ASIMULIA ALIVYOKAA JELA MIAKA 9 KISA MAUAJI “NILIMUAZIMA GHETTO RAFIKI YANGU AKAMUUA MPENZI WAKE"

Leo nakukutanisha na Tumaini Mabula Kijana mwenye umri wa miaka 32 ambaye kiasili ni Mzaliwa wa Simiyu na alikuja Dar es salaam kutafuta maisha tu, mwaka 2013 alikutana na majanga yaliyomfanya aishie kukaa mahabusu kwa miak tisa na ametoka mwaka huu.
Mwezi February 2013 akiwa anaishi Mwananyamala aliazimwa gheto na Rafiki yake ili apumzike na Mpenzi wake , Tumaini akaondoka kwenda Kariakoo alikokuwa anafanya shughul8 za kujitatutia kipato na kuwaacha wawili hap ndani kwae, aliporudi Jioni alimkuta Mwanamke yule Mpenzi wa Rafiki yake akiwa amefariki, wakati huo Rafiki yake tayari alikuwa ameshatoroka na tangu hapo mzigo wa kesi ya mauaji ukamuangukia Tumaini..
Kwa sasa ametoka Mahabusu na hana msaada wowote, hana pa kulala, hana kazi na hana Ndugu wa kumsaidia, amekuja mbele ya Watanzania kuomba support, Tunae Tumaini kwenye Exclusive interview na anasimulia mkasa wake wote kwa urefu, namba za kumsaidia ni 0688580756 Abilahi Abdallah

Пікірлер: 783

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr84362 жыл бұрын

    Huyu jamaa ukimskiliza vzuri anatufundisha Sana kumshirikisha Mungu Kwenye mambo yako

  • @fadhilimatandala7629

    @fadhilimatandala7629

    Жыл бұрын

    agreed

  • @asmahhassan2266

    @asmahhassan2266

    Жыл бұрын

    Kabisa cm jamni

  • @bernardmkuffya5171

    @bernardmkuffya5171

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana,umeongea kitu kizuri sana.

  • @nouvamusik3482
    @nouvamusik34822 жыл бұрын

    Millard ayo jitolee umsaidie uyu kijana kwa sababu naamini huez shindwa tafadhali kaka 🙏,,,🇰🇪

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    Жыл бұрын

    Ata wew pia unaweza kumsaidia

  • @wasalimie11

    @wasalimie11

    Жыл бұрын

    @@hisanmwakijungu10

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Je wewe hauwezi ?

  • @frolawihenge2078
    @frolawihenge20782 жыл бұрын

    Mungu akutetee sana kijana Mabula .Kuna nyumba Mlandizi haijaisha sawasaw lakini inaweza.kukaliwa na watu uko tayari kukaa huko?Tena bure sababu mateso uliyoyapata yatosha.Mungu akusaidie.

  • @OnlyRuky

    @OnlyRuky

    2 жыл бұрын

    Watafute kina Millard wamuulize yeye hata cm ya kuona ujumbe hana

  • @sikatendeshabani2490

    @sikatendeshabani2490

    2 жыл бұрын

    @@OnlyRuky duh nipe number yak ni mcheki ata fungo la kumi

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    2 жыл бұрын

    Angalia dk ya 34 namba zake zimeoneshwa, chukua umpigie mshikaji

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    2 жыл бұрын

    @@sikatendeshabani2490 dakika ya 34 angalia namba zake zimeoneshwa

  • @trillianbennahbennah5312

    @trillianbennahbennah5312

    Жыл бұрын

    Watu wa tanzania ebu niambieni buku ni shilingi ngapi

  • @poployalty9403
    @poployalty94032 жыл бұрын

    Daah nimejifunza kitu sana jamaa alikuja ofisini kwangu akiwa na simu ina password akaniambia naomba unifrashie hii sim nimepewa ili niende na mawasiliano kwa millard ayo...akaniadisia kidogo moyo wa imani ukaniingia nikamfrashia bure japo wenzangu waliniambia uyo analolote katoka kuiba iyo...daaah sasa leo namuona hapa moyo umeshtuka sana kumbe ni kweli....nimeelewa maana ya usi ukumu kitabu nje kabla ujakisoma.....#Tumsaidien

  • @gervasmalimi5126

    @gervasmalimi5126

    2 жыл бұрын

    Dah

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    2 жыл бұрын

    Kweli tusihukumu pia kwa kufuata mikumbo ya wengine

  • @rashowshine7849

    @rashowshine7849

    2 жыл бұрын

    God well pay

  • @miaerny6609

    @miaerny6609

    2 жыл бұрын

    Afadhali huku sikiliza ya watu ukamsaidia Mungu akulipe wema wako🙏

  • @annamuro5937

    @annamuro5937

    2 жыл бұрын

    Mungu atakubariki

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19992 жыл бұрын

    Ntakutumia pesa Kaka yangu Mungu akipenda pole sana Na matatizo kumbe polisi wana treat watu vizuri sana sikujua pole sana na matatizo

  • @johnjosephat1252

    @johnjosephat1252

    Жыл бұрын

    Mtumie sasa

  • @mwansitisuleman

    @mwansitisuleman

    Жыл бұрын

    Umemtumia pesa

  • @AlbertBikogoto

    @AlbertBikogoto

    29 күн бұрын

    Mhh

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela39262 жыл бұрын

    Haya waazimisha mageto amkeni uko mtapewa kesi ziwaharibie maisha,,, pole sana bro ni mitihani ya maisha Mungu atakusaidia 🙏🏻

  • @syliviakente9460

    @syliviakente9460

    2 жыл бұрын

    Na hao wanaenda kuomba geto alete girl friend wake wajifunze fuateni mila na desturi na utamaduni turudi kwa mola

  • @zenadaudzena2849

    @zenadaudzena2849

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @jacksonjohn5686

    @jacksonjohn5686

    Жыл бұрын

    Kwakweli

  • @bongorecaps3558

    @bongorecaps3558

    Жыл бұрын

    Nyie acheni tu hii kitu Kuna siku nilimpelekea moto mtt wa watu akageuza macho akazima nashkuru kummwagia maji akazinduka ila sasa hv hata nikiingia lodge naomba sana lisitokee jambo

  • @mdta8161

    @mdta8161

    Жыл бұрын

    @@bongorecaps3558 🤣🤣🤣

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga29412 жыл бұрын

    Umeongea yote mazur na tumejifunza kaka lkn kubwa pia hilo la kusaidia wenye kuhitaji 👏👏👏 na Mungu atakubless siku zote na ufanikiwe pakubwa 🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @martinymaryogo8753
    @martinymaryogo87532 жыл бұрын

    Aseee pole sana mdogo wangu, pole sana, ila MUNGU ndo kila kitu utainuka na utakaa pwa tu tena sana, ucje ukajutia kwa lolote, ni sehemu ya maisha ulipitishwa maan kuna wengine wako uraian lkn ni wagonjw na hawawez hata kucmama,ko ww shukuru uko na afya yote MUNGU anafungua kwa wakat wake kwa kila alie wake.

  • @focusernest5610

    @focusernest5610

    2 жыл бұрын

    Na uzuri umri mdogo kabsa

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@focusernest5610 kwl mda bd anao wakupambana

  • @yusuphmtumweni5829
    @yusuphmtumweni58292 жыл бұрын

    Duh kupitia ushahidi wa macho tunajifunza utukufu wa Mwenyezimungu hana mfano na kiumbe chochote

  • @jamesfanuel4595

    @jamesfanuel4595

    Жыл бұрын

    Amina

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo5943 ай бұрын

    Pole Sana, Leo ndio nimekuona kwenye mahojiano na Upendo TV.

  • @Milla_2024
    @Milla_20242 жыл бұрын

    Thanks millard ayo hii content naamini kila mtu amejifunza na tumuombee jamaa atimize ndoto zake Muda bado upo..!!🙏🙏

  • @ricksonlyimo2662

    @ricksonlyimo2662

    Жыл бұрын

    Mkuu tusidanganyane watu wamejifunza kwa kusikiliza tu hapa ila walipoweka cm pembeni mambo yaliendelea pale pale ukitaka kuamini sisi wa afrika au watu wote ni vichwa vigumu unakuta mtu yupo hospitality amekaa mapokezi anaangalia TV wanaweka yale mambo unakuta uume au uke umealibiwa na magonjwa ya zinaa au anaona jinsi watu walivyoathirika tunashauliwa tutumie condom ila akitoka hapo hospital unazani anakumbuka hilo tena ndugu yangu hapo ndo utajua kumbe shetani yupo kazini

  • @user-lf9eh4mz1j
    @user-lf9eh4mz1j Жыл бұрын

    Duh nimeamini kweli wanaufungwa jela wote sio wenye hatia Allah akupe subra

  • @zumbeshauri8114

    @zumbeshauri8114

    Жыл бұрын

    Hakika dunia ina mengi

  • @nunizedon8876
    @nunizedon8876 Жыл бұрын

    Respect sana Millard wew ndio sababu kuu ya kumsaidia huyu kijana bila ya wew tusingemjua mungu atakulipa kaka .

  • @rabylicious7178
    @rabylicious71782 жыл бұрын

    Allah akujaalie pole hiyo n mitihani ya mwnyezi mungu uckate tamaaa🤲🙏

  • @nsumburoote2486
    @nsumburoote24862 жыл бұрын

    Nitakusaidia mtaji in shaallah na naomba watz tumchangie apate pesa Ya passport nitamtafuta kazi

  • @njoroboihustla125

    @njoroboihustla125

    Жыл бұрын

    Onesha nia yako yakumusaidia uandike contact yako

  • @neemapatrice1704

    @neemapatrice1704

    Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    Жыл бұрын

    Wasiliana na milad ayo

  • @khadejarajab8007

    @khadejarajab8007

    Жыл бұрын

    Itakuwa umefanya jambo zuri sana ila tz sasa kwenye paspot wanazinguaga sana na maswali pia eiport ni shida tu

  • @0ttii

    @0ttii

    Жыл бұрын

    Duuuh.ubalikiwe.san

  • @donalddonald3190
    @donalddonald3190 Жыл бұрын

    the guy is damn innocent 😥😥

  • @ayubumbembati8658
    @ayubumbembati8658 Жыл бұрын

    Kwenye Uhuru hapo umenigusa sana. Siku zote huwezi kujua thamani ya Uhuru kama hujawahi kuukosa. Uhuru tulionao una thamani saaaana!! Umepita kwny wakati mgumu sana lkn Mungu alijua unaweza na ndo sababu aliruhusu upite kwny huo wakati mgumu na akakuvusha salama. Usimwache Mungu wako siku zote za maisha yako. Pole sana bro, hii ndo dunia!

  • @sein.208
    @sein.208 Жыл бұрын

    Subhana Allah Mtihani kweli kweli 😭😭 pole sana kaka.. Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi popote penye uzito🤲🏼

  • @majidisalumu3260
    @majidisalumu3260 Жыл бұрын

    Looh, Nimeumia Sana Kiongozi😭 Tupatie Namba Yake Tumsaidie Japo Kidogo

  • @stelasianga9468

    @stelasianga9468

    Жыл бұрын

    Number kqeka jaman..ila mungu katenda haki

  • @besteralbert5247

    @besteralbert5247

    Жыл бұрын

    Ipo chini kwenye description ya video...

  • @fadhilindunguru7946

    @fadhilindunguru7946

    Жыл бұрын

    Mmmmmmh

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 Жыл бұрын

    I'm really sorry kaka all will be well in sha Allah ameen 🙏

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 Жыл бұрын

    👏👏👏Asant sn kk nmejifunza mengi Kuna rafiki yng Huku warabuni Huwa wanapigana mm Huwa naingilia Kati bt Kwa maelezo yk nmekoma juu mm Bado kijana mdogo hawa umri umeenda n Huku si kwetu

  • @marykarebeti9410

    @marykarebeti9410

    Жыл бұрын

    Tena ukome kabisa.

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi22872 жыл бұрын

    Mtihani pole kijana ndio tujifunze kwani katika hiiii duniya hakuna rafiki hasa ukipata tatizo wote walio wakia wema kwako watakukimbiya

  • @ezzy_e2450
    @ezzy_e24502 жыл бұрын

    Daah msukuma mwenzangu polee Sanaa,,ndo mapitoo nmejisikiaa vbaya Sanaa!!😥

  • @joycemachibya4380

    @joycemachibya4380

    Жыл бұрын

    Adi nimeumia jmn ,msukuma mwenzangu jmn upole nao sio mzuri 😢

  • @annamuro5937
    @annamuro59372 жыл бұрын

    Mungu si Asthumani.... Mungu anaishi, ni kuwa na subira tuh na kumtegemea Mungu... Kama ameweza kutoka jela basi na maisha yatamnyookea Kwa uwezo was bawna Alie juu mbinguni, Mungu akufungulie milango ya baraka kaka angu

  • @Stellaetesha
    @Stellaetesha Жыл бұрын

    That can happen to anyone kwenye system ambazo uchunguzi wa ukweli haupewi kipao mbele. Tanzania justice system has to improve! Pole sana Tumaini.

  • @sharonmasawe5381
    @sharonmasawe53812 жыл бұрын

    ila wanaume wana hii tabia ya kuazimana vyumba sababu ya wanawake, wanasahau hatari kama hizi hata waskie vitu kama hivi wanasahau mapema sana

  • @ricksonlyimo2662

    @ricksonlyimo2662

    Жыл бұрын

    Sasa tunafanyeje ndo kusaidiana uko likikukuta unajumuika nalo tu we ukumbuki ata wewe nilikupeleka kwa msela wangu ushasahau hilo uoni kama tulisaidiwa tukamaliza kiu zetu tulizokua nazo

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91412 жыл бұрын

    Kwa maelezo haya , mpelelezi wa hii kesi, hakumuelewa hata kidogo? Tunajua kesi ya mauaji hutumia muda mrefu lkn.....na mashahidi mbona kama walikua wapo? Miaka .. 9 .!!. Hilo jaribu ni gumu lkn naamini Mungu atakusaidia kijana..wema umekuponzaaa😭

  • @1stladyafrica402

    @1stladyafrica402

    Жыл бұрын

    Asingeweza kutoka mpaka huyo muuaji kupatikana kwani mauaji yalitokea nyumbani kwake.

  • @ricksonlyimo2662

    @ricksonlyimo2662

    Жыл бұрын

    Hii story ya broo imenikumbusha wimbo wa ferooz wema wangu umenipoza

  • @ricksonlyimo2662

    @ricksonlyimo2662

    Жыл бұрын

    @@1stladyafrica402 kwaiyo asingepatikana angekaa ata miaka 50 na zaidi kuna mda serikali itizame upande wa pili kisaikolojia tu mtu kashaeleza kila kitu pale nikufanya upelelez wao wa kina kisha kumpa ata dhamana ya kuwa nje akishilikiana na mahakama na jeshi la polisi maana yeye asingeweza kukimbia wakat jambo akulifanya yeye kwaiyo angewapa ushilikiano polisi na mahakama vzur sasa mtu akuhusika miaka 9 je tufanye alieusika sasa asingepatikana au angelikuwa nae alishafariki je jamaa angeukumiwa au ndo ile kesi ingegeuzwa kuwa ameuwa bila kukusudia wakat sio yeye kuna jambo kama vile alijakaa sawa hapo kisheria japo cjui sana mambo ya sheria ila hilo litizamwe kwa jicho la nne

  • @dijasaid2994

    @dijasaid2994

    Жыл бұрын

    @@1stladyafrica402 yaani damu ya Binaadam kuitoa roho haiendi bure.... na HAKI ya mtu asie na hatia ipo japo inachelewaga... pole kwake maskini ALLAH amfanyie wepesi

  • @venancegaspatv1961

    @venancegaspatv1961

    5 ай бұрын

    shida ilikuwa pale kwenye DNA baada ya yeye kumshika bega na pia kururhusu getto kutumika inachukua muda kuonesha no connection

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 Жыл бұрын

    Hilo ni funzo usimwamini hadi rafiki ako na watu wapenzi waende kurent mungu akulinde😍😍

  • @aminamollel5725
    @aminamollel5725 Жыл бұрын

    Ni mara ya tatu Leo naangalia na kusikiliza hii na sijawahi comment, sababu hata sijui nacomment nini? Wacha nijitahidi tu😭😭😭😭 nimejifunza kuwafukuza vijana wote wanaolala kwenye ghetto la watoto wangu

  • @brightlastborn4440
    @brightlastborn44402 жыл бұрын

    Dah pole sana bro, sema umezungumzia sim na ili jambo jana tu tulikuwa tunalijadili na washkaj zangu duh kumbe limekualibia maisha kiasi iko,pole sana

  • @aboumaburaramadhan4188
    @aboumaburaramadhan4188 Жыл бұрын

    Pole sana bro hizi ndio story tunazo zitaka maana zinatufunza musilete story za ajabu

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897
    @shukranjazzakhaallahukheir1897 Жыл бұрын

    shukran Sana BB.,msaada ndungu zangu mwenye nacho mwenye nachumba apangishiwe nafunguliwe mradi.inshaaAllah

  • @victormessy7130
    @victormessy7130 Жыл бұрын

    Pole Sana kaka @milard naomba kumuona huyu jamaa,naweza saidia chochote. Dah 9years inamtosha mtu kua Billionaire

  • @athumanimtajih
    @athumanimtajih2 жыл бұрын

    Funzo kwenu mnaoazimana ghetto kwa ajili ya kumpa support shetani

  • @amossmabangotz2032

    @amossmabangotz2032

    2 жыл бұрын

    Inategemea. Kaka sasa amekuja msela wako meshibana kinoma huwezi kumkazia mzee sema ndy hivyo kwenye maisha tusiwe wema sana

  • @mariamswedi1140

    @mariamswedi1140

    2 жыл бұрын

    kabisaa mshahara wa dhambi

  • @esthersiresire

    @esthersiresire

    Жыл бұрын

    Nina Imani wewe pia ushawai saidiwa ghetoo so usiongee vibaya mwambie mwenzako pole Kwa yaliyomkuta tuu

  • @athumanimtajih

    @athumanimtajih

    Жыл бұрын

    @@esthersiresire sijawahi hata hiyo tabia

  • @faithzamani1965

    @faithzamani1965

    Жыл бұрын

    @@athumanimtajih acha uongo ulikuwa unipeleki kule kwa rafikiako juu kule

  • @thabealaizer3313
    @thabealaizer3313 Жыл бұрын

    😭😭😭 anarudi Tena, Yesu anarudi Tena, utukufu haleluya tumbariki tumepona msifu Bwana anarudi Tena 🙏 Pole sana kaka

  • @evancechangae
    @evancechangae2 жыл бұрын

    Very Sad 😢... MUNGU atakupa Mwanzo mpya 🙏. Na kwa kuwa umeweka namba hapo, tutakujali kwa chochote.

  • @tanveermalik6182
    @tanveermalik6182 Жыл бұрын

    😭😭 AKI SIMU WW UMEKUA NI TATIZO KUBWA DUNIANI POLE BRO ILA HII NI ELIM TOSHA KWENYE HUU ULIMWENGU WA SIMU .!!!

  • @edowardeddy
    @edowardeddy23 күн бұрын

    Ametupa fundisho sana sisi ambao tupo na Hawa wachumba zetu Alla amtie nguvu na amjaalie mafanikio mema inshaalla

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын

    tatizo nchi za Africa hususan police hawawezi kazi kabisa hawana uweledi hata kidogo kazi kurundika watu jela wasio na hatia

  • @neemamathew7465

    @neemamathew7465

    Жыл бұрын

    Kwrrr kabisa😓😓

  • @elizagreen8098

    @elizagreen8098

    Жыл бұрын

    Shida sio police, shida ni sheria zenyewe vilivyotengenezea police hana mamlaka ya kumuachia mtu mwenye tuhuma hasa kesi za mauaji ni kipengele kidogo na hazina dhamana... Mpaka hukumu itakapotolewa

  • @sheryphamwenevalley6124

    @sheryphamwenevalley6124

    Жыл бұрын

    @@elizagreen8098 sio hivo ki vp wakati wao uchunguzi miaka 20 ? sikiliza hiyo storimuuaji alipatikana kitambo kwanini huyo waliendelea kumuweka, ? police Africa ni shida tupu na kusingizia watu kesi

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema mbaya wako alipatikana nawe uko huru ,Mungu atakupa mahitaji yako na amani tele.Watz tupambane tumpe support

  • @bintiAbdalla
    @bintiAbdalla2 жыл бұрын

    Duuuh pole sana kijana,yote ni maisha anza upya madhali we ni mzima mikono uko nayo pambana tu kaka

  • @sureiamboo
    @sureiamboo2 жыл бұрын

    Almost a decade 🥲, very sad. The Government should be responsible to pay him compensation for his lost life he spent in jail for the crime he did not commit!

  • @khanifa6453

    @khanifa6453

    2 жыл бұрын

    Very sad story,Allah will continue to be with him Always

  • @jhecfoundationtanzania2891

    @jhecfoundationtanzania2891

    Жыл бұрын

    Siyo Tanzania hiii

  • @romansixbert4529

    @romansixbert4529

    Жыл бұрын

    He represents the many wrongly convicted. Something has to change!

  • @julianaboniphace7351

    @julianaboniphace7351

    Жыл бұрын

    @@khanifa6453l

  • @lonelady3368

    @lonelady3368

    Жыл бұрын

    For sure wanafaa wamlipe .coz awakufanya ufatilizi mzuri wa haya mauaji

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 Жыл бұрын

    Pole sana Aliloliandika Mungu huwezi kuliepuka kila tukio mungu ana sababu yakepia hua ni mtihani kwako..Mungu kakuvua bado mzima na kijana ...Jitahidi kaza tu kweri yako Mungu kaificha.. pambana mungu atakufungulia

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Жыл бұрын

    Pole sana tumaini ila hongera kwa kutoka pia karibu uraiani ila tushukuru mungu umetoka bado kijana ,, tumaini mungu yuko nawe namini kwa uwezo wake ipo siku yatabaki story na unaonyesha unaakili mno utafika mbali nakuombea kheri

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael79652 жыл бұрын

    Pole kijana wangu hakika Mungu yuko nasi tunataka tukuwezeshe uone furaha tena sio kusafisha mitaro unahitaji kilicho chema zaidi sana.

  • @Jenib_
    @Jenib_ Жыл бұрын

    yaani Tanzaniani nchi yangu ila kuna watu evil sana dah pole sana Kaka .. contact zake laad Millard tunapataje? Mimi Kuna siku kidogo nichomwe kisu chooni yaani sitaki hata kukumbuka.

  • @sabinajoseph6733
    @sabinajoseph6733 Жыл бұрын

    Poleee sanaaa.... Urafk wa hivi nimbaya sanaaa poleee utapata na Mungu Baba atkusaidia

  • @ibra_muddy
    @ibra_muddy Жыл бұрын

    True Story ila presenter una feli kwa kutokua serious. Ndugu yangu omba yasikukute.

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Жыл бұрын

    29 :09 MACHO ni zaidi ya camera ukiona ugomvii usisogeee yanarecord 💯

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 Жыл бұрын

    Dah aise imeniuma sana amepitia mtihani kwa ajili ya wema dah pole sana kaka Mungu atakupa nguvu inshallah 🙏 umetufunza kitu kikubwa katika maisha ila pia mngetutajia namba zake za simu ili mtu kama utakuwa na chochote tuweze kumchangia angepata ata chumba na mtaji ili aanze kujipanga

  • @janethkomba4485

    @janethkomba4485

    Жыл бұрын

    kabisaaa

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila3296 Жыл бұрын

    MUNGU akubariki sana utafanikiwa tu, kila jambo hutokea kwsbb. pole sana kijana mwenzangu

  • @michaelbryson6916
    @michaelbryson6916 Жыл бұрын

    Pole Sana na hongera kwa wapelelezi kwa kunusuru maisha yako kwasababu kazi waliyoifanya nikubwa

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby42062 жыл бұрын

    Wallahi mtihani pole sanaaaa mdogo wangu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Жыл бұрын

    Daa, nimejifunza mengi. Kumbe ndiyo maana wanasemaga upelelezi unaendelea. Wee, sitosogelea penye matukio ya mauwaji ng' o. Pole Sana mdogo wangu . Apumzike salama Binti wa watu.

  • @ricksonlyimo2662

    @ricksonlyimo2662

    Жыл бұрын

    Mmh mimi ctoacha kushuudia nataka hiyo cctv ya macho na mimi ininase tu napenda kushuhudia matukio mimi

  • @shakilamasoud2983

    @shakilamasoud2983

    Жыл бұрын

    @@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣 utakipata, unachokitafuta. Mi hata 😔

  • @ricksonlyimo2662

    @ricksonlyimo2662

    Жыл бұрын

    @@shakilamasoud2983 kwakwer acha tu nikipate sipendi kusimuliwa mimi napenda kushuhudia live

  • @shakilamasoud2983

    @shakilamasoud2983

    Жыл бұрын

    @@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣🤣

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Жыл бұрын

    Pole sana ndg yangu mungu kakusimamia umetoka na ridhiki mungu atakufungulia tuu inshaallah

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho43422 жыл бұрын

    Duuuuuh,eheee Mungu akufanyie wepesi ndugu yetu 🙏

  • @thenewking_tv
    @thenewking_tv Жыл бұрын

    Pole sana ndugu ni mapito tu hayo, bado ni kijana na una nguvu anza upya maisha mungu atakujaalia utakaa sawa

  • @ianchristopher1950
    @ianchristopher19502 жыл бұрын

    safi sana, kumbe bongo kuna fingerprint and Dna detection

  • @julianaboniphace7351

    @julianaboniphace7351

    Жыл бұрын

    O Morning

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d2 жыл бұрын

    Mambo ya sm kukaguwana n vifo nje nje aki me kuna sk nikagua sm ya mme 😥walai tuligombana nilipigwa sikurudia tena ndo ikawa fundisho cjawahi kagua sm yake mpka tulivyoachana uwiii pole sna kaka kwa changamoto uliopitia weka iman tuu ipo sk utasahau yote

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Жыл бұрын

    Dah pole sana bro Mungu akufanyie wepes Inshaa Allah

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben.2 жыл бұрын

    Asa mbona unaanza direct kutuhadithia badala ya kumuachia mwamba ndio atufungukie. Ukisummarize utawapa people uvivu wa kusikiliza video yote.

  • @allyhafidhi4826
    @allyhafidhi4826 Жыл бұрын

    pole sana bro mungu ni mwema muda wote amekupa mtihani na amekulinda Allah akujaze kila lenye kheri

  • @dorislinus8296
    @dorislinus8296 Жыл бұрын

    Pole Sana kakaangu mungu hajawahi mwacha aliye wake

  • @sosthenesjairo7995
    @sosthenesjairo7995 Жыл бұрын

    Dar..pole xana mwana na sisi maskini tunaetoka kwenda kutafuta mbali na nyumbani atukumbukwi na ndugu maana wanajua auna cha kuwasaidia kumbe m2 uko ndani dar toa namba ndg yany na karibu katika bwana

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Жыл бұрын

    Daaa maisha haya😭😢😢 pole saña ndugu yàngu Mwenye enz Mungu atakusaidia ktk maisha yako

  • @yohanamartin5177
    @yohanamartin5177 Жыл бұрын

    Pole msukuma mwenzangu 🙏🏿

  • @abuumakiwa7121
    @abuumakiwa7121 Жыл бұрын

    Ila tupongeze polisi ishu imetokea muda mref ila bado walikua wanafatilia mpaka baada ya miaka yote hiyo jamaa kapatikana..

  • @user-pj9zv6js5y

    @user-pj9zv6js5y

    7 ай бұрын

    Police mko vizur Sana

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Жыл бұрын

    Daaah pole sana mwamba.. naamini bado ujachelewa, pambana muda bado unao.. maisha yetu hatujui mbele tunakutana na kipi.. hili ni funzo kubwa sana....alaf namba imefungiwa kupokea simu hii.. Sina uwezo wa aina ile Ila naamin mwamba ni mpambanaji tunaweza fanya Jambo..

  • @epafraditopajenga4650

    @epafraditopajenga4650

    10 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dGutz6uEYcaXnc4.htmlsi=pQIZqHEvoPRza2rx

  • @clementiddi5708
    @clementiddi57082 жыл бұрын

    Ila legal system ya Tz hovyo sana. Pole sana na Mungu akupe rehema zake.

  • @Stavanger-cr3ee

    @Stavanger-cr3ee

    Жыл бұрын

    Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto

  • @Stavanger-cr3ee

    @Stavanger-cr3ee

    Жыл бұрын

    Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Masikn pole sana my dear mtihani mizito huo ila Allah atakufanyia wepesi

  • @thomaswenceslaus6677
    @thomaswenceslaus66772 жыл бұрын

    Dah pole jombaa. Kuamini binadamu ni kosa. Ila hii judicial system ya bongo nayo iko slow sana kesi ziwe zinafanyiwa upelelezi na kuisha mapema.

  • @bhokesaid3264
    @bhokesaid3264 Жыл бұрын

    Dunia hii kila kitu ni mpango wa Mungu tuombe sana hatujui mwisho wetu asee

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82932 жыл бұрын

    Pole sana brother msaidieni jamani kijana huyu atia imani wallahi msaidieni please

  • @beatrixmalakasuka1214
    @beatrixmalakasuka1214 Жыл бұрын

    Pole sana kk Mungu akutie Nguvu

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha67642 жыл бұрын

    Dah! Pole sana bro, mwenyezi mungu ndiye ajuaye.

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 Жыл бұрын

    Imeisikitisha sana haya maisha haya Pole sana kaka ni sehemu ya kujifunza pia mwenyezi mungu Akupe uvumilivu na afya njema bado utatimiza ndoto zako tu.

  • @nyakundizachary4122
    @nyakundizachary4122 Жыл бұрын

    So sorry wish we can send money from Kenya I'm willing to do so

  • @salumleja7800
    @salumleja7800 Жыл бұрын

    pole kaka maixha yanachanga moto uxijali muombe2 mungu utaludi kama zaman na maixha yako ila uxiludie tn ata ndugu xio lafki

  • @thomaswenceslaus6677
    @thomaswenceslaus66772 жыл бұрын

    Acha asimulie story kwanza mwandishi una narrate story yote mwanzo ata hamu ya kusikiliza inakata.

  • @jameskagulu4228
    @jameskagulu42282 жыл бұрын

    Da! Mungu amsaidie sana

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Жыл бұрын

    Mungu atakulipia kaka umepitia magumu Sana pole Sana kaka Mungu akakupe haja yamoyo wako kupitia jaribu ilo

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 Жыл бұрын

    Stori ya kujifunza ni ndogo tuuu mwanamke sio wa kupiga basi

  • @mwajjumapolewema3041
    @mwajjumapolewema3041 Жыл бұрын

    Story sio ya kuchekesha mtangazaji anajichekesha vipi

  • @christopherwami2006
    @christopherwami2006 Жыл бұрын

    Big lesson

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 Жыл бұрын

    Du huyu kijana kapitia mtihani mgumu sana wa maisha ila selikali ismuache tu inabidi wamsaidie maana kahukumiwa kwa kosa lisilo lake miaka tisa sio mchezo

  • @wasalimie11

    @wasalimie11

    Жыл бұрын

    wamlipe

  • @estonhaule9253
    @estonhaule925319 күн бұрын

    Anyway hii inaeza mkuta MTU yeyote na wakati usiotarajia. Kikubwa ni kupunguza Imani kwa watu. Naomba mwisho mwema

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Жыл бұрын

    tunaomba no ya huyu kijana pls we will support him

  • @abdulkarimngitao8610
    @abdulkarimngitao8610 Жыл бұрын

    Pole sana ndugu hujafa hujaumbika zte ni changamoto za kimaisha tu mungu atakupigania

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Dah! pole sana

  • @jonamoratv2101
    @jonamoratv2101 Жыл бұрын

    Our legal system is very pathetic at all cz the guy had a lot of alibe why why arresting him ?

  • @josephmugalula8054
    @josephmugalula8054 Жыл бұрын

    Dah! Pole sana bro

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Жыл бұрын

    Pole.lakini kwa kukusijiliza tu pe gine ni Mungu mwenyewe amekuadhibu.kwani huyo rafiki yako aliingia na mpenzi wake kwenye geto yako kufanya nae nini? je kitendo hicho kilimpendexa Mungu? Mungu ameshakusamehe ili tujifunze vijan wengine pia

  • @winheleni9263
    @winheleni9263 Жыл бұрын

    Pole sana kaka mwenyenzi mungu akupe wepesi kwa hayo unayo yapitia utafuka tu ukipa ujumbe huu andika namba zako za simu hapa

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 Жыл бұрын

    Pole sana my brother

  • @Rafkazu
    @Rafkazu2 жыл бұрын

    Naomba namba yake nitamsaidia kwa malipo ya nyumba miezi mitatu

  • @vailethysanga4969

    @vailethysanga4969

    2 жыл бұрын

    Mimi nikushukulu TU kwakusema utamsaidia miez mitat mungu akubariki sn

  • @iamjanemapozi2079

    @iamjanemapozi2079

    2 жыл бұрын

    Angalia video vizurii kaiandika mbn

  • @bibambalamula1453

    @bibambalamula1453

    2 жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @hono1232

    @hono1232

    Жыл бұрын

    Safi sana bro msaidie

  • @happykiwelu1451
    @happykiwelu14512 жыл бұрын

    Mungu akujalie,

  • @andrewcharleskillaga6805
    @andrewcharleskillaga6805 Жыл бұрын

    Tumaini Mabula-:Pole sana kijana.. Imani yako itakusaidia..

  • @mumuog7876
    @mumuog7876 Жыл бұрын

    Dah mwanangu nimekukubali aise unajua kujielezea kiukweli Mungu akusaidie aise

  • @rehemadearing3380
    @rehemadearing3380 Жыл бұрын

    Wow, halafu hana hata chuki na serikali. Una moyo wa kipekee kaka. Mungu akupe kila hitaji la moyo wako.

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Anajielewa

  • @hamisahillary8615
    @hamisahillary8615 Жыл бұрын

    well said bro! pole sana

Келесі