Mbarikiwa aukubali mtiti kwenye mkesha wa Mwamposa ingawa anahoji; Watu hao wanakuja kuabudu/kuagua?
Edit with InShot: v.inshotapp.net/invite
Жүктеу.....
Пікірлер: 441
@jeymwilson86203 күн бұрын
Mimi nadhani mwenye macho ya rohoni na masikio ya rohoni ndo atakaeelew Mbarikiwa nni anasema i love this Baba keep it up usianche kusema kweli Mungu aliekuita akafanye zaidi na zaidi God bless you Pastor
@user-ng6yt2od7l5 күн бұрын
Mimi nimepona kawe nipo nje ya nchi nimepona kwa jina la Yesu sii kwa jina la Mwamposa
@BeniJohn-xd3cn
5 күн бұрын
Imani yako imekuponya ktk Kristo Yesu
@AishaTarimo-hj2nj
4 күн бұрын
Mimi pia nilikuwa na uvimbe miaka 5 na sipo TZ nipo nje lkn kupitia Mwamposa nimepona
@JaneKisweka5 күн бұрын
Hawaagui Bali wanasali tuache wivu mwenzako akifsnikiwa mpongeze Kila mtu amepewa kipawa chale Mungu amempa onyesha kazi siyo maneno Mwamposa songs mbele.
@ayoubmtumishi50
4 күн бұрын
Watu wengi kama mchanga wa pwani wanaoenda upotevuni
@Dianamwansasu
3 күн бұрын
@@ayoubmtumishi50kuna wengi wataenda mbinguni hapo hapo.angalia wewe usije ukaachwa?
@robertbutati56915 күн бұрын
Hongera sana Mtume timiza wito ulioitiwa na Mtumishi wa Mungu Mbarikiwa timiza wito wako sisi ni viungo ktk mwili wa kristo kila kiungo na kazi ya e hatuwezi kufanana tumeitwa tofauti
@HeriKayezu
5 күн бұрын
@@robertbutati5691 kama umati wa watu umemchanganyaa atuambie kwa nn na yeye anawachache tena wanafamilia melancholic wote, plze don't dare with our apostle Mwamposa
@DavidMbilinyi-tn3jm
3 күн бұрын
@@robertbutati5691 hakuna mtume aliyeitwa Kwa jina la yesu kukusanya fedha
@josephezekielmasolwa8283
3 күн бұрын
Tumitwa tofauti ila Lengo ni moja Watu wa mlingane Mungu.
@enockniko9270
3 күн бұрын
Hapana zijaribuni hizo Roho kama zimetokana na MUNGU Ukimpima na neno la MUNGU unaona ata mbinguni huwenda awamtambui labda anatambulika kwa kuwapeleka mamilioni ya watu jehanamu
@DavidMbilinyi-tn3jm
2 күн бұрын
@@enockniko9270 Amina ndugu tuwe na akili namna hiyo Kwa jina la Yesu.umenifariji hasa kipindi hiki ambacho watu wameyageukia mafundisho ya uongo
@juliusakilimali94245 күн бұрын
Kila mmoja na UTUMISHI wake!! Acheni kuhukumu! Nawe onyesha UTUMISHI wako ili watu wa Mungu wakuelewe na wapone.Mwache mwenye enzi Yesu Kristo atakuja kutenganisha pumba na Mchele.
@user-on4sb9fn5t
5 күн бұрын
Naye huu nduyo Utumishi wake.
@jaromemwazembe6396
5 күн бұрын
Ndio kila mtu na alivyo itwa lakini kumbumbuka sisi sote ni mwili wa Kristo. Sasa je kristo anatutaka tufanye hayo? Au Ana tutaka tuwafanye watu waache dhambi na kuufuata Yesu Kristo tu. Mtu Hana laana akimwamini Yesu na akiacha dhambi na kufanya kazi kwa bidii. Wewe huna laana kwa maana Yesu Kristo amekuokoa. Hayo mengine ni udangqnyifu wa Dunia hii.
@nancymorenje38805 күн бұрын
Tatizo wachungaji wa kikrito wanafuatiliana hadi inakera. Mahakama za kikristo zimekuwa nyingi? Kila Mchungaji anamwandama Mchungaji mwenzake. Wakristo tuna shida sana. Kwani Mwamposa alienda kuwaita watu nyumbani waje kuabudu pale? Mnajihesabia sana haki, pengine hata Mungu hawajui
@EmanuelMsindo
3 күн бұрын
❤❤ waache maneno acha injili isonge mbele kwan mbn hata usipofika kwake roho bad atasem nawe kwahy kikubwa Imani acheni kufatiliana fateni I injili msonge mbele
@AnnaBituro4 күн бұрын
Pole mtumishi mimi nafikili unatakiwa wale wanaotoka kupokea miujiza kwa mtumishi Mwamposa uendelee wewe na wayumishi wengine kuwalea kiroho msana kule ameshawaongoza sala ya toba sasa mkiendelea kukosoa kosoa watu wanashindwa waende wapi mtadaiwai hizo Roho za watu Mtumishi Miwamposa Mungu anamjua zaidi kuliko mnavyomyyua ninyi mbona neno lnasema kila mtu atasimama mbele ya kiti cha Mungu. Watu wanao toka kwa mtumishi Mwamposa tuwapokee tuwaimrishe katika Imani ya Yesu. Kama walivyompokea jamani. Mbona hivyio ..
@Saidmathayo-uv4gj5 күн бұрын
Niwivu tu huna lolote fanya Kaz ya mungu acha majungu
@ayoubmtumishi50
4 күн бұрын
Ukute umejaza maji nawewe na gest hukosi.pole sana
@vickgrace44875 күн бұрын
.... KRISTO ACHA AJITWALIE UTUKUFU .... ALITUMIA HATA TOPE/MATE KUPONYA... Amani ya KRISTO IKUBEBE MTU WA MUNGU.... TUNAMWONA MUNGU KUPITIA BONFACE... MWAMPOSA...
@allythabiti81505 күн бұрын
Kwa mwamposa pale inatuthibitishia kuwa watu wanataka miujuza had kuamin miujiza zaid ya Kumuamin Mungu wao, hapo ni uhuni tu.
@AGM19697
4 күн бұрын
Hata kwa Yesu miujiza ndio iliwavuta kuamini. Yesu hakutumia upanga kuwavuta alitumia miujiza. Musa pia
@christophermsekena6165 күн бұрын
Muda unaotumia kujadili matukio ya watumishi wenzio ungekuwa unahubiri na kuita watu waokoke Mungu angekufurahia sana
@hoseasteven6241
5 күн бұрын
Unachokisema ndicho anachokifanya sasa
@user-dz3rl1ki6u
2 күн бұрын
Kumbe wewe huelewi kuwa hicho anachokifanya ndicho injili yenyewe pole tulia umfatilie vizuri mbalikiwa hii ndo injili pure sasa
@christophermsekena616
2 күн бұрын
@@user-dz3rl1ki6u chawa kama chawa
@bettykinyami5096
2 күн бұрын
Kwani uko kwa mwamposa mnaabudu Mungu au!!! Jichunguzeni Sana, kwenye wingi wa watu sio kuna Mungu, hapo mapepo ni mengi yanateka watu, hapo uganga wa kienyeni Tu.
@christophermsekena616
2 күн бұрын
@@bettykinyami5096 sawa roho mtakatifu
@josemangula88065 күн бұрын
Mathayo11:28Njooni kwangu nyini nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha sasa kama watu wameenda kuagua au kutatuliwa shida zao kwa mtumishi wa Mungu kuna shida gan ulitaka waende kwa mganga wa kienyeji au kalale wew
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Yesu anawaita wenye mizigo ya dhambi ili watubu. Sio wenye kudanga ili wapate hirizi za kudanga zaidi.
@josemangula8806
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile alie kwambia kwa mwamposa wanaenda wadangaji ili wadange zaidi ni nani acha chuki zakitoto watu wanaenda kutua shida zao kwa mtumishi wa Mungu na miujiza hata Yesu alifanya leo mwamposa anafanya miujiza mnabaki kumsema vibaya mnashida gani nyie kama mnaamini anatoa miujiza feki kwanini nanyi msitoe Yenu watu wawafate nyie
@jaromemwazembe6396
5 күн бұрын
Miujiza sio kipaumbele, lengo ni kuweka bidii yakuwafundisha watu wamwamini Yesu Kristo na kutubu dhambi basi. Ukiona ni masikini wafundishe kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata kanuni za uchumi wa Mbinguni. Cha zaidi wafundishe wakue katika Imani ya kumwamini na kumpenda Kristo siku zote na kuwaambia kuwa hawana laana yoyote ili wasienende kwa hofu.
@ezekiambise25954 күн бұрын
Kila mtumishi afanye utumishi wake kwa Mungu kwa uwaminifu muache chuki, wivu, na matusi.
@hafsalucky10885 күн бұрын
Mwamposa amenyooka, Tumshukuru Mungu kwaajili yake, Mbarikiwa unapenda mashindano sn, Sasa unataka afanyeje?? Fundisha Wewe hayo unayoona ni sahihi.
@johnpaulin45115 күн бұрын
Kwani mwamposa aliwatumia barua YA mwaliko? Waache wanajua wanachokipata Roho mtakatifu ndiyo anayetoa vipawa; nyenyekea hata wewe upewe acha wivu
@JajiZakayo-fw9mk5 күн бұрын
Injili ya Yesu Kiristo lazima ina ambatana na miujiza na ishara.
@hoseaCHRISANTUS
5 күн бұрын
Ni sawa injili ya kweri ina ambatana na ishara za miujiza na uponyaji ila ishala yeyote ya kuponya wagonjwa bila fundisho la kweri na sahihi ya kuwambia watu waache njia zao mbaya watubu zambi zao injili isio kuwa na ondoleo la dhambi hiyo ni feki na ni injili ya mauzauza nenda ukasome kitabu cha mthayo agizo kuu la mungu aliloliagiza kwa wanadam walio okoka bila kujali wewe ni nabii au mtume au mwalim au mshirika yoh 3.16 marko 16,1 hadi mwisho
@hoseasteven6241
5 күн бұрын
Soma Biblia Ishara na miujiza siyo kweli inadhibitisha uwepo wa Mungu
@gidionkadaraja1403
4 күн бұрын
Ishara na miujiza Kama hamna hivyo ni kelele2 bas
@NovatusSweetbert
Күн бұрын
Pole ndugu yangu
@jesusmwitila22154 күн бұрын
Ni vizuri huo mtiti uwe kwako .... hakuna sababu ya kumsema mtu onyesha Mungu wako
@charlottesindayigaya20305 күн бұрын
HUO NDIYO UJUMBE BWANA YESU AMEKUPA KUHUBIRI WATU.????? HUBIRI INJILI YA YESU ACHA KUTAZAMA MTUMISHI MWINGINE
@AdamJulius-z5i5 күн бұрын
Na wengi watawadanya, ni kweli wamefanikiwa pakubwa, sijui watu hawaelewi nini
@leahmafwenga46955 күн бұрын
Wivuu huoooo pambana na wewe ujaze. Na nyinyi mnavyorukaruka madhabahuni mnajiona mpo sawa
@user-bz5ti6op6z5 күн бұрын
Kumbuka hata YESU watu walikusanyika wengi sana k
@ayoubmtumishi50
4 күн бұрын
Lakini siku alipowaambia ukweli wa kula mwili wake na kuinywa damu yake walitawanyika wote.
@hilarylaurian78965 күн бұрын
Mimi sikuwepo pale Packers ila nilikuwa kwangu mkoani nikikesha. Mungu anasema na roho za watu mmoja mmoja. Toba kila siku kwenye ibada anaongoza sara ya toba. Na roho wa Bwana akiingia kwako lazima atakuongoza tu kutubu. Amina
@CharlesRyoba-iv1sc2 күн бұрын
Dah, Mungu wako ni dhahiri neno la injili unalolifundisha ni kama kwa mtumishi wa Mungu "pastor ezekiel" kutokea mavueni mombasa kenya. Ukweli ni kwamba watu hawatakuelewa na ndivyo ilivyo kwenye yohana 17:14. Hongera sana baba, Mungu atakulipa thawabu yako
@barakamzuri65224 күн бұрын
Mbarikiwa, kwa heshima kubwa Sana, umesema vyakutosha. Je wajihesabia haki!!! Siku ya hukumu, Mungu atahukumu. Acha Mungu was haki aje kuhukumu. Wewe mhubiri kristo na hukumu mwachie Mungu
@FrolaMkolo
Күн бұрын
Hajawahukumu!!! Soma biblia na uwe rohoni!!! Yuko sawa anataka watu wawe na ufahamu wa Mungu
@user-ox6rb3wj5w5 күн бұрын
Njia iendayo uzimani ni nyembamba,lakini iendayo jehanamu kubwa mno😊
@IsaacpauloNgwavi5 күн бұрын
Mtakubali tu
@simonkyanula40125 күн бұрын
Kila mtu anasehem yake ktk utumishi wake.ndio maana Yesu alisema baba kazi ulio nipa nimeimaliza maana yake alitumwa kwa ich moja tu Israeli na kupitia Israeli mataifa yote tutamjua Mungu ko kila mtu na ufunuo wake .simamia kipande chako na tunako kwenda Mungu anasema utukufu wa mwisho wa nyumba yangu utakua ni mkuu kuliko wa kwanza
@samsonzablon3 күн бұрын
Ukweli ni kwamba kila nabii au mtume ameitwa na kupewa kitu tofauti na mwingine, lakini kila alichipewa yeyote kina lengo la kuujenga mwili wa Kristo. Injili kazi yake ni kuonesha hitaji la Mungu kwa wanadamu, lakini injili ya leo ni hitaji la wanadamu kwa Mungu, hii ni kinyume na kusudi la Kristo kuja duniani
@vikimartin94414 күн бұрын
Hujawahi kukosa neno,ulivyoona wewe moyoni mwako ndivyo ulivyo,na pale hatukuenda kuhukumiwa,kila mmoja alienda kwa kilichomsukuma kwenda moyoni mwake, sisi ndio waumin na tuna maamuzi yetu na hatufungiwi na dhehebu Wala kanisa lolote msituamini kivile.tunajua unaumia rohoni na unamfatilia Sana,kitendo Cha kumfatilia mtu ambae Hana habari na wewe kinaumiza, bado hujaaema utasema, na ninatarajia utawaalika wale watu wako wataongea na wao,Hilo nauhakika.mtu anaependa kuongelea watu mda wote kiukweli ni wivu, uchawi,ushirikina.huo mda unautoa wapi? Si ujifungie chumbani mtafute mtoto? chum
@beatricekagali10485 күн бұрын
Watu wanashida nyingi sana, ukiona watu wanakuwa hivi Kuna kitu wanafaidika, wao sio wajinga. Mungu aliumba Kila mtu na upako wake sio wote mfanane. Hiyo kazi muachie Mungu.
@deogratiasrutabana2387
5 күн бұрын
Sio kweli unachosema ni kuwapotosha watu imeandikwa zichunguzeni kila roho na tunazichunguza kwa kutumia maandiko maana imeandikwa wataukumiwa kwa sheria zao na sio wanaoijua sheria watakaookolewa bali watakaoishika na kuitenda ndio wataesabiwa haki. Katika Agano jipya maji, chunvi, mafuta etc vinawakilishwa na Roho Mtakatifu kwahiyo tunatamka wala sio kukanyaga au kuchukua Chupa ya maji huo ni uganga na uaguzi. Wanachofanya akina mwamposa ni uganga na ushilikina na hao wote wanamaagano na kuzimu mkusanyiko wa watu unaletwa na nguvu ya kuzimu. Wakati watu wamekusanyika katika ulimwengu wa roho ya kuzimu wanachukua vipawa vya wote wanakuwa wamejiungamanisha na ibada. Yesu alisema kemeeni na kuonya. Kinachomaliza shida ya Mtu ni kuijua kweli na kuitenda sheria si vinginevyo. There is no short kati laazkima tutimize sheria na Imani pasipo matendo imekufa.
@lwitikoasa6899
4 күн бұрын
@@deogratiasrutabana2387Biblia. Yakobo 5:14 [14]Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. ANDIKO ILI NIAGANO JIPYA AU LAKALE?
@ephraimkabeya96485 күн бұрын
Kama hayuko sawa hebu mshushie moto kwa haki yako Kama nabii Eliya. Tunahitaji kusikia kazi yako Sasa badala ya kutuambia habari za mapambano na watu walio"trend"
@NeemaMinga-pl8ty5 күн бұрын
Me nakukubali lkn kwa ushaur tumia zaid muda kuhubiri neno, achana na kukosoa muda mwingi umewekeza huko, lkn tunaokufatilia tunaomba ufundishe neno.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Kusema makosa ya watu ndio kuhubiri neno la Mungu Isaya 58:1
@user-gt6jh7dj9e5 күн бұрын
Watumishi wote hapa inchini Tz kama wangekua na hekima pamoja na wokovu kama Mtume Mwamposa inchi hii ingekuwa yenye Baraka saana kwahali yakumpendeza MUNGU BABA
@frankbutati8343
5 күн бұрын
We ni kiande kweli kweli, iko siku mtamumbuka mwakipesile
@francisandrew5386
5 күн бұрын
@@frankbutati8343 kwanini umemdhihaki ila hujamuelekeza…. Nini maana kiande.!? Sio sawa
@DativaMbowe
4 күн бұрын
@@frankbutati8343😂😂😂
@amanelias4672
4 күн бұрын
Amen
@ObediChristopherLaizer5 күн бұрын
Hongera Sana Kwa Kukosoa Wanaopotea ila Kila Unapoongea Hakiki Unachoongea Mtumishi Wa MUNGU Maana Kila Neno Iitahesabiwa Siku Ya Hukumu
@NeemaAlphonce-v9y5 күн бұрын
Aghmity God make you powerful to preach the truly GOD , Ubarikiwe saana Mwakipesile
@fredynjige56635 күн бұрын
Mwamposa aifunika mecca Saudi arabia
@SimulizinaPerfect5 күн бұрын
Ungefika ungesema neno hukufika mim nlikuw naend kawe aisee hyu ni mwamba aiseee hamna anae weza jaza watu wanja wataifa alijaza wanja zote
@user-kx5oc7nt5p5 күн бұрын
Huyu jamaa mbarikiwa ni pepo au? Fanya kazi zako nawe tuzione, Acha taarabu nahis injiri sasa imevamiwa!!! I hate you mbarikiwa😩😩😩
@BaloziErasto3 күн бұрын
Muoneshee mungu wako watu wamuone wajee wajae na wewe kwako
@barakamzuri65224 күн бұрын
Mtumishi, Kuna wakati Elisha aliitwa na wazee wa Yeriko juu nchi ilikuwa ni nzuri lakini ilizaa mapoza. Elisha akaiponya nchi. Elisha hakuponya wale wazee Bali alisema, nimeiponya nchi hii........
@NicholousViper285 күн бұрын
Mtu unasema mambo ya kanisa la mwingine ? we fanya yako.mungu ndiye anajuwa wapi pakweli
@isayasanga10695 күн бұрын
Mungu aturehenu Roo waMungu atufunulie tuijue kweli
@mbelechimakobola88355 күн бұрын
Chapa injili SANA mtumishi wa Mungu
@hellendaniel38095 күн бұрын
Wivuuuu. mtateseka sanaaaaa Ariseeeee
@AtupakisyeMwakateba-kj8qg
5 күн бұрын
elewa nini anamaanisha chawa awe nawivu upi
@DativaMbowe
4 күн бұрын
@@AtupakisyeMwakateba-kj8qg😅😅
@amanelias4672
4 күн бұрын
And shine
@PrudencePaul-mr1ge
4 күн бұрын
And shine
@hildandumbalo58275 күн бұрын
Kwa kweli mtumishi wa Mungu Mwakipesile hadi umefungwa kwa kweli yako kuokoa waliopotea endelea kutenda kazi ya Bwana Yesu akulinde na familia yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎉🎉🎉❤❤
@HeriKayezu
5 күн бұрын
@@hildandumbalo5827 huyo chizi nilijua milembe Iko Dodoma kumbe mbeya
@vickgrace44875 күн бұрын
Hubiri Neno mtu wa Mungu acha kusema ya Wngine....
@jacksonnzai1593
3 күн бұрын
soma 1 Corinthian 3;1..
@eliabbanyikwa87164 күн бұрын
Wewe naye umeanza kutupoteza kwanini sana unahubiri watumishi wengine kwani wewe Imani ya madhabahu yako wao wanajua lililopo
@HappyAnacondaSnake-zl4vj5 күн бұрын
Mubarikiwa nimecheka Sana mwenye akili ndio anaelewa pongezi zako
@BeniJohn-xd3cn
5 күн бұрын
😂😂😂😂 Kweli kabisa
@ombendaud5938
5 күн бұрын
Huo ndo ukweli.Hapo wanaenda kuagua
@odilomwemeziernest646
5 күн бұрын
Wataelewa wenye D mbili tu,
@mosesjohnswilla9926
5 күн бұрын
Pongezi za kinafiki
@AwardHakimu
4 күн бұрын
@@mosesjohnswilla9926hamna sio kinafki lakini anasema hao wanaotafuta miujiza
@ThomasThom-r6mКүн бұрын
Mwamposa ni shujaa sana I appreciate him
@EmanuelMsindo3 күн бұрын
hayo yote tutajua uko mbingun kila mtu abebe msalaba wake acheni kurudisha Imani zawengine nyum kila mtu anaimani yake
@user-sj3wf5vz7lКүн бұрын
Wingi wa watu ni roho. Sasa kusababisha roho za watu wakukubali huo ni upako. Yesu alimwambia petro acha kuvua samaki nikufundishe kuvua watu. Watu walivyomfata yesu siyo kwamba watu wote walimjua mungu. Ila walipopata kusikia neno wakaamini. Wewe fanya yakwako mungu aliyokwambia ufanye usianze kuangalia mwamposa. Yeye anafanya Mungu wake alivyomweleza.
@chimpayejohn6157Күн бұрын
Ninachokijua Mimi kupitia mtumishi wa mungu mtume mwamposa nilikuwa naumwa kifafa nimepona toka nilipofika kawe 2019/10 mpaka leo sijaanguka Tena namshukulu mungu.
@user-ko2he4ij9i4 күн бұрын
Onyesha nguvu ya Mungu sio maneno
@FrancisMliga-pp7cp5 күн бұрын
Mtumishi mbona wewe umekuwa mkosoaji tu Kwa kila Mtumishi....!??..si ufanye Kazi aliyokuitia MUNGU
@DavidMbilinyi-tn3jm
5 күн бұрын
@@FrancisMliga-pp7cp unasoma biblia kazi ya Neno ni kukemea maovu ndio maana kina stefano waliuawa, yakobo aliuawa,yesu aliuawa,yohana aliuawa,Paulo na sira walifungwa gerezani.uwe unasoma Neno la kweli halitakiwi na wanadamu
@mashibeelias5574
3 күн бұрын
hiyo inayoifanya unajuaje kama si kazi aliyoitiwa? Au kazi aliyoitiwa mtu ni kazi gani?
@DavidMbilinyi-tn3jm
3 күн бұрын
@@mashibeelias5574 Neno la Mungu ni la ajabu Sana unaweza kua msomi Sana lakini Neno usilielewe yaani mwamposa sio wakujiuliza uliza ila huyo Yuko kibiashara tu
@mashibeelias5574
3 күн бұрын
@@DavidMbilinyi-tn3jm Kwa mtu anayetafta ufalme wa Mungu, hawezi kumwita mwamposa mtumishi wa Mungu ispokuwa kwa mtu ambaye anatafta mambo yake.
@DavidMbilinyi-tn3jm
3 күн бұрын
@@mashibeelias5574 Amina
@SuzanShayo2 күн бұрын
Mbarikiwa fanyakazi ya MUNGU Acha kuhukumu. onyesha kazi baba.
@geofreymilinga2965Күн бұрын
Yesu alisema Musipo Niamini Mimi basi Ziaminini kazi zangu, Mwamposa Nakukubari kwanza Uwajibu wauni wanaokutukana
@neemamwakasape16302 күн бұрын
Nyakat hiz ni ngumu mno, ndo maana nikiona sina aman na mtu au huduma. Najiweka mbali nae kimya😢. Tumtafute sana MUNGU NA MUNGU ATATUONYESHA MAHALI SAHIHI
@user-do9ru4er1e3 күн бұрын
Be blessed the man of God
@freemanKalalu4 күн бұрын
Bwana we usitudanganye kwa chochote tuonyeshe vya kwako au tuonyeshe mtiti wako kiufupi ukiona mchungaji yoyote anafuatilia mwenake kafanya nini ujue yeye huyo ni muumini wa huyo kwa hiyo wewe ni muumini wa mwamposa
@williammakali55183 күн бұрын
Ukitaka kuwa hivyo kama,uwe na hekima ndicho ambacho Mungu anakutaka kwa mtumishi wake siyo kuokoa hadi simu za waumini wako,,,Mwache Mungu ajitwalie utukufu
@williammakali55183 күн бұрын
Tatizo lako,nashani ni wivu,,,kwanini unakazania mtiti je wanaorudisha mambo ya kichawi na kumrudia Mungu ni kweli huna ufahamu wa kuyaona,je waliokuwa tasa wakifunguliwa na kupata watoto,hayo huyaoni,,,je akina mama waliokuwa na viumbe zikapona ni kweli huyaoni?au unachoona ni kukagua msg za waumini wako na kuwatimua? Mungu atajitwalia utukufu tu,,,hatuwezi wate kuwa akina mwamposa,,Mungu akupe macho ya rohoni
@bonifacedanielmwakisunga96385 күн бұрын
Mwakipesile hayo mambo ya kuwasema watumishu wenzako wa mungu sio jambo jema wewe jikite na kuendeleza kanisa lako Ili like sio kumsema mtumishi wa mungu ajaanza Leo mpaka huduma unakuwa hivyo
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Wewe kumsema Mwakipesile ndio jambo jema? Wewe kwa nini haujajikita...
@GraceAbraham-l9h
4 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesileni kweli ni sehem ya kukumbushana nae amesema si Jambo la kushupaza tunakumbushana sbb YESU alisema hakuna aliye mtimilif chini ya jua
@femidayahaya92933 күн бұрын
sasa hv wachungaji mnaniuz sana eti mmesahau majukumu yenu kabisa mmeitwa kuwafundisha watu na kuwahubilia neno la mungu na kuwaponya..na co kila cku kumtolea macho mch..yule mara yule na kuanza kukosoana fundishen watu NENO la MUNGU bc hicho ndicho mulichoitiwa
@JaphetKilimba-zo2iz5 күн бұрын
Magumu mnayoyapitia uponyajiweno upokawe
@BeniJohn-xd3cn5 күн бұрын
Chalamila time 😂😂😂
@RoseNdalu5 күн бұрын
Wivu du unaroho mbaya
@BeniJohn-xd3cn5 күн бұрын
Kama una Roho w Mungu uwezi kujuwa kweli Kila ukiitwa unaitika uwezi kutofautisha sauti ya Mungu ktk Kristo Yesu na sauti ya Miungu
@user-sw7tf1ob1b5 күн бұрын
Mimi nakupenda sana acha mwanzako avune ni wakati wake mungu anampa mtu lidhiki omba ya kwako mungu atakupa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Utaua/uhubiri si njia ya kupata faida 1 Timotheo 6:5 na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, huku wakidhani ya kuwa UTAUWA NI NJIA YA KUPATA FAIDA. Kama anahubiri ili apate faida ndio maana nimesema kuwa ni tapeli
@user-vu8fk2kz7l
4 күн бұрын
hatumtumikii Mungu Bure Duniani mara mia Kisha uzima wa milele
@OmariJuma-su6fz5 күн бұрын
Hilisibure hayanimengine nandomana afrika ss tunakuwa maskini sana
@gladistaemanueliy63363 күн бұрын
Mimi nimepona kwa mwamposa mungu akubariki mtume
@neemangiliule61945 күн бұрын
Ukisema ufuate maneno ya watu hapa tz huwezi kufika popote wanakutungua tu uwafuate wao chini,, kikubwa unakausha halafu chapa kazi ili mradi Mungu yuko nawe Tz ukianza hata kazi tu lazima maneno ndio yatakuua na kupoteza kazi, tuwe makini tusituhumu tu kila kitu
@lidyamwakikuti78313 сағат бұрын
Unamsema mtu asiye kujibu mtume unanisumbua bureeee kaa chini omb a Mungu akupe nguvu na maono
@maryraphaely3 күн бұрын
Mnashangaza hamnaga mafundisho ya BIBLIA,mpaka mwingine afanye jambo ndiyo mpate somo.Wanaaguliwa wanaabudu hiyo ni kazi ya Mungu
@user-mn2hb7xt9k2 күн бұрын
Umekosa KAZI mnafiki mkubwa ww huo ndo wito wako pole na mungu wako Huyo mdogo mdogo ulie nae utakufa Kwa presha mwaki
@starlily075 күн бұрын
Yani Mimi Nina hasira na watu kama kina mwamposa wanaopotosha watu wa Mungu, Yani ningekuwa na uwezo ningewapiga fimbo hadharani tena mbele ya madhabahu zao, uwiii Mungu nipunguzie hii hasira, aiseee, mwamposa, jodevi, Joseph nyuki, lusekelo, suguye na wengineo, ni natamani watu wafunguliwe faham zao wajue ni jinsi gani wanadanganywa jamani
@user-wi8og3sv4j
5 күн бұрын
Dawa ni kutufundisha ni asiyedanganya maana ambaye mwongo na kweli anajua pia
@datiusdidas8155
5 күн бұрын
Wewe mwenyewe unatudanganya,Mungu anaeshusha Moto ndo anastahili kuabudiwa,tuletee Moto unaozidi hapo ili tukuamini
@starlily07
5 күн бұрын
@@datiusdidas8155 we mwehu eee.
@starlily07
4 күн бұрын
@@datiusdidas8155 we mwehu nini
@wilsonm.73762 күн бұрын
Ni wivu tu... Mwamposa anamhubiri YESU MPONYAJI NA MTENDA MIUJIZA, na watu wengi wanaponywa sio rahisi watu wajae vile bila majibu, na wewe endelea kutukana na kujiona mtakatifu ACHANA na mtumishi mwamposa...
@user-dz3rl1ki6u2 күн бұрын
Mtumishi Mbarikiwa Mwakipesile mchungaji nakufatilia sana na unanibariki sana kimsingi watu wengi hawapendi injili ya mateso hivyo wanakimbilia uaguzi wa kina mwamposa kikubwa wewe ni yohana mbatizaji sauti ya mtu aliaye nyikani apa ipo siku watakukumbuka japo watakuwa wamechelewa
@Churchofecclesia3 күн бұрын
Hakuna mtu anaeweza, kumhukumu mtumishi mwenzake, mbarikiwa funga kibakuli cha mdomo wake, we mwenyewe utahukumiwa mbele ya kiti cha enzi
@user-rn2fs5jg6n5 күн бұрын
Ahsante Mwenyezimungu mmoja kwa kuniongoza katika dini ya haki nayo ni dini ya Uislam.
@jaromemwazembe6396
5 күн бұрын
Ukweli ni kwamba njia ya kweli Ni Kuamini ya kwamba Mungu yeye mwenyewe alikuja duniani akazaliwa akaamua kufa kwa ajili ya kulipa deni la wanadamu na kufufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni. Kwa hiyo ukimwamini YESU KRISTO na kuziacha dhambi Roho mtakatifu ambae ndie Mungu yuleyule mmoja anakuja kukaa ndani yako.nawe unakuwa na uzima wa milele kwa maana Ufalme wa Mungu unakuwa ndani yako. Ni dua yangu kwamba Yesu kristo akujalie neema ya wokovu usipotee katika udanganyifu wa Dunia hii Amina.
@user-zs4qz4wm2n
5 күн бұрын
Haki ipi 😂😂😂
@EnaraMfwango
3 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣haki hipi tenà
@FridayMwassa
3 күн бұрын
Dini mnayo abudu na mashetani haifai
@user-zs4qz4wm2n
3 күн бұрын
@@FridayMwassa usikute wewe ndo kashetani kenyewe
@King_Of_Everything3 күн бұрын
👍👊✌️.
@pauloropian23675 күн бұрын
My God bless your people
@sarahmwasyoge18303 күн бұрын
Asante baba Mbarikiwa kwa uaminifu wako kwa Mungu wa kweli ..
@daudimwakatobe20643 күн бұрын
Ninakuelewa Sana Mtumishi,, na mafuta yanapigwa mnada
@Magufuli.5 күн бұрын
Njia ni nyembamba iendayo mbinguni, mbinguni siyo pamchezo, Mungu wangu!!! Kundi lote linaelekea motoni na mwamposa wao jamani!!!.
@HeriKayezu
5 күн бұрын
@@Magufuli. Toa kabisa na picha ya magufuli unaidhalilisha wew huelewi Kila kitu
@bernardngomano6215
5 күн бұрын
Usihukumu, wewe nani, mbinguni tutaenda kwa neema, siyo matendo
@noelmarapachi18085 күн бұрын
This is very deep, "Mungu Yeyote unaye mtumikia". I love the openness of the mind.
@MaryKilomoКүн бұрын
Mbarikiwa kwahili nimekuunga mkono kwaaasilimia 100 wewe umeirwAwakweli hawapo wapi wasengenyaji kwa ukweli huiu barikiwakama jina lako
@allenmlelwa79502 күн бұрын
Omba mungu akupe mtiti..
@PastorTimotheoUkombozi3 күн бұрын
Wanaokusapoti wote mpo kwenye chama kimoja cha wachawi tena ninyi ni watu hatari sana zaidi ya wachawi na waganga na watu wengi hawawajuhi lakini hiyo mda Yesu mwenyewe atawafichua
@CatherineTemba-w1u4 күн бұрын
Amen!
@susanmshindo75933 күн бұрын
Imetoka hiyo umeshindwa wivu huo daa ushindwe kwa jina la Yesu
@deogratiashaule89585 күн бұрын
Wakija kanisani kwako kufanya nini, huu ni wivu siyo ukristo.
@user-ng6yt2od7l
5 күн бұрын
Wivu😂😂😂😂Mimi siyo wa dini hiyo Ila wivu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Huwa wanakuja wengi kuliko hao ila hukimbia kwa sababu huwa wanaambiwa waache uovu wao.
@Maxpaul-oi8pw
5 күн бұрын
Washirikina utawajua tu
@AnethSwila-tw9mv
5 күн бұрын
Ninyi ndiyo mnabebwa na miujiza
@DavidMbilinyi-tn3jm
5 күн бұрын
Wote munaenda Kwa mwamposa hamna Mungu
@user-sj3wf5vz7lКүн бұрын
Acha hizo uwezi kufanikiwa kama umeshikiliwa na uchawi. Acha kabisa. Acha ardhi zikombolewe . Wachawi wamefanya yao kwenye ardhi. Watu ni wanamatatizo wanahitaji suluhu. Na wewe jitahidi tutajaa kwako.
@PaulinaSemindu-ob3de4 күн бұрын
Huyu sijui mchungaji mbarikiwa anajifanya kila kitu anakijua😂 jaza watu na ww" kama rahisi kama makosa huwa tunatubu na tunaongozwa sala y toba" tunabarikiwa" ww mbona unadhambi kibao unadhalilisha watu mtandaoni na bahat yako unadhalilisha wadada waimbaji wenye hofu y Mungu ila umkute chz alievurugwa na maisha mbona utaomba poo😂😂😂
@RashidMwasiposya-ck6py5 күн бұрын
Hakuna mtu mwenye matizo kama wewe lla mwakipesila nani akweshimu ww usijiesabie haki wivu unakusumbua
@KrispinusKitindi5 күн бұрын
Tai hukusanyika kwenye mzoga
@SuzanShayo2 күн бұрын
HEKIMA ALIONAYO MWAMPOSA.TANZANIA HAKUNA.MIMI WALA SI MUMINI WA MWAPOSA
@user-ko2he4ij9i4 күн бұрын
Siku moja uwende kanisan kwako ukaombewe pale,kwan walio kuwa anapona kipind cha Yesu hawakumtukuza Mungu?
@ThomasBernard-xv4pp2 күн бұрын
Siku ya mwisho upendo wa wengi utapoa Mbarikiwa umekuwa mkari sana ndo Mana Mtume mwaposa ana waumini wengi kwako wachache
@GideonMsengi3 күн бұрын
Mbarikiwa mwakipesire anacho sema nikwel kabisa, unajua injili ni kuacha dhambi na kumfuata YESU, agizo la YESU nendeni mka hubiri mkiwaambia ufalme wa Mungu umekaribia, point ni kutubu na kuamini siyo kuponywa na kurudi kwenye mabaya tena
@PastorTimotheoUkombozi3 күн бұрын
Wewe ni mpinga Kristo waziwazi tunakujua hila hatuna mda wa kusema wewe na kasiani ni wapinga Kristo tunawajua sana
Пікірлер: 441
Mimi nadhani mwenye macho ya rohoni na masikio ya rohoni ndo atakaeelew Mbarikiwa nni anasema i love this Baba keep it up usianche kusema kweli Mungu aliekuita akafanye zaidi na zaidi God bless you Pastor
Mimi nimepona kawe nipo nje ya nchi nimepona kwa jina la Yesu sii kwa jina la Mwamposa
@BeniJohn-xd3cn
5 күн бұрын
Imani yako imekuponya ktk Kristo Yesu
@AishaTarimo-hj2nj
4 күн бұрын
Mimi pia nilikuwa na uvimbe miaka 5 na sipo TZ nipo nje lkn kupitia Mwamposa nimepona
Hawaagui Bali wanasali tuache wivu mwenzako akifsnikiwa mpongeze Kila mtu amepewa kipawa chale Mungu amempa onyesha kazi siyo maneno Mwamposa songs mbele.
@ayoubmtumishi50
4 күн бұрын
Watu wengi kama mchanga wa pwani wanaoenda upotevuni
@Dianamwansasu
3 күн бұрын
@@ayoubmtumishi50kuna wengi wataenda mbinguni hapo hapo.angalia wewe usije ukaachwa?
Hongera sana Mtume timiza wito ulioitiwa na Mtumishi wa Mungu Mbarikiwa timiza wito wako sisi ni viungo ktk mwili wa kristo kila kiungo na kazi ya e hatuwezi kufanana tumeitwa tofauti
@HeriKayezu
5 күн бұрын
@@robertbutati5691 kama umati wa watu umemchanganyaa atuambie kwa nn na yeye anawachache tena wanafamilia melancholic wote, plze don't dare with our apostle Mwamposa
@DavidMbilinyi-tn3jm
3 күн бұрын
@@robertbutati5691 hakuna mtume aliyeitwa Kwa jina la yesu kukusanya fedha
@josephezekielmasolwa8283
3 күн бұрын
Tumitwa tofauti ila Lengo ni moja Watu wa mlingane Mungu.
@enockniko9270
3 күн бұрын
Hapana zijaribuni hizo Roho kama zimetokana na MUNGU Ukimpima na neno la MUNGU unaona ata mbinguni huwenda awamtambui labda anatambulika kwa kuwapeleka mamilioni ya watu jehanamu
@DavidMbilinyi-tn3jm
2 күн бұрын
@@enockniko9270 Amina ndugu tuwe na akili namna hiyo Kwa jina la Yesu.umenifariji hasa kipindi hiki ambacho watu wameyageukia mafundisho ya uongo
Kila mmoja na UTUMISHI wake!! Acheni kuhukumu! Nawe onyesha UTUMISHI wako ili watu wa Mungu wakuelewe na wapone.Mwache mwenye enzi Yesu Kristo atakuja kutenganisha pumba na Mchele.
@user-on4sb9fn5t
5 күн бұрын
Naye huu nduyo Utumishi wake.
@jaromemwazembe6396
5 күн бұрын
Ndio kila mtu na alivyo itwa lakini kumbumbuka sisi sote ni mwili wa Kristo. Sasa je kristo anatutaka tufanye hayo? Au Ana tutaka tuwafanye watu waache dhambi na kuufuata Yesu Kristo tu. Mtu Hana laana akimwamini Yesu na akiacha dhambi na kufanya kazi kwa bidii. Wewe huna laana kwa maana Yesu Kristo amekuokoa. Hayo mengine ni udangqnyifu wa Dunia hii.
Tatizo wachungaji wa kikrito wanafuatiliana hadi inakera. Mahakama za kikristo zimekuwa nyingi? Kila Mchungaji anamwandama Mchungaji mwenzake. Wakristo tuna shida sana. Kwani Mwamposa alienda kuwaita watu nyumbani waje kuabudu pale? Mnajihesabia sana haki, pengine hata Mungu hawajui
@EmanuelMsindo
3 күн бұрын
❤❤ waache maneno acha injili isonge mbele kwan mbn hata usipofika kwake roho bad atasem nawe kwahy kikubwa Imani acheni kufatiliana fateni I injili msonge mbele
Pole mtumishi mimi nafikili unatakiwa wale wanaotoka kupokea miujiza kwa mtumishi Mwamposa uendelee wewe na wayumishi wengine kuwalea kiroho msana kule ameshawaongoza sala ya toba sasa mkiendelea kukosoa kosoa watu wanashindwa waende wapi mtadaiwai hizo Roho za watu Mtumishi Miwamposa Mungu anamjua zaidi kuliko mnavyomyyua ninyi mbona neno lnasema kila mtu atasimama mbele ya kiti cha Mungu. Watu wanao toka kwa mtumishi Mwamposa tuwapokee tuwaimrishe katika Imani ya Yesu. Kama walivyompokea jamani. Mbona hivyio ..
Niwivu tu huna lolote fanya Kaz ya mungu acha majungu
@ayoubmtumishi50
4 күн бұрын
Ukute umejaza maji nawewe na gest hukosi.pole sana
.... KRISTO ACHA AJITWALIE UTUKUFU .... ALITUMIA HATA TOPE/MATE KUPONYA... Amani ya KRISTO IKUBEBE MTU WA MUNGU.... TUNAMWONA MUNGU KUPITIA BONFACE... MWAMPOSA...
Kwa mwamposa pale inatuthibitishia kuwa watu wanataka miujuza had kuamin miujiza zaid ya Kumuamin Mungu wao, hapo ni uhuni tu.
@AGM19697
4 күн бұрын
Hata kwa Yesu miujiza ndio iliwavuta kuamini. Yesu hakutumia upanga kuwavuta alitumia miujiza. Musa pia
Muda unaotumia kujadili matukio ya watumishi wenzio ungekuwa unahubiri na kuita watu waokoke Mungu angekufurahia sana
@hoseasteven6241
5 күн бұрын
Unachokisema ndicho anachokifanya sasa
@user-dz3rl1ki6u
2 күн бұрын
Kumbe wewe huelewi kuwa hicho anachokifanya ndicho injili yenyewe pole tulia umfatilie vizuri mbalikiwa hii ndo injili pure sasa
@christophermsekena616
2 күн бұрын
@@user-dz3rl1ki6u chawa kama chawa
@bettykinyami5096
2 күн бұрын
Kwani uko kwa mwamposa mnaabudu Mungu au!!! Jichunguzeni Sana, kwenye wingi wa watu sio kuna Mungu, hapo mapepo ni mengi yanateka watu, hapo uganga wa kienyeni Tu.
@christophermsekena616
2 күн бұрын
@@bettykinyami5096 sawa roho mtakatifu
Mathayo11:28Njooni kwangu nyini nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha sasa kama watu wameenda kuagua au kutatuliwa shida zao kwa mtumishi wa Mungu kuna shida gan ulitaka waende kwa mganga wa kienyeji au kalale wew
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Yesu anawaita wenye mizigo ya dhambi ili watubu. Sio wenye kudanga ili wapate hirizi za kudanga zaidi.
@josemangula8806
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile alie kwambia kwa mwamposa wanaenda wadangaji ili wadange zaidi ni nani acha chuki zakitoto watu wanaenda kutua shida zao kwa mtumishi wa Mungu na miujiza hata Yesu alifanya leo mwamposa anafanya miujiza mnabaki kumsema vibaya mnashida gani nyie kama mnaamini anatoa miujiza feki kwanini nanyi msitoe Yenu watu wawafate nyie
@jaromemwazembe6396
5 күн бұрын
Miujiza sio kipaumbele, lengo ni kuweka bidii yakuwafundisha watu wamwamini Yesu Kristo na kutubu dhambi basi. Ukiona ni masikini wafundishe kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata kanuni za uchumi wa Mbinguni. Cha zaidi wafundishe wakue katika Imani ya kumwamini na kumpenda Kristo siku zote na kuwaambia kuwa hawana laana yoyote ili wasienende kwa hofu.
Kila mtumishi afanye utumishi wake kwa Mungu kwa uwaminifu muache chuki, wivu, na matusi.
Mwamposa amenyooka, Tumshukuru Mungu kwaajili yake, Mbarikiwa unapenda mashindano sn, Sasa unataka afanyeje?? Fundisha Wewe hayo unayoona ni sahihi.
Kwani mwamposa aliwatumia barua YA mwaliko? Waache wanajua wanachokipata Roho mtakatifu ndiyo anayetoa vipawa; nyenyekea hata wewe upewe acha wivu
Injili ya Yesu Kiristo lazima ina ambatana na miujiza na ishara.
@hoseaCHRISANTUS
5 күн бұрын
Ni sawa injili ya kweri ina ambatana na ishara za miujiza na uponyaji ila ishala yeyote ya kuponya wagonjwa bila fundisho la kweri na sahihi ya kuwambia watu waache njia zao mbaya watubu zambi zao injili isio kuwa na ondoleo la dhambi hiyo ni feki na ni injili ya mauzauza nenda ukasome kitabu cha mthayo agizo kuu la mungu aliloliagiza kwa wanadam walio okoka bila kujali wewe ni nabii au mtume au mwalim au mshirika yoh 3.16 marko 16,1 hadi mwisho
@hoseasteven6241
5 күн бұрын
Soma Biblia Ishara na miujiza siyo kweli inadhibitisha uwepo wa Mungu
@gidionkadaraja1403
4 күн бұрын
Ishara na miujiza Kama hamna hivyo ni kelele2 bas
@NovatusSweetbert
Күн бұрын
Pole ndugu yangu
Ni vizuri huo mtiti uwe kwako .... hakuna sababu ya kumsema mtu onyesha Mungu wako
HUO NDIYO UJUMBE BWANA YESU AMEKUPA KUHUBIRI WATU.????? HUBIRI INJILI YA YESU ACHA KUTAZAMA MTUMISHI MWINGINE
Na wengi watawadanya, ni kweli wamefanikiwa pakubwa, sijui watu hawaelewi nini
Wivuu huoooo pambana na wewe ujaze. Na nyinyi mnavyorukaruka madhabahuni mnajiona mpo sawa
Kumbuka hata YESU watu walikusanyika wengi sana k
@ayoubmtumishi50
4 күн бұрын
Lakini siku alipowaambia ukweli wa kula mwili wake na kuinywa damu yake walitawanyika wote.
Mimi sikuwepo pale Packers ila nilikuwa kwangu mkoani nikikesha. Mungu anasema na roho za watu mmoja mmoja. Toba kila siku kwenye ibada anaongoza sara ya toba. Na roho wa Bwana akiingia kwako lazima atakuongoza tu kutubu. Amina
Dah, Mungu wako ni dhahiri neno la injili unalolifundisha ni kama kwa mtumishi wa Mungu "pastor ezekiel" kutokea mavueni mombasa kenya. Ukweli ni kwamba watu hawatakuelewa na ndivyo ilivyo kwenye yohana 17:14. Hongera sana baba, Mungu atakulipa thawabu yako
Mbarikiwa, kwa heshima kubwa Sana, umesema vyakutosha. Je wajihesabia haki!!! Siku ya hukumu, Mungu atahukumu. Acha Mungu was haki aje kuhukumu. Wewe mhubiri kristo na hukumu mwachie Mungu
@FrolaMkolo
Күн бұрын
Hajawahukumu!!! Soma biblia na uwe rohoni!!! Yuko sawa anataka watu wawe na ufahamu wa Mungu
Njia iendayo uzimani ni nyembamba,lakini iendayo jehanamu kubwa mno😊
Mtakubali tu
Kila mtu anasehem yake ktk utumishi wake.ndio maana Yesu alisema baba kazi ulio nipa nimeimaliza maana yake alitumwa kwa ich moja tu Israeli na kupitia Israeli mataifa yote tutamjua Mungu ko kila mtu na ufunuo wake .simamia kipande chako na tunako kwenda Mungu anasema utukufu wa mwisho wa nyumba yangu utakua ni mkuu kuliko wa kwanza
Ukweli ni kwamba kila nabii au mtume ameitwa na kupewa kitu tofauti na mwingine, lakini kila alichipewa yeyote kina lengo la kuujenga mwili wa Kristo. Injili kazi yake ni kuonesha hitaji la Mungu kwa wanadamu, lakini injili ya leo ni hitaji la wanadamu kwa Mungu, hii ni kinyume na kusudi la Kristo kuja duniani
Hujawahi kukosa neno,ulivyoona wewe moyoni mwako ndivyo ulivyo,na pale hatukuenda kuhukumiwa,kila mmoja alienda kwa kilichomsukuma kwenda moyoni mwake, sisi ndio waumin na tuna maamuzi yetu na hatufungiwi na dhehebu Wala kanisa lolote msituamini kivile.tunajua unaumia rohoni na unamfatilia Sana,kitendo Cha kumfatilia mtu ambae Hana habari na wewe kinaumiza, bado hujaaema utasema, na ninatarajia utawaalika wale watu wako wataongea na wao,Hilo nauhakika.mtu anaependa kuongelea watu mda wote kiukweli ni wivu, uchawi,ushirikina.huo mda unautoa wapi? Si ujifungie chumbani mtafute mtoto? chum
Watu wanashida nyingi sana, ukiona watu wanakuwa hivi Kuna kitu wanafaidika, wao sio wajinga. Mungu aliumba Kila mtu na upako wake sio wote mfanane. Hiyo kazi muachie Mungu.
@deogratiasrutabana2387
5 күн бұрын
Sio kweli unachosema ni kuwapotosha watu imeandikwa zichunguzeni kila roho na tunazichunguza kwa kutumia maandiko maana imeandikwa wataukumiwa kwa sheria zao na sio wanaoijua sheria watakaookolewa bali watakaoishika na kuitenda ndio wataesabiwa haki. Katika Agano jipya maji, chunvi, mafuta etc vinawakilishwa na Roho Mtakatifu kwahiyo tunatamka wala sio kukanyaga au kuchukua Chupa ya maji huo ni uganga na uaguzi. Wanachofanya akina mwamposa ni uganga na ushilikina na hao wote wanamaagano na kuzimu mkusanyiko wa watu unaletwa na nguvu ya kuzimu. Wakati watu wamekusanyika katika ulimwengu wa roho ya kuzimu wanachukua vipawa vya wote wanakuwa wamejiungamanisha na ibada. Yesu alisema kemeeni na kuonya. Kinachomaliza shida ya Mtu ni kuijua kweli na kuitenda sheria si vinginevyo. There is no short kati laazkima tutimize sheria na Imani pasipo matendo imekufa.
@lwitikoasa6899
4 күн бұрын
@@deogratiasrutabana2387Biblia. Yakobo 5:14 [14]Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. ANDIKO ILI NIAGANO JIPYA AU LAKALE?
Kama hayuko sawa hebu mshushie moto kwa haki yako Kama nabii Eliya. Tunahitaji kusikia kazi yako Sasa badala ya kutuambia habari za mapambano na watu walio"trend"
Me nakukubali lkn kwa ushaur tumia zaid muda kuhubiri neno, achana na kukosoa muda mwingi umewekeza huko, lkn tunaokufatilia tunaomba ufundishe neno.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Kusema makosa ya watu ndio kuhubiri neno la Mungu Isaya 58:1
Watumishi wote hapa inchini Tz kama wangekua na hekima pamoja na wokovu kama Mtume Mwamposa inchi hii ingekuwa yenye Baraka saana kwahali yakumpendeza MUNGU BABA
@frankbutati8343
5 күн бұрын
We ni kiande kweli kweli, iko siku mtamumbuka mwakipesile
@francisandrew5386
5 күн бұрын
@@frankbutati8343 kwanini umemdhihaki ila hujamuelekeza…. Nini maana kiande.!? Sio sawa
@DativaMbowe
4 күн бұрын
@@frankbutati8343😂😂😂
@amanelias4672
4 күн бұрын
Amen
Hongera Sana Kwa Kukosoa Wanaopotea ila Kila Unapoongea Hakiki Unachoongea Mtumishi Wa MUNGU Maana Kila Neno Iitahesabiwa Siku Ya Hukumu
Aghmity God make you powerful to preach the truly GOD , Ubarikiwe saana Mwakipesile
Mwamposa aifunika mecca Saudi arabia
Ungefika ungesema neno hukufika mim nlikuw naend kawe aisee hyu ni mwamba aiseee hamna anae weza jaza watu wanja wataifa alijaza wanja zote
Huyu jamaa mbarikiwa ni pepo au? Fanya kazi zako nawe tuzione, Acha taarabu nahis injiri sasa imevamiwa!!! I hate you mbarikiwa😩😩😩
Muoneshee mungu wako watu wamuone wajee wajae na wewe kwako
Mtumishi, Kuna wakati Elisha aliitwa na wazee wa Yeriko juu nchi ilikuwa ni nzuri lakini ilizaa mapoza. Elisha akaiponya nchi. Elisha hakuponya wale wazee Bali alisema, nimeiponya nchi hii........
Mtu unasema mambo ya kanisa la mwingine ? we fanya yako.mungu ndiye anajuwa wapi pakweli
Mungu aturehenu Roo waMungu atufunulie tuijue kweli
Chapa injili SANA mtumishi wa Mungu
Wivuuuu. mtateseka sanaaaaa Ariseeeee
@AtupakisyeMwakateba-kj8qg
5 күн бұрын
elewa nini anamaanisha chawa awe nawivu upi
@DativaMbowe
4 күн бұрын
@@AtupakisyeMwakateba-kj8qg😅😅
@amanelias4672
4 күн бұрын
And shine
@PrudencePaul-mr1ge
4 күн бұрын
And shine
Kwa kweli mtumishi wa Mungu Mwakipesile hadi umefungwa kwa kweli yako kuokoa waliopotea endelea kutenda kazi ya Bwana Yesu akulinde na familia yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎉🎉🎉❤❤
@HeriKayezu
5 күн бұрын
@@hildandumbalo5827 huyo chizi nilijua milembe Iko Dodoma kumbe mbeya
Hubiri Neno mtu wa Mungu acha kusema ya Wngine....
@jacksonnzai1593
3 күн бұрын
soma 1 Corinthian 3;1..
Wewe naye umeanza kutupoteza kwanini sana unahubiri watumishi wengine kwani wewe Imani ya madhabahu yako wao wanajua lililopo
Mubarikiwa nimecheka Sana mwenye akili ndio anaelewa pongezi zako
@BeniJohn-xd3cn
5 күн бұрын
😂😂😂😂 Kweli kabisa
@ombendaud5938
5 күн бұрын
Huo ndo ukweli.Hapo wanaenda kuagua
@odilomwemeziernest646
5 күн бұрын
Wataelewa wenye D mbili tu,
@mosesjohnswilla9926
5 күн бұрын
Pongezi za kinafiki
@AwardHakimu
4 күн бұрын
@@mosesjohnswilla9926hamna sio kinafki lakini anasema hao wanaotafuta miujiza
Mwamposa ni shujaa sana I appreciate him
hayo yote tutajua uko mbingun kila mtu abebe msalaba wake acheni kurudisha Imani zawengine nyum kila mtu anaimani yake
Wingi wa watu ni roho. Sasa kusababisha roho za watu wakukubali huo ni upako. Yesu alimwambia petro acha kuvua samaki nikufundishe kuvua watu. Watu walivyomfata yesu siyo kwamba watu wote walimjua mungu. Ila walipopata kusikia neno wakaamini. Wewe fanya yakwako mungu aliyokwambia ufanye usianze kuangalia mwamposa. Yeye anafanya Mungu wake alivyomweleza.
Ninachokijua Mimi kupitia mtumishi wa mungu mtume mwamposa nilikuwa naumwa kifafa nimepona toka nilipofika kawe 2019/10 mpaka leo sijaanguka Tena namshukulu mungu.
Onyesha nguvu ya Mungu sio maneno
Mtumishi mbona wewe umekuwa mkosoaji tu Kwa kila Mtumishi....!??..si ufanye Kazi aliyokuitia MUNGU
@DavidMbilinyi-tn3jm
5 күн бұрын
@@FrancisMliga-pp7cp unasoma biblia kazi ya Neno ni kukemea maovu ndio maana kina stefano waliuawa, yakobo aliuawa,yesu aliuawa,yohana aliuawa,Paulo na sira walifungwa gerezani.uwe unasoma Neno la kweli halitakiwi na wanadamu
@mashibeelias5574
3 күн бұрын
hiyo inayoifanya unajuaje kama si kazi aliyoitiwa? Au kazi aliyoitiwa mtu ni kazi gani?
@DavidMbilinyi-tn3jm
3 күн бұрын
@@mashibeelias5574 Neno la Mungu ni la ajabu Sana unaweza kua msomi Sana lakini Neno usilielewe yaani mwamposa sio wakujiuliza uliza ila huyo Yuko kibiashara tu
@mashibeelias5574
3 күн бұрын
@@DavidMbilinyi-tn3jm Kwa mtu anayetafta ufalme wa Mungu, hawezi kumwita mwamposa mtumishi wa Mungu ispokuwa kwa mtu ambaye anatafta mambo yake.
@DavidMbilinyi-tn3jm
3 күн бұрын
@@mashibeelias5574 Amina
Mbarikiwa fanyakazi ya MUNGU Acha kuhukumu. onyesha kazi baba.
Yesu alisema Musipo Niamini Mimi basi Ziaminini kazi zangu, Mwamposa Nakukubari kwanza Uwajibu wauni wanaokutukana
Nyakat hiz ni ngumu mno, ndo maana nikiona sina aman na mtu au huduma. Najiweka mbali nae kimya😢. Tumtafute sana MUNGU NA MUNGU ATATUONYESHA MAHALI SAHIHI
Be blessed the man of God
Bwana we usitudanganye kwa chochote tuonyeshe vya kwako au tuonyeshe mtiti wako kiufupi ukiona mchungaji yoyote anafuatilia mwenake kafanya nini ujue yeye huyo ni muumini wa huyo kwa hiyo wewe ni muumini wa mwamposa
Ukitaka kuwa hivyo kama,uwe na hekima ndicho ambacho Mungu anakutaka kwa mtumishi wake siyo kuokoa hadi simu za waumini wako,,,Mwache Mungu ajitwalie utukufu
Tatizo lako,nashani ni wivu,,,kwanini unakazania mtiti je wanaorudisha mambo ya kichawi na kumrudia Mungu ni kweli huna ufahamu wa kuyaona,je waliokuwa tasa wakifunguliwa na kupata watoto,hayo huyaoni,,,je akina mama waliokuwa na viumbe zikapona ni kweli huyaoni?au unachoona ni kukagua msg za waumini wako na kuwatimua? Mungu atajitwalia utukufu tu,,,hatuwezi wate kuwa akina mwamposa,,Mungu akupe macho ya rohoni
Mwakipesile hayo mambo ya kuwasema watumishu wenzako wa mungu sio jambo jema wewe jikite na kuendeleza kanisa lako Ili like sio kumsema mtumishi wa mungu ajaanza Leo mpaka huduma unakuwa hivyo
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Wewe kumsema Mwakipesile ndio jambo jema? Wewe kwa nini haujajikita...
@GraceAbraham-l9h
4 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesileni kweli ni sehem ya kukumbushana nae amesema si Jambo la kushupaza tunakumbushana sbb YESU alisema hakuna aliye mtimilif chini ya jua
sasa hv wachungaji mnaniuz sana eti mmesahau majukumu yenu kabisa mmeitwa kuwafundisha watu na kuwahubilia neno la mungu na kuwaponya..na co kila cku kumtolea macho mch..yule mara yule na kuanza kukosoana fundishen watu NENO la MUNGU bc hicho ndicho mulichoitiwa
Magumu mnayoyapitia uponyajiweno upokawe
Chalamila time 😂😂😂
Wivu du unaroho mbaya
Kama una Roho w Mungu uwezi kujuwa kweli Kila ukiitwa unaitika uwezi kutofautisha sauti ya Mungu ktk Kristo Yesu na sauti ya Miungu
Mimi nakupenda sana acha mwanzako avune ni wakati wake mungu anampa mtu lidhiki omba ya kwako mungu atakupa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Utaua/uhubiri si njia ya kupata faida 1 Timotheo 6:5 na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, huku wakidhani ya kuwa UTAUWA NI NJIA YA KUPATA FAIDA. Kama anahubiri ili apate faida ndio maana nimesema kuwa ni tapeli
@user-vu8fk2kz7l
4 күн бұрын
hatumtumikii Mungu Bure Duniani mara mia Kisha uzima wa milele
Hilisibure hayanimengine nandomana afrika ss tunakuwa maskini sana
Mimi nimepona kwa mwamposa mungu akubariki mtume
Ukisema ufuate maneno ya watu hapa tz huwezi kufika popote wanakutungua tu uwafuate wao chini,, kikubwa unakausha halafu chapa kazi ili mradi Mungu yuko nawe Tz ukianza hata kazi tu lazima maneno ndio yatakuua na kupoteza kazi, tuwe makini tusituhumu tu kila kitu
Unamsema mtu asiye kujibu mtume unanisumbua bureeee kaa chini omb a Mungu akupe nguvu na maono
Mnashangaza hamnaga mafundisho ya BIBLIA,mpaka mwingine afanye jambo ndiyo mpate somo.Wanaaguliwa wanaabudu hiyo ni kazi ya Mungu
Umekosa KAZI mnafiki mkubwa ww huo ndo wito wako pole na mungu wako Huyo mdogo mdogo ulie nae utakufa Kwa presha mwaki
Yani Mimi Nina hasira na watu kama kina mwamposa wanaopotosha watu wa Mungu, Yani ningekuwa na uwezo ningewapiga fimbo hadharani tena mbele ya madhabahu zao, uwiii Mungu nipunguzie hii hasira, aiseee, mwamposa, jodevi, Joseph nyuki, lusekelo, suguye na wengineo, ni natamani watu wafunguliwe faham zao wajue ni jinsi gani wanadanganywa jamani
@user-wi8og3sv4j
5 күн бұрын
Dawa ni kutufundisha ni asiyedanganya maana ambaye mwongo na kweli anajua pia
@datiusdidas8155
5 күн бұрын
Wewe mwenyewe unatudanganya,Mungu anaeshusha Moto ndo anastahili kuabudiwa,tuletee Moto unaozidi hapo ili tukuamini
@starlily07
5 күн бұрын
@@datiusdidas8155 we mwehu eee.
@starlily07
4 күн бұрын
@@datiusdidas8155 we mwehu nini
Ni wivu tu... Mwamposa anamhubiri YESU MPONYAJI NA MTENDA MIUJIZA, na watu wengi wanaponywa sio rahisi watu wajae vile bila majibu, na wewe endelea kutukana na kujiona mtakatifu ACHANA na mtumishi mwamposa...
Mtumishi Mbarikiwa Mwakipesile mchungaji nakufatilia sana na unanibariki sana kimsingi watu wengi hawapendi injili ya mateso hivyo wanakimbilia uaguzi wa kina mwamposa kikubwa wewe ni yohana mbatizaji sauti ya mtu aliaye nyikani apa ipo siku watakukumbuka japo watakuwa wamechelewa
Hakuna mtu anaeweza, kumhukumu mtumishi mwenzake, mbarikiwa funga kibakuli cha mdomo wake, we mwenyewe utahukumiwa mbele ya kiti cha enzi
Ahsante Mwenyezimungu mmoja kwa kuniongoza katika dini ya haki nayo ni dini ya Uislam.
@jaromemwazembe6396
5 күн бұрын
Ukweli ni kwamba njia ya kweli Ni Kuamini ya kwamba Mungu yeye mwenyewe alikuja duniani akazaliwa akaamua kufa kwa ajili ya kulipa deni la wanadamu na kufufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni. Kwa hiyo ukimwamini YESU KRISTO na kuziacha dhambi Roho mtakatifu ambae ndie Mungu yuleyule mmoja anakuja kukaa ndani yako.nawe unakuwa na uzima wa milele kwa maana Ufalme wa Mungu unakuwa ndani yako. Ni dua yangu kwamba Yesu kristo akujalie neema ya wokovu usipotee katika udanganyifu wa Dunia hii Amina.
@user-zs4qz4wm2n
5 күн бұрын
Haki ipi 😂😂😂
@EnaraMfwango
3 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣haki hipi tenà
@FridayMwassa
3 күн бұрын
Dini mnayo abudu na mashetani haifai
@user-zs4qz4wm2n
3 күн бұрын
@@FridayMwassa usikute wewe ndo kashetani kenyewe
👍👊✌️.
My God bless your people
Asante baba Mbarikiwa kwa uaminifu wako kwa Mungu wa kweli ..
Ninakuelewa Sana Mtumishi,, na mafuta yanapigwa mnada
Njia ni nyembamba iendayo mbinguni, mbinguni siyo pamchezo, Mungu wangu!!! Kundi lote linaelekea motoni na mwamposa wao jamani!!!.
@HeriKayezu
5 күн бұрын
@@Magufuli. Toa kabisa na picha ya magufuli unaidhalilisha wew huelewi Kila kitu
@bernardngomano6215
5 күн бұрын
Usihukumu, wewe nani, mbinguni tutaenda kwa neema, siyo matendo
This is very deep, "Mungu Yeyote unaye mtumikia". I love the openness of the mind.
Mbarikiwa kwahili nimekuunga mkono kwaaasilimia 100 wewe umeirwAwakweli hawapo wapi wasengenyaji kwa ukweli huiu barikiwakama jina lako
Omba mungu akupe mtiti..
Wanaokusapoti wote mpo kwenye chama kimoja cha wachawi tena ninyi ni watu hatari sana zaidi ya wachawi na waganga na watu wengi hawawajuhi lakini hiyo mda Yesu mwenyewe atawafichua
Amen!
Imetoka hiyo umeshindwa wivu huo daa ushindwe kwa jina la Yesu
Wakija kanisani kwako kufanya nini, huu ni wivu siyo ukristo.
@user-ng6yt2od7l
5 күн бұрын
Wivu😂😂😂😂Mimi siyo wa dini hiyo Ila wivu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Huwa wanakuja wengi kuliko hao ila hukimbia kwa sababu huwa wanaambiwa waache uovu wao.
@Maxpaul-oi8pw
5 күн бұрын
Washirikina utawajua tu
@AnethSwila-tw9mv
5 күн бұрын
Ninyi ndiyo mnabebwa na miujiza
@DavidMbilinyi-tn3jm
5 күн бұрын
Wote munaenda Kwa mwamposa hamna Mungu
Acha hizo uwezi kufanikiwa kama umeshikiliwa na uchawi. Acha kabisa. Acha ardhi zikombolewe . Wachawi wamefanya yao kwenye ardhi. Watu ni wanamatatizo wanahitaji suluhu. Na wewe jitahidi tutajaa kwako.
Huyu sijui mchungaji mbarikiwa anajifanya kila kitu anakijua😂 jaza watu na ww" kama rahisi kama makosa huwa tunatubu na tunaongozwa sala y toba" tunabarikiwa" ww mbona unadhambi kibao unadhalilisha watu mtandaoni na bahat yako unadhalilisha wadada waimbaji wenye hofu y Mungu ila umkute chz alievurugwa na maisha mbona utaomba poo😂😂😂
Hakuna mtu mwenye matizo kama wewe lla mwakipesila nani akweshimu ww usijiesabie haki wivu unakusumbua
Tai hukusanyika kwenye mzoga
HEKIMA ALIONAYO MWAMPOSA.TANZANIA HAKUNA.MIMI WALA SI MUMINI WA MWAPOSA
Siku moja uwende kanisan kwako ukaombewe pale,kwan walio kuwa anapona kipind cha Yesu hawakumtukuza Mungu?
Siku ya mwisho upendo wa wengi utapoa Mbarikiwa umekuwa mkari sana ndo Mana Mtume mwaposa ana waumini wengi kwako wachache
Mbarikiwa mwakipesire anacho sema nikwel kabisa, unajua injili ni kuacha dhambi na kumfuata YESU, agizo la YESU nendeni mka hubiri mkiwaambia ufalme wa Mungu umekaribia, point ni kutubu na kuamini siyo kuponywa na kurudi kwenye mabaya tena
Wewe ni mpinga Kristo waziwazi tunakujua hila hatuna mda wa kusema wewe na kasiani ni wapinga Kristo tunawajua sana