NIKUJUE ZAIDI - AIC (T) Mbezi Beach Choir ft Julius Mwombeki
Музыка
#NIKUJUE ZAIDI, ni wimbo wetu wa sita kati ya nyimbo 7 tulizoimba kwa kumsifu na kumtukuza Mungu kwenye ibada ya USIKU WA SIFA, ( THE NIGHT OF PRAISE ), 13 oct 2023, katika ukumbi wa JC Hall, Rafia Mbezi Beach - Dar es Salaam.
Tunaamini wimbo huu # NIKUJUE kama ulivyo imbwa katika kitabu cha sifa 159 na Tenzi 92, utakuwa baraka katika maisha yako na familia yako kwa kutafakari na kutathmini mahusiano yako na Mungu.
SHUKRANI
* Kwa waumini wote wa AICT Mbezi Beach
* Mtunzi wa wimbo - "NATAKA NIMJUE YESU"
* Mwalimu wa kwaya - Thobias Dominick
* Audio Producer - Quillian Kilago
* Video Production - GLC Media
* video Director - Pascal Sumuni
* Wanakwaya wote wa AICT Mbezi Beach
subscribe, share, comment
Пікірлер: 83
Amina Sana mungu jifunue viwango vikubwa Sana kwangu ili nikujue Zaid ya ninavyo kujua
Huu wimbo umekuja Kwa wakati sahii naamn.utakua faraja angu Kwa wakati huu🙌🙌🙌😥
Kaka mwombeki uko vzur sanaaa ndugu yangu
🙌🙌🙌🙌 what a voice God bless you brother. Much love from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. May God continue uplifting you higher and higher for His Glory, Amen 🙏
More than Blessing,be blessed Ever
God bless you man of God its such an honor let He almighty who art in heaven being praised my fav song of all time
Keep going brother Mwombeki, Mbinguzinajivunia wewe 😍🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇹🇿
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
MUNGU Awabariki Sana watumishi kweli tunatakiwa tumjue Yesu na pendo lake zaid ya vitu vyote....GREAT AND STANDARD SINGING.
I was just eagerly waiting for it, Julius Mwombeki. This is Awesome . Zidi kubarikiwa sana ndugu. All the way from Kenya
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
🎉🎉🎉🎉
🙌🙌
Mungu awabariki sana sanaa nilisikia kijitonyama
❤️❤️
Wow❤❤❤❤❤
🙏🏾
Mtumishi wa mungu Julius Mwambeki
Powerful.
Hongera mwl mbombeki
Sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu, Hongereni sana wanakwaya wenzangu
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
Ayayayayya God is Good🙌🙌🙌 hizi Baraka 🙌🙌🙌 Utukufu kwa Bwana🙏🏾🙏🏾🙏🏾👏
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
The song has made my weekend,best very powerful song,it draws people near to GOD🙏💯
@aictmbezibeachchoir
18 күн бұрын
Amen
Glorious... blessings to u brother Mwombeki and the entire praise team
@aictmbezibeachchoir
18 күн бұрын
Amen
This is powerful ministration❤❤🎉🎉,, Mwombeki is always inspiring spiritually. The choir sang well too. Dressing is indeed spiritual and Godly reflection🎉🎉,,God bless you too.
@aictmbezibeachchoir
13 күн бұрын
Thank you
Wimbo wangu pendwa kabisa,hongereni sana my favoritr choir👏🏽
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
Yesu awatunze awape hatuwa moja zaidi, kaka julius tunakukumbuka mtwara
Amen Mungu awabariki watumishi wa Mungu
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
Hongereni Wapendwa Utukufu kwa Mungu juu mbinguni🙏
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amina, asante
🔥🔥🔥🔥🔥❤❤
Wow powerful song and good arrangement
@aictmbezibeachchoir
15 күн бұрын
Thanks
Anew version of this song,so touching,God bless you.
Haleluj🙌 yesu akupandishe viwango na viwango mwombeki
@aictmbezibeachchoir
15 күн бұрын
Amen
🙏
Amazing song Glory Glory to God
Hongereni sana wimbo umetulia Sana, 🔥🔥🔥
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Asante mpedwa
This is 🔥🔥🔥
Hallelujah
Mmpendeza sana watumishi Mungu Azidi kumimina mafuta juu yenu
@aictmbezibeachchoir
15 күн бұрын
Amen
Ni kwa wema wako tu MUUNGU ndo maana leo hii tumefika hapa tulipo,sifa na utukufu tunakurudishia
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
My favourite singers you normally lift my spirit up when am low ❤❤❤❤
@aictmbezibeachchoir
18 күн бұрын
Amen, may God keep on blessing you and lifting you up
Good
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Thanks
🔥🔥🔥🔥
Wow worrios in JESUS 🙏🤲 be blessed much
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
😂 AMEN 🙏
Sifa kwa bwana mbalikiwe watumishi wa bwana kwa huduma njema
@aictmbezibeachchoir
18 күн бұрын
Amen
Amazing songs, amazing singers and musicians
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
Ni mungu tu🙏
@aictmbezibeachchoir
18 күн бұрын
Amen
Haleluyaaaaaa 🖐️🖐️🖐️
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
my favourate song 🎉🎉🎉
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
MUNGU WAMBINGUNI AKUINUE SANA MPENDWA
@aictmbezibeachchoir
13 күн бұрын
Amen
Hakika Nataka nikujue zaidi Yesu
@aictmbezibeachchoir
21 күн бұрын
Amen
ℍ𝕒𝕜𝕚𝕜𝕒 𝕙𝕒𝕜𝕚𝕜𝕒 𝕟𝕒𝕥𝕒𝕜𝕒 𝕟𝕚𝕜𝕦𝕛𝕦𝕖 𝕫𝕒𝕚𝕕𝕚
@aictmbezibeachchoir
13 күн бұрын
Amen
good job keep it up
@aictmbezibeachchoir
18 күн бұрын
Thank you, I will
❤❤
❤❤
❤❤