MJASIRIAMALI MUUZA KARANGA AFUNGUKA, AMILIKI NYUMBA YA MIL.30, ASOMESHA MTOTO UDOM, MTAJI WA ELFU 10

Пікірлер: 91

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu93723 күн бұрын

    INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk22 күн бұрын

    Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada

  • @HusnaMtitiko-yt4ru
    @HusnaMtitiko-yt4ru22 күн бұрын

    Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️

  • @chikujuma18
    @chikujuma1823 күн бұрын

    Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA23 күн бұрын

    Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring

  • @seneu.2128
    @seneu.212821 күн бұрын

    Hongera dada wewe sasa ndio super woman.

  • @rosemilingi7860

    @rosemilingi7860

    15 күн бұрын

    Kabisaaaa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud298322 күн бұрын

    Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv559420 күн бұрын

    Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.

  • @husnasalim9614
    @husnasalim96149 күн бұрын

    Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️

  • @Kabwela776
    @Kabwela77623 күн бұрын

    Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard483523 күн бұрын

    Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum727923 күн бұрын

    Karanga zina lipa sana

  • @WilliamIbrahim-dt5nb
    @WilliamIbrahim-dt5nb23 күн бұрын

    Hongera sana

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115418 күн бұрын

    Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear

  • @candyismail1256
    @candyismail125623 күн бұрын

    Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi743823 күн бұрын

    Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.

  • @focus140

    @focus140

    23 күн бұрын

    Kabisa

  • @J_Jeromy

    @J_Jeromy

    23 күн бұрын

    Amiin

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour276413 күн бұрын

    Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako

  • @daudimichael7338
    @daudimichael733823 күн бұрын

    Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni

  • @user-sj5le4sf7i
    @user-sj5le4sf7i21 күн бұрын

    Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza

  • @AsiaSalim-e4d
    @AsiaSalim-e4d22 күн бұрын

    Masha ALLAH hongera sana ❤

  • @user-nc9il2fj1i
    @user-nc9il2fj1i18 күн бұрын

    Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe

  • @FghgRyy
    @FghgRyy14 күн бұрын

    Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah

  • @omanmct135
    @omanmct13523 күн бұрын

    Vizuri sana dada❤❤❤

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya201722 күн бұрын

    Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.

  • @yusramichael585
    @yusramichael58521 күн бұрын

    Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn

  • @SurprisedBanyanTree-wu1cg
    @SurprisedBanyanTree-wu1cg22 күн бұрын

    Hongera sana dada

  • @magrethelikanah5110
    @magrethelikanah511018 күн бұрын

    Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.

  • @beatykrisam81
    @beatykrisam8122 күн бұрын

    Mungu nisaidie na mm

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim279419 күн бұрын

    Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki23 күн бұрын

    Be blessed Bertha

  • @stonetown578
    @stonetown57822 күн бұрын

    Allah atazidi kukuongoza.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya326822 күн бұрын

    Hongera Sana mpendwa wangu

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga375021 күн бұрын

    Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona

  • @RajabuLesali
    @RajabuLesali23 күн бұрын

    Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal

  • @ayshunamir
    @ayshunamir21 күн бұрын

    MashaAllah

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz22 күн бұрын

    Hongera sana dada mzuri

  • @NellyFrancis-nn3qb
    @NellyFrancis-nn3qb14 күн бұрын

    Hongera

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum727923 күн бұрын

    Hongera sana mom😢

  • @GabrielMwakasagule
    @GabrielMwakasagule23 күн бұрын

    Hongera sana mama

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654122 күн бұрын

    Mainshaallah

  • @richardrichope3528
    @richardrichope352823 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @devothaemanuel
    @devothaemanuel22 күн бұрын

    Hongera Mama

  • @pceodhc
    @pceodhc22 күн бұрын

    Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾

  • @communicativegirls4433
    @communicativegirls443312 күн бұрын

    Hii ni historia inayoleta nguvu.

  • @annastaziaemmanuel8664
    @annastaziaemmanuel86649 күн бұрын

    Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg17 күн бұрын

    Kwakweli Mungu ni mwema

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c17 күн бұрын

    Amen

  • @user-kb7zn8lm8m
    @user-kb7zn8lm8m19 күн бұрын

    Inapendeza mama mjasiriamali

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo20 күн бұрын

    🎉🎉❤

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma490222 күн бұрын

    💯

  • @EshaMichael-zw7zi
    @EshaMichael-zw7zi22 күн бұрын

    🙏

  • @NIKIZAGloria-l2k
    @NIKIZAGloria-l2k9 күн бұрын

    Mfano wa kuiga

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen814919 күн бұрын

    Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga375021 күн бұрын

    Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha

  • @MyMercy84

    @MyMercy84

    10 күн бұрын

    Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?

  • @FelisterNampoka
    @FelisterNampoka22 күн бұрын

    Ongera dada

  • @khadijamohamed3043
    @khadijamohamed304322 күн бұрын

    AMIIN

  • @ZawadMussa-sd1od
    @ZawadMussa-sd1od22 күн бұрын

    Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana

  • @happykiwelu1451
    @happykiwelu145122 күн бұрын

    Hiyo ndo Mwanamke wa shoka

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda314623 күн бұрын

    😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl23 күн бұрын

    Basi. Sawa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin952021 күн бұрын

    Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b22 күн бұрын

    Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake

  • @MyMercy84

    @MyMercy84

    10 күн бұрын

    Wanaishiaga kujuta sana

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen814919 күн бұрын

    Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha

  • @immadangote6001
    @immadangote600123 күн бұрын

    Tumepigwa

  • @ziggertv3185

    @ziggertv3185

    22 күн бұрын

    Kwavile unategemea ajira utapata tabu

  • @user-yd9ds1zs1i
    @user-yd9ds1zs1i23 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!

  • @AshuraMbwana

    @AshuraMbwana

    23 күн бұрын

    Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu

  • @mariamdullazy8166

    @mariamdullazy8166

    23 күн бұрын

    Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza

  • @user-yd9ds1zs1i

    @user-yd9ds1zs1i

    23 күн бұрын

    @@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana

  • @privasara3971

    @privasara3971

    23 күн бұрын

    Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.

  • @svt3

    @svt3

    22 күн бұрын

    ​@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti

  • @edishaa3108
    @edishaa310822 күн бұрын

    Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅

  • @user-sc9fe7nk6y

    @user-sc9fe7nk6y

    18 күн бұрын

    Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa

  • @user-dy9fr2mi5n

    @user-dy9fr2mi5n

    9 күн бұрын

    Naunga mkono

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo816323 күн бұрын

    Karanga hizihizi ??

  • @SaadaAlsheibani

    @SaadaAlsheibani

    23 күн бұрын

    Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    23 күн бұрын

    Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.

  • @meddixempire292
    @meddixempire29221 күн бұрын

    Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga375021 күн бұрын

    Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja

  • @estherdavid4133
    @estherdavid413322 күн бұрын

    Hongera sana dada

Келесі