VIDEO: JAMAA AKUBALI KUVUNJA ATOA NA GETI, UKUTA MBELE YA GETI, AYO TV YAFIKA "MIMI SINA KIBURI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 185
@aldaghariaziyz6420 Жыл бұрын
Aiseeee mm kinachonikera sura tu hatumuon kwa kweli yani ata maneno hayajanyooka , big up Osama maneno yako yalinyoooka
@jumakidawa175
Жыл бұрын
Swadakta bro, Osama maelezo yake yamenyooka sana
@salumsaid4508 Жыл бұрын
Osama yuko vizuri Maneno yake yamenyooka
@khadijayusuph9316 Жыл бұрын
Pumbavu tu huyu kchefuchefu kabsa big up kwa OSAMA
@azzaalhabsi1505 Жыл бұрын
Kaka ningekufurahia sana kama ungechukua maamuzi haya kabla hujaingia hasarani pamoja na osama kumuweka hasara.japo weww umekubali kosa muda ushapita lakini hujui mwenzio osama moyo ulivyo ungua nenda umtake radhi saaana umemkosea.allah awape wepesi msameheane duniani na ahera.
@mosesg.pendael8381
Жыл бұрын
Asante 💫
@latifamohamed8778
Жыл бұрын
Pole
@yasminoluoch169
Жыл бұрын
Amin
@jacquelineadrian6436
Жыл бұрын
Umezungumza vizur
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Alitaka kumuibia mwenzie huyu anajikosha tuuh
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 Жыл бұрын
Osama wakati unamuhoji alinyoosha maelezo vizuri kabisa. Ila huyo mwamba inaonyesha ni mkorofi na kikwazo kwenye hilo eneo tena alijenga mpaka mwisho mwa eneo lake na kutegemea bara bara kwenye uwanja wa mwenzake
Wewe tapeli tu huna ukweli wowote mpaka serikali imeingia kati mbona hukufanya mapema
@kurthumkamru5435 Жыл бұрын
MBONA UNAFICHA SURA OSAMA YUPO SAWA
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Mtu Ukinunua Kiwanja Epuka Kujenga Bila Kuacha Nafasi Sasa Kweli Umcheki Mwenzio Mpaka Akijenga Ndipo Uvunje Wewe Unafanya Biashala Gani Mpaka Unachezea Pesa Ivo Ujenge Nyumba Ukimaliza Uvunje Apo Vipi
@DM_15 Жыл бұрын
Huyjamaa anaonekana njeuri alijenga ili Osama asipatenjiayakwenda kwenyehicho kiwanja chanyuma ili akinunuekwabeipoa. 😄 mtazamotuu
@daudpaulo2867 Жыл бұрын
Jama jinga Sana alimkatalia Shehe Leo limevunja
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Hahaaa yamemkuta makubwa
@aminaam281
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 😁😁
@maryamm7765
Жыл бұрын
Wana pesa pia zakuchezea
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Pesa izo mnazochezea kwann msiende kusaidia yatima na wale wasiojiweza au hayo matofali mngeenda toa sadaka ya kujenga msikiti israf iyo.
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Kitu kdg icho sio cha kugombania leo binadamu anaishi kwenye mgongo wa aridhi kesho utaishi kwenye tumbo la Aridhi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@paulmkhoi8144 Жыл бұрын
Wangemuonesha ili tumjue huyu jamaa tusijemuuzia eneo letu akaleta utata mbele ya safari.
Wanaosimamia haki za watu wawe makini juzi Osama alivunja ukuta leo mwenye geti ameondoa geti hapa nikuwatia watu hasara na unyonge,ilikuwa kabla yakuvunjwa ilikuwa hekima itumike ajulikane nani anapaswa kuvunja na nani hapaswi kuvunja
@rogersiddy8975 Жыл бұрын
Kwa maelezo mafupi jamaa aliejenga geti mtata sana alafu anakataa mimi sio mkorofi
@rahmahamisi9910 Жыл бұрын
Huo ndio uislamu kaka,mtume s.a.w kaagiza tupendane.
@amrkellykelly1382 Жыл бұрын
Uongeaj wake unaonesha Dhahir yy ni mkosa kwa 💯
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Wazanzibari hao. Na wote ni waislamu wanagombania pakuzikiwa.
@zubeirkhamis916
Жыл бұрын
Uislam haujamkataza mtu kudai hali yake
@Maryam-pz6xn
Жыл бұрын
Unamaanisha nn?? Kwaio huruhusiwi kudai haki yako?
@catherinenenula7450 Жыл бұрын
Safi wamemkomesha
@rogersiddy8975 Жыл бұрын
Sasa mbona mnamficha sura wakati yule mwingine Osama mnamuonyesha sura?mnamaana gan?
@alexjos7625
Жыл бұрын
Mhusika atakuwa ameomba sura yake ifichwe
@daudpaulo2867 Жыл бұрын
Mbona mnalificha sura linaona aibu
@fatimajamal9696 Жыл бұрын
Uyuu jaman mnafik sana 😂 anahis aibu saiv kamua kubomoa kwa sasababu kamuona mwenzie kashabomoaa anaanza shoboo mshez
@housnayousif780
Жыл бұрын
Sana kwa nini asnge bomoa mapema kafanya kusud kamtia hasara osama
@israelkisaila8401 Жыл бұрын
Mungu awabariki
@abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын
Aisee znz kuna watu wana pesa za kuchezea sio siri yaani,ivi hela kama hizi mungewafikishia wale maskini wasio na hata mia mitaani si mngewekeza mwendako,acheni ukorooofiii aaaaah
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Naombea watu dua kwa kila tatizo naombea kwa uwezo wa Allah mafanikio makubwa yapo.
@user-cf9so5sk1w
Жыл бұрын
Uko wapi ndugu?
@saudatoller642 Жыл бұрын
upuuzi tu, ungekubali tng mwnzo
@ANKO_MOUD Жыл бұрын
Safy sana wazee wetu mungu awajalie
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Yamekukuta tenaee maana ulikua mbishi Sasa ghalama malambili
@shaqirsaid1934 Жыл бұрын
Huyu jamaa anaonesha kuwa yeye ndio alikua mkosa hilo linasibitisha mpaka kutaka asionekane sura wakati usama alikubali kuonekana kwasababu yeye ndio aliezulumiwa alafu jamani tutofautishe kuuziwa na kurithi kwa wazazi osama yupo na haki
@vincentmushi1247 Жыл бұрын
Mbona amefichwa sura,anaona aibu au roho inamsuta,mbona Osama tulimuona Maelezo yake tuu inaonekana ni mkorofi Na kubomoa geti na kuweka mbele imepigia mstari kuwa amekubali kosa... Tangu mwanzo watu walisema hamisha geti ya ishe...haya sasa umepata title mtaani mwenye nyumba mkorofi...asante Ayo kwa taharifa
@hajimuhammed4442 Жыл бұрын
Maongezi yake tu yanaonesha kama jamaa ni mzulumishi
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
mwandishi hufanyi poa Mbona mnamficha sura ,simngemficha na Osama kama ndio hivyo, Jeuri zilikuzidi ndio maana yamekukuta Osama Hana BAYA
@ayububakari9942
Жыл бұрын
wana fuata malekezo ya anayehojiwa yeye kakataa kuonekana...
@hassanbinally7127 Жыл бұрын
Kwaio we ulionyesha kibur cha pes ndo maana yake maana uliambiwa kabla
@mzeewakibegi5105 Жыл бұрын
Huyu si mwema anaushari mwingi😣😣😣😣
@twaiman8064 Жыл бұрын
maelezo inaonekana huyu jamaa n mtaya iweje useme ikiwa sio njia utabomoa geti.
@chimbokiswaga8662
Жыл бұрын
Huyu ndy mbixhi
@rizikisuleiman2139 Жыл бұрын
Kama hukufanya matatizo tokea mwanzo leo usingefikia kuvunja.
@idanysedrc1200 Жыл бұрын
Huyu mkorofi!!
@amrkellykelly1382 Жыл бұрын
Vibonge mnazinguaaaa mnajikuta sijui vp
@salumsaid4508 Жыл бұрын
Huyu ni mkorofi uthibitisho wake inaonekana wazi wazi hata picha yake haionekani
@alluminiumexperttz.12mview13 Жыл бұрын
Dah! Wazenji bana mnazingua. Ugomvi wote huu maneno tu hamna ngumi hata mojaa!!
@protaspeter5371 Жыл бұрын
Afu acha usenge we mtangazaji unakua km fara, ukuta chini ya geti au mbele ya geti
@fredrickymuxhy668 Жыл бұрын
Tumuone sura mbona osama tulimuona?
@dintazdintaz7311 Жыл бұрын
tunataka pia maelezo ya fundi
@suleimanalisaid2201 Жыл бұрын
Laaana hizo pesa hizo sio haki zenu munazifaitisha masikin wana lala njaaaa!
Mzee mkorofi huyu hiv kuna mtu arajenga ndo aje abomowe aki du
@Expedito2512 Жыл бұрын
Osama oyeeee! Osama was straight ila huyu anajitetea tu
@omarysquare2218 Жыл бұрын
Kumbe weye ndo mbishi gamamika sasa
@adamndojeti2698 Жыл бұрын
Mbona yeye mmeficha sula au Hy jamaa ndo mkolofi sio mbona Osama hakuficha sula
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Huyu mpumbavu Sana. Mzee osama hana kosa kabisa.
@amirikoshuma6022 Жыл бұрын
Huyu mgomvi inaonekana maana hata hataki kuonekana mhhh
@munawwarkhamis7518
Жыл бұрын
Huyu mgomvi sanaa.......huu utawala wa Dr Mwinyi hamna kuzulumiwa.......hakuna tajiri Wala maskin, Wala mwenye pesa...Dr Mwinyi Oyeee
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Hahaaa
@abuumaryam1628 Жыл бұрын
K7ziba sura TU NI ISHARA YA UKOROFIIII 😀😀😀
@allyflavour8005 Жыл бұрын
Hapo...haki ime tendeka
@gidotesha6083 Жыл бұрын
Msenge mkubwa wew kwanza wew ni fisadi jambazi serikali ikichunguze
@ummuadam2423 Жыл бұрын
Hyo mzee alikua mbishi Sasa kma hlo geti angeweka mda huo wote yangefika hpo,hasara hyo kuvunja kwenda kushtakiana kubadilisha ya nn ungeweke geti yasingekua hyo,
@eashaeasha9776 Жыл бұрын
Kwann mmemficha Sura huyu fisi maji mingemuweka tuiyone Sura yake tuikalili mshenzi Sana huyu
@fatmamsiliwa8485 Жыл бұрын
Ulipojitia jeuri ukajenga ulikuwa hujui kama utakufa nyooo?
@avitusmichael5 Жыл бұрын
Huyo kibosile nahisi ni muhaya
@felistersmejumaa5188 Жыл бұрын
Twataka hilo sura lko mzee na roho yko mbaya wewe huna llte nyoosha maelezo vzr na uwache roho mbaya hii ni dunia na twapita sote nonsense
@jumahamadomar9124 Жыл бұрын
Kama kuna kauongo fulani mpaka sura ya uongo sura ya Osama ilikuwa yakweli
@jomiAfrica Жыл бұрын
Jamaa mwelewa sana
@zahormohammed4476
Жыл бұрын
Hana hata chembe ya uelewa anajifanya mpoole kumbe ni mkorofi
@jacrinsubi4198
Жыл бұрын
Kama mwelewa asingejenga mwanzo
@christinamvula8459 Жыл бұрын
Mtihani kweli hivi.viwanja.
@janethjonas1700 Жыл бұрын
Ahsante kwa comment yangu...busara imetumika
@fatumamtukane6060 Жыл бұрын
Osama yupo sawa huyo mkorofi
@servantofalmightygoddranth2511 Жыл бұрын
Binadamu bwana shida tupo mnagombania ardhi ambayo ni Mali ya JEHOVA MUNGU, na nyie mmetoka ardhini na hakika udongoni mtarudi kama NENO LA MUNGU LISEMAVYO Kwamba wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi MWANZO 3:19.
@suleimanalisaid2201 Жыл бұрын
Nyinyi muna pesa hamuna hata vya kufanya wakati watu masikin wapo puumbavu
@willykaovela5485 Жыл бұрын
anakula kiporo anavimba ovyo
@Baba-JJ Жыл бұрын
Ukweli kwamba yaani mmiliki wa nyumba hutaki kabisa watu wakujue ndio inaonesha umeshajishtukia wewe ni kilaza na mkosaji. Hutaki watu wakujue kwamba wewe ndo kilaza mwenyewe.
@trustman8034 Жыл бұрын
Umeona wapi mtu ajenge geti kwa malengo ya kuhamisha baadae...hapo inaonekana Alikua ametega mtego ila hakufanikiwa...Hongera Sana OSAMA kwa mane maneno yaliyonyooka
@ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын
Ayo hapo unazngua Osama ulimuonesha lkn huyu mzulumaji unamficha why?!?
@mussakitabu8716 Жыл бұрын
Kiuhalisia muandishi katika hili umeonesha kiwango chani kabisa kiweledi katika kazi maana umempa nafasi ya kujitetea na hujatoa nafasi ya kuhoji zaidi ili tujue kile tulichotaka kujua kutoka kwake. Ila haina shida mwenye akili amesha gundua huyu huyu mzee ana matatizo
@davidbahati3748 Жыл бұрын
Kwanini hukuliona Hilo mapema? Serikali haijakuonea imefwata Sheria kuwa uvunje we ndo una makosa, mbona Osama hajavunjiwa?
@njyendakumanarechard1536 Жыл бұрын
Mwenye tama hapendi aonekane suraunamusumbuwa usama wetuwaburundi wevip?
@cherylcheryl7694 Жыл бұрын
Mbona mkamziba sura mbona hosama mmemuonesha sura waandishi wafitinishi sana wekeni usawa
@aayanmaroba6056 Жыл бұрын
BILA SERIKALI USINGE BOMOA WE UNAKIBURU CHA PESA
@saumjuma958 Жыл бұрын
Mbona umezibwa sura hatukuoni usama tumemuona VP ww
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
We. Mzee mbishi km ulijuwa ni njia kwann ujaweka geti ss si hasara iyo umepata kwa ubishi wl
Na kwanini huyu mnaficha sura halafu osama mmemuonesha
@njyendakumanarechard1536 Жыл бұрын
We aca wewe unatama sana huyosadamu angekosa pesazakujenga basi wew haungebomoa ukifungu geti lako huyo unakanyaga ndani kwakiwanja ca sadAmu
@kiehbhzh7044
Жыл бұрын
Allah atawafanyie wepesi maana wote mmekiri kwamba hii dunia tunapita👊
@fazamijiwe9808
Жыл бұрын
Hana llte huyo anaoneshea kama muongo anajeuri ya vipesapesa bt tambua ww ukizulumu arzi sehem ndogo inaenda kuku Bana Sasa ww taka sifa na mtumbo wako uo mpaka cku utayo Kuja kuitwa kwa Jina la marehem uone hyo nyumba ilo kufanya uwe na kiburi itakusaidia nn coz unaweza kutolewa chumbani ukalazwa chubma cha uwani mpaka ifike muda wako wa kuenda kufukiwa kama ww ni mwema kwa nn ufiche sura
@mattywrld822 Жыл бұрын
Ametubu
@glorysamola1151 Жыл бұрын
Limutu lenye leosi loooh
@alimbarouk9353 Жыл бұрын
Siku zote ukifanya kosa unakosa hata confidence ya kuongea wewe ulifanya kiburi mwanzo saiv umeona aibu watu kama hawa hata Mimi nilishakutana nao hawana fadhila ata kidogo maneno mengi ujinga umewatawala kichwani
@dicksoniaidani3822 Жыл бұрын
Bonge ujuaji ujuaji sio mzuri yani kwa haya maelezo yako tuu inaonesha wewe ni mtu wa namna gani
@anethmollel6564 Жыл бұрын
Mmemkomesha japo mmeficha lisura lake
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Huyu ni mkorofi frequently mshenzi kabisa real hawa ni wakuwapeleka kuzimu tu.
@selemanmadoti2012 Жыл бұрын
Huyu mzee mnafiki osama hana ttz kabisa mungu analipa hapahapa duniani Osama kapata haki yake😂😂😂
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Yule bwana yule bwana wewe ulisaidiwa na ungejali utu na kulipa fadhila za wema ulofanyiwa , na wala hukuhitaji serikali kuingilia kati. sasa ushatengeza uhasama baina yako na jiran yako... ubabe wa nini na dunia hii tunapita na vyote tutaacha Me kwa ninavyona Osama yuko sahihi .
@paschalkipeta2353 Жыл бұрын
Sasa sura mmzingua
@hamadsuleiman5397 Жыл бұрын
Kwann sura haoneshwi au ni fisadi anahofia hera za umma.. sasa kifupi huyo ni mtata
@hajirewa1109 Жыл бұрын
Mshenzimkubwa ww jeuri na kibr kimekijaa ataihsani hukumbuki Osama kakustiri vizuri lakin fedhuli mkubwa
@halimamohamed4061 Жыл бұрын
Kwani mwanzo alikua hajui haya yote mpk serikali iingilie kati dawa ya jeuri kiburi
Пікірлер: 185
Aiseeee mm kinachonikera sura tu hatumuon kwa kweli yani ata maneno hayajanyooka , big up Osama maneno yako yalinyoooka
@jumakidawa175
Жыл бұрын
Swadakta bro, Osama maelezo yake yamenyooka sana
Osama yuko vizuri Maneno yake yamenyooka
Pumbavu tu huyu kchefuchefu kabsa big up kwa OSAMA
Kaka ningekufurahia sana kama ungechukua maamuzi haya kabla hujaingia hasarani pamoja na osama kumuweka hasara.japo weww umekubali kosa muda ushapita lakini hujui mwenzio osama moyo ulivyo ungua nenda umtake radhi saaana umemkosea.allah awape wepesi msameheane duniani na ahera.
@mosesg.pendael8381
Жыл бұрын
Asante 💫
@latifamohamed8778
Жыл бұрын
Pole
@yasminoluoch169
Жыл бұрын
Amin
@jacquelineadrian6436
Жыл бұрын
Umezungumza vizur
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Alitaka kumuibia mwenzie huyu anajikosha tuuh
Osama wakati unamuhoji alinyoosha maelezo vizuri kabisa. Ila huyo mwamba inaonyesha ni mkorofi na kikwazo kwenye hilo eneo tena alijenga mpaka mwisho mwa eneo lake na kutegemea bara bara kwenye uwanja wa mwenzake
@zuberishabani1881
Жыл бұрын
0
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Mijitu mingine sio yakukaribisha huyu mkorofi anaonekana sio jiran mwema huyu
Wewe tapeli tu huna ukweli wowote mpaka serikali imeingia kati mbona hukufanya mapema
MBONA UNAFICHA SURA OSAMA YUPO SAWA
Mtu Ukinunua Kiwanja Epuka Kujenga Bila Kuacha Nafasi Sasa Kweli Umcheki Mwenzio Mpaka Akijenga Ndipo Uvunje Wewe Unafanya Biashala Gani Mpaka Unachezea Pesa Ivo Ujenge Nyumba Ukimaliza Uvunje Apo Vipi
Huyjamaa anaonekana njeuri alijenga ili Osama asipatenjiayakwenda kwenyehicho kiwanja chanyuma ili akinunuekwabeipoa. 😄 mtazamotuu
Jama jinga Sana alimkatalia Shehe Leo limevunja
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Hahaaa yamemkuta makubwa
@aminaam281
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 😁😁
@maryamm7765
Жыл бұрын
Wana pesa pia zakuchezea
Pesa izo mnazochezea kwann msiende kusaidia yatima na wale wasiojiweza au hayo matofali mngeenda toa sadaka ya kujenga msikiti israf iyo.
Kitu kdg icho sio cha kugombania leo binadamu anaishi kwenye mgongo wa aridhi kesho utaishi kwenye tumbo la Aridhi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wangemuonesha ili tumjue huyu jamaa tusijemuuzia eneo letu akaleta utata mbele ya safari.
@eashaeasha9776
Жыл бұрын
😂😂😂🤣
@dungajuma
Жыл бұрын
😀😀😀
Mwenziyo aliye na vielelezo vyote hakutaka kuzibwa sura. Wewe vipi "Chibonge?"
Wanaosimamia haki za watu wawe makini juzi Osama alivunja ukuta leo mwenye geti ameondoa geti hapa nikuwatia watu hasara na unyonge,ilikuwa kabla yakuvunjwa ilikuwa hekima itumike ajulikane nani anapaswa kuvunja na nani hapaswi kuvunja
Kwa maelezo mafupi jamaa aliejenga geti mtata sana alafu anakataa mimi sio mkorofi
Huo ndio uislamu kaka,mtume s.a.w kaagiza tupendane.
Uongeaj wake unaonesha Dhahir yy ni mkosa kwa 💯
Wazanzibari hao. Na wote ni waislamu wanagombania pakuzikiwa.
@zubeirkhamis916
Жыл бұрын
Uislam haujamkataza mtu kudai hali yake
@Maryam-pz6xn
Жыл бұрын
Unamaanisha nn?? Kwaio huruhusiwi kudai haki yako?
Safi wamemkomesha
Sasa mbona mnamficha sura wakati yule mwingine Osama mnamuonyesha sura?mnamaana gan?
@alexjos7625
Жыл бұрын
Mhusika atakuwa ameomba sura yake ifichwe
Mbona mnalificha sura linaona aibu
Uyuu jaman mnafik sana 😂 anahis aibu saiv kamua kubomoa kwa sasababu kamuona mwenzie kashabomoaa anaanza shoboo mshez
@housnayousif780
Жыл бұрын
Sana kwa nini asnge bomoa mapema kafanya kusud kamtia hasara osama
Mungu awabariki
Aisee znz kuna watu wana pesa za kuchezea sio siri yaani,ivi hela kama hizi mungewafikishia wale maskini wasio na hata mia mitaani si mngewekeza mwendako,acheni ukorooofiii aaaaah
Naombea watu dua kwa kila tatizo naombea kwa uwezo wa Allah mafanikio makubwa yapo.
@user-cf9so5sk1w
Жыл бұрын
Uko wapi ndugu?
upuuzi tu, ungekubali tng mwnzo
Safy sana wazee wetu mungu awajalie
Yamekukuta tenaee maana ulikua mbishi Sasa ghalama malambili
Huyu jamaa anaonesha kuwa yeye ndio alikua mkosa hilo linasibitisha mpaka kutaka asionekane sura wakati usama alikubali kuonekana kwasababu yeye ndio aliezulumiwa alafu jamani tutofautishe kuuziwa na kurithi kwa wazazi osama yupo na haki
Mbona amefichwa sura,anaona aibu au roho inamsuta,mbona Osama tulimuona Maelezo yake tuu inaonekana ni mkorofi Na kubomoa geti na kuweka mbele imepigia mstari kuwa amekubali kosa... Tangu mwanzo watu walisema hamisha geti ya ishe...haya sasa umepata title mtaani mwenye nyumba mkorofi...asante Ayo kwa taharifa
Maongezi yake tu yanaonesha kama jamaa ni mzulumishi
mwandishi hufanyi poa Mbona mnamficha sura ,simngemficha na Osama kama ndio hivyo, Jeuri zilikuzidi ndio maana yamekukuta Osama Hana BAYA
@ayububakari9942
Жыл бұрын
wana fuata malekezo ya anayehojiwa yeye kakataa kuonekana...
Kwaio we ulionyesha kibur cha pes ndo maana yake maana uliambiwa kabla
Huyu si mwema anaushari mwingi😣😣😣😣
maelezo inaonekana huyu jamaa n mtaya iweje useme ikiwa sio njia utabomoa geti.
@chimbokiswaga8662
Жыл бұрын
Huyu ndy mbixhi
Kama hukufanya matatizo tokea mwanzo leo usingefikia kuvunja.
Huyu mkorofi!!
Vibonge mnazinguaaaa mnajikuta sijui vp
Huyu ni mkorofi uthibitisho wake inaonekana wazi wazi hata picha yake haionekani
Dah! Wazenji bana mnazingua. Ugomvi wote huu maneno tu hamna ngumi hata mojaa!!
Afu acha usenge we mtangazaji unakua km fara, ukuta chini ya geti au mbele ya geti
Tumuone sura mbona osama tulimuona?
tunataka pia maelezo ya fundi
Laaana hizo pesa hizo sio haki zenu munazifaitisha masikin wana lala njaaaa!
😂ila huyu alikaribishwa Kula anataka kuchukua sahani
Wewe haupo sawa
Mzee mkorofi huyu hiv kuna mtu arajenga ndo aje abomowe aki du
Osama oyeeee! Osama was straight ila huyu anajitetea tu
Kumbe weye ndo mbishi gamamika sasa
Mbona yeye mmeficha sula au Hy jamaa ndo mkolofi sio mbona Osama hakuficha sula
Huyu mpumbavu Sana. Mzee osama hana kosa kabisa.
Huyu mgomvi inaonekana maana hata hataki kuonekana mhhh
@munawwarkhamis7518
Жыл бұрын
Huyu mgomvi sanaa.......huu utawala wa Dr Mwinyi hamna kuzulumiwa.......hakuna tajiri Wala maskin, Wala mwenye pesa...Dr Mwinyi Oyeee
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Hahaaa
K7ziba sura TU NI ISHARA YA UKOROFIIII 😀😀😀
Hapo...haki ime tendeka
Msenge mkubwa wew kwanza wew ni fisadi jambazi serikali ikichunguze
Hyo mzee alikua mbishi Sasa kma hlo geti angeweka mda huo wote yangefika hpo,hasara hyo kuvunja kwenda kushtakiana kubadilisha ya nn ungeweke geti yasingekua hyo,
Kwann mmemficha Sura huyu fisi maji mingemuweka tuiyone Sura yake tuikalili mshenzi Sana huyu
Ulipojitia jeuri ukajenga ulikuwa hujui kama utakufa nyooo?
Huyo kibosile nahisi ni muhaya
Twataka hilo sura lko mzee na roho yko mbaya wewe huna llte nyoosha maelezo vzr na uwache roho mbaya hii ni dunia na twapita sote nonsense
Kama kuna kauongo fulani mpaka sura ya uongo sura ya Osama ilikuwa yakweli
Jamaa mwelewa sana
@zahormohammed4476
Жыл бұрын
Hana hata chembe ya uelewa anajifanya mpoole kumbe ni mkorofi
@jacrinsubi4198
Жыл бұрын
Kama mwelewa asingejenga mwanzo
Mtihani kweli hivi.viwanja.
Ahsante kwa comment yangu...busara imetumika
Osama yupo sawa huyo mkorofi
Binadamu bwana shida tupo mnagombania ardhi ambayo ni Mali ya JEHOVA MUNGU, na nyie mmetoka ardhini na hakika udongoni mtarudi kama NENO LA MUNGU LISEMAVYO Kwamba wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi MWANZO 3:19.
Nyinyi muna pesa hamuna hata vya kufanya wakati watu masikin wapo puumbavu
anakula kiporo anavimba ovyo
Ukweli kwamba yaani mmiliki wa nyumba hutaki kabisa watu wakujue ndio inaonesha umeshajishtukia wewe ni kilaza na mkosaji. Hutaki watu wakujue kwamba wewe ndo kilaza mwenyewe.
Umeona wapi mtu ajenge geti kwa malengo ya kuhamisha baadae...hapo inaonekana Alikua ametega mtego ila hakufanikiwa...Hongera Sana OSAMA kwa mane maneno yaliyonyooka
Ayo hapo unazngua Osama ulimuonesha lkn huyu mzulumaji unamficha why?!?
Kiuhalisia muandishi katika hili umeonesha kiwango chani kabisa kiweledi katika kazi maana umempa nafasi ya kujitetea na hujatoa nafasi ya kuhoji zaidi ili tujue kile tulichotaka kujua kutoka kwake. Ila haina shida mwenye akili amesha gundua huyu huyu mzee ana matatizo
Kwanini hukuliona Hilo mapema? Serikali haijakuonea imefwata Sheria kuwa uvunje we ndo una makosa, mbona Osama hajavunjiwa?
Mwenye tama hapendi aonekane suraunamusumbuwa usama wetuwaburundi wevip?
Mbona mkamziba sura mbona hosama mmemuonesha sura waandishi wafitinishi sana wekeni usawa
BILA SERIKALI USINGE BOMOA WE UNAKIBURU CHA PESA
Mbona umezibwa sura hatukuoni usama tumemuona VP ww
We. Mzee mbishi km ulijuwa ni njia kwann ujaweka geti ss si hasara iyo umepata kwa ubishi wl
Huo ni uongo bhana hakunaaaa
Ss kwa nn hamujaonyesha sura yake uhanisi uwo
Unamsingizia mungu leo hii
@fatmamsiliwa8485
Жыл бұрын
Swadakta asitugombanishe na mungu
Izo harizi zinatusubri kutumeza hachen kujisahau dunian tunapta sio kugombania hariz
Mbona hamumuoneshi sura yake
Ayo tv naomba msaada wa kuwasiliana na Osama
@amour5535
Жыл бұрын
Hata mm pia nataka
@dorcaskidoti249
Жыл бұрын
@@amour5535 tatizo hata hatujibiwi
zanzibar sehem poa saaana
Na kwanini huyu mnaficha sura halafu osama mmemuonesha
We aca wewe unatama sana huyosadamu angekosa pesazakujenga basi wew haungebomoa ukifungu geti lako huyo unakanyaga ndani kwakiwanja ca sadAmu
@kiehbhzh7044
Жыл бұрын
Allah atawafanyie wepesi maana wote mmekiri kwamba hii dunia tunapita👊
@fazamijiwe9808
Жыл бұрын
Hana llte huyo anaoneshea kama muongo anajeuri ya vipesapesa bt tambua ww ukizulumu arzi sehem ndogo inaenda kuku Bana Sasa ww taka sifa na mtumbo wako uo mpaka cku utayo Kuja kuitwa kwa Jina la marehem uone hyo nyumba ilo kufanya uwe na kiburi itakusaidia nn coz unaweza kutolewa chumbani ukalazwa chubma cha uwani mpaka ifike muda wako wa kuenda kufukiwa kama ww ni mwema kwa nn ufiche sura
Ametubu
Limutu lenye leosi loooh
Siku zote ukifanya kosa unakosa hata confidence ya kuongea wewe ulifanya kiburi mwanzo saiv umeona aibu watu kama hawa hata Mimi nilishakutana nao hawana fadhila ata kidogo maneno mengi ujinga umewatawala kichwani
Bonge ujuaji ujuaji sio mzuri yani kwa haya maelezo yako tuu inaonesha wewe ni mtu wa namna gani
Mmemkomesha japo mmeficha lisura lake
Huyu ni mkorofi frequently mshenzi kabisa real hawa ni wakuwapeleka kuzimu tu.
Huyu mzee mnafiki osama hana ttz kabisa mungu analipa hapahapa duniani Osama kapata haki yake😂😂😂
Yule bwana yule bwana wewe ulisaidiwa na ungejali utu na kulipa fadhila za wema ulofanyiwa , na wala hukuhitaji serikali kuingilia kati. sasa ushatengeza uhasama baina yako na jiran yako... ubabe wa nini na dunia hii tunapita na vyote tutaacha Me kwa ninavyona Osama yuko sahihi .
Sasa sura mmzingua
Kwann sura haoneshwi au ni fisadi anahofia hera za umma.. sasa kifupi huyo ni mtata
Mshenzimkubwa ww jeuri na kibr kimekijaa ataihsani hukumbuki Osama kakustiri vizuri lakin fedhuli mkubwa
Kwani mwanzo alikua hajui haya yote mpk serikali iingilie kati dawa ya jeuri kiburi