HATIMAE OSAMA ABOMOA UKUTA ALIOJENGA MBELE YA GETI "NAHESHIMU AGIZO LA SERIKALI SINA TATIZO"
Жүктеу.....
Пікірлер: 246
@kenosman4780 Жыл бұрын
Ulmfanyia hisani Leo unabomoa wew. Maskin Hana haki
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Apo hakuna cha SERIKALI hakuna haki iliyofanyika pesa imetumika rushwa adui wa maendeleo.
@princemichael3023
Жыл бұрын
Kabisa
@ntandamasanja4587 Жыл бұрын
Huyu jamaaa kakosewa saana mwenye pesa dahh💔gvt acheni hivyo.
@dativafidelis388 Жыл бұрын
ILA HUYU AMESHIKA DINI SANA, YANI MSTAARABU SANA SANA!!!! NIMEMPENDA BUREEE
@frolianrevelian9782
Жыл бұрын
Huyu Jamaa Licha ya Dini atakuwa kapiga mafunzo ya kutosha ya #Karate ndo maana ni mpole Sana..
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Nimcha MUNGU nahiyo ndio maana halisi ya ucha MUNGU.
@irenekanza1601
Жыл бұрын
Y
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Nikweli ila hawajamtendea haki hata kidogo zurma zurma iropitiliza kowango cha TBS
@simonraphaeli1426 Жыл бұрын
huyu Osama anahofu yamungu na ubinaadamu sana semanini endereahivyohivyo mungu atakuongezea huyo mwenyenyumba amekosa adabu
@aaa64sa13 Жыл бұрын
MashaAllah!! Allah atakulipia inshaAllah☝️
@maryamhannif897 Жыл бұрын
Mungu yupo atakulipia kwa njia yeyote Ile usife moyo amino mungua atakulipa
@oscarmkumbo7451 Жыл бұрын
Moyo huu wa uvumilivu ukisha vumilia Vya kutosha kinakachotokea hakuna atakae amini, Ustadhi apewe haki yake.
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Hakika MUNGU atamripia kama si hapa basi kesho ahera
@saleheinnocent7636
Жыл бұрын
Kabisa
@geographyteacher.2961 Жыл бұрын
Hongera sn Binafsi nimefurahi kwa maamuz uloyachukua japo serikali imetoa agizo. Kila mtu ameona kilichotendeka na dhahir haki Yako imepokwa, tofauti na mitazamo ya watu wengi ktk Imani ulonayo Leo umeonesha dhahir uhalisia, Mungu atakufanyia wepesi zaidi na kuikarbisha rizk kwako. Dunia adaa ulimwengu shujaa.
@frankenock2853
Жыл бұрын
Saaana tu ,niwazi ameonewa lakini broo kaamua yaishe kwa amani . Mwenyeezi Mungu ambariki.
@ramsikhamis7083
Жыл бұрын
Yaaniii nimeumia saaanaa na zoom kama ndo ningekuwa mm aisee🤦🏾♂️
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Serikari na huyo mwenyegeti lao moja kama ni kubomoa hata huyo wa gati lazima avunje ukuta arudi nyuma iweje wamzurumu mtu mmoja siyo haki nasema
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 kiatu hiki ni kizito sana
@zuhuramuhanga5400 Жыл бұрын
Huyo mwenye nyumba hiyo ya geti kama kahonga wallah hana maisha marefu kwa dhuruma aliyo ifanya
@victorjames3730
Жыл бұрын
MUNGU Fundi sana atafanya mambo yake
@carinamatt1031
Жыл бұрын
Kwa kweli mwisho wake huyo utakuwa mbaya Osama mwenyezi mungu atakulipia
@ramsikhamis7083
Жыл бұрын
Aminii kabisa ayaa Mambo yakumshtakia Munguu achana nayoo kabisaa
@edinahmaganga3528 Жыл бұрын
Huyu kaka nimemsikiliza nimemuelewa sana pole kaka Osama Mungu atakulipa maana wewe ulikuwa muungwana kwake lakini tazama alichokulipa usijari huku duniani hatukuja na kitu na tutarudi hivyo hivyo utajiri majumba mazuri magari mazuri vyote tutaviacha siku ya mwisho ikifika wewe unampenda Mungu sana pole malipo ni hapa hapa Duniani subiri na uone
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Mungu akubariki. Tanzania ni ya amani. Mungu hamuachi mja wake. Bro. Big up Mungu ni mtetezi wa walio haki.
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Ukiona mtu anakubali kirahisi hivo kupoteza haki yake tena mtu mwelewa kama huyu, Weka alama yakuuliza!
@jumaamrani3295
Жыл бұрын
kwann
@winfordmwangonda5375
Жыл бұрын
@@jumaamrani3295 Nadhani uislamu wake unamfanya hataki matatizo na mtu,unamfanya kuwa mtu mwema,anamtegemea Mungu,ongopa mwenye kumshitakia Mwenyezi Mungu.
@jumaamrani3295
Жыл бұрын
@@winfordmwangonda5375 nmekuelew Dada yang ubarikiwe
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Yani najikuta naogopa mimi huku kwakweli
@swalehkhamis508 Жыл бұрын
Sheikh Osama, umefanya jambo la maana sana, mungu anakupenda kwa malipo mema ya duniyani na akhera. Mtu mwema hubakia na wema daima. Shukran.
@munawwarkhamis7518 Жыл бұрын
Wenge bomoa wote wawili ....lakn hapa wamemzulumu....maskin....lakn Allah halali.....na tunaiman kumbwa Sana na Dr Mwinyi.....ataona na tutamsikia......
@jumaamrani3295
Жыл бұрын
Muna
@kenosman4780 Жыл бұрын
Dah! Saw sheikh lkn kwnn huyo mbwa hajatoka yy
@mwinyimatopa2283 Жыл бұрын
Hii ni dhulma ya wazi lkn sawa myonge hana haki
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
Mungu anajua zaidi mwenye haki atapata haki yake tuvute subra. Mwenyezi Mungu hajalala
@farisomar1889 Жыл бұрын
Serikali ya Zanzibar acheni ujinga hamuwezi mukatoa maamuzi upande moja mafala kweli na wizara zenu za ardhi nyoo
@hassankhalid2465 Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun ,,ni bora umefanya utu,,hii aridhi sote tutaiacha na inatusubiri kwa hamu kutumeza.
@mwanaishazain7985
Жыл бұрын
Inna li Lahi kafa nani?
@nahedstationery3851 Жыл бұрын
Siku zote mwenye pesa sio mwenzako. Jamaa alojenga nyumba katumia nguvu ya pesa.
@irenemmbaga2160
Жыл бұрын
Sawa katumia nguvu ya pesa kujenga,ila akumbuke udhalimu alioufanya ipo cku atalipia,maana Mungu wetu ni wa haki. Duniani tunapta tu kwa nn amfanyie mwenzake hivo!
@mucci_AI
Жыл бұрын
@@irenemmbaga2160 😂😂
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
@@irenemmbaga2160 Mungu hana muda wa kumsaidia mwanadamu
@abdulyabubakar6247
Жыл бұрын
Sio kweli hana hata pesa masikini tu mmoja ila huyu mwamba amekubali tu yaishe kaamua matatizo yaishe ili maisha yaendelee hii ingekuwa ni hapa bara pangechimbika
@godimangare2520
Жыл бұрын
Mweu wewe
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashallah kaka Ahmedi. Allah atakulipa kilalaheli lnshaallah
@kawtharalbarwani1337
Жыл бұрын
Amiin thumma amiin
@mtimti3912 Жыл бұрын
Umefanya jamabo la maana sana .Hivyo ndivyo tunavyotafuta amani SAFIII.
@jumasoli7818
Жыл бұрын
Aman sawa je hasara anayoipata Osama vp hapo
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Sijaona kama haki ime tendeka huyo alie jenga geti kwa uchokozi ni mtu mbaya sana yani kusema kwel maskini hana maaana kwenye serikali zetu ndio maana kumuachia Mungu ni ujinga duniani mtu hawezi pata haki kama Hana pesa ama madaraka
@ramadhanimbulu4941 Жыл бұрын
Osama amedhulumiwa!! Tajiri kahonga watu wa mipango miji.
@magrethmbangama1199 Жыл бұрын
Wamekudhulumu Mungu atakulipia,ndo maana Mimi kwenye eneo langu hàbari ooh watu wanapita njia sitaki kabisaaa,wanaanza kupita mwisho wanarasimisha ndo yanakuwa Kama haya,na huyo jirani sio mstaarabu.
@mitanotena5149 Жыл бұрын
Mkono mrefu ninavyojua ni WIZI sasa sijui serikali inamkono mrefu mmmh
@fredykyando1977 Жыл бұрын
Hongera sana osam kaka mkubwa hongera kwa busala zako. Hekima kubwa sana umeionesha maelezo mazuri sana umeyatoa watanzania tumekuelewa sana. Mungu akubariki na amekuongoza vema. Naitwa fredy from kyela mbeya.
@saleheinnocent7636
Жыл бұрын
Kyela Boy🔥
@ibnomar8144 Жыл бұрын
Dua ya mwenyewe kuzulumiwa haina paziya. Allah atajibu kwa wakati
@gawanilabakari8048
Жыл бұрын
Yani huo ni nyonyaji sana serekali ugaliee pande mbili huyo kaka yangu ana hata makosa .mimi huyo ni fundi wangu mkuuu kanijeengea nyumba yangu safi sana anamatatizo
@zawadjose5440
Жыл бұрын
Ila osoma kaonewa sana ,sema huwezi jua
@ibnomar8144
Жыл бұрын
@@zawadjose5440 Allah atamlipiya kwa sababu yeye pekee ndiye mjuzi zaidi kama sio hapa dunia basi akhera pako . Haya maisha ya dunia tu ni upuzi tu ila ustadh kaonesha kuteteya haki yake. Allah amjaliye subra na ampe badala ya icho
@rashidikanyama7227
Жыл бұрын
@@gawanilabakari8048 Dah anaonekana bhana
@aldaghariaziyz6420 Жыл бұрын
Inshallah kheir bro Allah ataleta nusra Yake , hakuna linaloshindikana chini ya jua ,serikali lazm impe haki yake Osama
@azzaalhabsi1505 Жыл бұрын
Pole sana kaka ahmed kwa yote kwanza umedhulumiwa na umeingia hasara ya ujenzi.haki yako haipotei kwa allah utaikuta hesabu.allah akufanyie wepesi na subira ya moyo Sema hasbiya llah waneema lwakeel.
@husseinchambau3015 Жыл бұрын
Kwenye hili akikosa haki yake bas na serekali watakuwa wameshiriki kupoteza haki yake
@maryamhannif897 Жыл бұрын
Inshallah mungu atakulipiaaa
@jasperashley3869 Жыл бұрын
Pole sana kaka Osama, hapo umezulumiwa waziwazi. Na watu wazulumati ndo utakuta waswali swala zote na kila siku ya ibada hawkosekani kanisani au msikitini. Inakera sana..
@husseinshabani9522 Жыл бұрын
Hii ni Dunia ....Tukumbuke Atutoishi milele...Tutaviacha Vyote vilivyopo Duniani...Tumuombe Allah Mwisho Mwema In sha Allah.
@theuniversetv2870 Жыл бұрын
Mhh Osama anaongea kwa upole lakini ameficha kizito moyoni ase pole Sana mkuu ila Kuna namna hapo pesa nzito imefanikisha juhudi za huyo mshakaji
@abuuhanifa4569
Жыл бұрын
mmh haya
@ussihadji2248 Жыл бұрын
Ma Sha Allah, hongera baba osama kwa kutumia hekma ya kufuata maagizo ya serikali, Allah akusimamie
@fidesbernard4835 Жыл бұрын
Pole shekhe mungu atakulipia pole mno mno,
@gidotesha6083 Жыл бұрын
Huyu jamaa iposiku atafanya mengi kuliko hamza ogopa sana MTU anakubali hakiyake ipotee kirahic
@saumjuma958 Жыл бұрын
Haki yako iko kwa Allah sheykhe usishindane na blis
@ahmadmpinzire5649 Жыл бұрын
Kuna utofauti sana kati ya watu wa pwani na bara,watu wa pwani haya mambo ni mepesi sana kwao,sio watu washari ama wakupenda migogoro hasa ya ujirani na undugu,sasa rudi kwetu bara,hatua moja tu ya ardhi lingekufa jitu hapo. Kwetu bara ila nimeishi mwambao wa pwani nilipapenda sana,watu wastaarabu,wana utu,wao kila dhulma ni mungu ataja lipa
@mersianantibakazi8474 Жыл бұрын
Mwislamu mshika dini mungu akupe maisha mema
@uviko8848 Жыл бұрын
Ww mwenye geti naamini utaona hii video na kujihisi shujaa lakin juwa utakufa tu siku moja ilo jumba atakuja kidume aishi na mkeo humo.
@Mimi-wf7mb Жыл бұрын
Osama umetenda wema sasa wema umekuponza. Hao ndiyo binadamu wenye hela zao (zetu)
@victorbugobola2276 Жыл бұрын
Hiyo nyumba itakuwa ya mtu mzito ndo maana ajatafutwa kuongea chochote mwny Get, waandishi mtafuteni na mwny nyumba kwani yy anasemaje.....!?
@ibnomar8144
Жыл бұрын
Mda utajibiwa tu katika huyu mgongo wa ardhi
@uviko8848 Жыл бұрын
Pepo ya matajiri Ni nguvu ipo duniani, pepo ya maskini Ni Sheria ipo mbinguni.
@shamzone388 Жыл бұрын
Subhana allah Muachie allah ndio hakim wa mahakim vuta subira zaid utapata haki yako...allah Anaona na anajua zaidi yetu haki ya mtu haipotei
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
Mungu ame wahi msaidia binadam yupi? Mimi naona kama tuna ji danganya kwa kumtegemea huku ndo tuna nyimwa haki
@romainswedy940 Жыл бұрын
Tanzania akuna justice ni kama Africa nzima mweye pesa njo iko na justice !magufuli mtamukumbuka
@radhiaomary5591 Жыл бұрын
Wenye pesa wanawadhulum masikini hata kama ni haki yao, Allah atakulipa ndugu Osama
@nooroman2535 Жыл бұрын
Pole sana Allah hatakulipa hapahapa duniani lnshaallah
@victorjames3730 Жыл бұрын
Huyu bwana sio fala kuruhusu eneo lake kumegwa kuna siku tutarudi kumsikiza tena
@ankotemba7369
Жыл бұрын
Amin bro
@AWetekatz
Жыл бұрын
Haya ndo yakina Amza. Tatizo wanachukulia mambo simpo simpo tyuuu. Hatupendi yatokee ila tuisubiri🤔🤔
@arqamibnarqam.7185
Жыл бұрын
Hilo liko wazi hata mie nimekwisha liona.
@edwardcosmas6359 Жыл бұрын
Pole sana brother
@rukiyatajir8064 Жыл бұрын
Bw. Ahmed umefanya vzr kutii amri. Lakini vyombo vinavyohusika wawajibishwe, vp inafika kutoa vibali feki kiasi hicho. Hiyo hasara uliyoipata Allah atakulipia na KWA MNYONGE KUNAENDA FURAHA LAKINI KWA JABARI KUNAENDA KILIO PENGINE SIO HAPA LAKINI KINASUBIRI. Hongera bw. Osama kwa subra yako.
@acramsalah5797 Жыл бұрын
SHEKHE DUA YA MTUH ALIEDHULIMIWA HAINA KIPINGAMIZI ...M/MUNGU ATAKULIPA INSHALLAH
@twaibutwabibu8809 Жыл бұрын
Allah atakulipia ndugu yetu.
@khamisrubea5083 Жыл бұрын
Umefanya jambo la mana kubomoa ayo mambo ya ardhi ni mambo ya kupita tu si ya kugombaniana ni upuuzi mtupu tunazikwa nyanda moja tu na dongo linatufatia juu yake
@petercostakisoka Жыл бұрын
Uyu jamaa kwelii mstarabu sana lakini cyo aki imefanyika kama kawapa eneo mkamgeuka makubaliano
@amanikimbee6559 Жыл бұрын
Tumekuelewa Osama huna baya
@kiehbhzh7044
Жыл бұрын
Huuu ndio utu👊big up kaka Allah atakubariki sn ila hii dunia ndogo sn
@fulgencekomba5770 Жыл бұрын
Hongera kaka osama
@gasparmpoma3860 Жыл бұрын
Once Darasa said "Kweli Dunia haiko Fair hii mwanangu imemtokea, yeye ni Innocent man na anaozea segerea" pole mzee Osama
@fatmasalim8293 Жыл бұрын
Allah atakulipa akhuyi 🥰🇴🇲🌹
@abdalahmjomba471 Жыл бұрын
akidai haki yake Kwa nguvu utasikia huyu nikundi Moja na hamza Dah pwh bhana
@princessagathakwaselema6866 Жыл бұрын
Ila wamemwonea huyu mzeee kwakweli wawngalie haki kwanini huyo aloingia kwenye eneo la mwenzake asibomoe sijapenda serikali imelalia upande mmoja lkn yote kwa yote huyu Mzee ana moyo mzuri sana
@martinemaganga2546
Жыл бұрын
Huyo atakuwa mtu wa serikali ndivyo walivyo.
@abrahmanifarouckissa5662 Жыл бұрын
Mungu yupo pamoja na wewe sheh wangu
@marvelmovier545 Жыл бұрын
Munguuu akupee subraa
@ahmadyabdallah4498 Жыл бұрын
Usiwaze mwanangu OSAMA njoo tujipangee
@ramadhanirashidi1821 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie
@faudhiamalllata290 Жыл бұрын
pole kaka
@fedelinamahenge6649 Жыл бұрын
Mungu akujalie mwisho mwema🙏
@fadymoses4994 Жыл бұрын
Mungu yupo pa1 naw kaka
@hannamakamba6108 Жыл бұрын
Majini
@abasiramadhani53095 ай бұрын
Salut
@mariamjuma4136 Жыл бұрын
Ukiwa mcha mungu raha sana Roho inakuwa ya utilivu kila jambo unaona la kupita tu Ata mtu akutengeshe vipi utasimama himara tu
@nunuuali5316 Жыл бұрын
Hongera kaka hakika umestaarabika.
@khamisjuma8501 Жыл бұрын
Good job Salam 🇺🇸
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Aliedhulumu atajuta. Allah hapigi kwa bakra.
@zaidyabdalah3691 Жыл бұрын
Huwezi kubishana na mwenye mahela yake bw. Osama, imeisha hiyooo
@hellaskarras1567 Жыл бұрын
Mungu atamlipia
@sudymgeni701 Жыл бұрын
Kama nikweli pole sana sana mungu atakulipia kikubwa zaidi ya hapo.
@mariasixmund7964 Жыл бұрын
Unaweza ukajiona umeshinda nyumba ikapigwa na radi utajua ujui
@mathewdeus9978 Жыл бұрын
Serikali siku zote najiulizaga serikali ni nini watu wamesha chukua pesa hapo tukae tuanze kuongelea haki KWELI KUWA UYAONE
@embeothman3631 Жыл бұрын
Basi hapo huyo mwenye geti kama namuona anavyochekelea! Moyoni anasema "Kikowapi??...umevunja hujavunja""
@nuuringoogle4104 Жыл бұрын
😳🙏🏽😢
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Dah
@marcondokeji8982 Жыл бұрын
Good
@hawayusuph6818 Жыл бұрын
Inshaallah mung atakulip km yey katumia pesa bas wew mung atakulip kwa namna yake....
@bonemwaminifu3935 Жыл бұрын
Sio vizuri
@GameZone-ww6hf Жыл бұрын
zanzibar hakuna haki mwenye mamlaka na mwenye watu serekalin ndio mtawala wanyonye hawana kimbilio
@saleheinnocent7636 Жыл бұрын
Uyo mwenye nyumba hiyo bila shaka anaweza kuwa mtu wa kwetu huku Bara maana kwa zenj Mambo izo sizan km ziko sana.
@suleimanissa5301 Жыл бұрын
Huyu ni shekhe shekh tafadhali usije ukachukua vitabu ukafanya yasiyo sawa tukammpoteza jiran maana asira za wa2 Kama Hawa huwa ni vitab
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
Busara ilikuwa itumike mwanzo sio mpaka iingie hasara jamani subiri haki yako
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Serekali imuangalie kwa jicho la imani huyu kaka hasara anayoipata nikubwa .
@dfinalpatrick8555
Жыл бұрын
hasaragani wakati Kafunga njia kwanini aside asiweke ukutatokakitambo hapo walitaka kumuuzia huyo jamaa eneolaget sasaimekulakwake rohombaya tu!!
@maryamkhamfar4029
Жыл бұрын
@@dfinalpatrick8555 wee unaijua story is yote hapo? Au unaandika tuu
@@dfinalpatrick8555 nyie ndiyo waropokaji bila hata kufaatilia mwanzo na Ata mwisho ujafika alipomaliza kuongea sijui mpoje eneo ni LA huyo Osama bado mnamkandia kwahiyo wewe ndiyo ndugu WA huye mwenye geti au😏😏😏😏😏
@sameerahmed2838
Жыл бұрын
@@dfinalpatrick8555 oya umenunua leo smartphone au naona unakiherehere cha ku COMMENTS........Fatilia story ya huyu ndio uje u COMMENTS huku, sio unakurupuka........kwanza huyo mwenye geti anatafutwa na WAANDISHI wa habari amejificha haonekani kwani nini akimbie WAANDISHI wa habari.......mbona mwenzie hajawakimbia??? Anahojiwa na anajibu vizuri tu yeye kinachomfanya awakimbie WAANDISHI wa habari nini???
@omarabeid7490 Жыл бұрын
Mmmh! Jamani eneo langu lipo lakini maana tupo mbali kumtafuta maisha maana Zenji acha tu,
@maryamhannif897 Жыл бұрын
Mungu atakulipia wema wako umezaaa.maovu
@adamapollo9859 Жыл бұрын
Wema wako utaukuta kwa mungu shek uko na hekma na wisilamu uavotakiwa pongezi sana
@bahatitumaini347 Жыл бұрын
Pole yako pesa ishafanya Kaz yake
@ummousty8781 Жыл бұрын
km njia ht huyo jamaa mwenye gate angebomoa gate lake watu wapite. ama wangebomoa wote wawili. ndio akher zaman mwenye haki atakudhulumiwa. na dhalim atapewa haki asiyostahik
@leekangtnt8247 Жыл бұрын
Baadae yakitokea ya hamza mtaanza kumraumu Osama serkali tenden haki Kwa hilo Kama pesa zpo utakufa utaziacha
Пікірлер: 246
Ulmfanyia hisani Leo unabomoa wew. Maskin Hana haki
Apo hakuna cha SERIKALI hakuna haki iliyofanyika pesa imetumika rushwa adui wa maendeleo.
@princemichael3023
Жыл бұрын
Kabisa
Huyu jamaaa kakosewa saana mwenye pesa dahh💔gvt acheni hivyo.
ILA HUYU AMESHIKA DINI SANA, YANI MSTAARABU SANA SANA!!!! NIMEMPENDA BUREEE
@frolianrevelian9782
Жыл бұрын
Huyu Jamaa Licha ya Dini atakuwa kapiga mafunzo ya kutosha ya #Karate ndo maana ni mpole Sana..
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Nimcha MUNGU nahiyo ndio maana halisi ya ucha MUNGU.
@irenekanza1601
Жыл бұрын
Y
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Nikweli ila hawajamtendea haki hata kidogo zurma zurma iropitiliza kowango cha TBS
huyu Osama anahofu yamungu na ubinaadamu sana semanini endereahivyohivyo mungu atakuongezea huyo mwenyenyumba amekosa adabu
MashaAllah!! Allah atakulipia inshaAllah☝️
Mungu yupo atakulipia kwa njia yeyote Ile usife moyo amino mungua atakulipa
Moyo huu wa uvumilivu ukisha vumilia Vya kutosha kinakachotokea hakuna atakae amini, Ustadhi apewe haki yake.
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Hakika MUNGU atamripia kama si hapa basi kesho ahera
@saleheinnocent7636
Жыл бұрын
Kabisa
Hongera sn Binafsi nimefurahi kwa maamuz uloyachukua japo serikali imetoa agizo. Kila mtu ameona kilichotendeka na dhahir haki Yako imepokwa, tofauti na mitazamo ya watu wengi ktk Imani ulonayo Leo umeonesha dhahir uhalisia, Mungu atakufanyia wepesi zaidi na kuikarbisha rizk kwako. Dunia adaa ulimwengu shujaa.
@frankenock2853
Жыл бұрын
Saaana tu ,niwazi ameonewa lakini broo kaamua yaishe kwa amani . Mwenyeezi Mungu ambariki.
@ramsikhamis7083
Жыл бұрын
Yaaniii nimeumia saaanaa na zoom kama ndo ningekuwa mm aisee🤦🏾♂️
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Serikari na huyo mwenyegeti lao moja kama ni kubomoa hata huyo wa gati lazima avunje ukuta arudi nyuma iweje wamzurumu mtu mmoja siyo haki nasema
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 kiatu hiki ni kizito sana
Huyo mwenye nyumba hiyo ya geti kama kahonga wallah hana maisha marefu kwa dhuruma aliyo ifanya
@victorjames3730
Жыл бұрын
MUNGU Fundi sana atafanya mambo yake
@carinamatt1031
Жыл бұрын
Kwa kweli mwisho wake huyo utakuwa mbaya Osama mwenyezi mungu atakulipia
@ramsikhamis7083
Жыл бұрын
Aminii kabisa ayaa Mambo yakumshtakia Munguu achana nayoo kabisaa
Huyu kaka nimemsikiliza nimemuelewa sana pole kaka Osama Mungu atakulipa maana wewe ulikuwa muungwana kwake lakini tazama alichokulipa usijari huku duniani hatukuja na kitu na tutarudi hivyo hivyo utajiri majumba mazuri magari mazuri vyote tutaviacha siku ya mwisho ikifika wewe unampenda Mungu sana pole malipo ni hapa hapa Duniani subiri na uone
Mungu akubariki. Tanzania ni ya amani. Mungu hamuachi mja wake. Bro. Big up Mungu ni mtetezi wa walio haki.
Ukiona mtu anakubali kirahisi hivo kupoteza haki yake tena mtu mwelewa kama huyu, Weka alama yakuuliza!
@jumaamrani3295
Жыл бұрын
kwann
@winfordmwangonda5375
Жыл бұрын
@@jumaamrani3295 Nadhani uislamu wake unamfanya hataki matatizo na mtu,unamfanya kuwa mtu mwema,anamtegemea Mungu,ongopa mwenye kumshitakia Mwenyezi Mungu.
@jumaamrani3295
Жыл бұрын
@@winfordmwangonda5375 nmekuelew Dada yang ubarikiwe
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Yani najikuta naogopa mimi huku kwakweli
Sheikh Osama, umefanya jambo la maana sana, mungu anakupenda kwa malipo mema ya duniyani na akhera. Mtu mwema hubakia na wema daima. Shukran.
Wenge bomoa wote wawili ....lakn hapa wamemzulumu....maskin....lakn Allah halali.....na tunaiman kumbwa Sana na Dr Mwinyi.....ataona na tutamsikia......
@jumaamrani3295
Жыл бұрын
Muna
Dah! Saw sheikh lkn kwnn huyo mbwa hajatoka yy
Hii ni dhulma ya wazi lkn sawa myonge hana haki
Mungu anajua zaidi mwenye haki atapata haki yake tuvute subra. Mwenyezi Mungu hajalala
Serikali ya Zanzibar acheni ujinga hamuwezi mukatoa maamuzi upande moja mafala kweli na wizara zenu za ardhi nyoo
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun ,,ni bora umefanya utu,,hii aridhi sote tutaiacha na inatusubiri kwa hamu kutumeza.
@mwanaishazain7985
Жыл бұрын
Inna li Lahi kafa nani?
Siku zote mwenye pesa sio mwenzako. Jamaa alojenga nyumba katumia nguvu ya pesa.
@irenemmbaga2160
Жыл бұрын
Sawa katumia nguvu ya pesa kujenga,ila akumbuke udhalimu alioufanya ipo cku atalipia,maana Mungu wetu ni wa haki. Duniani tunapta tu kwa nn amfanyie mwenzake hivo!
@mucci_AI
Жыл бұрын
@@irenemmbaga2160 😂😂
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
@@irenemmbaga2160 Mungu hana muda wa kumsaidia mwanadamu
@abdulyabubakar6247
Жыл бұрын
Sio kweli hana hata pesa masikini tu mmoja ila huyu mwamba amekubali tu yaishe kaamua matatizo yaishe ili maisha yaendelee hii ingekuwa ni hapa bara pangechimbika
@godimangare2520
Жыл бұрын
Mweu wewe
Maashallah kaka Ahmedi. Allah atakulipa kilalaheli lnshaallah
@kawtharalbarwani1337
Жыл бұрын
Amiin thumma amiin
Umefanya jamabo la maana sana .Hivyo ndivyo tunavyotafuta amani SAFIII.
@jumasoli7818
Жыл бұрын
Aman sawa je hasara anayoipata Osama vp hapo
Sijaona kama haki ime tendeka huyo alie jenga geti kwa uchokozi ni mtu mbaya sana yani kusema kwel maskini hana maaana kwenye serikali zetu ndio maana kumuachia Mungu ni ujinga duniani mtu hawezi pata haki kama Hana pesa ama madaraka
Osama amedhulumiwa!! Tajiri kahonga watu wa mipango miji.
Wamekudhulumu Mungu atakulipia,ndo maana Mimi kwenye eneo langu hàbari ooh watu wanapita njia sitaki kabisaaa,wanaanza kupita mwisho wanarasimisha ndo yanakuwa Kama haya,na huyo jirani sio mstaarabu.
Mkono mrefu ninavyojua ni WIZI sasa sijui serikali inamkono mrefu mmmh
Hongera sana osam kaka mkubwa hongera kwa busala zako. Hekima kubwa sana umeionesha maelezo mazuri sana umeyatoa watanzania tumekuelewa sana. Mungu akubariki na amekuongoza vema. Naitwa fredy from kyela mbeya.
@saleheinnocent7636
Жыл бұрын
Kyela Boy🔥
Dua ya mwenyewe kuzulumiwa haina paziya. Allah atajibu kwa wakati
@gawanilabakari8048
Жыл бұрын
Yani huo ni nyonyaji sana serekali ugaliee pande mbili huyo kaka yangu ana hata makosa .mimi huyo ni fundi wangu mkuuu kanijeengea nyumba yangu safi sana anamatatizo
@zawadjose5440
Жыл бұрын
Ila osoma kaonewa sana ,sema huwezi jua
@ibnomar8144
Жыл бұрын
@@zawadjose5440 Allah atamlipiya kwa sababu yeye pekee ndiye mjuzi zaidi kama sio hapa dunia basi akhera pako . Haya maisha ya dunia tu ni upuzi tu ila ustadh kaonesha kuteteya haki yake. Allah amjaliye subra na ampe badala ya icho
@rashidikanyama7227
Жыл бұрын
@@gawanilabakari8048 Dah anaonekana bhana
Inshallah kheir bro Allah ataleta nusra Yake , hakuna linaloshindikana chini ya jua ,serikali lazm impe haki yake Osama
Pole sana kaka ahmed kwa yote kwanza umedhulumiwa na umeingia hasara ya ujenzi.haki yako haipotei kwa allah utaikuta hesabu.allah akufanyie wepesi na subira ya moyo Sema hasbiya llah waneema lwakeel.
Kwenye hili akikosa haki yake bas na serekali watakuwa wameshiriki kupoteza haki yake
Inshallah mungu atakulipiaaa
Pole sana kaka Osama, hapo umezulumiwa waziwazi. Na watu wazulumati ndo utakuta waswali swala zote na kila siku ya ibada hawkosekani kanisani au msikitini. Inakera sana..
Hii ni Dunia ....Tukumbuke Atutoishi milele...Tutaviacha Vyote vilivyopo Duniani...Tumuombe Allah Mwisho Mwema In sha Allah.
Mhh Osama anaongea kwa upole lakini ameficha kizito moyoni ase pole Sana mkuu ila Kuna namna hapo pesa nzito imefanikisha juhudi za huyo mshakaji
@abuuhanifa4569
Жыл бұрын
mmh haya
Ma Sha Allah, hongera baba osama kwa kutumia hekma ya kufuata maagizo ya serikali, Allah akusimamie
Pole shekhe mungu atakulipia pole mno mno,
Huyu jamaa iposiku atafanya mengi kuliko hamza ogopa sana MTU anakubali hakiyake ipotee kirahic
Haki yako iko kwa Allah sheykhe usishindane na blis
Kuna utofauti sana kati ya watu wa pwani na bara,watu wa pwani haya mambo ni mepesi sana kwao,sio watu washari ama wakupenda migogoro hasa ya ujirani na undugu,sasa rudi kwetu bara,hatua moja tu ya ardhi lingekufa jitu hapo. Kwetu bara ila nimeishi mwambao wa pwani nilipapenda sana,watu wastaarabu,wana utu,wao kila dhulma ni mungu ataja lipa
Mwislamu mshika dini mungu akupe maisha mema
Ww mwenye geti naamini utaona hii video na kujihisi shujaa lakin juwa utakufa tu siku moja ilo jumba atakuja kidume aishi na mkeo humo.
Osama umetenda wema sasa wema umekuponza. Hao ndiyo binadamu wenye hela zao (zetu)
Hiyo nyumba itakuwa ya mtu mzito ndo maana ajatafutwa kuongea chochote mwny Get, waandishi mtafuteni na mwny nyumba kwani yy anasemaje.....!?
@ibnomar8144
Жыл бұрын
Mda utajibiwa tu katika huyu mgongo wa ardhi
Pepo ya matajiri Ni nguvu ipo duniani, pepo ya maskini Ni Sheria ipo mbinguni.
Subhana allah Muachie allah ndio hakim wa mahakim vuta subira zaid utapata haki yako...allah Anaona na anajua zaidi yetu haki ya mtu haipotei
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
Mungu ame wahi msaidia binadam yupi? Mimi naona kama tuna ji danganya kwa kumtegemea huku ndo tuna nyimwa haki
Tanzania akuna justice ni kama Africa nzima mweye pesa njo iko na justice !magufuli mtamukumbuka
Wenye pesa wanawadhulum masikini hata kama ni haki yao, Allah atakulipa ndugu Osama
Pole sana Allah hatakulipa hapahapa duniani lnshaallah
Huyu bwana sio fala kuruhusu eneo lake kumegwa kuna siku tutarudi kumsikiza tena
@ankotemba7369
Жыл бұрын
Amin bro
@AWetekatz
Жыл бұрын
Haya ndo yakina Amza. Tatizo wanachukulia mambo simpo simpo tyuuu. Hatupendi yatokee ila tuisubiri🤔🤔
@arqamibnarqam.7185
Жыл бұрын
Hilo liko wazi hata mie nimekwisha liona.
Pole sana brother
Bw. Ahmed umefanya vzr kutii amri. Lakini vyombo vinavyohusika wawajibishwe, vp inafika kutoa vibali feki kiasi hicho. Hiyo hasara uliyoipata Allah atakulipia na KWA MNYONGE KUNAENDA FURAHA LAKINI KWA JABARI KUNAENDA KILIO PENGINE SIO HAPA LAKINI KINASUBIRI. Hongera bw. Osama kwa subra yako.
SHEKHE DUA YA MTUH ALIEDHULIMIWA HAINA KIPINGAMIZI ...M/MUNGU ATAKULIPA INSHALLAH
Allah atakulipia ndugu yetu.
Umefanya jambo la mana kubomoa ayo mambo ya ardhi ni mambo ya kupita tu si ya kugombaniana ni upuuzi mtupu tunazikwa nyanda moja tu na dongo linatufatia juu yake
Uyu jamaa kwelii mstarabu sana lakini cyo aki imefanyika kama kawapa eneo mkamgeuka makubaliano
Tumekuelewa Osama huna baya
@kiehbhzh7044
Жыл бұрын
Huuu ndio utu👊big up kaka Allah atakubariki sn ila hii dunia ndogo sn
Hongera kaka osama
Once Darasa said "Kweli Dunia haiko Fair hii mwanangu imemtokea, yeye ni Innocent man na anaozea segerea" pole mzee Osama
Allah atakulipa akhuyi 🥰🇴🇲🌹
akidai haki yake Kwa nguvu utasikia huyu nikundi Moja na hamza Dah pwh bhana
Ila wamemwonea huyu mzeee kwakweli wawngalie haki kwanini huyo aloingia kwenye eneo la mwenzake asibomoe sijapenda serikali imelalia upande mmoja lkn yote kwa yote huyu Mzee ana moyo mzuri sana
@martinemaganga2546
Жыл бұрын
Huyo atakuwa mtu wa serikali ndivyo walivyo.
Mungu yupo pamoja na wewe sheh wangu
Munguuu akupee subraa
Usiwaze mwanangu OSAMA njoo tujipangee
Mungu akuzidishie
pole kaka
Mungu akujalie mwisho mwema🙏
Mungu yupo pa1 naw kaka
Majini
Salut
Ukiwa mcha mungu raha sana Roho inakuwa ya utilivu kila jambo unaona la kupita tu Ata mtu akutengeshe vipi utasimama himara tu
Hongera kaka hakika umestaarabika.
Good job Salam 🇺🇸
Aliedhulumu atajuta. Allah hapigi kwa bakra.
Huwezi kubishana na mwenye mahela yake bw. Osama, imeisha hiyooo
Mungu atamlipia
Kama nikweli pole sana sana mungu atakulipia kikubwa zaidi ya hapo.
Unaweza ukajiona umeshinda nyumba ikapigwa na radi utajua ujui
Serikali siku zote najiulizaga serikali ni nini watu wamesha chukua pesa hapo tukae tuanze kuongelea haki KWELI KUWA UYAONE
Basi hapo huyo mwenye geti kama namuona anavyochekelea! Moyoni anasema "Kikowapi??...umevunja hujavunja""
😳🙏🏽😢
Dah
Good
Inshaallah mung atakulip km yey katumia pesa bas wew mung atakulip kwa namna yake....
Sio vizuri
zanzibar hakuna haki mwenye mamlaka na mwenye watu serekalin ndio mtawala wanyonye hawana kimbilio
Uyo mwenye nyumba hiyo bila shaka anaweza kuwa mtu wa kwetu huku Bara maana kwa zenj Mambo izo sizan km ziko sana.
Huyu ni shekhe shekh tafadhali usije ukachukua vitabu ukafanya yasiyo sawa tukammpoteza jiran maana asira za wa2 Kama Hawa huwa ni vitab
Busara ilikuwa itumike mwanzo sio mpaka iingie hasara jamani subiri haki yako
Serekali imuangalie kwa jicho la imani huyu kaka hasara anayoipata nikubwa .
@dfinalpatrick8555
Жыл бұрын
hasaragani wakati Kafunga njia kwanini aside asiweke ukutatokakitambo hapo walitaka kumuuzia huyo jamaa eneolaget sasaimekulakwake rohombaya tu!!
@maryamkhamfar4029
Жыл бұрын
@@dfinalpatrick8555 wee unaijua story is yote hapo? Au unaandika tuu
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
@@dfinalpatrick8555 usilopoketu fatilia mwanzo ujue hakiya Nani huyu baba anaimani maashallah
@sarahomary3615
Жыл бұрын
@@dfinalpatrick8555 nyie ndiyo waropokaji bila hata kufaatilia mwanzo na Ata mwisho ujafika alipomaliza kuongea sijui mpoje eneo ni LA huyo Osama bado mnamkandia kwahiyo wewe ndiyo ndugu WA huye mwenye geti au😏😏😏😏😏
@sameerahmed2838
Жыл бұрын
@@dfinalpatrick8555 oya umenunua leo smartphone au naona unakiherehere cha ku COMMENTS........Fatilia story ya huyu ndio uje u COMMENTS huku, sio unakurupuka........kwanza huyo mwenye geti anatafutwa na WAANDISHI wa habari amejificha haonekani kwani nini akimbie WAANDISHI wa habari.......mbona mwenzie hajawakimbia??? Anahojiwa na anajibu vizuri tu yeye kinachomfanya awakimbie WAANDISHI wa habari nini???
Mmmh! Jamani eneo langu lipo lakini maana tupo mbali kumtafuta maisha maana Zenji acha tu,
Mungu atakulipia wema wako umezaaa.maovu
Wema wako utaukuta kwa mungu shek uko na hekma na wisilamu uavotakiwa pongezi sana
Pole yako pesa ishafanya Kaz yake
km njia ht huyo jamaa mwenye gate angebomoa gate lake watu wapite. ama wangebomoa wote wawili. ndio akher zaman mwenye haki atakudhulumiwa. na dhalim atapewa haki asiyostahik
Baadae yakitokea ya hamza mtaanza kumraumu Osama serkali tenden haki Kwa hilo Kama pesa zpo utakufa utaziacha
daah ahksante 😭😭😭😭 kaka daah MUNGU yuu nawee
One love Osama haki haipotei