LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA

Фильм және анимация

Пікірлер: 227

  • @florameza9529
    @florameza95297 жыл бұрын

    kumbe ni kitenge? ana ujasiri wa ajabu hongera kitenge

  • @ziakaitala2221

    @ziakaitala2221

    5 жыл бұрын

    Kweli nimemuona Maulid mtoto wa mzee kitenge ndo aliemtoa yule jamaa mwenye mguu wa kuku

  • @jumaazitto2767

    @jumaazitto2767

    5 жыл бұрын

    @@ziakaitala2221 Grwksezxvbmktey

  • @ziakaitala2221

    @ziakaitala2221

    5 жыл бұрын

    @@jumaazitto2767 Juma mbona umeandika maneno yasiyojulikana? Au yanatoka kwa mtu asiejulikana?

  • @Kimbururu

    @Kimbururu

    5 жыл бұрын

    Kitenge ni huyu nae atakua Usalama huyu

  • @dullabritish3277

    @dullabritish3277

    5 жыл бұрын

    Kitenge ni Usalama wa Taifa muda mrefu tu licha ya kuwa mwandishi bora wa habari Tanzania

  • @worldcup-zh5ci
    @worldcup-zh5ci13 күн бұрын

    Nanii yuko hapa baada ya kutenguliwa tena uwaziri na mama😢

  • @Daudi-pg8bw
    @Daudi-pg8bw21 күн бұрын

    Kama umemuona harmorapa wakat video inaanza gonga like😂😂

  • @queenkivuyo8601

    @queenkivuyo8601

    16 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @shebbynzengula6993

    @shebbynzengula6993

    14 күн бұрын

    😂😂😂

  • @theprincejr1417

    @theprincejr1417

    12 күн бұрын

    Alikimbiaga huyo

  • @Gody360

    @Gody360

    10 күн бұрын

    Yuleeeeeeeeee

  • @AhmedAbubakari

    @AhmedAbubakari

    7 күн бұрын

    Alikimbia mpka morogoro 😂😂😂

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz3 жыл бұрын

    Daaah hiki kitendo cha nape kufanyiwa ivo kimeniuma sana aisee.

  • @NassorYusuph
    @NassorYusuph13 күн бұрын

    Nape toka hapo watakumaliza hao broo

  • @eliyamahenge9382
    @eliyamahenge93825 жыл бұрын

    Inaniuma sana kwa matukio haya Tanzania. I love my Country Tanzania... Mungu tusaidie

  • @emmanuelgwaay4773
    @emmanuelgwaay47732 жыл бұрын

    Nape Waziri tena ktk wizara ile ile...........ya Mungu mengi!

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga23805 жыл бұрын

    uonevu ni jambo baya sana,ahsante Maulidi Kitenge kwa hili,mtu huyu alietoa bastola hadharani eti hajulikani.MUNGU IBARIKI TANZANIA.

  • @happyjohn5882

    @happyjohn5882

    3 жыл бұрын

    Kitenge ni TISS hahaaaa,MTU na nusu hyoo

  • @ibrahimalisharif275
    @ibrahimalisharif2754 жыл бұрын

    Usafini tuna watu,hongela kitenge wetu

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 Жыл бұрын

    Tuliorud kumchunguza maulid tujuane

  • @Gody360

    @Gody360

    10 күн бұрын

    🎉

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon71605 жыл бұрын

    Asiyejulikana anaoenekana HADHARANI 😀😀😀i'la serikali hawamuoni

  • @yusuphsaid6300
    @yusuphsaid63005 жыл бұрын

    pole nape..ninapopitia hii,sijui huwa nawaza nini....nchi yetu hii.!

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally64557 жыл бұрын

    DAaaaaaaaaaahhh TZ cjui tunaelekea wap

  • @ziakaitala2221
    @ziakaitala22215 жыл бұрын

    Jaman mnapokuwa madalakan fanyen huku mkijua kuwa cheo ni mapito na si dhamana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle13 күн бұрын

    Heshimu watu mzee unalopokaga sana jifunze kupitia hili

  • @dismaskamanzi2365
    @dismaskamanzi23655 жыл бұрын

    Kea pembeniii kam umemuonAaa hamorAp gonGa Like twenDe saWaaaa.....hahahahha

  • @youngramajrtz2215
    @youngramajrtz22155 жыл бұрын

    Big up kitengeee

  • @FathiyaMbaraka
    @FathiyaMbaraka2 күн бұрын

    Wangeuaga tu hii mbwa

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын

    Huyu ndie mtu asiyejulikana mpaka bunge tukufu linamjadili hi serikali yetu ya usanii.

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8l5 күн бұрын

    Hamorapaa akachimba😊

  • @johnkikene8906
    @johnkikene89065 жыл бұрын

    Kitenge hapo nlikukubali sana

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab47562 жыл бұрын

    Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno.. Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba. Kwa Mungu kuna kujibu huko

  • @mwalimu1520
    @mwalimu15203 жыл бұрын

    Nimerudi baadaya ya Msiba ya JPM,

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim761623 сағат бұрын

    Ukimsikiliza kitenge vizuri utajua na yy ni nani😂

  • @roi2554
    @roi25542 жыл бұрын

    2021 harmorapa alivyochomokaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi28995 жыл бұрын

    Sawasawa tu ametengeza mwenyewe mfumo wa watu wasiojulikana pumbavu Zake

  • @jackzest4really145
    @jackzest4really1453 жыл бұрын

    Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani

  • @hammybrown6313
    @hammybrown63137 жыл бұрын

    huyo jamaa mzima kweli

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga80895 жыл бұрын

    Hii ndo faida ya bao la mkono

  • @victorsospeter1815
    @victorsospeter18153 күн бұрын

    hii ilikuwa kiki wazee

  • @geofreydanny1037
    @geofreydanny10376 күн бұрын

    Iyo video ina miaka7 manina

  • @shishismile1973
    @shishismile19734 жыл бұрын

    Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million

  • @allyhamissi5835
    @allyhamissi5835 Жыл бұрын

    Utaharibu mambo bhwana

  • @piusmnanka2755
    @piusmnanka27555 жыл бұрын

    Hivi harmorapa alikuwa hajui kama nape siyo waziri tena....!

  • @haliimomar1692
    @haliimomar16925 жыл бұрын

    Hahahhaha Hermorapa Ameenda ndukii😷🤪

  • @mwaitukamwallah1300
    @mwaitukamwallah13005 жыл бұрын

    Hiii dharau kweliii.

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego94243 жыл бұрын

    Kitenge anastahili ukuuu

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel92495 жыл бұрын

    Tunaipenda ccm ,msioipenda pambaneni na hali yenu

  • @nicholausyusti4068

    @nicholausyusti4068

    Жыл бұрын

    🤔

  • @Movic5806
    @Movic5806 Жыл бұрын

    Kama umemwona Harmorapa Gonga like

  • @ntegrity277
    @ntegrity2772 күн бұрын

    Huyu askari ana shule ndogo sana! Hawa ni la saba

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb5 жыл бұрын

    Kwenye nchi za watu huyu Jamaa hana kazi ila nimefurahi maana huyu ni wa goli LA mkono

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya45193 ай бұрын

    Kitenge pia ako na bunduki hapo kwa nyonga

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid18828 күн бұрын

    Mtu kama nape sio wakufanyiwa unyama kama huu Tunduma tunalaani kitendo hiki😢😢

  • @jchuwatv1890
    @jchuwatv18905 жыл бұрын

    Mzeee wa bao la mkono

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp9 ай бұрын

    Siasa ni mchezo mgum sana kuuelewa

  • @redmondmulilo4852
    @redmondmulilo48525 жыл бұрын

    Ahe Nape wasijulikana ao wameonekana peupe alakini hawakamatwi wala hawakamatiki inchi sio salama kabisa bastora hazarani ni hatari tupu

  • @sylvesteralstides3885

    @sylvesteralstides3885

    5 жыл бұрын

    Noma hiyo

  • @kennedymwangala8385
    @kennedymwangala83855 жыл бұрын

    Kuna tatizo gani Kwan?

  • @yasinitwalika1565
    @yasinitwalika1565 Жыл бұрын

    kitenge kitenge kitenge mh....

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel26405 жыл бұрын

    Huyo mbwa ana bahati kama ningekuwepo huyo mshamba asie jua hata kutumia bastola ningemng'oa pumbu!! Angemleta alie mtuma!!!

  • @yassirkipemba7889

    @yassirkipemba7889

    5 жыл бұрын

    RAPHAEL SAMWEL

  • @petermarco9559

    @petermarco9559

    5 жыл бұрын

    ha ha ha ha ha,naona wtz tumeshavulugwa

  • @twentyfours3652

    @twentyfours3652

    5 жыл бұрын

    Unafirwa wewe

  • @mohammedmhina3973

    @mohammedmhina3973

    3 жыл бұрын

    @@twentyfours3652 nn sasa hk mkuu

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt5 күн бұрын

    Marshall bana

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz27552 жыл бұрын

    Huyu Gilbert Kalanje Alifaa Kufanywa Kitu Ambacho Kitabaki Kama Kumbukumbu Na Vizazi Vijavyo Wajue Kama Ni Kosa Kutoa Siraha Kama Alivo Fanywa Yeye

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын

    Huyu naye jeshi la polisi limekosa kumtambua wakati nape mwenyewe anawajua

  • @CharlesEvaristi
    @CharlesEvaristi4 күн бұрын

    Mmmmh kwan kuna n?

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t3 күн бұрын

    Siku hzi alikuwa anakula gharama za watu sio kulinda hii nchi ngumu

  • @RooblesJourney
    @RooblesJourney5 жыл бұрын

    What's going on? Could someone translate pls?

  • @jawadyrasheed6880

    @jawadyrasheed6880

    5 жыл бұрын

    That person who wearing a cap was try to attack our former minister the one who wearing a white shirt

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard36185 жыл бұрын

    Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?

  • @issaabdi9129

    @issaabdi9129

    2 жыл бұрын

    Kwani ni mbali si sasa hv yuko ktk mashakani ya mauwaji.

  • @hassanbukambu931

    @hassanbukambu931

    20 күн бұрын

    Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.

  • @GraceBrown-t8g
    @GraceBrown-t8g10 күн бұрын

    Hugo mwenzao unaweza msukuma afisa hivyo

  • @IdrisaAbdallah-pf4mw
    @IdrisaAbdallah-pf4mw22 күн бұрын

    Hakunaga polis mwenye akili timamu ukitaka uamin polis hawanaga akili utakuta wanatumia nguvu kubwa kwmy vitu visivyo hitji nguvu sasa hapo jiulize kwnn umtolee bastola mtu kama nape tena nape alimhurumia sana yn ningekua mm sasa hv hana kaz

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    15 күн бұрын

    Unawaonea police kwasababu hawaji hapa kubishana, huyo siyo police acheni kuwalaumu police kwa kila jambo

  • @MsatiOne
    @MsatiOne21 күн бұрын

    ivi naomba niulize huyu jamaa alietoa bastola hazalani yupo wapi

  • @josphatoyondi3376
    @josphatoyondi33765 жыл бұрын

    huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed900320 күн бұрын

    2024 KUMBU KUMBU ZA SOGA ZA MWENDA ZAKE😔🚶

  • @mwalimukashashadarant9676
    @mwalimukashashadarant96764 жыл бұрын

    Kwa maoni tu kitenge sio mtu mdogo maan sio kwa kumtuliza hvy jamaa

  • @farealapple7962

    @farealapple7962

    3 жыл бұрын

    Uyu mwamba uwa ni usalama sema alivyokaa si rahisi kumjuwa

  • @malcomx4067
    @malcomx40676 күн бұрын

    Mmmmm zambi ya unafiki ni mbaya, leo yuko wapi: Nape, January na Kinana? Hawa ni matapeli tu.

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana808421 күн бұрын

    Huyo wa bastola bado yupooo

  • @yuzotv458
    @yuzotv4589 күн бұрын

    hiiii ilikua kiki.

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Жыл бұрын

    Mtangazaji wangu Bora wa muda wote maulid kitengee nampenda Sanaa maana huyu jamaaa n mnafkii sanaa

  • @bahatimalundi3593
    @bahatimalundi35932 жыл бұрын

    Kawa waziri toa bastola na saizi

  • @rali8825
    @rali88255 жыл бұрын

    Bastora ndo nini?????

  • @raphaelrespichius8508
    @raphaelrespichius85085 жыл бұрын

    Utaaribu mambo ni kauli ya mpango ulikuwepo

  • @majaliwamsigwa3974
    @majaliwamsigwa39745 жыл бұрын

    Kazi ipo

  • @richlymo
    @richlymo4 күн бұрын

    Amorapa mbiooo😅😅😅

  • @sylivestermadomado9111
    @sylivestermadomado91115 күн бұрын

    Ilikuwa mwaka 2017

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda945014 күн бұрын

    Ange m tusua tuuu

  • @stephenhebron9838
    @stephenhebron98385 жыл бұрын

    Watanzania bana kwa kusahau hatujambo! Sinema hizi bana naona ni Kama hazitufundishi kitu maana tunaludia yaleyale

  • @alloycejames5285
    @alloycejames52852 жыл бұрын

    Sa itakuaje???

  • @amonamiri4487
    @amonamiri44873 жыл бұрын

    Ungepiga risasi mbwa huyoo

  • @TheGame-nz7um
    @TheGame-nz7um3 күн бұрын

    Ungelipiga chuma hili choko, kumbe lilikua linamtesa hata mzee....nilkua nalionea huruma kumbe halifai hata kwa kurumangia kwa kachumbari.

  • @KeepAutoAccessories
    @KeepAutoAccessories6 күн бұрын

    maulidi ❤

  • @thobiaschuwa
    @thobiaschuwa3 күн бұрын

    Utawala wa magufuli 😢😢😢

  • @Freedom_fighters898
    @Freedom_fighters898 Жыл бұрын

    ‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️

  • @iam_lasco
    @iam_lasco2 жыл бұрын

    Yan camera kushuka chin tu na kurud juu tena harmorapa hayupo😂😂🙌

  • @user-xl9so6jg1e

    @user-xl9so6jg1e

    8 күн бұрын

    Nimecheka kisenge

  • @dominicclassic8089
    @dominicclassic80895 жыл бұрын

    Nan kamwna Harmorapa akitoka nduki kam vil katolewa 🔫 yeye 😂😂😂😂😂😂

  • @brownjulius8514

    @brownjulius8514

    5 жыл бұрын

    Dominic Classic hamorapa nduki

  • @ansyfalesy1457

    @ansyfalesy1457

    5 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @shazilchymwager9496
    @shazilchymwager94964 жыл бұрын

    Nimejifunz kitu

  • @yonamwaweya8517
    @yonamwaweya85175 жыл бұрын

    watu wasiojulikana, NINGEKUWA mm nape ningemmwaga ubongo hapohapo huyo JAMAA,

  • @ezekieljolam4276
    @ezekieljolam42762 жыл бұрын

    Wangap wamerudi kuangali hii kwasasa je umejifunza nn baada ya kuangalia mwaka huu?

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle13 күн бұрын

    Hapa kidogo atie hewa kwa chini

  • @nassororamadhan8756
    @nassororamadhan87565 жыл бұрын

    hamorap nae yupo

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule3 жыл бұрын

    Nilikua naangalia sports arena..ikabid nije kumchek kitenge huku 😀

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o4 ай бұрын

    Askari wa Magufuli

  • @selemankishema5780
    @selemankishema578021 күн бұрын

    Enzi za ubabe

  • @shabanaman8556
    @shabanaman85565 жыл бұрын

    Sasa kuonyesha mguu wa kuku wa nn?

  • @erastomwakalinga7079
    @erastomwakalinga70795 жыл бұрын

    hahaaa hii nchi huyu ndo hafamik na vyombo vya usalama dyuu wamuulize kitenge kamuona usoni kabisa ,,,,,naipend nchi yng ila Hays mmmmh

  • @edwinamos9734
    @edwinamos97348 күн бұрын

    Jamani hata kama mtu kazingua kumfanyia hivyo mbele ya umati its not fair wazeee.

  • @alijumes3580
    @alijumes358020 күн бұрын

    Utukufu wa makufuli

  • @richardmassawe8416
    @richardmassawe84162 жыл бұрын

    Kitenge

  • @husseisalimumaula3867
    @husseisalimumaula38672 жыл бұрын

    Wanamsubiri jela huyo kabla hujamfanyia ubaya mwenzio fikiria ubaya unageuka .

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv4 ай бұрын

    Bora muuwane nyinyi Kwa nyinyi CCM Kwa CCM maana hiyo ndio sera zenu

  • @deomdolo5049
    @deomdolo50492 жыл бұрын

    Hivi huyu jamaa aliyemtishiaga ataacha kazi au

  • @muhammad_alhinai
    @muhammad_alhinai4 күн бұрын

    Sasa hichi kiharmorapa kilikua kinataka nini hapo pembeni? 😂😂😂

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hjАй бұрын

    Wefisadi sikupendi

Келесі