Mtashughulikiwa usiku na mchana kwa nguvu ile ile itakayotumika kupotosha
Edit with InShot: v.inshotapp.net/invite
Жүктеу.....
Пікірлер: 123
@theonestrenatus9545 күн бұрын
MUNGU akubariki pastor mbarikiwa Kazi yako siyo Bure, usiache kusema wengi wanafunguka kwa elimu yako
@johnmalembo64646 күн бұрын
Mnawapa heshima kubwa kuwaita pasta, nabii, mtume, Mzee eti wa upako...nk......tuwaite kama alivyo waita YESU ....mbwa mwitu, mbweha... wanyang'anyi..
@mwlekartiesmwankenja36025 күн бұрын
Hongera baba na mtumishi wa kweli. Mbwa mwitu na wanyang'anyi hao
@johnkaliwanje4345 күн бұрын
pastor Mbalikiwa uko vzur sana, ww ni kiongoz mzur.
@hemedsimba4925 күн бұрын
Wabarikiwe wenye kunena kweli na haki na kuwarudisha kondoo waliopotea kundini, aamiin.
@bcozhenry26986 күн бұрын
Mchungaji Mbarikiwa wewe ni mtumishi wa Mungu hakika! Mungu anazidi kukujaza ufahamu wa kuwastaajabisha hata maadui wanaokushambulia. Umeteswa sana kiasi ambacho bila Mungu ungeshachanganyikiwa akili lakini kadri wanavyokutesa ndivyo Mungu anakuongezea akili na hekima ya kuifafanua kweli na haki! Mungu azidi kutumia kadri apendavyo! Amen!
@ruthmuja7792
5 күн бұрын
Hakika, Mungu Aendelee kumtumia
@ugalidona-cs2yn
5 күн бұрын
Naam Hakika MUNGU Ni Mwema.
@YohanaKuyato5 күн бұрын
Bwana ahimidiwe kwa ajili kazi hii mtumishi unayoifanya ya kuwarudisha watu kwenye injili ya kweli,kukemea dhuluma,na upotoshaji.Hakika unauonea wivu injili hii kupotoshwa.ubarkiwe sana unanibariki nikiwa loliondo
@malakimapunda0106 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wake "unasema kweli ya Mungu ambayo siku zote huwa mwiba kwa wasio na maarifa yatokayo kwa Mungu" 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@apostleelisha29945 күн бұрын
Wewe mzee Mbarikiwa ni maombi yangu uishi miaka mingi nakupenda sana
@DavidMatata6 күн бұрын
Umeongea vizuri sana mtumishi wa Lord Jesus!... Blessed.
@msanginaza9055 күн бұрын
Yaaan huyu mbarikiwa namkubali sana Mungu amlinde sana ndo anayehubiriiii injili ya kweli
@user-jr3xs9sb9x6 күн бұрын
Nyuki alisahau na yeye alikua maskini,Leo kainuliwa anazarau maskini
@zawadimwakapala79356 күн бұрын
Yaani Joseph Nyuki kanikera kudadadeki! Kweli ama kweli ukristo umeingiliwa, hii Imani mhhhhh! Yaani siku hizi wanataka pesa pesa pesa
@nicholaussteven31886 күн бұрын
amen pastor umefundisha vyema...kiukweli joseph nyuki na lusekelo wamekosea sana kuwakataza wasio na kitu kutia miguu yao kanisani sijui wanataka waende wapi.
@stamilinyakunga6 күн бұрын
Nilikuwa kwa wachumia matumbo
@Maryc2G6 күн бұрын
Ina maana wenye shida wasisikie neno la Mungu. Kanisani ndio sehemu ya kukimbilia. Jamani someni biblia, mstransilate biblia. Nilipokuwa sina pesa nilijitoa kama sadaka, nilikuwa nasafisha makanisa bila kulipwa, nilijitolea kwa miezi sita, nilimpa Mungu muda na nguvu alizonipa, kwa sasa nawajengea wachungaji makanisa na ni support mzuri sana wa gospel of jesus christ. Nilikuwa sina pesa nilipata maarifa kutoka kanisani.aacheni kuwafukuza wasio na pesa kanisani wanaweza wakawa baraka kwa njia nyingine.
@ugalidona-cs2yn5 күн бұрын
Injili ni kutetea wanao Onewa Na WADHALIMU. NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA, BADO WANALIA NA KUTESEKA KWA MACHOZI YALIO JAA UCHUNGU Na MANUNGUNIKO JUU Ya UTAWALA Wa KIDHALIMU.
@WILLIAMSINGANO-qn2yh6 күн бұрын
Baba hawa ni matapeli kweli hawana tofauti na chuma ulete. Tunakuja tupo njiani kuwafuta matapeli hawa Tanzania, Hawafanyi kazi wao hutaka ulaji kutoka kwetu.
@ushindijoseph-go2ui
6 күн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji Mbarikiwa nakuelewa
@user-bg9ct3yn8w6 күн бұрын
Watu wanachukia kweli wanapenda uongo Mtumishi Mungu akubariki simamia kweli ya Mungu
@NebatiMgute6 күн бұрын
Hata kanisani kwetu mchungaji wetu anatukamua kwelikweli yaani mpaka unatamani uishi tu maana ni afadhali mpagani kuliko vikoba vya hapa kanisani
@agnesyjoseph39065 күн бұрын
Amen, Mungu azidi kubariki mtumishi udumu kuinena kweli ya Mungu Kama ilivyo
@DanielKoipapei6 күн бұрын
Dunia imekwisha kabisa baba yetu ubarikiwe sana baba yetu i?
@johnkaliwanje4345 күн бұрын
safi sana kiongozi (Mbalikiwa Mwakipesile), mm umenisaidia sana kuelewa mambo, na umenitoa kwenye giza la ujinga
@user-is9sd4mz9d4 күн бұрын
Mbarikiwa upo vzr Mungu akubariki sana.
@user-sc2yw5kk5r5 күн бұрын
Hapo sasa naona wanaanza kukuelewa.... ❤
@mbelechimakobola88355 күн бұрын
Wewe ndiye mtu wa Mungu tena wa Busara uliyepo huko tanzania tunajivunia sana
@user-le6jm2tf5y4 күн бұрын
Barikiwa sana mtu wa Mungu
@AnaniaKyando6 күн бұрын
Nyosha mapito ya bwana baba kanisa limeingiliwa na vibaka
@user-mo2sb2nh8u6 күн бұрын
Unachosema ni kweli tunaibiwa lakini mijitu sijui midishi imeyumba
@ExavelySimbey6 күн бұрын
Ubarikiwe sana pastor. Tupo pamoja
@TAG-8634 күн бұрын
Mtumishi songa Mbele kama tanzania ingelikuwa na wachungaji kama awa ingelipendeza sana tanzania na wanawake kuvalia suruali kusingekuwepo tanzania
@surylinetv46775 күн бұрын
Mungu akubariki Mwakipesile
@isayamwashibanda58192 күн бұрын
Mungu akulidee uendelee kutuelimisha ilitujuwe kweli yotee
@janepatrickmesso74873 күн бұрын
Nakuelewa pastor
@judamsaki56096 күн бұрын
NIMEKUELEWA SASA MCHUNGAJI UNAPAMBANA SANA ...MUNGU AKUBARIKI
@ezekielmakililo4 күн бұрын
Ubarikiwe Mno
@mbelechimakobola88355 күн бұрын
Chapa injili SANA baba aah, chapa injili vya kutosha Mungu tunayemwabudu atakupigania Amina
@mengindegeya27805 күн бұрын
Asante mlinzi nakukubari mtu aliae nyikani.
@omanqqwe40615 күн бұрын
Kweli kabis baba ubarikiwe
@Gwa-Kayaga6 күн бұрын
Hao ndo wanaweka ugumu wa injiri, wanaona wakafungue makanisa ili wajinufaishe kwa kusimamia vifungu baadhi hata wasiweze kuvitafsiri kwa HEKIMA ya Roho wake KRISTO😢
@Josephineisack-go1wu5 күн бұрын
Mungu.akubariki
@gwamakaadamson1314 күн бұрын
Kama kuna manabii wa uongo basi Mungu aliye hai uinua watumishi Kama mbarikiwa
@SmilingArcade-xj7zg5 күн бұрын
Mungu atusaidie sana 🙏
@jonathankessy96156 күн бұрын
Asante sana brother Piga kazi
@ustawiwetu5 күн бұрын
Fungu la 10 ni kama TRA ndogo, usipotoa unashitakiwa na kuhukumiwa.
@ruthmuja77925 күн бұрын
Amina Amina
@bonifasiemanueli216 күн бұрын
Lusekelo nimemfuta ktk watumishi wa Mungu wa ukweli mwanzoni nilijua yuko ktk nuru kumbe yuko ktk giza
@geitandelwa2996 күн бұрын
Hufungwe ww songa mbele kanisa limetiwa ujinga vusuluali na misengenyo na kutoambizana ukweli hadi pombe xinakubaliwa kunywa tu
@user-bg9ct3yn8w6 күн бұрын
Ameeni baba kweli kabisa umefundisha vizuri
@isayamwashibanda58192 күн бұрын
Awa siyoo wachungaji wachumia tumbo nawapiga Dili
@user-qm2ve7tx3s5 күн бұрын
Wakemee namimi Niko nawakemea kwenye koment hapa kwajina layesu mngu ikimpendeza kufanya miujiza aanze nahivyo vihubili vinavyo potosha kwasababu ya Tamaa ya mali na vyeo avishike midomo viwe vibubu mpaka vitakapo tubu ndipo vimjue mngu wakweli viachane nahuyo mngu mpenda pesa amina
@StevenMutale-xt9yj6 күн бұрын
Mubarikiwa endelea mbaana sana Wala usiangalie ni nani Wala usiongopee
@odilomwemeziernest6465 күн бұрын
Hii mijamaa ni mitapeli ya dunia.
@King_Of_Everything3 күн бұрын
👊👍✌️.
@AdamJonas-sx4mi5 күн бұрын
Munasumbua network tuonyeshe na kanisani kwako hapo hatukuelewi kwasababu umechukua neno moja tu hujaanzana naye mwanzo umetuonyesha neno moja tu na ndo unalo hukumia mtu.
MUNGU WA MBINGUNI AKUBALIKI SANA MTUMISHI NAKUEREWA VIZURI SANA SEMA KWERI TUPONE
@eliamtinda72226 күн бұрын
Hawa ni wahuni na matapeli TU!
@lailaiza72886 күн бұрын
Hongera sana wape ukweli hao
@EnockTuza6 күн бұрын
Nakukubali,hapo umesema kweli.
@thimoteslangay20106 күн бұрын
😂😂😂majambazi tu nyie mzee wa upoko na nyuki😂😂😂
@user-jl5uh1xq9f6 күн бұрын
Pamoja mtumishi waambie
@user-bg9ct3yn8w6 күн бұрын
Ameeni Ameeni pia
@user-bg9ct3yn8w6 күн бұрын
Ameeni
@stamilinyakunga6 күн бұрын
Kweli baba
@ayoubmwangonji23576 күн бұрын
❤❤❤❤
@sarahkeivaly33516 күн бұрын
Tumwombee Joseph Nyuki ndgzng wakristo
@Magufuli.6 күн бұрын
Kulanao sahani moja mbwa wakubwa hawa
@Rashid-vm1fk5 күн бұрын
Kwani hawa watu ambao wanaoabudu katika makanisa haya hawafikiri utapeli wa hawa majamaaa?? au wamefungwa akiri??
@princenelsonsinko52376 күн бұрын
Hawa ni wachungaji matapeli na hawa sio watumishi wa kweli
@user-ro2mb5uc1y5 күн бұрын
UBALIKIWE Sana mtumishi wa MUNGU
@FatumaKibona-zs9uq
5 күн бұрын
Mwalimu naomba namba ya mke wako
@amosnjiaapostle6 күн бұрын
Mungu ni wa wote wenye mwili ninyi mtakao sadaka ni tamaa zenu tu pia sadaka ya kwanza njema ni kuitoa miili yetu kama dhabihu takatifu endelee mtu wa Mungu kuwapiga spana matapeli hao
@WTC4925 күн бұрын
WAPIGWEE
@adophmmole63896 күн бұрын
Uyu nyuki nyuki si alikuwa mwimbaji sasa imekuwaje awe pastor saiv muhuni uyo na mm nafuta nyimbo zake zoote kwa simu tumkatae watanzania atufai tena
@jasonwatz7457
5 күн бұрын
Uimbaji ni form ya utumishi
@obedimunguachiza84345 күн бұрын
5 Lakini jicho la Mungu lilikuwa likiwaelekea wazee wa Wayahudi, hao wasiwazuie, hata habari ile imfikilie Dario, ndipo jawabu litakapopatikana kwa waraka. Ezra 5:5 👉 Barikiwe sana kama lilivyo jina lako babangu 🙏
Makanisa ya mashetani ,wanavuta bangi hao ,Bora uwafumbue macho kwa wasio jua ubarikiwe mtumishi kikosi kazi,
@janelithaSolomon6 күн бұрын
Kwa hili nakuunga mkono....
@designdesign44266 күн бұрын
Mpaka mje mgundue biblia imeandikwa na maginius ya kizungu kwa waafrika matahila.
@frankbutati83436 күн бұрын
Hawa wanyanganyi sijui kwann wanapata wafuas
@user-mo2sb2nh8u6 күн бұрын
Anayetukana nadhani akili zake hazipo sawa
@elishadodi87876 күн бұрын
Wataendelea kujibainisha wenyewe na kazi zao hawa mashetani
@ashelikilele1676 күн бұрын
Wezi ndio Wanao sajiliwa nakuliita nikanisa
@elishadodi87876 күн бұрын
Wasio na Sadaka ndiyo wasiende kwa wahubiri wenye njaa Ila wenye dhambi hawaoni shida kwao. Wapo radhi wawe wazinifu kanisa Zima Ila siyo wasio na Sadaka. Kwa Mwenye macho ya roho na ufahamu wa Mungu siyo kazi ngumu kuwajua Hawa matapeli wa injili. Huu ujinga kiukweli tusiunyamazie
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Yes wapo masikini mm nawajua ninwanaomba na kuililia nchi hii inakuwa salama na MUNGU ametuagiza tutor sadaka kwa masikini tena hao masikini ndo wasafi na MUNGU amesema shida sana matajili kuulidhi ufalume wa MUNGU
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ukweli mm nipo pamoja na ww mbalikiwa kwa sasa kanisa limejaa wahuni miwigi mividuku na kujibadilisha langi ambazo MUNGU Alitupa kanisa limepoteza mwelekoe eti kama huna sadaka usije alafu watu masikini waende wapi hakuna ukweli hapo
@ronaldsikaponda35536 күн бұрын
Siyo vyema kutafsiri Biblia kama upendavyo ili tu uwapinge wengine ,hapana hiyo si sawa.Na usitowe maneno mengine kichwani mwako ilimradi uwafurahishe wanadamu hasa wasiopenda kumtolea Mungu hiyo si sawa unawadanganya watu.
@Furahamwasyika
6 күн бұрын
Mungu angekuwa anangalia sadaka kwanza basi hakuna ambaye angeokoka MATHAYO 12:7 Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Bila shaka na wewe ni zao hao Wahubili hao.
@FestoMbwilo-xf9px6 күн бұрын
Peleka injili mbalikiwa
@valelianonyato-gx5bq6 күн бұрын
Wajifunze kwa kanisa katoliki hakuna upuuzi wa hivyo
@valelianonyato-gx5bq6 күн бұрын
Kwamujibu wa maandiko hao niwachungaji wezi na wanyang'anyi Yesu alisha sema
@RizikiEsromu
6 күн бұрын
Andiko huua roho huuisha tafuta ufunuo ndipo unaweza kulifundisha neno Kwa usahihi.
@user-xd7gb9ub4t
2 күн бұрын
Toeni sadaka acheni kumuibia MUNGU
@ronaldsikaponda35536 күн бұрын
Hapo umedanganya nimefuatilia misitari uliyosoma hakuna mahali panaposema "hapo ndipo usiingie mikono mitupu" hayo maneno umeyaongeza mwenyewe kwa sababu unataka Biblia ukufuate wewe unachofikiri.Nyie mnao mfuatilia kuweni makini na anachosema. Maneno mengine anayaongeza.
@albamwanja4304
6 күн бұрын
Hizo verses ni supportive kuwa sio lazima uwe Tajiri utoe Sadaka au inapinga pia wachungaji wanaojaribu kutumia lugha ya kitisho
@Lupembeajua6 күн бұрын
Nilikuwa nakusubiri baba juu Hawa wajinga
@stamilinyakunga6 күн бұрын
Dunia imeisha Mweeee baba Mungu akupe heri mm bado najitafta nipate hata hatua kadhaa japo niricherewa nikiwa kwa wachumba matumbo.
@rweumbizalugaimukamu49056 күн бұрын
Matapeli ni wengi sana, mzee wa upako tulichanga tupate kanisa la barabarani lakini akaenda kununua nyumba mikocheni ya Mariele.
@user-hq8wn9tz2l5 күн бұрын
Injili original
@AlexKabage6 күн бұрын
We muongo sana ebu badilika
@AnaniaKyando
6 күн бұрын
Kibaka mkubwa mtapata na laana bule kama hujui kaa kimya
Yesu alisema hakuna mwema duniani mwema ni Mungu aliye juu pekeyake ko acha acha wivu Mungu hapendi kabisa wivu ko ebu badilika mtumishi acha njaaaahiho
@Furahamwasyika
6 күн бұрын
Bila shaka wewe ni zao la hao Wahubili matapeli ajabu sana kujiita mwema ni dhambi?
@nkanabodastan7887
6 күн бұрын
Mjumbe wa Ibilisi wewe ,usiwapotoshe walitayari kubadilika
@shukranimpomwa7460
6 күн бұрын
We dogo, wewe ndo sio mwema, Unadhani uchafu ulio nao na nasisi tunautenda? (Pastor Mbarikiwa anautenda)???
@AlexKabage6 күн бұрын
Yaani muda wowote unashinda tu mitandaoni kuchunguza wenzako iv ww ni Mungu kwamana umezidi muno eeeeee
Пікірлер: 123
MUNGU akubariki pastor mbarikiwa Kazi yako siyo Bure, usiache kusema wengi wanafunguka kwa elimu yako
Mnawapa heshima kubwa kuwaita pasta, nabii, mtume, Mzee eti wa upako...nk......tuwaite kama alivyo waita YESU ....mbwa mwitu, mbweha... wanyang'anyi..
Hongera baba na mtumishi wa kweli. Mbwa mwitu na wanyang'anyi hao
pastor Mbalikiwa uko vzur sana, ww ni kiongoz mzur.
Wabarikiwe wenye kunena kweli na haki na kuwarudisha kondoo waliopotea kundini, aamiin.
Mchungaji Mbarikiwa wewe ni mtumishi wa Mungu hakika! Mungu anazidi kukujaza ufahamu wa kuwastaajabisha hata maadui wanaokushambulia. Umeteswa sana kiasi ambacho bila Mungu ungeshachanganyikiwa akili lakini kadri wanavyokutesa ndivyo Mungu anakuongezea akili na hekima ya kuifafanua kweli na haki! Mungu azidi kutumia kadri apendavyo! Amen!
@ruthmuja7792
5 күн бұрын
Hakika, Mungu Aendelee kumtumia
@ugalidona-cs2yn
5 күн бұрын
Naam Hakika MUNGU Ni Mwema.
Bwana ahimidiwe kwa ajili kazi hii mtumishi unayoifanya ya kuwarudisha watu kwenye injili ya kweli,kukemea dhuluma,na upotoshaji.Hakika unauonea wivu injili hii kupotoshwa.ubarkiwe sana unanibariki nikiwa loliondo
Mungu akubariki sana Mtumishi wake "unasema kweli ya Mungu ambayo siku zote huwa mwiba kwa wasio na maarifa yatokayo kwa Mungu" 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Wewe mzee Mbarikiwa ni maombi yangu uishi miaka mingi nakupenda sana
Umeongea vizuri sana mtumishi wa Lord Jesus!... Blessed.
Yaaan huyu mbarikiwa namkubali sana Mungu amlinde sana ndo anayehubiriiii injili ya kweli
Nyuki alisahau na yeye alikua maskini,Leo kainuliwa anazarau maskini
Yaani Joseph Nyuki kanikera kudadadeki! Kweli ama kweli ukristo umeingiliwa, hii Imani mhhhhh! Yaani siku hizi wanataka pesa pesa pesa
amen pastor umefundisha vyema...kiukweli joseph nyuki na lusekelo wamekosea sana kuwakataza wasio na kitu kutia miguu yao kanisani sijui wanataka waende wapi.
Nilikuwa kwa wachumia matumbo
Ina maana wenye shida wasisikie neno la Mungu. Kanisani ndio sehemu ya kukimbilia. Jamani someni biblia, mstransilate biblia. Nilipokuwa sina pesa nilijitoa kama sadaka, nilikuwa nasafisha makanisa bila kulipwa, nilijitolea kwa miezi sita, nilimpa Mungu muda na nguvu alizonipa, kwa sasa nawajengea wachungaji makanisa na ni support mzuri sana wa gospel of jesus christ. Nilikuwa sina pesa nilipata maarifa kutoka kanisani.aacheni kuwafukuza wasio na pesa kanisani wanaweza wakawa baraka kwa njia nyingine.
Injili ni kutetea wanao Onewa Na WADHALIMU. NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA, BADO WANALIA NA KUTESEKA KWA MACHOZI YALIO JAA UCHUNGU Na MANUNGUNIKO JUU Ya UTAWALA Wa KIDHALIMU.
Baba hawa ni matapeli kweli hawana tofauti na chuma ulete. Tunakuja tupo njiani kuwafuta matapeli hawa Tanzania, Hawafanyi kazi wao hutaka ulaji kutoka kwetu.
@ushindijoseph-go2ui
6 күн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji Mbarikiwa nakuelewa
Watu wanachukia kweli wanapenda uongo Mtumishi Mungu akubariki simamia kweli ya Mungu
Hata kanisani kwetu mchungaji wetu anatukamua kwelikweli yaani mpaka unatamani uishi tu maana ni afadhali mpagani kuliko vikoba vya hapa kanisani
Amen, Mungu azidi kubariki mtumishi udumu kuinena kweli ya Mungu Kama ilivyo
Dunia imekwisha kabisa baba yetu ubarikiwe sana baba yetu i?
safi sana kiongozi (Mbalikiwa Mwakipesile), mm umenisaidia sana kuelewa mambo, na umenitoa kwenye giza la ujinga
Mbarikiwa upo vzr Mungu akubariki sana.
Hapo sasa naona wanaanza kukuelewa.... ❤
Wewe ndiye mtu wa Mungu tena wa Busara uliyepo huko tanzania tunajivunia sana
Barikiwa sana mtu wa Mungu
Nyosha mapito ya bwana baba kanisa limeingiliwa na vibaka
Unachosema ni kweli tunaibiwa lakini mijitu sijui midishi imeyumba
Ubarikiwe sana pastor. Tupo pamoja
Mtumishi songa Mbele kama tanzania ingelikuwa na wachungaji kama awa ingelipendeza sana tanzania na wanawake kuvalia suruali kusingekuwepo tanzania
Mungu akubariki Mwakipesile
Mungu akulidee uendelee kutuelimisha ilitujuwe kweli yotee
Nakuelewa pastor
NIMEKUELEWA SASA MCHUNGAJI UNAPAMBANA SANA ...MUNGU AKUBARIKI
Ubarikiwe Mno
Chapa injili SANA baba aah, chapa injili vya kutosha Mungu tunayemwabudu atakupigania Amina
Asante mlinzi nakukubari mtu aliae nyikani.
Kweli kabis baba ubarikiwe
Hao ndo wanaweka ugumu wa injiri, wanaona wakafungue makanisa ili wajinufaishe kwa kusimamia vifungu baadhi hata wasiweze kuvitafsiri kwa HEKIMA ya Roho wake KRISTO😢
Mungu.akubariki
Kama kuna manabii wa uongo basi Mungu aliye hai uinua watumishi Kama mbarikiwa
Mungu atusaidie sana 🙏
Asante sana brother Piga kazi
Fungu la 10 ni kama TRA ndogo, usipotoa unashitakiwa na kuhukumiwa.
Amina Amina
Lusekelo nimemfuta ktk watumishi wa Mungu wa ukweli mwanzoni nilijua yuko ktk nuru kumbe yuko ktk giza
Hufungwe ww songa mbele kanisa limetiwa ujinga vusuluali na misengenyo na kutoambizana ukweli hadi pombe xinakubaliwa kunywa tu
Ameeni baba kweli kabisa umefundisha vizuri
Awa siyoo wachungaji wachumia tumbo nawapiga Dili
Wakemee namimi Niko nawakemea kwenye koment hapa kwajina layesu mngu ikimpendeza kufanya miujiza aanze nahivyo vihubili vinavyo potosha kwasababu ya Tamaa ya mali na vyeo avishike midomo viwe vibubu mpaka vitakapo tubu ndipo vimjue mngu wakweli viachane nahuyo mngu mpenda pesa amina
Mubarikiwa endelea mbaana sana Wala usiangalie ni nani Wala usiongopee
Hii mijamaa ni mitapeli ya dunia.
👊👍✌️.
Munasumbua network tuonyeshe na kanisani kwako hapo hatukuelewi kwasababu umechukua neno moja tu hujaanzana naye mwanzo umetuonyesha neno moja tu na ndo unalo hukumia mtu.
Kwasa pandambegu. wengine wengiwao niwaongo. manabii matatizo. mitume nishida hao hao kimbia
Eeeeeee Aminaaaa baba ,mtu ndiye zaidi ya pesa
MUNGU WA MBINGUNI AKUBALIKI SANA MTUMISHI NAKUEREWA VIZURI SANA SEMA KWERI TUPONE
Hawa ni wahuni na matapeli TU!
Hongera sana wape ukweli hao
Nakukubali,hapo umesema kweli.
😂😂😂majambazi tu nyie mzee wa upoko na nyuki😂😂😂
Pamoja mtumishi waambie
Ameeni Ameeni pia
Ameeni
Kweli baba
❤❤❤❤
Tumwombee Joseph Nyuki ndgzng wakristo
Kulanao sahani moja mbwa wakubwa hawa
Kwani hawa watu ambao wanaoabudu katika makanisa haya hawafikiri utapeli wa hawa majamaaa?? au wamefungwa akiri??
Hawa ni wachungaji matapeli na hawa sio watumishi wa kweli
UBALIKIWE Sana mtumishi wa MUNGU
@FatumaKibona-zs9uq
5 күн бұрын
Mwalimu naomba namba ya mke wako
Mungu ni wa wote wenye mwili ninyi mtakao sadaka ni tamaa zenu tu pia sadaka ya kwanza njema ni kuitoa miili yetu kama dhabihu takatifu endelee mtu wa Mungu kuwapiga spana matapeli hao
WAPIGWEE
Uyu nyuki nyuki si alikuwa mwimbaji sasa imekuwaje awe pastor saiv muhuni uyo na mm nafuta nyimbo zake zoote kwa simu tumkatae watanzania atufai tena
@jasonwatz7457
5 күн бұрын
Uimbaji ni form ya utumishi
5 Lakini jicho la Mungu lilikuwa likiwaelekea wazee wa Wayahudi, hao wasiwazuie, hata habari ile imfikilie Dario, ndipo jawabu litakapopatikana kwa waraka. Ezra 5:5 👉 Barikiwe sana kama lilivyo jina lako babangu 🙏
Mi nasali nyumbani
wewe. nimutumishi nzuli ningekuwa. Nipo. Mkowa. Wako. ningesali. kanisanikwako ilamtumishi nkunawengine. hatakwaiyaliyao. hawatoi. hata zaka malimbuko hawatoi kamili. inavyotakiwa haounawasaidiaje
Makanisa ya mashetani ,wanavuta bangi hao ,Bora uwafumbue macho kwa wasio jua ubarikiwe mtumishi kikosi kazi,
Kwa hili nakuunga mkono....
Mpaka mje mgundue biblia imeandikwa na maginius ya kizungu kwa waafrika matahila.
Hawa wanyanganyi sijui kwann wanapata wafuas
Anayetukana nadhani akili zake hazipo sawa
Wataendelea kujibainisha wenyewe na kazi zao hawa mashetani
Wezi ndio Wanao sajiliwa nakuliita nikanisa
Wasio na Sadaka ndiyo wasiende kwa wahubiri wenye njaa Ila wenye dhambi hawaoni shida kwao. Wapo radhi wawe wazinifu kanisa Zima Ila siyo wasio na Sadaka. Kwa Mwenye macho ya roho na ufahamu wa Mungu siyo kazi ngumu kuwajua Hawa matapeli wa injili. Huu ujinga kiukweli tusiunyamazie
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Yes wapo masikini mm nawajua ninwanaomba na kuililia nchi hii inakuwa salama na MUNGU ametuagiza tutor sadaka kwa masikini tena hao masikini ndo wasafi na MUNGU amesema shida sana matajili kuulidhi ufalume wa MUNGU
@geitandelwa299
6 күн бұрын
Ukweli mm nipo pamoja na ww mbalikiwa kwa sasa kanisa limejaa wahuni miwigi mividuku na kujibadilisha langi ambazo MUNGU Alitupa kanisa limepoteza mwelekoe eti kama huna sadaka usije alafu watu masikini waende wapi hakuna ukweli hapo
Siyo vyema kutafsiri Biblia kama upendavyo ili tu uwapinge wengine ,hapana hiyo si sawa.Na usitowe maneno mengine kichwani mwako ilimradi uwafurahishe wanadamu hasa wasiopenda kumtolea Mungu hiyo si sawa unawadanganya watu.
@Furahamwasyika
6 күн бұрын
Mungu angekuwa anangalia sadaka kwanza basi hakuna ambaye angeokoka MATHAYO 12:7 Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Bila shaka na wewe ni zao hao Wahubili hao.
Peleka injili mbalikiwa
Wajifunze kwa kanisa katoliki hakuna upuuzi wa hivyo
Kwamujibu wa maandiko hao niwachungaji wezi na wanyang'anyi Yesu alisha sema
@RizikiEsromu
6 күн бұрын
Andiko huua roho huuisha tafuta ufunuo ndipo unaweza kulifundisha neno Kwa usahihi.
@user-xd7gb9ub4t
2 күн бұрын
Toeni sadaka acheni kumuibia MUNGU
Hapo umedanganya nimefuatilia misitari uliyosoma hakuna mahali panaposema "hapo ndipo usiingie mikono mitupu" hayo maneno umeyaongeza mwenyewe kwa sababu unataka Biblia ukufuate wewe unachofikiri.Nyie mnao mfuatilia kuweni makini na anachosema. Maneno mengine anayaongeza.
@albamwanja4304
6 күн бұрын
Hizo verses ni supportive kuwa sio lazima uwe Tajiri utoe Sadaka au inapinga pia wachungaji wanaojaribu kutumia lugha ya kitisho
Nilikuwa nakusubiri baba juu Hawa wajinga
Dunia imeisha Mweeee baba Mungu akupe heri mm bado najitafta nipate hata hatua kadhaa japo niricherewa nikiwa kwa wachumba matumbo.
Matapeli ni wengi sana, mzee wa upako tulichanga tupate kanisa la barabarani lakini akaenda kununua nyumba mikocheni ya Mariele.
Injili original
We muongo sana ebu badilika
@AnaniaKyando
6 күн бұрын
Kibaka mkubwa mtapata na laana bule kama hujui kaa kimya
@emanuelmkama1325
6 күн бұрын
Wew una comment Mara ngp? Devil mkubw
@brianshomi722
6 күн бұрын
Naona vibaka mmeanza kuhemea mipira hahahaaaaaaaaaaaa😂
Yesu alisema hakuna mwema duniani mwema ni Mungu aliye juu pekeyake ko acha acha wivu Mungu hapendi kabisa wivu ko ebu badilika mtumishi acha njaaaahiho
@Furahamwasyika
6 күн бұрын
Bila shaka wewe ni zao la hao Wahubili matapeli ajabu sana kujiita mwema ni dhambi?
@nkanabodastan7887
6 күн бұрын
Mjumbe wa Ibilisi wewe ,usiwapotoshe walitayari kubadilika
@shukranimpomwa7460
6 күн бұрын
We dogo, wewe ndo sio mwema, Unadhani uchafu ulio nao na nasisi tunautenda? (Pastor Mbarikiwa anautenda)???
Yaani muda wowote unashinda tu mitandaoni kuchunguza wenzako iv ww ni Mungu kwamana umezidi muno eeeeee
@JohnJoseph-qq7ow
6 күн бұрын
Kwa hio wewe unafurahia utapeli?
@emanuelmkama1325
6 күн бұрын
Wew ndo shetan mwenyew umetumw,? Sis tunaon anachoongea mbarikiw nkwel kabsa
@shukranimpomwa7460
6 күн бұрын
Wewe ndo huna akili, Unashinda mitandaoni kuangalia WENGINE walichokifanya, jinga kweli wewe.
@emmanueligale526
5 күн бұрын
Kweli kazidii mahana anawahalibia saaaaana tapeli mkubwa ww😂😂😂
@user-xd7gb9ub4t
2 күн бұрын
Hebu mtoleeni MUNGU hakuna sala bila sadaka,kupenda au kufurahia kutokumtolea MUNGU huo ni umaskini wa fikra, Hosea 4:6.