Mtanzania Benjamin alivyonyoa Nywele Marekani alafu mfukoni pesa haitoshi

Benjamin Fernandes ni Mtanzania ambaye kila mmoja anaefahamu historia yake anafurahia jinsi alivyofanikiwa hivi karibuni mpaka akafanikiwa kupata kazi kwenye kampuni ya tajiri wa dunia Bill Gates.
Kwenye hii video Benjamin anatupa sehemu ya historia yake na jinsi alivyokua anafeli Darasani lakini pia anaelezea jinsi alivyofika Marekani na alichokutana nacho.

Пікірлер: 43

  • @telesphorebideberi4298
    @telesphorebideberi42987 жыл бұрын

    God is good Benjamin. God has lifted you high and WILL do more to you. Amen

  • @shohamuwokovuhalisi.2648
    @shohamuwokovuhalisi.26487 жыл бұрын

    I like his story. .everything is possible if you believe in GOD and yourself. Amen

  • @mzanionlinetv1010

    @mzanionlinetv1010

    7 жыл бұрын

    thnks kijana ,naamn without god it's imposble

  • @Jackiedaniel75
    @Jackiedaniel755 жыл бұрын

    huyu jamaa ni billionaire.. I'm inspired

  • @rhodamoraa3166
    @rhodamoraa31667 жыл бұрын

    gud interview learnt alot

  • @dioben7845
    @dioben78457 жыл бұрын

    Asante bro nimejifunza kujiahamin thanks

  • @sphrb1063
    @sphrb10637 жыл бұрын

    wow nice bro

  • @happychipanyanga2021
    @happychipanyanga20217 жыл бұрын

    thanks brother umenifunza Ku yote yanawezekana km ukiamua

  • @kato_tz
    @kato_tz7 жыл бұрын

    I am more inspired bro, hii imenionyesha hakuna ajuaye mwisho wake bali bidii na shauku yake ya kufika at the peak

  • @danielromario5183
    @danielromario51837 жыл бұрын

    the best motivation iv ever heard

  • @allyomary9318
    @allyomary93187 жыл бұрын

    keep it up fernandez

  • @sidiwizysidwzy533
    @sidiwizysidwzy5335 жыл бұрын

    nice bro

  • @tkvlogs3969
    @tkvlogs39697 жыл бұрын

    kwenye hilo la njia ya kufundisha tunatakiwa tujifunze sana watanzania , tusikariri kwa ajili ya mitihani bali kuelewa na walimu wanatakiwa kuwapa nafasi wanafunzi ya kueleza maoni yao ili kujenga confidence .

  • @blackmamba7553
    @blackmamba75535 жыл бұрын

    "I need to be the head and not a tail" kama unaamini unaweza like tue pamoja

  • @wachachemwenda2003
    @wachachemwenda20037 жыл бұрын

    nice

  • @linagakii7151
    @linagakii71517 жыл бұрын

    Always don't judge 📖📖by it 📕📚

  • @gangmember1575
    @gangmember15757 жыл бұрын

    America kitu kingne xio bongo dola kule

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie29265 жыл бұрын

    nic broo ,,, nimejifunza kitu

  • @sankofa2231
    @sankofa22317 жыл бұрын

    Vizuri umerudi kusaidia kujenga nchi. Wenzako tumerudi Bongo miaka mingi iliyopita, tumeacha kazi sehemu kubwa kubwa tuu in Wall street, Gov institutions, na Pharmaceutical companies. Wengine na Phd zao tumewaacha huko...

  • @ezekielmbise3723
    @ezekielmbise37237 жыл бұрын

    glory to god

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68805 жыл бұрын

    😂😂😂 kwenye duka la kukatia nywele, nmeipenda sana iyo...

  • @geofreykaholwe2499
    @geofreykaholwe24995 жыл бұрын

    Huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja kutoka kwa huyu jamaa. Anasema kazaliwa Tanzania na kukulia Tanzania. Kwanini Kiswahili kinampiga chenga? By the way yuko vizuri sana. ANAJIELEWA.

  • @khadijajuma7142

    @khadijajuma7142

    5 жыл бұрын

    Wahindi wengi tu Tz mbona hawajui kiswahili japo wamezaliwa na kukulia Tz mpk leo.Tena huyu anajitahidi sanaaa. Wenzetu hawa wamezaliwa Tz hata wazazi wao pia lakin mara nyingi wanatumia lugha za mababu na mabibi zao ,na kiiingereza tu japo ni Watanzania. Af mashule wanayoenda sio Kayumba,wanasoma shule ambazo wanafunzi wooote wanaongea kiingereza tu kwa mda mrefu,akienda nyumbani hivyo hivyo kiswahili sio sana.Unafikiri ataweza kuongea kama mswahili wa uswazi huko+ shuleni Kiswahili masaa yote unaingia hadi unatoka.Nyumbani ndo usiseme,kiswahili cha kila rangi unaongea. Hamuwezi kufanana bro

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile94397 жыл бұрын

    👏👏👏👏

  • @maryshirima3049
    @maryshirima30497 жыл бұрын

    sjui watu kama hawa tunawatumiaje ? altakiwa afanye formation ya dira ya taifa.....

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv63554 жыл бұрын

    2019

  • @ashurathomas482
    @ashurathomas4825 жыл бұрын

    Lakini kiswahili chake mmmmh sijui inglish imemukaa sana 😅😅😅

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81145 жыл бұрын

    watanzania tunaupendo sana na huruma

  • @fafi9092
    @fafi90927 жыл бұрын

    Kunabahaz yawatu wanaona marekan kama mbingun vile

  • @muddaththirhamoud1240

    @muddaththirhamoud1240

    7 жыл бұрын

    Fafi 90 yah ni kweli but alipofika wewe hujafika sasa usimtilie kijicho mwenzio

  • @abdallahdataguy

    @abdallahdataguy

    7 жыл бұрын

    sio kijicho. ameongea point muhimu sana. Yaani waswahili wanaona kuishi marekani ni kama wameingia peponi. aibu sana hii

  • @joycejohn7754
    @joycejohn77547 жыл бұрын

    mwalimu wa kbongo ukiulza sana lazma uchukiwe elmu ya bongo bhana?

  • @beentertained537
    @beentertained5375 жыл бұрын

    Naweza pata his contract

  • @omarymrisho1674
    @omarymrisho16747 жыл бұрын

    mchawi pesa nazani ndo imekusaidia wewe

  • @abusalman5139

    @abusalman5139

    7 жыл бұрын

    Asante

  • @kidahyarevocatus8203

    @kidahyarevocatus8203

    7 жыл бұрын

    Omary Mrisho 😁😁😂😂

  • @ibrahimbalhawasel5458

    @ibrahimbalhawasel5458

    7 жыл бұрын

    Omary Mrisho :SAWA KABISA DADA YAKE WALIKUWA ANAAKILI SANA SHULENI,AKAPATA KUZAWADIWA SCHOLARSHIP KWENDA SOMA OVERSEAS NA YEYE ALIKUWA MTUNDU SANA NA ALIKUA DAIMAN WA MWISHO LAKINI AKAVUTA SOCKS JUU AKASEMA MUNGU NISAIDIE NIWE WA KWANZA KABISA,MUNGU AKAMSAIDIA PIA AKAPATA SCHOLARSHIP KAMA VILE DADA YAKE. AKATOKEA WAKWANZA KATIKA WANAFUNZI WOTE MAREKANI ,NAMIMI LAZIMA NIPANDISHE SOCKS JUU KAMA YEYE,SORRY KAZI KUBWA HII NIMISAHAU SOCKS ZANGU ZA ZAMANI ZISIJE ZIKACHANIKA.

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84995 жыл бұрын

    Jmn kaka ndg yng unapatikan wp mm nakutafuta nakuomba nitafute kwa no yng hii +255622259604 nipo imo tu kwa no hii kam unatumia WhatsApp nitumie tutafutane kimaisha kaka

  • @matarasteven5715
    @matarasteven57157 жыл бұрын

    Huyu atakuwa mtoto wa Mtumishi wa Mungu Fernandis wa ATN. Hakika kumtumikia Mungu kunalipa hadi watoto wananyanyuliwa.

  • @JBB875

    @JBB875

    6 жыл бұрын

    Matara Steven kabisa yan. Kumtumikia MUNGU kuna faida. yule Mchungaji venon Fernandez. Na mkewe ann fernandes wa television ya ATN.

  • @jacksonmkuye7739

    @jacksonmkuye7739

    6 жыл бұрын

    Kwel kaka uyu ni mtoto wa venon fernandes

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie29265 жыл бұрын

    marekani mambo ni magumu kweli

  • @africanhappyadventure6951

    @africanhappyadventure6951

    5 жыл бұрын

    Ni Marshisi Maana wanakujenga katika uwezo wako wewe..Sio kukaririshwa kqma huKu na kama kukaririshwa ndio Elimu Rahisi sio nzuri hiyo. ila wanajiandaa Sio kujibu mitihani..Ukimaliza Chuo Kweli Ulichosoma Unauwezo wa Kukitetea Sisi huku hakuna hilo ni Kujibu ukimaliza hata Kozi uliyosomea ukiambiwa kuifanyia kazi hatuwezi..na Wengi huwa hatupendi kuongea na Presentation hatuzipendi. .Na huku huwa hatuangalii Uwezo wa mtu kwanza tunaangalia tu Marks hata kama Kichwani hizo A hazipo.Nineshaona kuna Watu Wana uwezo ila Marks zao za Kawaida Na Wanachukuliwa wale wanaonekana kuwa Marks zao za Juu Mwisho wa Siku wanashindwa wanakuja kwa Wale wenye za Kawaida..Kuna umuhimu wa Kuangalia Uwezo wa Mtu kwanza ndio Makaratasi Yaje..Hata kama nakaratasi yake hayajakaa vizuri sana Ila Uwezo uko Poa ni Bora sema hilo huku kufika Sio leo. Tuna complicate Sana hata pasipo takiwa Mtazamo Wangu tu.

Келесі