NYUMBANI KWA MKALIWENU/ ANAKAA SIKU NNE BILA KULA/ AONYESHA KIBAO CHA MBUZI JIKONO.

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 218

  • @salmamsakuzi3070
    @salmamsakuzi30706 ай бұрын

    Mmh nmeanza kusoma comment nkajua watu wana choyo ila hapana tena hawajakuchamba kisasawa mkali wenu ni mchafuuuuuuuuuu hiyo mipua unaishika muda woteeee mbele ya camera mbele ya mtu anakuhoji ukiwa mwneyewe nahisi na huko chini unajikuna muda wote mchafuuuuuuuuuuu unatia kinyaaaa😢

  • @mercymodest2248
    @mercymodest22486 ай бұрын

    Sio kwa ubaya bro starah ni nzuri sana jaribu usafi daah sicomentigi ila umetisha mwanangu. Unasonga makamasi afu unakula unamshika mwenzio bila ata kujipanguza daah jitahidi stara kiasii

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY6 ай бұрын

    Kweri vipi vina muda wake Leo mo! Town sanya ayupo Tena duu! MKARI WENU AUOGI MAJI UNAJIWASHA JASHO SANA MAANA DU!

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын

    Saleh, ukifika nyumbani hizo nguo zako toa zimejaa makamasi tu 😅😅 kila akiingiza vidole puani naona maganda ya makamasi yanatondoka chii😅😅😅

  • @venusmillonge4240
    @venusmillonge42406 ай бұрын

    Mkali akija kusoma comments atajuuuta kuwaita kwake😂😂

  • @johnbwirabukiza1878
    @johnbwirabukiza18786 ай бұрын

    Anajikuna sana haogagi nimuchafu kweli nakura birakuosha mikono hatalii

  • @edwinamos9734
    @edwinamos973415 күн бұрын

    Umeona content chumbani kwake aaaah umetufurahisha sana..... Xema maelezo yake tumehisi nyumba sio yake maake hana uwakika wa nyumba inavyumba vi ngapi????

  • @joycechaz2840
    @joycechaz28406 ай бұрын

    Mkali wenu sjui ana kunguni mbona anajikuna sana 😖🤮 kula bila kunawa🤮 Nyumba yako ujui vyumba viko vingapi😢

  • @maireshsaid1628
    @maireshsaid16286 ай бұрын

    Hapo sio kwake huo ndo ukweli, kabandika tu mapicha

  • @user-lw7sy2gy9d

    @user-lw7sy2gy9d

    5 ай бұрын

    Atakama c kwake but uwa anaishi apo Kwa mda mlefu sana toka mwaka juzii so kama una wivuuu jinyinge okay

  • @thedygeorge4548
    @thedygeorge45486 ай бұрын

    Sule anaona kinyaa kula hiyo miogo, jitu halijanawa kujikuna muda wote mara pua mara miguu huyu kaka mchafu bhana... 🙌

  • @EmJesho

    @EmJesho

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅😂

  • @gracemabula418

    @gracemabula418

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂 ila watu

  • @user-jj9xf7nt9k
    @user-jj9xf7nt9k6 ай бұрын

    Ila salehe usivae helen bana unajihalibu nawakat uko vizur sana na langi yako iyo

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh6 ай бұрын

    Amejikuna miguu yote kisha bila kunawa mumekula hongereni😂😂😂

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss84856 ай бұрын

    Mchafu hatar loogh😅😅😅kujikuna tu koga aaaa😂😂😂😂

  • @fatmakashi7948
    @fatmakashi79486 ай бұрын

    Kwani hio pua yawasha nn unavoikuna na kumshika mwenzio

  • @gracemabula418
    @gracemabula41823 күн бұрын

    Kujikuna tu kuoga aaaah.

  • @marthahozza2964
    @marthahozza29646 ай бұрын

    mimi sio mkamilifu ila Kiujumla huyu ni MCHAFU .ukweli usemwe

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    6 ай бұрын

    Kwani yle mke wake waliachana

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws6 ай бұрын

    Yn huyu kajiwasha mwilini kwny mapua daa mchafu xn 🤔🤔

  • @user-sh2rl9yz4x
    @user-sh2rl9yz4x6 ай бұрын

    😂😂nimecheka mpaka basi anavyo jikuna daah😅

  • @GloriaMillinga
    @GloriaMillinga6 ай бұрын

    Kijana mchafu sana hadi anaona jau kuonesha chumba chake

  • @gracemabula418
    @gracemabula41823 күн бұрын

    Ila jmn mm na show biz ni Pete na kidole

  • @djhajiztz
    @djhajiztz6 ай бұрын

    ihii sebule au seem ya kupiga pcha maan pcha nyngi

  • @rynesawaya7043
    @rynesawaya70435 ай бұрын

    Mungu wangu amechokonoa pua wwe akajikuna ajanawa mikono anakula mihogo jaman 🤮🤮🤮🤮 huu uchafu wawaz kabisa c angenawa mikono tu jman 😭🙆

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19956 ай бұрын

    Una Haribu interview

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq6 ай бұрын

    Ila do mnamoyo kila bila kunawa m.Inawezekana kweli sio kwake.

  • @IssaSefu
    @IssaSefu6 ай бұрын

    Mbona anajikuna sana kweny mguu?ana matatiz ya ngoz au????😂😂 😂😂😂

  • @WemaOmary-of6to

    @WemaOmary-of6to

    6 ай бұрын

    Itakua anafunzaa sisi wangoni tunaita matekenyaa

  • @barotvonlineofficialramaba4334
    @barotvonlineofficialramaba43346 ай бұрын

    mbona uanjikuna sna mkali gitaaaaaaaa @mkali

  • @edwinamos9734
    @edwinamos973415 күн бұрын

    Mkali amezaliwa 1998 hahahaha brother ujue watu tunakujua ayaaa danganya wasio kujua.!!!!!!?????

  • @salumjumanne-bn8zp
    @salumjumanne-bn8zp6 ай бұрын

    Huyu Saleh msenge huyuuu,mwanammw rijali hawez kuvaa hereni maskioni.

  • @irenemacha5661

    @irenemacha5661

    6 ай бұрын

    Kwan urijali unakaa maskioni

  • @Njeriii536

    @Njeriii536

    6 ай бұрын

    Vaa nawewe

  • @Joliegal834
    @Joliegal8346 ай бұрын

    Saleh punguza uroho mtu kajikuna pua na miguu ajanawa unakula naye utapata kipundupindu😂😂😂😂 ila unapitia mengi sana mtangazaj wetu

  • @jackjudy9182

    @jackjudy9182

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @ruu6592
    @ruu65926 ай бұрын

    Viumba vyote ivo mama anaishi vibaya sana

  • @salmahanai
    @salmahanai6 ай бұрын

    Salehe napenda sana vipindi vyako

  • @EbambeWakilongo
    @EbambeWakilongo6 ай бұрын

    Yuko vizuri sana mkaliwenu

  • @user-xg7ph7bz7p

    @user-xg7ph7bz7p

    6 ай бұрын

    Unamjua mama ake

  • @joycechaz2840
    @joycechaz28406 ай бұрын

    Salehe anajikaza tu kula ila anaona kinyaaa kula mtu ajikuna ukurutu😂😂

  • @rehmakondo

    @rehmakondo

    6 ай бұрын

    Hahahaha 😂😂😂😂yani kumont zinanifurahisha

  • @EmJesho

    @EmJesho

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @ummishakii8322
    @ummishakii83226 ай бұрын

    Na salehe alikutana yaaan mchafu wajameni nayey anakula tuuu

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani68286 ай бұрын

    KWAN HIZO PUA ZINA SHIDA GANI KILA SAA UNAZICHOKONOA? KWAKWELI UNABOA KAMA NI UGONJWA NENDA KWA DAKTARI

  • @thabeapaul2473
    @thabeapaul24736 ай бұрын

    Yaan huo muhogo aliompa camera man kinyaa nimeona mimi loh

  • @deboranicoraus4866
    @deboranicoraus48666 ай бұрын

    Wachafuu hawa ht kunawa tuu hakuna km mkali wenu full kujikuna kunaa tuu

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani71162 ай бұрын

    Hamjaskia kitu mmakonde wa chale 😂😂 mipua foko foko mikuno miguu muda wote na mnakula bila kunawa khaaa, salehe ww ni mwanaume wa kweli aiseee 😂😂😂😊😊

  • @komboarts7110
    @komboarts71106 ай бұрын

    Watu wamecomments maneno mabovu daah. Tanzania

  • @katalinabuhoro3599
    @katalinabuhoro35996 ай бұрын

    😂cyo kwako bro..

  • @photonatuschie9477
    @photonatuschie94776 ай бұрын

    Cio kwa kujikuna hivo had unatia kitapitapi😂😂😂

  • @EmJesho
    @EmJesho6 ай бұрын

    Daah comment 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka sana ila jamaa kweli mchafuuuuuuuuu sana

  • @komboko4143
    @komboko41433 ай бұрын

    Huyu kweli mchafu hata kuoga anaweza kukaa siku nne simnaona hivyo anavyojikuna😅😅😅umarrrrr kwarukaaruuu

  • @bennamush4616
    @bennamush46166 ай бұрын

    Huyu jamaa kiafya hayupo sawa na ndo mana anakosa ham ya kula anakaa siku tatu bila kula ajaribu kwenda kupima dam huenda ana dam chafu ndo mana anajikuna hovyo

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc6 ай бұрын

    Jaman mkali wenu ety siku tatu bila kula sio kweli kwa kweli😅😅😅

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma88456 ай бұрын

    bwana ejiimenda tisini nanane wapi wemuogo

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l6 ай бұрын

    mke wapi

  • @ZabibuJulius
    @ZabibuJulius6 ай бұрын

    Mkali wenu anang'atwa sana na mbu ndo mikuno yake iyoo

  • @HamisiSaid-ni8kp
    @HamisiSaid-ni8kp4 ай бұрын

    Huyu mkali nivenye tuh kuna camera am sure anajikuna pia makende akiwa lonely😅😅😅

  • @user-wu4jj7ms2c
    @user-wu4jj7ms2c6 ай бұрын

    Mkaliwenu na Tannah ❤❤

  • @Joliegal834
    @Joliegal8346 ай бұрын

    Amini kwamba sio kwake😂

  • @simonsangu6040
    @simonsangu6040Ай бұрын

    Saaaana tajil

  • @GeorgeWilson-cu6bp
    @GeorgeWilson-cu6bp2 ай бұрын

    Jamn nimecheka sana hizi comment

  • @nuruscard9534
    @nuruscard95346 ай бұрын

    Cameraman 😂 akaombaa muogo wish tumuoneee 😅😅

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu64116 ай бұрын

    Kaka mchafu 😢jamani kajikuna pua lake ,miguu mikwapa kaja kula viazi mkono ajanawa ni mchafu sanaa

  • @JanethMadios-oe5ue
    @JanethMadios-oe5ue6 ай бұрын

    Yaani nimechefukwa hatari uyu kaka anaonekana ninmchafu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa nauhakika atakuwa ananuka sana kama jasho, mdomo, pumbu, yaaani dhohari jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @JennyJma

    @JennyJma

    6 ай бұрын

    Jamani nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @keynasseib9999
    @keynasseib99996 ай бұрын

    Kujikuna jamani

  • @user-hp5kl8wd1e
    @user-hp5kl8wd1e6 ай бұрын

    khaaa mkaliwenu ni mchafu jmni duh

  • @emmanuelkihiyo9236
    @emmanuelkihiyo92366 ай бұрын

    Iichafu kweli kila saa linajikuna mapua 😂😂😂😂

  • @JacklineWisiko-pi4xp
    @JacklineWisiko-pi4xp6 ай бұрын

    Ngumi sarehe kama anacheza rede

  • @teddynsashe8704
    @teddynsashe87046 ай бұрын

    mchafuuu anajikuna pua miguu hanawi khaaa mimi hpna siwez😅

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s6 ай бұрын

    Mbona kama sio kwake hajui hata vyumba ina vyumba vingapi

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi77016 ай бұрын

    Mtangazaji nakuomba uvue iyo heren kwa camera

  • @evelynLyanzile
    @evelynLyanzileКүн бұрын

    Acheni roho mbaya kujishauwa tuu nyie makwenu wachafu ata miswaki amnpigi kusema watu amjambo acheni kuleta chuki zenu za maisha kwa watu

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch1696 ай бұрын

    Ni mchafu sana kha siwezi ata omba maji kwake loh

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim27946 ай бұрын

    Mkali wenu kwani ukiongea unawashwa nini co kwa kujikuna huko,na hizo vidole puani unamafua kwani

  • @user-ly2mj6od3v
    @user-ly2mj6od3v6 ай бұрын

    Kumbe mkali ni mdogo sanaa,yani ndo kwanza na 26

  • @Joliegal834

    @Joliegal834

    6 ай бұрын

    Jichanganye😂😂

  • @aminakasim1198
    @aminakasim11986 ай бұрын

    Boys,mmmmh

  • @matridasambali6432
    @matridasambali64325 ай бұрын

    Sa mbona anajikuna sana miguu kwann hukumuuliza anashida gani anajikuna sana

  • @ashazuber6548
    @ashazuber65486 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anatafuna mbwa kidogo😢😢

  • @issamanyota
    @issamanyota6 ай бұрын

    MAYBE KUCHOKONOA PUA NDO SWAGA YAKE 14:20

  • @chichiereyh
    @chichiereyh6 ай бұрын

    Hla mkali akili hana😂

  • @bossykalewa
    @bossykalewa6 ай бұрын

    Duuh mwamba kauzuu!!!

  • @kagirasta1476
    @kagirasta14766 ай бұрын

    Mwamba mchafu 😂😂 anajikuna mapua afu anakula

  • @mejoservicescentre1128

    @mejoservicescentre1128

    6 ай бұрын

    anakula bila kunawa

  • @EmJesho

    @EmJesho

    6 ай бұрын

    😅😂😂😂😂😂

  • @user-hf1vy8hj9e
    @user-hf1vy8hj9e6 ай бұрын

    Uachane na mahereni😮

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand94736 ай бұрын

    Waolewaji wanakazi kwamfano ni mume wako anaeongea hivo akigusa pua nakula bila kunawa 😂 ni aibu mbele zawatu 🫣

  • @EmJesho
    @EmJesho6 ай бұрын

    Tafuna taratibu jaman😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MAKWEGASALUM
    @MAKWEGASALUM3 ай бұрын

    Yani mchafu adi nackia kinyaa

  • @graceyamado8578
    @graceyamado85786 ай бұрын

    Msani kama uyo mchafu sanaa

  • @MalangaMartin
    @MalangaMartin18 күн бұрын

    Steve mweusi clam vevo and the other guy 👦 the mosque 🕌 in the morning 🌄

  • @zoab2699
    @zoab26996 ай бұрын

    We unae jiita mkali wenu kilio tv wanao kuuliza maswali unajicjokonoa mapuani tu kila intaviyu kidole ni👃

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard21356 ай бұрын

    Una uparata nn mjomba mbn unajikuna sana

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat6 ай бұрын

    Mkaliwenu vipi mama wako unawasiliana kweli mpaka gari umeuza chukua dua kwa mama

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    6 ай бұрын

    😢😢😢😢Ajierewi uyu

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    6 ай бұрын

    @@rahimaaaaa5682 kweli anaonekana anasikiliza baba sana

  • @JescaMwagama-oc9yt
    @JescaMwagama-oc9yt6 ай бұрын

    Kitasa kimeng,oka

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr6 ай бұрын

    uyu kali wenu si amchukue mama ake na wadogo zake awe ana ishi nao hapo ,watu wengine wana kosa baraka bure ajui mama ake ndio amebeba balaka zake😊

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila45726 ай бұрын

    Lakin mkali amejitahidi

  • @NzoramaBahati
    @NzoramaBahati2 ай бұрын

    Jina ndo nutu, uyo ni mkali tuh

  • @issamanyota
    @issamanyota6 ай бұрын

    WANAKULA MIHOGO HAWAJANAWA MIKONO DAAH 😅😂 20:12

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis80426 ай бұрын

    Kwan mkali wetu mslm ama

  • @user-dp5fj2kn6d
    @user-dp5fj2kn6d6 ай бұрын

    anajikuna nn shida

  • @Qtep-eb3og
    @Qtep-eb3og6 ай бұрын

    Kavuta unga lazima pua ziwashe😂

  • @fatmachikambo8780

    @fatmachikambo8780

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @Zuwenasungura
    @Zuwenasungura3 ай бұрын

    Jamani hakuna chumba malumu

  • @badifundi6089
    @badifundi60896 ай бұрын

    Mike ametoa wapi kama ulkua unamsubiri

  • @ashuramahali3410
    @ashuramahali34106 ай бұрын

    Kwani pua zina Nini haipit dakika zinashikwa shikwa

  • @pascalinajames9117

    @pascalinajames9117

    6 ай бұрын

    Kupata confidence tu

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd54036 ай бұрын

    Nmesoma comments tu nimeshindwa kuangalia..me mtu kujicokonoa pua namuangalia hapana aisee

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale24636 ай бұрын

    Mkali wenu mchafu sana

  • @nanaritho6850
    @nanaritho68506 ай бұрын

    Huwa sipendi mtu aongee anakushikashika!!!halafu mara achezee mapua,ajikune halafu anakushika jamaaani

  • @gracepatric4371

    @gracepatric4371

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂

  • @Boaz22

    @Boaz22

    6 ай бұрын

    Na Kuna mwingine anajipiga dole la matako kabisa halafu anakushika eti, hio ni adabu kweli?😢

  • @Kuminamoja1995

    @Kuminamoja1995

    6 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣 umeonaeeeeeeh

  • @anjelinakasembe845

    @anjelinakasembe845

    6 ай бұрын

    Nilitaka kusema mapua kuchokonoachokonoa hata Mimi umeniwahi sipendi kabisa na pia mtu anaetafuna cheengam mdomo wazi😕😕😕😕😕

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂ww ndio mm

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel6 ай бұрын

    Jamani Mkali wenu kajikunaaaaa kapata chakula kala bila kunawa jamani😳😳😳

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi2556 ай бұрын

    Alafu amjajua pua ikiona upo na watu inapendaa kuwashaa 😅sijui kwanini

  • @mmayr

    @mmayr

    6 ай бұрын

    🤣🤣🤣 kabisaaaaa

  • @GloriaMillinga

    @GloriaMillinga

    6 ай бұрын

    Na miguu nayo?

  • @eysherjuma3779
    @eysherjuma37795 ай бұрын

    Alooo kaka nimchafu huyu looo anavojikuna anakula atakunawa hanawi

Келесі