VIDEO: JAMAA AKUBALI KUVUNJA ATOA NA GETI, UKUTA MBELE YA GETI, AYO TV YAFIKA "MIMI SINA KIBURI"

Пікірлер: 185

  • @aldaghariaziyz6420
    @aldaghariaziyz6420 Жыл бұрын

    Aiseeee mm kinachonikera sura tu hatumuon kwa kweli yani ata maneno hayajanyooka , big up Osama maneno yako yalinyoooka

  • @jumakidawa175

    @jumakidawa175

    Жыл бұрын

    Swadakta bro, Osama maelezo yake yamenyooka sana

  • @salumsaid4508
    @salumsaid4508 Жыл бұрын

    Osama yuko vizuri Maneno yake yamenyooka

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 Жыл бұрын

    Pumbavu tu huyu kchefuchefu kabsa big up kwa OSAMA

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Жыл бұрын

    Kaka ningekufurahia sana kama ungechukua maamuzi haya kabla hujaingia hasarani pamoja na osama kumuweka hasara.japo weww umekubali kosa muda ushapita lakini hujui mwenzio osama moyo ulivyo ungua nenda umtake radhi saaana umemkosea.allah awape wepesi msameheane duniani na ahera.

  • @mosesg.pendael8381

    @mosesg.pendael8381

    Жыл бұрын

    Asante 💫

  • @latifamohamed8778

    @latifamohamed8778

    Жыл бұрын

    Pole

  • @yasminoluoch169

    @yasminoluoch169

    Жыл бұрын

    Amin

  • @jacquelineadrian6436

    @jacquelineadrian6436

    Жыл бұрын

    Umezungumza vizur

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    Жыл бұрын

    Alitaka kumuibia mwenzie huyu anajikosha tuuh

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043 Жыл бұрын

    Osama wakati unamuhoji alinyoosha maelezo vizuri kabisa. Ila huyo mwamba inaonyesha ni mkorofi na kikwazo kwenye hilo eneo tena alijenga mpaka mwisho mwa eneo lake na kutegemea bara bara kwenye uwanja wa mwenzake

  • @zuberishabani1881

    @zuberishabani1881

    Жыл бұрын

    0

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    Жыл бұрын

    Mijitu mingine sio yakukaribisha huyu mkorofi anaonekana sio jiran mwema huyu

  • @adamsoud4862
    @adamsoud4862 Жыл бұрын

    Wewe tapeli tu huna ukweli wowote mpaka serikali imeingia kati mbona hukufanya mapema

  • @kurthumkamru5435
    @kurthumkamru5435 Жыл бұрын

    MBONA UNAFICHA SURA OSAMA YUPO SAWA

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Mtu Ukinunua Kiwanja Epuka Kujenga Bila Kuacha Nafasi Sasa Kweli Umcheki Mwenzio Mpaka Akijenga Ndipo Uvunje Wewe Unafanya Biashala Gani Mpaka Unachezea Pesa Ivo Ujenge Nyumba Ukimaliza Uvunje Apo Vipi

  • @DM_15
    @DM_15 Жыл бұрын

    Huyjamaa anaonekana njeuri alijenga ili Osama asipatenjiayakwenda kwenyehicho kiwanja chanyuma ili akinunuekwabeipoa. 😄 mtazamotuu

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Жыл бұрын

    Jama jinga Sana alimkatalia Shehe Leo limevunja

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Hahaaa yamemkuta makubwa

  • @aminaam281

    @aminaam281

    Жыл бұрын

    ​@@hanifatanzania7258 😁😁

  • @maryamm7765

    @maryamm7765

    Жыл бұрын

    Wana pesa pia zakuchezea

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Жыл бұрын

    Pesa izo mnazochezea kwann msiende kusaidia yatima na wale wasiojiweza au hayo matofali mngeenda toa sadaka ya kujenga msikiti israf iyo.

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Жыл бұрын

    Kitu kdg icho sio cha kugombania leo binadamu anaishi kwenye mgongo wa aridhi kesho utaishi kwenye tumbo la Aridhi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @paulmkhoi8144
    @paulmkhoi8144 Жыл бұрын

    Wangemuonesha ili tumjue huyu jamaa tusijemuuzia eneo letu akaleta utata mbele ya safari.

  • @eashaeasha9776

    @eashaeasha9776

    Жыл бұрын

    😂😂😂🤣

  • @dungajuma

    @dungajuma

    Жыл бұрын

    😀😀😀

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын

    Mwenziyo aliye na vielelezo vyote hakutaka kuzibwa sura. Wewe vipi "Chibonge?"

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Жыл бұрын

    Wanaosimamia haki za watu wawe makini juzi Osama alivunja ukuta leo mwenye geti ameondoa geti hapa nikuwatia watu hasara na unyonge,ilikuwa kabla yakuvunjwa ilikuwa hekima itumike ajulikane nani anapaswa kuvunja na nani hapaswi kuvunja

  • @rogersiddy8975
    @rogersiddy8975 Жыл бұрын

    Kwa maelezo mafupi jamaa aliejenga geti mtata sana alafu anakataa mimi sio mkorofi

  • @rahmahamisi9910
    @rahmahamisi9910 Жыл бұрын

    Huo ndio uislamu kaka,mtume s.a.w kaagiza tupendane.

  • @amrkellykelly1382
    @amrkellykelly1382 Жыл бұрын

    Uongeaj wake unaonesha Dhahir yy ni mkosa kwa 💯

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Жыл бұрын

    Wazanzibari hao. Na wote ni waislamu wanagombania pakuzikiwa.

  • @zubeirkhamis916

    @zubeirkhamis916

    Жыл бұрын

    Uislam haujamkataza mtu kudai hali yake

  • @Maryam-pz6xn

    @Maryam-pz6xn

    Жыл бұрын

    Unamaanisha nn?? Kwaio huruhusiwi kudai haki yako?

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula7450 Жыл бұрын

    Safi wamemkomesha

  • @rogersiddy8975
    @rogersiddy8975 Жыл бұрын

    Sasa mbona mnamficha sura wakati yule mwingine Osama mnamuonyesha sura?mnamaana gan?

  • @alexjos7625

    @alexjos7625

    Жыл бұрын

    Mhusika atakuwa ameomba sura yake ifichwe

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Жыл бұрын

    Mbona mnalificha sura linaona aibu

  • @fatimajamal9696
    @fatimajamal9696 Жыл бұрын

    Uyuu jaman mnafik sana 😂 anahis aibu saiv kamua kubomoa kwa sasababu kamuona mwenzie kashabomoaa anaanza shoboo mshez

  • @housnayousif780

    @housnayousif780

    Жыл бұрын

    Sana kwa nini asnge bomoa mapema kafanya kusud kamtia hasara osama

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Жыл бұрын

    Mungu awabariki

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын

    Aisee znz kuna watu wana pesa za kuchezea sio siri yaani,ivi hela kama hizi mungewafikishia wale maskini wasio na hata mia mitaani si mngewekeza mwendako,acheni ukorooofiii aaaaah

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 Жыл бұрын

    Naombea watu dua kwa kila tatizo naombea kwa uwezo wa Allah mafanikio makubwa yapo.

  • @user-cf9so5sk1w

    @user-cf9so5sk1w

    Жыл бұрын

    Uko wapi ndugu?

  • @saudatoller642
    @saudatoller642 Жыл бұрын

    upuuzi tu, ungekubali tng mwnzo

  • @ANKO_MOUD
    @ANKO_MOUD Жыл бұрын

    Safy sana wazee wetu mungu awajalie

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Yamekukuta tenaee maana ulikua mbishi Sasa ghalama malambili

  • @shaqirsaid1934
    @shaqirsaid1934 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anaonesha kuwa yeye ndio alikua mkosa hilo linasibitisha mpaka kutaka asionekane sura wakati usama alikubali kuonekana kwasababu yeye ndio aliezulumiwa alafu jamani tutofautishe kuuziwa na kurithi kwa wazazi osama yupo na haki

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Жыл бұрын

    Mbona amefichwa sura,anaona aibu au roho inamsuta,mbona Osama tulimuona Maelezo yake tuu inaonekana ni mkorofi Na kubomoa geti na kuweka mbele imepigia mstari kuwa amekubali kosa... Tangu mwanzo watu walisema hamisha geti ya ishe...haya sasa umepata title mtaani mwenye nyumba mkorofi...asante Ayo kwa taharifa

  • @hajimuhammed4442
    @hajimuhammed4442 Жыл бұрын

    Maongezi yake tu yanaonesha kama jamaa ni mzulumishi

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын

    mwandishi hufanyi poa Mbona mnamficha sura ,simngemficha na Osama kama ndio hivyo, Jeuri zilikuzidi ndio maana yamekukuta Osama Hana BAYA

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    Жыл бұрын

    wana fuata malekezo ya anayehojiwa yeye kakataa kuonekana...

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Жыл бұрын

    Kwaio we ulionyesha kibur cha pes ndo maana yake maana uliambiwa kabla

  • @mzeewakibegi5105
    @mzeewakibegi5105 Жыл бұрын

    Huyu si mwema anaushari mwingi😣😣😣😣

  • @twaiman8064
    @twaiman8064 Жыл бұрын

    maelezo inaonekana huyu jamaa n mtaya iweje useme ikiwa sio njia utabomoa geti.

  • @chimbokiswaga8662

    @chimbokiswaga8662

    Жыл бұрын

    Huyu ndy mbixhi

  • @rizikisuleiman2139
    @rizikisuleiman2139 Жыл бұрын

    Kama hukufanya matatizo tokea mwanzo leo usingefikia kuvunja.

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Жыл бұрын

    Huyu mkorofi!!

  • @amrkellykelly1382
    @amrkellykelly1382 Жыл бұрын

    Vibonge mnazinguaaaa mnajikuta sijui vp

  • @salumsaid4508
    @salumsaid4508 Жыл бұрын

    Huyu ni mkorofi uthibitisho wake inaonekana wazi wazi hata picha yake haionekani

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Жыл бұрын

    Dah! Wazenji bana mnazingua. Ugomvi wote huu maneno tu hamna ngumi hata mojaa!!

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Жыл бұрын

    Afu acha usenge we mtangazaji unakua km fara, ukuta chini ya geti au mbele ya geti

  • @fredrickymuxhy668
    @fredrickymuxhy668 Жыл бұрын

    Tumuone sura mbona osama tulimuona?

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 Жыл бұрын

    tunataka pia maelezo ya fundi

  • @suleimanalisaid2201
    @suleimanalisaid2201 Жыл бұрын

    Laaana hizo pesa hizo sio haki zenu munazifaitisha masikin wana lala njaaaa!

  • @khadijaali2173
    @khadijaali2173 Жыл бұрын

    😂ila huyu alikaribishwa Kula anataka kuchukua sahani

  • @J4UPro
    @J4UPro Жыл бұрын

    Wewe haupo sawa

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 Жыл бұрын

    Mzee mkorofi huyu hiv kuna mtu arajenga ndo aje abomowe aki du

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Жыл бұрын

    Osama oyeeee! Osama was straight ila huyu anajitetea tu

  • @omarysquare2218
    @omarysquare2218 Жыл бұрын

    Kumbe weye ndo mbishi gamamika sasa

  • @adamndojeti2698
    @adamndojeti2698 Жыл бұрын

    Mbona yeye mmeficha sula au Hy jamaa ndo mkolofi sio mbona Osama hakuficha sula

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Жыл бұрын

    Huyu mpumbavu Sana. Mzee osama hana kosa kabisa.

  • @amirikoshuma6022
    @amirikoshuma6022 Жыл бұрын

    Huyu mgomvi inaonekana maana hata hataki kuonekana mhhh

  • @munawwarkhamis7518

    @munawwarkhamis7518

    Жыл бұрын

    Huyu mgomvi sanaa.......huu utawala wa Dr Mwinyi hamna kuzulumiwa.......hakuna tajiri Wala maskin, Wala mwenye pesa...Dr Mwinyi Oyeee

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Hahaaa

  • @abuumaryam1628
    @abuumaryam1628 Жыл бұрын

    K7ziba sura TU NI ISHARA YA UKOROFIIII 😀😀😀

  • @allyflavour8005
    @allyflavour8005 Жыл бұрын

    Hapo...haki ime tendeka

  • @gidotesha6083
    @gidotesha6083 Жыл бұрын

    Msenge mkubwa wew kwanza wew ni fisadi jambazi serikali ikichunguze

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 Жыл бұрын

    Hyo mzee alikua mbishi Sasa kma hlo geti angeweka mda huo wote yangefika hpo,hasara hyo kuvunja kwenda kushtakiana kubadilisha ya nn ungeweke geti yasingekua hyo,

  • @eashaeasha9776
    @eashaeasha9776 Жыл бұрын

    Kwann mmemficha Sura huyu fisi maji mingemuweka tuiyone Sura yake tuikalili mshenzi Sana huyu

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Жыл бұрын

    Ulipojitia jeuri ukajenga ulikuwa hujui kama utakufa nyooo?

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Жыл бұрын

    Huyo kibosile nahisi ni muhaya

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 Жыл бұрын

    Twataka hilo sura lko mzee na roho yko mbaya wewe huna llte nyoosha maelezo vzr na uwache roho mbaya hii ni dunia na twapita sote nonsense

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Жыл бұрын

    Kama kuna kauongo fulani mpaka sura ya uongo sura ya Osama ilikuwa yakweli

  • @jomiAfrica
    @jomiAfrica Жыл бұрын

    Jamaa mwelewa sana

  • @zahormohammed4476

    @zahormohammed4476

    Жыл бұрын

    Hana hata chembe ya uelewa anajifanya mpoole kumbe ni mkorofi

  • @jacrinsubi4198

    @jacrinsubi4198

    Жыл бұрын

    Kama mwelewa asingejenga mwanzo

  • @christinamvula8459
    @christinamvula8459 Жыл бұрын

    Mtihani kweli hivi.viwanja.

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Жыл бұрын

    Ahsante kwa comment yangu...busara imetumika

  • @fatumamtukane6060
    @fatumamtukane6060 Жыл бұрын

    Osama yupo sawa huyo mkorofi

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 Жыл бұрын

    Binadamu bwana shida tupo mnagombania ardhi ambayo ni Mali ya JEHOVA MUNGU, na nyie mmetoka ardhini na hakika udongoni mtarudi kama NENO LA MUNGU LISEMAVYO Kwamba wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi MWANZO 3:19.

  • @suleimanalisaid2201
    @suleimanalisaid2201 Жыл бұрын

    Nyinyi muna pesa hamuna hata vya kufanya wakati watu masikin wapo puumbavu

  • @willykaovela5485
    @willykaovela5485 Жыл бұрын

    anakula kiporo anavimba ovyo

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ Жыл бұрын

    Ukweli kwamba yaani mmiliki wa nyumba hutaki kabisa watu wakujue ndio inaonesha umeshajishtukia wewe ni kilaza na mkosaji. Hutaki watu wakujue kwamba wewe ndo kilaza mwenyewe.

  • @trustman8034
    @trustman8034 Жыл бұрын

    Umeona wapi mtu ajenge geti kwa malengo ya kuhamisha baadae...hapo inaonekana Alikua ametega mtego ila hakufanikiwa...Hongera Sana OSAMA kwa mane maneno yaliyonyooka

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын

    Ayo hapo unazngua Osama ulimuonesha lkn huyu mzulumaji unamficha why?!?

  • @mussakitabu8716
    @mussakitabu8716 Жыл бұрын

    Kiuhalisia muandishi katika hili umeonesha kiwango chani kabisa kiweledi katika kazi maana umempa nafasi ya kujitetea na hujatoa nafasi ya kuhoji zaidi ili tujue kile tulichotaka kujua kutoka kwake. Ila haina shida mwenye akili amesha gundua huyu huyu mzee ana matatizo

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 Жыл бұрын

    Kwanini hukuliona Hilo mapema? Serikali haijakuonea imefwata Sheria kuwa uvunje we ndo una makosa, mbona Osama hajavunjiwa?

  • @njyendakumanarechard1536
    @njyendakumanarechard1536 Жыл бұрын

    Mwenye tama hapendi aonekane suraunamusumbuwa usama wetuwaburundi wevip?

  • @cherylcheryl7694
    @cherylcheryl7694 Жыл бұрын

    Mbona mkamziba sura mbona hosama mmemuonesha sura waandishi wafitinishi sana wekeni usawa

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 Жыл бұрын

    BILA SERIKALI USINGE BOMOA WE UNAKIBURU CHA PESA

  • @saumjuma958
    @saumjuma958 Жыл бұрын

    Mbona umezibwa sura hatukuoni usama tumemuona VP ww

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Жыл бұрын

    We. Mzee mbishi km ulijuwa ni njia kwann ujaweka geti ss si hasara iyo umepata kwa ubishi wl

  • @WakujaTech
    @WakujaTech Жыл бұрын

    Huo ni uongo bhana hakunaaaa

  • @mustafaseif164
    @mustafaseif164 Жыл бұрын

    Ss kwa nn hamujaonyesha sura yake uhanisi uwo

  • @zahormohammed4476
    @zahormohammed4476 Жыл бұрын

    Unamsingizia mungu leo hii

  • @fatmamsiliwa8485

    @fatmamsiliwa8485

    Жыл бұрын

    Swadakta asitugombanishe na mungu

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Жыл бұрын

    Izo harizi zinatusubri kutumeza hachen kujisahau dunian tunapta sio kugombania hariz

  • @masoudabdalla4233
    @masoudabdalla4233 Жыл бұрын

    Mbona hamumuoneshi sura yake

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Жыл бұрын

    Ayo tv naomba msaada wa kuwasiliana na Osama

  • @amour5535

    @amour5535

    Жыл бұрын

    Hata mm pia nataka

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    Жыл бұрын

    @@amour5535 tatizo hata hatujibiwi

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 Жыл бұрын

    zanzibar sehem poa saaana

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Жыл бұрын

    Na kwanini huyu mnaficha sura halafu osama mmemuonesha

  • @njyendakumanarechard1536
    @njyendakumanarechard1536 Жыл бұрын

    We aca wewe unatama sana huyosadamu angekosa pesazakujenga basi wew haungebomoa ukifungu geti lako huyo unakanyaga ndani kwakiwanja ca sadAmu

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    Жыл бұрын

    Allah atawafanyie wepesi maana wote mmekiri kwamba hii dunia tunapita👊

  • @fazamijiwe9808

    @fazamijiwe9808

    Жыл бұрын

    Hana llte huyo anaoneshea kama muongo anajeuri ya vipesapesa bt tambua ww ukizulumu arzi sehem ndogo inaenda kuku Bana Sasa ww taka sifa na mtumbo wako uo mpaka cku utayo Kuja kuitwa kwa Jina la marehem uone hyo nyumba ilo kufanya uwe na kiburi itakusaidia nn coz unaweza kutolewa chumbani ukalazwa chubma cha uwani mpaka ifike muda wako wa kuenda kufukiwa kama ww ni mwema kwa nn ufiche sura

  • @mattywrld822
    @mattywrld822 Жыл бұрын

    Ametubu

  • @glorysamola1151
    @glorysamola1151 Жыл бұрын

    Limutu lenye leosi loooh

  • @alimbarouk9353
    @alimbarouk9353 Жыл бұрын

    Siku zote ukifanya kosa unakosa hata confidence ya kuongea wewe ulifanya kiburi mwanzo saiv umeona aibu watu kama hawa hata Mimi nilishakutana nao hawana fadhila ata kidogo maneno mengi ujinga umewatawala kichwani

  • @dicksoniaidani3822
    @dicksoniaidani3822 Жыл бұрын

    Bonge ujuaji ujuaji sio mzuri yani kwa haya maelezo yako tuu inaonesha wewe ni mtu wa namna gani

  • @anethmollel6564
    @anethmollel6564 Жыл бұрын

    Mmemkomesha japo mmeficha lisura lake

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Жыл бұрын

    Huyu ni mkorofi frequently mshenzi kabisa real hawa ni wakuwapeleka kuzimu tu.

  • @selemanmadoti2012
    @selemanmadoti2012 Жыл бұрын

    Huyu mzee mnafiki osama hana ttz kabisa mungu analipa hapahapa duniani Osama kapata haki yake😂😂😂

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Жыл бұрын

    Yule bwana yule bwana wewe ulisaidiwa na ungejali utu na kulipa fadhila za wema ulofanyiwa , na wala hukuhitaji serikali kuingilia kati. sasa ushatengeza uhasama baina yako na jiran yako... ubabe wa nini na dunia hii tunapita na vyote tutaacha Me kwa ninavyona Osama yuko sahihi .

  • @paschalkipeta2353
    @paschalkipeta2353 Жыл бұрын

    Sasa sura mmzingua

  • @hamadsuleiman5397
    @hamadsuleiman5397 Жыл бұрын

    Kwann sura haoneshwi au ni fisadi anahofia hera za umma.. sasa kifupi huyo ni mtata

  • @hajirewa1109
    @hajirewa1109 Жыл бұрын

    Mshenzimkubwa ww jeuri na kibr kimekijaa ataihsani hukumbuki Osama kakustiri vizuri lakin fedhuli mkubwa

  • @halimamohamed4061
    @halimamohamed4061 Жыл бұрын

    Kwani mwanzo alikua hajui haya yote mpk serikali iingilie kati dawa ya jeuri kiburi

Келесі