Kiboko ya wachawi amjibu Mbarikiwa? Awamu hii asema HAWAPENDI WATAKATIFU Awashiwa moto na Mbarikiwa

Edit with InShot: v.inshotapp.net/invite

Пікірлер: 140

  • @magrethedward5635
    @magrethedward563523 күн бұрын

    Mungu afungue fahamu za waumini wa hilo kanisa kwa Jina la Yesu kristo....,Watoke kwa huyo shetani wasije wakapotea milele ijayo.😭

  • @user-fj3zp2qz3p
    @user-fj3zp2qz3p21 күн бұрын

    Mbarikiwa upon sawa kiboko ya wachawi ni mjinga hawezi sema Mungu hawezi kumuua shetani

  • @user-xm7ce5jh2k
    @user-xm7ce5jh2k5 күн бұрын

    Hâta Yesu hakuya kwa watakatifu alikuja kwa wazaifu ili wapate uzima. MWe watanzania jicunguze munajaa Dunia MZIMA hamuonewe. Anajuwa maandiko. Munafundisha kimwili jean 4:24

  • @KitsaHope
    @KitsaHope2 күн бұрын

    Baba usipande ndani mwetu chuki yabure kesho anarudi munakaa pamoja muache unafki namusitupoteze mutu fundiche neno la Mungu n'a basi

  • @SelemanZakalia
    @SelemanZakalia16 күн бұрын

    ichonikiburi chauzima mtu akiwa mzima ana lopoka lopoka 2 akifa ataria nakusaga meno

  • @EdwinMedson
    @EdwinMedson20 күн бұрын

    Mimi nilichoelewa ni kwamba anawakubali wenye dhambi kwasababu awasaidie kubadilika kwani yesu alikuja kwa watakatifu au wenye dhambi

  • @SelemanZakalia
    @SelemanZakalia16 күн бұрын

    naapo anayasema ayo maneno kwasababu ya Neeema ya watakatifu wasingekuwepo watakatifu hata yeye asingekuwepo wakisema waondoke watakatifu yeye atabaki kweli jaman anaishi apo kwasababu ya watakatifu

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael612323 күн бұрын

    Tito ni msenge sa huyu msenge mwenzie.

  • @ibunikalikenya9219
    @ibunikalikenya921923 күн бұрын

    Na Yesu aliagiza habar ya kuw henendeni mkihubr mkisem Tubuni Kwa maan uflme wa Mungu umekalibia

  • @billmkushi849

    @billmkushi849

    23 күн бұрын

    Pia nendeni mkawafanya watu kuwa wanafunzi wake!

  • @billmkushi849

    @billmkushi849

    23 күн бұрын

    Pia nendeni mkawafanya watu kuwa wanafunzi wake! Pia Mungu anasema anafurahishwa na watakatifu waliopo Duniani?

  • @ibunikalikenya9219

    @ibunikalikenya9219

    23 күн бұрын

    Kwel mtumish na anasema heli mpatanishi uyo ataitwa mwana wa Mungu mtu ambaye anawapatanisha watu wengine na Mungu

  • @AnnaEndur
    @AnnaEndur19 күн бұрын

    Mimi hata sijui jamn Hawa watumishi wanaopondana hiv nashindwa kuelewa wanatuambie tusiabudu sehemu yeyote au

  • @BotulphusAugustine
    @BotulphusAugustine20 күн бұрын

    Mungu haui shetani kwasababu nafsi haifi na wewe unaesema makufulu ayo autokufa utaishi milele matesoni tubu wewe kama ni pepo Bwana akukemee upotee

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn23 күн бұрын

    ❤amen baba shugulikanao kweli,usinyamaze nimependa iyo, Mozambique

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666223 күн бұрын

    Sasa kama hupendi watakatifu. Mungu anapendezwa na watakatifu wake.

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    23 күн бұрын

    Kabisa

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola883523 күн бұрын

    Hapa Ni injili tu na injili iendelee Amina!

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md23 күн бұрын

    Mbona yupo wazi anajieleza kabisa kwaba yupo kinyume na maandiko na mungu wa islaeli na yupo wazi kwamba anafanya kazi za lamba lamba na anatumikia mfumo wa kidunia ulio kinyume na mungu na watakatifu

  • @Upendo6405
    @Upendo640516 күн бұрын

    Duuuuuuu Emungu ulieumba mbingu na nchi onekana kwa mbalikiwa

  • @KanankiraNassary-iv3uw
    @KanankiraNassary-iv3uw23 күн бұрын

    Mimi sipendi kumsema mtu lakn kwa hili huyu jamaa amekela na nguvu anazotumia ziharibiwe kwa jina la Yesu

  • @NkotaJamarie-ht5nv
    @NkotaJamarie-ht5nv19 күн бұрын

    Aise Mungu atamusambaratisha

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka640423 күн бұрын

    Ukristo unachafuliwa sana na wapumbavu wachache, na hao watu wanaoenda kuabudu hapo wamebeba mafuvu tu

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo393613 күн бұрын

    Tutalaumiana sana chamsingi kilamtu afundishe waumini wake wanaopotoka niwengi wanaookolewa niwachache

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz23 күн бұрын

    Mungu. atamjibu kwawatiwake kulingana namaneno yakinywa. Chake

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547923 күн бұрын

    Wizara ya mambo ya ndani iingilie kati

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta400023 күн бұрын

    Hivi kaka yangu mwakipesile kwann huna Kazi ya kufanya unahangaika kumfuatilia maisha ya watumishi mungu ww uliye mtakatifu imefanya lipi unakera nilikuwa nakupenda sana hivi ukiimbi nyimbo zako upo vizuri

  • @boanergeministrytanzania8522

    @boanergeministrytanzania8522

    23 күн бұрын

    Wew acha upumbavu nawew kama unakelwa na watu kukemea upuuzi kufa naufe lakini mbarikiwa hawezi kuacha.hatuwezi kulea upumbavu kwa kigezo cha eti mbarikiwa huna kazi,kwa kauli ya eti mbarikiwa anakosoa watumishi wa Mungu,wewe?unawajua watumishi wa Mungu wew?hebu nitajie acha upumbavu kama huelewi mambo ya kiroho nyamaza mbweha!hicho anachokifanya mbarikiwa ndiyo injili,huoupuuzi wanaoleta wahuni wanapoteza watu mbarikiwa yupo kwaajili ya kunyoosha palipo potoka na atakaye kataa basi atakuwa amepotea anaongea kwaajili ya roho za Mungu mlendani zinazopotea achakupingapinga

  • @boanergeministrytanzania8522

    @boanergeministrytanzania8522

    23 күн бұрын

    Acha ujinga Unadhani kunyamaza ndo utaingia mbinguni kwakunyenyekea ujinga? usidanganyike Mungu siyo mwehu wa kunyamazatu,eti watumishi wa Mungu wewe wew?yani wew unataka kuniambia ukikuta mtu mfano ninabii au mtume anabaka watu kwa makubaliano waumini alafu ukawa unakubali ubakwe ili upone au mambo yako yakunyookee ukaona kanisa kama hilo utanyamaza? kwasabbu ya kuwa tusimseme nimtumishi wa Mungu!nyienyie

  • @boanergeministrytanzania8522

    @boanergeministrytanzania8522

    23 күн бұрын

    Kama hujui mambo ya rohoni kaakimya Mungu siyo wa kunyamazatu hiyo siyo kazi ya Mungu,kazi Mungu nikuongea injili ya kukemea kukaripia siyo ujinga,siyo kila mtu ni mtumishi wa Mungu,acha weninani?mpaka umzuie mbarikiwa asikemee mambo ya hovyo ambayo biblia inayakemea?siyo mbarikiwa ni biblia inasema yaani Mungu,alipaswa aseme Yesu huu upuuzi wakudanya watu lakini Yesu niroho nasisi tunamiili kwahiyo Yesu anasema ndani ya mbarikiwa.usifikiri unapingana na mbarikiwa iposiku Ukiondoka hii dunia utaelewa kuwa unaye mpiga ni Yesu siyo mbarikiwa nautahukumiwa maana mbarikiwa anafanya haki siyo uovu kujaribu kuokoa watu wasidanganyike nikuulize hilo nitendo la haki au uovu?na ukaona mtu anaongea ujue tayari maandika yamethibitisha yakuwa watu wanadanganywa

  • @YustoNgede

    @YustoNgede

    23 күн бұрын

    Roho iliyoko ndani yako ndio inayo mchukia mwakipesile sio wewe, lakini huyo anaemkosoa ni mtumishi wa shetani full sio lazima uwe rohoni, hakili za kawaida tu utamtambua.

  • @SAUTIYAHAKI

    @SAUTIYAHAKI

    20 күн бұрын

    Awewe.mtuanapokosealaziaMbiwa.mbakiwasemaasanababa

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo23 күн бұрын

    Na kufuru zote hizi, serikali haina cha kuwafanya wapiga ramli kama hao, badala yake inasakama watetea haki na inajiita ni mamlaka inayotoka kwa Mungu, ni ajabu sana.

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    23 күн бұрын

    Mungu gani? Labda mungu wa huyu ibilisi

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine710824 күн бұрын

    Hawa vijana , ni ,ufalme wa shetani,unaotumwa duniani na shetani kwa ,makusudi kuwahada watakatifu , shetani kwa ssasa hutumia watu , kama Hawa kwa makusudi kuwavuta na kuaminisha ,kwamba ,yeye ,ni ,mungu , ila cc tuliohodari, huwa tunatambuwa ishara ,hizi , mapema na kuepuka mafundisho ,ya uongo, , barikiwa , mchungaji, mwakipesile

  • @Nerialulambo
    @Nerialulambo23 күн бұрын

    Barikiwa mchungaji Mwakipesile ukweli lazma usemwe ili tupone

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f21 күн бұрын

    Waambie mtumishi uschoke tupo pamoja

  • @justinmbazi5397
    @justinmbazi539721 күн бұрын

    Haowaumini wa kiboko ya wachaw wamelogwa siakilizao hata waambiwe wavuenguo wawe uchi wanakubali 2 mbarikiwa pga kazi mungu hatakuacha

  • @user-bg9ct3yn8w
    @user-bg9ct3yn8w23 күн бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu iki Nini jamani😢😢😢😢 naogopa siku za mwisho zimefik

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l23 күн бұрын

    Achana na mambo yake. Wewe mwenye mungu tuonyeshe uwezo wako. Maana kama yeye anaona deeper kwa nini wewe usione deeper than him kama una Mungu. Mnatuchanganya sasa wacha tupotee

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.737622 күн бұрын

    Hata YESU alisema amekuja kwa ajili ya waliopotea... Hubirini injili acheni kusema sema watumishi wengine...

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u23 күн бұрын

    Kwanza ona alivyo nyoa jamani Mwenyezi Mungu atusamehe sana

  • @JacksonRamadhanMchakila
    @JacksonRamadhanMchakila21 күн бұрын

    Usiku wa leo Bwana kanionyesha nikaabudu shetani hakoo

  • @user-yb6ut9in5c
    @user-yb6ut9in5c23 күн бұрын

    Hamja muelewa jamaa yeyekasema hawapendi walewajitaoo watakatifu saaana yni kwa mala nyingime wajitaoo inamaana wajikwezao yani wanajita wwnyewe watakatfu sana yani wao ndy kilakitu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything24 күн бұрын

    👍✌️👊.

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804323 күн бұрын

    Toka hapoooo

  • @CeciliaBarnaba-ks7lg
    @CeciliaBarnaba-ks7lg24 күн бұрын

    Hao ni mashoga wamekutana wachawi hao mashetani😂

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x24 күн бұрын

    Mungu ata wanyoosha manabii wa uongo

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb24 күн бұрын

    Ameshajiweka wazi hapo kuwa yeye anatumikia ufalme wa giza.

  • @JohnsonMpinga-gy5wt
    @JohnsonMpinga-gy5wt23 күн бұрын

    Lazima vipingwe kwa ukali ushetani huu

  • @user-vl1gn6xh5n
    @user-vl1gn6xh5n23 күн бұрын

    Uyu mtu ametoka kuzim 😮

  • @ibunikalikenya9219
    @ibunikalikenya921924 күн бұрын

    Tusome 2Wakorinth 4:4 ndo utajua kuwa kuwa mung wa Dua hii ni shetani

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi140417 күн бұрын

    Efungua kanisa uuelimishe waumini wacha kumfuatilia hb huyo ni kiboko tuuu

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in22 күн бұрын

    Mungu kamfunua kinywa kunena kufuru ili tumjue

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j24 күн бұрын

    Kweli kabisa kwamaneno hayo siwezi kukaa kanissani kwamtukama huyo

  • @user-nl3rt7gv5s
    @user-nl3rt7gv5s21 күн бұрын

    Hakuna uchawi ni sayansi tu za wazungu waliotuzidi maharifa kwa maana kwa kutumia sayansi wameiweka dunia mikononi mwao.

  • @msanginaza905
    @msanginaza90520 күн бұрын

    Sijui kwann watu wanapenda slope yaan tito alishashindikana etiii ndo yupooo mbele😂alafu mtu hapendi watakatifu woiiiiiii arudi kwao congo kuna wachawi kuna vitaaaa aendeeeee hukooooo atuache

  • @ibunikalikenya9219
    @ibunikalikenya921923 күн бұрын

    Mathayo 5:6 Ina sema heli wapatanishi HOA wataitwa Wana waMungu Sasa WWE injili yako ni ya kpend fedha iyo injili maandiko yanasema ni mafundisho ya mashetani

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation21 күн бұрын

    Lakini hata Manabii walikataliwa hawakuaminiwa Nabii Issa (As)Nabii Muhamad (S.W.S) Huwenda mnampiga vita Nabii shauri yenu

  • @StephenKitura
    @StephenKitura21 күн бұрын

    Kiroho wamekufa

  • @ibunikalikenya9219
    @ibunikalikenya921923 күн бұрын

    Mathayo 10 na kuendelea inasema msichukue fedha wal dhahabu mmepewa bure toeni bure

  • @user-me5qu5kw4u
    @user-me5qu5kw4u24 күн бұрын

    Yaani huyo kijana ni shetani halisi mkongo mwizi wa sadaka za wajinga

  • @LeonardSikazwe

    @LeonardSikazwe

    24 күн бұрын

    Kwanza hawa wanataka mungu awauwe na kwajinsi nimjuwavyo mungu

  • @mohdbest5859
    @mohdbest585923 күн бұрын

    we pia hujui lolote Mungu hafanani na yoyote

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    23 күн бұрын

    Mtu ni ndiye mfano na sura ya Mungu na hasa mwanaume kwa sababu mwanamke alitoka kwa mwanamume. Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

  • @skuleetech6896
    @skuleetech689624 күн бұрын

    Yaani mbarikiwa hujamjua tu nabii Tito, nabii Tito huwa anampigia kampeni Mama Samia, Samia ni Mwanamke Tafuta clip ya nabii tito

  • @CreedySotte-ko8zj

    @CreedySotte-ko8zj

    23 күн бұрын

    Amka rafiki Dunia imeisha

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    23 күн бұрын

    Una ndugu kama yeye??

  • @YustoNgede
    @YustoNgede23 күн бұрын

    Alishawaambia yeye maswala ya mbinguni hana, wao wampe pesa tu kwa kuwa ana mambo mengi ya kufanya, wanataka atumie lugha gani hao washirika wake ili wamwelewe?

  • @MarryMwanjala
    @MarryMwanjala24 күн бұрын

    Hajasema anampenda tito

  • @wilsonkyaruzi4585
    @wilsonkyaruzi458523 күн бұрын

    Huyu kiboko ya wachawi ni kiongozi kwa kundi la wachawi na huyu ni mkongo tapeli na wanaomsikiliza ni kama nyumbu

  • @user-sx8xy8kj8u
    @user-sx8xy8kj8u23 күн бұрын

    Huyo kujana anaonekana kuwa anamtetea shetani ametumwa na shetani hats muonekano unaoshesha kuwa umetumwa na shetani Tena kualibu kusudi la mungu duniani kwa wamchao mungu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l23 күн бұрын

    Kweli wanaojifanya watakatifu wana midhambi. Anawajua deeper. Huyu kiboko ya wachawi anajua mambo deeper. Tunataka wewe uone deeper kuliko yeye

  • @FrancisMliga-pp7cp
    @FrancisMliga-pp7cp22 күн бұрын

    Bado hujasema mbarikiwa we Fanya ulichoitiwa Brother Achana na Mambo ya Watu watajuwana wenyewe na MUNGU wao

  • @EllyjTengeneza

    @EllyjTengeneza

    20 күн бұрын

    Usipohubiri kuhusu watu wanaopotosha kanisa siku ya mwisho utadaiwa damu yao

  • @josykogei7647
    @josykogei764723 күн бұрын

    Aki MUNGU tusaidie

  • @ambokilegwakisa3526
    @ambokilegwakisa352623 күн бұрын

    Huyu mchangani anajionesha ni pepo ktk form ya kibinadamu

  • @ibunikalikenya9219
    @ibunikalikenya921923 күн бұрын

    2Timotheo 4:2 maandiko yanasema hapa karipia kemea onya watu dhambi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666223 күн бұрын

    Mbarikiwa huna sababu ya ya kuongea au kuongea na huyo kwa sababu anajua anayemtumikia.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547923 күн бұрын

    Huyu sio mtanzania serikali iingikie kati

  • @JosephAkida
    @JosephAkida23 күн бұрын

    Huyu sio nabii nishetani kavaa sura ya kibinadamu

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi227723 күн бұрын

    MBARIKIWA UNAANGAIKA NA HUYO MGANGA? HUYU NI MGANGA KABISA

  • @duniadigital24
    @duniadigital2424 күн бұрын

    Tuna mzooooom

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale391922 күн бұрын

    Biblia inasema amemwacha I'li atutengeneze eti Mungu ameshindwa na shetan heeee wanadamu mafundisho ya shetani haya hapa heee Mungu yupo ila siku za mwisho na amejaza watu huyu wanadamu someni maandiko ila.watajipembua

  • @ibunikalikenya9219
    @ibunikalikenya921924 күн бұрын

    Sasa kama yeye hapend watakatifu na Mungu anasema anapendezwa na watakatifu walioko duniani yeye na Mungu ni nani zaidi na napenda kukwambia kuwa unapo andika Mungu Kwa helf ndogo una maanish shetan unapoa andika Mungu aliye ziumba mbingu na nchi lazim aanzee na elfu kubwa

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j24 күн бұрын

    Bibilia inadili na watakatifu na anaejifanya mungu ndoanamjua

  • @user-fj4kj8xc5x

    @user-fj4kj8xc5x

    24 күн бұрын

    Injili ya yesu kristo hapa tanzania imeharibiwa na wa geni kutoka Kongo maana Wana leta uganga wa Kongo na kulichafua kanisa

  • @josykogei7647
    @josykogei764723 күн бұрын

    Lakini mbona watu wamfanyie MUNGU dhihaka jamani kweli

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo122823 күн бұрын

    Kabla hamjaongea saana ungehudhuria Buza au kwa Kuhani Musa, huone Kinachofanyika ndipo muanze kuongea, kwani waliohudhuria huko wanakuona wewe ni Muongo, kwani wamekaa kwenye makanisa yenu na hawajapata mpenyo, wameenda kule wamepata wanachokihitaji na wanatumia Biblia hiyo hiyo

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    23 күн бұрын

    Mmm among

  • @godfreyballegu2785

    @godfreyballegu2785

    23 күн бұрын

    Yaani uko sawa.

  • @nancyenock5601

    @nancyenock5601

    23 күн бұрын

    Hawa waongo mno kutwa hawaleti neno la hekima zidi yetu kazi kusimanga wenzao

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi140417 күн бұрын

    Ww mbarikiwa ulikuwa wapi mpaka waumini waende buza ndo uibuke?

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo43624 күн бұрын

    Gloves nyeus mikononi ni dalili tosha za ufalme wa giza

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    23 күн бұрын

    Kabisa

  • @user-kx5oc7nt5p
    @user-kx5oc7nt5p23 күн бұрын

    Fanya mambo yako naww,,, Acha habari za watu!

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel981724 күн бұрын

    Akataaye maonyo ni mnyama,uyu ni wakala wa shetani.

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    23 күн бұрын

    Kabisa katokea kuzimu. Kwayusifa babayake

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j24 күн бұрын

    Hata hayo madude aliovaa mikononi niyakichawi

  • @nancyenock5601
    @nancyenock560123 күн бұрын

    Mko hapa kuponda tu binafsi simpendi huyo bwana lkn hayasemayo anayajua yesu kasema hakuja kwa walio wazma bali wenye dhambi ili wapate kutubu huyu kasema hapendi wanaojiita watakatifu bali yupo karibu na wazambi ili ....anajua mwenyewe wachungaji kila mmoja abaki na talanta yake mshatuyumbisha sana na sasa mnayumbshana wenyewe tunawatazama na mwsho sadaka zetu tutabaki nazo wenyewe kwa sasa sina imani na yoyote kati ya nyinyi wa makanisa ya kiroho

  • @YustoNgede

    @YustoNgede

    23 күн бұрын

    Ulishapigwa mpaka umekata tamaa ndugu, wokovu upo halisi ndugu. Wokovu wenye raha na uzima kabisa.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian874523 күн бұрын

    Yaani mi sijui huyu kaka walimsajiri vp eeeh!

  • @iantussa9064

    @iantussa9064

    23 күн бұрын

    Yaan inashngaza ila wa ukweli ndo wanaopigwa vita.

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx16 күн бұрын

    Kama nimekuelewa kaka umenifungua akili sikuwa na elewa Mungu akubariki sana

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga586624 күн бұрын

    Huyu wala hupaswi kumuuliza,hilo lipo wazi yeye ni mwabudu mashetani.

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j24 күн бұрын

    Hivi kwani waliokaa hapochini hawanabibilia?hawazisomii?

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804324 күн бұрын

    Ww umebarikiwa nani

  • @prosperiamani
    @prosperiamani23 күн бұрын

    ndio mchungaj nyosha kabisa

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo122824 күн бұрын

    Mtumishi utachoka saana kufuatia habari za hawa viumbe wa Mungu, waachie huyo aliyowaweka atawanyoosha, wewe uwezi

  • @StelaJohn-nj5yf

    @StelaJohn-nj5yf

    23 күн бұрын

    Mungu yuko wazi pitia hawa watumishi wake so ndio dunia yake Muumba wetu mwenye we🙏

  • @JohnMakongo-tg3ms
    @JohnMakongo-tg3ms23 күн бұрын

    Huyu hapendi watakatifu huyu ni wakara wa shetani dhahiri ,pia Hawa vijana wametumwa kuja kuchezea watu wetu

  • @user-co3bf7nr1l
    @user-co3bf7nr1l23 күн бұрын

    mbarikiwa huyu ni hajenti wa shetani muache habaki na kufuru ila mungu huwa hazikiwi

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana289623 күн бұрын

    Mungu hana mfano wa mwanaume wala mwanamke

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    23 күн бұрын

    Mtu ni ndiye mfano na sura ya Mungu na hasa mwanaume kwa sababu mwanamke alitoka kwa mwanamume. Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

  • @warakawayohana2896

    @warakawayohana2896

    23 күн бұрын

    @@Mbarikiwa_Mwakipesile mnz 5:2 mwanamune na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa. Haihitaji theology kujua hilo leo umepuyanga

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi23 күн бұрын

    Hiyo tafsiri ya neno uchawi kama ulivyoiachilia, inapatikana Kitabu gani hujatoa Andiko lake ,,,?

  • @GladnessKaaya
    @GladnessKaaya23 күн бұрын

    makristo. wa uongo hao

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804323 күн бұрын

    Huna mpya ww mbarikiwa

  • @iantussa9064

    @iantussa9064

    23 күн бұрын

    Una maanisha kiboko ya wachawi ndo mwenye jipya??

  • @davidmalisa8043

    @davidmalisa8043

    23 күн бұрын

    @@iantussa9064 yeesss

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804323 күн бұрын

    Kwan ww unatumia nn

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804323 күн бұрын

    Achen wivu huyo jamaa kwanza ni handsome nyie na sura zenu za kishamba

  • @Hapomwanzo

    @Hapomwanzo

    23 күн бұрын

    Hivi mpaka ukawe na wivu na wapiga ramli kama hawa, unekosa nini, uko sawa kichwani ndugu?.

  • @YustoNgede

    @YustoNgede

    23 күн бұрын

    Mwanachama mwenzake.

  • @starlily07
    @starlily0723 күн бұрын

    Kwanza kwanini yupo Tanzania na yeye ni mtu wa Kongo??? Tuanzie hapo kwanza

  • @PeterMahona-zd3oz

    @PeterMahona-zd3oz

    23 күн бұрын

    Watanzani Kwanza wanapenda. watu. Kamahao nishida

  • @ObediChristopherLaizer
    @ObediChristopherLaizer24 күн бұрын

    Hatari Kusimu Unamtumia Huyo

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretter15 күн бұрын

    Real agent of devil

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804323 күн бұрын

    Kama ww nihewa tu kakushinda

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804324 күн бұрын

    Mi nimeskia kwa hiyo ww unatakaje

  • @Hapomwanzo

    @Hapomwanzo

    23 күн бұрын

    Wewe umetumwa? Mbona haya mambo yako wazi lakini unaonekana wewe ni kama kichwa ngumu.

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA23 күн бұрын

    Hakuna haha kuongea na huyu Ni wakala mwenye sura ya devil hasa , wameruhusiwa wakati wao Ni huo jamaa watimize unabii wafuasi wao wanawashangilia na kuwaabuddu kweli

Келесі