HATIMAE OSAMA ABOMOA UKUTA ALIOJENGA MBELE YA GETI "NAHESHIMU AGIZO LA SERIKALI SINA TATIZO"

Пікірлер: 246

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 Жыл бұрын

    Ulmfanyia hisani Leo unabomoa wew. Maskin Hana haki

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Жыл бұрын

    Apo hakuna cha SERIKALI hakuna haki iliyofanyika pesa imetumika rushwa adui wa maendeleo.

  • @princemichael3023

    @princemichael3023

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @ntandamasanja4587
    @ntandamasanja4587 Жыл бұрын

    Huyu jamaaa kakosewa saana mwenye pesa dahh💔gvt acheni hivyo.

  • @dativafidelis388
    @dativafidelis388 Жыл бұрын

    ILA HUYU AMESHIKA DINI SANA, YANI MSTAARABU SANA SANA!!!! NIMEMPENDA BUREEE

  • @frolianrevelian9782

    @frolianrevelian9782

    Жыл бұрын

    Huyu Jamaa Licha ya Dini atakuwa kapiga mafunzo ya kutosha ya #Karate ndo maana ni mpole Sana..

  • @arafakiloli749

    @arafakiloli749

    Жыл бұрын

    Nimcha MUNGU nahiyo ndio maana halisi ya ucha MUNGU.

  • @irenekanza1601

    @irenekanza1601

    Жыл бұрын

    Y

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    Nikweli ila hawajamtendea haki hata kidogo zurma zurma iropitiliza kowango cha TBS

  • @simonraphaeli1426
    @simonraphaeli1426 Жыл бұрын

    huyu Osama anahofu yamungu na ubinaadamu sana semanini endereahivyohivyo mungu atakuongezea huyo mwenyenyumba amekosa adabu

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Жыл бұрын

    MashaAllah!! Allah atakulipia inshaAllah☝️

  • @maryamhannif897
    @maryamhannif897 Жыл бұрын

    Mungu yupo atakulipia kwa njia yeyote Ile usife moyo amino mungua atakulipa

  • @oscarmkumbo7451
    @oscarmkumbo7451 Жыл бұрын

    Moyo huu wa uvumilivu ukisha vumilia Vya kutosha kinakachotokea hakuna atakae amini, Ustadhi apewe haki yake.

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    Hakika MUNGU atamripia kama si hapa basi kesho ahera

  • @saleheinnocent7636

    @saleheinnocent7636

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 Жыл бұрын

    Hongera sn Binafsi nimefurahi kwa maamuz uloyachukua japo serikali imetoa agizo. Kila mtu ameona kilichotendeka na dhahir haki Yako imepokwa, tofauti na mitazamo ya watu wengi ktk Imani ulonayo Leo umeonesha dhahir uhalisia, Mungu atakufanyia wepesi zaidi na kuikarbisha rizk kwako. Dunia adaa ulimwengu shujaa.

  • @frankenock2853

    @frankenock2853

    Жыл бұрын

    Saaana tu ,niwazi ameonewa lakini broo kaamua yaishe kwa amani . Mwenyeezi Mungu ambariki.

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    Жыл бұрын

    Yaaniii nimeumia saaanaa na zoom kama ndo ningekuwa mm aisee🤦🏾‍♂️

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    Serikari na huyo mwenyegeti lao moja kama ni kubomoa hata huyo wa gati lazima avunje ukuta arudi nyuma iweje wamzurumu mtu mmoja siyo haki nasema

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    @@ramsikhamis7083 kiatu hiki ni kizito sana

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 Жыл бұрын

    Huyo mwenye nyumba hiyo ya geti kama kahonga wallah hana maisha marefu kwa dhuruma aliyo ifanya

  • @victorjames3730

    @victorjames3730

    Жыл бұрын

    MUNGU Fundi sana atafanya mambo yake

  • @carinamatt1031

    @carinamatt1031

    Жыл бұрын

    Kwa kweli mwisho wake huyo utakuwa mbaya Osama mwenyezi mungu atakulipia

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    Жыл бұрын

    Aminii kabisa ayaa Mambo yakumshtakia Munguu achana nayoo kabisaa

  • @edinahmaganga3528
    @edinahmaganga3528 Жыл бұрын

    Huyu kaka nimemsikiliza nimemuelewa sana pole kaka Osama Mungu atakulipa maana wewe ulikuwa muungwana kwake lakini tazama alichokulipa usijari huku duniani hatukuja na kitu na tutarudi hivyo hivyo utajiri majumba mazuri magari mazuri vyote tutaviacha siku ya mwisho ikifika wewe unampenda Mungu sana pole malipo ni hapa hapa Duniani subiri na uone

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Жыл бұрын

    Mungu akubariki. Tanzania ni ya amani. Mungu hamuachi mja wake. Bro. Big up Mungu ni mtetezi wa walio haki.

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 Жыл бұрын

    Ukiona mtu anakubali kirahisi hivo kupoteza haki yake tena mtu mwelewa kama huyu, Weka alama yakuuliza!

  • @jumaamrani3295

    @jumaamrani3295

    Жыл бұрын

    kwann

  • @winfordmwangonda5375

    @winfordmwangonda5375

    Жыл бұрын

    @@jumaamrani3295 Nadhani uislamu wake unamfanya hataki matatizo na mtu,unamfanya kuwa mtu mwema,anamtegemea Mungu,ongopa mwenye kumshitakia Mwenyezi Mungu.

  • @jumaamrani3295

    @jumaamrani3295

    Жыл бұрын

    @@winfordmwangonda5375 nmekuelew Dada yang ubarikiwe

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    Yani najikuta naogopa mimi huku kwakweli

  • @swalehkhamis508
    @swalehkhamis508 Жыл бұрын

    Sheikh Osama, umefanya jambo la maana sana, mungu anakupenda kwa malipo mema ya duniyani na akhera. Mtu mwema hubakia na wema daima. Shukran.

  • @munawwarkhamis7518
    @munawwarkhamis7518 Жыл бұрын

    Wenge bomoa wote wawili ....lakn hapa wamemzulumu....maskin....lakn Allah halali.....na tunaiman kumbwa Sana na Dr Mwinyi.....ataona na tutamsikia......

  • @jumaamrani3295

    @jumaamrani3295

    Жыл бұрын

    Muna

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 Жыл бұрын

    Dah! Saw sheikh lkn kwnn huyo mbwa hajatoka yy

  • @mwinyimatopa2283
    @mwinyimatopa2283 Жыл бұрын

    Hii ni dhulma ya wazi lkn sawa myonge hana haki

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Жыл бұрын

    Mungu anajua zaidi mwenye haki atapata haki yake tuvute subra. Mwenyezi Mungu hajalala

  • @farisomar1889
    @farisomar1889 Жыл бұрын

    Serikali ya Zanzibar acheni ujinga hamuwezi mukatoa maamuzi upande moja mafala kweli na wizara zenu za ardhi nyoo

  • @hassankhalid2465
    @hassankhalid2465 Жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiuun ,,ni bora umefanya utu,,hii aridhi sote tutaiacha na inatusubiri kwa hamu kutumeza.

  • @mwanaishazain7985

    @mwanaishazain7985

    Жыл бұрын

    Inna li Lahi kafa nani?

  • @nahedstationery3851
    @nahedstationery3851 Жыл бұрын

    Siku zote mwenye pesa sio mwenzako. Jamaa alojenga nyumba katumia nguvu ya pesa.

  • @irenemmbaga2160

    @irenemmbaga2160

    Жыл бұрын

    Sawa katumia nguvu ya pesa kujenga,ila akumbuke udhalimu alioufanya ipo cku atalipia,maana Mungu wetu ni wa haki. Duniani tunapta tu kwa nn amfanyie mwenzake hivo!

  • @mucci_AI

    @mucci_AI

    Жыл бұрын

    @@irenemmbaga2160 😂😂

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    Жыл бұрын

    @@irenemmbaga2160 Mungu hana muda wa kumsaidia mwanadamu

  • @abdulyabubakar6247

    @abdulyabubakar6247

    Жыл бұрын

    Sio kweli hana hata pesa masikini tu mmoja ila huyu mwamba amekubali tu yaishe kaamua matatizo yaishe ili maisha yaendelee hii ingekuwa ni hapa bara pangechimbika

  • @godimangare2520

    @godimangare2520

    Жыл бұрын

    Mweu wewe

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Maashallah kaka Ahmedi. Allah atakulipa kilalaheli lnshaallah

  • @kawtharalbarwani1337

    @kawtharalbarwani1337

    Жыл бұрын

    Amiin thumma amiin

  • @mtimti3912
    @mtimti3912 Жыл бұрын

    Umefanya jamabo la maana sana .Hivyo ndivyo tunavyotafuta amani SAFIII.

  • @jumasoli7818

    @jumasoli7818

    Жыл бұрын

    Aman sawa je hasara anayoipata Osama vp hapo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Sijaona kama haki ime tendeka huyo alie jenga geti kwa uchokozi ni mtu mbaya sana yani kusema kwel maskini hana maaana kwenye serikali zetu ndio maana kumuachia Mungu ni ujinga duniani mtu hawezi pata haki kama Hana pesa ama madaraka

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Жыл бұрын

    Osama amedhulumiwa!! Tajiri kahonga watu wa mipango miji.

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Жыл бұрын

    Wamekudhulumu Mungu atakulipia,ndo maana Mimi kwenye eneo langu hàbari ooh watu wanapita njia sitaki kabisaaa,wanaanza kupita mwisho wanarasimisha ndo yanakuwa Kama haya,na huyo jirani sio mstaarabu.

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 Жыл бұрын

    Mkono mrefu ninavyojua ni WIZI sasa sijui serikali inamkono mrefu mmmh

  • @fredykyando1977
    @fredykyando1977 Жыл бұрын

    Hongera sana osam kaka mkubwa hongera kwa busala zako. Hekima kubwa sana umeionesha maelezo mazuri sana umeyatoa watanzania tumekuelewa sana. Mungu akubariki na amekuongoza vema. Naitwa fredy from kyela mbeya.

  • @saleheinnocent7636

    @saleheinnocent7636

    Жыл бұрын

    Kyela Boy🔥

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Жыл бұрын

    Dua ya mwenyewe kuzulumiwa haina paziya. Allah atajibu kwa wakati

  • @gawanilabakari8048

    @gawanilabakari8048

    Жыл бұрын

    Yani huo ni nyonyaji sana serekali ugaliee pande mbili huyo kaka yangu ana hata makosa .mimi huyo ni fundi wangu mkuuu kanijeengea nyumba yangu safi sana anamatatizo

  • @zawadjose5440

    @zawadjose5440

    Жыл бұрын

    Ila osoma kaonewa sana ,sema huwezi jua

  • @ibnomar8144

    @ibnomar8144

    Жыл бұрын

    @@zawadjose5440 Allah atamlipiya kwa sababu yeye pekee ndiye mjuzi zaidi kama sio hapa dunia basi akhera pako . Haya maisha ya dunia tu ni upuzi tu ila ustadh kaonesha kuteteya haki yake. Allah amjaliye subra na ampe badala ya icho

  • @rashidikanyama7227

    @rashidikanyama7227

    Жыл бұрын

    @@gawanilabakari8048 Dah anaonekana bhana

  • @aldaghariaziyz6420
    @aldaghariaziyz6420 Жыл бұрын

    Inshallah kheir bro Allah ataleta nusra Yake , hakuna linaloshindikana chini ya jua ,serikali lazm impe haki yake Osama

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Жыл бұрын

    Pole sana kaka ahmed kwa yote kwanza umedhulumiwa na umeingia hasara ya ujenzi.haki yako haipotei kwa allah utaikuta hesabu.allah akufanyie wepesi na subira ya moyo Sema hasbiya llah waneema lwakeel.

  • @husseinchambau3015
    @husseinchambau3015 Жыл бұрын

    Kwenye hili akikosa haki yake bas na serekali watakuwa wameshiriki kupoteza haki yake

  • @maryamhannif897
    @maryamhannif897 Жыл бұрын

    Inshallah mungu atakulipiaaa

  • @jasperashley3869
    @jasperashley3869 Жыл бұрын

    Pole sana kaka Osama, hapo umezulumiwa waziwazi. Na watu wazulumati ndo utakuta waswali swala zote na kila siku ya ibada hawkosekani kanisani au msikitini. Inakera sana..

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Жыл бұрын

    Hii ni Dunia ....Tukumbuke Atutoishi milele...Tutaviacha Vyote vilivyopo Duniani...Tumuombe Allah Mwisho Mwema In sha Allah.

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Жыл бұрын

    Mhh Osama anaongea kwa upole lakini ameficha kizito moyoni ase pole Sana mkuu ila Kuna namna hapo pesa nzito imefanikisha juhudi za huyo mshakaji

  • @abuuhanifa4569

    @abuuhanifa4569

    Жыл бұрын

    mmh haya

  • @ussihadji2248
    @ussihadji2248 Жыл бұрын

    Ma Sha Allah, hongera baba osama kwa kutumia hekma ya kufuata maagizo ya serikali, Allah akusimamie

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 Жыл бұрын

    Pole shekhe mungu atakulipia pole mno mno,

  • @gidotesha6083
    @gidotesha6083 Жыл бұрын

    Huyu jamaa iposiku atafanya mengi kuliko hamza ogopa sana MTU anakubali hakiyake ipotee kirahic

  • @saumjuma958
    @saumjuma958 Жыл бұрын

    Haki yako iko kwa Allah sheykhe usishindane na blis

  • @ahmadmpinzire5649
    @ahmadmpinzire5649 Жыл бұрын

    Kuna utofauti sana kati ya watu wa pwani na bara,watu wa pwani haya mambo ni mepesi sana kwao,sio watu washari ama wakupenda migogoro hasa ya ujirani na undugu,sasa rudi kwetu bara,hatua moja tu ya ardhi lingekufa jitu hapo. Kwetu bara ila nimeishi mwambao wa pwani nilipapenda sana,watu wastaarabu,wana utu,wao kila dhulma ni mungu ataja lipa

  • @mersianantibakazi8474
    @mersianantibakazi8474 Жыл бұрын

    Mwislamu mshika dini mungu akupe maisha mema

  • @uviko8848
    @uviko8848 Жыл бұрын

    Ww mwenye geti naamini utaona hii video na kujihisi shujaa lakin juwa utakufa tu siku moja ilo jumba atakuja kidume aishi na mkeo humo.

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb Жыл бұрын

    Osama umetenda wema sasa wema umekuponza. Hao ndiyo binadamu wenye hela zao (zetu)

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Жыл бұрын

    Hiyo nyumba itakuwa ya mtu mzito ndo maana ajatafutwa kuongea chochote mwny Get, waandishi mtafuteni na mwny nyumba kwani yy anasemaje.....!?

  • @ibnomar8144

    @ibnomar8144

    Жыл бұрын

    Mda utajibiwa tu katika huyu mgongo wa ardhi

  • @uviko8848
    @uviko8848 Жыл бұрын

    Pepo ya matajiri Ni nguvu ipo duniani, pepo ya maskini Ni Sheria ipo mbinguni.

  • @shamzone388
    @shamzone388 Жыл бұрын

    Subhana allah Muachie allah ndio hakim wa mahakim vuta subira zaid utapata haki yako...allah Anaona na anajua zaidi yetu haki ya mtu haipotei

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    Жыл бұрын

    Mungu ame wahi msaidia binadam yupi? Mimi naona kama tuna ji danganya kwa kumtegemea huku ndo tuna nyimwa haki

  • @romainswedy940
    @romainswedy940 Жыл бұрын

    Tanzania akuna justice ni kama Africa nzima mweye pesa njo iko na justice !magufuli mtamukumbuka

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 Жыл бұрын

    Wenye pesa wanawadhulum masikini hata kama ni haki yao, Allah atakulipa ndugu Osama

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 Жыл бұрын

    Pole sana Allah hatakulipa hapahapa duniani lnshaallah

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Жыл бұрын

    Huyu bwana sio fala kuruhusu eneo lake kumegwa kuna siku tutarudi kumsikiza tena

  • @ankotemba7369

    @ankotemba7369

    Жыл бұрын

    Amin bro

  • @AWetekatz

    @AWetekatz

    Жыл бұрын

    Haya ndo yakina Amza. Tatizo wanachukulia mambo simpo simpo tyuuu. Hatupendi yatokee ila tuisubiri🤔🤔

  • @arqamibnarqam.7185

    @arqamibnarqam.7185

    Жыл бұрын

    Hilo liko wazi hata mie nimekwisha liona.

  • @edwardcosmas6359
    @edwardcosmas6359 Жыл бұрын

    Pole sana brother

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 Жыл бұрын

    Bw. Ahmed umefanya vzr kutii amri. Lakini vyombo vinavyohusika wawajibishwe, vp inafika kutoa vibali feki kiasi hicho. Hiyo hasara uliyoipata Allah atakulipia na KWA MNYONGE KUNAENDA FURAHA LAKINI KWA JABARI KUNAENDA KILIO PENGINE SIO HAPA LAKINI KINASUBIRI. Hongera bw. Osama kwa subra yako.

  • @acramsalah5797
    @acramsalah5797 Жыл бұрын

    SHEKHE DUA YA MTUH ALIEDHULIMIWA HAINA KIPINGAMIZI ...M/MUNGU ATAKULIPA INSHALLAH

  • @twaibutwabibu8809
    @twaibutwabibu8809 Жыл бұрын

    Allah atakulipia ndugu yetu.

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Жыл бұрын

    Umefanya jambo la mana kubomoa ayo mambo ya ardhi ni mambo ya kupita tu si ya kugombaniana ni upuuzi mtupu tunazikwa nyanda moja tu na dongo linatufatia juu yake

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Жыл бұрын

    Uyu jamaa kwelii mstarabu sana lakini cyo aki imefanyika kama kawapa eneo mkamgeuka makubaliano

  • @amanikimbee6559
    @amanikimbee6559 Жыл бұрын

    Tumekuelewa Osama huna baya

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    Жыл бұрын

    Huuu ndio utu👊big up kaka Allah atakubariki sn ila hii dunia ndogo sn

  • @fulgencekomba5770
    @fulgencekomba5770 Жыл бұрын

    Hongera kaka osama

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 Жыл бұрын

    Once Darasa said "Kweli Dunia haiko Fair hii mwanangu imemtokea, yeye ni Innocent man na anaozea segerea" pole mzee Osama

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Жыл бұрын

    Allah atakulipa akhuyi 🥰🇴🇲🌹

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 Жыл бұрын

    akidai haki yake Kwa nguvu utasikia huyu nikundi Moja na hamza Dah pwh bhana

  • @princessagathakwaselema6866
    @princessagathakwaselema6866 Жыл бұрын

    Ila wamemwonea huyu mzeee kwakweli wawngalie haki kwanini huyo aloingia kwenye eneo la mwenzake asibomoe sijapenda serikali imelalia upande mmoja lkn yote kwa yote huyu Mzee ana moyo mzuri sana

  • @martinemaganga2546

    @martinemaganga2546

    Жыл бұрын

    Huyo atakuwa mtu wa serikali ndivyo walivyo.

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 Жыл бұрын

    Mungu yupo pamoja na wewe sheh wangu

  • @marvelmovier545
    @marvelmovier545 Жыл бұрын

    Munguuu akupee subraa

  • @ahmadyabdallah4498
    @ahmadyabdallah4498 Жыл бұрын

    Usiwaze mwanangu OSAMA njoo tujipangee

  • @ramadhanirashidi1821
    @ramadhanirashidi1821 Жыл бұрын

    Mungu akuzidishie

  • @faudhiamalllata290
    @faudhiamalllata290 Жыл бұрын

    pole kaka

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge6649 Жыл бұрын

    Mungu akujalie mwisho mwema🙏

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 Жыл бұрын

    Mungu yupo pa1 naw kaka

  • @hannamakamba6108
    @hannamakamba6108 Жыл бұрын

    Majini

  • @abasiramadhani5309
    @abasiramadhani53095 ай бұрын

    Salut

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma4136 Жыл бұрын

    Ukiwa mcha mungu raha sana Roho inakuwa ya utilivu kila jambo unaona la kupita tu Ata mtu akutengeshe vipi utasimama himara tu

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Жыл бұрын

    Hongera kaka hakika umestaarabika.

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Жыл бұрын

    Good job Salam 🇺🇸

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Жыл бұрын

    Aliedhulumu atajuta. Allah hapigi kwa bakra.

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Жыл бұрын

    Huwezi kubishana na mwenye mahela yake bw. Osama, imeisha hiyooo

  • @hellaskarras1567
    @hellaskarras1567 Жыл бұрын

    Mungu atamlipia

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Жыл бұрын

    Kama nikweli pole sana sana mungu atakulipia kikubwa zaidi ya hapo.

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Жыл бұрын

    Unaweza ukajiona umeshinda nyumba ikapigwa na radi utajua ujui

  • @mathewdeus9978
    @mathewdeus9978 Жыл бұрын

    Serikali siku zote najiulizaga serikali ni nini watu wamesha chukua pesa hapo tukae tuanze kuongelea haki KWELI KUWA UYAONE

  • @embeothman3631
    @embeothman3631 Жыл бұрын

    Basi hapo huyo mwenye geti kama namuona anavyochekelea! Moyoni anasema "Kikowapi??...umevunja hujavunja""

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Жыл бұрын

    😳🙏🏽😢

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Жыл бұрын

    Dah

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 Жыл бұрын

    Good

  • @hawayusuph6818
    @hawayusuph6818 Жыл бұрын

    Inshaallah mung atakulip km yey katumia pesa bas wew mung atakulip kwa namna yake....

  • @bonemwaminifu3935
    @bonemwaminifu3935 Жыл бұрын

    Sio vizuri

  • @GameZone-ww6hf
    @GameZone-ww6hf Жыл бұрын

    zanzibar hakuna haki mwenye mamlaka na mwenye watu serekalin ndio mtawala wanyonye hawana kimbilio

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Жыл бұрын

    Uyo mwenye nyumba hiyo bila shaka anaweza kuwa mtu wa kwetu huku Bara maana kwa zenj Mambo izo sizan km ziko sana.

  • @suleimanissa5301
    @suleimanissa5301 Жыл бұрын

    Huyu ni shekhe shekh tafadhali usije ukachukua vitabu ukafanya yasiyo sawa tukammpoteza jiran maana asira za wa2 Kama Hawa huwa ni vitab

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 Жыл бұрын

    Busara ilikuwa itumike mwanzo sio mpaka iingie hasara jamani subiri haki yako

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Serekali imuangalie kwa jicho la imani huyu kaka hasara anayoipata nikubwa .

  • @dfinalpatrick8555

    @dfinalpatrick8555

    Жыл бұрын

    hasaragani wakati Kafunga njia kwanini aside asiweke ukutatokakitambo hapo walitaka kumuuzia huyo jamaa eneolaget sasaimekulakwake rohombaya tu!!

  • @maryamkhamfar4029

    @maryamkhamfar4029

    Жыл бұрын

    @@dfinalpatrick8555 wee unaijua story is yote hapo? Au unaandika tuu

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    @@dfinalpatrick8555 usilopoketu fatilia mwanzo ujue hakiya Nani huyu baba anaimani maashallah

  • @sarahomary3615

    @sarahomary3615

    Жыл бұрын

    @@dfinalpatrick8555 nyie ndiyo waropokaji bila hata kufaatilia mwanzo na Ata mwisho ujafika alipomaliza kuongea sijui mpoje eneo ni LA huyo Osama bado mnamkandia kwahiyo wewe ndiyo ndugu WA huye mwenye geti au😏😏😏😏😏

  • @sameerahmed2838

    @sameerahmed2838

    Жыл бұрын

    @@dfinalpatrick8555 oya umenunua leo smartphone au naona unakiherehere cha ku COMMENTS........Fatilia story ya huyu ndio uje u COMMENTS huku, sio unakurupuka........kwanza huyo mwenye geti anatafutwa na WAANDISHI wa habari amejificha haonekani kwani nini akimbie WAANDISHI wa habari.......mbona mwenzie hajawakimbia??? Anahojiwa na anajibu vizuri tu yeye kinachomfanya awakimbie WAANDISHI wa habari nini???

  • @omarabeid7490
    @omarabeid7490 Жыл бұрын

    Mmmh! Jamani eneo langu lipo lakini maana tupo mbali kumtafuta maisha maana Zenji acha tu,

  • @maryamhannif897
    @maryamhannif897 Жыл бұрын

    Mungu atakulipia wema wako umezaaa.maovu

  • @adamapollo9859
    @adamapollo9859 Жыл бұрын

    Wema wako utaukuta kwa mungu shek uko na hekma na wisilamu uavotakiwa pongezi sana

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 Жыл бұрын

    Pole yako pesa ishafanya Kaz yake

  • @ummousty8781
    @ummousty8781 Жыл бұрын

    km njia ht huyo jamaa mwenye gate angebomoa gate lake watu wapite. ama wangebomoa wote wawili. ndio akher zaman mwenye haki atakudhulumiwa. na dhalim atapewa haki asiyostahik

  • @leekangtnt8247
    @leekangtnt8247 Жыл бұрын

    Baadae yakitokea ya hamza mtaanza kumraumu Osama serkali tenden haki Kwa hilo Kama pesa zpo utakufa utaziacha

  • @ms123ru
    @ms123ru Жыл бұрын

    daah ahksante 😭😭😭😭 kaka daah MUNGU yuu nawee

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Жыл бұрын

    One love Osama haki haipotei

Келесі