ASIMULIA ALIVYOKAA JELA MIAKA 9 KISA MAUAJI “NILIMUAZIMA GHETTO RAFIKI YANGU AKAMUUA MPENZI WAKE"
Leo nakukutanisha na Tumaini Mabula Kijana mwenye umri wa miaka 32 ambaye kiasili ni Mzaliwa wa Simiyu na alikuja Dar es salaam kutafuta maisha tu, mwaka 2013 alikutana na majanga yaliyomfanya aishie kukaa mahabusu kwa miak tisa na ametoka mwaka huu.
Mwezi February 2013 akiwa anaishi Mwananyamala aliazimwa gheto na Rafiki yake ili apumzike na Mpenzi wake , Tumaini akaondoka kwenda Kariakoo alikokuwa anafanya shughul8 za kujitatutia kipato na kuwaacha wawili hap ndani kwae, aliporudi Jioni alimkuta Mwanamke yule Mpenzi wa Rafiki yake akiwa amefariki, wakati huo Rafiki yake tayari alikuwa ameshatoroka na tangu hapo mzigo wa kesi ya mauaji ukamuangukia Tumaini..
Kwa sasa ametoka Mahabusu na hana msaada wowote, hana pa kulala, hana kazi na hana Ndugu wa kumsaidia, amekuja mbele ya Watanzania kuomba support, Tunae Tumaini kwenye Exclusive interview na anasimulia mkasa wake wote kwa urefu, namba za kumsaidia ni 0688580756 Abilahi Abdallah
Пікірлер: 783
Huyu jamaa ukimskiliza vzuri anatufundisha Sana kumshirikisha Mungu Kwenye mambo yako
@fadhilimatandala7629
Жыл бұрын
agreed
@asmahhassan2266
Жыл бұрын
Kabisa cm jamni
@bernardmkuffya5171
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana,umeongea kitu kizuri sana.
Millard ayo jitolee umsaidie uyu kijana kwa sababu naamini huez shindwa tafadhali kaka 🙏,,,🇰🇪
@hisanmwakijungu10
Жыл бұрын
Ata wew pia unaweza kumsaidia
@wasalimie11
Жыл бұрын
@@hisanmwakijungu10
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Je wewe hauwezi ?
Mungu akutetee sana kijana Mabula .Kuna nyumba Mlandizi haijaisha sawasaw lakini inaweza.kukaliwa na watu uko tayari kukaa huko?Tena bure sababu mateso uliyoyapata yatosha.Mungu akusaidie.
@OnlyRuky
2 жыл бұрын
Watafute kina Millard wamuulize yeye hata cm ya kuona ujumbe hana
@sikatendeshabani2490
2 жыл бұрын
@@OnlyRuky duh nipe number yak ni mcheki ata fungo la kumi
@johnmwandu2116
2 жыл бұрын
Angalia dk ya 34 namba zake zimeoneshwa, chukua umpigie mshikaji
@johnmwandu2116
2 жыл бұрын
@@sikatendeshabani2490 dakika ya 34 angalia namba zake zimeoneshwa
@trillianbennahbennah5312
Жыл бұрын
Watu wa tanzania ebu niambieni buku ni shilingi ngapi
Daah nimejifunza kitu sana jamaa alikuja ofisini kwangu akiwa na simu ina password akaniambia naomba unifrashie hii sim nimepewa ili niende na mawasiliano kwa millard ayo...akaniadisia kidogo moyo wa imani ukaniingia nikamfrashia bure japo wenzangu waliniambia uyo analolote katoka kuiba iyo...daaah sasa leo namuona hapa moyo umeshtuka sana kumbe ni kweli....nimeelewa maana ya usi ukumu kitabu nje kabla ujakisoma.....#Tumsaidien
@gervasmalimi5126
2 жыл бұрын
Dah
@johnmwandu2116
2 жыл бұрын
Kweli tusihukumu pia kwa kufuata mikumbo ya wengine
@rashowshine7849
2 жыл бұрын
God well pay
@miaerny6609
2 жыл бұрын
Afadhali huku sikiliza ya watu ukamsaidia Mungu akulipe wema wako🙏
@annamuro5937
2 жыл бұрын
Mungu atakubariki
Ntakutumia pesa Kaka yangu Mungu akipenda pole sana Na matatizo kumbe polisi wana treat watu vizuri sana sikujua pole sana na matatizo
@johnjosephat1252
Жыл бұрын
Mtumie sasa
@mwansitisuleman
Жыл бұрын
Umemtumia pesa
@AlbertBikogoto
29 күн бұрын
Mhh
Haya waazimisha mageto amkeni uko mtapewa kesi ziwaharibie maisha,,, pole sana bro ni mitihani ya maisha Mungu atakusaidia 🙏🏻
@syliviakente9460
2 жыл бұрын
Na hao wanaenda kuomba geto alete girl friend wake wajifunze fuateni mila na desturi na utamaduni turudi kwa mola
@zenadaudzena2849
Жыл бұрын
😂😂
@jacksonjohn5686
Жыл бұрын
Kwakweli
@bongorecaps3558
Жыл бұрын
Nyie acheni tu hii kitu Kuna siku nilimpelekea moto mtt wa watu akageuza macho akazima nashkuru kummwagia maji akazinduka ila sasa hv hata nikiingia lodge naomba sana lisitokee jambo
@mdta8161
Жыл бұрын
@@bongorecaps3558 🤣🤣🤣
Umeongea yote mazur na tumejifunza kaka lkn kubwa pia hilo la kusaidia wenye kuhitaji 👏👏👏 na Mungu atakubless siku zote na ufanikiwe pakubwa 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Aseee pole sana mdogo wangu, pole sana, ila MUNGU ndo kila kitu utainuka na utakaa pwa tu tena sana, ucje ukajutia kwa lolote, ni sehemu ya maisha ulipitishwa maan kuna wengine wako uraian lkn ni wagonjw na hawawez hata kucmama,ko ww shukuru uko na afya yote MUNGU anafungua kwa wakat wake kwa kila alie wake.
@focusernest5610
2 жыл бұрын
Na uzuri umri mdogo kabsa
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@focusernest5610 kwl mda bd anao wakupambana
Duh kupitia ushahidi wa macho tunajifunza utukufu wa Mwenyezimungu hana mfano na kiumbe chochote
@jamesfanuel4595
Жыл бұрын
Amina
Pole Sana, Leo ndio nimekuona kwenye mahojiano na Upendo TV.
Thanks millard ayo hii content naamini kila mtu amejifunza na tumuombee jamaa atimize ndoto zake Muda bado upo..!!🙏🙏
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
Mkuu tusidanganyane watu wamejifunza kwa kusikiliza tu hapa ila walipoweka cm pembeni mambo yaliendelea pale pale ukitaka kuamini sisi wa afrika au watu wote ni vichwa vigumu unakuta mtu yupo hospitality amekaa mapokezi anaangalia TV wanaweka yale mambo unakuta uume au uke umealibiwa na magonjwa ya zinaa au anaona jinsi watu walivyoathirika tunashauliwa tutumie condom ila akitoka hapo hospital unazani anakumbuka hilo tena ndugu yangu hapo ndo utajua kumbe shetani yupo kazini
Duh nimeamini kweli wanaufungwa jela wote sio wenye hatia Allah akupe subra
@zumbeshauri8114
Жыл бұрын
Hakika dunia ina mengi
Respect sana Millard wew ndio sababu kuu ya kumsaidia huyu kijana bila ya wew tusingemjua mungu atakulipa kaka .
Allah akujaalie pole hiyo n mitihani ya mwnyezi mungu uckate tamaaa🤲🙏
Nitakusaidia mtaji in shaallah na naomba watz tumchangie apate pesa Ya passport nitamtafuta kazi
@njoroboihustla125
Жыл бұрын
Onesha nia yako yakumusaidia uandike contact yako
@neemapatrice1704
Жыл бұрын
🙏🙏
@michaelthobias9967
Жыл бұрын
Wasiliana na milad ayo
@khadejarajab8007
Жыл бұрын
Itakuwa umefanya jambo zuri sana ila tz sasa kwenye paspot wanazinguaga sana na maswali pia eiport ni shida tu
@0ttii
Жыл бұрын
Duuuh.ubalikiwe.san
the guy is damn innocent 😥😥
Kwenye Uhuru hapo umenigusa sana. Siku zote huwezi kujua thamani ya Uhuru kama hujawahi kuukosa. Uhuru tulionao una thamani saaaana!! Umepita kwny wakati mgumu sana lkn Mungu alijua unaweza na ndo sababu aliruhusu upite kwny huo wakati mgumu na akakuvusha salama. Usimwache Mungu wako siku zote za maisha yako. Pole sana bro, hii ndo dunia!
Subhana Allah Mtihani kweli kweli 😭😭 pole sana kaka.. Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi popote penye uzito🤲🏼
Looh, Nimeumia Sana Kiongozi😭 Tupatie Namba Yake Tumsaidie Japo Kidogo
@stelasianga9468
Жыл бұрын
Number kqeka jaman..ila mungu katenda haki
@besteralbert5247
Жыл бұрын
Ipo chini kwenye description ya video...
@fadhilindunguru7946
Жыл бұрын
Mmmmmmh
I'm really sorry kaka all will be well in sha Allah ameen 🙏
👏👏👏Asant sn kk nmejifunza mengi Kuna rafiki yng Huku warabuni Huwa wanapigana mm Huwa naingilia Kati bt Kwa maelezo yk nmekoma juu mm Bado kijana mdogo hawa umri umeenda n Huku si kwetu
@marykarebeti9410
Жыл бұрын
Tena ukome kabisa.
Mtihani pole kijana ndio tujifunze kwani katika hiiii duniya hakuna rafiki hasa ukipata tatizo wote walio wakia wema kwako watakukimbiya
Daah msukuma mwenzangu polee Sanaa,,ndo mapitoo nmejisikiaa vbaya Sanaa!!😥
@joycemachibya4380
Жыл бұрын
Adi nimeumia jmn ,msukuma mwenzangu jmn upole nao sio mzuri 😢
Mungu si Asthumani.... Mungu anaishi, ni kuwa na subira tuh na kumtegemea Mungu... Kama ameweza kutoka jela basi na maisha yatamnyookea Kwa uwezo was bawna Alie juu mbinguni, Mungu akufungulie milango ya baraka kaka angu
That can happen to anyone kwenye system ambazo uchunguzi wa ukweli haupewi kipao mbele. Tanzania justice system has to improve! Pole sana Tumaini.
ila wanaume wana hii tabia ya kuazimana vyumba sababu ya wanawake, wanasahau hatari kama hizi hata waskie vitu kama hivi wanasahau mapema sana
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
Sasa tunafanyeje ndo kusaidiana uko likikukuta unajumuika nalo tu we ukumbuki ata wewe nilikupeleka kwa msela wangu ushasahau hilo uoni kama tulisaidiwa tukamaliza kiu zetu tulizokua nazo
Kwa maelezo haya , mpelelezi wa hii kesi, hakumuelewa hata kidogo? Tunajua kesi ya mauaji hutumia muda mrefu lkn.....na mashahidi mbona kama walikua wapo? Miaka .. 9 .!!. Hilo jaribu ni gumu lkn naamini Mungu atakusaidia kijana..wema umekuponzaaa😭
@1stladyafrica402
Жыл бұрын
Asingeweza kutoka mpaka huyo muuaji kupatikana kwani mauaji yalitokea nyumbani kwake.
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
Hii story ya broo imenikumbusha wimbo wa ferooz wema wangu umenipoza
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
@@1stladyafrica402 kwaiyo asingepatikana angekaa ata miaka 50 na zaidi kuna mda serikali itizame upande wa pili kisaikolojia tu mtu kashaeleza kila kitu pale nikufanya upelelez wao wa kina kisha kumpa ata dhamana ya kuwa nje akishilikiana na mahakama na jeshi la polisi maana yeye asingeweza kukimbia wakat jambo akulifanya yeye kwaiyo angewapa ushilikiano polisi na mahakama vzur sasa mtu akuhusika miaka 9 je tufanye alieusika sasa asingepatikana au angelikuwa nae alishafariki je jamaa angeukumiwa au ndo ile kesi ingegeuzwa kuwa ameuwa bila kukusudia wakat sio yeye kuna jambo kama vile alijakaa sawa hapo kisheria japo cjui sana mambo ya sheria ila hilo litizamwe kwa jicho la nne
@dijasaid2994
Жыл бұрын
@@1stladyafrica402 yaani damu ya Binaadam kuitoa roho haiendi bure.... na HAKI ya mtu asie na hatia ipo japo inachelewaga... pole kwake maskini ALLAH amfanyie wepesi
@venancegaspatv1961
5 ай бұрын
shida ilikuwa pale kwenye DNA baada ya yeye kumshika bega na pia kururhusu getto kutumika inachukua muda kuonesha no connection
Hilo ni funzo usimwamini hadi rafiki ako na watu wapenzi waende kurent mungu akulinde😍😍
Ni mara ya tatu Leo naangalia na kusikiliza hii na sijawahi comment, sababu hata sijui nacomment nini? Wacha nijitahidi tu😭😭😭😭 nimejifunza kuwafukuza vijana wote wanaolala kwenye ghetto la watoto wangu
Dah pole sana bro, sema umezungumzia sim na ili jambo jana tu tulikuwa tunalijadili na washkaj zangu duh kumbe limekualibia maisha kiasi iko,pole sana
Pole sana bro hizi ndio story tunazo zitaka maana zinatufunza musilete story za ajabu
shukran Sana BB.,msaada ndungu zangu mwenye nacho mwenye nachumba apangishiwe nafunguliwe mradi.inshaaAllah
Pole Sana kaka @milard naomba kumuona huyu jamaa,naweza saidia chochote. Dah 9years inamtosha mtu kua Billionaire
Funzo kwenu mnaoazimana ghetto kwa ajili ya kumpa support shetani
@amossmabangotz2032
2 жыл бұрын
Inategemea. Kaka sasa amekuja msela wako meshibana kinoma huwezi kumkazia mzee sema ndy hivyo kwenye maisha tusiwe wema sana
@mariamswedi1140
2 жыл бұрын
kabisaa mshahara wa dhambi
@esthersiresire
Жыл бұрын
Nina Imani wewe pia ushawai saidiwa ghetoo so usiongee vibaya mwambie mwenzako pole Kwa yaliyomkuta tuu
@athumanimtajih
Жыл бұрын
@@esthersiresire sijawahi hata hiyo tabia
@faithzamani1965
Жыл бұрын
@@athumanimtajih acha uongo ulikuwa unipeleki kule kwa rafikiako juu kule
😭😭😭 anarudi Tena, Yesu anarudi Tena, utukufu haleluya tumbariki tumepona msifu Bwana anarudi Tena 🙏 Pole sana kaka
Very Sad 😢... MUNGU atakupa Mwanzo mpya 🙏. Na kwa kuwa umeweka namba hapo, tutakujali kwa chochote.
😭😭 AKI SIMU WW UMEKUA NI TATIZO KUBWA DUNIANI POLE BRO ILA HII NI ELIM TOSHA KWENYE HUU ULIMWENGU WA SIMU .!!!
Ametupa fundisho sana sisi ambao tupo na Hawa wachumba zetu Alla amtie nguvu na amjaalie mafanikio mema inshaalla
tatizo nchi za Africa hususan police hawawezi kazi kabisa hawana uweledi hata kidogo kazi kurundika watu jela wasio na hatia
@neemamathew7465
Жыл бұрын
Kwrrr kabisa😓😓
@elizagreen8098
Жыл бұрын
Shida sio police, shida ni sheria zenyewe vilivyotengenezea police hana mamlaka ya kumuachia mtu mwenye tuhuma hasa kesi za mauaji ni kipengele kidogo na hazina dhamana... Mpaka hukumu itakapotolewa
@sheryphamwenevalley6124
Жыл бұрын
@@elizagreen8098 sio hivo ki vp wakati wao uchunguzi miaka 20 ? sikiliza hiyo storimuuaji alipatikana kitambo kwanini huyo waliendelea kumuweka, ? police Africa ni shida tupu na kusingizia watu kesi
Mungu ni mwema mbaya wako alipatikana nawe uko huru ,Mungu atakupa mahitaji yako na amani tele.Watz tupambane tumpe support
Duuuh pole sana kijana,yote ni maisha anza upya madhali we ni mzima mikono uko nayo pambana tu kaka
Almost a decade 🥲, very sad. The Government should be responsible to pay him compensation for his lost life he spent in jail for the crime he did not commit!
@khanifa6453
2 жыл бұрын
Very sad story,Allah will continue to be with him Always
@jhecfoundationtanzania2891
Жыл бұрын
Siyo Tanzania hiii
@romansixbert4529
Жыл бұрын
He represents the many wrongly convicted. Something has to change!
@julianaboniphace7351
Жыл бұрын
@@khanifa6453l
@lonelady3368
Жыл бұрын
For sure wanafaa wamlipe .coz awakufanya ufatilizi mzuri wa haya mauaji
Pole sana Aliloliandika Mungu huwezi kuliepuka kila tukio mungu ana sababu yakepia hua ni mtihani kwako..Mungu kakuvua bado mzima na kijana ...Jitahidi kaza tu kweri yako Mungu kaificha.. pambana mungu atakufungulia
Pole sana tumaini ila hongera kwa kutoka pia karibu uraiani ila tushukuru mungu umetoka bado kijana ,, tumaini mungu yuko nawe namini kwa uwezo wake ipo siku yatabaki story na unaonyesha unaakili mno utafika mbali nakuombea kheri
Pole kijana wangu hakika Mungu yuko nasi tunataka tukuwezeshe uone furaha tena sio kusafisha mitaro unahitaji kilicho chema zaidi sana.
yaani Tanzaniani nchi yangu ila kuna watu evil sana dah pole sana Kaka .. contact zake laad Millard tunapataje? Mimi Kuna siku kidogo nichomwe kisu chooni yaani sitaki hata kukumbuka.
Poleee sanaaa.... Urafk wa hivi nimbaya sanaaa poleee utapata na Mungu Baba atkusaidia
True Story ila presenter una feli kwa kutokua serious. Ndugu yangu omba yasikukute.
29 :09 MACHO ni zaidi ya camera ukiona ugomvii usisogeee yanarecord 💯
Dah aise imeniuma sana amepitia mtihani kwa ajili ya wema dah pole sana kaka Mungu atakupa nguvu inshallah 🙏 umetufunza kitu kikubwa katika maisha ila pia mngetutajia namba zake za simu ili mtu kama utakuwa na chochote tuweze kumchangia angepata ata chumba na mtaji ili aanze kujipanga
@janethkomba4485
Жыл бұрын
kabisaaa
MUNGU akubariki sana utafanikiwa tu, kila jambo hutokea kwsbb. pole sana kijana mwenzangu
Pole Sana na hongera kwa wapelelezi kwa kunusuru maisha yako kwasababu kazi waliyoifanya nikubwa
Wallahi mtihani pole sanaaaa mdogo wangu
Daa, nimejifunza mengi. Kumbe ndiyo maana wanasemaga upelelezi unaendelea. Wee, sitosogelea penye matukio ya mauwaji ng' o. Pole Sana mdogo wangu . Apumzike salama Binti wa watu.
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
Mmh mimi ctoacha kushuudia nataka hiyo cctv ya macho na mimi ininase tu napenda kushuhudia matukio mimi
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣 utakipata, unachokitafuta. Mi hata 😔
@ricksonlyimo2662
Жыл бұрын
@@shakilamasoud2983 kwakwer acha tu nikipate sipendi kusimuliwa mimi napenda kushuhudia live
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
@@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣🤣
Pole sana ndg yangu mungu kakusimamia umetoka na ridhiki mungu atakufungulia tuu inshaallah
Duuuuuh,eheee Mungu akufanyie wepesi ndugu yetu 🙏
Pole sana ndugu ni mapito tu hayo, bado ni kijana na una nguvu anza upya maisha mungu atakujaalia utakaa sawa
safi sana, kumbe bongo kuna fingerprint and Dna detection
@julianaboniphace7351
Жыл бұрын
O Morning
Mambo ya sm kukaguwana n vifo nje nje aki me kuna sk nikagua sm ya mme 😥walai tuligombana nilipigwa sikurudia tena ndo ikawa fundisho cjawahi kagua sm yake mpka tulivyoachana uwiii pole sna kaka kwa changamoto uliopitia weka iman tuu ipo sk utasahau yote
Dah pole sana bro Mungu akufanyie wepes Inshaa Allah
Asa mbona unaanza direct kutuhadithia badala ya kumuachia mwamba ndio atufungukie. Ukisummarize utawapa people uvivu wa kusikiliza video yote.
pole sana bro mungu ni mwema muda wote amekupa mtihani na amekulinda Allah akujaze kila lenye kheri
Pole Sana kakaangu mungu hajawahi mwacha aliye wake
Dar..pole xana mwana na sisi maskini tunaetoka kwenda kutafuta mbali na nyumbani atukumbukwi na ndugu maana wanajua auna cha kuwasaidia kumbe m2 uko ndani dar toa namba ndg yany na karibu katika bwana
Daaa maisha haya😭😢😢 pole saña ndugu yàngu Mwenye enz Mungu atakusaidia ktk maisha yako
Pole msukuma mwenzangu 🙏🏿
Ila tupongeze polisi ishu imetokea muda mref ila bado walikua wanafatilia mpaka baada ya miaka yote hiyo jamaa kapatikana..
@user-pj9zv6js5y
7 ай бұрын
Police mko vizur Sana
Daaah pole sana mwamba.. naamini bado ujachelewa, pambana muda bado unao.. maisha yetu hatujui mbele tunakutana na kipi.. hili ni funzo kubwa sana....alaf namba imefungiwa kupokea simu hii.. Sina uwezo wa aina ile Ila naamin mwamba ni mpambanaji tunaweza fanya Jambo..
@epafraditopajenga4650
10 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/dGutz6uEYcaXnc4.htmlsi=pQIZqHEvoPRza2rx
Ila legal system ya Tz hovyo sana. Pole sana na Mungu akupe rehema zake.
@Stavanger-cr3ee
Жыл бұрын
Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto
@Stavanger-cr3ee
Жыл бұрын
Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto
Masikn pole sana my dear mtihani mizito huo ila Allah atakufanyia wepesi
Dah pole jombaa. Kuamini binadamu ni kosa. Ila hii judicial system ya bongo nayo iko slow sana kesi ziwe zinafanyiwa upelelezi na kuisha mapema.
Dunia hii kila kitu ni mpango wa Mungu tuombe sana hatujui mwisho wetu asee
Pole sana brother msaidieni jamani kijana huyu atia imani wallahi msaidieni please
Pole sana kk Mungu akutie Nguvu
Dah! Pole sana bro, mwenyezi mungu ndiye ajuaye.
Imeisikitisha sana haya maisha haya Pole sana kaka ni sehemu ya kujifunza pia mwenyezi mungu Akupe uvumilivu na afya njema bado utatimiza ndoto zako tu.
So sorry wish we can send money from Kenya I'm willing to do so
pole kaka maixha yanachanga moto uxijali muombe2 mungu utaludi kama zaman na maixha yako ila uxiludie tn ata ndugu xio lafki
Acha asimulie story kwanza mwandishi una narrate story yote mwanzo ata hamu ya kusikiliza inakata.
Da! Mungu amsaidie sana
Mungu atakulipia kaka umepitia magumu Sana pole Sana kaka Mungu akakupe haja yamoyo wako kupitia jaribu ilo
Stori ya kujifunza ni ndogo tuuu mwanamke sio wa kupiga basi
Story sio ya kuchekesha mtangazaji anajichekesha vipi
Big lesson
Du huyu kijana kapitia mtihani mgumu sana wa maisha ila selikali ismuache tu inabidi wamsaidie maana kahukumiwa kwa kosa lisilo lake miaka tisa sio mchezo
@wasalimie11
Жыл бұрын
wamlipe
Anyway hii inaeza mkuta MTU yeyote na wakati usiotarajia. Kikubwa ni kupunguza Imani kwa watu. Naomba mwisho mwema
tunaomba no ya huyu kijana pls we will support him
Pole sana ndugu hujafa hujaumbika zte ni changamoto za kimaisha tu mungu atakupigania
Dah! pole sana
Our legal system is very pathetic at all cz the guy had a lot of alibe why why arresting him ?
Dah! Pole sana bro
Pole.lakini kwa kukusijiliza tu pe gine ni Mungu mwenyewe amekuadhibu.kwani huyo rafiki yako aliingia na mpenzi wake kwenye geto yako kufanya nae nini? je kitendo hicho kilimpendexa Mungu? Mungu ameshakusamehe ili tujifunze vijan wengine pia
Pole sana kaka mwenyenzi mungu akupe wepesi kwa hayo unayo yapitia utafuka tu ukipa ujumbe huu andika namba zako za simu hapa
Pole sana my brother
Naomba namba yake nitamsaidia kwa malipo ya nyumba miezi mitatu
@vailethysanga4969
2 жыл бұрын
Mimi nikushukulu TU kwakusema utamsaidia miez mitat mungu akubariki sn
@iamjanemapozi2079
2 жыл бұрын
Angalia video vizurii kaiandika mbn
@bibambalamula1453
2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@hono1232
Жыл бұрын
Safi sana bro msaidie
Mungu akujalie,
Tumaini Mabula-:Pole sana kijana.. Imani yako itakusaidia..
Dah mwanangu nimekukubali aise unajua kujielezea kiukweli Mungu akusaidie aise
Wow, halafu hana hata chuki na serikali. Una moyo wa kipekee kaka. Mungu akupe kila hitaji la moyo wako.
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Anajielewa
well said bro! pole sana