kumbe ni kitenge? ana ujasiri wa ajabu hongera kitenge
@ziakaitala2221
5 жыл бұрын
Kweli nimemuona Maulid mtoto wa mzee kitenge ndo aliemtoa yule jamaa mwenye mguu wa kuku
@jumaazitto2767
5 жыл бұрын
@@ziakaitala2221 Grwksezxvbmktey
@ziakaitala2221
5 жыл бұрын
@@jumaazitto2767 Juma mbona umeandika maneno yasiyojulikana? Au yanatoka kwa mtu asiejulikana?
@Kimbururu
5 жыл бұрын
Kitenge ni huyu nae atakua Usalama huyu
@dullabritish3277
5 жыл бұрын
Kitenge ni Usalama wa Taifa muda mrefu tu licha ya kuwa mwandishi bora wa habari Tanzania
@worldcup-zh5ci13 күн бұрын
Nanii yuko hapa baada ya kutenguliwa tena uwaziri na mama😢
@Daudi-pg8bw21 күн бұрын
Kama umemuona harmorapa wakat video inaanza gonga like😂😂
@queenkivuyo8601
16 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@shebbynzengula6993
14 күн бұрын
😂😂😂
@theprincejr1417
12 күн бұрын
Alikimbiaga huyo
@Gody360
10 күн бұрын
Yuleeeeeeeeee
@AhmedAbubakari
7 күн бұрын
Alikimbia mpka morogoro 😂😂😂
@mosesjackson_tz3 жыл бұрын
Daaah hiki kitendo cha nape kufanyiwa ivo kimeniuma sana aisee.
@NassorYusuph13 күн бұрын
Nape toka hapo watakumaliza hao broo
@eliyamahenge93825 жыл бұрын
Inaniuma sana kwa matukio haya Tanzania. I love my Country Tanzania... Mungu tusaidie
@emmanuelgwaay47732 жыл бұрын
Nape Waziri tena ktk wizara ile ile...........ya Mungu mengi!
@altonkanjolonga23805 жыл бұрын
uonevu ni jambo baya sana,ahsante Maulidi Kitenge kwa hili,mtu huyu alietoa bastola hadharani eti hajulikani.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
Kitenge ni TISS hahaaaa,MTU na nusu hyoo
@ibrahimalisharif2754 жыл бұрын
Usafini tuna watu,hongela kitenge wetu
@eliudmkumbwa5681 Жыл бұрын
Tuliorud kumchunguza maulid tujuane
@Gody360
10 күн бұрын
🎉
@filbertnashon71605 жыл бұрын
Asiyejulikana anaoenekana HADHARANI 😀😀😀i'la serikali hawamuoni
@yusuphsaid63005 жыл бұрын
pole nape..ninapopitia hii,sijui huwa nawaza nini....nchi yetu hii.!
@ibrahimally64557 жыл бұрын
DAaaaaaaaaaahhh TZ cjui tunaelekea wap
@ziakaitala22215 жыл бұрын
Jaman mnapokuwa madalakan fanyen huku mkijua kuwa cheo ni mapito na si dhamana
@nelsonnyamle13 күн бұрын
Heshimu watu mzee unalopokaga sana jifunze kupitia hili
@dismaskamanzi23655 жыл бұрын
Kea pembeniii kam umemuonAaa hamorAp gonGa Like twenDe saWaaaa.....hahahahha
@youngramajrtz22155 жыл бұрын
Big up kitengeee
@FathiyaMbaraka2 күн бұрын
Wangeuaga tu hii mbwa
@AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын
Huyu ndie mtu asiyejulikana mpaka bunge tukufu linamjadili hi serikali yetu ya usanii.
@user-nv7jg6xc8l5 күн бұрын
Hamorapaa akachimba😊
@johnkikene89065 жыл бұрын
Kitenge hapo nlikukubali sana
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno.. Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba. Kwa Mungu kuna kujibu huko
@mwalimu15203 жыл бұрын
Nimerudi baadaya ya Msiba ya JPM,
@kidatokassim761623 сағат бұрын
Ukimsikiliza kitenge vizuri utajua na yy ni nani😂
@roi25542 жыл бұрын
2021 harmorapa alivyochomokaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@ramadhanijohoiddi28995 жыл бұрын
Sawasawa tu ametengeza mwenyewe mfumo wa watu wasiojulikana pumbavu Zake
@jackzest4really1453 жыл бұрын
Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani
@hammybrown63137 жыл бұрын
huyo jamaa mzima kweli
@peterkisanga80895 жыл бұрын
Hii ndo faida ya bao la mkono
@victorsospeter18153 күн бұрын
hii ilikuwa kiki wazee
@geofreydanny10376 күн бұрын
Iyo video ina miaka7 manina
@shishismile19734 жыл бұрын
Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million
@allyhamissi5835 Жыл бұрын
Utaharibu mambo bhwana
@piusmnanka27555 жыл бұрын
Hivi harmorapa alikuwa hajui kama nape siyo waziri tena....!
@haliimomar16925 жыл бұрын
Hahahhaha Hermorapa Ameenda ndukii😷🤪
@mwaitukamwallah13005 жыл бұрын
Hiii dharau kweliii.
@charlesabednego94243 жыл бұрын
Kitenge anastahili ukuuu
@leonardemmanuel92495 жыл бұрын
Tunaipenda ccm ,msioipenda pambaneni na hali yenu
@nicholausyusti4068
Жыл бұрын
🤔
@Movic5806 Жыл бұрын
Kama umemwona Harmorapa Gonga like
@ntegrity2772 күн бұрын
Huyu askari ana shule ndogo sana! Hawa ni la saba
@MohdRashid-cu9qb5 жыл бұрын
Kwenye nchi za watu huyu Jamaa hana kazi ila nimefurahi maana huyu ni wa goli LA mkono
@khamismgunya45193 ай бұрын
Kitenge pia ako na bunduki hapo kwa nyonga
@amisamaurid18828 күн бұрын
Mtu kama nape sio wakufanyiwa unyama kama huu Tunduma tunalaani kitendo hiki😢😢
@jchuwatv18905 жыл бұрын
Mzeee wa bao la mkono
@Eliya-vv1jp9 ай бұрын
Siasa ni mchezo mgum sana kuuelewa
@redmondmulilo48525 жыл бұрын
Ahe Nape wasijulikana ao wameonekana peupe alakini hawakamatwi wala hawakamatiki inchi sio salama kabisa bastora hazarani ni hatari tupu
@sylvesteralstides3885
5 жыл бұрын
Noma hiyo
@kennedymwangala83855 жыл бұрын
Kuna tatizo gani Kwan?
@yasinitwalika1565 Жыл бұрын
kitenge kitenge kitenge mh....
@raphaelsamwel26405 жыл бұрын
Huyo mbwa ana bahati kama ningekuwepo huyo mshamba asie jua hata kutumia bastola ningemng'oa pumbu!! Angemleta alie mtuma!!!
@yassirkipemba7889
5 жыл бұрын
RAPHAEL SAMWEL
@petermarco9559
5 жыл бұрын
ha ha ha ha ha,naona wtz tumeshavulugwa
@twentyfours3652
5 жыл бұрын
Unafirwa wewe
@mohammedmhina3973
3 жыл бұрын
@@twentyfours3652 nn sasa hk mkuu
@SostenesMabala-tt8pt5 күн бұрын
Marshall bana
@jandaboytzz27552 жыл бұрын
Huyu Gilbert Kalanje Alifaa Kufanywa Kitu Ambacho Kitabaki Kama Kumbukumbu Na Vizazi Vijavyo Wajue Kama Ni Kosa Kutoa Siraha Kama Alivo Fanywa Yeye
@AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын
Huyu naye jeshi la polisi limekosa kumtambua wakati nape mwenyewe anawajua
@CharlesEvaristi4 күн бұрын
Mmmmh kwan kuna n?
@user-nz6rs9vn3t3 күн бұрын
Siku hzi alikuwa anakula gharama za watu sio kulinda hii nchi ngumu
@RooblesJourney5 жыл бұрын
What's going on? Could someone translate pls?
@jawadyrasheed6880
5 жыл бұрын
That person who wearing a cap was try to attack our former minister the one who wearing a white shirt
@vivianlenard36185 жыл бұрын
Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?
@issaabdi9129
2 жыл бұрын
Kwani ni mbali si sasa hv yuko ktk mashakani ya mauwaji.
@hassanbukambu931
20 күн бұрын
Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.
@GraceBrown-t8g10 күн бұрын
Hugo mwenzao unaweza msukuma afisa hivyo
@IdrisaAbdallah-pf4mw22 күн бұрын
Hakunaga polis mwenye akili timamu ukitaka uamin polis hawanaga akili utakuta wanatumia nguvu kubwa kwmy vitu visivyo hitji nguvu sasa hapo jiulize kwnn umtolee bastola mtu kama nape tena nape alimhurumia sana yn ningekua mm sasa hv hana kaz
@FridayMwassa
15 күн бұрын
Unawaonea police kwasababu hawaji hapa kubishana, huyo siyo police acheni kuwalaumu police kwa kila jambo
huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.
@eddiemohamed900320 күн бұрын
2024 KUMBU KUMBU ZA SOGA ZA MWENDA ZAKE😔🚶
@mwalimukashashadarant96764 жыл бұрын
Kwa maoni tu kitenge sio mtu mdogo maan sio kwa kumtuliza hvy jamaa
@farealapple7962
3 жыл бұрын
Uyu mwamba uwa ni usalama sema alivyokaa si rahisi kumjuwa
@malcomx40676 күн бұрын
Mmmmm zambi ya unafiki ni mbaya, leo yuko wapi: Nape, January na Kinana? Hawa ni matapeli tu.
@audaxbizimana808421 күн бұрын
Huyo wa bastola bado yupooo
@yuzotv4589 күн бұрын
hiiii ilikua kiki.
@Prince-rafael Жыл бұрын
Mtangazaji wangu Bora wa muda wote maulid kitengee nampenda Sanaa maana huyu jamaaa n mnafkii sanaa
@bahatimalundi35932 жыл бұрын
Kawa waziri toa bastola na saizi
@rali88255 жыл бұрын
Bastora ndo nini?????
@raphaelrespichius85085 жыл бұрын
Utaaribu mambo ni kauli ya mpango ulikuwepo
@majaliwamsigwa39745 жыл бұрын
Kazi ipo
@richlymo4 күн бұрын
Amorapa mbiooo😅😅😅
@sylivestermadomado91115 күн бұрын
Ilikuwa mwaka 2017
@philemonsnyanda945014 күн бұрын
Ange m tusua tuuu
@stephenhebron98385 жыл бұрын
Watanzania bana kwa kusahau hatujambo! Sinema hizi bana naona ni Kama hazitufundishi kitu maana tunaludia yaleyale
@alloycejames52852 жыл бұрын
Sa itakuaje???
@amonamiri44873 жыл бұрын
Ungepiga risasi mbwa huyoo
@TheGame-nz7um3 күн бұрын
Ungelipiga chuma hili choko, kumbe lilikua linamtesa hata mzee....nilkua nalionea huruma kumbe halifai hata kwa kurumangia kwa kachumbari.
@KeepAutoAccessories6 күн бұрын
maulidi ❤
@thobiaschuwa3 күн бұрын
Utawala wa magufuli 😢😢😢
@Freedom_fighters898 Жыл бұрын
‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️
@iam_lasco2 жыл бұрын
Yan camera kushuka chin tu na kurud juu tena harmorapa hayupo😂😂🙌
@user-xl9so6jg1e
8 күн бұрын
Nimecheka kisenge
@dominicclassic80895 жыл бұрын
Nan kamwna Harmorapa akitoka nduki kam vil katolewa 🔫 yeye 😂😂😂😂😂😂
@brownjulius8514
5 жыл бұрын
Dominic Classic hamorapa nduki
@ansyfalesy1457
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@shazilchymwager94964 жыл бұрын
Nimejifunz kitu
@yonamwaweya85175 жыл бұрын
watu wasiojulikana, NINGEKUWA mm nape ningemmwaga ubongo hapohapo huyo JAMAA,
@ezekieljolam42762 жыл бұрын
Wangap wamerudi kuangali hii kwasasa je umejifunza nn baada ya kuangalia mwaka huu?
@nelsonnyamle13 күн бұрын
Hapa kidogo atie hewa kwa chini
@nassororamadhan87565 жыл бұрын
hamorap nae yupo
@tumlakimwaitumule3 жыл бұрын
Nilikua naangalia sports arena..ikabid nije kumchek kitenge huku 😀
@user-ug9nl8lo1o4 ай бұрын
Askari wa Magufuli
@selemankishema578021 күн бұрын
Enzi za ubabe
@shabanaman85565 жыл бұрын
Sasa kuonyesha mguu wa kuku wa nn?
@erastomwakalinga70795 жыл бұрын
hahaaa hii nchi huyu ndo hafamik na vyombo vya usalama dyuu wamuulize kitenge kamuona usoni kabisa ,,,,,naipend nchi yng ila Hays mmmmh
@edwinamos97348 күн бұрын
Jamani hata kama mtu kazingua kumfanyia hivyo mbele ya umati its not fair wazeee.
Пікірлер: 227
kumbe ni kitenge? ana ujasiri wa ajabu hongera kitenge
@ziakaitala2221
5 жыл бұрын
Kweli nimemuona Maulid mtoto wa mzee kitenge ndo aliemtoa yule jamaa mwenye mguu wa kuku
@jumaazitto2767
5 жыл бұрын
@@ziakaitala2221 Grwksezxvbmktey
@ziakaitala2221
5 жыл бұрын
@@jumaazitto2767 Juma mbona umeandika maneno yasiyojulikana? Au yanatoka kwa mtu asiejulikana?
@Kimbururu
5 жыл бұрын
Kitenge ni huyu nae atakua Usalama huyu
@dullabritish3277
5 жыл бұрын
Kitenge ni Usalama wa Taifa muda mrefu tu licha ya kuwa mwandishi bora wa habari Tanzania
Nanii yuko hapa baada ya kutenguliwa tena uwaziri na mama😢
Kama umemuona harmorapa wakat video inaanza gonga like😂😂
@queenkivuyo8601
16 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@shebbynzengula6993
14 күн бұрын
😂😂😂
@theprincejr1417
12 күн бұрын
Alikimbiaga huyo
@Gody360
10 күн бұрын
Yuleeeeeeeeee
@AhmedAbubakari
7 күн бұрын
Alikimbia mpka morogoro 😂😂😂
Daaah hiki kitendo cha nape kufanyiwa ivo kimeniuma sana aisee.
Nape toka hapo watakumaliza hao broo
Inaniuma sana kwa matukio haya Tanzania. I love my Country Tanzania... Mungu tusaidie
Nape Waziri tena ktk wizara ile ile...........ya Mungu mengi!
uonevu ni jambo baya sana,ahsante Maulidi Kitenge kwa hili,mtu huyu alietoa bastola hadharani eti hajulikani.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
Kitenge ni TISS hahaaaa,MTU na nusu hyoo
Usafini tuna watu,hongela kitenge wetu
Tuliorud kumchunguza maulid tujuane
@Gody360
10 күн бұрын
🎉
Asiyejulikana anaoenekana HADHARANI 😀😀😀i'la serikali hawamuoni
pole nape..ninapopitia hii,sijui huwa nawaza nini....nchi yetu hii.!
DAaaaaaaaaaahhh TZ cjui tunaelekea wap
Jaman mnapokuwa madalakan fanyen huku mkijua kuwa cheo ni mapito na si dhamana
Heshimu watu mzee unalopokaga sana jifunze kupitia hili
Kea pembeniii kam umemuonAaa hamorAp gonGa Like twenDe saWaaaa.....hahahahha
Big up kitengeee
Wangeuaga tu hii mbwa
Huyu ndie mtu asiyejulikana mpaka bunge tukufu linamjadili hi serikali yetu ya usanii.
Hamorapaa akachimba😊
Kitenge hapo nlikukubali sana
Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno.. Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba. Kwa Mungu kuna kujibu huko
Nimerudi baadaya ya Msiba ya JPM,
Ukimsikiliza kitenge vizuri utajua na yy ni nani😂
2021 harmorapa alivyochomokaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Sawasawa tu ametengeza mwenyewe mfumo wa watu wasiojulikana pumbavu Zake
Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani
huyo jamaa mzima kweli
Hii ndo faida ya bao la mkono
hii ilikuwa kiki wazee
Iyo video ina miaka7 manina
Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million
Utaharibu mambo bhwana
Hivi harmorapa alikuwa hajui kama nape siyo waziri tena....!
Hahahhaha Hermorapa Ameenda ndukii😷🤪
Hiii dharau kweliii.
Kitenge anastahili ukuuu
Tunaipenda ccm ,msioipenda pambaneni na hali yenu
@nicholausyusti4068
Жыл бұрын
🤔
Kama umemwona Harmorapa Gonga like
Huyu askari ana shule ndogo sana! Hawa ni la saba
Kwenye nchi za watu huyu Jamaa hana kazi ila nimefurahi maana huyu ni wa goli LA mkono
Kitenge pia ako na bunduki hapo kwa nyonga
Mtu kama nape sio wakufanyiwa unyama kama huu Tunduma tunalaani kitendo hiki😢😢
Mzeee wa bao la mkono
Siasa ni mchezo mgum sana kuuelewa
Ahe Nape wasijulikana ao wameonekana peupe alakini hawakamatwi wala hawakamatiki inchi sio salama kabisa bastora hazarani ni hatari tupu
@sylvesteralstides3885
5 жыл бұрын
Noma hiyo
Kuna tatizo gani Kwan?
kitenge kitenge kitenge mh....
Huyo mbwa ana bahati kama ningekuwepo huyo mshamba asie jua hata kutumia bastola ningemng'oa pumbu!! Angemleta alie mtuma!!!
@yassirkipemba7889
5 жыл бұрын
RAPHAEL SAMWEL
@petermarco9559
5 жыл бұрын
ha ha ha ha ha,naona wtz tumeshavulugwa
@twentyfours3652
5 жыл бұрын
Unafirwa wewe
@mohammedmhina3973
3 жыл бұрын
@@twentyfours3652 nn sasa hk mkuu
Marshall bana
Huyu Gilbert Kalanje Alifaa Kufanywa Kitu Ambacho Kitabaki Kama Kumbukumbu Na Vizazi Vijavyo Wajue Kama Ni Kosa Kutoa Siraha Kama Alivo Fanywa Yeye
Huyu naye jeshi la polisi limekosa kumtambua wakati nape mwenyewe anawajua
Mmmmh kwan kuna n?
Siku hzi alikuwa anakula gharama za watu sio kulinda hii nchi ngumu
What's going on? Could someone translate pls?
@jawadyrasheed6880
5 жыл бұрын
That person who wearing a cap was try to attack our former minister the one who wearing a white shirt
Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?
@issaabdi9129
2 жыл бұрын
Kwani ni mbali si sasa hv yuko ktk mashakani ya mauwaji.
@hassanbukambu931
20 күн бұрын
Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.
Hugo mwenzao unaweza msukuma afisa hivyo
Hakunaga polis mwenye akili timamu ukitaka uamin polis hawanaga akili utakuta wanatumia nguvu kubwa kwmy vitu visivyo hitji nguvu sasa hapo jiulize kwnn umtolee bastola mtu kama nape tena nape alimhurumia sana yn ningekua mm sasa hv hana kaz
@FridayMwassa
15 күн бұрын
Unawaonea police kwasababu hawaji hapa kubishana, huyo siyo police acheni kuwalaumu police kwa kila jambo
ivi naomba niulize huyu jamaa alietoa bastola hazalani yupo wapi
huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.
2024 KUMBU KUMBU ZA SOGA ZA MWENDA ZAKE😔🚶
Kwa maoni tu kitenge sio mtu mdogo maan sio kwa kumtuliza hvy jamaa
@farealapple7962
3 жыл бұрын
Uyu mwamba uwa ni usalama sema alivyokaa si rahisi kumjuwa
Mmmmm zambi ya unafiki ni mbaya, leo yuko wapi: Nape, January na Kinana? Hawa ni matapeli tu.
Huyo wa bastola bado yupooo
hiiii ilikua kiki.
Mtangazaji wangu Bora wa muda wote maulid kitengee nampenda Sanaa maana huyu jamaaa n mnafkii sanaa
Kawa waziri toa bastola na saizi
Bastora ndo nini?????
Utaaribu mambo ni kauli ya mpango ulikuwepo
Kazi ipo
Amorapa mbiooo😅😅😅
Ilikuwa mwaka 2017
Ange m tusua tuuu
Watanzania bana kwa kusahau hatujambo! Sinema hizi bana naona ni Kama hazitufundishi kitu maana tunaludia yaleyale
Sa itakuaje???
Ungepiga risasi mbwa huyoo
Ungelipiga chuma hili choko, kumbe lilikua linamtesa hata mzee....nilkua nalionea huruma kumbe halifai hata kwa kurumangia kwa kachumbari.
maulidi ❤
Utawala wa magufuli 😢😢😢
‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️
Yan camera kushuka chin tu na kurud juu tena harmorapa hayupo😂😂🙌
@user-xl9so6jg1e
8 күн бұрын
Nimecheka kisenge
Nan kamwna Harmorapa akitoka nduki kam vil katolewa 🔫 yeye 😂😂😂😂😂😂
@brownjulius8514
5 жыл бұрын
Dominic Classic hamorapa nduki
@ansyfalesy1457
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
Nimejifunz kitu
watu wasiojulikana, NINGEKUWA mm nape ningemmwaga ubongo hapohapo huyo JAMAA,
Wangap wamerudi kuangali hii kwasasa je umejifunza nn baada ya kuangalia mwaka huu?
Hapa kidogo atie hewa kwa chini
hamorap nae yupo
Nilikua naangalia sports arena..ikabid nije kumchek kitenge huku 😀
Askari wa Magufuli
Enzi za ubabe
Sasa kuonyesha mguu wa kuku wa nn?
hahaaa hii nchi huyu ndo hafamik na vyombo vya usalama dyuu wamuulize kitenge kamuona usoni kabisa ,,,,,naipend nchi yng ila Hays mmmmh
Jamani hata kama mtu kazingua kumfanyia hivyo mbele ya umati its not fair wazeee.
Utukufu wa makufuli
Kitenge
Wanamsubiri jela huyo kabla hujamfanyia ubaya mwenzio fikiria ubaya unageuka .
Bora muuwane nyinyi Kwa nyinyi CCM Kwa CCM maana hiyo ndio sera zenu
Hivi huyu jamaa aliyemtishiaga ataacha kazi au
Sasa hichi kiharmorapa kilikua kinataka nini hapo pembeni? 😂😂😂
Wefisadi sikupendi