MJASIRIAMALI MUUZA KARANGA AFUNGUKA, AMILIKI NYUMBA YA MIL.30, ASOMESHA MTOTO UDOM, MTAJI WA ELFU 10
Жүктеу.....
Пікірлер: 91
@pendokissatu93723 күн бұрын
INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
@LovelyFishingRod-ij7mk22 күн бұрын
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
@HusnaMtitiko-yt4ru22 күн бұрын
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
@chikujuma1823 күн бұрын
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
@sir_ENOCKMACHA23 күн бұрын
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
@seneu.212821 күн бұрын
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
@rosemilingi7860
15 күн бұрын
Kabisaaaa
@shakilamasoud298322 күн бұрын
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
@knowledgetv559420 күн бұрын
Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
@husnasalim96149 күн бұрын
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
@Kabwela77623 күн бұрын
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
@fidesbernard483523 күн бұрын
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
@faudhiasalum727923 күн бұрын
Karanga zina lipa sana
@WilliamIbrahim-dt5nb23 күн бұрын
Hongera sana
@ukhutfatumah115418 күн бұрын
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
@candyismail125623 күн бұрын
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
@gracekunambi743823 күн бұрын
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
@focus140
23 күн бұрын
Kabisa
@J_Jeromy
23 күн бұрын
Amiin
@fatmamansour276413 күн бұрын
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
@daudimichael733823 күн бұрын
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
@user-sj5le4sf7i21 күн бұрын
Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza
@AsiaSalim-e4d22 күн бұрын
Masha ALLAH hongera sana ❤
@user-nc9il2fj1i18 күн бұрын
Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe
@FghgRyy14 күн бұрын
Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah
@omanmct13523 күн бұрын
Vizuri sana dada❤❤❤
@emmanueltillya201722 күн бұрын
Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.
@yusramichael58521 күн бұрын
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn
@SurprisedBanyanTree-wu1cg22 күн бұрын
Hongera sana dada
@magrethelikanah511018 күн бұрын
Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.
@beatykrisam8122 күн бұрын
Mungu nisaidie na mm
@zuwenasalim279419 күн бұрын
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
@EvarineMdaki23 күн бұрын
Be blessed Bertha
@stonetown57822 күн бұрын
Allah atazidi kukuongoza.
@tumainichanya326822 күн бұрын
Hongera Sana mpendwa wangu
@tidomilinga375021 күн бұрын
Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona
@RajabuLesali23 күн бұрын
Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal
@ayshunamir21 күн бұрын
MashaAllah
@Mlokoz_twangalatwz22 күн бұрын
Hongera sana dada mzuri
@NellyFrancis-nn3qb14 күн бұрын
Hongera
@faudhiasalum727923 күн бұрын
Hongera sana mom😢
@GabrielMwakasagule23 күн бұрын
Hongera sana mama
@aboudasilver654122 күн бұрын
Mainshaallah
@richardrichope352823 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@devothaemanuel22 күн бұрын
Hongera Mama
@pceodhc22 күн бұрын
Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾
@communicativegirls443312 күн бұрын
Hii ni historia inayoleta nguvu.
@annastaziaemmanuel86649 күн бұрын
Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa
@GRACENyanda-cn3pg17 күн бұрын
Kwakweli Mungu ni mwema
@user-hw7kz8rv2c17 күн бұрын
Amen
@user-kb7zn8lm8m19 күн бұрын
Inapendeza mama mjasiriamali
@godfreyally-ps3fo20 күн бұрын
🎉🎉❤
@khamismtoma490222 күн бұрын
💯
@EshaMichael-zw7zi22 күн бұрын
🙏
@NIKIZAGloria-l2k9 күн бұрын
Mfano wa kuiga
@maseleenaesleen814919 күн бұрын
Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia
@tidomilinga375021 күн бұрын
Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha
@MyMercy84
10 күн бұрын
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
@FelisterNampoka22 күн бұрын
Ongera dada
@khadijamohamed304322 күн бұрын
AMIIN
@ZawadMussa-sd1od22 күн бұрын
Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana
@happykiwelu145122 күн бұрын
Hiyo ndo Mwanamke wa shoka
@vicentmapunda314623 күн бұрын
😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa
@HanifaOman-oo4pl23 күн бұрын
Basi. Sawa
@zainabumartin952021 күн бұрын
Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga
@user-ur8cq1ye3b22 күн бұрын
Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake
@MyMercy84
10 күн бұрын
Wanaishiaga kujuta sana
@maseleenaesleen814919 күн бұрын
Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha
@immadangote600123 күн бұрын
Tumepigwa
@ziggertv3185
22 күн бұрын
Kwavile unategemea ajira utapata tabu
@user-yd9ds1zs1i23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!
@AshuraMbwana
23 күн бұрын
Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu
@mariamdullazy8166
23 күн бұрын
Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza
@user-yd9ds1zs1i
23 күн бұрын
@@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana
@privasara3971
23 күн бұрын
Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.
@svt3
22 күн бұрын
@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
@edishaa310822 күн бұрын
Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅
@user-sc9fe7nk6y
18 күн бұрын
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
@user-dy9fr2mi5n
9 күн бұрын
Naunga mkono
@mwamvuamagongo816323 күн бұрын
Karanga hizihizi ??
@SaadaAlsheibani
23 күн бұрын
Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂
@dicksonkilupa2258
23 күн бұрын
Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.
@meddixempire29221 күн бұрын
Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa
Пікірлер: 91
INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
@rosemilingi7860
15 күн бұрын
Kabisaaaa
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
Karanga zina lipa sana
Hongera sana
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
@focus140
23 күн бұрын
Kabisa
@J_Jeromy
23 күн бұрын
Amiin
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza
Masha ALLAH hongera sana ❤
Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe
Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah
Vizuri sana dada❤❤❤
Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn
Hongera sana dada
Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.
Mungu nisaidie na mm
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
Be blessed Bertha
Allah atazidi kukuongoza.
Hongera Sana mpendwa wangu
Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona
Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal
MashaAllah
Hongera sana dada mzuri
Hongera
Hongera sana mom😢
Hongera sana mama
Mainshaallah
🎉🎉🎉🎉
Hongera Mama
Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾
Hii ni historia inayoleta nguvu.
Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa
Kwakweli Mungu ni mwema
Amen
Inapendeza mama mjasiriamali
🎉🎉❤
💯
🙏
Mfano wa kuiga
Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia
Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha
@MyMercy84
10 күн бұрын
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
Ongera dada
AMIIN
Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana
Hiyo ndo Mwanamke wa shoka
😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa
Basi. Sawa
Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga
Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake
@MyMercy84
10 күн бұрын
Wanaishiaga kujuta sana
Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha
Tumepigwa
@ziggertv3185
22 күн бұрын
Kwavile unategemea ajira utapata tabu
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!
@AshuraMbwana
23 күн бұрын
Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu
@mariamdullazy8166
23 күн бұрын
Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza
@user-yd9ds1zs1i
23 күн бұрын
@@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana
@privasara3971
23 күн бұрын
Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.
@svt3
22 күн бұрын
@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅
@user-sc9fe7nk6y
18 күн бұрын
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
@user-dy9fr2mi5n
9 күн бұрын
Naunga mkono
Karanga hizihizi ??
@SaadaAlsheibani
23 күн бұрын
Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂
@dicksonkilupa2258
23 күн бұрын
Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.
Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa
Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja
Hongera sana dada