Rose Shaboka tutegemee kuwa utaanza kuhubiri ukiwa umevaa skin tight kwa kuwa ni vazi refu?
Edit with InShot: v.inshotapp.net/invite
Жүктеу.....
Пікірлер: 146
@EmmanuelMkodo-mc6ud7 күн бұрын
Ndugu.YESUalisema haki yenu isipo zidi haki ya mafarisayo hamuwezi kumuona Mungu .mbarikiwa yupo sahihi%100
@HatibuEMwamboneke-g7c7 күн бұрын
Rose Shaboka namuelewa sana ila kwa kuvaa suruali madhabahuni hapo ametoka nje ya mstari!!!!!
@AtuganileGodson
4 күн бұрын
Huu ndiyo uasiweyewe.Mtafute Mungu wako binafsi
@edwinalexander11707 күн бұрын
Mwanzo nilikuwa simuelewi Mbarikiwa ila sasa nimeanza kukuelewa. Hii ndo injili ninayotaka kuisikia. Si ile iliyojichanganya na issue za siasa.😊
@sambulugu99887 күн бұрын
Huyo Shoboka kazi yake kuzungumzia Mapenzi na ujinga ujinga wa Motivational speaker!
@albamwanja4304
7 күн бұрын
Anawaiga wahubiri wa kimarekani. It's very sad
@sambulugu9988
7 күн бұрын
Hatari sana! Yaani unajua hatari iliyopo kwa kanisa la sasa hawakemei dhambi wanaangalia sadaka tu! Spiritual life kuendana na maisha ya mwili hamna! Wana deal na mwili roho wameachana nayo kabisa!@@albamwanja4304
@AmyeSanga
7 күн бұрын
Hapo kwenye motivational speaker ndo wengi hatujajua kutofautisha mhubiri na motivational speaker .maadamu kasema Mungu tunajua ni mahubiri ,maadamu kasoma Biblia tunaita mhubiri Aiseee Mungu atupe macho ya kuona sio haya tunayotumia ya kutazama!!!!!!
@EZEKIAMGWILANGA-hj4hj
7 күн бұрын
@@AmyeSanga upo sawa kabisaa
@upendomartin5627
2 күн бұрын
@@AmyeSangasawasawa
@EmanuelStart-jd1vr7 күн бұрын
Kanyaga twende mtumishi wa MUNGU ,Bwana yesu akulinde daima sulute mwakipesile kikosi kazi Cha injili
@AnaniaKyando7 күн бұрын
Nyoshaa mapito ya bwana mbalikiwa❤❤❤❤
@JM-vu2qr7 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atusaidie na kutusamahe dhambi zetu.
@amosmakoba50427 күн бұрын
👉 Asate baba kwa kuitetea imani ya Kikristo. 👉 Yesu akatuambia, "mtawatambua kwa matunda yao". 👉 Tatizo la Wakristo wengi humchukulia shetani kuwa ni kitu cha puuza tu,hii ni kwasababu hawaijui mission na vision ya shetani kwa watu waliopo duniani (hasa wale wajiitao wana wa Mungu). Kama shetani aliweza kukutana na Mungu wakati wa Ayubu, akakutana na Kristo ana kwa ana, Je, si rahisi sana hawa watu kutumiwa nayeye? 👉 Wasipo wasikikiza ninyi (waonyaji na watetezi wa imani), Yesu alisema "hata mfu akitoka kuzimu akaja kwao kuwahubiri hawawezi kusikia tu". 👉 Mwisho pekee ndio utakao amua vyema..
@AyubuYussuph7 күн бұрын
Mhubiri sema ukweli huo mungu atakua na wewe nami nakuombea
@SmilingCityMap-xb9md7 күн бұрын
Huyo mama ni changamoto kubwa ameivaa dunia mia mia
@brianshomi7227 күн бұрын
Hii imekuwa inanisumbua sana na watu wengi wameacha kuliongelea hii zaidi ya wengi kuona ni hali ya kawaida sana😢
@Hapomwanzo7 күн бұрын
Miaka michache mbele ukristo waweza kuwa ni changanyikeni kiasi cha kutengeneza kizazi hovyo sana.
@geitandelwa299
7 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@davidwangila71697 күн бұрын
Paster uko Sawa..nashangaa na hiki kizazi. But kitu moja najua hata kama wataubiri kama malaika na kudanganya wengi siku ya hukumu inakuja wachungaji watahukumiwa Kwa mafundisho
@sarahmwasyoge18307 күн бұрын
AMEN Injili iende Mbele
@zebedayokatamaduni96762 күн бұрын
Uchafu , ndiyo maana hata kwenye familia kuna utaratibu, Mf mimi Baba wa familia nikirudi nyumbani usiku kabisa lazima niulizwe, siyo kwamba kurudi nyumbani kwangu usiku ni dhambi hapana siyo dhambi lakini siyo sahihi mimi baba wa familia kurudi nyumbani usiku bila sababu. Hata mke na watoto, ni utaratibu
@barakaelias1116Күн бұрын
Mungu akubariki mbarikiwa mwanzo sikukuelew lakin sasa naelewa
@SmilingArcade-xj7zg7 күн бұрын
Mungu atusaidie sana 🙏
@kizuben6 күн бұрын
Amina mtumishi wa Mungu Mbarikiwa mwenye sikio na asikie
@MariaMdemu-xt5cv7 күн бұрын
vazi lipo mchungaji , nao wakapewa mavazi malefu meupe....kama sijakosea tusome ufunuo ., hata petro ukisoma tunaambiwa tujisitiri haikutosha Kum 22: 5 inaeleza juu ya mavazi ...Mbarikiwa Kila mmoja ameitwa kwa kazi ya Mungu ....karama yako naikuzwe kwa jina la Yesu ...unamaono mazuri kizazi kimepotea mnoo. Mungu aturehemu sana.
@HamisAlly-rc7py6 күн бұрын
Uko sawa baba❤
@paulheavyrain958416 сағат бұрын
Rose anaaibisha ukristo, nguo za kikahaba
@EmmanuelMkodo-mc6ud7 күн бұрын
Congratulations faith keeper
@FridayMwassa3 күн бұрын
Cha ajabu pastor mbarikiwa akikemea haya wanakuja watoto wa mitume na manabii kumkosoa mbarikiwa kwamba usihubiri watu nenda kahubiri injili,je haya anayahubiri hapa Mbarikiwa siyo injili?ifike wakati sisi wakristo tubadilike maana injili ni habari njema,kukemea,kuonywa,kushauli nk 6:00
@mbelechimakobola88357 күн бұрын
Jamani aah hadi raha sana mtumishi wa Mungu, chapa injili SANA baba, kikosi chenu tumeshakielewa sana!
@manaseliberatus13477 күн бұрын
INJILI IMEVAAMIWA, KILA MTU NI MUHUBIRI
@YeremiaGidion7 күн бұрын
Mzee wangu uko sahihi sana nakupenda mnooo
@josejosia30247 күн бұрын
"Hawa ni kama wana sanaa wanabadiri mpaka mwonekano bila kujua mungu ana wakataa watu wa namna hii mimi hata uimbe nyimbo ya kumsifu mungu kiasigani mwanamke akivaa hivyo hiyo siitaki hatakama watu walilia kwenye ibada yoko mungu aliwavika vazi la ngozi sio vimajani vyao MWANZO3:21 ukishakuwa nazambi huwaga akili inaondoka wamefika mbalisana kiasi kwamba hata kuludi wanashindwa hafai kusikilizwa anabuni maneno yake hayafuati maneno ya mungungu asante kwa kuwajenga wenye hekima watazidi kuelimika neno la mungu ndiyo kweli halita badilika nilahisi mwanadam kumwacha mungu lakini mungu hamwachagi mtu ila mtu anamwacha mungu na kumtafuta mungu maanayake acha zambi kama hata acha basi anatafuta hela sio mungu
@JAMESSOSTEN4 күн бұрын
Asante baba..endelea kuparuaaaaa!!!
@user-sf4hf1my3m5 күн бұрын
Inakela avoachanisha hutwo tumiguu sasa hadi unaona kule nyuma yake ukipitisha hapo katikati ya tumiguu
@SmilingArcade-xj7zg7 күн бұрын
Unalosema kweli kabisa mtumishi mungu atusaidie sana 🙏
@herrybethnziku7 күн бұрын
Uko sahihi kabisa Mfano babamkwe wake akija kusali hapo kanisani kwake, je atavaa hivyo alivyovaa na kama atajisitiri kisa babamkwe. Je Mungu si zaidi? Hii si sawa
@nyangiboke7 күн бұрын
Hizi nyakati tunatafuta watumishi wa kweli hata ilo kanisa limepotea wanaongozwa na kipofu wote wanaingia shimoni ee Mungu tusaidie
@user-go3me6cj6r7 күн бұрын
Ndomaana Paulo alikaza wanawake kuongea kanisani
@DavidMushaga-xj3bf7 күн бұрын
Yes dad, kuna mafundisho natosha kwako kabisa
@King_Of_Everything3 күн бұрын
✌️👍👊.
@mengindegeya27807 күн бұрын
Brother na wachungaji wamechanganyikiwa wanakwambia sio dhambi ni hali ya baraaa !!!! Mungu atusaidie.
@MsokaselemaniMkelelwa-so9wr7 күн бұрын
1 Timotheo 2:9 [9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; In like manner also, that women adorn themselves in modest apparel, with shamefacedness and sobriety; not with broided hair, or gold, or pearls, or costly array;
@MsokaselemaniMkelelwa-so9wr7 күн бұрын
Kumbukumbu la Torati 22:5 [5]Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako. The woman shall not wear that which pertaineth unto a man, neither shall a man put on a woman's garment: for all that do so are abomination unto the LORD thy God.
@johnurio19007 күн бұрын
Irene uwoya anakuja nae ,ngoja tutamshuhudia maana Kila mtu ukimuuliza ameoteshwa kuwa mchungaji .
@KanankiraNassary-iv3uwКүн бұрын
Umalaya umemuingia tayari
@user-um5rh8ov7b6 күн бұрын
HONGERA SANA KIKOSI KAZI CHA INJILI🫡🫡🫡I🙏🏼 MTUMISHI WA MUNGU MBARIKIWA HAKIKA WE NI JASUSI LA MBINGUNI HII NDO AINA YA INJILI NINAYOITAKA ... NAMIMI NI MKALI KAMA PILIPILI SITAK UJINGA KABISA KUMCHEZEA MUNGU😠😠
@user-hc2to2nw1c6 күн бұрын
Kweli hii dunia ya sasa atujui inaekengea wapi Mungu atusaidie Sana na Mungu azidi kukupea neema ya kutufunilia madili mema mtumishi wa Mungu
@angulileelectrical63687 күн бұрын
Kupotraiti uislam Kama dini ya haki hapo tu ndipo tatizo,asiekili kwamba yesu ni mwana wa MUNGU huyo ndie mpingamizi,lakini kwa habari ya shaboka andiko linasema makristo wengi watatokea ,na wakina shaboka ni wafwasi,na dini zingine haziwezi kuingiliwa kwa sababu yule aliewaleta wakina shaboka wahalibu huku ni mungu wao
@josykogei76475 күн бұрын
Acha watukane tu ila MUNGU alie hai atawahukumu walio hai na walio kufa iyo siku ni moto MUNGU atusaidie tuzoe mema
@hamidmussa8387 күн бұрын
Amani Mungu mmja Dini moja.
@JestinaMdemu3 күн бұрын
Huyo mwanamke ni mchochea ngono kabisaa
@fikencharles99937 күн бұрын
Hapo ndio wakati wa kuwajua watumishi wa Mungu wa kweli na wapiga pesa
@mackilinakainamla89337 күн бұрын
Mbarikiwa wambie ukweli Wana mzarilisha mungu
@WilliamIbrahim-dt5nb3 күн бұрын
Ila wewe mtumishi mchokozi sana
@warakawayohana28967 күн бұрын
Siku hizi iliupate wafuasi ni kuhubiri ngono tu mbali na mavazi yao wanashangaza kwa mahubili yao
@jacksonmbonea74117 күн бұрын
Mm nafkir zaid hapo hakuna ushuhuda,maana imeandikwa tokeni katiyao mkatengwe nao,kutengwa nipamoja nakuacha mavazi yampasayo mwanaume
@pascalzakaria78747 күн бұрын
Yesu Alisha tuambia tutawatambua kwa matunda Yao Hao wanawake wote wanaoanza kuhubiri huku kucha zao ni majini
@AyubuFumbi6 күн бұрын
Kemea baba😢😢
@user-um7kj5kf6p7 күн бұрын
Lakini chenyewe kinaenda kuchukua upumbavu tu. Hizo ni dharau wewe waveshe majoho washirika wako umetengeneza majoho umemzidi hata yesu
@sarahkeivaly33517 күн бұрын
Dada Rose ni kweli haukuwa na sketi kabisa au gauni la kuvaa kwa hayo masaa mawili mpaka ukaamua kuvaa Ivo? Tafakari chukua hatua
@user-sf4hf1my3m5 күн бұрын
Hiki ni kizazi cha nyoka kilicholaaniwa tuko siku za mwisho saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana lazima haya tuyaone maana yametabiliwa
@personalitiesan98067 күн бұрын
Kwanza huyo dada ametake over Hilo kanisa ni mume wake ndo MTU mzur
@douglaskomba23047 күн бұрын
Mwalimu
@PeterMlungu-fb2jv7 күн бұрын
Ndiyo maana kwenye uongozi wa utumishi watu wengi wanaangamia Kwa kukosa maarifa ya MUNGU
@Maxpaul-oi8pw5 күн бұрын
Ukweli umenyooka hamnaga kupida
@bindatalent69727 күн бұрын
Mtumishi uko sahihi kwa %99, na %1 ni kusema kama uislam no hapana , usiulinganishe ukristo na dini yoyote hiyo, kila kitu umesema sahihi ila kwenye kusema kama uislam na au imekuwa kama genge la kila uasherati hapana , sio kweli , huyo ni shetani anajaribu kupambana na ukristo, hapo usiyumbe na hawa malaya wanaoutumia ukristo, yani wala usijisumbue kabisaa, ila kila ulichoongea chote ni sahihi , isipokuwa jitahidi sana usiudharau ukristo kisa hawa wanawake, yani shetani hana shida na vilivyo vyake anapambana vile visivyo vyake ili avipate, that's lady she's passing some demonic chembechembe
@angulileelectrical6368
7 күн бұрын
MUNGU akubariki komenti nzuri
@emmanuelmwalukasa6002
7 күн бұрын
Kumbuka aliye wa kwanza kulinganisha Ukristo na dini nyingine ni Yesu mwenyewe. Alisema, "Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni". (Math 5:20).
@bindatalent6972
7 күн бұрын
@@emmanuelmwalukasa6002 kwa kusema hivyo hakulinganisha , wewe ndio hujamueelewa,
@bindatalent6972
7 күн бұрын
@@angulileelectrical6368 Amina, MUNGU PAMOJA NASI
@abdallaabdulrahman8319
7 күн бұрын
@@angulileelectrical6368 Ndio comment nzuri hiyo!!!
@petermgidange80727 күн бұрын
Maono yako ni Makuu sana!
@johnjulius66197 күн бұрын
Mavazi yapo. Ni mavazi ya staha na yenye adabu mbele za watu. Wala hatutakiwi kufanana na watu wa dunia.
@issacklyandala70235 күн бұрын
Huyu mama mpuuzi tu hamna huduma hapo
@josykogei76475 күн бұрын
Mtumishi hakika najifunza mambo mengi
@joashogembo94707 күн бұрын
Hawa waasi wanajifanya wanapenda Mungu ila matendo Yao yakataa.
@user-yj5es1jw8c6 күн бұрын
Bado haujashwa subili watakushosha
@hemedmwipopo7806 күн бұрын
Acheni kumsema vibaya lakini Kwakweli yeye ni PC Kali lazima tuseme ukweli.
@user-yj5es1jw8c6 күн бұрын
Hiyo suluali wewe uwezi kuvaa ,yakike kaka ,acha izo alafu amna suluali ya kike Wala ya kiume ,bola bas ,wanaozani wameokoka bas wavae makanzu ,hata wewe pia vaa makanzu
@sarahmwasyoge18307 күн бұрын
Umesema kweli ni Roho ya umalaya tu inatawala...si Roho mtakatifu
@wilisonmikate16527 күн бұрын
Kuna roho nyuma ya yake mana si kwa mavazi hayo mtumishi ifike mahari tuwagomee kuwapa sadaka.
@mercycharlesmsiagi17567 күн бұрын
Awa nd watu wa kutupwa uko gerezan n siyo m barikiwa
@nelsonnyamle7 күн бұрын
EOSE SHABOKA UNAJISKIAJE KUHUBIRI NA UMEBAA SUALI HALAFU MIDA WOTE MAPENZI TU HIVI BIBLIA UNAPAJUA PALIPO ANDIKWA MAPENZI TU?
@bakarikayugwa32957 күн бұрын
Ukristo sio mavazi tu
@frankbutati83437 күн бұрын
Huyu sio muhubiri, bali anatumia jina la MUNGU kujipatia kipato
@JohnJoseph-qq7ow7 күн бұрын
Huyo Malaya asiharibu ukiristo kabisa bwana Mkemee
@EzraIbrahim-kv6uy7 күн бұрын
Paulo aliona mbali sana ju yao
@MeshackyMwashiuya7 күн бұрын
BAba nahisi hawaisomi sana biblia ndo maana wanavaa hayo mavazi
@johnurio19007 күн бұрын
Dhebu ni Romani katoliki TU ,Hawa wengine wanatafuta pesa tu
@elibarickShabani7 күн бұрын
Weeeeh nawe mbarikiwa KAZI yako ni kukosoa TU na kuwasema watumishi wenzako vibaya Mwachiye Bwana YESU mwenyewe aje kufanya hukumu Maana mnapingana na wakati Maana mavazi hayazuii uasherati na uzinzi pia ukahaba So try to change Suleiman alivaa Kwa heshima alikuwa mzinzi Pia suala la tamaa ni juu ya mtu na mwili wake MUNGU akupe masomo uendane na wakati One day tutawakuta wazinzi mbinguni sababu ya kina shaboka
@emmanuelmanga34787 күн бұрын
Huyo ni wana wa jokoka
@evanjelistandrewc.malela4537 күн бұрын
Kuanzia Leo simuamini tena huyo
@user-hh4hb8sj3q7 күн бұрын
Baba endelea kusema na kukemea haya mambo wengine hawa ni maajent wa shetani
@DaimonMwapelele7 күн бұрын
Malaya huyo na mahubil yake ya umalaya Hawa wametumwa na mtandao wa Freemason kuiharibu din ya mwenyez mungu
@nicholaussteven31887 күн бұрын
huyo rose shaboka ana uholela mwingi ...
@bonifasiemanueli217 күн бұрын
Msisumbuke na hao wahubili wa hivo ,wako upande wa giza,wanamfurahisha baba yao ,shetani,
@edwinezawadi27367 күн бұрын
Wametumwa kuharibu ukristo
@JohnsonTitus-m2y6 күн бұрын
Acha ujinga we mchungaji we umbea unakusumbua by eliasi shumbi,(from ailes company limited)
@johncharlessingano8551
6 күн бұрын
Unakosea MUNGU TUBU
@JohnsonTitus-m2y
6 күн бұрын
@@johncharlessingano8551 shida huyu mchungaj anajiona sahihi sanaaaaaa kuliko wenzake aache hzo tabia focus na mungu wake hajui kuwa anajidhalilisha shida yeye kaingiza usanii kwenye uchungaji et kwa kuwa ni mwimbaji.
@noeleliasi8401
4 күн бұрын
@@JohnsonTitus-m2ySI KOSA LAKO MAANA HUJUI USEMALO, NA IMANI BAADAE UTAELEWA NINI MBARIKIWA ANAZUNGUMZIA
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
Company ndiyo nini, 😂,
@pascalzakaria78747 күн бұрын
Kiujazacho moyo ndicho kiutokacho
@SALOMEMULIMA7 күн бұрын
Umetuchosha
@homelab32447 күн бұрын
Lipo vazi moja la ndani si vazi la nje
@Mbarikiwa_Mwakipesile
7 күн бұрын
Mathayo : 5 : 16 - Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni. 1 Timotheo : 2 : 9 - Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
@PatrickKindole7 күн бұрын
Mvua imeonyesha tunaona panapo vuja
@PatrickKindole
7 күн бұрын
Nyakati ngumu sana tulionao sisi wakristo
@janelithaSolomon7 күн бұрын
Mbarikiwe......mimi naomba unisaidie.....andiko linalo sema Suruali ni vazi la kiume......ukiachana na mtazamo wako binafsi... 😂😅 Alafu wewe mbona huvai Kanzu kama Yesu kristo....ama Wayahudi Shida yako....unalazimisha mtazamo wako binafsi .....tuuchukulie kama andiko lililopo kwenye Biblia Haya leta andiko linaonyesha ama linatwambia vazi flani ni la Kikristo Ebu anza wewe kuvaa mavazi ya wa nyama...kama Yohona Mbatizaji Wewe mwenyewe hapo umevaa mavazi ya asili ya wazungu... jamani.....acha kuwatukana watu....eti mavazi ya kimalaya ukahaba sijui,,, Kwa mtazamo wako tu,,,haya hapo Rose kwa hilo vazi...lina shida gani Yaaani.....Yeeu Kristo angekuwa na mihemko ya mtazamo kama yako... Ulimwengu usingekombolewa katika yeye Hukumu sio kazi yako....ni kazi ya Mungu mwenyewe Alafu tunahitaji maandiko siyo mitazamo ya mwanadamu Mungu ni wa wote.... Na ndo maana ......unasema hawaonyeki....wamekudharau..
@HimidKibona
7 күн бұрын
Acha ubishi wewe
@johnjulius6619
7 күн бұрын
Mbona ametoa maandiko mazuri tu. Shida wanadamu wanataka wanayoyafanya Mungu ayahalarishe na kuyafanya yawe sawa.
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
Amevaa nguo chafu
@joelmbughi4287 күн бұрын
MBARIKIWA WAWEZA KUITA WATU WALIOUMBWA NA MUNGU KENGE....? HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUKOSA HEKIMA (ADILI YA MOYO)... NDO MANA SULEIMAN ALIOMBA HEKIMA KWANZA. JIFUNZE UNYENYEKEVU KAMA YESU ALIPOITWA MWEMA ALIKANA JAPO ALIKUA MWEMA.. KEMEA DHAMBI USIJIHESABIE HAKI
@janelithaSolomon
7 күн бұрын
@@joelmbughi428 .....Naungana na wewe...Mbarikiwa ana roho ya kwa nini....wivu tu hana lolote,,,, akiona huduma flani Mungu kainua...anaanza kutukana Tena anaamini mitazamo yake iko sahihi kuliko hata maandiko matakatifu huyu mtu ana Stress sana yaaani anatafuta kick kwenye mitandao kwa Kuwaita watumishi....makahaba...malaya yaaani.....huyu jamaa yuko so frastrutrd
@Mbarikiwa_Mwakipesile
7 күн бұрын
Yesu alimwita Herode mbweha Yohana aliwaita majoka hawakuwa na hekima ila wewe kenge?
@everlyneiminza57227 күн бұрын
Siku mtaenda mbinguni afu mkute kumbe Mungu hakua na shida ya mavazi yenu mtasemaje kwa mfano!! Yani Mungu aseme tu mmi Nilikua natazama mtu anaenichaa na kuzishika amri zangu nakufanya mapenzi yangu, afu mkute Hawa mnaowaubiri kilasiku wamevaa longi mwakute karibu na Ibrahim mtasenaje😂😂😂😂😂😂😂 ni mtazamo wangu tu wala Sina shida na mtu🙅♂️🙅♂️
@LatiphaMwanga
7 күн бұрын
Najua unatetea suruali,vimini,na mibano shikamoo
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
@@LatiphaMwangavaeni hata chupi tu mlidhike
@user-um7kj5kf6p7 күн бұрын
Waisram wanamtangaza muhamadi Mimi nawashangaa wachungaji mnavokomaa na Sheria za kiisram mavazi yakiisram yanawachanganya hata yesu hakuwai hivyo achane kutembeza hukumu kila kukicha Kama mmefika mbinguni muwe na kiasi huu no mtandao muhubiri yesu huyo mchungaji anamjua mungu roho Mt atashughulika shughulia na roho zilizopotea. .
@Hapomwanzo
7 күн бұрын
Wewe lijinga wewe inamaana haya anayozungumza sio injili? hawa watu wasipokemewa wakawa wanaingia na chupi kanisani, hapo yesu gani atahubiriwa?? hivi unaelewa hata maana ya injili kweli!. Ninamashaka kama haukuchanjwa chanjo ya korona maana hii ni side effect cha chanjo, yaani kutengeneza watu waliojielewa kichwani.
@danielkibona3283
7 күн бұрын
😂chanjo ya COVID-19@@Hapomwanzo.... Wengine chanjo yetu ni Yesu
@danielkibona3283
7 күн бұрын
😂chanjo ya COVID-19@@Hapomwanzo.... Wengine chanjo yetu ni Yesu
@danielkibona3283
7 күн бұрын
😂chanjo ya COVID-19@@Hapomwanzo.... Wengine chanjo yetu ni Yesu
@AnnaMbossa
7 күн бұрын
Bado kuvaa tait, madhabahuni mavazi yananguvu yananguvu ya kumtambulisha mtuu,Mungu tutete
@ObadiahKabulente7 күн бұрын
Mavazi kibiblia YAPO ni upotovu wa WATU tu
@janelithaSolomon7 күн бұрын
Mbarikiwe......mimi naomba unisaidie.....andiko linalo sema Suruali ni vazi la kiume......ukiachana na mtazamo wako binafsi... 😂😅 Alafu wewe mbona huvai Kanzu kama Yesu kristo....ama Wayahudi Shida yako....unalazimisha mtazamo wako binafsi .....tuuchukulie kama andiko lililopo kwenye Biblia Haya leta andiko linaonyesha ama linatwambia vazi flani ni la Kikristo Ebu anza wewe kuvaa mavazi ya wa nyama...kama Yohona Mbatizaji Wewe mwenyewe hapo umevaa mavazi ya asili ya wazungu... jamani.....acha kuwatukana watu....eti mavazi ya kimalaya ukahaba sijui,,, Kwa mtazamo wako tu,,,haya hapo Rose kwa hilo vazi...lina shida gani Yaaani.....Yeeu Kristo angekuwa na mihemko ya mtazamo kama yako... Ulimwengu usingekombolewa katika yeye Hukumu sio kazi yako....ni kazi ya Mungu mwenyewe Alafu tunahitaji maandiko siyo mitazamo ya mwanadamu Mungu ni wa wote.... Na ndo maana ......unasema hawaonyeki....wamekudharau..
@janelithaSolomon
7 күн бұрын
Mbarikiwa....wewe mbona hata Kanzu huna,,,hujawahi kuvaa hata ngozi kama alivokuwa anavaa Yohana mbatizaji.... Huo ujasiri wa kumwita mke wa mwanaume mwenzio Malaya mara Kahaba...kwa mitazamo yako tu....unautoa wapi...na unasimamia andiko gani Mbona wapo mashoga wanavaa tu kama wewe... unaponda suruali....wakati mwenyewe unazivaa..... Acha mihemko Brother Au ni wivu unakusumbua kwa jinsi Rose na mumewe Mungu anavo wabariki Alafu yupo Mungu mtoa hukumu ya haki....sio wewe mwanadamu mwenye mitazamo yako Unawatukana sana wenzio yaani inaonyesha una Stress sana
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
Vaeni hata chupi basi mtoke , kwa sababu Mungu hakuna sehem amesema kuhusu chupi vaeni mtembee. Ni uhuru
@user-yb6ut9in5c6 күн бұрын
Ni mtumishi wa mungu hasa kavaa suluali kimakosa sasa kwa kukosea et sio mtumishi wa mungu hakuna mwanadamu asiye kosea kikubwa kulekebisha ko isiwe injiri ya kutwangana mazabahuni kila uchwao nao huo ni utoto katka mungu
@AtuganileGodson
4 күн бұрын
Hajakosea ila anamuwakilisha Mungu wake anayemtumikia😊
@user-ve7ig7qu1u
3 күн бұрын
Kifupi suluali hazikubariki kwa mkristo hasa mtumishi..... acheni kutetea zambi dunia inatupeleka wapi tu jamani kwanini mtu anatetea zambi kwa nguvu zote?
Пікірлер: 146
Ndugu.YESUalisema haki yenu isipo zidi haki ya mafarisayo hamuwezi kumuona Mungu .mbarikiwa yupo sahihi%100
Rose Shaboka namuelewa sana ila kwa kuvaa suruali madhabahuni hapo ametoka nje ya mstari!!!!!
@AtuganileGodson
4 күн бұрын
Huu ndiyo uasiweyewe.Mtafute Mungu wako binafsi
Mwanzo nilikuwa simuelewi Mbarikiwa ila sasa nimeanza kukuelewa. Hii ndo injili ninayotaka kuisikia. Si ile iliyojichanganya na issue za siasa.😊
Huyo Shoboka kazi yake kuzungumzia Mapenzi na ujinga ujinga wa Motivational speaker!
@albamwanja4304
7 күн бұрын
Anawaiga wahubiri wa kimarekani. It's very sad
@sambulugu9988
7 күн бұрын
Hatari sana! Yaani unajua hatari iliyopo kwa kanisa la sasa hawakemei dhambi wanaangalia sadaka tu! Spiritual life kuendana na maisha ya mwili hamna! Wana deal na mwili roho wameachana nayo kabisa!@@albamwanja4304
@AmyeSanga
7 күн бұрын
Hapo kwenye motivational speaker ndo wengi hatujajua kutofautisha mhubiri na motivational speaker .maadamu kasema Mungu tunajua ni mahubiri ,maadamu kasoma Biblia tunaita mhubiri Aiseee Mungu atupe macho ya kuona sio haya tunayotumia ya kutazama!!!!!!
@EZEKIAMGWILANGA-hj4hj
7 күн бұрын
@@AmyeSanga upo sawa kabisaa
@upendomartin5627
2 күн бұрын
@@AmyeSangasawasawa
Kanyaga twende mtumishi wa MUNGU ,Bwana yesu akulinde daima sulute mwakipesile kikosi kazi Cha injili
Nyoshaa mapito ya bwana mbalikiwa❤❤❤❤
Mwenyezi Mungu atusaidie na kutusamahe dhambi zetu.
👉 Asate baba kwa kuitetea imani ya Kikristo. 👉 Yesu akatuambia, "mtawatambua kwa matunda yao". 👉 Tatizo la Wakristo wengi humchukulia shetani kuwa ni kitu cha puuza tu,hii ni kwasababu hawaijui mission na vision ya shetani kwa watu waliopo duniani (hasa wale wajiitao wana wa Mungu). Kama shetani aliweza kukutana na Mungu wakati wa Ayubu, akakutana na Kristo ana kwa ana, Je, si rahisi sana hawa watu kutumiwa nayeye? 👉 Wasipo wasikikiza ninyi (waonyaji na watetezi wa imani), Yesu alisema "hata mfu akitoka kuzimu akaja kwao kuwahubiri hawawezi kusikia tu". 👉 Mwisho pekee ndio utakao amua vyema..
Mhubiri sema ukweli huo mungu atakua na wewe nami nakuombea
Huyo mama ni changamoto kubwa ameivaa dunia mia mia
Hii imekuwa inanisumbua sana na watu wengi wameacha kuliongelea hii zaidi ya wengi kuona ni hali ya kawaida sana😢
Miaka michache mbele ukristo waweza kuwa ni changanyikeni kiasi cha kutengeneza kizazi hovyo sana.
@geitandelwa299
7 күн бұрын
Ni kweli kabisa
Paster uko Sawa..nashangaa na hiki kizazi. But kitu moja najua hata kama wataubiri kama malaika na kudanganya wengi siku ya hukumu inakuja wachungaji watahukumiwa Kwa mafundisho
AMEN Injili iende Mbele
Uchafu , ndiyo maana hata kwenye familia kuna utaratibu, Mf mimi Baba wa familia nikirudi nyumbani usiku kabisa lazima niulizwe, siyo kwamba kurudi nyumbani kwangu usiku ni dhambi hapana siyo dhambi lakini siyo sahihi mimi baba wa familia kurudi nyumbani usiku bila sababu. Hata mke na watoto, ni utaratibu
Mungu akubariki mbarikiwa mwanzo sikukuelew lakin sasa naelewa
Mungu atusaidie sana 🙏
Amina mtumishi wa Mungu Mbarikiwa mwenye sikio na asikie
vazi lipo mchungaji , nao wakapewa mavazi malefu meupe....kama sijakosea tusome ufunuo ., hata petro ukisoma tunaambiwa tujisitiri haikutosha Kum 22: 5 inaeleza juu ya mavazi ...Mbarikiwa Kila mmoja ameitwa kwa kazi ya Mungu ....karama yako naikuzwe kwa jina la Yesu ...unamaono mazuri kizazi kimepotea mnoo. Mungu aturehemu sana.
Uko sawa baba❤
Rose anaaibisha ukristo, nguo za kikahaba
Congratulations faith keeper
Cha ajabu pastor mbarikiwa akikemea haya wanakuja watoto wa mitume na manabii kumkosoa mbarikiwa kwamba usihubiri watu nenda kahubiri injili,je haya anayahubiri hapa Mbarikiwa siyo injili?ifike wakati sisi wakristo tubadilike maana injili ni habari njema,kukemea,kuonywa,kushauli nk 6:00
Jamani aah hadi raha sana mtumishi wa Mungu, chapa injili SANA baba, kikosi chenu tumeshakielewa sana!
INJILI IMEVAAMIWA, KILA MTU NI MUHUBIRI
Mzee wangu uko sahihi sana nakupenda mnooo
"Hawa ni kama wana sanaa wanabadiri mpaka mwonekano bila kujua mungu ana wakataa watu wa namna hii mimi hata uimbe nyimbo ya kumsifu mungu kiasigani mwanamke akivaa hivyo hiyo siitaki hatakama watu walilia kwenye ibada yoko mungu aliwavika vazi la ngozi sio vimajani vyao MWANZO3:21 ukishakuwa nazambi huwaga akili inaondoka wamefika mbalisana kiasi kwamba hata kuludi wanashindwa hafai kusikilizwa anabuni maneno yake hayafuati maneno ya mungungu asante kwa kuwajenga wenye hekima watazidi kuelimika neno la mungu ndiyo kweli halita badilika nilahisi mwanadam kumwacha mungu lakini mungu hamwachagi mtu ila mtu anamwacha mungu na kumtafuta mungu maanayake acha zambi kama hata acha basi anatafuta hela sio mungu
Asante baba..endelea kuparuaaaaa!!!
Inakela avoachanisha hutwo tumiguu sasa hadi unaona kule nyuma yake ukipitisha hapo katikati ya tumiguu
Unalosema kweli kabisa mtumishi mungu atusaidie sana 🙏
Uko sahihi kabisa Mfano babamkwe wake akija kusali hapo kanisani kwake, je atavaa hivyo alivyovaa na kama atajisitiri kisa babamkwe. Je Mungu si zaidi? Hii si sawa
Hizi nyakati tunatafuta watumishi wa kweli hata ilo kanisa limepotea wanaongozwa na kipofu wote wanaingia shimoni ee Mungu tusaidie
Ndomaana Paulo alikaza wanawake kuongea kanisani
Yes dad, kuna mafundisho natosha kwako kabisa
✌️👍👊.
Brother na wachungaji wamechanganyikiwa wanakwambia sio dhambi ni hali ya baraaa !!!! Mungu atusaidie.
1 Timotheo 2:9 [9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; In like manner also, that women adorn themselves in modest apparel, with shamefacedness and sobriety; not with broided hair, or gold, or pearls, or costly array;
Kumbukumbu la Torati 22:5 [5]Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako. The woman shall not wear that which pertaineth unto a man, neither shall a man put on a woman's garment: for all that do so are abomination unto the LORD thy God.
Irene uwoya anakuja nae ,ngoja tutamshuhudia maana Kila mtu ukimuuliza ameoteshwa kuwa mchungaji .
Umalaya umemuingia tayari
HONGERA SANA KIKOSI KAZI CHA INJILI🫡🫡🫡I🙏🏼 MTUMISHI WA MUNGU MBARIKIWA HAKIKA WE NI JASUSI LA MBINGUNI HII NDO AINA YA INJILI NINAYOITAKA ... NAMIMI NI MKALI KAMA PILIPILI SITAK UJINGA KABISA KUMCHEZEA MUNGU😠😠
Kweli hii dunia ya sasa atujui inaekengea wapi Mungu atusaidie Sana na Mungu azidi kukupea neema ya kutufunilia madili mema mtumishi wa Mungu
Kupotraiti uislam Kama dini ya haki hapo tu ndipo tatizo,asiekili kwamba yesu ni mwana wa MUNGU huyo ndie mpingamizi,lakini kwa habari ya shaboka andiko linasema makristo wengi watatokea ,na wakina shaboka ni wafwasi,na dini zingine haziwezi kuingiliwa kwa sababu yule aliewaleta wakina shaboka wahalibu huku ni mungu wao
Acha watukane tu ila MUNGU alie hai atawahukumu walio hai na walio kufa iyo siku ni moto MUNGU atusaidie tuzoe mema
Amani Mungu mmja Dini moja.
Huyo mwanamke ni mchochea ngono kabisaa
Hapo ndio wakati wa kuwajua watumishi wa Mungu wa kweli na wapiga pesa
Mbarikiwa wambie ukweli Wana mzarilisha mungu
Ila wewe mtumishi mchokozi sana
Siku hizi iliupate wafuasi ni kuhubiri ngono tu mbali na mavazi yao wanashangaza kwa mahubili yao
Mm nafkir zaid hapo hakuna ushuhuda,maana imeandikwa tokeni katiyao mkatengwe nao,kutengwa nipamoja nakuacha mavazi yampasayo mwanaume
Yesu Alisha tuambia tutawatambua kwa matunda Yao Hao wanawake wote wanaoanza kuhubiri huku kucha zao ni majini
Kemea baba😢😢
Lakini chenyewe kinaenda kuchukua upumbavu tu. Hizo ni dharau wewe waveshe majoho washirika wako umetengeneza majoho umemzidi hata yesu
Dada Rose ni kweli haukuwa na sketi kabisa au gauni la kuvaa kwa hayo masaa mawili mpaka ukaamua kuvaa Ivo? Tafakari chukua hatua
Hiki ni kizazi cha nyoka kilicholaaniwa tuko siku za mwisho saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana lazima haya tuyaone maana yametabiliwa
Kwanza huyo dada ametake over Hilo kanisa ni mume wake ndo MTU mzur
Mwalimu
Ndiyo maana kwenye uongozi wa utumishi watu wengi wanaangamia Kwa kukosa maarifa ya MUNGU
Ukweli umenyooka hamnaga kupida
Mtumishi uko sahihi kwa %99, na %1 ni kusema kama uislam no hapana , usiulinganishe ukristo na dini yoyote hiyo, kila kitu umesema sahihi ila kwenye kusema kama uislam na au imekuwa kama genge la kila uasherati hapana , sio kweli , huyo ni shetani anajaribu kupambana na ukristo, hapo usiyumbe na hawa malaya wanaoutumia ukristo, yani wala usijisumbue kabisaa, ila kila ulichoongea chote ni sahihi , isipokuwa jitahidi sana usiudharau ukristo kisa hawa wanawake, yani shetani hana shida na vilivyo vyake anapambana vile visivyo vyake ili avipate, that's lady she's passing some demonic chembechembe
@angulileelectrical6368
7 күн бұрын
MUNGU akubariki komenti nzuri
@emmanuelmwalukasa6002
7 күн бұрын
Kumbuka aliye wa kwanza kulinganisha Ukristo na dini nyingine ni Yesu mwenyewe. Alisema, "Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni". (Math 5:20).
@bindatalent6972
7 күн бұрын
@@emmanuelmwalukasa6002 kwa kusema hivyo hakulinganisha , wewe ndio hujamueelewa,
@bindatalent6972
7 күн бұрын
@@angulileelectrical6368 Amina, MUNGU PAMOJA NASI
@abdallaabdulrahman8319
7 күн бұрын
@@angulileelectrical6368 Ndio comment nzuri hiyo!!!
Maono yako ni Makuu sana!
Mavazi yapo. Ni mavazi ya staha na yenye adabu mbele za watu. Wala hatutakiwi kufanana na watu wa dunia.
Huyu mama mpuuzi tu hamna huduma hapo
Mtumishi hakika najifunza mambo mengi
Hawa waasi wanajifanya wanapenda Mungu ila matendo Yao yakataa.
Bado haujashwa subili watakushosha
Acheni kumsema vibaya lakini Kwakweli yeye ni PC Kali lazima tuseme ukweli.
Hiyo suluali wewe uwezi kuvaa ,yakike kaka ,acha izo alafu amna suluali ya kike Wala ya kiume ,bola bas ,wanaozani wameokoka bas wavae makanzu ,hata wewe pia vaa makanzu
Umesema kweli ni Roho ya umalaya tu inatawala...si Roho mtakatifu
Kuna roho nyuma ya yake mana si kwa mavazi hayo mtumishi ifike mahari tuwagomee kuwapa sadaka.
Awa nd watu wa kutupwa uko gerezan n siyo m barikiwa
EOSE SHABOKA UNAJISKIAJE KUHUBIRI NA UMEBAA SUALI HALAFU MIDA WOTE MAPENZI TU HIVI BIBLIA UNAPAJUA PALIPO ANDIKWA MAPENZI TU?
Ukristo sio mavazi tu
Huyu sio muhubiri, bali anatumia jina la MUNGU kujipatia kipato
Huyo Malaya asiharibu ukiristo kabisa bwana Mkemee
Paulo aliona mbali sana ju yao
BAba nahisi hawaisomi sana biblia ndo maana wanavaa hayo mavazi
Dhebu ni Romani katoliki TU ,Hawa wengine wanatafuta pesa tu
Weeeeh nawe mbarikiwa KAZI yako ni kukosoa TU na kuwasema watumishi wenzako vibaya Mwachiye Bwana YESU mwenyewe aje kufanya hukumu Maana mnapingana na wakati Maana mavazi hayazuii uasherati na uzinzi pia ukahaba So try to change Suleiman alivaa Kwa heshima alikuwa mzinzi Pia suala la tamaa ni juu ya mtu na mwili wake MUNGU akupe masomo uendane na wakati One day tutawakuta wazinzi mbinguni sababu ya kina shaboka
Huyo ni wana wa jokoka
Kuanzia Leo simuamini tena huyo
Baba endelea kusema na kukemea haya mambo wengine hawa ni maajent wa shetani
Malaya huyo na mahubil yake ya umalaya Hawa wametumwa na mtandao wa Freemason kuiharibu din ya mwenyez mungu
huyo rose shaboka ana uholela mwingi ...
Msisumbuke na hao wahubili wa hivo ,wako upande wa giza,wanamfurahisha baba yao ,shetani,
Wametumwa kuharibu ukristo
Acha ujinga we mchungaji we umbea unakusumbua by eliasi shumbi,(from ailes company limited)
@johncharlessingano8551
6 күн бұрын
Unakosea MUNGU TUBU
@JohnsonTitus-m2y
6 күн бұрын
@@johncharlessingano8551 shida huyu mchungaj anajiona sahihi sanaaaaaa kuliko wenzake aache hzo tabia focus na mungu wake hajui kuwa anajidhalilisha shida yeye kaingiza usanii kwenye uchungaji et kwa kuwa ni mwimbaji.
@noeleliasi8401
4 күн бұрын
@@JohnsonTitus-m2ySI KOSA LAKO MAANA HUJUI USEMALO, NA IMANI BAADAE UTAELEWA NINI MBARIKIWA ANAZUNGUMZIA
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
Company ndiyo nini, 😂,
Kiujazacho moyo ndicho kiutokacho
Umetuchosha
Lipo vazi moja la ndani si vazi la nje
@Mbarikiwa_Mwakipesile
7 күн бұрын
Mathayo : 5 : 16 - Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni. 1 Timotheo : 2 : 9 - Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
Mvua imeonyesha tunaona panapo vuja
@PatrickKindole
7 күн бұрын
Nyakati ngumu sana tulionao sisi wakristo
Mbarikiwe......mimi naomba unisaidie.....andiko linalo sema Suruali ni vazi la kiume......ukiachana na mtazamo wako binafsi... 😂😅 Alafu wewe mbona huvai Kanzu kama Yesu kristo....ama Wayahudi Shida yako....unalazimisha mtazamo wako binafsi .....tuuchukulie kama andiko lililopo kwenye Biblia Haya leta andiko linaonyesha ama linatwambia vazi flani ni la Kikristo Ebu anza wewe kuvaa mavazi ya wa nyama...kama Yohona Mbatizaji Wewe mwenyewe hapo umevaa mavazi ya asili ya wazungu... jamani.....acha kuwatukana watu....eti mavazi ya kimalaya ukahaba sijui,,, Kwa mtazamo wako tu,,,haya hapo Rose kwa hilo vazi...lina shida gani Yaaani.....Yeeu Kristo angekuwa na mihemko ya mtazamo kama yako... Ulimwengu usingekombolewa katika yeye Hukumu sio kazi yako....ni kazi ya Mungu mwenyewe Alafu tunahitaji maandiko siyo mitazamo ya mwanadamu Mungu ni wa wote.... Na ndo maana ......unasema hawaonyeki....wamekudharau..
@HimidKibona
7 күн бұрын
Acha ubishi wewe
@johnjulius6619
7 күн бұрын
Mbona ametoa maandiko mazuri tu. Shida wanadamu wanataka wanayoyafanya Mungu ayahalarishe na kuyafanya yawe sawa.
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
Amevaa nguo chafu
MBARIKIWA WAWEZA KUITA WATU WALIOUMBWA NA MUNGU KENGE....? HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUKOSA HEKIMA (ADILI YA MOYO)... NDO MANA SULEIMAN ALIOMBA HEKIMA KWANZA. JIFUNZE UNYENYEKEVU KAMA YESU ALIPOITWA MWEMA ALIKANA JAPO ALIKUA MWEMA.. KEMEA DHAMBI USIJIHESABIE HAKI
@janelithaSolomon
7 күн бұрын
@@joelmbughi428 .....Naungana na wewe...Mbarikiwa ana roho ya kwa nini....wivu tu hana lolote,,,, akiona huduma flani Mungu kainua...anaanza kutukana Tena anaamini mitazamo yake iko sahihi kuliko hata maandiko matakatifu huyu mtu ana Stress sana yaaani anatafuta kick kwenye mitandao kwa Kuwaita watumishi....makahaba...malaya yaaani.....huyu jamaa yuko so frastrutrd
@Mbarikiwa_Mwakipesile
7 күн бұрын
Yesu alimwita Herode mbweha Yohana aliwaita majoka hawakuwa na hekima ila wewe kenge?
Siku mtaenda mbinguni afu mkute kumbe Mungu hakua na shida ya mavazi yenu mtasemaje kwa mfano!! Yani Mungu aseme tu mmi Nilikua natazama mtu anaenichaa na kuzishika amri zangu nakufanya mapenzi yangu, afu mkute Hawa mnaowaubiri kilasiku wamevaa longi mwakute karibu na Ibrahim mtasenaje😂😂😂😂😂😂😂 ni mtazamo wangu tu wala Sina shida na mtu🙅♂️🙅♂️
@LatiphaMwanga
7 күн бұрын
Najua unatetea suruali,vimini,na mibano shikamoo
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
@@LatiphaMwangavaeni hata chupi tu mlidhike
Waisram wanamtangaza muhamadi Mimi nawashangaa wachungaji mnavokomaa na Sheria za kiisram mavazi yakiisram yanawachanganya hata yesu hakuwai hivyo achane kutembeza hukumu kila kukicha Kama mmefika mbinguni muwe na kiasi huu no mtandao muhubiri yesu huyo mchungaji anamjua mungu roho Mt atashughulika shughulia na roho zilizopotea. .
@Hapomwanzo
7 күн бұрын
Wewe lijinga wewe inamaana haya anayozungumza sio injili? hawa watu wasipokemewa wakawa wanaingia na chupi kanisani, hapo yesu gani atahubiriwa?? hivi unaelewa hata maana ya injili kweli!. Ninamashaka kama haukuchanjwa chanjo ya korona maana hii ni side effect cha chanjo, yaani kutengeneza watu waliojielewa kichwani.
@danielkibona3283
7 күн бұрын
😂chanjo ya COVID-19@@Hapomwanzo.... Wengine chanjo yetu ni Yesu
@danielkibona3283
7 күн бұрын
😂chanjo ya COVID-19@@Hapomwanzo.... Wengine chanjo yetu ni Yesu
@danielkibona3283
7 күн бұрын
😂chanjo ya COVID-19@@Hapomwanzo.... Wengine chanjo yetu ni Yesu
@AnnaMbossa
7 күн бұрын
Bado kuvaa tait, madhabahuni mavazi yananguvu yananguvu ya kumtambulisha mtuu,Mungu tutete
Mavazi kibiblia YAPO ni upotovu wa WATU tu
Mbarikiwe......mimi naomba unisaidie.....andiko linalo sema Suruali ni vazi la kiume......ukiachana na mtazamo wako binafsi... 😂😅 Alafu wewe mbona huvai Kanzu kama Yesu kristo....ama Wayahudi Shida yako....unalazimisha mtazamo wako binafsi .....tuuchukulie kama andiko lililopo kwenye Biblia Haya leta andiko linaonyesha ama linatwambia vazi flani ni la Kikristo Ebu anza wewe kuvaa mavazi ya wa nyama...kama Yohona Mbatizaji Wewe mwenyewe hapo umevaa mavazi ya asili ya wazungu... jamani.....acha kuwatukana watu....eti mavazi ya kimalaya ukahaba sijui,,, Kwa mtazamo wako tu,,,haya hapo Rose kwa hilo vazi...lina shida gani Yaaani.....Yeeu Kristo angekuwa na mihemko ya mtazamo kama yako... Ulimwengu usingekombolewa katika yeye Hukumu sio kazi yako....ni kazi ya Mungu mwenyewe Alafu tunahitaji maandiko siyo mitazamo ya mwanadamu Mungu ni wa wote.... Na ndo maana ......unasema hawaonyeki....wamekudharau..
@janelithaSolomon
7 күн бұрын
Mbarikiwa....wewe mbona hata Kanzu huna,,,hujawahi kuvaa hata ngozi kama alivokuwa anavaa Yohana mbatizaji.... Huo ujasiri wa kumwita mke wa mwanaume mwenzio Malaya mara Kahaba...kwa mitazamo yako tu....unautoa wapi...na unasimamia andiko gani Mbona wapo mashoga wanavaa tu kama wewe... unaponda suruali....wakati mwenyewe unazivaa..... Acha mihemko Brother Au ni wivu unakusumbua kwa jinsi Rose na mumewe Mungu anavo wabariki Alafu yupo Mungu mtoa hukumu ya haki....sio wewe mwanadamu mwenye mitazamo yako Unawatukana sana wenzio yaani inaonyesha una Stress sana
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
Vaeni hata chupi basi mtoke , kwa sababu Mungu hakuna sehem amesema kuhusu chupi vaeni mtembee. Ni uhuru
Ni mtumishi wa mungu hasa kavaa suluali kimakosa sasa kwa kukosea et sio mtumishi wa mungu hakuna mwanadamu asiye kosea kikubwa kulekebisha ko isiwe injiri ya kutwangana mazabahuni kila uchwao nao huo ni utoto katka mungu
@AtuganileGodson
4 күн бұрын
Hajakosea ila anamuwakilisha Mungu wake anayemtumikia😊
@user-ve7ig7qu1u
3 күн бұрын
Kifupi suluali hazikubariki kwa mkristo hasa mtumishi..... acheni kutetea zambi dunia inatupeleka wapi tu jamani kwanini mtu anatetea zambi kwa nguvu zote?
@zebedayokatamaduni9676
2 күн бұрын
Anaonesha Tako tu,