AYO TV YATINGA KWA OSAMA, ALIYEJENGA UKUTA MBELE YA GETI ZANZIBAR, AFUNGUKA MAZITO
Жүктеу.....
Пікірлер: 887
@eliasjoseph66 Жыл бұрын
Ndiomaana Taarifa za Ayo naziamini asilimia 100%.
@jehhus6126
Жыл бұрын
Wanamuonea osama yupo sahihi
@levinariziki1128
Жыл бұрын
😂😂😂😂acha bhn
@SUNNAH0001
Жыл бұрын
Usiwe na imani hio.
@lupogemini1064
Жыл бұрын
Kabisa
@shaxonboy Жыл бұрын
Huyu shekhe anaonekana ni msomi afu anaonekana ni very very humble, (maashallah)
@nishaabdula5015
Жыл бұрын
Kbs kwanza we mtu akupe sehemu yk bila kununuwa uyo mtu anaroho yk
@ramsikhamis7083
Жыл бұрын
Kabisaa dam yanguu 🤝🏾
@mamuumamuu1623
Жыл бұрын
Yann nimuelewa Sana ila ataonekana mbya na haswa hivo alivofuga ndevu serial yetu inaitikad Sana kama huamin acha tuone atambiwa ukuta avunje nahak haipat heee serekal hiii heee labda Rais mwinyi akione hiki kipindi na atende haki laki mmmnnn acha tuone tu subir mwenye get atasemaje
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Shukran shafii ila elimu yangu ni dogo sana na Mimi ni daifu sana cpendi malumbano
Huyu Mzee hata anavyoongea unaona tu ni mstaarabu,tena ni mstaarabu sana.Mungu ni Mwema ameshashinda hadi hapo!
@Pulse_tips
Жыл бұрын
Ndo Kashinda aisee ukuta umebomolewa
@justusmajabvi9194 Жыл бұрын
Yan brother anavyojieleza kwa asilimia Mia yuko sahihi Kabisa. Yan baadhi ya watu wenye wanaithaminisha kuliko watu waliowazunguka. Big up Sana sheikh wangu.
@enterenter7798 Жыл бұрын
Mashaa Allah nafsi iloshiba,, Akhy mkienda huko serikalini ukiona wanakukandamiza kidhulum waambie waje waonyeshe mwisho wapi wanataka bas we Sema na Mola wako nahakika muhukumu wa mwisho yupo Allah nahaki yamtu haipotei kbs ardhi ni jambo la Allah in shaa Allah Haki yako ipo
@hilmialiomar1983 Жыл бұрын
Brother mfasaha sana, Allah (SWT) akupe kiwanja chengine Peponi Ameen.
@@hilmialiomar1983 Ndio navitaka, naskia huko kuna mabikira pia.
@hilmialiomar1983
Жыл бұрын
Karibu kwenye dini ya uislam
@ngolwetv3523 Жыл бұрын
Maashaa Allah, Mzee wangu sheikh wangu Allah akulipe Kila la khayr akuzidishieee palipopungua akujaalie kiwanja, busatani miongoni mwa viwanja vya peponi 🤲🤲🤲 kwa hakikaa hizooo nd tabia za waislaam, Upole ukarimu maelewano
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Tatizo letu wazanzibari tumezoea vichochoro. Kila sehemu tunataka ujia tupate urahisi. Mwisho nyumba hazina stara. Sheikh wangu usijali, Allah atakupa kiwanja na qasri huko peponi. Allah akupe subra.
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Amin amin yaarab
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Umeona eee
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Alhamdulilah subra ninayo ndungu nashkuru sana
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 Bila ya shukraan akhy. Umeonesha busara, hikma na utulivu wa hali ya juu. Haki ya mtu haipotei. Allah atakulipa hapa duniani kabla ya akhera.
@fatimamohammed4745
Жыл бұрын
Ameen ya Rabb
@beatricepallangyo2821 Жыл бұрын
Niligundua kabisa kuwa mwenye gate ndo mchokozi. Pole sana Shekhe!!!!!
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Akhsante sheikh wangu
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
Umeeeonaee shekhee Yuko sawa
@micamathew2595 Жыл бұрын
Mzee baba siwezi kukulaumu maana upo katika haki yako! Hujamwonea mtu!! Ubarikiwe sana na Bwana.
@georgewashington981 Жыл бұрын
Natamani niwe kama huyu Shekhe very humble nimempenda
@AfricaYangu Жыл бұрын
Mara nyingi asiyetoa ushirikiano huwa ndio muonevu.
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika upo sahii nilijaribu sana twende vzr ila jamaa anaonekana kuwa Rafiki na mshauri wake mkubwa ni sheitwani Mana ana kibri (kiburi) hatari
@faridadondo2103 Жыл бұрын
Daah maa shaa Allah umetoa maelez vizur saan ila binadam wengin niwatata unawezaje kuzidish kiwanja Cha mtu
@magejuliani5293 Жыл бұрын
Huyu Jamaa mwingine mwenye mageti hebu muogope Mungu Japo kidogo kwa sasa unajiona mjanja lakini nafsi yako unajua unadhulumu hakii ya mwenzio jiandae Mungu atakushughulikia
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika kakika mungu ngio hakimu mwadilifu Mana mungu hahukumiwi na Hana haraka na cc anakuwa tutarudi kwake tu
@lusekelodaison8159 Жыл бұрын
Daaah sijui tumelogwa na nani? Tukiona picha tu tayari tunaweka maneno yetu, leo nimejua ukweli Huyu Ni Man of God, Mungu azid kumpa Nguvu zaid katika maisha yake ili aendelee kusaidia jamiii kwa ujumla
@simontamba1285
Жыл бұрын
Hatufundishwi kuishi kisheria
@Donrugi Жыл бұрын
Mtu wa mungu kabisa, hakuwa na shida na mtu. Mungu aendelee kuwa upande wake maana ni haki yake kabisa 🙏
@peterkatumaini9508
Жыл бұрын
Haki kuziba geti la jilani yake alipaswa kama jilani kakosea ange muelewesha jilani yake ona sasa ina mmubidi abomoe mwnzako anapo kosea usifuate makosa yake
@jumamomba9502
Жыл бұрын
Kashamuelewesha zaid ya mala moja lakini jeur
@10gb27
Жыл бұрын
Kiswahili chenyewe kinakupa tabu kuandika, sishangai kwaninu haujaelewa maelezo yake. Hana kosa huya brother. Aliyejenga nyumba ndio mwenye kiburi, huenda anatumia nafasi yake huko juu
@mariamutowi7084
Жыл бұрын
@Peter Katumaini kumbe we huna akili eee
@mariamutowi7084
Жыл бұрын
@@peterkatumaini9508 we huna akili na hujui kumuelewa mtu azungumzacho unaonesha shule ulikuwa wapata F ww, chekechea B mkubwa
@reganclarence4657 Жыл бұрын
Powerful....that is gentleman.....umeongea kwa ujasili.....🙌🙌🙌
Watu wakorofi serekali mpeni haki yake huyu baba na uyo aloweka geti arudishe hiyo sehemu alopewa mana hana shukrani!
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Sawa kabisa
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Kabisa
@vickhongole6611 Жыл бұрын
Brother muelewa Sana. Unaongea point Sana tu
@wazirmlogi7532
Жыл бұрын
Bado hatujausikia upande wa pili
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Huo ndio ukweli bro
@zuwenaabdallah7748
Жыл бұрын
Mi nilisema tokea mwanzo huyo aliyejenga kwanza ndo atakuwa mkorofi hawa wapemba huwa hawana matatizo kabisa na ardhi ukiwaomba mim niliongezewa nafasi na jiran yangu mpemba nikampa hela akakataa kabisa akasema we umeniomba hii ni ardhi usijali jiran🙏
@patrickmukundichalamila3038 Жыл бұрын
Millard Ayo habari zako ni Bull Bull,ila cameran awe anaenda tukio kuonyesha tukio lililoko...
@soudbako5925 Жыл бұрын
Kumbe jamaa yupo sahihi na na anamuogopa Mungu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika nakhofu na siku ya malipo siku isiyo na msada wa binaadam isipokuwa msaada wa Allah
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Hongera Millard ayo na timu yako
@abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын
Jamaaa amesimama kwenye haki na hana kosa kwa mujibu wa sheria
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Sijawahi mdhulumu mtu Wala sipendi kuona mtu anadhulumiwa mbele ya macho yangu kwa dhulma ni baya kuliko sumu
Pambaniya haki mpako mwisho Mtume swallalahu alayhi wa salam anasema atakaye kufa kwaku pambaniya haki yake uyo amekufa shahidi . Uwislam umeharamisha kuzulumu ao kuzulumiyana ki uzembe. Allah aweze kuwapatanisha kunako ili
Uko vzr brother wenye pesa wanajifanyaga jeuri na zarau na pesa zao ila umetumia uungwana sana mungu aendelee kukutia nguvu na ninahakika utalipwa zaidi ilo
@fedelinamahenge6649 Жыл бұрын
Mbona huyu kaka ana hofu ya mungu kabisa
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Naogopa siku ya malipo nitakapokwenda kusimamisha mbele ya Allah
@hidayaswai3119
Жыл бұрын
Ndio maana kufuata haki. Mwenye geti anapenda kesi za ardhi
@fedelinamahenge6649
Жыл бұрын
@@hidayaswai3119 tumwachie muumba wa mbingu na nchi👏
@hidayaswai3119
Жыл бұрын
@@fedelinamahenge6649 kweli kabisa
@happinessshilie4019 Жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akufanyie wepesi
@allikadir615 Жыл бұрын
Kwa maelezo Yako upo sahihi 🙏🙏pole sana
@ibrahimkibela8096 Жыл бұрын
Shekhe upo vizur sanaaa Sanaa Allah akusaidie Sana inshaallah
Jamaa mkarimu sana, Mungu akutunze, endelea kuwatumia watu wa Mungu
@Mimi-wf7mb Жыл бұрын
This man is very humble
@hijaabdalah9235 Жыл бұрын
Shekh allah atakufanyia wepesi. Ucjali
@livingstonemaarifabatawe9829 Жыл бұрын
DC alikurupuka pia , i love my country leaders 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@husseinchambau3015 Жыл бұрын
Shekhe hiyo story najua mwanzo mwisho lakn allah akusaidie kwenye haki yako ila huyu jarani yako akumbuke kuna kufa na hiyo arthi anayetaman hiyo siku ndo atajua kwann amegombania
Mwenyezi Mungu akujalie heri duniani na ahera.kaka
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Masha Allah brother upo sawa huna tabu na unaonekana ni mkweli na mcha mungu Allah akupe moyo huo huo
@lumumbasankara6388 Жыл бұрын
allah akufanyie wepesi
@maryamhannif897 Жыл бұрын
Mashallah maelezi yKo vizuri
@aldaghariaziyz6420 Жыл бұрын
Weldone my brother lets People's to know the truth,uo ndo ukwel na haufichiki
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kabisa bro
@andreakamugisha5953 Жыл бұрын
Uyo ndugu anaonewa lakini namsii aendelee na moyo uouo mungu atamlipia watu wanapenda arihdi kuliko kupendana wao
@salha6596 Жыл бұрын
Pole Sana shekhe
@idayamataifakey7813 Жыл бұрын
Pole sana uko sahihi kabisa 💯
@mrjaula7769 Жыл бұрын
Sio Kila shekhe ndio aonewe kizembe zembe 🤣🤣
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@Zanzibar-LandOfBlacks 😁😁
@alimahmoud358
Жыл бұрын
Umejielezea vzr lakini kutokana na rangi yako hutofanyiwa haki.maana huyo unae mlalamikia itakuwa mwenyeji serikalini
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika sitokubali kuonewa hata siku 1 na sikubali kuona mwengine pia anaonewa hiyo ndio itikadi yangu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
@@Zanzibar-LandOfBlacks hahahaha mtihani wangu ila me natumai hikma sana na hili litakaa sawa natumai jamaa hata kuniangaliya anakhofu na mimi Sasa kwa kweli subra ndio ngao yangu
@aishaabdul6241
Жыл бұрын
Yarabi
@imanibakili8028 Жыл бұрын
Yaan kwa kifupi hapo huyu mwenye nyumba itakuwa ana hela ndiyo maana analeta jeuri kwa mzawa, yaan ukiwa fukara unaishia kuonewa tyuu sasa kibali cha ujenzi kitolewe na serikali na waseme siyo sahihi🤔
@mozaummy327
Жыл бұрын
Zanzibar hakuna Hala ataondoka kama simaiti ataondoka mgonjwa akafe kwao uko
@imanibakili8028
Жыл бұрын
@@mozaummy327 😆
@rosellaabraham13
Жыл бұрын
@@mozaummy327 😅😅😅atapigwa visomo had ashangae.
@imanibakili8028
Жыл бұрын
@@rosellaabraham13 na Zenji kwa visomo jamani😄
@amriyalibent5900
Жыл бұрын
@@imanibakili8028 umeona tuna visomo km vyote mwenyewe avunja geti
@boniphacegervas8118 Жыл бұрын
Shekhe mtu safi kbsaaa hana hiyana na mtuu
@johninnocent3270 Жыл бұрын
Pole Sana ndg yangu mungu atakulipia haki yako Amin utapata zaidi ya hivyo
@enterenter7798 Жыл бұрын
Mashaa Allah Allah akuhifadh Akhy hossam ❤️❤️
@allymlanda3139
Жыл бұрын
Hii Dunia ni Mtihani mtu akiwa na pesa kiasi hudhani ameishika Dunia nzima, Tatizo hili halitoisha hadi watu wamjue mungu si kwa mbwembwe Bali kwa Haki si Batili
@ulaweboy9826 Жыл бұрын
Aya maupumbavu yako sana Tanzania nzima rushwa tupu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hatari sana
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kabisa kabisa wamezoweya Kila nyama za watu hawatoweza kuwacha
Ndio huyu jamaa kajieleza safi kwaharaka unaweza kuona watu huwa niwachokozi kisha wao hukimbilia kutafuta kuhulumiwa
@puretv8742
Жыл бұрын
Babaa ni kuhurumiwa sio ulivyo sema
@muddymdigo5164
Жыл бұрын
Aliejenga geti anaonyesha mkorofi ,kiburi na kujiona anavipesa vyke Hali hii Kama ni kule kwetu unamtupia jini tuu nyumba aione paaa mbwai mbwaiii tuu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
@@muddymdigo5164 hahaha hatarii me sipo hivyo Allah anatosha kwangu
@binseifalsuleimaniy503
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 wallah bro wew ni mtu moja mwenye hikama san mashalla kisha mfasah Allah akuzidishie ,yn nlip anza kuskliza tu skutaka kukata njiani kwa jinsi unavo fahmika
@omarinjoka7467
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 Allah akuhifadhi Akhiii
@oscarmkumbo7451 Жыл бұрын
Shekhe haki yako ipo palepale, hakika unahofu ya mwenyezi Mungu
@bonemwaminifu3935 Жыл бұрын
Mtangazaji uko vzr
@kayeric4353 Жыл бұрын
... Daah pole Shekhe. Mungu atakusimamia
@ngayaimkwe5175 Жыл бұрын
Huyo mzee yupo sawa sana
@mikidadijoseph5612 Жыл бұрын
Kinacho mponza shekh n upole na Iman aliokuwanayo
@emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын
upo vizuri
@binseifalsuleimaniy503 Жыл бұрын
Wallah wew ni mtu moja mwenyw hikm saan Allah akuzidishie ufasaha
@EREVUKATV Жыл бұрын
Camera man mshamba sana leo ... Hayuko senstive kabisa yan unaoneshw kule unaendelea kuwek camera apo apo Nyau kwel
@storyzatowntz
Жыл бұрын
Kafeli Sana aisee mjinga
@coin9007
Жыл бұрын
Yaani sijui mweny Geti ni baba yake? 💩😂😂😂
@husseinjongo4219 Жыл бұрын
Kawaida yabinadamu huwa hangali anapokwenda huangalia alipo mwenye geti ndomwenye makosa lakinini anaonekana hana makosa uazulumu haliyakua unajua hii zulma kuna serekali lakini tukumbuke kuna mungu uazulumu ardhi badae tunaenda kuingia kwenye tumbo la iyoyo ardhi allah akupe subra
Allah akulipe....sisi mtu katia ukuta juu ya karo ya nyumba ya marhem babaangu....na ametrtuka na ni nafasi yetu kufa kwa baba nass wadogo tulikuwa akafanya mambo yke..ila mashangazi na baba wadogo kimyaa kwakuwa walitaka mali...tu....sisi wallah hatukumuuliza mwenye nguvu mpishe apite....znz dhulma za ardhi nyingi sana
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Poleni sana na nyinyi Zanzibar ilikuwa kitovu Cha dini Sasa ni chuo na ufisadi dhulma uharamiya na uchafu kwa kweli Sasa Zanzibar inatajika vibaya sana
@neemafatu471 Жыл бұрын
Cha kushangaza huyo mwenye geti ndio anaweza shinda kesi. ALLAH AKUSIMAMIE ILI USHINDE. AAMIIN
@ayoubpapiy6692
Жыл бұрын
Siyo inawezekana ameshinda kesi kabisa😁😁😁hii ndiyo Zenji
@khaleedabdallah4678
Жыл бұрын
Zenji mwenye ndugu serikalini HANA MAKOSA
@bushowadidi7518
Жыл бұрын
Points
@elidadinyalemaelidadinyale3686 Жыл бұрын
Mzee Yuko na akili mingi Sana🙏🙏
@monicageorge2181
Жыл бұрын
Ana akili sio kidogo man
@ht_Prince Жыл бұрын
zimegonga ukuta 🤣 nicely done
@haroubsalim779 Жыл бұрын
Anaonewa mnyonge mwenye sehemu yake, Lakini huyo mwengine hata kufungua hataki nahisi kwakua anajulikana kinafasi
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Mshenzi huyu wa tabia dhalim mkubwa me namuachia Allah tu ndie hakimu mwadilifu yeye mwache ategemee viongozi
"Iogopeni Dua 🤲🏽 ya mtu aliyedhumiwa ni Hakika Haina pazia."
@ashuhunamohamed7997
Жыл бұрын
Sahihi kabisa
@arqamibnarqam.7185
Жыл бұрын
@@ashuhunamohamed7997 Naam hakika ukhty .
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Hakika
@mmadiausiy9810 Жыл бұрын
Kuladhimisha dhulma ni kukosa sifa katika uongozi ardhi tunoihalalisha kwa wengine ni makaburi ya wengine pia! Kutwa Tumo misikitini lakini tunasahau kama dua ya mwenye kudhulumiwa huwa ina nguvu!
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kukizoweya dhulma huwezi kuliona Hilo nasawa na anaekula nyama ya mtu ataendelea tu hawezi ACHA kirahisi ndio akina hao
@mmadiausiy9810
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 sawasawa kabisa
@maxlattinokiki8105 Жыл бұрын
Safi sana ustadhi kaeleza vizuri ila napenda kutowa angalizo binadamu tuwache tamaa jenga pale ulipo nunuwa !! Ardhi ukidhulumu hatuwa moja tu basi hukumu yake ni kubwa
@hemedykayonko4109
Жыл бұрын
Tunanunua viwanja vidogo tunataka nyumba kubwa
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Kka upo sahihi Allah akulinde na Maadui lnshallah
@zainabually8953 Жыл бұрын
Daah polee sana akhy Mungu atakulipa nyumba nzuri Akhera hakika hii dunia si chochote
Dunia hii tusipende kuhukumu kabla ya kusikiliza, HUYU jamaa alikuwa anaonekana mkolofi baada ya picture HIZI kusambaa
@ismailmsangule1380 Жыл бұрын
Kumfanyia kiburi anayejisifia ujinga kwa kiburi ni swadaqag vizuri saana
@luganomasebo6606 Жыл бұрын
Kwa maelezo haya shekhe huna shida kabisa
@ulimbombonaulindi5088 Жыл бұрын
Maashallah. Ndugu ana mapenzi na binadamu wenzake na amejaaliwa busara na subira. Ningekuwa mimi nmempa fair mtu halaf ananiletea ubabe angebomoa hiyo nyumba. Allah akuongezee.
@telaamtauta2227 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakukinga na kishari na balaa la wajaa maanq hapo ukweli tumesha ujuwa watu wakivumisha siyoo
@himnasalum2424 Жыл бұрын
Jamaaa ana kiburi uyo kwa vijisent vyake babu ndevu inaonesha upo sahihi muache na ushamba wa pesa zake geti ndo lipo ilo .
@eenpaard3915 Жыл бұрын
hiyo nyumba inawezekana akawa anaishi mtu wa serikali 🤣
@leokamil6284
Жыл бұрын
Nahisi hivyo hao ndio waonevu
@OmanOman-dd5qkАй бұрын
Kaka pôle sana namiyalinikuta hayo jeuli mwenzie kusudi
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Upo vizuri sana shekhe pamoja na Millard Kwa kutoa habari za uhakika
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Vita ni vita murua, nilijua tuu hy alie weka geti atakuwa mkorofi
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kakika dada yangu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Me ckuwa Wala sitokuwa na ubaya nae naogopa siku ya malipo coz hakuna msaada wa serikali huko Wala jirani huko ni rehma ya Allah tu
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 In shaa Allah, Allah akujaalie moyo huo huo
Пікірлер: 887
Ndiomaana Taarifa za Ayo naziamini asilimia 100%.
@jehhus6126
Жыл бұрын
Wanamuonea osama yupo sahihi
@levinariziki1128
Жыл бұрын
😂😂😂😂acha bhn
@SUNNAH0001
Жыл бұрын
Usiwe na imani hio.
@lupogemini1064
Жыл бұрын
Kabisa
Huyu shekhe anaonekana ni msomi afu anaonekana ni very very humble, (maashallah)
@nishaabdula5015
Жыл бұрын
Kbs kwanza we mtu akupe sehemu yk bila kununuwa uyo mtu anaroho yk
@ramsikhamis7083
Жыл бұрын
Kabisaa dam yanguu 🤝🏾
@mamuumamuu1623
Жыл бұрын
Yann nimuelewa Sana ila ataonekana mbya na haswa hivo alivofuga ndevu serial yetu inaitikad Sana kama huamin acha tuone atambiwa ukuta avunje nahak haipat heee serekal hiii heee labda Rais mwinyi akione hiki kipindi na atende haki laki mmmnnn acha tuone tu subir mwenye get atasemaje
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Shukran shafii ila elimu yangu ni dogo sana na Mimi ni daifu sana cpendi malumbano
@ally1702
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 mbona mamlaka tayari ishasema ukuta uvunjwe
Huyu Mzee hata anavyoongea unaona tu ni mstaarabu,tena ni mstaarabu sana.Mungu ni Mwema ameshashinda hadi hapo!
@Pulse_tips
Жыл бұрын
Ndo Kashinda aisee ukuta umebomolewa
Yan brother anavyojieleza kwa asilimia Mia yuko sahihi Kabisa. Yan baadhi ya watu wenye wanaithaminisha kuliko watu waliowazunguka. Big up Sana sheikh wangu.
Mashaa Allah nafsi iloshiba,, Akhy mkienda huko serikalini ukiona wanakukandamiza kidhulum waambie waje waonyeshe mwisho wapi wanataka bas we Sema na Mola wako nahakika muhukumu wa mwisho yupo Allah nahaki yamtu haipotei kbs ardhi ni jambo la Allah in shaa Allah Haki yako ipo
Brother mfasaha sana, Allah (SWT) akupe kiwanja chengine Peponi Ameen.
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
@lawmaina78
Жыл бұрын
Huko peponi mnavyo viwanja?
@hilmialiomar1983
Жыл бұрын
@@lawmaina78 ndio vipo ww unataka
@lawmaina78
Жыл бұрын
@@hilmialiomar1983 Ndio navitaka, naskia huko kuna mabikira pia.
@hilmialiomar1983
Жыл бұрын
Karibu kwenye dini ya uislam
Maashaa Allah, Mzee wangu sheikh wangu Allah akulipe Kila la khayr akuzidishieee palipopungua akujaalie kiwanja, busatani miongoni mwa viwanja vya peponi 🤲🤲🤲 kwa hakikaa hizooo nd tabia za waislaam, Upole ukarimu maelewano
Tatizo letu wazanzibari tumezoea vichochoro. Kila sehemu tunataka ujia tupate urahisi. Mwisho nyumba hazina stara. Sheikh wangu usijali, Allah atakupa kiwanja na qasri huko peponi. Allah akupe subra.
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Amin amin yaarab
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Umeona eee
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Alhamdulilah subra ninayo ndungu nashkuru sana
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 Bila ya shukraan akhy. Umeonesha busara, hikma na utulivu wa hali ya juu. Haki ya mtu haipotei. Allah atakulipa hapa duniani kabla ya akhera.
@fatimamohammed4745
Жыл бұрын
Ameen ya Rabb
Niligundua kabisa kuwa mwenye gate ndo mchokozi. Pole sana Shekhe!!!!!
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Akhsante sheikh wangu
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
Umeeeonaee shekhee Yuko sawa
Mzee baba siwezi kukulaumu maana upo katika haki yako! Hujamwonea mtu!! Ubarikiwe sana na Bwana.
Natamani niwe kama huyu Shekhe very humble nimempenda
Mara nyingi asiyetoa ushirikiano huwa ndio muonevu.
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika upo sahii nilijaribu sana twende vzr ila jamaa anaonekana kuwa Rafiki na mshauri wake mkubwa ni sheitwani Mana ana kibri (kiburi) hatari
Daah maa shaa Allah umetoa maelez vizur saan ila binadam wengin niwatata unawezaje kuzidish kiwanja Cha mtu
Huyu Jamaa mwingine mwenye mageti hebu muogope Mungu Japo kidogo kwa sasa unajiona mjanja lakini nafsi yako unajua unadhulumu hakii ya mwenzio jiandae Mungu atakushughulikia
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika kakika mungu ngio hakimu mwadilifu Mana mungu hahukumiwi na Hana haraka na cc anakuwa tutarudi kwake tu
Daaah sijui tumelogwa na nani? Tukiona picha tu tayari tunaweka maneno yetu, leo nimejua ukweli Huyu Ni Man of God, Mungu azid kumpa Nguvu zaid katika maisha yake ili aendelee kusaidia jamiii kwa ujumla
@simontamba1285
Жыл бұрын
Hatufundishwi kuishi kisheria
Mtu wa mungu kabisa, hakuwa na shida na mtu. Mungu aendelee kuwa upande wake maana ni haki yake kabisa 🙏
@peterkatumaini9508
Жыл бұрын
Haki kuziba geti la jilani yake alipaswa kama jilani kakosea ange muelewesha jilani yake ona sasa ina mmubidi abomoe mwnzako anapo kosea usifuate makosa yake
@jumamomba9502
Жыл бұрын
Kashamuelewesha zaid ya mala moja lakini jeur
@10gb27
Жыл бұрын
Kiswahili chenyewe kinakupa tabu kuandika, sishangai kwaninu haujaelewa maelezo yake. Hana kosa huya brother. Aliyejenga nyumba ndio mwenye kiburi, huenda anatumia nafasi yake huko juu
@mariamutowi7084
Жыл бұрын
@Peter Katumaini kumbe we huna akili eee
@mariamutowi7084
Жыл бұрын
@@peterkatumaini9508 we huna akili na hujui kumuelewa mtu azungumzacho unaonesha shule ulikuwa wapata F ww, chekechea B mkubwa
Powerful....that is gentleman.....umeongea kwa ujasili.....🙌🙌🙌
Long live Man of God and humble
Sheikhe Allah akupe mwisho mwemaa
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Amin yaarab kwa sote
@saumjuma958
Жыл бұрын
Amiina
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
Watu wakorofi serekali mpeni haki yake huyu baba na uyo aloweka geti arudishe hiyo sehemu alopewa mana hana shukrani!
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Sawa kabisa
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Kabisa
Brother muelewa Sana. Unaongea point Sana tu
@wazirmlogi7532
Жыл бұрын
Bado hatujausikia upande wa pili
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Huo ndio ukweli bro
@zuwenaabdallah7748
Жыл бұрын
Mi nilisema tokea mwanzo huyo aliyejenga kwanza ndo atakuwa mkorofi hawa wapemba huwa hawana matatizo kabisa na ardhi ukiwaomba mim niliongezewa nafasi na jiran yangu mpemba nikampa hela akakataa kabisa akasema we umeniomba hii ni ardhi usijali jiran🙏
Millard Ayo habari zako ni Bull Bull,ila cameran awe anaenda tukio kuonyesha tukio lililoko...
Kumbe jamaa yupo sahihi na na anamuogopa Mungu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika nakhofu na siku ya malipo siku isiyo na msada wa binaadam isipokuwa msaada wa Allah
Hongera Millard ayo na timu yako
Jamaaa amesimama kwenye haki na hana kosa kwa mujibu wa sheria
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Sijawahi mdhulumu mtu Wala sipendi kuona mtu anadhulumiwa mbele ya macho yangu kwa dhulma ni baya kuliko sumu
@fayyaztvtz8432
Жыл бұрын
Halafu anaambiwa apunguze ukuta dah
@amanidaniford7194
Жыл бұрын
Tatizo hana hela pangenoga🤣🤣🤣
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
@maryamsaid876
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
Mitandao imetanua utandao wake kaka Asante Sana 🤝
Pambaniya haki mpako mwisho Mtume swallalahu alayhi wa salam anasema atakaye kufa kwaku pambaniya haki yake uyo amekufa shahidi . Uwislam umeharamisha kuzulumu ao kuzulumiyana ki uzembe. Allah aweze kuwapatanisha kunako ili
@FIFO28
Жыл бұрын
Mmmmh kazi ipo
@ibnomar8144
Жыл бұрын
@@FIFO28 yeap everything is clear
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Nipo napambana mkaka kieleweke
@ibnomar8144
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 Allah akupe akupe subra
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
Ustaadhi Mungu atakulipa wewe ni mtu mwema!!
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
Asante kwa kutupasha bro Ayo
Huyu jamaa mstaarabu sana! 🙏🙏🙏🙏
He is a humble Man 😊
@enterenter7798
Жыл бұрын
🙏💯
@abuumaisarah6595
Жыл бұрын
Sure
Very heartful man
@zakiamseka9698
Жыл бұрын
True
@saumjuma958
Жыл бұрын
Moyo wangu unaumia kuona viongoz wetu wa dini wateseka
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Safi kabisa kiroho safi
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
@@zakiamseka9698 kabisa
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
@@saumjuma958 Ili update Pepo ukubali yote yatayokufika na me nimeridhia nafasi aliyonipa Allah coz Allah ananipa mtihani huu kwa mapenzi yake
Inshaallah m/mungu atakupa haki ikiwa sio hapa basi m/mungu ipo wala haifutiki,dua ya mdhulumiwa haisameheki
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
mashallah shekhee umeonesha utu
Uko vzr brother wenye pesa wanajifanyaga jeuri na zarau na pesa zao ila umetumia uungwana sana mungu aendelee kukutia nguvu na ninahakika utalipwa zaidi ilo
Mbona huyu kaka ana hofu ya mungu kabisa
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Naogopa siku ya malipo nitakapokwenda kusimamisha mbele ya Allah
@hidayaswai3119
Жыл бұрын
Ndio maana kufuata haki. Mwenye geti anapenda kesi za ardhi
@fedelinamahenge6649
Жыл бұрын
@@hidayaswai3119 tumwachie muumba wa mbingu na nchi👏
@hidayaswai3119
Жыл бұрын
@@fedelinamahenge6649 kweli kabisa
Mwenyezi MUNGU akufanyie wepesi
Kwa maelezo Yako upo sahihi 🙏🙏pole sana
Shekhe upo vizur sanaaa Sanaa Allah akusaidie Sana inshaallah
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana 🤪
Very innocent and pure
Ayo tv ukweli na uhakika Big up
Mashallah very grestful man 👨 may God bless u untill ur happy
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Amin amin yaarab
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
Shekhe wewe ni muungwana sana"ila uyo jirani si mtu mzuri"amekosea sana"ata mimi ningejenga ukuta.inaonesha ni jeuri lakini ameshakwama.
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
Allah akusimamie shekh
Jamaa mkarimu sana, Mungu akutunze, endelea kuwatumia watu wa Mungu
This man is very humble
Shekh allah atakufanyia wepesi. Ucjali
DC alikurupuka pia , i love my country leaders 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shekhe hiyo story najua mwanzo mwisho lakn allah akusaidie kwenye haki yako ila huyu jarani yako akumbuke kuna kufa na hiyo arthi anayetaman hiyo siku ndo atajua kwann amegombania
@ashamuhamed4415
Жыл бұрын
Au mwenziwe anapesa
@omanoman3574
Жыл бұрын
Kunawajuaji jaman 🤣
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
@maryamsaid876
Жыл бұрын
@@ashamuhamed4415 kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
@sharonjoseph9382
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie heri duniani na ahera.kaka
Masha Allah brother upo sawa huna tabu na unaonekana ni mkweli na mcha mungu Allah akupe moyo huo huo
allah akufanyie wepesi
Mashallah maelezi yKo vizuri
Weldone my brother lets People's to know the truth,uo ndo ukwel na haufichiki
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kabisa bro
Uyo ndugu anaonewa lakini namsii aendelee na moyo uouo mungu atamlipia watu wanapenda arihdi kuliko kupendana wao
Pole Sana shekhe
Pole sana uko sahihi kabisa 💯
Sio Kila shekhe ndio aonewe kizembe zembe 🤣🤣
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@Zanzibar-LandOfBlacks 😁😁
@alimahmoud358
Жыл бұрын
Umejielezea vzr lakini kutokana na rangi yako hutofanyiwa haki.maana huyo unae mlalamikia itakuwa mwenyeji serikalini
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hakika sitokubali kuonewa hata siku 1 na sikubali kuona mwengine pia anaonewa hiyo ndio itikadi yangu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
@@Zanzibar-LandOfBlacks hahahaha mtihani wangu ila me natumai hikma sana na hili litakaa sawa natumai jamaa hata kuniangaliya anakhofu na mimi Sasa kwa kweli subra ndio ngao yangu
@aishaabdul6241
Жыл бұрын
Yarabi
Yaan kwa kifupi hapo huyu mwenye nyumba itakuwa ana hela ndiyo maana analeta jeuri kwa mzawa, yaan ukiwa fukara unaishia kuonewa tyuu sasa kibali cha ujenzi kitolewe na serikali na waseme siyo sahihi🤔
@mozaummy327
Жыл бұрын
Zanzibar hakuna Hala ataondoka kama simaiti ataondoka mgonjwa akafe kwao uko
@imanibakili8028
Жыл бұрын
@@mozaummy327 😆
@rosellaabraham13
Жыл бұрын
@@mozaummy327 😅😅😅atapigwa visomo had ashangae.
@imanibakili8028
Жыл бұрын
@@rosellaabraham13 na Zenji kwa visomo jamani😄
@amriyalibent5900
Жыл бұрын
@@imanibakili8028 umeona tuna visomo km vyote mwenyewe avunja geti
Shekhe mtu safi kbsaaa hana hiyana na mtuu
Pole Sana ndg yangu mungu atakulipia haki yako Amin utapata zaidi ya hivyo
Mashaa Allah Allah akuhifadh Akhy hossam ❤️❤️
@allymlanda3139
Жыл бұрын
Hii Dunia ni Mtihani mtu akiwa na pesa kiasi hudhani ameishika Dunia nzima, Tatizo hili halitoisha hadi watu wamjue mungu si kwa mbwembwe Bali kwa Haki si Batili
Aya maupumbavu yako sana Tanzania nzima rushwa tupu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Hatari sana
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kabisa kabisa wamezoweya Kila nyama za watu hawatoweza kuwacha
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana 🤪
Ndio huyu jamaa kajieleza safi kwaharaka unaweza kuona watu huwa niwachokozi kisha wao hukimbilia kutafuta kuhulumiwa
@puretv8742
Жыл бұрын
Babaa ni kuhurumiwa sio ulivyo sema
@muddymdigo5164
Жыл бұрын
Aliejenga geti anaonyesha mkorofi ,kiburi na kujiona anavipesa vyke Hali hii Kama ni kule kwetu unamtupia jini tuu nyumba aione paaa mbwai mbwaiii tuu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
@@muddymdigo5164 hahaha hatarii me sipo hivyo Allah anatosha kwangu
@binseifalsuleimaniy503
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 wallah bro wew ni mtu moja mwenye hikama san mashalla kisha mfasah Allah akuzidishie ,yn nlip anza kuskliza tu skutaka kukata njiani kwa jinsi unavo fahmika
@omarinjoka7467
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 Allah akuhifadhi Akhiii
Shekhe haki yako ipo palepale, hakika unahofu ya mwenyezi Mungu
Mtangazaji uko vzr
... Daah pole Shekhe. Mungu atakusimamia
Huyo mzee yupo sawa sana
Kinacho mponza shekh n upole na Iman aliokuwanayo
upo vizuri
Wallah wew ni mtu moja mwenyw hikm saan Allah akuzidishie ufasaha
Camera man mshamba sana leo ... Hayuko senstive kabisa yan unaoneshw kule unaendelea kuwek camera apo apo Nyau kwel
@storyzatowntz
Жыл бұрын
Kafeli Sana aisee mjinga
@coin9007
Жыл бұрын
Yaani sijui mweny Geti ni baba yake? 💩😂😂😂
Kawaida yabinadamu huwa hangali anapokwenda huangalia alipo mwenye geti ndomwenye makosa lakinini anaonekana hana makosa uazulumu haliyakua unajua hii zulma kuna serekali lakini tukumbuke kuna mungu uazulumu ardhi badae tunaenda kuingia kwenye tumbo la iyoyo ardhi allah akupe subra
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana
Upo correct brother
Mwenye get ni mtu wa serekal inaonesha
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana 🤪
Camera mani unazingua
Allah akulipe....sisi mtu katia ukuta juu ya karo ya nyumba ya marhem babaangu....na ametrtuka na ni nafasi yetu kufa kwa baba nass wadogo tulikuwa akafanya mambo yke..ila mashangazi na baba wadogo kimyaa kwakuwa walitaka mali...tu....sisi wallah hatukumuuliza mwenye nguvu mpishe apite....znz dhulma za ardhi nyingi sana
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Poleni sana na nyinyi Zanzibar ilikuwa kitovu Cha dini Sasa ni chuo na ufisadi dhulma uharamiya na uchafu kwa kweli Sasa Zanzibar inatajika vibaya sana
Cha kushangaza huyo mwenye geti ndio anaweza shinda kesi. ALLAH AKUSIMAMIE ILI USHINDE. AAMIIN
@ayoubpapiy6692
Жыл бұрын
Siyo inawezekana ameshinda kesi kabisa😁😁😁hii ndiyo Zenji
@khaleedabdallah4678
Жыл бұрын
Zenji mwenye ndugu serikalini HANA MAKOSA
@bushowadidi7518
Жыл бұрын
Points
Mzee Yuko na akili mingi Sana🙏🙏
@monicageorge2181
Жыл бұрын
Ana akili sio kidogo man
zimegonga ukuta 🤣 nicely done
Anaonewa mnyonge mwenye sehemu yake, Lakini huyo mwengine hata kufungua hataki nahisi kwakua anajulikana kinafasi
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Mshenzi huyu wa tabia dhalim mkubwa me namuachia Allah tu ndie hakimu mwadilifu yeye mwache ategemee viongozi
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana 🤪
Mungu akubariki Sheikh na azidi kukulinda
"Iogopeni Dua 🤲🏽 ya mtu aliyedhumiwa ni Hakika Haina pazia."
@ashuhunamohamed7997
Жыл бұрын
Sahihi kabisa
@arqamibnarqam.7185
Жыл бұрын
@@ashuhunamohamed7997 Naam hakika ukhty .
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Hakika
Kuladhimisha dhulma ni kukosa sifa katika uongozi ardhi tunoihalalisha kwa wengine ni makaburi ya wengine pia! Kutwa Tumo misikitini lakini tunasahau kama dua ya mwenye kudhulumiwa huwa ina nguvu!
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kukizoweya dhulma huwezi kuliona Hilo nasawa na anaekula nyama ya mtu ataendelea tu hawezi ACHA kirahisi ndio akina hao
@mmadiausiy9810
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 sawasawa kabisa
Safi sana ustadhi kaeleza vizuri ila napenda kutowa angalizo binadamu tuwache tamaa jenga pale ulipo nunuwa !! Ardhi ukidhulumu hatuwa moja tu basi hukumu yake ni kubwa
@hemedykayonko4109
Жыл бұрын
Tunanunua viwanja vidogo tunataka nyumba kubwa
Kka upo sahihi Allah akulinde na Maadui lnshallah
Daah polee sana akhy Mungu atakulipa nyumba nzuri Akhera hakika hii dunia si chochote
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana 🤪
Safi sana shekhe kiburi dawa yake ni jeuri
@rehemamajaliwa
Жыл бұрын
Sure
uyo camera man mbona mzito
@ahz6907
Жыл бұрын
Mzembe sana. Kashiba urojo😇
Huyu aliyezibiwa ndie mkorofi kwa kweli
Dunia hii tusipende kuhukumu kabla ya kusikiliza, HUYU jamaa alikuwa anaonekana mkolofi baada ya picture HIZI kusambaa
Kumfanyia kiburi anayejisifia ujinga kwa kiburi ni swadaqag vizuri saana
Kwa maelezo haya shekhe huna shida kabisa
Maashallah. Ndugu ana mapenzi na binadamu wenzake na amejaaliwa busara na subira. Ningekuwa mimi nmempa fair mtu halaf ananiletea ubabe angebomoa hiyo nyumba. Allah akuongezee.
Mwenyezi mungu atakukinga na kishari na balaa la wajaa maanq hapo ukweli tumesha ujuwa watu wakivumisha siyoo
Jamaaa ana kiburi uyo kwa vijisent vyake babu ndevu inaonesha upo sahihi muache na ushamba wa pesa zake geti ndo lipo ilo .
hiyo nyumba inawezekana akawa anaishi mtu wa serikali 🤣
@leokamil6284
Жыл бұрын
Nahisi hivyo hao ndio waonevu
Kaka pôle sana namiyalinikuta hayo jeuli mwenzie kusudi
Upo vizuri sana shekhe pamoja na Millard Kwa kutoa habari za uhakika
Vita ni vita murua, nilijua tuu hy alie weka geti atakuwa mkorofi
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Kakika dada yangu
@hafidhmohammed876
Жыл бұрын
Me ckuwa Wala sitokuwa na ubaya nae naogopa siku ya malipo coz hakuna msaada wa serikali huko Wala jirani huko ni rehma ya Allah tu
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@hafidhmohammed876 In shaa Allah, Allah akujaalie moyo huo huo
@maryamsaid876
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Y6ysy9KFn9iqmag.html shoga apigana kisa bwana 🤪
Ayo T.V mbarikiwe