya nguvu ya kiutawala.....
@GoldenFirdausMedia
Жыл бұрын
Na kama kweli kungekuwa na wahalifu je? Wakakamatwa huoni kama ingelikuwa ni faida, sio kila kitu kubeza kumbuka wahalifu ni wat kama ww so kufanya ukaguzi ni muhimu hata kama watu safari yao itachelewa tusipende kubeza kila kitu na kuleta ujuaji
walio kuja kucheki ii video wakizani ni majambazi wako wangapi?
Nimeipenda duh..!!
Kwakweli Mimi nawashukuru sana tenasana kwajeshi lataifa kuchukua maamuzi yaulinzi barbrani kasababu watu hawataki kufanya kazi wao nikuwawinda binaadam wenzao kwanzi haowanao kamatwa nasiraha porini niwauwaji hao nikuwamalizatu nandio kukomesha ujambazi aina haja kuwapeleka polisi maoniyangu nihayo
Kwakweli sasa jishi linawajibika hongera mama hongera mkuu wa majeshi na wakuu wa vikosi nichini safi sana
Wako vizury good job💃
Safi sana wapiganaji wetu
Big Up sanaa
Wengekuwa Wahalifu kweli JWTZ Wangeanza na Mabuti apo apo🔥
@AishaAisha-rh1fc
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Kazi nzur sana JWT
Vizuri Sana Asante kesho ra kigoma
Ongeren sana ktk ayo mazoezi
Saluti sana mmejiongeza na kuwapa taadhali madeleza na abilia
Ningekua mmi Nipo hapo ningezimia2 kwakweli😂😂😂😂
@arafakiloli749
3 жыл бұрын
Hahaha 😂😂😂
Hilo ni zoezi zuri nawapongeza lakin wasikomee apo wafanye sehemu zote ili vitendo vya kialifu visiwepo pia mtakapo fanya zoezi ili maeneo mengine msitangaze hadharani kwani app adui anapata njia nyingine ya kufanya!, Ahsanteni.
Safi ssna
Safi, siela,siela gof
Ni sawa ila hofu yangu ni kwa raia waliosafiri na ilo basi wamelipokeaje ili
Mwanza mimi nawapa pongezi kubwa kwajuhudi zao zaa urinzi nausalama jijini Kigoma tz, mimi niii changuboy , muzalendo, tz
Kazi zurr lakini kwa nn mazoezi hayo wawe wana fanya kimya kimya kuliko kulusha mtandaon hv wakajuwa mbinu mahaduh
Hongera JWTZ kwa Nazi nzuri
Nimependezewa na kusachi Kwan ndani ya mchezo unaweza kueabaini na najambazi mungu ibariki tz
Ndiomana wakafa kzembe Kongo ao wanamgambo Bora
Nalipongeza sana jeshi letu la tanzania jwtz pia twajivunia kwahilo
Iyoo milio ya silaha walikuwa wasipige apo maana kuna watoto wadogo kwenye safari iyoo, na kuna wagojwa pia, ila sio mbayakufanya kitu kama icho ni silaha tu kupiga ni kosa kwa watoto na watu wagojwa
@benadethamagembe6949
3 жыл бұрын
Hizo ni blankoo ,yani risasi za mafunzo hazima mdhara kam unavyodhani na hata mlio wake ni wakaida kabisa
So great😎😃
Safi san dah kweli jw mpo juu
Yeah nimependa sana kwa hili somo
Huo ni ushambatu mazoezi yao ndo wafanyie kwa wananchi ujinga mkubwa
Safi sana jeshi letu
Hapo kuna kosa hao wanajeshi wamelifanya , mara baada ya kugundua huyo abiria au muahalifu ana short gun hakupaswa awe na umiliki nayo , ilitakiwa apokonywe kwa maana angeweza kuwajeruhi au kusababisha vifo kwa wanajeshi wetu , but all in all nimeipenda hii operation/ hayo mafunzo
Ahsanteni jeshi mnafanya kazini vizuri
Thanks 💰
Wow!let us have learned a lesson
Mheshimiwa mabeo hongera kwa mafunzo mungu awatangulie ktk kuilinda nchi
@jeremiahyohana5807
Жыл бұрын
Hy
Hongereni kwa mazoezi
Nivizur Sana madeleva kuwa makn
Safi sana ni mazoezi mazuri
Nzuri sana na ni hakika!
nzuri sana na iwe inafanyika kweli marakwamara